MAAJABU MAZITO MAKABURI KATIKATI YA BAHARI/MASHARIFU WOTE WAWILI/MAOMBI YANAFANYIKA HAPO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 жов 2024
  • #THINKERSTV
    #RIPOTIZAKITAA

КОМЕНТАРІ • 170

  • @alhabibsudi7997
    @alhabibsudi7997 6 місяців тому +10

    Subhana Allah M Mungu atuepushe na mitihani hii ya shirki huyo mzee kwa milo nae karibu hebu mpeni dawa Kabla umauti haujamkuta

  • @machintangachibwena5922
    @machintangachibwena5922 Місяць тому +1

    Ndumi huko tumeshakula sana mapera huko enzi za utoto wetu murch love from Germany 🇩🇪

  • @maninisamwel8657
    @maninisamwel8657 Рік тому +12

    😢😢😢 waomba wafu wakuomba ni Allah pekee

  • @hamadalikhamis
    @hamadalikhamis Місяць тому +1

    Mzee wangu achakuwapotosha waislaam na kuwaingiza kwenye shirki wakumuomba ni mmoja tu simwengine ni Allah pekeee achauchawi eji imeenda tubu kabla yaumauti kukufikia

  • @takrimumakame2271
    @takrimumakame2271 Місяць тому +1

    Historia nzuri ya afrika, ila viumbe wa Karne hii tujiepushe na shirki hii ya kuomba kwa asiyekua Allah

  • @aishahashim.5079
    @aishahashim.5079 2 роки тому +13

    Hao huenda walikuwa kweli ni watu wema isipokuwa waliofuata baada yao ndio waliozama katika shirki kinyume na Mapenzi yao

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 9 місяців тому

      Hapana aliezamishwa ila ndipo ulipokua mji Bahari inatabia ya kujisogeza. Kinachiniudhi ni watu kwenda kufanya ushirikina.

    • @zeyanakharoub
      @zeyanakharoub 2 місяці тому

      Hao ni waja wema Ila hao watu wanafanya shirki

  • @sihamjamal2234
    @sihamjamal2234 Рік тому +4

    SubhanaAllah Astagafirullah watu wamepoteya yarabby tuongoze umaa wako

  • @rukiafaraj1400
    @rukiafaraj1400 2 роки тому +4

    Hao waliomo makaburini wanahitaji dua ya waliohai! SubhanaAllah waliohai wanawaomba wafu!

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa Місяць тому

      Du imani hizo zinapoteza watu,neno linasema baada ya kifo ni hukumu, Mungu anasikia maombi ya mtu aliye hai siyo alikuyekufa.mwanadamu unatakiwa kutengeneza njia zako ukiwa hai na usitegemee kwamba kuna huruma ya Mungu baada ya wewe kufa kwamba utaombewa.Mafundisho ya mtume wenu Muhammad yamekuja kuwapoteza watu wa Mungu kwamba unaweza kumuombea muovu aliyekufa na Mungu akasikia jambo ambalo siyo kweli

  • @nyenyeonlinemedia9543
    @nyenyeonlinemedia9543 2 роки тому +4

    Mzee alikosea kidogo.c kuwaomba hao masharibu.bali ni kutawassal kupitia hao masharifu.YAANI UNAMUOMBA MUNGU KUPITIA HAO MASHARIFU KWA MAANA WAO WALIKUA WATU WEMA,WALIPOKUA HAI WAKIOMBA MUNGU HUKUBALIWA HARAKA DUA ZAO.INABIDI NASI PIA TUKIWA NA HAJA ZETU TTUMUOMBE MUNGU KUPITIA WAO.
    HATA UKIKUTA MTOTO WAKO AKIOMBA MUNGU,DUA ZAKE HUKUBALIWA HARAKA.BASI FANYA KUTAWASAL KUPITIA YEYE

  • @issaomari7244
    @issaomari7244 3 роки тому +3

    Subhanallah allah awaongoze huo niushirikina allah awaongoze

    • @amanafi1288
      @amanafi1288 Рік тому

      Nawe Sheh Issa yako ni siri yako

  • @nureenshamba8243
    @nureenshamba8243 2 роки тому +3

    Subhana Allah! Hio ni shirki kubwa mno! "Allahumma Inn wa Min dhuuriat Audhubika minal Mushirikina"

    • @babyrukia3643
      @babyrukia3643 2 роки тому +1

      Jamani babu yangu almarhum mzee jangwa Mwenyezi Mungu akupe kauli thabiti

    • @mishigwan6598
      @mishigwan6598 Рік тому

      Ameshafariki Huyu Mzee Jamani M'Mungu Amjaalie Pepo Jannat Firdaus Ameen

  • @mamyh5738
    @mamyh5738 4 роки тому +6

    Subhanallah hii ni shirki ya hali ya juu Allah atustiri na shurki

    • @muhaajiryhassan4325
      @muhaajiryhassan4325 3 роки тому

      allah awasamehe woote wanaokwenda kuomba na awaongoze hawajui watendalo

  • @Izonecommunity
    @Izonecommunity Рік тому +1

    Hii ni shirki iliopindukia, kikubwa wanahitaji daawa kubwa.... Maana kma umesikiliza vzr anasema, wanakuja kuwaomba masharifu kama wanavyomuomba m/mungu... Innalillah wainna ilyhi rajuun....

  • @josephinekicheleri860
    @josephinekicheleri860 Місяць тому

    Najivunia kuwa MKRISTU.YESU KRISTU PEKEE NI NJIA YA UZIMA WA MILELE.YESU KRISTU UKIMFUATA UTAPATA UZIMA WA MILELE (PEPONII UTAISHI UTAUNGUA NA MOTO)

  • @saidhamad6065
    @saidhamad6065 Рік тому +2

    Dunia mataau,kwa Allah atupe husni njema

  • @paulwambua4956
    @paulwambua4956 2 роки тому +4

    Waliokufa hawana sehemu katika walio hai...
    Yesu Kristo Ndiye njia kweli na uzima wa milele

    • @emmanuelmichael8019
      @emmanuelmichael8019 2 роки тому

      We nae hujui chochote kaa huko

    • @hanifatanzania7258
      @hanifatanzania7258 2 роки тому

      @@emmanuelmichael8019 hahaaaa

    • @NoorPrince-v1v
      @NoorPrince-v1v 2 місяці тому

      Sogea huko sisi tupite

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa Місяць тому

      ​@@emmanuelmichael8019Unachobisha ni nini, ukweli wa biblia ndiyo huo baada ya kifo ni hukumu.Unaitwa Emmanuel lakini kumbe hujui lolote nyie ndiyo wakristo wa kufuata mkumbo,tengeneza njia zako ukiwa hai maana hakuna nafasi nyingine baada ya kufa

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 3 місяці тому +1

    kuomba maiti ni haifai ni kumshirikisha ALLAH

  • @Mashkuramuhidini
    @Mashkuramuhidini 3 місяці тому

    Assalaamu A'laykum warahmatullaahi wabarakatuh wa kuombwa na kuabudiwa ni Allaah Subhaanahu wataa'la na si vingine kwani tofauti na hapo kumshirikisha ALLAAH SUBHAANAHU WATAA'LA. Tunamuomba ALLAAH atujaalie uongofu na mwisho mwema

  • @muhammadiabassi656
    @muhammadiabassi656 Рік тому

    Subuhana Allah WA kuombwa ni Allah pekeake ndio anaetoa kumuomba kiumbe mwezio HAIFAI NA NI USHIRIKIA HUO MUOMBENI ALLAH PEKEE NDIO ANAETOA

  • @rahurselektor9850
    @rahurselektor9850 Рік тому

    Shirki akbar mzee Allah akuongoze

  • @SalmanRazaKhanTz
    @SalmanRazaKhanTz 7 місяців тому

    Subhaan'Allah! ❤❤❤

  • @ashuramhandoashuramhando6798

    ALLAHU AKBAR Allah anamlipa Mema Kila mtenda Mema ❤🔥🙏🙏🙏🙏

  • @Kimochatv
    @Kimochatv 8 місяців тому +2

    Allah waongoze wasiombe makaburi

    • @AbassJYahya
      @AbassJYahya 4 місяці тому

      Sadakta aamin aamin yaa rabbal a'lamin

  • @hajjisanga789
    @hajjisanga789 Рік тому +1

    Mnaomba dua njema kwao ili allah awape maghfira ila kutawasl sio mbaya lakini watu kutawasl Hawa jui wanachanganja kuomba na kutawasl

  • @swalahuomar9654
    @swalahuomar9654 2 роки тому +3

    MMI ni twalabul ilm niko kenya inaruhusiwa kutwasal ndo mana mtu akienda makka unamwambia akuombee na wwe dua akifika sababu ile n sehemu bora ssa dua inaeza kubaliwa sababu ya mji wa makka na kwa masharifu n hvo hvo sababu n watu wema

    • @Wastara001
      @Wastara001 2 роки тому

      Kama uko Kenya ndio tuamini hizo shirk.

    • @SleepyBeach-qs9mf
      @SleepyBeach-qs9mf 7 місяців тому

      Hapo nimekuelewa na ninakushukuru sana.

    • @allyabdallah4679
      @allyabdallah4679 3 місяці тому

      Wewe Acha kupotosha watu

    • @FatmaJ-v7f
      @FatmaJ-v7f Місяць тому

      Mzee ameshindw namna ya kuelezea ,kufanya waswila, mait ,amefarik roh zipo hai, hat wew unaweza kumtumia mtu mwengin kukuombea kit pahal usipo weza kufika. Tusomen zaid.

  • @msarama5406
    @msarama5406 3 місяці тому

    Ndumi yetu tuliyoondolewa na mkapa kwa ajili ya ujenzi wa bandari mpaka leo hakuna kinachoendelea inatuuma sana maeneo walikozikwa mababu zetu😢

  • @SilaMinanda
    @SilaMinanda 8 місяців тому +1

    Mtangazaji hujielew fungua kipingi kwa kueleza upo wapi, kuanzia mkoa, wilaya, kata mpka kitongoji, tujuwe ni wap

  • @hashimrashid6380
    @hashimrashid6380 17 днів тому

    Haifai kumuabudu alokufa . Hawezi kukusikia at akakuckia hawezi kukujibu

  • @annamussa185
    @annamussa185 8 місяців тому +1

    Mungu awahurumie,ila waislamu mnavitu vya ajabu hv mifupa mikavu ndani ya kaburi inaweza kukusaidia nini jamani badilikeni huo ni ujinga mashetani yamewavaa nyinyi

    • @halimadaud-k7d
      @halimadaud-k7d 7 місяців тому +1

      Ww amn unachkijuwa nyamaza wewe kafili

    • @annamussa185
      @annamussa185 7 місяців тому

      @@halimadaud-k7d wewe na Muhammad wote ni 🐕

    • @AbdullahOmar-be4wy
      @AbdullahOmar-be4wy 3 місяці тому

      ​@@annamussa185 mbona unatukana

    • @Kabeya410
      @Kabeya410 2 місяці тому

      ​@@annamussa185sasa nyie we mkristo MTUME KAINGIAJE HAPO AU HUJUI MAANA YA KAFIRI NI ANEPINGA UWEPO WA MUNGU MMOJA NA ANAESEMA MUNGU ANA MTOTO HUO NDO UKAFIRI JIANGALIE KAMA UNATUKANA MTUKANE MTU SIYO MTUME MUHAMMAD SWALALAHU ALAYH WASALAAM. ALLAH AKUZINDUE KUTOKA KTK UKAFIRI UMJUE ALLAH NA MTUME WAKE NA MITUME YAKE YOTE. USIDHANI KWA KUMTUKANA MTUME MWISLAM ATAMTUKANA ISSA AU YESU LAA BALI UISLAM UNAMUHESHIMU ISA AU YESU KUWA MTUME WA ALLAH KWA BANI ISRAEL TU.

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa Місяць тому

      ​​@@Kabeya410Kwahiyo anaye abudu Krishna au Buddha huyo ni mwislam mwenzako maana nayeye anaabudu mungu mmoja kama wewe, Mungu wakweli ni yule aliye abudiwa na wayahudi siyo waarabu 0:00

  • @AmerdaKavishe-pu3cf
    @AmerdaKavishe-pu3cf 7 місяців тому

    Mungu kwaza kwani dua zote utoka kwa mungu

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Рік тому

    Subuhanallah mtihani

  • @MichaelHakme
    @MichaelHakme Місяць тому

    Mulipanyafa kama mizimu utaomba vipi makaburini shetani ndie mnae muomba simungu

  • @abboubarnesful
    @abboubarnesful 4 роки тому +2

    Inna Lillahi Wainna IlaYhi Rajioon...
    Allahumma Gh'FirLahum War'hamhum...

  • @cornelytv2839
    @cornelytv2839 10 місяців тому

    Congratulations 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 2 роки тому

    Inalillah wainailahi rajuun Babu kamabodo hupo Hai rudi kwa Allah Acha shilki nawe jitahidi ufanye mema iliupate mwishomwema

    • @AbdullahOmar-be4wy
      @AbdullahOmar-be4wy 3 місяці тому

      Hakuna ushirikina someni dini hapo haombwi sharifu anaombwa Mungu

  • @AsiaKassim-vb5yl
    @AsiaKassim-vb5yl 3 місяці тому

    Kweli Hao masharifi

  • @hassanabdala7383
    @hassanabdala7383 Місяць тому

    Makaburi hayaombwi hyoo ni kufuru nyie ndio manafaa kuwaombe walikufa msamaha kwa mwenyezi Mungu wacheni kufuru huo niushirikina

  • @samwaoo995
    @samwaoo995 5 місяців тому +1

    Sasa unashida alafu unaweka ng'ombe kwa nn tusimuombe asie itaji ujira uo ni ushirikina hakuna sharifu anae ombwa kama allah huo mi uzushi

  • @halmahashim2864
    @halmahashim2864 Рік тому

    Subhanallah Allah peke ndio wakuombwa hiyo ni shirki

  • @ShamimWanjiru-bm6ve
    @ShamimWanjiru-bm6ve 4 місяці тому

    Hao Masharifu walienda zao kwa kuwa walikwisha kumridhishaAllah but hilo la kuwenda makaburini kuwaomba ni shirki kubwa,Iblis alikwisha kuwapambia wamsahau Allah,Subhana Allah

  • @hassanabdala7383
    @hassanabdala7383 Місяць тому

    Hicho ni kisiwa kidogo kimeinuka maji hayapandi ww mzee wacha ushirikina huo wkuomba watu walikufaa

  • @DendamooGreater
    @DendamooGreater 8 місяців тому

    Sio watu wamepotea ila wafrika ndo wamepotea kwa kufata Imani na asili tamatulin desturi za kiafrika izo ni asli ya wafrika sema wafrika wengi ni jinga Afrikaans maana asili yao wanaona niushezi kama walivyo potoshwa Kwa ile Iman ya kuaminishia waache chao wafuate visivyo vyao mungu ibariki Afrika

  • @aliseif2691
    @aliseif2691 2 роки тому +1

    Kutembelea makaburi na kuwaombea dua marehem wako ni sawa.lakin kwenda kuomba shida zako haifai ni shirki kubwa.

  • @AishaSaoud-m4i
    @AishaSaoud-m4i 5 місяців тому

    KAMA KUKOSEA BASI ILO NIKOSA KUBWA KUMSHIRIKIAHA ALLAH NA MASHARIFU HAKIKA ALLAH HUAKBAR NDIO WAKUOMBWA KWANI ALLAH NDIO ALIE WAUMBA HAO MASHARIFU NA MITUME MA WALII NA VIUMBE WOTE DUNIANI NA AKHERA NDIE PEKEE APASAE KUABUDIWA.

  • @muhammadiabassi656
    @muhammadiabassi656 Рік тому

    SHARIFU SIO WA KUMUOMBA HUYO NI MFU TU WA KUMUOMBA NI ALLAH PEKEYAKE

  • @MdNasr-jm8pj
    @MdNasr-jm8pj Місяць тому

    Ni Haramu kumuomba binaadam awe hai awe amekufa na hizi Imani potofu sijui wamezitoa WP 😢hao masharifu na Mtume wetu bora nani na mbona watu hawaruhusiwi kuomba achane shirki jmn

  • @mohamedabdiyussuf3874
    @mohamedabdiyussuf3874 Рік тому

    Shirki kubwa sana hio allah awaongoze njia ya haki

  • @sofiahassani5185
    @sofiahassani5185 Рік тому +1

    Tunawaomba mashehe na masharifu watupe elimu ktk ya kutosha kuhusu Jambo hili limetuweka njia panda je lafaa au halifai kuabudu makaburi hayo kWa namna yoyote

    • @AbdullahOmar-be4wy
      @AbdullahOmar-be4wy 3 місяці тому

      Ndio linafaa hakuna ushirikina yani haombwi maiti anayeombwa ni Mungu yani mfano ww unaweza kuomba km wazee wako wamefariki ukaomba Mungu nina shida hii niondolee kwa baraka za wazee wangu au sharifu au swahaba au shekhe fulani hakuna ushirikina ni halali inaitwa taswaufu

  • @mamanabdoul4397
    @mamanabdoul4397 Рік тому

    Inna lillah wa inna ilayhi rajiun.uwo ni ushirikina.awo ni watu.siyo Allah

  • @zulekha3028
    @zulekha3028 Рік тому

    Astaghfirullah...mnaacha kumuomba mungu..mnawaomba binadamu mwenzio yeye mwenyewe kaumbwa kama wewe..Allaah awahid..inshllh mumuombe yeyetu asiye na mshirika.

  • @ibn_maleeqqeibraheem_188
    @ibn_maleeqqeibraheem_188 2 роки тому

    Omba alafu mungu nae akupa uzidi kumshirikisha,acheni ushenzi wenu huo ,shirki tupu hizo zenu sharifu ndo nn wacheni kupotosha umma hpa

  • @manfredykomba8227
    @manfredykomba8227 Місяць тому +1

    Adi he e

  • @abdulkarimabdallah9536
    @abdulkarimabdallah9536 Місяць тому

    Babu najua huwez hata kusoma coment ila naamini wajukuuzako wataziona
    Em muwahini babu yenu kabla hajafa hali yakua mshirikina kwani nihatar zaid mbele ya Allah nidhambi ambalo Allah hatolisameh mja akifa akiwa na dhambi hilo naliko waz kuomba makabur nishirki kubwa

  • @salhkasmm558
    @salhkasmm558 2 місяці тому

    Subhanallah si majini lakini hao

  • @chayogasperi9783
    @chayogasperi9783 3 роки тому +2

    Cameraman mbona huoneshi hayo makaburi ??

  • @adorchmassimba4413
    @adorchmassimba4413 9 місяців тому

    Shetani anambinu nyingi sana yakuwapoteza watu nakuwaanisha vitu watu nakuanza kuvifanyia ibada kanakwamba ni mungu watu wanaamini makabuli ya masharifu nakuanza kufanya ibada na maombi makabulini duu hii ni hatali

  • @abdulkarimabdallah9536
    @abdulkarimabdallah9536 Місяць тому

    Babu wa hovyo
    Anaharibikia ukubwani kama mun'gunya kila linavyokua linazidi kuharibika

  • @NoraKedir
    @NoraKedir Місяць тому

    Wewe mze muombe mungu aca kuumbo maiti

  • @HabibuUrasa
    @HabibuUrasa 5 місяців тому

    Pelekeni ujinga huko badala ya Mungu unaomba maiti km walikuwa Wacha Mungu ni wao na ww tafuta ucha Mungu wako acheni shirki

  • @assaasharif963
    @assaasharif963 6 місяців тому

    Jamani anaesitahiki kuombwa ni Mungu tu pekee

  • @OmarAbdalla-vg1qr
    @OmarAbdalla-vg1qr 2 дні тому

    Mzeebaba wakuombwa ni mungutuu

  • @salumahmadasalum1556
    @salumahmadasalum1556 Рік тому

    FANYENI YOTE TUMUOGOPENI ALLAAH KWENYE NAFASI YA KUMSHIRIKISHA ALLAAH

  • @ShariahajiOmar
    @ShariahajiOmar Місяць тому

    Ewe mola wetu tuongoze waja wako kwenye njia za heri na sahihi na utunusuru na tamaduni za kishirikina😂😂

  • @marypartson8409
    @marypartson8409 Рік тому

    Yako wapi

  • @HaznaAbdallah
    @HaznaAbdallah 2 місяці тому

    Subh'anallah subh'anallah

  • @tvdawuurobarawe7846
    @tvdawuurobarawe7846 2 роки тому

    Please hiyi message kama huyo mze Yuko hayi basi umambie Rudi Kwa Allah akusamehe madambi yako Kwa Sababu umemshirikisha allah na niyeye mwenye anae stahiki kuabudiwa na kuombwa na hawo wenginewe kama Bado wako wanao muomba mayiti bas Kwa hisani yako wafikishie hii message shukran

  • @alifakimati9614
    @alifakimati9614 Рік тому

    Hiyo ni shirki kubwa sana haifai kabisa kumuomba binadamu.

  • @jamuhurialiwazir4685
    @jamuhurialiwazir4685 Рік тому

    INNALiLAhi WA INNA ILAhi RAAjiuna. SS ndiyo tuwaombeee dua siyo ss
    Tuwaombe waoo apana,
    Kwani wao na manabii Nani nani zaidi kipenzi chá alha?

    • @ramadhaniomary9241
      @ramadhaniomary9241 8 місяців тому

      Kweli kiyama kipo karibu nyote wachangiaji mmeshindwa kuelewa kwa Nini Hawa watu wameacha makaburi yote wakaelekea hayo makaburi mawili .halafu mmewaingiza moyoni hao wanaokwenda kutawasal nyinyi mnaita kuabudu haya hivi ni kweli hao watu wameshindwa kutofautisha baina ya mungu na masharifu waliokufa.kwa Nini mnatoa fatawa Hali ya kuwa nyinyi si wajuzi.Na pia kwa Nini hamuendi kuwanusuru badala yake mnawatia moyoni ndiyo Nini Sasa hiyo

  • @aliabdallah8456
    @aliabdallah8456 2 місяці тому

    Ni kisa kwa muisilamu kuomba mizimu na kuomba wafu na kuombwa binadamu yoyote yule bali wakuombwa ni Mungu peke yake

  • @stanleymhozi7590
    @stanleymhozi7590 Рік тому

    Mapepo hayo jamani

  • @khamissalum9285
    @khamissalum9285 2 роки тому +1

    Walio kufa hawana makosa wenye kuomba wanakosea

  • @abdisalan7515
    @abdisalan7515 4 місяці тому

    Nyiye mawahaabi hawa elewi diini kila kiitu shirki ndio mna hawaja sooma diini hiyo mzee an seema maitwa tawasul nyinyi mawahaabi nim jiinaga saana

  • @lisaamosi7297
    @lisaamosi7297 2 роки тому

    Mimi Bado sijaelewa walichimbaje hayo makaburi ndani ya Maji?

  • @yusufsadic2930
    @yusufsadic2930 Рік тому

    Lakin hamon kuw kuomba kuwaomb waliokuf ni Shirk uslm Haukubal hay mnayatoa wapi jaman

  • @simbaomar3405
    @simbaomar3405 8 місяців тому

    huo ni ushirikina sharifu anapaswa kukuombea kwa mungu amiwa hai akishafariki yake yanaishia hapo

  • @SwidikiKabemba
    @SwidikiKabemba 4 місяці тому

    Tujikingeni na Jambo la shirki

  • @mpwani3523
    @mpwani3523 2 роки тому

    Shirki ya wazi kuomba hivyo wala sio tawasul

  • @MashauriissaMohamed
    @MashauriissaMohamed Місяць тому

    Dunia inamaajabu yake

  • @hamadrashid5140
    @hamadrashid5140 3 роки тому +1

    Ushirikina tu

  • @omarjumaan3061
    @omarjumaan3061 3 роки тому +1

    Nimakosa kuomba sharifu bid3ah

  • @jailaninkya8978
    @jailaninkya8978 3 роки тому +1

    Kutawasal kwa masharifu siyo ushirikina

  • @nimbetebwangabwa8521
    @nimbetebwangabwa8521 Рік тому

    Wajukuu wa mtume .ni Hassan and Hussein,, hizo zingine shirki,,

  • @mdungimdungikhamis7779
    @mdungimdungikhamis7779 2 роки тому

    Acheni kutupotosha

  • @muhiddinrashid5049
    @muhiddinrashid5049 3 місяці тому

    Kuomba asiyekuwa Allah ni shirki Allah awaongoze na awafahamishe kabla ya umauti

    • @AbdullahOmar-be4wy
      @AbdullahOmar-be4wy 3 місяці тому

      Sio ushirikina kasome dini kuomba dua kupitia utukufu wa mtu au kitu sio ushirikina yani unaomba Mungu naomba unikubalie duwa hii kwa utukufu wa swahaba au fulani hapa hakuna ushirikina

    • @mohammedmataucar66
      @mohammedmataucar66 2 місяці тому

      ​@@AbdullahOmar-be4wyacha ushirikina kijana Allah haitaji msaidizi muombe yeye

    • @AbdullahOmar-be4wy
      @AbdullahOmar-be4wy 2 місяці тому

      @@mohammedmataucar66 nenda kasome dini ww acha kuropoka nani kakuambia ushirikina unamuomba Mungu kupitiya kitu au watu wanaokubalika kisheria hii inaitwa tawasuli mfano mm namuomba Mungu anipe kitu fulani lkn kupitiya ww yani Mungu nijaliye kipate kitu fulani kwa baraka za muhamedi au maswahaba au watu fulani au kw baraka ya myama fulani hii haiitwi shirki unamuomba Mungu kupitiya

    • @mohammedmataucar66
      @mohammedmataucar66 2 місяці тому

      @@AbdullahOmar-be4wy kwaiyo wewe uliesoma inaruhusiwa kutawasuli kupitia maiti ?

    • @AbdullahOmar-be4wy
      @AbdullahOmar-be4wy 2 місяці тому

      @@mohammedmataucar66 ndio nikwambiya usome uislamu unaruhusu kumuomba Mungu kupitiya kitu au watu wanaokubalika kisheria kuna watu wanaomba duwa Mungu nijaliye kitu fulani kwa baraka ya watu ahalu badri au maswahaba au mtu yeyote mcha Mungu hii haina shida hawa washakufa lkn unaomba baraka narudia tn baraka baraka zao sio yeye maiti upo kijana kuna tofauti kumuomba maiti maiti unasema tu naomba fulani nakuomba hii ndio ushirikina lkn tawasuli hata ukienda kaburini kuzuru unaomba ewe Mungu nakuomba nipate mtoto kwa baraka na utukufu wa mjawako huyu mwema au shekhe huyu nipate mtoto huu si ushirikina kasome dini utaelewa sio kufuata mkumbo

  • @Khanmkulu
    @Khanmkulu 2 місяці тому

    Tupeni elim

  • @SAMA-jw4fr
    @SAMA-jw4fr 2 місяці тому

    Washirikinaaa haooo

  • @umnadyaful
    @umnadyaful 2 роки тому +1

    Inna lilahi wa inna ileihi rajiun, jamani mambo ya kusikitisha.Mashekhe wenye kufanya da'wa nawaomba mwende kutoa hawa watu masikio taka muwarudishe kwa Allah sio kukaa kutukanana wenyewe kwa wenyewe.Hawa watu hali zao mahututi kidini...Allah mustaan

  • @HaruniHaruni-jy7hw
    @HaruniHaruni-jy7hw Рік тому

    Ndumi hiyo

  • @OmanOman-hf1hz
    @OmanOman-hf1hz 4 місяці тому

    Hapana bana maji kipindi hicho maji hakukuepo😂

  • @assfzainab912
    @assfzainab912 2 роки тому

    UKOSEFU WA AKILI UTAMUOMBEJE BINADUMU MWENZAKO AKILI POTOVU NA UJINGA TU SASA MWAJUWA MWENYEZIMUNGU ALIWAPA MAUT MBONA MWAOMBA MAKABUR YAO TUACHENI UJINGA

  • @abdulhamidhaji5056
    @abdulhamidhaji5056 Рік тому

    Sasa mpitaka yafunikwe na maji wakati hayo makaburi yapo juu na maji yapo chini kulingana na kina cha maji ??
    Pumbaavu zenu

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 2 роки тому

    Najiuliz kabur walichimbj ila km
    iliwezekn bas ni watu Wema

  • @ibn_maleeqqeibraheem_188
    @ibn_maleeqqeibraheem_188 2 роки тому

    Wacheni kudanganya watu na shirki zenu izo

  • @ibrahimungombo932
    @ibrahimungombo932 2 місяці тому

    SHIRKI HIYO

  • @stanleymhozi7590
    @stanleymhozi7590 Рік тому

    Mh mizimutuu na mashetani

  • @jailaninkya8978
    @jailaninkya8978 3 роки тому

    Kuto kujua kwako ww isiwe sababu ya kuharamisha mambo

  • @jailaniramadhan1788
    @jailaniramadhan1788 2 роки тому

    Mzee amekosea kuongea siyo wanaombwa Bali tunatawasali kwao

  • @muhamedjaffar5653
    @muhamedjaffar5653 2 роки тому

    Wakuombwa ni Allah .tuache shirki

  • @salummohd4971
    @salummohd4971 Рік тому

    Hao msimbe wanadam

  • @hamadsaburi3569
    @hamadsaburi3569 Рік тому

    Astaghfiru llwahul adhiiim