MUME AMTESA NA KUMTELEKEZA NA WATOTO NANE (8)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 29 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 96

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 2 роки тому +4

    Subhaana لله Husseen mwinyi mtizame huyu mama. Kesho الله atakulipa.

  • @hadharaalli5201
    @hadharaalli5201 2 роки тому +4

    Waume muzadhima Mbele ya mungu kwakweli daah pole mwanamke mwenzangu inaumaaa sna usikate tamaa mungu anakuonaaa atakupa faraja in Shaa Allah

    • @khatibabass3106
      @khatibabass3106 2 роки тому

      Hawa ndio wale waliochagua wanaume wao wenyewe wamechagua masharo baro halafu wanatuletea matangazo yakikukuta mnaanza maneno

    • @mtumwajuma3906
      @mtumwajuma3906 2 роки тому +5

      @@khatibabass3106 khatibu nakuit x2 hii dunia kila 1 na matatizo yake usione wewe unauwadilifu na mkeo omba mungu uwe hai ili utunze familia yako ili mkeo asije kuwa mjane na ukamuwache watoto

  • @MariyamusefukhamissiMariyamuse
    @MariyamusefukhamissiMariyamuse 5 місяців тому

    Subhannal-llah ya Rabby tuweke wepesi tujalie moyo wauruma

  • @alafasyquran9806
    @alafasyquran9806 2 роки тому +4

    nahitaji nambar ya simu ya Bibahati nimeguswa san nahil jambo

    • @mtumwahaji3194
      @mtumwahaji3194 2 роки тому

      Hee utamsaidia sana ukimuoa mungu atakulipa

    • @alafasyquran9806
      @alafasyquran9806 2 роки тому

      @@mtumwahaji3194 inshaallah nipatie maasilian yake ili tuwez kumsaidia ple tutapojaaliwa

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 2 роки тому +6

    ujue kuna waume na magume ,.mume wa kweli.hatelekezi familia yake hata kama akiwa ameachana na mke Mume ni Lazima ahudumie watoto wake lakini mijitu mengine Mishenzi tu

  • @سعيدالراشدي-ش9ص
    @سعيدالراشدي-ش9ص 2 роки тому +2

    subuhallah

  • @talibanalshabab3680
    @talibanalshabab3680 2 роки тому +1

    Mm uwezo sina rabda nikuoe tulee watoto wetu

    • @رقيهالخصيبي
      @رقيهالخصيبي Рік тому

      Nijambo la kher Mwenyeez Mungu atakulipa kwasababu utakacho kipata hata kama kidogo mwanamke anaridhika baadhi ya wanaume hawajui mke anahitaji nini mwanamke anahitaji furaha ikiwemo maneno mazuri wanaopenda pesa ni wachache

  • @abdulisaidi6677
    @abdulisaidi6677 2 роки тому

    Dah jam wasaidie awo w2 mm hp natok machoz jis nilivyo waon haw

  • @khumayraabdulla96
    @khumayraabdulla96 Рік тому

    Jamani huyu mama ameishiaje habari yake

  • @zulfaissa7814
    @zulfaissa7814 2 роки тому

    Nikweli unashida lakin siamin kamakweli mme akwambie nakuacha kwaajili ya shida tatizo kunabaadhi yawanawake wanamidomo sn hd waumme wanawakimbia baadhi yatime wanaomba taraka wenyewe nabadaae wanaanza shida

    • @zainabuali9915
      @zainabuali9915 2 роки тому

      Huwez kuamin kam hyajkufik tuombe salam in shaa Allah

    • @khatibabass3106
      @khatibabass3106 2 роки тому +1

      Huyu huenda mdomo ulimponza wanaume sio rahisi kuamkatili hivyo hasa kwa watoto ,mdomo unamponza au kuna makubwa anafanya huyo

    • @azizaaziza7996
      @azizaaziza7996 2 роки тому +1

      @@khatibabass3106 usihukumu kitu usicho kijuwa broo mama ana mdomo watoto wake je ? Wana nini na hakuna anosemea kichogo kila mtu mdomo anaonlabda Allah alompa ulemavu

    • @madinamashaalla649
      @madinamashaalla649 2 роки тому

      inaonekana wengine munaojibu yasiyo ereweka wala yamsingi hamujaingia kwenyendowa mkayajuwa mazuli yaliyomo au mabaya yaliyomo ndoomaana minaongea bilahuruma kwanilipi laajabu kwamwanaume kwamba anaweza kuogopa kumwambiyaa

    • @utandachake6134
      @utandachake6134 Рік тому

      Anyi binaadamu tukumbukeni wacha wa ugumu wa maisha bado zamana ya watoto hawo inabaki kwako jee unajitayarishaje ma majibu kwa allah zidi maonevi ya vizazi vya wenzeni

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 2 роки тому

    😪😪

  • @x7hia
    @x7hia 3 місяці тому

    Mtu wewe masikini uwezo huna unaenda kuoa wake watatu duh !! .Huyu m.mme kweli selfish , dada zanguni kweli munapenda kuolewa lakini jaribuni kuwaangalia na hao wanaume wanaowataka kuwaoa

  • @mwanaidatkhamis5310
    @mwanaidatkhamis5310 2 роки тому +4

    Pole Sana mama angu dah wanaume watu wabaya mtihani Allah akupe subra

    • @HemedSerious
      @HemedSerious 6 місяців тому

      Sio , kweli mtu yyte anaweza kuwa mbaya àwe mwanamme au mwanamke inategemea na alivyo mtu

  • @bintmuhammad4913
    @bintmuhammad4913 2 роки тому +3

    Pole kwa mtihani. Allah akufanyie wepesi

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 3 місяці тому

    Allshu akbar allah atutie nguvu na tuweze kumangalia mama huyu inshallah

  • @saidjunior5247
    @saidjunior5247 2 роки тому +4

    Umr uwoo watoto nane duh il allah akusaidie

    • @Awatee
      @Awatee 2 роки тому +4

      ALLAH amuekee wawe wema

    • @AliNassor-qt6fm
      @AliNassor-qt6fm 3 місяці тому

      Ttzo wapemba tunazaa bila ya mpangili

    • @Humble.....
      @Humble..... 3 місяці тому

      @@AliNassor-qt6fm Somo MUOGOPE ALLAH….

    • @AliNassor-qt6fm
      @AliNassor-qt6fm 3 місяці тому

      @@Humble..... Uzazi wa sio Haram katika dini

  • @maryamalli9090
    @maryamalli9090 2 роки тому +2

    Tatizo alfattah hamuweki hizo namba za kuwasaidia wanyonge? Sasa tutawapata vipi wekeni namba kwenye screen ili tutoe chochote

    • @husna34562
      @husna34562 2 роки тому +1

      Namba hizo zatembea kwa screen

    • @maryamalli9090
      @maryamalli9090 2 роки тому

      @@husna34562 hizo ni za benk au mtandao gani tujuulishe basi

    • @shamsahaji6202
      @shamsahaji6202 2 роки тому +1

      @@maryamalli9090 kuna mpesa ..tigo na no za kawaida ...sio zote za bank angalia vizuri

  • @hafazstanzania5577
    @hafazstanzania5577 2 роки тому +1

    Pole sana ila jamani kuna uzazi wapango leo hii kam hivi unazalilika na watoto

  • @salummzee9739
    @salummzee9739 2 роки тому +1

    Mambo km haya Allah ana chukia km mutamsaidia asaidiwe kimwa bila maonyesho ktk mitandao na Maredio Tukisaidia Wanyonge Tusaidie kwa utaratibu aliotufunza Allah Ili tupate Radhi zake

    • @ahmedzahor2975
      @ahmedzahor2975 2 роки тому +2

      bila ya kutangazwa wewe ungeyajuaje haya

    • @chudimasoud9604
      @chudimasoud9604 Рік тому

      Usiwe mjinga fuatiia madrasa vizuri Babu aya inasema kwa siri na dhahiri bila kuonesha tungejuwaje na watu wngepata vipi kuchangia ,inatakiwa ujuwe lipi lenye manufaa kutangaza sio dhambi ,

  • @abdulfattaah4510
    @abdulfattaah4510 2 роки тому +4

    أيها الرجال اتق الله تعالى وعدلوا بين أزواجكم
    وعاشروهن بالمعروف والله إنكم محشورون يوم القيامة وسوف تسألون يوم القيام كلكم راع وكلكم مسؤولون عن رعيته
    ولذلك أوصان الله بالأولاد قال الله يوصيكم الله في أولادكم

  • @pilykingo
    @pilykingo 2 роки тому +3

    Inaskitisha Sana ALLAH سبحانه وتعالى Atamfanyia wepesi . Uzuri umewavutia lakini watoto wamewatelekeza . Tupo pamoja nae In Shaa ALLAH. Sasa hizo namba ni ipi ya bi Bahati ?

  • @hafazstanzania5577
    @hafazstanzania5577 2 роки тому +3

    Mwanamke mzur 😍

  • @machetebogota4218
    @machetebogota4218 2 роки тому +1

    Yote Sawa lakn c kuzaa huku unashindwa ata kutumia tareh kwel
    Tafut biashara basi ufanye zungusha hata matunda barabarani na maisha yataenda

    • @zainabmohammed6700
      @zainabmohammed6700 2 роки тому +3

      Mh so maneno ya kumwambia ayo km ,,,,,s kuzaa huku,,, hapan ndo kajaaliw uzazi hujuw yup atamfaaa tumuomb mung amfsnyie wepesi apate sehem y kukaaa astrike n watoto wake

    • @shamsahaji6202
      @shamsahaji6202 2 роки тому +2

      Si wote wanaelewa unachokielewa azungushe matunda anayapata wapi?unadhani mtu km huyo akipata mtaji hafanyi biashara??au unasema tu ww ah! Ama kweli mzigo wa mwenzio ganda la usufi

  • @alafasyquran9806
    @alafasyquran9806 2 роки тому +1

    Assalam alaykum Allah akufanyien wepsi

  • @shaviercharvinho18
    @shaviercharvinho18 Рік тому

    serikali banah nyie munawapata vipi na munajuwaje watu kama hawa ata serikali haiwatafuti hatuna viongozi tanzânia

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 Рік тому +1

    Mwanamke mzr ma sha allah
    Allah akujaze subra

  • @AliNassor-qt6fm
    @AliNassor-qt6fm 3 місяці тому +1

    Wapemba tuzae kwa mpangilio , uzazi wa mpango unaruhusika katika dini

  • @qurankareem2275
    @qurankareem2275 Рік тому

    Mwenyezi Mungu amfanyie wepesi aliekuwa na nia ya kutoa kikwazo kikawa kipato au mazingira, Ampe moyo wa kutoa maisha yake yote DUNIANI na Akhera , na Amjalie wepesi wa kipato na mazingira ya kutoa Maisha yote hadi siku ya kumfisha, NA ili Nafsi yake iridhike, AMIN

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 Рік тому

    Ma sha allah wtt 8
    Allah awabariki na awahifadhi
    Kiongozi wa nchi msaideni huyu mama ajengewe vyumba 3 aushi na wanae ajistiri viongozi mnawajibika mjiandae na majibu ya kumjibu allah siku ya kuhukumiwa watu

  • @zainabuali9915
    @zainabuali9915 2 роки тому +1

    Allah atkfanyia weps in shaa Allah

  • @AIFOSMUGOTV
    @AIFOSMUGOTV Рік тому

    mimi sina cha kuwapa watu kama hawa ila nawaombea Alah awasaidie...Allah awape umri muzidi kuwasaidia watu kama hawa....aaamiin

  • @mussamc641
    @mussamc641 Рік тому

    Da mm mwanamme lakin kutelekeza dam yangu ..nafsi itanisuta kila mda yaan mtihan kwakwel

  • @mussamc641
    @mussamc641 Рік тому

    Da mm mwanamme lakin kutelekeza dam yangu ..nafsi itanisuta kila mda yaan mtihan kwakwel

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 2 роки тому

    wewe sio mjane maana yupo hai isipokuwa wanaume tamaaa za utupu tu kuongeza wake mwisho ww siku ndooo hayo yanawashinda

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 2 роки тому

    Ommy Dimpoz na Diamond tunawalaumu Kwa kuwakataa Baba zao kwakuwa hawakuwajali wakiwa watoto, lakini tukiwaangalia hawa kwakweli unakubaliana nao kabisa kuwakataa!!

  • @imranmahmoud1012
    @imranmahmoud1012 2 роки тому

    Waza kufanya biashara Kwanza uweze kuhimili kulea watoto wanaokuja kutaka kukuowa kwa Sasa anataka tu kutumiza matamanio yake Allah akutie nguvu mama inshallah

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 2 роки тому

    Mtihani mkubwa huo mwaname anakuwachiya watoto bado mdongo huyo mama watoto wanaume kweli hawatutaki hii mtihani mungu atasaidia ishaalah

  • @ahmadsayyeed7910
    @ahmadsayyeed7910 Рік тому

    Allah ni mwingi wa rehma jamani jamani tujifunze katika maisha yetu wenzetu wanaishi maisha magumu

  • @alisuleiman1528
    @alisuleiman1528 2 роки тому +1

    Pole Allah akufanyie wepesi

  • @AhmedSeif-il1xx
    @AhmedSeif-il1xx 6 місяців тому

    Matunda ya ccm ndio haya watu wanaishi maisha yatabu kutokana nautawala wakidhalim mbovu wakishezi

    • @x7hia
      @x7hia 3 місяці тому

      Duh wewe kweli huna akili. Kwahiyo CCM ndo ilomfanya awe na watoto 8 ,uzazi wa mpango ni muhimu acheni kulaumu wengine kwa makosa yenu

  • @waheedaw1953
    @waheedaw1953 Рік тому

    SUBHANALLAH ALLAHU AKBAR
    MUIJULISHE SEREKALI INAUWEZO KIYASI CHAKE

  • @aseahassn88
    @aseahassn88 2 роки тому +1

    inasikitisha sana Jamani

  • @imranmahmoud1012
    @imranmahmoud1012 2 роки тому

    Halafu binti mdogo Bado sema tu kazaa haraka haraka

  • @muyaomar5617
    @muyaomar5617 2 роки тому +1

    Nipo tayari kuowa ikizidi dadayangu mkuu

    • @zaibonge7867
      @zaibonge7867 2 роки тому +3

      Sio tu unataka kuoa utatimiza huduma za watoto hao ... Kama kweli unania ALLAH akufanyie wepesi InshaAllah

    • @maryamalli9090
      @maryamalli9090 2 роки тому

      Tatizo sio kuoa tatizo huduma kaka yangu watoto nane hao sio mchezo Wala lele mama

    • @husna34562
      @husna34562 2 роки тому

      Aramfungulia biashara wasaidiane

  • @FatimaAo-r9p
    @FatimaAo-r9p 6 місяців тому

    Mbona mdogo ana watoto nane

  • @fundiissa5226
    @fundiissa5226 2 роки тому +1

    Wekeni namba niwatumie prsa

    • @husna34562
      @husna34562 2 роки тому +1

      Kwa screen zatembea

    • @mohamedsalimsuleiman7014
      @mohamedsalimsuleiman7014 2 роки тому +1

      Pole sana dada yangu , binadamu tunakua na dhana ila mwenyezimungu amesema tujiepushe na dhana usimdhanie mtu ubaya ambao hajaufanya kama kama una nia ya kumsaidia msaidie tu

  • @hawakiza6067
    @hawakiza6067 2 роки тому

    Hii chanel mbona hajibu inavyoulizwa

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 2 роки тому

    Huna pesa kwnn unaoa tn unao wake wengn duu

  • @TheFire_Gamer
    @TheFire_Gamer 2 роки тому

    Maskin wee bado mama mdogo

  • @khamissalum9285
    @khamissalum9285 2 роки тому

    Shida unampataje huyu

  • @wahidahamadali2563
    @wahidahamadali2563 2 роки тому

    Mzur huo mama maskin

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 2 роки тому

    Mtihani

  • @khatibabass3106
    @khatibabass3106 2 роки тому

    Asidanganye watu aache tabia mbaya ,anawakataza waoto wasiende kwa baba zao anawakumbatia wala hawawezi anakumbatia kiburi ,mdomo uache na usipoangalia utaziniwa sanaaaaa .wanawake acheni ujuaji mkiambiwa mnaweza mnaona sifa wale wanaokitieni ushetani hule wameshalaaniwa haitaji mume wala nn we we unamfata unaangamia

    • @Awatee
      @Awatee 2 роки тому +2

      Jirani yak unamjua ndugu wanaume wengi hawapendi huduma uo ndio ukweli wanawake wanavumilia mengi ten wengine wamo kwenye ndoa na hawatoi huduma

    • @khatibabass3106
      @khatibabass3106 2 роки тому

      @@Awatee soma maelezo yake utakuta nimuongo ,wanaume wawili wote wamtende ? Huyo anatabia chafu

    • @ramlaali4130
      @ramlaali4130 2 роки тому +1

      Omba yasikukute

    • @aishachambo8663
      @aishachambo8663 2 роки тому

      @@khatibabass3106 Wanawake wa huko wajeuri sana

    • @madinamashaalla649
      @madinamashaalla649 2 роки тому +1

      au ndoo wewe mwenye watto maana unaongea kwahasira bilahuruma kamavile wewe ndoo mwenye mji ulie terekeza

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 2 роки тому +1

    watoto 8 na bado unataka kuolewa wakati mwenye watoto kakukimbia nani ataweza hiyo shughuli sio mchezo wa ulezi

  • @thabitikimu3892
    @thabitikimu3892 2 роки тому

    Kwann ufikie huko na wakati baba zao wapo
    Unawatia uadui watoto na baba zao ebu alfatah fuatilieni hao baba wa watoto pia tuwasikie wanasemaje
    Huwezi mwanamke kuachwa bure kuna shida hapo mume wa kwanza kakuacha na pili pia kakuacha !!!
    Jitizame kwanza

  • @bahatinassorali5222
    @bahatinassorali5222 5 місяців тому

    Heee subhanallah Bora ninyamaze maisha magumu watoto nane heeee nane 😮