Mlifanya haraka kumpangia Hawa alihitaji elimu kwanza kama kumpeleka Soba mlipanga kumsaidia msichoke yani huyo akili zinaingia na kutoka anahitaji Darasa atabadilika na atakuwa mfano ila pia sijapenda mlivyochukua jukumu la kuchambua nguo zake mnataka kuona nini ikiwa nyie ni wanaume ilipasa hiyo kaz ifanywe na mwanamke vinginevyo kaz yenu nzuri
Pole Zahir nimelia Sana ni changamoto kubwa 😭😭😭kuna kitu kinaendelea Kwa Hawa ,namuonea huruma dah Ni mtego wa kukuangusha Zahir shetani ana kila njia ya kumshusha mtu Pole Ila Mungu yupo atakufanyia wepes.
Pole sana Zahir ndio mitihani yenyewe. Sasa nahisi huyu Hawa anaweza kukuletea matatizo lakini kama unao moyo wa kujaribu kumsaidia tena labda kwa ushauri wangu apelekwe kule kunaitwa "SOBA HOUSE" huenda akapata tiba ya kisaikolojia na kitabia ili kuacha kila kitu kibaya alichozoea kukifanya huenda akabadilika.Mwenyezi Mungu amuongoze katika njia sahihi na awafanyieni wepesi wote kwa ujumla
Àsalam alaikum warahmatullah wabarakatuh, kaka zahir mm nakufuatilia wala sipendi ku comment ila kwa hili leo...... Huyu msichana atatuongeza shida zingine... Naanza kuliangalia lile suala la akina fadina kwa jicho la pili sasa.. Hawezi kurekebisha kilichomfanya aende kwenye party ni nn, wacha siku tano hata siku nusu pia haifai. The best option is for her to be taken home kwa mamake kijijini.
JIUNGE KWENYE GROUP LETU LA WHATSAPP LA TEAM MAXIMUM TV chat.whatsapp.com/IGM3V0nOBEw6HzpGACecBl GUSA MAANDISHI YA BLUE HAPO KUJIUNGA..SHERIA ZA GROUP ZIFATWE PIA SOMA KABLA YA KUJIUNGA
Mimi nishabiki wako hainipiti habari yako hata moja napenda kazi zako lakini kwahili kaka yangu nakuomba hawa arudi kwao tena kaanae mbali hao vivuri kuna MTU anawatuma ivo bs aende huo nimwiba utakuchuma mwenyewe
Jamani huyu Hawa kadanganywa na wale maadui zake kutaka kumdhalilisha ndicho kilichomkuta muelewe kwamba bado upande wa pili wana hasira na nyie...huwenda kweli wamemtilia kitu kwenye kinywaji jamani ili lengo lao litimie 😢😢
Pole Kaka Zahir unamoyo kweli Ila kwasasa wasaidie wagonjwa tu hao wengine wapambane wenyewe na Hawa mrudishe kwao Ila karipoti polisi kwa usalama wako
Ushaur wangu kwako ZAHIR mi ningeomba kama mtu umeisha msaidia na akapat msaada kwetu sis huyo tunakua tumeisha malizana nae kama kuenderea kumsaidia mtu awe anajielewa ndo tutaenderea kumsaidia lkn kma huyo binti hajielewi kbs kwa nn husiachans nae piga chini kuna watu weng wa kuwasaidia huyo ni sawa na kunguru hafugiki tunatupa ela zetu tu hapo @zahir fanyia kaz ujumbe huu lasi hivo hizo type za watu kama hao watakualibia media yako mwisho wa sku utarudi nyuma GOD BLESSING U ZAHIR kwa kazi nzuri ya Kujitolea hakika una siti yako 🙏 mbinguni
The best way to help her is by taking her to rehabilitation center because she is an addict,you cant help an addict by giving her money because thats temptation and she will fortunately be tempted to do drugs,take her to rehab and before one year she will be very much reformed/clean,prayers/love from🇱🇷🇱🇷🇱🇷🇱🇷
Kaka zahiri kwa isani yako mrudishe kwao atajijua mwenyewe atakuletea shida ushinde kufanya kazi zake plz plz kaka usimuweke hapa tena kamkabizi kwa mama yake huyo kashakuwa jambaz sugu plz kaka anaweza akamzuru dada reila
Khaa!Kaka yangu mungu ameona mnavyo saidi watu ,pamoja na jamii yenye uhitaji hivyo achananeni na Hawa ,atawatia matatizoni wote tumeona Hawa arudishwe kwao huyo wewe mkataeni ili uendelee na kazi zako Kaka ,inasikitisha lakini utafanyaje ,.
Yale yale ya tumaini😂😂😂😂😂😂 Pole sana Kaka Zahir kwa mitihani mpka utumbo unaniuma huyu mma wa Buguruni kaloga ili mgombane kikubwa achananae aendelee kusambaza huyu bint ni mkosi atakuletea matatizo makubwa sana na atasababisha watu wengine wasisaidiwe
Daaahhhhh subhana llah kaka zahir mrudishe kwao ili akija kupata tatizo atajijua mwenyewe kuliko kuja kupata matatizo kwenye mikono yako. ..kweli kunguru Hafugiki ...
Subhannallah hadi moyo umenienda mbio walah uwiiii Jmn umesababisha kaka Zahir kaingia matatizoni leo umeregea tena subhannallah ungetumikia tu hiko kifungo miez 6 si mingi maan hulali kule dahhh pole sana kaka yng ulipomsaidia mungu atakulipa
Hawa akili yake Bado ya kitoto n'a kweli huwenda alipangiwa njama ili wamuharibie uhusiano yake n'a kaka Zahir ila yy hakujua masikini pole dadaangu ogopa mwana damu Hawaaminiki
Sawa sawa zahir mnaacha kusaidia watu walemavu wasio jiweza mnasaidia machangudoa walio kubuhuu anaye jiweza sasawa na bado mungu ata kulaani sana bado muwasaidie walemavu mnasaidia maraya hao 😂😂😂😂😂
Msamehen na mpambane nae kumnusulu huyu alikua kashaangamia ili alud kwenye maisha ya utakatifu inahitajika nguv ya ziada na maombi sana mungu atawalipa hata bibilia imeweka wazi kuwatoa watu jaan/jalalan zaid Mungu akutie nguvu huyu bado shetan anamfatilia
Yaani inakela Sana , huyo asaidiki ,braza zahir Naomba ukae hata mwaka kaka upumzike maana hao unao wasaidia watakukondesha na utashinda kufanya mambo ya msingi.
SubhanaAllah nakuonea huruma Zahir huyo c mtu wa kudili name kabisaa atakuweka pabaya achana naye kakusababishia mpka kuwa na kesi kwa akjili yake duh inasikitisha😇
Kaka Zahir naomba nikutie moyo kwamba unapoamua kufanya kaz km hz kubaliana na changamoto piah ,hz ni changamoto zenyewe na pia naamin unaweza kuzihili .Ushauri nimefatilia hp nikaona kuna kamchezo kanachezwa na wale wabaya wako ,ombi naomba umuache Hawa imetosha kumusaidia ,Kuna watu weng sana wenye shida .Kingine mi naomba km huna mchumba mi nipo ,una moyo fulani ivi wa pekee .Just keep going sisi Kama maximum family tunakuombea kwa Mungu akuepushe na kila baya.
Pole sana ndugu yangu Zahir. Nakuomba mpe hawa fursa ya mwisho. Watu kama Hawa waliozowea madawa ya kulevya inakua vigumu kuacha. Mvumilie labda hali yake itabadilika na kuwa nzuri. Kwetu kuna methali inayosema " huwezi kula nyoka na ushindwe kumalizia mkia". Umeshafanya kazi kubwa na ngumu sana kumsaidia hawa. Usivunjiki moyo uwape wabaya na fasi ya kusema. Courage.
Kaka angu zair pole pamoja na timu yako yote, ungeweza ungemrudisha kwao umkabidhi kwa mama yake alafu we unawe mikono. Maana ukimwacha apa dar akipatikana na matatizo utasakamwa wewe
Nimelia hadi natetema jamani hawa mdogowangu unatakanini lakini ama unataka ubebwe vipi😥😥😥😥😭😭😭😭💔💔💔💔💔yaaani hawa hana shukran jamani habebekiii....yaani unatamani kumpiga jamaani
GUSA LINK HII MPYA YA GROUP LETU JIPYA AMBALO HALIJAJAA ILI UWEZE KUJIUNGA NA TEAM MAXIMUM TV
chat.whatsapp.com/GutkVc90rvg56f4mZ5pCTu
LINK HYO HAPO
Msameheni akienda uko akujua litakalompata watu wamemfanyia unyama
0692861317 niunge
Mlifanya haraka kumpangia Hawa alihitaji elimu kwanza kama kumpeleka Soba mlipanga kumsaidia msichoke yani huyo akili zinaingia na kutoka anahitaji Darasa atabadilika na atakuwa mfano ila pia sijapenda mlivyochukua jukumu la kuchambua nguo zake mnataka kuona nini ikiwa nyie ni wanaume ilipasa hiyo kaz ifanywe na mwanamke vinginevyo kaz yenu nzuri
@@marthadanielgethro6216 kama umeumia mchukue umlee kama rahisi, ukiona mwenzie kanyolewa na wewe jiandae
@@happyjovitha1059 umeambiwa bonyeza link hiyo yenye maandishi ya blue wewe unaweka namba uungwe bonyeza link tu hiyo my
Subhanallah kaka zahir mrudishe kwao naujiepushe nae kabsa angalau na ww upumzika zahir
Jomanii Hawa😢😢😢 Kitambo 🥺 napitia Video nakutana na hiyi Subhanallah 😢😢
Pole Zahir nimelia Sana ni changamoto kubwa 😭😭😭kuna kitu kinaendelea Kwa Hawa ,namuonea huruma dah Ni mtego wa kukuangusha Zahir shetani ana kila njia ya kumshusha mtu Pole Ila Mungu yupo atakufanyia wepes.
Pole sana Zahir ndio mitihani yenyewe. Sasa nahisi huyu Hawa anaweza kukuletea matatizo lakini kama unao moyo wa kujaribu kumsaidia tena labda kwa ushauri wangu apelekwe kule kunaitwa "SOBA HOUSE" huenda akapata tiba ya kisaikolojia na kitabia ili kuacha kila kitu kibaya alichozoea kukifanya huenda akabadilika.Mwenyezi Mungu amuongoze katika njia sahihi na awafanyieni wepesi wote kwa ujumla
Kweli huo utakuwa ndio msaada tosha kabisa na kumaliza nae
Pole Sana kaka Zahir kwa mitihani ila hawa atakuletea ma tatizo mengine mrudishe kwao
Kweli Mwenzangu aludishwe kwao tu
Àsalam alaikum warahmatullah wabarakatuh, kaka zahir mm nakufuatilia wala sipendi ku comment ila kwa hili leo...... Huyu msichana atatuongeza shida zingine...
Naanza kuliangalia lile suala la akina fadina kwa jicho la pili sasa..
Hawezi kurekebisha kilichomfanya aende kwenye party ni nn, wacha siku tano hata siku nusu pia haifai.
The best option is for her to be taken home kwa mamake kijijini.
Upipata mwanadamu anaekupigania kwenye dunia ya Leo ,shukuru Mungu 🙏🏾 bless you bro .
Zahir kaumia sana naona sura yote imemsawajika Pole zahir
Zahir mpeleke uyo hawa kwao plz
Inaumiza Sana Yan mtu anasacrifies maisha yake kwa mtu asie jielewa kaumia Sana zahir
kuna mchezo unaendelea apo ka Zahir be careful kaka angu plzzz plzzz plzzz nakuomba jamiii bado tubakuhitaji😢😢
Yule mama yule mchawi keshamroga huyo msimlaumu kapigwa kipapai
Zahir huyu binti atakuletea matatizo achana naye tafadhali
😢😭😭
JIUNGE KWENYE GROUP LETU LA WHATSAPP LA TEAM MAXIMUM TV
chat.whatsapp.com/IGM3V0nOBEw6HzpGACecBl
GUSA MAANDISHI YA BLUE HAPO KUJIUNGA..SHERIA ZA GROUP ZIFATWE PIA SOMA KABLA YA KUJIUNGA
Kaka zahiri inaonekana kunamchezo kachezewa kweli ili wakuchafue ww na itakuwa yule Dada Fadina ndio yuko nyuma
Kaka zahiri mungu akutie nguvu ila naona kunamtu yuko nyuma ya pazia wanataka kukuchafiria uonekane ufanyi kazi vizuri
Kaka zahiri mungu akutie nguvu ila naona kunamtu yuko nyuma ya pazia wanataka kukuchafiria uonekane ufanyi kazi vizuri
Mimi nishabiki wako hainipiti habari yako hata moja napenda kazi zako lakini kwahili kaka yangu nakuomba hawa arudi kwao tena kaanae mbali hao vivuri kuna MTU anawatuma ivo bs aende huo nimwiba utakuchuma mwenyewe
Nivyo sema hawa aende kwao nasababu kwa nini kaenda huko buguruni bila kusema pili anakataa kama anvuta singala wakati ushahidi upo huyo nimuongo kaka
Nakufuatilia sana zahir unafanya kazi kubwa sana Mungu atakulipa,kwa kesi ya huyu Hawa hebu msamehe mpe nafasi nyingine
Huu nimchezo wamama fadina fatiliya vizuri kaka zahir pole huyu nazabibu hawanatofauti
Kabisa wanataka kuharibia
Aji kupatikana na kitu jojote kaka zahor uta ulizwa weye mrudishe kwa mama yake akitaka kurudi arudi mwenyewe usije ukapata kesi
ANi yule mama lamda anahusika
@@dechaggagirl1614 mm mwenyewe nawaza ivyo
Hata mimi naona hizi ni njama za dada yake fadina ili asisaidike
Jamani huyu Hawa kadanganywa na wale maadui zake kutaka kumdhalilisha ndicho kilichomkuta muelewe kwamba bado upande wa pili wana hasira na nyie...huwenda kweli wamemtilia kitu kwenye kinywaji jamani ili lengo lao litimie 😢😢
Ni kweli kaweka madawa ila kosa lake kwenda kule
Sawa atukatai ila je alienda kufnya nn?wakt yule ni adui yke?
@@rogerhunda8616 kosa lake ndio ilo
@@aishaibrahim5607 Adui wana mbinu jamani
Basi aache kwenda vuguruni jameni
Pole Kaka Zahir unamoyo kweli Ila kwasasa wasaidie wagonjwa tu hao wengine wapambane wenyewe na Hawa mrudishe kwao Ila karipoti polisi kwa usalama wako
Kaka zahir mrudishe kwao kabisa ningejua inakuja mwishoni please 🙏 kaka zahir tunawapenda kwa makubwa munayo ya fanya wewe na fab uyo hawezekani tena
😭😭😭pole Sana Zahir,mrudisheni kwao Jamani🙌 dunia inamuita imfundishe
Wallah huyu mtoto muuaji dah,nilivyokua namuoneaga huruma aisee😭💔
Kweli kabisa
Chezea mashine nyie 😭😭😭😭😭subhanallah
Ulipo msaidia inatoshaaa kwakweliii
Na siku zote unaambw huruma isizidi Sana ulipomsaidia inatshaa zahir God bless you mwachee aludii tyuu kwaooo🙏🙏🙏
Subhannallah Zahir weye una moyo kama wangu mungu akulipe kheri inshaallah natamani uwe mume wangu wallah
SubhanaAllah zahir hivo ulivomsaidia vinatosha mrudisheni kwako atakuletea matatizo makubwa zaid ya hayo
Uyo achaneni nayo saidieni watu wenye shida. Achaneni na wavuta bangi
Mcseme aachwe ana stress jaman tumuombeeni Mungu janga ili tumuombee
Wapo wangonjwa wengi achaneni nae uyooo jamani Zahiri asikuumize kichwa uyoo ona avyojibu kijeuli
@@hadijaomary2000 👏👏👏
Bangi mbaya kweli
Ushaur wangu kwako ZAHIR mi ningeomba kama mtu umeisha msaidia na akapat msaada kwetu sis huyo tunakua tumeisha malizana nae kama kuenderea kumsaidia mtu awe anajielewa ndo tutaenderea kumsaidia lkn kma huyo binti hajielewi kbs kwa nn husiachans nae piga chini kuna watu weng wa kuwasaidia huyo ni sawa na kunguru hafugiki tunatupa ela zetu tu hapo @zahir fanyia kaz ujumbe huu lasi hivo hizo type za watu kama hao watakualibia media yako mwisho wa sku utarudi nyuma GOD BLESSING U ZAHIR kwa kazi nzuri ya
Kujitolea hakika una siti yako 🙏 mbinguni
Kweli kabisa
@@shabaniguma8696 hakika
Anaakili. Kweli. Siatariiyo
Jesus 😭😭😭😭🙌🙌🙌 naishiwa maneno jamani huyu bint ........ pole sana kaka zahil
Zahiri wachana nae mweu uyo akapate kifungo kwanza Cha bangi uyoo
Kaka zahiri pole sana kwa kweli kazi unazo zifanya ni kubwa sana allah akupe moyo huo lakini huyo Binti mrudishe kwaoo😭😭😭😭😭😭🖐️
Shukurani yapunda mateke siamini machoyangu subhanallah allah tupe mwisho mwema
Huyo jamaa katumwa na anachokitaka ni hela na kingine nikuharibu media aisee wachawi wengi kweli daah
Zahiri achana naye atakutiya aibu
wala c kwao huyo mchuguzeni vzri huyo na dada fadina lao mmoja
@@mwajiranimesalimu5509 nahisi km ndio hivyooo
@@LatifaLatifa-qj8tz mimi siko aliyokwenda kwao tu nilikua na mashaka ile story ilekua fake sana
@@LatifaLatifa-qj8tz pana jambo hapo si bure lakini
Subhannahllah atakatisha hawa watu,,washidwe hata kusaidia wengine wenye shida..poleni sana kaka zangu Allah awaepusheni
Pole sana kaka zahir na team yako kwa mitihani mnayokutana nayo kwenye kazi ya kusaidia jamii dah nimeumia sana aisee🙆😭😭
Duuu zahiri mungu akuongoze
@@user-dj1vx6tr2t Ameen😭😭😭😭
ZAHIR unamoyo wa peke yako mashaAllah💕 yani aujaonesha kama Hawa alikua anakusumbua kipindi anakaa kwako.kajeuli kumbe.mungu akuongoze Hawa
Zairi mdogo wangu huyo msichana mrudishe kwao na ukamkabidhi kwa mama yake atakuletea matatizo makubwa sana nakwambia
@@christinaprotas3541 Nikweli kabisa yani
@@yasodishonest9792 kakika zairi una moyo hawa hiyo bahati huto kuja kupata tena
Ya Allah 😭😭😭nimelia Hawa Hawa Jmn 😭😭😭unatafta kifo Hawa,, poleni Sana Kaka Zahir na team nzima ya maximum, roho imeniuma Sana 😭😭
pole 😭😭😭Sanaa,yani kwakwer kz wanayo hila basi tu,Asivunjike moyo,
Wenzio tunatamani kusidiwa hvyo daaah,umechezea bahati Hawa mdogo wangu😭😭😭😭
Sanaaa
Kaka jichunge uyo c mtu ni nyoka uyo mludishe kwao watu tunataka bahati iyo we unachezea
Nikweli kaka atakuuwa uyo
Kabisa
Huyo kashindikana zahr achana nae
Community work ni professional work....inahitaji elimu kabisa Zahir na wenzanko pateni elimu kidogo ya sociology itawasaidia sana.
Social work sio mchezo inataka big heart .
Hao ni watu wa dadaake Fadina definetly. uwe makini Zahir yule dadaake Fadina kakusudia kukudestroy .
Kweli umeona mbaliiii nanZahir ukicheza kesi ile itakupelekesha sbb uyo hawaa Ana jeuli Ila mwanzoo alifichaa
@@ayshameme4856 . sasa tumshaeishi Zahir amrejeshe Hawa kwao asitake kutufungia milango yetu ya kheri.
Pia mimi fikra zangu zinaenda uko uko hapa kuna kitu behind the scenes kuhusu mama fadina
Sasa zaher achana nae huyu msaada unatosha atakupatia matatizo zaher wallahi angalia sana zaher
Binaadamu n watu w kubdilika Sana wallah,
Uyu Dada zahili achana nae tu atakutafutia zaama.
Pole Sana kaka Zahir kwa matatizo unayoyapata
The best way to help her is by taking her to rehabilitation center because she is an addict,you cant help an addict by giving her money because thats temptation and she will fortunately be tempted to do drugs,take her to rehab and before one year she will be very much reformed/clean,prayers/love from🇱🇷🇱🇷🇱🇷🇱🇷
Pole sana kaka Zahir mrudishe kwao bangi haijawahi kumuacha mtu salama
Zahir you have done your best. Forget anout this girl.
🐈 peddlers aren’t ready to change, Zahir amuache aendelee na biashara yake ya Kujiuza, atauwawa hivi karibuni
Huyo mama atamuua shauri zake
Maskin jamni Hawa kwann unafnya hivyo
Already
Kaka zahiri kwa isani yako mrudishe kwao atajijua mwenyewe atakuletea shida ushinde kufanya kazi zake plz plz kaka usimuweke hapa tena kamkabizi kwa mama yake huyo kashakuwa jambaz sugu plz kaka anaweza akamzuru dada reila
Khaa!Kaka yangu mungu ameona mnavyo saidi watu ,pamoja na jamii yenye uhitaji hivyo achananeni na Hawa ,atawatia matatizoni wote tumeona Hawa arudishwe kwao huyo wewe mkataeni ili uendelee na kazi zako Kaka ,inasikitisha lakini utafanyaje ,.
Kunguru hafugiki Hawa hayo maisha ndio ana yapenda crocodile tears Zahiri achana nae hana shida huyo.
Jmn masikini weee inasikitisha sn wallah inauma kwa kweli mm sina ht cha kusema ila maumivu tunayapata wote
Mrudishe kwao Zahir huruma itakuponza Mwanza mlimpeleka umekaa nae kwako lakini bado hayuko sawa huyu ni tatizo tayari
Teja huyu peleka kwao
Ifikie hatua mjue kuna majaribu msimuhukumu kiasi kwamba yy ndo wa kwanza kufanya makosa
Subhaana Allaahu kichwa cha habari tu kimeshtua
Kaka zahili nakuomba kaka yangu nakuomba mrudishe kwao usijifikilie wala usijiulize kaka yangu naombaa umurudishe kwaoo haraka sana.
You did your best Zahir, take her back to her people
No let him give her another chance. Or she be taken to the sobber house she's giong to change.
Mvuta sigara, mvuta bangi, pombe hawezi kuacha mtashoshwa vichwa mwacheni Dunia imfunze, yaleyale ya zabibu Leo kaacha kesho anarudia zahiri achana naye huyo ni mtu mzima asiwachoshe.
Kaka zair Mungu akukumbuke achana na hawa kazoea kufirwa jamani
Duuh mpka nimeishiwa na pozii kwann ivo tena jamniii 😭😭
Binaadam wazito
Subhanalllah😭😭😭 Kaka Zahir wema wako utakupoza sasa mrudishen kwako yasije kuwa makubwa zaidi ya hapo
Kaka zahiri mwache andeekwao
Pole sana kaka zahir ,kwamtihani watu kama hawa nivigumu sana kuacha tena sana chamsingi mludishe kwao uachane nae kama ataludi atajua mwenyewe
Dah zahir mwanangu unamoyo sana Allah aku blessing sana
Kaka zahiri saidia wagonjwa achana na hawa
Kweli
Yale yale ya tumaini😂😂😂😂😂😂 Pole sana Kaka Zahir kwa mitihani mpka utumbo unaniuma huyu mma wa Buguruni kaloga ili mgombane kikubwa achananae aendelee kusambaza huyu bint ni mkosi atakuletea matatizo makubwa sana na atasababisha watu wengine wasisaidiwe
Sure kipo kitu kafanya yule mama, Mungu wangu nisamehe
@@judithmwambe4767 hii kitu aoiiandaa yule mama ili aje afanye hii kitu watu wapate kuamini huu ndo ukweli
Uchawii upo jaman sio bure
SUBHAANAALLAH ,zairi uyo mrudishe kwao uyo kwa wazazi wake ili wajue
Daaahhhhh subhana llah kaka zahir mrudishe kwao ili akija kupata tatizo atajijua mwenyewe kuliko kuja kupata matatizo kwenye mikono yako. ..kweli kunguru Hafugiki ...
Kaka kabra ujampeleka kwao muandikishane polisi kisha mpelekeni kwao mwanza
Yaaaan dada kajua kunikera huyu wallah
@@saadacharasaada1958 wallah
Kbsaaa
Upo sahihii
Kabisa ampeleke polisi
Kaka zahiri msameheni tuu baba angu,pengine yule Mama kafanya yake jamani mko vitani zahir .Mungu akusaidie sana bro
Yap anaweza uchawi mbayAaa mhm ampeleke kwao
Hapana atamsababishia matatizo zahir
Nikweli eti sizani Kama yuko sawa
Ni kweli hapa ni uchawi uwenda umefanyika dhahir bora amludishe tu kwao maana hyo ni vita ya fadina
Pole wafadhili .vita yenu isiwe ya nyama na damu iwe ya roho wale wabaya . Mungu awaruzuku kwa kazi yenu njema amina
Subhannallah hadi moyo umenienda mbio walah uwiiii
Jmn umesababisha kaka Zahir kaingia matatizoni leo umeregea tena subhannallah ungetumikia tu hiko kifungo miez 6 si mingi maan hulali kule dahhh pole sana kaka yng ulipomsaidia mungu atakulipa
Ndio maana alilazimisha apate chumba chake ili afanye hayo mambo yake subuhannallah Allah akulinde zahir huo mtihan. Kubwa arud kwao mwanza
Hyu mtoto amelogwa hyu mtoto amelogwa na yote hayo anafanyiwa ili asisaidiwe mnamuhukumu bure lakini hana makosa🤝🙏
Kweli walitupiwa uchawii kuwagomvanisha hawa simakosa yke
Huyu mtoto karogwa kweli wasimuhukumu wamfanye dua jamani
Sasa nan abebe mzigo wa Alie logwa.ebu usimtakie dhahir matatizo
Kbs
Kweli kabisa
Hapa iwe mwisho . Huu ni mtihani kweli. Mungu amuongoze yeye na cc. Ameen
Anaitaji maombi pepo limemkaa linampa vishawishi sio yeye msimlaum afanyiwe maombi
Dh pole kaka zahri mtihani huo Allah akufanyie wepesi mpeleke kwqo kabisa kama kurudi Dr ataludi mwenyewe
Yaanii Sura inaonekana ya ulevi na madawa yaanii ungakulevya huyo kawa. Kama Ray C enzi zake mh. Ila alipendezaga jamani kwanini karudi eee???
Hawa akili yake Bado ya kitoto n'a kweli huwenda alipangiwa njama ili wamuharibie uhusiano yake n'a kaka Zahir ila yy hakujua masikini pole dadaangu ogopa mwana damu Hawaaminiki
Nikwel kbs
Sawa sawa zahir mnaacha kusaidia watu walemavu wasio jiweza mnasaidia machangudoa walio kubuhuu anaye jiweza sasawa na bado mungu ata kulaani sana bado muwasaidie walemavu mnasaidia maraya hao 😂😂😂😂😂
Msamehen na mpambane nae kumnusulu huyu alikua kashaangamia ili alud kwenye maisha ya utakatifu inahitajika nguv ya ziada na maombi sana mungu atawalipa hata bibilia imeweka wazi kuwatoa watu jaan/jalalan zaid Mungu akutie nguvu huyu bado shetan anamfatilia
Pole sana kaka Zahir,,naomba umrudishi kwao,umsaidie Akiwa kwao ,,hilo ndilo wazo langu
Waleleleeeeee asara ii lakn mchuge ule shagaz fadina kamroga.lakn zahir tupa uyu hawa atakudhalilisha bure.
Yule mama anahusika kabisa
@@mariamfataki8025 nmeona io pia mm.
Mmkono wa Fadina
@@mariamfataki8025 😢😭😭
Zahiri natamani uwe mume wangu nakupenda moyo wako wa tofauti sana.
Huyo.kakaangu.ludishakwao
Duuu hawa jamani upendwejwe wew daah mtihani wallah kka zahir pole sana tena hawa umenenepa
,😭😭😭😭🙉🙉🙉
Pole Zahir Mungu akutetee
SubhanaAllah wee 😢😢😢 hawa jaman khaaa 🙌🙌🙌🙌🙌🙌kaka zahir mrudishe tuu kwao
Mtusaidie na Ss mitaji jamani kuliko hao walevi
Zahir ww ni kidume wallah Allah akukutanishe na wema waliotangulia awasameh wazaz wko
Yaani inakela Sana , huyo asaidiki ,braza zahir Naomba ukae hata mwaka kaka upumzike maana hao unao wasaidia watakukondesha na utashinda kufanya mambo ya msingi.
Pole sn tm maximum, Zahir naomba umrudishe hawa kwao, asijekuwaletea matatizo zaidi,,,
Rudisha kwao atakusumbua
Pole sana zahir hawa umemsaidia lakini asaidiki huyo mrudishe kwao asije akakuletea matatizo
SubhanaAllah nakuonea huruma Zahir huyo c mtu wa kudili name kabisaa atakuweka pabaya achana naye kakusababishia mpka kuwa na kesi kwa akjili yake duh inasikitisha😇
Kwa akili zangu,zahir ungemkuta hawa mochwari,kwa matusi aliokuwa anatukana hao majirani,hao majirani ni wavumilivu,nasikia hasira,nasikia hasira
kunguru hafugiki rudisha kwao kaka Zahir
zahiri naomba namba yako
Hahaha inauma Sana
Subhanallah mtihani sana Allah akupe subra kakaang
Pole sana kaka zahir hyo mludishe kwao atakuumiza kichwa amebadilika sana akuna kutia huruma hyo mpumbavu sna watu wanatafuta msaada awapat
Zahir umrudishe kwao uyo asikuletee matatizo
Pole zahir huyo Hawa mpeleke kwao
Zahir unapenda unene😁😁😁pole kwa mtihani kk zahir
Ila hawa mdogo wangu mtu anajileaga dunia iyi inamafunzo ipo siku utajuta
Aiseeh kwenye miti hakuna wajenzi
Huyu ana pepo mpelekeni kwenye maombi🙏🏼Mungu anaweza kila kitu
SubhanaAllah
Mh jamani nashindwa kuongeya😒😒
Huyu ni dada fadina hakuna mtu mwengine dada fadina tu mungu anamuona
Alafu zahir kama anamgwaya hyo dada fadina..ashukuru kamkuta zahir
Itakuwa ni huyo huyo dada wa fadina,ingawa roho ya uchafu bado Hawa anayo,Kaka zahir aachane na huyo bint adili na wagonjwa tu
@@jestinamagembe2125 hapo umeongea point adili na wagonjwa tu kuna walemavu kibao wanahitaj msaada
Aki tena wanaumwa hawa kusaidiwa ndo wanafanya ivo ili ka zahri asimsaidie jaman lkn hawa usiwe na urafiki na mtu
Dhambi kumdhania mtu msikize vizuri kaka Zahir anavyo ongea na isitoshe mtu mlevi sio mwenzako
Pole kakangu zahir,cha msingi huyo mrudishe kwako,umemsaidia vya kutosha huyo kashindikana
Kabisa amrudishe kwao mwanza aepukane na lawama
Huyo habadiliki jamani
Kaka Zahir naomba nikutie moyo kwamba unapoamua kufanya kaz km hz kubaliana na changamoto piah ,hz ni changamoto zenyewe na pia naamin unaweza kuzihili .Ushauri nimefatilia hp nikaona kuna kamchezo kanachezwa na wale wabaya wako ,ombi naomba umuache Hawa imetosha kumusaidia ,Kuna watu weng sana wenye shida .Kingine mi naomba km huna mchumba mi nipo ,una moyo fulani ivi wa pekee .Just keep going sisi Kama maximum family tunakuombea kwa Mungu akuepushe na kila baya.
Zahir nakusihi huyu hafai, mrudishe kwao, ndo maana alikuwa anang'ang'ania kurudi dar kumbe mshenzi hana fadhila.
Pole sana ndugu yangu Zahir. Nakuomba mpe hawa fursa ya mwisho. Watu kama Hawa waliozowea madawa ya kulevya inakua vigumu kuacha. Mvumilie labda hali yake itabadilika na kuwa nzuri. Kwetu kuna methali inayosema " huwezi kula nyoka na ushindwe kumalizia mkia". Umeshafanya kazi kubwa na ngumu sana kumsaidia hawa. Usivunjiki moyo uwape wabaya na fasi ya kusema. Courage.
Zahir pole lkn mm naona mchezo umechezwa hapo kukuchafulia jina
Kuna watu wengi wanaitaji msahada huyo ni kahaba na kama mtu kazoea kunogeshwa hawezi kuacha Bora apelekwe kwao maana kwanza alishazikwa huyo
kwer Amsamehe ampe nafasi yamwisho uwenda akabadirika
Kaka angu zair pole pamoja na timu yako yote, ungeweza ungemrudisha kwao umkabidhi kwa mama yake alafu we unawe mikono. Maana ukimwacha apa dar akipatikana na matatizo utasakamwa wewe
Pole Sana Kaka Zahir huwa nakufatilia Sana achana nae huyo Kuna watu wengi wanahitaji msaada kwanza Hana shukran mbwa huyo
Inakatisha tamaa kusaidia watu lwa style hii sasa.pole sana kaka zahir
Subhanallah mtihani huu
Pole sana zahir
Rudisha kwa mamake . Huyu anaweza kukupeleka mahakaman akakushtaki. Zahir rudisha huyu binti kwao. Unawe mikono. Pole sana
Subhan Allah,
SubhanAllah
Kaka zair huyo achana naye atakuletea matatizo pengine nijini hilo
Daaah...Speechless wallah, pole sana Zahir
😂😂 nacheka kama mazuri etu hawajakubaka eti haujajiangalia asubuh 😂😂
Kaka zahir anahuruma sana tuzidi kumuombea huyu kaka mwenyez mungu amuepushe na hizi changamoto yarabii
Nimelia hadi natetema jamani hawa mdogowangu unatakanini lakini ama unataka ubebwe vipi😥😥😥😥😭😭😭😭💔💔💔💔💔yaaani hawa hana shukran jamani habebekiii....yaani unatamani kumpiga jamaani
Anatafuta ugonjwaa hakuna lingine mana kulewaa huko hata utabwakwaa
😭😭😭😭😭
Jmn zahir hahahaha et asubuh hujajiangalia hahaha..walimbaka kustaarabu uwiiiiii
@@nurafedrick378 kiukweli huyu hajitakii maishamazuri anabebwa abebeki watu wanatamani sana kupata chance alichokipata kwa maximum tv online...
@@saitawilson7307 🤝😭😥✅💔💔💔
Kaka Zahir mrudishe kwawo asikuleteye matatizo 😭😭😭😭
Kweli arudi kwao atajua mjini atarudije