HAWA APIGWA KIPIGO KIKALI NA KUFUKUZWA KWA DADA FADINA |SITAKI KUJIUZA TENA MWILI WANGU NIOKOENI
Вставка
- Опубліковано 18 бер 2021
- SAD MOMENTS Ni Kipindi Kilichoandaliwa Maalumu na MAXIMUM TV Kwaajili Ya kugusa maisha ya watu wenye mazingira Magumu Ndani ya Tanzania
kwa Mfano
1 - WENYE MARADHI
2 = WALIOTELEKEZWA NA WATOTO
3 - UNYANYAPAAJI WA KIJINSIA
4 - UBAKAJI
5 - MATUKIO YA KIKATILI
6 - AJALI
7 - KUISHI MAZINGIRA MAGUMU
8 - WAZEE NA WATOTO
___________________________________________________________________________________
KWA HABARI ZA MATUKIO TUPIGIE
Mawasiliano : +255 6254 66848 ( Pia inapatikana na Whatsapp )
Pia Unawezaa kututembelea kwenye kurasa zetu za instagram , Facebook , Telegram
Usisahau Ku-SUBSCRIBE Channel yetu ya MAXIMUM TV Ili Kuwa wakwanza kutazama Matukio Mbali Mbali na Kwa ubora zaidi. - Розваги
Waonatamani Yule mama tumkamate tumbinye Kama sisimizi like
Mama yangu anatafuta msichana anateseka sana kama yupo tayari basi niongee na kaka zahir kuliko kuhangaika hangaika tu sio vizuri mtoto wa kike
@@Siti_maroneit bora ndugu utakua umesaidia saaan
@@Siti_maroneit mchukue mana anateseka
Hizi ni siku za mwisho wangu, Yani ni tatazo. Acha tu
Kabisa tena apewe kipondo na yey chakumsaidia maisha . Hana huruma huy mam
Jamani huyo mtu akamatwe huwezi kumpiga binadamu mwezio hivi😭😭
Subuhanallah yule mama tangu siku ya kwanza roho yangu ilimkataa kabisa, Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema atamlipia binti yetu kwa aliyofanyiwa inshallah
Huyu mama akamatwe hadi polisi alipe hizo hela zote kabisa🌞🙏🇰🇪
kwani my kenyan blood 🇰🇪🇪🇺
Nyumba aliyo jenga huyo mama iuzwe hatakama ni boma au kiwanja zirejeshwe pesa mfuko ni kwa wachangiaji ilikilakitu usimamie mwenyewe zahir
Hawa Tutakusaidia Kadri Ya Uwezo Wetu Mwenye Mia Mwenye Elfu Tumchamgiye Jamani Ndugu Yetu👏
Uyo mdada mm namtaka JEE nifanye nn zahri na mm niko zanzibar namuomba
@@asiaali1124 angalia muendelezo wa nyumba ya bibi utaon no yake kaka zahir
Kabisaa nakwambia huyo mama niwakuonyeswa moto
@@asiaali1124 hata mm nivile siko kenya but ningemuchukuwa nikae nayy
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Duniani Kuna vituko
Wewe mama kama unasoma hii’ Mungu yupo kazini kuhusu adhabu yako 😩 dua zetu hazitakuacha Salama 🙏🏻
Daaaaaaaa.
Amina 🤲
WEWE MAMA MBWA MSHENZI MMOJA WEWE MUNGU AKULAANI MBWA WEWE
Subhanallah 😭😭😭😭😭 😭😭 pole Sana dada hawa ALLAH akupe shifaa ya haraka 😭😭😭
Duh Pole hawa.mie naona asipelekwe kwa Babu na bibi.waacheni wenyewe wamezoana 2 hawa anatakiwa asante maisha yy km yy
nakosa chskusema huyu dd kwa anayo pitiya natamani mungu cikumoja akuinuwe uwe na kwako😭😭😭😭😭🙏
Ameen
It's so painful kuona dada mwenzangu anateseka hivi 😭😭😭😭huyo mama ni zaidi ya mchawi kabisa
Huyu mama akafungwe kabisa hana utu ubwa
Bro pamoja na yote hayo huyo mama mchukulie hatua za kisheria asiachwe liwe fundisho kwa wengine JAZAAKA RRAHMAANI KHAYRA
Ja watu tujechange kumsaidia fadina ajenge nyumba yake yy achukue pesa ajenge nyumba zake tena mbile fadina hana lolote watanzania na tusiwo watazania tulijenyima kuakikisha fadina na mtoto wake tunarudisha furaha kwao na hawapo wenyewe alafu mjanja ale pesa zetu sheria ifutwe huyo mama aturudishee ela zetu mmoja baada ya mmoja
Kaka Zahir nazidikukuombea Mungu ushauri wangu naomba mungu huyu dada akishapona akipataela aende kwa wazazi wake akapatebalakazao ndo ajipange tena inshaallah
Daah, 😭😭😭amakweli watu wanapitia maisha magumu ee Mungu muinue huyu binti, simama nae kwenye kila jaribu analopitia...
Dada nancy weeeeeee acha to mm nikikpa story yng Italia mm nilifukuzwa kwtu n mom wngu mzazi baba nae akaniktaa kbsa ila nksma Mungu ypo pamoja n mm nkaolewa nilipoona masteso yamezdi nkrd hom nilijuta nami nikasimama n Mungu mwanzo mwisho Mpka Sasa fmy wananitafta mnk walisikia mm nko arabun Sijaongea n mtu yyte wa hom sai nko n miaka 9 hko warabuni namshkr mung nmejenga nimenunua shamba fmy hawajui nilko mm tn fmy nzma nakuntkna mm wakiniambia nisiwah krd hom sai nko wananitafta cna time nawao so Ple siz wngu
Allah akupe wepsi ukiona mambo bd ukishapoa to tafts agent usafri fmy watktfta to
Asalaam aleykum
kaka,Zahir tunakuombea Dua Allah akuzidishie,na usichoke,wazo langu mpeleke kwa Babu na Bibi,huko atakumakinika,na atakuwa salama zaidi,na ataweza kuwaangalia wazee na wazee watamungalia yeye,na atajifunza sana ukiwa na wakubwa wenye heshima utaheshimika pia,mpeleke kwa Babu na Bibi please,maana utapata kujisitiri pa kulala na kupata chakula mpaka siku mtakapo enda mwanza th:23 march,na baadae mtafutie kitu afanye ili aweze kujiongoza baadae akiona yuko tayari kujiongoza,tumesikitika pia kuona huyo mama anaroho mbaya hafai hata kupata misaada ya Fadina,pesa za fadina zipitie kwako na sio kwake tena,sasa muangalie Hawa zaid
Mhhhh fadina nani atamchangia tena na huyo kukaa kwa bibi na babu mtihan unajua wazee wakizeeka mambo yao kama wtt yataka uvumilivu pia kuishi nao
@@naamohamed1042 wajua kwa huu muda mfupi inafaa akakae kwa babu,maana th:23 Zahir anampeleka Hawa Mwanza kwa wazazi wake
@@aairraahseif5648 ohoooo kama muda huo wanaenda sio mbaya akikaa kwa mda
@@naamohamed1042 yes my dear,pale ni pazuri in'shaallah Allah atamsaidi nae atajikwamua najua Zahir atamsimamia kwa hili,Allah amuwezeshe
Subhanallah Zahir huyo mama mfungulie mashtaka pesa zake zote alochangiwa azitowe na amlipe alivyo mchukua kwenda nae mtwara kumfanyisha kazi bila malipo, na achunguzwe account yake pesa zilochangiwa na wt zote azilipe ni mshenzi sana. Na huyo fadina mwisho atamfukuza kama huyo, tulikuambia Zahir pesa sasa zipitie mikononi kwako.
Ni kweli dada usemavyo bado Fadena sasa atamfanyia tili amfukuze manake ajua sasa ashapata
Ni kweli dada yake fadina tapeli anakula hela za hawa na fadina mungu atamlani yule dada tapeli haki ya mtu haipotei kabisa
Asante sana Kaka Zahir kwa kazi ya ukombozi wa wenye shida. Ubarikiwe wewe na campany yako. Hawa anaumiza lakini tumsaidie.
Mungu akupe nguvu zahir na wote walioko nyuma yako Kwa kazi munayoifanya kusaidia wasiojiweza.Mungu awajaze Imani na baraka katika kila hatua zenu Inshallah
Zahir umeleta ligi kweli kweli Kwa kuwasaidia wanyonge watu wanajinufaisha wao Tu khaa uyo mam siku zake za kufa si nyingi madua yetu yatamzuru
Huyo mama atachapwa bakora ya mungu so sio nyingi atafutwe ahojiwe
Haki mm ningekua karibu huyu Mtoto ninge mchukua akae na mamangu nimfanye mwanangu kabisa. nimpeleke college hata ya tailoring at least anaeza jitegeamea mbele mbele.😢
Kama kuna uwezekano msaidie inshaAllah Mungu atakupa
@@khadijasayeed3381 sai niko mbali Sana na siko tz but insha'Allah kidogo changu na mwengine kitasaidia.
Wallah Yule mama hata sikumdhania unajiendeleza kimaendeleo n mchango wa wenzake insha'Allah Mungu atawalipia Kwa alicho wadhulumu hapa hapa duniani ....inafaa aende hospital pia kisha aende police akamshataki aliyempiga maskini hawa mpole ni ngekuwa karibu ni ngekuchukuwa tukaishi wote Ila simpo karibu mdogo wangu
Zairi mkamateni huyo mama mshenz sana wallah inauma😭
Sanaa
Uyo mama ameshaona watu hawawezi kumfanya kitu kama aliweza kula pesa za fabina unazani atakuwa na moyo wa huruma ukimuona wema kumbe mbaya kam yy hakun mungu anamuona yule mama
@@credo7837 kweli
@@emmamombo7149 yeah
@@credo7837 yeah poleni sana
Kaka Zahiri mie ushauri wangu kwanini asianzushe tuu maisha yake binafsi ? Akipata chumba kimoja aendelee na maisha hata akitengeneza vile vyakula vya uswazi kama vile ulivyomsaidia yule binti mwingine achome hata mihogo maisha yataenda Inshaalaah ! M/Mungu atajalia heri siku yake !!
Jamani haijuzu hivyo ukisikia haram ndio hiyo dada hataki kuishi Tena kwa mambo mabaya mimi naona bora huyu dada atafutiwe pakuishi jamani Sasa ataenda wapi 😭😭😭💔💔💔💔💔
Kka zahir naomba ncoment tena. Asikae kwa kina bibi na babu unakumbuka vile umeanza kuwasaidia wandugu walishaanza kujazana hali ya kuwa mwanzo hawakuwa namsaada nao.. Ssa ukimpeleka Hawa akae pale yatazuka mengne🙏🙏
Kweli kabisa upo sahihi
You are the best Zahir
Mungo akuzidishie barka katika maisha yako
Jamani kule kwa bibi na babu Ata haifai bora akae peke yake tu naona kama babu ataanza maneno 😭😭😭😭😭😭😭😭
Kweli wale watu wazima kukaa nao kazi
Wale ni wazeee hawatoweza kukaaa na msichana huyo atafutiwe kazi afanye ata za majumban au mama tilie ili ajifunze maisha
Babu anaweza kumtongoza hapo ndo kazi itaanza apangiwe tu chumba afanye biashara zahir uwe unampitia kuona maendeleo yake mpaka atakapokaa sawa
Pole sana Hawaa
Huyu angepata mume mwema .vijana alokua anahitaji mke msitirini hawaa.
Pole xan unapitia wakt mgumu xan cha muhimu mpelek kwa wazazi wake apate radhi maan wazazi wakimpa baraka ht maisha yake yatakuwa mazuri na Iman hyo na cha pili hyu ashitakiwe kbc maan kuna haki ya hawa ila Mung atamlaan xna kwa dhulum
mungu akujalie kaka zahir kwa kazi ngumu unayoifanya lakni pia huyo aliyempiga fanya mpango kaka akamatwe huyo aliyempiga
Mm ningekua tz ningemhifadhi kwang kwa hizo siku zilizobaki kabla ya kuondoka kwao dah😭😭😭.
Pole bint yangu jamani uyu kijana akamatwe zahir amempigaje hivi jamani
Huyo mm akamate
Aje, aishi kwangu.mnichek
Masikin joo kwangu nitakaa naww pole sana sana namin Allah atakufugulia kilalakher pole sana
Mimi naonelea aende hio course ya kushona kwa sababu akimaliza atajiajiri. Atakua anapata Mia mbili, Mia Tatu zake pale na maisha inasonga.Hawa yesu akukomboe na akuondolee kila aina ya laana inayokufuata. Nipo Kenya.
Hata salon training
Sasa jaman aiiiiiu😭😭😭😭💔tupunzishini jaman tuwe na utu ata kidogo khaaa😭😭😭💔
Pole sana mtoto wetu
Itakuwa vyema akiishi mwenyewe kukaa na watu si rahisi.
Ila Zahir Mungu Akulinde huu ndio UTUME
Pole sana Hawa, Mungu akufungulie milango ya Baraka
Huyu mtoto ananigusa sana nikimuangalia anapitia magumu sana ewe mola msaidia huyu mtoto anapitia magumu kuliko umri wake 😓
Kwanza nimipole ya rais john pombe Makufuli mungu amrehemu aulaze mwili wake peponi. Masikini huyu mtoto anapata tabu mungu atakulipia inshallah vitu vya haramu havidumu 💔💔💔
Alivo tufanya makufuli haingiyii p
@@ramlkassim2554 Subhanaallah hakuna anaejuwa hatuwezi kumhukumu kiumbe wowote yule ila mwenyezi mungu tu kila mtu anaubaya wake ilatunaombea kheri mungu atusamehe wanaotangulia mbele ya haki kiwa na sisi nyuma yao amee 🙏🙏🙏
@@ramlkassim2554 Magufuri kakufanya nini
Kaka dhahir Asante. Simamia wewe wahitaji wote. Watu wanatamaa Sana. Mbona tunakuamini!. Kumbuka Kazi hiyo amekupa mungu.
Mungu akubariki zahir
Yule mama mimi nilimuona tu kama tapel halafu anajifanya analia mbele ya camera
Anamtaja Allah kila dk Yan kumbe dah
Yule mama nilisema sio misaada ya kweli
MUNGu wangu🙄😢😢😢wallah binadamu baadhi yetu tumekuwa na roho gani ?? wapi tunaenda sisi waja
Yaan hadi nimelia pole mwanangu iko siku utapakwa mafuta vimb yote itakungutwa namungu amina
Subhanalla cjawahi kuanhalia kz yko kumbe huyu ndie hawaa
Daaa nipo mbali jamni ningekuwa tanzania 🇹🇿 ungekuja kukaa nyumbani kwetu huku tunahangaika kutafuta pesa daa inaniuma wallah .fadina kazi anayo ataliwa pesa yake mpaka mwisho waisha yake ila asikate tamaa mungu atakujalia
Kwa nini fadina tusimtafutie chumba na huyo dada m bane aonyeshe pesa zake yaan mnamwogopa wakati pesa ni za watanzania?
Dah, wallah mmejua kuniliza mimi..
Ukistaaajabu ya bibi Amina utayaoona ya dada ake Fadina!kweli hii dunia ina mambo jamaniii!!!
Subbuhana Allah daah 😭😭😭pole sana habity uyù mma ni shwetwani haswaa
Yan zahir sasahiv mtu akiw nashida mfano huyo Hawa fadin nawengin nibor uweunasimam nao kam wakipat pesa wapange huku mchang unaendelea wanafany biashar kuliko kuwaamin hao watu wanasem wanasaidia kumb wanajinufaish wenyew
Niliwahi ongea kitambo sana kuhusu huyu mama kuwa sio mzuri kwa sababu kila anaemsaidia hataki ajue awe watarudi kwa wazazi wake ...lakini watu wengine waliniinukia kuwa mimi nina roho mbaya ..haya siyametokea live sasa mmejeonea niliyoyasema ..mtu akikoment tafadhali tusimchukie kwa haraka bali tumsikilize ushauri wake.
Anawasaidia kwa maslahi yake
pole sana kipenzi Awa M/mungu yupo nawe wakati wote🙏🏼😍
Ndugu yangu Zahiri asante sana kwa yote🙏🏼😍Na pole sana kwa kazi
Zahri kaka tafadhali nakuomba usimuache tenahapo muchukue uende naye kwako au umpeleke mahalisalama akisubiri kuchangiwa.anaezakupigwa tena zaidi yahivyo.pole sana mdongo wangu. mungu akupenguvu inshaAllah
😭😭😭😭 kwakweli inauma kama mtoto kike anahitaji stara yarabii Dahhh
Nashaur broo huyo aliempiga achukuliwe hatua za kisheria hata huyo bibi coz kawazulimu haki zao Hawa na fadina Kaka naomba licmamie hili coz wew ni muandishi na naam in lipo ndani ya uwezo wako hilo
Maskini wee allah atakusaidia
Mm ni mkenya sijui huyu dada ni mpate vipi nikae nae jamani, mungu wangu na kuomba msadie huyu dada
Daaah pole Sana mdogo wangu. Mungu atakulipia
Jamanii jamanii 😭kazahiri minaomba atafutiwe pasipot jamanii. Atapata furaha uyu ipo siku atakuja kuleta mrejesho akiwa oman
hata. hata. mm. nakuunga. mkon. kikubwa. ni. uvumiliv. na. subra. ss. wengine. tumepitia. mengi. lkn. asa. iv. familia. zet. wanatuon. watam. kam. asali.
unajua ataweza kazi uarabun kuna watu wenye kutaka kweli kazi
@@rehemahramadhani3428 umeona shogaangu yaan achaaa tu mungu mkubwa yaan
@@heyumi2340 shogaangu kazi za uku binafsi naona nihizohizo tufanyazo nyumbani kwetu labda changamoto nikukaa mbali na familia yako na mazingira lkn km unauchungu na maisha yote kwa Allah ni mepesi ukiweka subra na dhana nzuri kwa Allah subhanna wataala. Na kujiheshimu. Uaminifu shogaangu uku unatoboa kimaisha
Umeongea kitu kikubwa sana kama wakikuelewa ipo siku watakukumbuka
Yaaan nimejawa hasira mpak nacomment kila saa watu wanauzi San dunian hap
Kwani hili limama so likamatwe lihojiwe mbele ya camera lionywe
Kila sehemu nakuona rafki yangu
Pole sana
Misin chakusem jmn dah huy mama akamatwe arudish vitu vyahao walosaidiwa 😭😭😭😭mh laanatulah
kwahiyo fadina imekula kwake 🙄🙆♀️😭🙏🤔yule mm tapeli hawa mungu yupo
🙄🙄
Subhana llah pole mdogo wangu hadi jino wamemtoa😭😭😭
Kweli mpeleke kwa babu, lakn awe na ujuz wake ambao bdae atatengeneza maisha yake, ila nyumba usisahau kuiandika wakfu kka.... asante
Pole dadangu mungu atakufungulia milango ya baraka,malipo ni nihapahapa zahir ubarikiwe
Hata meno pia ameumia, huyu ni wa hospital akaangaliwe
Kaka zahir mm ni bint wa miaka 19 nimeolewa Ila nataman aje niishi nae na kila Mara mkiwez kuja kumuangalia Kama. Yuko salama ni ruksa Kaka zahir
Mhhhh yan ww una 19 mwenzio 20 wote bado damu changa mtawezana ????
Mmh hongera kwa kuolewa me 24 bd na nipo kwa warabu hongera sana
@@naamohamed1042 ndioo tutashaurian na hamn wakumpiga mwenzie
@@faudhiasalum7279 thnks s*
@@princesssally3276 kufikia jukumu hilo kwa umri wako bado kwanza la sivyo subutu uone nn namaanisha kwanza umeongea tu je umepata ridhaa kwa mumeo au umeamua ww tu binafsi wkt ww mwenyewe upo mikononi kwa mtu utwii sheria za anae kumiliki
Zahir namuomba hawa aje niishi nae,nitamfanya kuwa mdogo wangu,aje nitampa mtaji kidogo afanye biashara yake
Mzur mashaallh pole Sana mdogo wangu
Yule mama sio mtu mzuri jmn 😭😭😭
Pole mwaya
Na kama Umefika hat miak 20ukichangiwa Anza maisha yako unaweza Mim nilianza maisha ya kupanga na kujitegemea nikiwa na miak 17 na nikaweza mungu atakubadiki
😭😭duuuh poleee mnooo mdogo angu jmn Mwenyez Mungu atakulipia mama
Nimeshindwa kuzuia machozi yangu😭😭😭😭😭 unateseka mdogo angu pole sana
Maskini akuna siku yenye nmelia kama Leo wallah jaman😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Subhanallah maskin
Wallahi mpeleke kwa babu zahir
Mumtafutie mume mwenye Imani mumuozeshe
Pole sana mungu tupe roho zahuruma wallah
Mungu wangu we hawa 😢😢
Kiukweli km mtaenda kwenye comment zangu za nyuma niliwai kusema yure mama tapeli harafu yupo km wale wa mama wanao Uza wadada
Duu amakwel
Mimi nilikua najiuliz inakuaje kila mtu amsaide yeye
@@shanearmarukusi4463 shangaaa hapo
Pole sn mdogo wangu mungu atakusaidia imenitoa machozi
Zahir kakaangu malipo yako kwa Allah, pole sana mdogo wangu.
Nilikuwa naomba kama itawezekana mumnipe uyo mtoto bila msaada wowote. Ila misihishi tanzania
Unaishi wapi mamy
@@simplyfay5308 minaishi Uk ila nilikuwa naitajia Akaishi kwetu kama mtoto wa mama yangu mama Anaishi na wa wadogo zangu wawili wote wakiume bado wadogo. Wapo burundi. Ila kama Ataniamini. Atanambia
@@mwajumakabesha5662 oh ongea na Zahir
@@simplyfay5308 yah nitamtafuta niongee naye
Kuna mdada aliongea kuwa yule mama malaya tu halafu alisema ni Tapeli tu watumkamshambulia vibaya
Nasubir watu wanje watasemaj kuhysu hili
Pole sana hawa..
Tena bint anajieleza kistarabu sana
Lkn kwanini uyu mama amekua katili kiasi hichi?
Eee mungu namkumbuka kipenz chetu aliyefunika macho juzi
Mh.magufuli mambo kama haya ndoalikua anaamua fasta
😭😭😭😭😭Aaaa jamani mtoto wake ampige halafu afukuze aa huyo mama tapeli tapeli sana 💔💔💔💔💔
Kaka zahir tunakuomba mpeleke kwa wale babu na bibi 🙏🙏🙏🙏 tunakuomba
Nikwel
Naunamfungulia biashar
@@herryraula4928 kabs
Kweli kaka fanya hivyo pls
Kweli kbs afunguliwe biashara akae na wale wazee wawe family moja
Mi ushaur wang uyo kijana akamatwe hawa sending kushtaki police jmn nauyo kijana wake. Mama arudishe pesa zahuy bint nasheria ichkuwe mkondo wake ju yauyu kijana. Pia bint arud kwao kwawazazi wake jmn atakuja kufa kabla yasiku zake 🙌🙌🙌
Maskini pole sana dada yangu natamani ningekuwa karibu ningekuchukuwa uishi na mimi lakini niko mbali sana 😭😭😭😭😭😭😭😭
Dada tapeli yule Mungu anamuona
Ila Zahir upate tuzo sasa🙏🙏🙏
Pole sana hawa
dàaaah uyo Kaka na mamaake wote wakamatwe washtakiwe jamanii daah mbona wanawake tunateseka ivii
Kaka Zahir nakuomba tu huyo kijana achukuliwe hatua alafu sijui utampeleka wapi akakae au ni kwa akina zawadi,Babu/Bibi kitambo apate kwake au vipi hapo Mungu atasaidia hadi asimame pekee🌞🙏🇰🇪.
Tatizo nyumba ya bibi na babu ni ndogo.
Maskin tena anajistiri anapendastara
Huyu mama ni mkora mwenye ako na fadina
Maskini Hawa mungu Yuu pamoja nawe usife moyo ,,,,, kaka zahir🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏mungu aendelee kukpa nguvu na moyo ,,,,, ananitoa machozi😭😭😭😭😭 huyu binti
Duh pole sana dadangu Mungu atakusaidia utatoboa tu, yule mama ni tapeli sana
Jaman hawa hana mama kwani si arudi mtwara shida gani hii mtihani huu😭😭😭😭💔
Kwao mwanza sio mtwara
Kuanzia leo hakuna kupewa mtu pesa alienashida .shika wewe pesa zahir
@@sulemohd4812 watamkaba wampole pesa zote na akiileta zengwe wanaweza kumuondoa uhai maana binaadamu waleo ni changamoto Sana.
Kweli kabisaa kaka dhahir mpeleke kule kwa Babu akaishi nawo awe anawasaidiya kule hatinyanyasika babu na bibi wazuri Ila unanitiya uchungu dada yangu Ila Allah yupo pamoja na wewe usijal my from burundi
Dah subhanallah ningekuwa tz ningemchukua
Zahir huyo akirudi kule kaisha mana hapo tyr kuna vitu kashaviweka wazi na pia afanye mpango arudii kwao kwa wazaz akapate baraka hata kama wamekufa aende tu nyumban lkn kwa sasa ataangaika sana bora aende kwao hata akitaka kurud kufanya kaz dar lkn alishaonana na ndugu zake
Iyo kijana afungwe 😭😭😭🇰🇪