MAMA SABRINA AJITOKEZA |AMWAGA PICHA ZA NDOA YA MWANAE |ATEMA CHECHE |MAZITO BALAA
Вставка
- Опубліковано 20 кві 2022
- SAD MOMENTS Ni Kipindi Kilichoandaliwa Maalumu na MAXIMUM TV Kwaajili Ya kugusa maisha ya watu wenye mazingira Magumu Ndani ya Tanzania
kwa Mfano
1 - WENYE MARADHI
2 = WALIOTELEKEZWA NA WATOTO
3 - UNYANYAPAAJI WA KIJINSIA
4 - UBAKAJI
5 - MATUKIO YA KIKATILI
6 - AJALI
7 - KUISHI MAZINGIRA MAGUMU
8 - WAZEE NA WATOTO
___________________________________________________________________________________
KWA HABARI ZA MATUKIO TUPIGIE
Mawasiliano : +255 6254 66848 ( Pia inapatikana na Whatsapp )
Pia Unawezaa kututembelea kwenye kurasa zetu za instagram , Facebook , Telegram
Usisahau Ku-SUBSCRIBE Channel yetu ya MAXIMUM TV Ili Kuwa wakwanza kutazama Matukio Mbali Mbali na Kwa ubora zaidi.
chat.whatsapp.com/HN3h2cmMUucGq6438nYZGj
JIUNGE KWENYE GROUP LETU LA WHATSAPP
huyu mwanamke amelipywa na muungu inaonekana alimkosea mumewake wa mwazo na kumzara kwa sababu kuwa nimasini ila hayo ndio malipo yake
Nimechukia sana huyu kaka
@@swaumumwanalia7054 huyu kama kipo anachokitafta n mwanaume mastarab sana akiongea maneno mazuri matandaoni na kuwateka wanawake na kukingia mkeenge 😂 looh
Mama ana busara sana ila sikuizi maisha yamebadirika ukiona mwanao anateseka chukua mwanao maana ukichelewa utachukua maiti ndoa atapata kwengine
Hakika fety umenena jmn using'ang'anie ndoa maana kama mtu alikutamani utamwona tu mambo yake
@@mohamedelzobery7194 Hutu kaka amekera sana wala sio shekh mdhalilishaji mmoja tu huyu
Hakika huu ni uzalilishaji wa wanawake tu nasi vinginevyo
Jamani hongera sana wewe mama Ila uyo mwanaume haaaahaa nishidaaa
Sana
Mama Sabrina yuko sawa sawa kabisa tena anabusara sana jamani.yani anafaa kua mamamkwe bora.nimempenda sana sana mama mwenye busara zake mungu akubaliki sana sana
Sana Mashallah
Kam stiri sabrinaa sasa.
@@saumusalimuhassan2499 mkm
Mama Sabrina nimekupenda buree..wewe ni mama bora..ni mama wa kupigiwa mfano. ni mama honest kwa kweli umetawaliwa na busara mama maashaaAllah 👌
Ni kweli mama ana busara na utu
Msatarab kweli huyu mama
Bado mdogo Sana tafuta maisha utapata mume bora
MashaAllah MashaAllah MashaAllah mama anajua ana khekima ana hofu ya Allah naskia raha kumsikiliza hata SABRINA nimempenda kwakweli atulie awe na subra amsikilize sana mama!!!
Mashaalah nimekupenda kwa busara zako mamii
safi sabrina umefanya vizuri kuwasaidia akina Diva na wengine kunyamaza sio vizuri kuanikwa ndio mpango mzima😃
Wapi
@@adijaniyonkuru9731 utandawazi
Miaka 22 bado mdogo sana ashukuru Allah kwakumuondolea ilo tapeli wawanawake andelee na maisha yake miaka bado Kwakweli ❤️😓😓😓
Mash Allah I'm a mum but she a very good woman God bless her ameen 🙏
Dah!Mungu anakuona wewe kaka mganga wallah atajibu kilio chahuyu binti(KARMA)ogopa sana hiikitu
You are very good woman InshaAllah every becomes alright InshaAllah❤❤❤❤❤❤
Huyu Abdulrazak ni tapeli wa maneno mimi nilikuwa najua wake zake wana raha tupu, kumbe mweee, mama sabrina na sabrina mlichofanya ni vizuri sana matapeli kama hawa lazima tuwajue
Hata wametufumbua macho hata mie nilijua huyu abduli ni mtu sahihi hadi nilimtamani kumbe balaa tupu ya raby tusaidie
Muda si mwingi tunasuburi ya diva atatendwa tuu mi niko hapa huyu kaka ajirekebishe na haya 😭 dah inauma ila mama anabusara sanaa🥰
Yaani diva atajuta kuzaliwa
@@shakilaburhan9552 shauri yake ndo kapenda 😂
Tunamsubir diva ahaa ahaaa
@@pilealmas3079 Mujiii unamazito huu🤣
Nimempenda mama sabrina Masha Allah
Wanawake plz tutafuteni pesa zetu wenyewe usitegemee ndoa ndio chanzo Cha wewe kuwa na furaha na maisha mazuri kwa kutegemea pesa ya mwanaume,dunia imebadilika jamani furaha inatengenezwa na nguvu zako mwenyewe Trust me asilimia 75 ya wanawake wanaopambana hawaumiii Sana wakiachwa
True
Ukweli
Ndoa ni chanzo Cha furaha usipokosea kuoa au kuolewa, Bali kwetu sie ndoa imeenda mbali Sanaa "Ndoa ni diyni"
Natamani Mama ake Sabrina awe Mama angu Pia.. Mwanamke wa Shoka😮😮
@@fatmahashimu1487 muulize vzr mie sipendi mtu asema ivyo wallah kama unamkataa mama yako vile
@@fatmahashimu1487 angesema tu huyu mama MashaAllah nimempenda lakini mwezetu kapitiliza maneno
Allah akujalie umri mama hongera maongezi ya busara saut nziri Masha Allah
Mkombozi wa mwanake ni kipato chake, mijegejoo ipo tu ukiwa na pesa wanaumee wapo tu na hawatakubabaishaa!
Mambo ya wanawake kunyamaza yamepitwa na wakati hili liwe funzo kwa wasichana wanaomsikiza huyu jamaa anajiita Doctor love! Ukweli utoke tu hamna kukaa kimya tuko 2022 WOMEN POWER
Nimeipenda hiyo hatar
Kweli huyu jamaaa tapeli wa maneno sana kudanganya wanawake na kuingia kwake rahic na kuwatenda mabaya mjinga sana
@@user-le9lb8oc8d tna tapeli na watu wanavyodanganyika bs heee.
@@malak-lz6kx Tunasubir DiVa Nate mud a s mwingi aki anaongeaga kama mwanaume kweli kumbe zero
Lijitu litapeli
mashaa Allah mama ni mama hikma ya hali ya juu mola awahifadhi zaid na sabrina mola atampa risk yke kwa wakati sahihi na mtu sahihi atupe sote wake na waume Ammyn🤲🤲
😱😱😱 subhanallah Allah atunusuru 🙏🙏🙏🧕 twapitia mengi San Allah atulinde kwakwel 🙏🙏🙏🙏
Nimekupenda sana mama Sabrina unahekima Sana
Mashallah 🥰 nilikuwa na hamu ya kumuona mama 💃 maana katika Ile interview ya Awali Yule mume WA Kwanza wa Sabrina nilisikia alikutong*🤦 kumbe mama uko vizuri Mashallah 😘 waoow
Jamani wanaume punguzeni kuchezea watoto wawatu haijuzu wala haimpendezi Mola wetu
Lo!!!!huyo Diva kakanyaga Mavi, mwanaume bazazi, mnafiki, mwenyezi mungu atamuanika inshaalah
Allahumma amiiin
Kitapeli subhanaallah ,Bora ukope kuliko kuwa tapeli hivyo
😂😂🤣🤣🤣🤣😂😂😂
Masha Allah, mama Sabrina anaongea ukweli mtukupu.
Mashaallah kumbe sabrina ni mrebo kama mamake
Mwanaume anataka tabia sio urembo, ukiwa na tabia chafu utaachika kila siku
Uyuuuu ni maaaamaa wa Taifaaaaa kwa kweliiiii......💪
Sabrina kaa utulie mlee mtoto Wako usibishane na mwanaume mtandaon tafuta kazi ufanye uendeleze maisha yako achana na wanaume
Bora mumwambie asijizalilishe kwani maisha bado yapo tu na Mungu atampa rizki yake kwa kweli hata kama anampenda akaze moyo.Hawa watu wamitandao wanamtumia kupata faida kwao .
@@leokamil6284 umr wake mdogo Angelea mtt Kwanzaa,,,akikua atafutut stara
😂😂😂 mtandaoni anajishongondowa kumbe akuna lolote toba nipisheni mie.
@@maryjonh311 Amina inshallah
SubhanaAllah. Ndoa gani hyo ya mwanamke mjamzito. Ya Rabb tuongoze
Subhannahllah pole sana Sabrina Allah atujaaliye waume wema.
Mmmmh pole Sana dadangu mamake swabrina ,wa llahi huu mtihani mzito ila Allah atatiya wepesi
Ipo hadithi ya mtume s.A.w hapana kupandiza palipo pandikizwa haifai kuolewa mtu na mimba kwa kupatikana uhalali wa kizazi kwenye mirathi na sio kama wanavyosema watu kuwa kww ajili ya mapambo au hina
Ukimtazama tu yule Kaka utagundua kitu mungu atusaidie wanawake umdhaniae ndiye kumbe siye😄😄akaaaa umetuacha midomo wazi doctor wa mahaba
Me sijawahi mkubali hata
Ni tapeli sana huyu jamaa ifike mahali aambiwe ukweli au afunguliwe mashtaka
Manshallah mamayetu anabusara 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Yote tisa kumi, wasichana tuacheni tamaa ya ndoa, tusihadaike na ndoa.
Ndoa jambo la kheri na waeza ishi kwa huzuni for the rest of your life, ndoa sio kitu cha kubahatisha katu.
When it comes to marriage be wise...
It's heart, Pole sana swabrina
Asante maana mimi huwaambia sana watoto wa Kike na hawasikii.Wanafikiria kuolewa ni issue ya maana sana au muhimu sana,mwisho wake ni majuto makubwa.
Tujitume tufanye kaz kwa bidii na tusiwe na tamaa yakuwa tutaolewa na wanaume wenye pesa, ukiwa na pesa zako nakujituma. Den sidhan kma tutachezewa.
Tusijidanganye na uzuri, eti mimi mzuri nitapata mwanaume mwenye pesa
@@emmahtamara4542 wanajidanganya kuwa ukiwa mweupe unapata mume mwenye pesa ndio wanawake wengi wanajichubuwa .
Ameen ubarikiwe
Well Said.
Mama anabusara sanaaa🙏 nimempenda bureee
Hongera cna mma Allah akuzidishie busara maana unataja mema na mabaya yake abduli
Abdul nakuita umemuoa huyo Binti bila kulazimishwa angalia sana uko mbele maisha yako utalipwa maumivu uliompa huyo Binti hapahapa Duniani. Umemdanganya sana kakupenda kwa dhati kwa nini ufanye hivyo?.
Tapeli mkubwa uyo subuna Allah
Mashaallh mama🥰🥰
Kwa hali hii kwakweli diva kaukanyaga mkenge da duniani kuna mambo mungu nipe umli mrefu nijione mambo🤔🫢🤭huyu manaume ni tapeli wa kupindikia na kuwachezea wanawake kwa diva kafata kulelewa kwakweli wacha mimi nijikite kutafuta pesa 🤲👏🙏🏿namshukuru mungu kwa kila kiyu mpaka hapa nilipofikia mungu mwema🙏🏿
Unaweza shangaa Diva akadimu daima.
Ila wamekutana Diva chopeko na Abdu Mnofu CHOPEKO&MNOFU
Abdul na diva ni pipa na mfuniko, labda watawezana
@@duhrurhhddhheud8575 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@@adijaniyonkuru9731 pesa tu ndio itamtuliza lakn mwsho yatakua uchebe na shishi
Anaoaga chapchap sijui ana lengo gani
In shallah mungu mkubwa sabrina mungu atakufanyia wepesi na atakupa mume bora yarab 🤲
Dada Tafuta cha kufanya . Achana na huyo mwanaume. Bahati yako imesha ishia hapo. shukuru Mungu. Songa mbere. Msaada ario kupa wa kulea mimba sio yake pia shukuru Mungu. Fanya kazi uvivu uperekea kulalama kama hiv. Funga mkanda sahau yote piga kazi fanya mambo yako
Well said
Bahati mkosi
Walio kuwa wanasema kaekt sasa wameumbuka
@@jazeerajuma4746 tena sana
Yalini Kuta haya tena mimi nimeachwa na mimba ila nimeshukuru TU mungu saii Niko zangu Mombasa naosha vyomba na maisha yangu yanaenda TU poa
Hata mm yamenikuta tu kma ww nilirudi kwetu msa hata nishajifungua mwanangu yuko namwaka sai nimekuja zangu oman kutafuta maisha
Tuloumizwa tupo wengi na bado tunapambana tunalea watoto na Mungu anatusaidia
Nimekupenda sana Mama Sabrina una subra sana na ustaarabu, Allah atampa bint yako Mume anaestahili inshallah 🙏Mackini alipendeza Mashallah, ila Sabrina Mrembo sana Mashallah, Mashallah.
Mama kijana mashallah mzuri
Ndo maana baba wa mtoto wake ali ali ali ali mtong***
@@duhrurhhddhheud8575 😁😁😁😁
Insha Allah mwenyezi mungu amupe wepesi kwa kila jambo mmi inaniuma nitamusaidia pia mtoto mdogo bado
Allah akuwezeshe
Mmmh inauma kweli
@@abdulshakuru3992 Mm sijaelewa jamaniii samahani, Kwani huyo mtoto si wa huyo Abdul?
Hapana si wa Abdul
@@qilil7 Ok....! Ahsante sana 🙏🏼
Masha Allah kumbe Sabrina bado binti ty duu miaka22 Masha Allah
Subhanallah huyu kaka Allah amuone Instagram aliandika ujumbe mrefu kumkana huyu bint kwamba hajamuoa mbadala wake alikuwa msichana wa kazi tu daah inauma mno na ushahid upo hapo
Mtihani
Mashallah
Subhanaallah daaaaa umeumbuka kijana
Ameumbuka kidogo 😂😂😂
@@azizahamisi7349 mwenzangu kaumbuka njia ya muongo ni fupi mungu astiri huyo bidada diva ayasikie
😂😂😂😂😂😂😂
🤭😁 Allah atunusuru 🙏
ogopa vitu viwili duniani MUNGU na TEKNOLOJIA
Mama MashaALLAH una busara na akili kubwa
Masha Allah mama sabrina unaongea vizuri
Mungu kamuepusha sana atapata rizk nyingine
Mama una busara sana, ila mpambanie mwanao akae mbali na huyo kaka hata muweza, mwanao amekosea lakini amesaidia wengi ambao hawamjui wangedanganyika zaidi, mpe moyo mwanao asikate tamaa, atafute kazi ajitegemee, ndoa ni ibada mola atampa mume mwenye kheri na yeye
Maa shaa Allah huyu mama ana busara sana
Pole
Jaman hyu dada ambaye ni mama mkwe anabuxara xna❤️❤️
Sabrina achana na uyu kaka vunja ndoa kimwili pia omba Mungu sana avunje kiroho, tafuta shughuli ufanye yaani hasira na uchungu ulionao Wekeza kwenye kazi, mwanao, na mama na jamii uku ukimtanguliza Mungu uone Mungu atakavyokushangaza
Keshaachika mbona
Mtihan kumbe huyu kaka ndo yupo hivi duuh mungu amsamehe
Dada sabrina njoo warabuni mwenzako yalinikuta sahii niko Saudia niko na mtoto 1 nasomesha mwanangu jikaze dada achana na waume msikilize mama
Kumbe Saudi Arabia tuko hapa😄😄🙈
Mshono haujamaliza ata miez 5
Inshaallah akipona mshono ajitahidi hataka kama nikutafuta kazi tu tanzania
Kabsa time gulf kazi kazi mme kazi akija atakuja na adabu zake
Wanawake Wanawake tuna Cha kujifunza hapa,maneno na matendo matamu yasitupumbaze! Tunahitaji hekima katika kuamua hatima yetu hasa ktka mahusiano) ndoa.
Kweli
Watoto wetu wakike jamani chunguzeni waume kabla ya kuingia ktk ndoa msivamie tu ndio mwisho km huu jmn unalipata jitu la ovyoo!!!
Mtihani sn
Mrejee mungu my young sister Allah atakufanyia wepesi duniani na akher atakulipa kwa subra yako nyanyuka simama endeleza maisha yak Allah atakulip yote yatapit mungu atakupa mzuri zaidi yake
Jiamini haswa kama ni mzuri bado ni mdogo na una nafasi ya kuendleza maisha yake habibty😍😘
Uwiiii...Mganga na diva wameumbuka
Mama nimempenda sana anataja mema na mabaya ya Abdul
Jamaa uyo abdully atakua anamatatzo ya akili jaman ushahid wote huo hapo unabisha nn
Watu wamejawa na roho za kishetani humjui yupi ni sahihi kwako m mungu peke ake ndie anaejua sabra akubali tu magumu alopitia na asiruhusu tena uhitaji wa mme umpelekee kufanya maamuzi aya sio kwake tu yanatokea kwa wengi sababu ya uhitaji tunajikuta tunaingia sipo, Ila malipo pia ni apa apa kila mmoja ulipwa Kwa matendo yake, inshallah m mungu atampa mme mwema ataemfaa kwa wkt sahihi sa ivi aachane nao asubiri Yule ambae m mungu anataka kumpa wala asikate tamaa ni Mapito tu
Duuuh nimeumia kweli poleni sana sabrina nzuri alafu anapita changamoto kubwa ajawai kufuraia ndoa, nipo tayari kunsaidia kama dadayangu nipo Mozambique Nampula kama ataitaji msada wowote nipo tayari kunsaidia kwa hali na Mali.
Ukimuona huko mitandaoni sasa anavyojifanya bazazi wa mahaba, waeza tamani awe mumeo, kumbe balaa tu, tofauti yake na mbwa ni miguu tu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kumbuka kila ndege hutua kwenye mti aupendae kiufupi kuomba mungu tu tupate wenye kheri ila hawa viumbe kuwajua mkweli na muongo ni kazi sanaa
😀😀tapeli
😂😂😂🤸🤸
😅😅😅😅😅😅😅afu hakuna anachojua kwenye mapenzi yule tapeli tu km matapeli wengine
Diva kapelejwa magomeni kwenye Kiplinger's cha mganga wa kienyeji🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
MashaAllah..mum mthuli thn mwenye hekima
Fabiani huyo Mama yake sabrina yupo makini sana , na tu smart
Kisheria ya dini haswaa ukiifatilia abduli Hana MKE hata mmoja Kwa sababu mwanamme akiwa na MKE halafu akasema Mimi Sina MKE hapo MKE anakua ameshaa achika tayari kisheria sababu tayari amesha mkana mbele za watu kama alipokuja Kwa kina Sabrina akaulizwa unamke akajibu Sina MKE MKE hapo tayari ameshaa chika anatakiwa Abdull uisome dini kiundani kama ndio tabia Yako ukiona mwanamke mwengine ukamkana mkeo bs jua hapo wake zako wote umeshaa Wacha Kwa kuwakana hivo
noo hapo sio kweli maana mke haachik kwa kumuambia mtu kua huna mke, pili dini inaruhus kuoa mwanamke wa pili au watatu mpaka wa nne ata bila wao kujuana yaan ukaoa kisiri siri maana yakuoa kisiri yaan unaoa mke wapil hajui kua unamke mwingne tayar, NB simtetei uyo Abdul nimeelezea point
Mama sablina nimekupenda kwa maelezo yako
Maa shaa llah,,,mama hyu Allah amhifadh
Huyu Abdul laghai wa maneno , tangu day one tulisema kuwa huyu tapeli kafata umaarufu tu lakini tukaambiwa kuwa tuna choyo kuona Diva kaolewa . Na ile kujiingiza kwa media kupigana mabusu yote ni utapeli na ndio hiyo yalomchongea .
Sabrina kafanya sawa sawa maana yule jamaa anajifanya msafi wa mapenzi hadi watu walikuwa wanamtamani kuwa naye .
Kwani baba wa mtoto anaswmaje na yuko wapi aty ukiachwa achika omba mungu akupe alie bora kwako
Acha chezea abduri namsubili diva misheuo nione
Mtihani jamani bora tutafute pesa akuna wanaume sikuizi
Wallah ni hatari kabisa na wanaume
Ww mama bora sana kwa mtoto
Mashallah mama Sabrina mrembo sana ndio maana yule mkwe wa kwanza akamtongoza waah!!
Mambo mengine yanatatuliwa kifamia sio kisocial media mzazi mwenzangu kuwapa watu faida tu
Ridhik popote mamaa
Mwambie bint apoze moyo sikuhiz watu wanataka umaarufu na pesaa!!
Atapate saizie
Hongereni kipindi kipo poa sn na editing imetulia sn
Tatizo tunaoana kwakufahamiana hatuoani kwakuojuana duh mwanamme sie lkn nifundisho mungu atusaidie
Kiongoz samahah Kama huyu Dada yupo mwenyewe naomba unipe namba nimuoe maana napenda Sana mwanamke aliyeshika din
Siku izi matapeli wengi
Kuruthum???
@Rukaiya Rukaiya au mi nimedhania sivyo
Hahaaa
@@franciscaaugustino4305 😄🤣😂😆😄
Sema kimeumana
Pole sana dear we lane true mistake
Abdul kaumbuka kweupee, aje abishe tena
Yaani abdulrazaq mshenzi sana tunasubiri kilio cha diva 😁😁
Haki
Uislamu sio kanzu Wala shuka na kilemba uislamu ni kuswali swala tano na kufunga ramadhani kaka hiyo SI muoaji hiyo diva ajiandae dada wewe sio wa kwaza Wala sio wa mwisho jipe moyo utashinda kwanza mzuri alafu mdogo unavyomzungumzia unampa kichea au ulisikia wapi kaburi kuna kaburi la mjane ?uyo akufai ata kidogo
Kwa Diva atakoma atanyooshwa mana yule si mtt wa kinyumbani!! Diva ni wa mjini jambazi mwezie
Allah atakuongozeni
Mama nimekupenda sana❤️❤️ lakini si nasikiaga kuolewa ukiwa na mimba hairuhusiwi kisheria ya dini
Nawe unapumbaza watu kwano soalikataa akasema haifai ila abdulo kuna shehe kafatilia akasema inafaa
@@ukhtyrayyan7884 Hairuhusiwi wanafosi tu
Hairuhusiwi hawa wanaenda na matamanio yao
@@ayshasulaiman5026 Bora umenisaidia
Uyu Abdul ni mzalilishaji tu kha!