I must admit this is the best interview I have ever watched the guy is so straight very open en you he never left any doubts on us viewers very mature than even Diamond himself there is no where he said NO COMMENT there no where he said HAYO NI YA KIFAMILIA ZAIDI the guy answered literally everything en I’m his big fan straight away.
Lukamba anakili sana kuoa ni kawaida watu wanaokushangaa wanawanawake nje ya ndoa zao wamedumu karibu miaka 10 sasa si sawa kuoa ....usirudi nyuma usiskilize maneno ya watu
Very interesting interview i have ever watched in Bongo world. i like Zamarandi calm and professional as usually. Lukamba knows exactly what he was doing, answering all the questions from Zamaradi in a very professional level and openly without any hesitation. i have watched this interview till the end without getting bored or tired. I have enjoyed every second watching the interview. Kudos
Wanaume siku zote Ni wabinafsi...huwa wanalenga kinachowapa starehe tu bila kujali maumivu wanayoyasababisha kwa mwingine....it's too bad🤔!!!! Yaaani am speechless 👐👐👐👐
Upumbavu mtupu umri huo wake wawili ndomana hamuendelei kwajili ya kuendekeza nyenge na tamaa tu nawe bi mdogo umri huo unakaa ukeweza kwa maisha gani aliokuwa nayo huyu mume si uchukuwe talaka yako ende zako
Lukash... U r so inteligent n understanding. Life is a jany....U really touched ma heart hunyyy. Buh what can tell u pls don't take advantage of ur bby mama for acomodatng al url stuff (sh*t)..wish u luck in ur marriage. My prayers tho.
Nimefurahi Zamaradi lile tatizo la sauti linerekebishwa nakupata vizuuri sana. Hii interview ya Lukamba ilikuwa nzuri sana ila umeipunja. Mwite tena siku nyingine. Natamani stori ya maisha yake ya kazi ingekuwa pana zaidi. Kuna sehemu alipata kuongelea safari zake na boss wake wa sasa na namna alivyoweza kukonect na watu mbalimbali maarufu duniani
So matured, interview nzuri Sana Kuna mengi ya kujifunza hapa, mengi Sana, ukiachana na tamaa za wanaume, sometimes we women Ni factor kubwa ya wanaume kutoka nje, Ila pia kwa ndugu zangu waislamu nadhani pia kuwa mtu kuoa mke wa pili, na bado anaendelea kumthamini mke wa kwanza Ni mapenzi tosha Sana maana otherwise angekupa talaka tatu, au anaendelea na uzinzi na kukuletea magonjwa, all in all Lukamba uko matured Sana na nimependa uwazi wako
Lukamba is very honest person siyo Siri baada ya kusikiliza interview 3 tofauti nimegundua kuwa bi mdogo siyoila let's watch but yo be honest for my opinion the first wife is the one who bring him to be lucky and if she leave him he will be nothing that my own opinion!!!
Jaman bmkubwa hawezi akawa na raha kama bimdogo kwanza anahisi labda pengne Mme hana mapenzi nae ilefuraha halisi imepotea kupata ukewenza nishuhuri hasa kwenye umri Kama shuu
Huwa wanajiangalia wao tu hatafuti furaha ya mwenzie anajiangalia yeye tu mwanamke haihitaji care ndo anavomaanisha anasahau kama Mwanamke naye anahitaji kujaliwa.ila all in all hakujawahi kupatikana amani nzr kwa wake wawili ni maumivu tu
Kila siku mwanaume ni mtoto wa kwanza ndani ya nyumba . Lakini sisi tumekosea, na mwanaume hakemewi, na uke wenza sio uwadui ni amri kutoka kwa Allah anasema ikiwa una uwezo 💕💕💕
@@antybabybintrashid2333 Ndio hapo dada sisi wamama ndio tunakuwa wakorofi. Lakini sio wamama wote.mm nashukuru wanangu wanasikizana na wenzao na sisi pia alhamdulillahv
Huezi ongeza mke sababu mwanamke hana unyenyekevu ..eti umuolee ndio atafanya kila unachohitaji...hilo ni kosa unatakiwa utafute suluhicho la akili ili kumaliza tatizo....ukiamua kuoa ongeza sababu ya huyo mke wa pili umempenda ila isiwe sababu eti unataka kumrekebisha bi mkubwa utakua unafanya makosa makubwa hutaakaa upate amani ya moyo....
Angefanya kazi atengeneze helaaa, wake wawili hiyo kwio umri huo loooh!!! He's just playing na maisha yake. Angekuwa na misimamo angeoa tena, wanaume mnalalamika sana wanawake hawafanyi hv na hv nyie mnafanyia nn wake zenu?
Ninauhakik hiyo tabia ya paka unayosema anayo bi mdogo hata bimkubwa alikua anafanya ...ila ndio mapnzi halisi ya mwanzoni yanavokua.....na hapo bi mdogo lazima afanye hivo na aongezee na vimapenzi vya movie ili anogeshe umuone anakitu special ...ila hicho kitendo cha kwenda polisi teari ushajionea tabia yake halisi uvumilivu hana...na utaendelea kuona mengine mengi....
Very well said huyo bibi mkubwa anaonekana mjeuri sana sasa she has to lie low and swallow the bitter pill of having a competitor awache kuita mwenzake mchawi akubali alipush the man into the other woman's hand
@@heyitsazrah6275 I am talking as per the Man's words my dear he said it clearly that she pushed him away mpaka akazaa na mwanamke mwingine before marrying the so called 2nd wife, it's clear the first wife doesn't give him the peace and love he needs if you know her tell her it's too late now she must accept she has a co-wife and stop calling the 2nd wife a witch period!
Asaalam alykum , hongera sana kaka kila kitu ni uwamuzi na isitoshe ni amri ya Allah . Kwaiyo sio hajabu kaka hata mm Nina kakangu yuko na 34 year na yuko na wawili . HONGERA sana keep going mungu atakupa nguvu 👍👍💗😍
@@halimaissah2525 Alhamdulillah Ameen mm niko tayari nimepata neema ya mke wa pili. Tuko sawa kabisa alhamdulilah uke wenza ukiwa na imaan ya dini wala haukutii roho mbaya niko vzr dada tumezaa na tunawajukuu pia .
I must admit this is the best interview I have ever watched the guy is so straight very open en you he never left any doubts on us viewers very mature than even Diamond himself there is no where he said NO COMMENT there no where he said HAYO NI YA KIFAMILIA ZAIDI the guy answered literally everything en I’m his big fan straight away.
Me pia am his big fan
Exactly
Nimecheka, nime enjoy, interview nzuri Lukamba is a funny guy😂😂😂
Dah pole sana lukamba kwa alichopitia mamaako ALLAH akuzidishie imani na akujalie uwapende wake zako na akuzidishie furaha katika maisha yako
Daaah hii interview iko bomba sana! Mungu akuongoze Lukamba🔥🔥
Lukamba anakili sana kuoa ni kawaida watu wanaokushangaa wanawanawake nje ya ndoa zao wamedumu karibu miaka 10 sasa si sawa kuoa ....usirudi nyuma usiskilize maneno ya watu
lukamba nakuombea salama..ila huyu mke mdogo amekuja kufata umaarufu tu kwako....shaur zako
Hayakuhus
@@kadijajggf9367 na wewe ni mdogo nn
Sikuwai kujuwa kma lukamba Anaakili hivo☺️His very matured in head
Best interview 2020 I like it
Lukamba Mungu akutangulie katika familia yako, zamaradi I love your humbleness ❤️
Very interesting interview i have ever watched in Bongo world. i like Zamarandi calm and professional as usually. Lukamba knows exactly what he was doing, answering all the questions from Zamaradi in a very professional level and openly without any hesitation. i have watched this interview till the end without getting bored or tired. I have enjoyed every second watching the interview. Kudos
Anaenjoy lukamba kuwa wake wawili Ila hongera kwa changamoto
Zama wewe ni namba moja presenter ubajua hadi unakera
Kwa mtizamo wangu mwenye mapenzi ya kweli ni mke mkubwa huyo wa pili kafata ustaa tu
Wanaume siku zote Ni wabinafsi...huwa wanalenga kinachowapa starehe tu bila kujali maumivu wanayoyasababisha kwa mwingine....it's too bad🤔!!!! Yaaani am speechless 👐👐👐👐
Kweli kabisa niwabinafsi sana na cc wanawake wabaya pia , hatuoni taabu kuwaimiza wenzetu mmmh...
Kwel kabsa umenena
He seems too happy when it's come to talk about his second wife
Bi mdogo wanakujaga na spidi hao lkn baadae mhhh"""""Ngoja niseme Mungu awasimamie.
Upumbavu mtupu umri huo wake wawili ndomana hamuendelei kwajili ya kuendekeza nyenge na tamaa tu nawe bi mdogo umri huo unakaa ukeweza kwa maisha gani aliokuwa nayo huyu mume si uchukuwe talaka yako ende zako
@@soniakinywerosonia8129 ushauri mzuri ila umenichekesha kidogo Asante❤️❤️❤️
@@soniakinywerosonia8129 jamaniiii akichukua talaka atakuwa hajurikani mweeeeee
He is too smart MashaAllah keep it up.
Uko vizur lukamba
interview nzuri Sana🥰🇧🇮mi nimke wa pili najifunza kitu Hapo👌
Lazma ujifunze!!
Umejifunza nini wakati uyu kijana uwadilifu awazi na wake awaelewani kipato chake pia nikidogo sana
Lukash... U r so inteligent n understanding. Life is a jany....U really touched ma heart hunyyy. Buh what can tell u pls don't take advantage of ur bby mama for acomodatng al url stuff (sh*t)..wish u luck in ur marriage. My prayers tho.
Leo wa kwanza kucomment...ndio nasikiliza..nampenda sana Lukamba
Very true Dini play a BIG part..Very good
Nimefurahi Zamaradi lile tatizo la sauti linerekebishwa nakupata vizuuri sana.
Hii interview ya Lukamba ilikuwa nzuri sana ila umeipunja. Mwite tena siku nyingine. Natamani stori ya maisha yake ya kazi ingekuwa pana zaidi. Kuna sehemu alipata kuongelea safari zake na boss wake wa sasa na namna alivyoweza kukonect na watu mbalimbali maarufu duniani
Lukamba una wisdom ya kushinda umri wako! Much respect kijana wetu!❤️❤️❤️
So matured, interview nzuri Sana Kuna mengi ya kujifunza hapa, mengi Sana, ukiachana na tamaa za wanaume, sometimes we women Ni factor kubwa ya wanaume kutoka nje, Ila pia kwa ndugu zangu waislamu nadhani pia kuwa mtu kuoa mke wa pili, na bado anaendelea kumthamini mke wa kwanza Ni mapenzi tosha Sana maana otherwise angekupa talaka tatu, au anaendelea na uzinzi na kukuletea magonjwa, all in all Lukamba uko matured Sana na nimependa uwazi wako
Zama umetusahau, dada wa kazi tunaisubiri sana.
Yan kasahau kabisaaa
Pia.mimi jana nimengoja Sana. Sielewi kabisa
Yaan weacha tuu
Kwel jaman hayuko serious na hyo move mara aweke mara asiweke
So well spoken Lukamba ✨✨✨✨
Lukamba is very honest person siyo Siri baada ya kusikiliza interview 3 tofauti nimegundua kuwa bi mdogo siyoila let's watch but yo be honest for my opinion the first wife is the one who bring him to be lucky and if she leave him he will be nothing that my own opinion!!!
This guy!!!amaizing...
Jaman bmkubwa hawezi akawa na raha kama bimdogo kwanza anahisi labda pengne Mme hana mapenzi nae ilefuraha halisi imepotea kupata ukewenza nishuhuri hasa kwenye umri Kama shuu
Kabisa dada
Uko vzr lukamba na Mwenyenz Mungu azidi kukupa furaha ktk ndoa zako
Huo ndo uanaume mzur
Nilichokiona hpa ameshindwa kumuacha mke mkubwa kwa KUWA ameanza nae anaogopa dhambi lkn Mapenzi kwa bi mkubwa hayapo kabisa yapo kwa bi mdogo
wanaume hawa ..c wakuwategemea
Nikweli
Kabisaaa
Bonge moja ya interview. Hongera Lukamba. Mungu akupe furaha kwenye ndoa zako.
Nimecheka jmn huko mwishon lukamba😂😂😂😂
Best interview
Kwann useme sisi wanaume tunapenda hvi na vile ,Kwan wanawake hawapendi kuwa care ???acheni ubinafsi wanaume
Kweli kabisa umeongea point
Huwa wanajiangalia wao tu hatafuti furaha ya mwenzie anajiangalia yeye tu mwanamke haihitaji care ndo anavomaanisha anasahau kama Mwanamke naye anahitaji kujaliwa.ila all in all hakujawahi kupatikana amani nzr kwa wake wawili ni maumivu tu
Dah! Hii interview nimeipenda Sana Lukamba iko vizuri kwenye kujibu 🤣🤣🤣 na yuko 💪 Ahsante nime jifunza tena upya 🙏
Wanawake tujifunze kitu apaminimejifunza mengi Asante lukamba
Tunataka dada wa kaz
His young but his very matured in head.
Masha Allah , tabaraka Allahb
Congrats Da Zamaradi! zile sauti ss hv naona hazisikiki tena!
Matured enough, thou ni mdogo
Dhuuuh nzuri kweli na inamafunzo mazuri saaana
Kweli kabisa DINI NDIO KILA KITU.👍👍👍
Uvumilivu huo kwioo
Upo making zamaradi nakupenda sana
Huyu Nae anapenda Tu Wanawake Ajatulia
Da zama unajua San interview...honger xana
He can make a perfect presenter too. His voice is top notch.
True
Kweli
Kweli lukamba ana sauti nzuri
Lots of 💕💕 from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Huo ndo uwanaume lukamba.. Ila utakufa kwa presha nyau ww😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂atakufa kweli kwa presha
Tatu m oma unanifurahisha ww unavyosema nyau weeeee nimecheka tena kwa sauti huwe amin dahhhh wewee
🤣🤣🤣🤣
@@munaahmed8499 cheka tu ndugu yangu.. Anajifanya anajua kupaingilia 😃😃
@@maidamhanje5993 yaan... We acha tu🤣🤣
Love you lukamba😂😂😂umenipunga kweli uke mwenza haujasilimu
Da Zama umencheksha et unaenjoy 😍😆
Welcome back zama .
Zamaradi Mketema... uko juu dada, show nzr sana.. Namependa vile Lukamba anajieleza, he looks young bt ana akili sana. Keep it up bro..
Nampenda zama jmni da zma nikuletee zawadi gni nikirudi oman
Interview nzuri sana 😘
Nime enjoy sana..
Jins nnavyoumia Kama mm ndo mke mkubwa vile
Haunifikiii mm kiukwel Sina Raha hata kidogo mungu anisaidie nisiwe na mke mwenzA
@@janethkilonzi4260 dah yan acha tu mung n mwem
Yaan
Hongera umejitahidi sana
Nilivyokua namchukulia lukamba sivyo nilivyodhani.daa kweli mungu akusimamie kwa kila jambo na akutunze na wake zako
Zamaradi wewe your the best in intev
ZAMA AMECHANGANYIKIWA NA HAELEWI KAMA MIMI...
Haaa haa my dear umenichekesha eti nini
Hhhhhh km mim
Yaan. Hii interview Ni bomba Sana dah
Yaan nimecheka daah nimependa interview yako Lukamba
Stronge man ,nakupa big up mwanangu Mungu akusimamie baba
Hehehe miyesikujuwaLukamba ata wezaowa mungu
Interview tamu zama nimecheka saaana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Uislamu mtamu jamani mmemskia Lukamba anafuata sunna za Bwana Mtume 😘😘😘😘
Mambo yauke weza noma wala Sitamani wali siombi yaje y anikute kbsaaaaa
Nikivaa kiatu cha mke mkubwa,nahisi maumivu,kweli si rahisi.
Kiukwel nmejfunza meng mno lukamba unajielewa sana nakuombea heri katka ndoa zako japo n ngum sana kwa shum ipo cku ataelewa nawapenda sana
Lukamba 😄😄😄😄big up💪
Kila siku mwanaume ni mtoto wa kwanza ndani ya nyumba . Lakini sisi tumekosea, na mwanaume hakemewi, na uke wenza sio uwadui ni amri kutoka kwa Allah anasema ikiwa una uwezo 💕💕💕
Kweli kabsa sisi ukewenza tunaufanya uadui nauhasana mpaka watoto wetu tunawachangia ugomvi ilhali babayao mmoja
@@antybabybintrashid2333 Ndio hapo dada sisi wamama ndio tunakuwa wakorofi. Lakini sio wamama wote.mm nashukuru wanangu wanasikizana na wenzao na sisi pia alhamdulillahv
@@khadijaangore4408 Alhamdhulillah mwenyez mungu azid kuwaongeza
@Preetty Shemsa no sikubalian na ww kabsa dadangu
Peleka uko hayajakukuta
🙏
Hongera yotee maisha..Lal nimependa uko muwazi
Nime enjoy kbs🤣😁
Lukamba umeniliza mwisho kabisa pole sana
Huezi ongeza mke sababu mwanamke hana unyenyekevu ..eti umuolee ndio atafanya kila unachohitaji...hilo ni kosa unatakiwa utafute suluhicho la akili ili kumaliza tatizo....ukiamua kuoa ongeza sababu ya huyo mke wa pili umempenda ila isiwe sababu eti unataka kumrekebisha bi mkubwa utakua unafanya makosa makubwa hutaakaa upate amani ya moyo....
Maskini akipata ndg yangu, maana kipindi hana alimuona ana maana Sasa hivi kapata kidogo tu kabadilika
Hahahahahahahaha!!!!!duuuh izo stress sitak kabisaaaa
Angefanya kazi atengeneze helaaa, wake wawili hiyo kwio umri huo loooh!!!
He's just playing na maisha yake.
Angekuwa na misimamo angeoa tena, wanaume mnalalamika sana wanawake hawafanyi hv na hv nyie mnafanyia nn wake zenu?
Swadakta
Kabisa,hatuombi mabaya bahati mbaya katika huko pesa ikamuishia,huyo bumdogo maneno mengi atavumilia kweli
Nice lukamba
Ninauhakik hiyo tabia ya paka unayosema anayo bi mdogo hata bimkubwa alikua anafanya ...ila ndio mapnzi halisi ya mwanzoni yanavokua.....na hapo bi mdogo lazima afanye hivo na aongezee na vimapenzi vya movie ili anogeshe umuone anakitu special ...ila hicho kitendo cha kwenda polisi teari ushajionea tabia yake halisi uvumilivu hana...na utaendelea kuona mengine mengi....
Uyu lukamba anakosea nahaya maneno
Lukamba uko vizurii
Very mature than his boss
Wacha ujinga diamond mmoja awe na wisdom ya watu wangapi usimlinganishe
Love u da zama
Napitia ukewenza jamani ni mgumu sana tena sana
Pole dear
Pole dear
Hivi had uolewe uke wenza unajua mbaya kias gan jaman mnieleweshe hapa..au unakua rejected kias gan??
Na ilo jina ilikuaje
Lukamba is so funny
Mimi timu bi mkubwaa 😅😅
😂😂😂😂😂😂😂😂Ata mimi
Kumbe Lukamba ni mjinga hivi ngoja nimuache na hili tu mpuuzi huyu
Sauti iko bomba leo🤗
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Amenichekesha Ila nimejifunza vitu vingi
Very well said huyo bibi mkubwa anaonekana mjeuri sana sasa she has to lie low and swallow the bitter pill of having a competitor awache kuita mwenzake mchawi akubali alipush the man into the other woman's hand
You know nothing about her nyamaza tu Coz hata wewe na kasoro zako you wouldn’t want a co-wife
@@heyitsazrah6275 I am talking as per the Man's words my dear he said it clearly that she pushed him away mpaka akazaa na mwanamke mwingine before marrying the so called 2nd wife, it's clear the first wife doesn't give him the peace and love he needs if you know her tell her it's too late now she must accept she has a co-wife and stop calling the 2nd wife a witch period!
Pole lukamba
Mama ni mama
Asaalam alykum , hongera sana kaka kila kitu ni uwamuzi na isitoshe ni amri ya Allah . Kwaiyo sio hajabu kaka hata mm Nina kakangu yuko na 34 year na yuko na wawili . HONGERA sana keep going mungu atakupa nguvu 👍👍💗😍
Nakuombea na ww uolewe mke wa pili au kma umeolewa uongozewe wa pili
@@halimaissah2525 Ahahahhaahah
@@halimaissah2525 Alhamdulillah Ameen mm niko tayari nimepata neema ya mke wa pili. Tuko sawa kabisa alhamdulilah uke wenza ukiwa na imaan ya dini wala haukutii roho mbaya niko vzr dada tumezaa na tunawajukuu pia .
@@halimaissah2525 kabisaa
Kama unauweza uke wenza Tulia ila msiba we mwenzako usiufanye sherehe.. Eti keep going 😂😂hivi wanawake kwann mnakuwa hamwafikirii wenzenu..
Weweee lukambaaaa uyo wapili siku zote atajifanya anaiman
Waooo
Yani huyu Lukamba akiongea mimi nacheka tuu sina mbavu 😃🤣😂
Well matured......ni kweli kukosa misingi ya dini ni tatizo kubwa
Mi nampenda hana maneno meng
Dada wa Kaz Lin jamn tunaisubr Da zama
Mmmh.... Hongera sna.. Bado 2... Dini..ikamilikeee
Hiv wake 4 ni lazima kutimiza misingi ya kiiman au hata usipokuwa na wake hao ni sawa?
@@beatricetenywa4367 sio lazima ,hata hao 2 pia sio lazima
@@fadhilahaji8719 sawa asantee love
Lukamba nioe mke 3 mie😌
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣✋
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kama na mimi natamani ilaa inakuja inatakaa🤣🤣🤣
Lukamba umenichekeshaa saaana wallah😂😂
Lukamba 🔥🔥