INATISHA MTOTO WA MIAKA 5 AINGILIWA MBELE NA NYUMA NA WANAUME WAWILI KWA KUPOKEZANA
Вставка
- Опубліковано 30 тра 2023
- SAD MOMENTS Ni Kipindi Kilichoandaliwa Maalumu na MAXIMUM TV Kwaajili Ya kugusa maisha ya watu wenye mazingira Magumu Ndani ya Tanzania
kwa Mfano
1 - WENYE MARADHI
2 = WALIOTELEKEZWA NA WATOTO
3 - UNYANYAPAAJI WA KIJINSIA
4 - UBAKAJI
5 - MATUKIO YA KIKATILI
6 - AJALI
7 - KUISHI MAZINGIRA MAGUMU
8 - WAZEE NA WATOTO
___________________________________________________________________________________
KWA HABARI ZA MATUKIO TUPIGIE
Mawasiliano : +255 6254 66848 ( Pia inapatikana na Whatsapp )
Pia Unawezaa kututembelea kwenye kurasa zetu za instagram , Facebook , Telegram
Usisahau Ku-SUBSCRIBE Channel yetu ya MAXIMUM TV Ili Kuwa wakwanza kutazama Matukio Mbali Mbali na Kwa ubora zaidi. - Спорт
Suluhisho ya hayo mambo ingekua mtuhumiwa akikamatwa auliwe moja kwa moja mambo mengi watoto wetu hawapo salama si wa kike wala wa kiume mungu tulindie watoto wetu inauma mno pole sana mama😢😢😢
Kweli kabisa maneno yako
Wangeuliwa kama wezi vile wanavyo chomwa moto na tairi
Wawe wanauliwa papo hapo wasiachwe kbx.
Yani hao wabakaji wangenyongwa bira kusubili😭😭😭
Wallah Allah awalaan wote wenye matend kama haya
Subhanaallah mungu wangu tusitili yaarabi duniani. Binadamu tumegeuka tumekuwa tuna roho mbaya sana hata wanyama wa napendana 😢😢😢😢
Kma mzazi nimeumia sana Mungu atusaidie wazazi
Mama samia umesema huwezi mwenyewe, ila watuhawa wachukuliwe atua na wasipewe dhamana. Hivi vitendo vinakithiri kwa kua wanajua serikali inachukulia poa. Ndo unakuta tunamkumbuka magu .
Saahz akuna serikal jaman tuzid tu kuomba mungu nahao watu tukiwajua kikubwa n kuwachoma tu moto ila kwa serikal hakuna. Jaman saahz tunajilea tu wenyewe hapa nchini tunashindwa tu kupigiw la mgambo ila ukwel ndo uwo atusikilizw sisi wanyonge jamani 😭😭😭 kila siku yanatokea. Yeye yuko bize n kutembelea nchi za watu.
Kaka Zahir nyoa hicho Kiduku bhana akikupendezi kabisa' ukinyoa kawaida uwa unapenddeza sana kaka
Tusimpangie maisha tuangalie yetu
@@khadijaamiri6629 sio kupangia Maisha ' Ni vizuri' kumueka mwenzio sawa pale unapoona hayupo sawa' kwani nimekose nini kumuambia ivyo???' kwa hiyo kumuambia Ivo ndo nimempangia Maisha?'
@@salamanauthar5261 Wala at hujakosea me hata izo kucha alizo fuga tu sjapenda kwakwel 😂😂😂
@@khadijarashidy9304 tokea enzi za fadina nilikuwa nasema zahir kata kucha hizo 😂😂ww km mie
@@ruqaiamohammed345 Tatizo Huwa tukimwambia anatuchamba utaskia TULIZANA😂😂😂😂😂😂😂😂
Ao watu wanaofanya ayo mambo wangekua wananyongwa wasinge kua wanarudia Kila siku
Kabisaaa
Jamani mtuhumiwa auliwe tu serikali pitisha kuliwa hadharani inauma au nawao kuvuliwe wawekwe chupa ili wapate maumivu bila kutibiwa mbaka afe nimeumia Sana Sana makali jamani eeeeee tutauwe jela wanakula wanalala bure mama pole pole pole
SubhanaAllah.. mtihani mkubwa... ushauri Zahri inavyoenyesha kuwa watoto wengi wanafanyia hiki kitendoz nashauri kutokana na kipindi hiki ungekuwa na mwanasheria kwa maswala ya issues hzi haswa kwa watu wanaopitia kwako..
Wallah nimekosa hata la kuongea pole sana mama angu
sheria ipitishwe watu wakikamatwa hukumu kunyogwa itaisha lakini wana tetewa ndio maana hawaogopi
Duh jmn, mbona matukio yanakithiri?
Pole sana mama Viatu vyako avivaliki
Innalilahi waina Lilah ranjouun daah dunia imeharibiki kweli Yaa rabby tulindie watu wetu 😥😥
Pole sana mtoto na mama, in shaa Allah mtapata misaada yote mnayohitaji na mtoto utapona in shaa Allah. Wazazi, wazazi, wazazi.... tujifunze kutokana na matukio yanayotokea kwa watoto kila siku. Tusiwatume au kuwaachia watoto kutoka peke yao nje au kuzunguka mitaani, haijalishi ni mtoto wa kike au wa kiume. Matukio haya ni mengi tuwalinde watoto wetu kwa kadri tutakavyoweza. wazazi tuwe makini haswa tunaoishi uswahilini. Haya majanga ni msiba mkubwa. Binadamu wana roho ngumu kuliko hata wanyama, SubhanaAllah
Inallillah wahinahillah rajiun jamani tuwauweni hawa ni zaid ya payarod police kwanini mnatuweka roho juu wazaxi kwanini kila kukicha watoto wetu wanaharibika 😭😭
Pole sana dada angu sijui kwann tanzania tumekuwa na roho mbaya sana
Mungu Atakulipiya Insha Allah Mbona Wanaume Mnakosa Imani Jameni Duuu Kitendo Cha Ukatiliii Pole Sana Mzazi Mwezangu Mshitakie Mungu Ndie Akimu WA Yote😢😢😢😢
Pole sana mama Allah akupe subra, amiin.
Mlivyokua mkiangalia channel za Znz mlikua mkipiga sana kelele na kuitupia kila laana Znz na tulikua tukikwambieni kua hv vitendo vimejaa Tnz nzima Ila bara mnavificha tu mlikua mkikaidi. Ssa mmeamua kuvifichua naona mnatufahamu. Mtihani kwa kweli, Allah awahifadhi wtto wote, amiin.
Jamani watu Hawa. Wauliwe msiwafunge kizazi kina zidi kuharibika inasikitisha kwa kweli 😢😢😢😢😢😢
Duuuh nmechoswa nahaya matukio jaman.....mungu atulindie watt wetu jaman
Hasbiya Allah wani'mal wakiil Mwenye Enzi Mungu awa laani wote wanao husika na vitendo vya unyama kama hivyo. Kwa kweli ni lazima wachukuliwe hatuwa kali sana
Wewe Rais ni nwanamke lakini hivi vitu unavisikia lakini kimya sana pangeni sheria wanyongwe wasitoke jer a hii ni aibu ya nchi
Kabisa
Hasaidii kabisa
Pole mama mzuri,, Mungu yupo atakutetea
Mama Samia pesa unazotoa kwenye mipiri toa na kwa watu km Hawa wanaoteseka hata pesa ya matibabu hawana
Pole Sana mama wanatakiwa wanyongwe tuu
Na hao watu wanaohusika familia zao ndo watoe huduma
Dah pole dadangu
Haki nimelia. Mungu tusaidie twangamia.
Subhana allah serikal mpo wp duh 😢😢😢 hiv tuwaweke wap watto wtu
Jamani nimeumia sana pole sana mama pole sana Mwenyezi Mungu amfanyie wepes inshallah 🙏 mtihani mzito huu jamani 😭😭😭😭
Zahir. Mambo haya yamezidi sana. Pole mama
Pole dada angu mungu arakulipia
Inauma sana pole sana, ee mungu tuhurumie sis waja wako
Mungu akupe wepesi naomba huyu mama asaidiwe japo atume account number watu wamchangie maana anaputia mazito Mungu atupe moyo tusaidiane jamani haya nimazito mno.
Serikali,serikali,serikali.ivi hukmu kali ni ipi ili wasirudiye?Ya ALLAH twayiomba nusra itokayo kwako .
Inauma sanaaa 😭 wanaume mna nn lkn mbona wadada wamejaa tele jamani
Pole sana dada angu
Nimeskiza Jana crip za Dr sule kuna mama anaogopa ht kumuacha mtoto wake na baba yake mzazi,maana Dunia imeisha .jamani ndugu zangu turudi kwa Allah
Subhannallah jaman mbona matatizo haya yamekithili hivyo 😢😢😢 pole sana mama Allah atamuaf
daah 😭😭😭😭😭😭jamani inauma pole lakini utafkili serikali hamna inauma sanaa duuh Allah tulindie watoto wetu
Jamani Mimi mwenyewe nashindwa kuvumilia kabisa Mungu tusaidie
Wallah nilivtoisikia sauti ya mtoto nikuweza kustahamili nimetumia sana Allah atalipia Kwa uovyo waliomfanyia mtoto wako
Tuchangie jamani
Pole sana sana hakika inauma mno mno 😢😢yani yani pole sana mama
Pole sana dada na mwanao.mungu amponye huyo malaika na wahusika wapate wanachostahili
Wanaume mnatia aibu.
Pole sana dadangu
Yaani natamani wawe wananyongwa hawa wabakaji wote,inaumiza sana jamani, kweli unaenda kuharibu mtoto wa mwenzio namna hiyo😢😢😢😢,watu wanatisha mnoo,harafu serikali ipo kimya wakati matukio hayo ya ubakaji yamezidi kukidhiri,wangeweka hadhabu ya kunyongwa wangekuwa na mipaka angalau kwa watoto, angalia mtu anabaka mtoto chini ya mwaka na kesho unakutana naye mtaani anaendelea na maisha,mtu km huyo ana haki gani ya kupewa dhamana😢😢😢😢
Wanaume mmepatwa na laana gani? Mna matatizo kweli, sisemi wote nasema wabakaji, wapigaji na wauwaji, na wanaojifanya wanawake. Mna matatizo kweli. Hata kuzaa tunaogopa kwa ajili yenu. Mmeondoa amani kabisaaa nchi. Mnategemea nini hasa mkifa.
Pole sana mama 😢😢😢
pole sana mama
Pole
Pole sana mamaang
Pole sana dadaangu inauma sana sana
Dunia hii jaman sijui tunaenda wap
Hawa watu wauliwe tuu kwa kweli maana saivi wamezidi mnooo SubhanaAllah
Dunia imekwisha' Tumuombe MUNGU SANA
Daaaah yni nimeumia kwa kwel pole san mama
Yarabbi wahifadhi watoto wetu. Walakad ataina lukmana lhikmat anishkurulillah faman yashukru fainnama yashkurulinafsik wamaan kafara fainnallaha ghaniyu lhamiid
Inauma sana jaman
Subhanallah
Pole sana mama eeee MUNGU walinde watoto wetu😢🙏
Pole sana mama😭😭😭😭
Mtihani walah kufanyia unyama huo mungu alani huyo aliyofanyia washenzi hao ni mbwa wakumbwa mungu yupo anawaona😮
Hapana aisee ..Mungu ingilia kati dah Hawa vijana ni mashetani kabisa
Mm naomba kuwe na sheria mpya mbakaji hukumu yake iwe ni kukatwa nyeti zake ili iwe fundisho kwa wengine
Kina mama wanalia wala hakuna mtu wa wakuwasikiliza lakini wabakaji na polisi mjue mungu anayaona haya machozi iko siku mungu atatoa adhabu kwa hawa watu mama samia unazisikie sauti kina mama wenzako
Pole sana mpenzi dooh inauma sana jamani.🙏🙏
Kwahivyo hii imetokea toka mwaka jana, na huyo kijana bado yuko mtaani ee??? Wazazi mbona mumekaa kimywa siku zote hizi???pole sana mama
Hivi hiyo mambo ukiwa hata wakati umefika lakin siku ya kwanza ni msala sasa hii ya kuingiliwa watoto ni vipi jamani Mungu simama
Jamani jamani😭😭😭😭
Pole sana😢😢😢😢😢
Innah lillah waina ilaih rajiun hawa watu wawe wanavunjwa nguvu zao za kiume na kufungwa maisha. Wamelaanika
SubhanAllah 😭😭😭
Jaman hao wazaz wa watuhumiwa hata kufika ,duuuuu,aiseeee hata huruma jaman,eeeeeeee mungu wangu,binadam wa ajabu mnooo,
Inahudhunisha sana mtuhumiwa kama huyu akiingia anga zangu niko tayari kuibeba kesi ya mauaji mchana kweupe inahudhunisha sana tena sana😢😢😢
Wanaume hamna thamani, hata nguruwe bora kuliko nyie.
mama pole sana ila hao watuhumiwa wakhukumiwe kunyongwa bla huruma sheria ifate mkondo wake please hii inaskitisha sana
Wazazi chungeni watoto wenu dunia ya leo sio kama ya zamani hakuna usalama .
JAMANI michangu dowa ilojaa kumumiza Malaika wamungu bilakufkiria astaghfirullah tusaidie mungu wajawako
Mungu atawalaani watakufa kidogo kidogo hap hap dunian
Allah akutie nguvu mama yetu 😢
Subhanallah 😭😭😭 inaniuma san kam mtoto wangu
Huyu mama anamdanganywa masking et mpk mtoto apone na haend kufuatilia km yupo ndani au la mh😭,Watamzunguka dah😭😭😭
Mchozi umenitoka kwa kumwuona huruma mtt kwa ukatili aliofanyiwa
Mungu atawalipa kwa kitendo alicho mfanyia mtt
Yaarab stara eeh mungu hali inaenda wap jmn😢😢
Mwenyezimungu atakusimamia inshallah
Znz yupo kijana nikichaa adi sasa alibaka mtt wa watu wazazi wakasema atuendi polisi ila wamempa adabu iyo anafungwa kamba adi sasa nikichaa aya mambo yanatia asira unamfanyia mtu kitu cha maisha yake ukitegemea serekali utachelewa unamshusha nguvu zote za kiume anakuwa kama dem yanauma bana kila siku mambo ayo tu serekali aifanyi mkwazo itafikia atua tutachukua mamuzi yetu mikononi mwetu
Kwanini hawa watu msiwe mnawaua ...acheni mambo yakwenda shtaki police maana hakuna wanachosaidia zaidi yakuwahifadhi tu jela...Mkiua wawili aidha watatu watapunguza ila mkizidi shtaki police wataendeleza huo unyama...ANZISHENI MTINDO WA KUWAUA WAMWAGIWE PERTOLEWACHOMWE police itafika tayari mmesha maliza .
Ivi serikali ipoh kweli kwa ukatili huu
Jamani nchi hii hapana government wako wapi this is too much 😭😭😭 watu maskini wanaumia 😭😭😭 7 yrs 😭😭😭
Wallah nimekosa neno 😭😭😭😭
Hivi Hawawanaume si wauwe TU jamani mbona imezidi
Huyo niwakumkata kivuli tu na kufa Mara moja
Mweh kaka zahir kanenepa jmn ad raha
😢😢 😢
Daaaah😭😭😭😭😭😭😭😭💔💔💔
Duuuh roho yangu inatetemeka morarii wa kuuaua umenigusa
Jamani mbona watu wamexidi ukatili kwa wtt
Jmn jmn tumogombe mungu mtt wa mika 5 kweli we ba jmn
Si miaka 5 tu, mtu yoyote hastaili kubakwa.
Innalillah wahinahiIIah rajiun😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Alafu wakienda polic polic nao wanawspiga watoto walobakwa hilo sisawa. Polic waache kuwapiga watoto wawapige wabakaji ikiwezekana wawauwe. Polesana mama Allah hatakulipa. Hi ji dalili yakiyama shweitwani yupokilakona usipomjua Mungu ndiyomtihani
Wanaume wanaume wanaume heeee 🙌
Jamani mbona kila kukicha mitihani hii duniya ilipo fika tusubiri mwenyezi mungu atuhurumiye maana tunako elekeya ni majanga