Za hir mm nimesoma comment za watu hap nyingi zanakuvunja moyo ameshaomba msamaha msaide tu kwa ajili ya huy malaika asiyejuwa kitu alichokifanya mama yake kwa kumlea mtot ningumu mtot analia njaa nyonyo hakuna maziwa hakuna uji hakuna huy mtoto atateseka jaman msaidie tu mungu ndiy anayejuwa nin umefanya kwa huy mtoto lakis sio sis wanadamu
Subhannallah jaman ubinadamu kazi kweli kweli kk Zahir kuwa na subra na uwe na. Kifua kipana maan kkumbana na mitihani mingi yote hiyo ni kkupima Iman yako mswamehe tu Kwan hajui ayafanyao ss twakuombea mno kk binafsi Nakupenda saan Zahir Allah akuzidishie Hekima, Busara, Ucha Mungu na Imani ktk maisha yako na akujarie husinul khatima njema Yarabb msaidie tu huyo dd na Allah atakulipa kwa Ihisani yako
Wakiishiwa ndo wanarudi mikono wameweka nyuma na kujifanya wanaomba misamaa na sura zimepooza km wamemwangiwa na maji ya baridi Akisha pata pesa tu zina watia wazimu muone sasaivi jinsi Alivyo mpole kumbe nafisi yake ss
Daaahh!!ila kaka Zahir kwakweli una roho ya hurumaa hongera kaka Allah akuzishidishie Imani zaid ya hapo napia tumsamehe kwali kwa ajili ya mtoto jamanii😢😢😢
Kaka zair sasa hapo tunakuwa na wasiwasi sasa uwo wasiwasi ni wa yule dada ake mjamzito inawezekana alidanganya mwanzo aliyokuwa anaongea ni muongo basi huyo mtt
Zahir huyo ni hawa kabisa uso mkavu achana nae apambane na hali yake amekutafuta kwa sababu hela imeisha kama huamini ni mshenzi achangiwe tena ndio utamjua yeye nani saidia wagonjwa zahir achana na hao wanaojiuza wakiona maisha yamewashinda wanakuja huku kusumbua watu kiufupi wanakera
daa uyu mtot ata kwa ndg zake anatatizo mtu umemsaidia alafu ananzaa kuleta mdomo daaa mhhh uyu dada ni mtoto ni mxhenz sana achana nae muache da my umesema kweli
Yaani huyo msichana hajiongezi kabisa ingawa mungu kampa mtihani yaani kuna waschana wadogo wanabusara sana ona happy busara zake mashallah tena mdogo wao sana tumuombee allah ampe ufaham ajitambue atakaeweza amsaidie vile anamtoto atatulia zahir msaidie allah atakulipa kwa yote
ZAHIR sio KWA ubaya please huyo mtu Ana afya yake nzur atafute kazi cz alichangiwa pesa Alhmdulillah angeweka akiba akafanya biashara sio wakichangiwa Wana kula pesa Kisha warudi tena NO ZAHIR ajisimamie saa hii please Kuna watu wanashida 😭
MM NASHAURI KAKA ZAHIRI ACHANA NA HAWA WATU MAANA WANAKUFANYIA MABAYA KILA WAKATI,HANGAIKA NA WAGONJWA WANAOONEKANA WANA UHITAJI.HUYU BADO KIDOGO ANGEKUSABABISHIA KAMA WALE WAKINA THREE NA HAWA MSAMEHE ILA ACHANA NAE UTAKUJA KUJILAUMU KAKA NA SS HATUTAKI TENA UPATWE ULIYOYAPITIA KWA WATU WALE NA KES ZA KIPOLIS BILA SABABU.
@@user-rd7jt1vi5x acha dunia imfunze kwanza kuna wengi wana itaji msaada alipewa aka chezea ata pewa tena ata chezea ina tosha ana nguvu akafanye biashara mshenzi wa tabia tu
Ukweli humweka mtu huru kiukweli ,kila amtendae mwenzie ubaya utamfanya ajute ,hii timu ya maximum TV wanajitoa sana Mungu awabariki hatakama mnachafuliwa Mungu atawasafisha .
Alhamdulillah ka zahr Allah azidi kukupigania kaka angu kipenz Hakika Mungu ni mwenye kukujibia hapa hapa duniani Kawa mpole hatar sema da laila popote ulipo balikiwa sana dada angu una moyo mzuri mashallah
Sijaangalia mpaka mwisho ila kaka zahir kuwa makini na hao watu ambao walishakusaliti usipende kuwapa nafasi tena watakuja kukuletea shida kama mtu alishindwa kujua thamani yako iweje wewe umthamni achana na hao watu kaka zahir kaka zahir kaka zahir nimekuita mara tatu kaka yangu bado tunakupenda sana pia ujue sisi ndio tunaoumia kuchafuliwa kwaki binafsi yangu ungeachane nae tu .
Asalam aleikum bro madamu amejua kosa lake inshallah asaidiwe lakini mufungulia mradi nyinyi wenyewe sawa inshallah na mungu ata waifathi tuko pamoja sana brother
Wapendwa tusaidie tu wenye mahitaji iwe kwa wagonjwa iwe riziki ya tumbo tusibague mumshukuru Mungu ila Zahiri ana Moyo wa kiume angeumbwa na Roho ya kike angezira hawa watu Mungu amlinde Zahir🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mimi naona amuachishe sasaiv jamani Allah atupe nguvu tumchangie pesa japo pesa ya miezi mitatu minne aweze msadia mtoto Ameen zahir msamehee watu wanao ishi na mambukizi wanakuaga na hasira sana tumchukulie ni ndugu yetu kama mtanzania mwenzetu Hongera kwa kipindi
Heee huyu tena yatakuwa Yale Yale hebu achana nae twende tuangalie wagonjwa watu kama hawa wakuachana nae msamehe lakini achana nae sio mgonjwa wala kilema afanye biashara nalazima watu kama hawa wanarudi maisha magumu Ila wakipata vimchango basi masikuo yako juu achana nae
Zahir huyo achana nae tu huyo kakutafuta sababu anataka pesa, huyo ndo dizaini ya hawa. Wenye tatizo kama lake wapo wengi mbona. Kwani huo utoto sasa hivi umeosha. Mwache apambane na hali yake
Nnachokiona kwa tumaini huyu bado ni mtoto, msamehe kaka Zahir,then mm namhofia Sana uyo mtoto mchanga asije akafanya mistake akamuambukiza Maradh, ewe mungu msaidie 😭😭
Tenda wema nenda zako kaka zahir im frm kenya bt I love u soo much and I love ur job may god bless you 🙏🙏💖 💜 ♥ ❤ 💗
Za hir mm nimesoma comment za watu hap nyingi zanakuvunja moyo ameshaomba msamaha msaide tu kwa ajili ya huy malaika asiyejuwa kitu alichokifanya mama yake kwa kumlea mtot ningumu mtot analia njaa nyonyo hakuna maziwa hakuna uji hakuna huy mtoto atateseka jaman msaidie tu mungu ndiy anayejuwa nin umefanya kwa huy mtoto lakis sio sis wanadamu
Kweli dada
Subhannallah jaman ubinadamu kazi kweli kweli kk Zahir kuwa na subra na uwe na. Kifua kipana maan kkumbana na mitihani mingi yote hiyo ni kkupima Iman yako mswamehe tu Kwan hajui ayafanyao ss twakuombea mno kk binafsi Nakupenda saan Zahir Allah akuzidishie Hekima, Busara, Ucha Mungu na Imani ktk maisha yako na akujarie husinul khatima njema Yarabb msaidie tu huyo dd na Allah atakulipa kwa Ihisani yako
Msimsaidie uyu hana lolote bahat n mala moja haumwi afanye Kaz 2 atakugeuka tn uyu
Umeona eee
Kabsaa..sai watu na afya zao awajitumi bda yakujua maximum tv yasaidia watu...hyu c mgonjwa ameze dawa atafute dili zngine
Kabisa
Sio mgonjwa wa Kulal uzur ameshajifungua salaam afanye kaz bahati haij mara mbili
Wakiishiwa ndo wanarudi mikono wameweka nyuma na kujifanya wanaomba misamaa na sura zimepooza km wamemwangiwa na maji ya baridi Akisha pata pesa tu zina watia wazimu muone sasaivi jinsi Alivyo mpole kumbe nafisi yake ss
Ana miguu na mikono atafutee biashara afanyee yoyote
Umeongea nilichokiwaza Zahiri angepoteza nguvu Kwa wenye maradhi makubwa
😁😁😁😁😁😁
Halafu baadaye wanamchafua kweli jaman🥲
😂😂😂😂😂😂
afanye kazi uyo sio mgonjwa afanye kazi alee mtoto dili na wagonjwa wanoteseka na kuumwa hao wazima wanasaidiwa badae wanageuka
Zahir usifanye biashara ya madela aweke genge ili apate muda wa kumtuza mtoto wake
Tena akiwa na akili genge linafaida
Bora hy madela watu hawatanunua mpk wawe na shughuli lkn genge mtu akiwa na njaa atanunua
Daaahh!!ila kaka Zahir kwakweli una roho ya hurumaa hongera kaka Allah akuzishidishie Imani zaid ya hapo napia tumsamehe kwali kwa ajili ya mtoto jamanii😢😢😢
Kaka Zahir msameh kwajil ya allah msaidie tu ajui alifanyalo kaa nae ongea nae kaka angu bless kk zahr
Kaka zair sasa hapo tunakuwa na wasiwasi sasa uwo wasiwasi ni wa yule dada ake mjamzito inawezekana alidanganya mwanzo aliyokuwa anaongea ni muongo basi huyo mtt
Tunakutakia malezi mapya, akue kwa kumjua Mungu
Aamiin
Zahrii msaidie
@@mariamjumakimaya2130 kheee hii sasa ya leo kwn!!?
Zahri yure mtoto wakiume ariokua anarara nje ariomchukua yure dada anakaanae kasema anamsomesha vipi aureti mrejesho unaereta wa wengine
Wewe ni mtanzania au vp maana kuandika huku vp hiyo ra, kila sehemu khaaa kiswahili kigumu
@@niaanthony9588 🤣
@@niaanthony9588 😂😂😂😂😂
@@niaanthony9588 usimseme kwa ajili ya lugha inategeme ni wengi sana badili ya raaa wanasema laa bora ufaham tu
@@niaanthony9588 🤣🤣🤣🤣🤣
Akatafute kazi mbona afya yake nzuri tu wapo watu wenye maisha magumu na wenye uhitaji zaidi
Kabisa afanye kazi asichezee watu
Mmmmmmh
Kweli dadangu
Kabisa mwisho wa cku wanamgeuka kaka zahir
Jasili haachi asili asaidiwe tu lakin habadiliki akifanikiwa yatakuwa yaleyale
Ahsante kaka Zahir kwa kutujali tunaokufuatilia..nilikuomba umlete tuma na umefanya hivyo thank you
Lakini kaka yangu uyu yuko uzima wote na migu na mikono na afya yoye mtaftie tu mtaji aaze maisha....alafu na wewe usaidie weye uhitaji zaidi
Mashaa ALLAH,
ALLAH Akukuzie Mtoto Wako.
Ila Hawa Watu Sina Imani Nao Kabisa, Nikimfikiria Hawa 🤔 Kua Makin Nao Sana Kaka Zahir.
Yàani hata mm imani imeniisha kabisa nakumbuka dada fadina na hawa
Kabisaaa
Kweli kabisa
Yaan kaka zahir katika mabint wote wenye akili ni happy tu me nimeona hawa wengn pesa zinawachanganya na tamaaa
Happy ni kabinti kanao jitambuwa ajabu yule mkubwa wake afathali akaondoka angefanya kama hao wengine wapenda hela umeongea ukweli dear
Kabis my happy Anajielewa sana rkn wengine hawa ni viraza tu wakipata pesa wanamuona kk yetu Ana msaada tena kwao
Masha Allah amenenepa Tumaini,Allah amlinde kababy kake.
Zahir yule mtt uliye mwokota akapelekwa shule, mrejeshoo
Eeee ni kweli
Nikweli kabisa mda sana
Mungu akubariki kaka zahir endelea na moyo huohuo
Yeah ni kweli sijui anaendeleaje yule mtoto
Kaka zahir nakupenda sanaa kwa ajili ya Allah....lkn kaka zahir msaidie tu na biashara yyte tu
Zahir mpe mtaji TU akachakarike
@@mharucissa4123 unaowasaidia ndoa wanakulipa mabaya
Kaka Zahir nae unapenda watu km awo looooh Ukomi kaka dah hongera mama Mtoto
Zahir ana huruma kwa hao watu wa kumchafua
Watu ndio walikuwa wanaulizakuusu uyu binti
yani anawapenda
Zahir huyo ni hawa kabisa uso mkavu achana nae apambane na hali yake amekutafuta kwa sababu hela imeisha kama huamini ni mshenzi achangiwe tena ndio utamjua yeye nani saidia wagonjwa zahir achana na hao wanaojiuza wakiona maisha yamewashinda wanakuja huku kusumbua watu kiufupi wanakera
Hakika
Iyo ni kweli kabsa!
Kabisa
daa uyu mtot ata kwa ndg zake anatatizo mtu umemsaidia alafu ananzaa kuleta mdomo daaa mhhh uyu dada ni mtoto ni mxhenz sana achana nae muache da my umesema kweli
Msamehe zahir tumsaidie
Point dada mana huyo nimtoto amezaa mtoto mwezake anaitaji msaada
Kabisa
TUMPE MTAJI TUU MAISHA YAENDELEE ILA TUKO BUSY NA WAGONJWA JAMANI
Mimi siafiki hiyo swala ake kushoto mm sijawah kukomement
@@husseingonga8331 Hussein Unamuona vipi Tumaini kama hawa au
@@husseingonga8331 naunga mkono hoja haina haja ya kumchangia
@@husseingonga8331 kwamaana alichangiwa akapata pesa nyingi na nyingine hakuzitaja kazifanyia nn kwann asifanye biashara
Hapana kumchangiaa amepata pesa nyingi sasa sisi tuna wagonjwa wengi wanahitaji msaada kwetu
Masha Allah kanenepa tumaini
Msamehe Kaka sote nibinadam tunamkosea MOLA anatusamehe hakuna mkamilifu usife moyo Kaka mpe mtaji ajikim namwanae
Kbsa
👍
Dah kakukosea sana ubinadamu kazi sana kakaangu unasaidia sana watu Mungu akubariki sana kakaangu
Iko cku na fadina nafsi itamsuta.
😀😀😀😀 dunia duara
Inshallah
YAN NIKIANGALIA VIDEO ZA FADINA ANALUA KIPINDI KILE,SIAMIN ALIVYOTOA USHAHID WA UONGO MAHAKAMAI
Kbs
Team maximum ilikupenda sn ikakupa nafasi ila umeichezea , pole sn dogo umeshakua na nguvu weka mkaa uuze ulee mtoto wako.
kabisa
Pole.mudongo.wangu.pia.hogera
Kweli kabisa
kaka zahiri mungu atakulipa sana.. hata wakikuchafua Allah atakusafisha tu, huoni wanarudi wenyewe
Swadqta
@@rehemasalim4590 a
Mashallah mungu akukuzie mwanao anahaki yakusaidiwa Haswa kwajili ya mwanae Kaka uyomtoto amfanyie mazoez ya kumwachisha ziwa
Kaka zair tenda wema nenda zako,malipo kesho kwa Allah🙏🙏🙏
Yaani huyo msichana hajiongezi kabisa ingawa mungu kampa mtihani yaani kuna waschana wadogo wanabusara sana ona happy busara zake mashallah tena mdogo wao sana tumuombee allah ampe ufaham ajitambue atakaeweza amsaidie vile anamtoto atatulia zahir msaidie allah atakulipa kwa yote
Mashaa Allah kanenepa 👌
Kabisa
Masha Allah
mashaAllah
ZAHIR sio KWA ubaya please huyo mtu Ana afya yake nzur atafute kazi cz alichangiwa pesa Alhmdulillah angeweka akiba akafanya biashara sio wakichangiwa Wana kula pesa Kisha warudi tena NO ZAHIR ajisimamie saa hii please Kuna watu wanashida 😭
Kweli_eti_mtu_akiomba_msamaha_anachangiwA_tena_mimi_natafuta_laki_tu_yabiashara_sijui_,nato_wPi
Tusha msamehe ila pesa hakuna auze maandazi
Achana nae atakuja akuchafue tena
Umeona sometimes Mungu ana sababu yake kuna viumbe hawabebeki
Ndio binadamu hawana wema
Kama hawa tu
Yaani uyo nikama hawa achana nae
Msaidie mdogo wangu, Zahiri
Bahati nzuri ameishapata mtaji wa kuchoma maandazi, ajitahidi kuuboresha aendelee na hiyo biashara.
Kuna wengi sana wa kusaidia wenye shida zaidi.
Hata Fadina atarejea kwa Magoti Malipo ni hapahapa wasicheze na huyo aliye juu 🙏🙏🙏🙏🙏
Zahri Mungu akubariki kwa huduma unayoifanya Mungu atakulipa usipozimia moyo
Huy ndo Wale Wale wakina hawa kaka Zahid dili na happy tyu
MM NASHAURI KAKA ZAHIRI ACHANA NA HAWA WATU MAANA WANAKUFANYIA MABAYA KILA WAKATI,HANGAIKA NA WAGONJWA WANAOONEKANA WANA UHITAJI.HUYU BADO KIDOGO ANGEKUSABABISHIA KAMA WALE WAKINA THREE NA HAWA MSAMEHE ILA ACHANA NAE UTAKUJA KUJILAUMU KAKA NA SS HATUTAKI TENA UPATWE ULIYOYAPITIA KWA WATU WALE NA KES ZA KIPOLIS BILA SABABU.
Tatizo ana mtoto jamani, tufanye kwa ajili ya mtoto wetu jamani
Tumsaidie jamani kwa ajili ya mtoto
Uyu ni kama hawa
Mashallhaaa mungu amuwezeshe
Congratulations my young sister! Jitahidi sasa kutulia ulee mwanao .
Manshallah tuma wangu nilimmis daaaa shukran sna kwa kumleta tuma mungu azidi Kumpa afya
Zahiri msaidie tu maana hajui aritendalo
Biashara asimamiwe cz mwenyewe huyu Hajitambui
Huyu kama hawa hawezi kufanya biashara
Hongera kaka zahiri yupo kama hawa lakini msaidie tena ALLAH atakulipa tu
Aamiin
Kaka zahiri ni ana roho Nzuri sana sana ndio maana mungu anampigania mungu amsaidie sana ana majukumu makubwa
Tupo bize na wagonjwa kesha saidiwa sana tuhudumie wagonjwa kwanza tusirudie kusaidia walio kwisha kusaidiwa
Msamehe zahir hakuna mkamilifu
Nia safi hairogwi kaka zahir tenda wema wende zako usingoje shukurani
Swadqta
👍
Binadamu hawana shukran haswaa hawa wenye mikono na miguu na macho ,unamsaidia roho safi anakuzunguka anakuchafua, mfungulie biashara apambane tu
Zahir msaidie kwa mara ya mwisho pia kwa ajili ya mtoto.
Hongera kwa kujifungua ila zingatia kumnyonyesha mtoto miez sita mbona mingi sana kumnyonyesha mtoto angalia usije mpa mtoto matatizo
Umenena👍
mm kwa maoni yangu zahir hatakama atamsaidia pesa isipite mkononi mwake umunulie tuu mahitaji aweza rudia tenaa
Alhamdulilah kwa kujifungua salama Allah akuhifadhi ww pamoja na mtoto wako ili umlee mtoto wako kwenye malezi bora
MashaAllah hongera mdogo wangu Naona na kipin juu
😅😅😂
@@khadijatwaha7333 khadija wacheka nn Sasa na huku waona kabisa bidada kajikonk
@@mwannerajabu8688 chezea wee
🤣🤣💃
Asimnyonyeshe 😰 apo apo alipo Fikia amuachishe tu
Kitaalam Hadi mwaka cku hiz wananyonyesha Ila kikubwa ni kufuatilia clinic na kufuatilia maelezo utakayoambiwa na wataalam wa afya!!
Kaka zahiri naomba umsamehe kwa ajili ya mtoto msaidie tu jamani nadhani kwa anayopitia atajirekebisha,
Hawa awambadiliki nikina Hawa tu ila afanye kazi uyu nimzima
Hakuna msaada apewe pesa ya chakula 2 hakuna biashara hajielewi huyo
Zahidi mwili wako unarudi masha allah mungu akusaidie kwenye kazi zako
Allah akuweke kaka
yeye si alisemaga anajua kushona anunuliwe cherehan
Kaka Zahir ushaur wangu tumchangie pesa apate chumba na hayo magunia ya mkaa mpatie situmai akaanze biashara
Kamuahid happy
@@rehemasalim4590 ndio sikatai ila Kama keshampatia mtaji na maendeleo yanaonekana. Why wasiangaliwe na Hawa wengine wanauhitaj pia
@@mwannerajabu8688 uyo aliichezea bahati
Ndio alimhadi Happy lakini na huyu pia anahitaji msaada jamani mwacheni apewe akaanze maisha mengine nae ila Happy anajitambua sana yule binti
@@user-rd7jt1vi5x acha dunia imfunze kwanza kuna wengi wana itaji msaada alipewa aka chezea ata pewa tena ata chezea ina tosha ana nguvu akafanye biashara mshenzi wa tabia tu
Mashaa Allah
Maa shaa allah hongera mwaya
Mashallah Allah atukuzie mjukuu wetu.
Amiin
Ukweli humweka mtu huru kiukweli ,kila amtendae mwenzie ubaya utamfanya ajute ,hii timu ya maximum TV wanajitoa sana Mungu awabariki hatakama mnachafuliwa Mungu atawasafisha .
Alhamdulillah ka zahr Allah azidi kukupigania kaka angu kipenz
Hakika Mungu ni mwenye kukujibia hapa hapa duniani
Kawa mpole hatar sema da laila popote ulipo balikiwa sana dada angu una moyo mzuri mashallah
Huyu nae ndo wakina Hawa watu pamoja na Zabibu🤣🤣🤣🤣🤣
Kaka zahir umsaidie
Musaidie tu hajui alitendalo ujana ni maji ya moto
Mashallah, jmn kapendeza but msamehe kwa ajili ya Allah Zahir
Sijaangalia mpaka mwisho ila kaka zahir kuwa makini na hao watu ambao walishakusaliti usipende kuwapa nafasi tena watakuja kukuletea shida kama mtu alishindwa kujua thamani yako iweje wewe umthamni achana na hao watu kaka zahir kaka zahir kaka zahir nimekuita mara tatu kaka yangu bado tunakupenda sana pia ujue sisi ndio tunaoumia kuchafuliwa kwaki binafsi yangu ungeachane nae tu .
Kabisa angeachana nao tu wapambane wenyewe
slm zaher Allah atakulipa msaidie kwa ajili ya Allah
Zaburi msaidie
Zahir msaid Allah atakulipa
😁😁kana chekesha haka😂tumsaidie kwa ajili ya mtoto
😂😂😂😂😀😁😂
Zahir kweli sijui nisemeje Mungu aendelee kuku bariki kwa kazi zako njema , na naami Mungu yuko nawe usikate tamaa ata vukwazo nivingi.
Mwenyez Mungu atakulipa kwa wema wako inshaallah zahir msaidie kwaajil ya mtoto
Mungu stadhihirisha uongo wote insha,allah
Zahiri msaidie lakin pesa zipitie kwako then umpatie kwa mahitaj maalum ili akili yake ipate kukuwa
Mashallah kapendeza kweli ongera
Ahsante kwa kutuletea huyu dada jamani maana ni siku nyingi sana hakuonekana
Kwani hana wazazi napia kwaoniwapi huyo mana siomkumbwa kwahiokama ana wazazi apewe hela aende kwaomana huyo sawa na hawa tuu
Napia twaomba utuletee sofia tujue aendelea vpi nahaliyake napia dada yakenimtu mzurisana
@@qwqw1665 hana wazazi huyo
MA SHAA ALLAH kanuna haya utulize Akili ulee mtoto
Asalam aleikum bro madamu amejua kosa lake inshallah asaidiwe lakini mufungulia mradi nyinyi wenyewe sawa inshallah na mungu ata waifathi tuko pamoja sana brother
Muwache.akauze.mandazi.uyu.achana.naye..mladi.msingi.umempa.basi
Ndo pale unaambiwa pata pesa tuijue tabia yk,ukiwa huna pesa mtaratibu kwel daa ni mtihan kwakel
Zahir msaidie lakin kua makin nae asije akakutia matatizon bure wakisha pata pesa midomo juuu ila Mungu yupo pamoja naww kaka Allh akuhifadh💗💯
maa shaa Allah 😘😘
Zahir msaidie kwa jili yamtoto
Uyo aliempa mimba ana jukumu gani?
@@muhsiniissa8151 kakataa mimba toka ikiwa changa na hajui alipo
Malipo ni hapa hapa duniani amejuta alichofanya ulikuwa utoto na mimba pia ilikuwa inamsumbua msamehe tu
Inshaaallah allah akupe we pesi msadie
Manshallah mungu yu mwema
Kaka zahir achana nae huyo anajidai tuu huyo sababu anashida shida zikiisha wewe mbaya wala sio mdogo achana nae huyo sisi tudili na wagonjwa hao makahaba achana nae
Kaka achana nae huyo,ni muongo Sana anaweza kukuzushia vitu vya uwongo tena
Mungu akuweke kaka
Msamehe tuu lkn mambo na michango Wacha tuchangie wagonjwa ss
Iyo point
Kabisaaa!
Hayo magunia apewe tumain aanzie biashara
Zaher huyo akatafute kazi mbona anaafya nzuri bora tuchangie wagonjwa wenye uhitaji wapo wengi ty
true
Kweli huyu ako sawa achape kazi
Kweli
Kweli kabisa tusaidie wagonjwa tu
Kabisa tupo pmj🤝
Tenda wema nenda zako Kaka tuendelee kumsaidia
Wapendwa tusaidie tu wenye mahitaji iwe kwa wagonjwa iwe riziki ya tumbo tusibague mumshukuru Mungu ila Zahiri ana Moyo wa kiume angeumbwa na Roho ya kike angezira hawa watu Mungu amlinde Zahir🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Zahir wapeleke Kwa semina kuwashari jinsi yakuishi na vitu via lazima Kwa maisha buna wao Kwa sasa sitarehe bali ni uhai na kupambana msaidie
Asanteni karibuni
Please she needs rehabilitation with syhcosicial support
Hongera Kwa msichana happy
Wa maana ni happy tu,haya mauzauza mengine ni shida
😂
Jamani kaka pore hongera sana kaka mungu atakumpa
Mashaa Allah kapendeza
Kaka zahir umsamehe ni kiutoto tu
Kwani alifanya ninijamani???
@@fetychina3273 namie sijui
Fuatilieni toka mwanzo alivyo kuwa anahojiwa ndo mtajua alikuwa na matatizo gani
@@user-rd7jt1vi5x asante kwa msaada wako
@@user-rd7jt1vi5x KABISAAAA
Kk zahir asipew pesa bali apew tu mtaji afanye biashara.pia msamehe bure tu dunia itamfunza
😂😂😂😂👌subhanallah nacheka kama mazur et dera la msomali ndii kwanu silinauzwa 25,000
Mimi naona amuachishe sasaiv jamani Allah atupe nguvu tumchangie pesa japo pesa ya miezi mitatu minne aweze msadia mtoto Ameen zahir msamehee watu wanao ishi na mambukizi wanakuaga na hasira sana tumchukulie ni ndugu yetu kama mtanzania mwenzetu Hongera kwa kipindi
Heee huyu tena yatakuwa Yale Yale hebu achana nae twende tuangalie wagonjwa watu kama hawa wakuachana nae msamehe lakini achana nae sio mgonjwa wala kilema afanye biashara nalazima watu kama hawa wanarudi maisha magumu Ila wakipata vimchango basi masikuo yako juu achana nae
Zahir huyo achana nae tu huyo kakutafuta sababu anataka pesa, huyo ndo dizaini ya hawa. Wenye tatizo kama lake wapo wengi mbona. Kwani huo utoto sasa hivi umeosha. Mwache apambane na hali yake
Tuachane na matatizo yak yakuzusha mengine asaidiwe tu apate pesa ya maziwa asimnyonyeshe huy mtt akamuambukiza
Hapo kashaulipa nakaka yake achukue hela wakatumie yani sisi hatulalikutafuta pesa
Nnachokiona kwa tumaini huyu bado ni mtoto, msamehe kaka Zahir,then mm namhofia Sana uyo mtoto mchanga asije akafanya mistake akamuambukiza Maradh, ewe mungu msaidie 😭😭