MASHALOVE AFUNGUKA BAADA YA KUFUNGA NDOA/ATAJA IDADI YA MAHARI/SABABU YA KUOLEWA GHAFLA
Вставка
- Опубліковано 15 лип 2021
- Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri
MASHALOVE AFUNGUKA BAADA YA KUFUNGA NDOA/ATAJA IDADI YA MAHARI/SABABU YA KUOLEWA GHAFLA
#Bonatv #Exclusive #diamond #gigymoney #mashalove #drkumbuka #jikeshupa #iyo - Розваги
Jmn huyu ni masha ninaemfaham mimi au pachaake 😀😄kama nawe umeshangaa kama mimi gonga like yako hapa
Kweli ndoa kitu chengine yani huyu ni masha nnaemjua mie yani kapoa hivi..dah alhamdulillah mungu mkubwa..sasa ndo ubadilike utoto uache..wale wanaotaman masha aache upuuzi wa insta like hapa ili ajirekebishe
Mashaallah mashaallah
Allah akuhifadhi doa yako
Iweyaheri yarabi
Inshallah hiyo misahafu uliyo
Itoa itanusuru doa yako yarabi
Utapata watoto inshallah hongera
My love sister wangu
yani nimeshangaa
@@anahanah9145 😁😁usishangae ukaskia ni movie hii mi simuamini vizuri masha😁😁
@@salhanassor5201 mambo ya aibu aliopost na vishati yake Akiwa uchi ndo imefanya nisiamin
Mashallah Allah Kareem 👏 Mungu akakusimamie ndani ya ndoa yako ukaishi salama mpaka Mungu atakapo watenganisha Inshaallah 👏 mabrock Masha love wakati wa mungu ni wakati sahihi
Masha"Allah Allah Awape wepesi
Mashaallah Mungu atakufungulieni kwenye maisha yenu. Mkae vizuri tuu.. Beauty Masha leo umependeza na una haiba yako.
Mashallah mashallah jmn hongera sana dada Allah awajalie khery kwenye ndoa yenu inshallah chenye kher mungu hutia baraka zake
Uyu dada mkweli kupita maelezo. Nmependa alivojibu 'sijui ka amewah kuoa' Hajausemea moyo..hajajimilikisha,...YaAllah akutakabilie ikawe ya kheir da masha
Maashallah basi ndiyo uwache kujitia uchizi usikae miziwa wazi ujistili kijumla Allah akuongoze atuongoze na ss lnshallah
Maashaallaah mungu akupe amani pia mdumu milele daima inshaallah mzikane mzae watoto wema pia mungu akupe utulivu ue mke mwema sana inshaallah
Mwenyezi mungu akutakabali duwa zako, mungu ni mkubwa daa masha.
Masha habint usilie Allah akupe subra na UVUMILIVU ktk ndoa yako mlee akulee mpate watoto wema
Kumbe Masha mdogo Sana jamani Mungu akupe Utulivu wa nafsi na uvulivu katika ndoa yenu .Alf Mabrook waalhi hadi machozi yanitoka Hongera dadangu .kila maisha ni hatua Subra uvumilivu na kumtanguliza Mungu .
MashaAllah hongereni sana Allah akuzidishie kheri piya urudi kwa Allah.
Mashaallah. Alfu mabrook iwe ya kheri
Mashaallah,Allah awasimamie ktk ndoa yenu
Hongera sana Masha, love you, Allah akusimamie katika kila lenye KHERY, hongera sana niko hapa kukuombea 😘🙏
Hongera sana Masha mwenyezi mungu awape kheri katika ndoa yanu inshaallah
Mashaallah Mwenye enzi Mungu ampe maisha yenye kheir na ndoa iwe ya baraka ndani yake
Sasa manyonyo zitatulia, ishakua vyakula vya watoto wake, usitinginge teba😂😂😂 hujui tu vile ulikua unanikela jamani, Shii nimefurahi adi basi,🙌🙌❤❤
Mashahllha leo nimekup enda bure mwenyez mungu awafanyie wepesi kwenye ndoa yen
Mungu akujalie kila LA kheri Kati yamaisha yako inshaallah mahari mashafu najuzuu mashallah dada
Inshaallah yaraab /mwezi /mungu atakujaliya kilalaheri dada yangu
Congratulations! nakutakia ndoa njema God's time is the best time.
MaashaAllah Alf mabrouq my dada etu
Masha Nakupenda sana we dada nimefurah ad machozi ya furaha hongera Mungu akusimamie kila lakheri kwenu.
Mabrook mdogo wangu
Mabruq mashalove mungu akujaalie kila la kher utulie na ndoa yk almuhimu uheshimu ndoa yaliopita yamepita mungu atakusamehe nafikir dini unaijua na umesoma dunia ipe mgongo hongera sana
Mayshaallah ongera dada naiye heri dada .Allah akuwekey wepesi nimefuray sana dada.
Mashallah, Masha mimi nakuombea utuliye , ujistiri kwa ajili ya Allah mimi naomba nikuletee sidiria bora duniani special kwa heavy duty km yako .
Hongera dada Allah akusimamie ktk ndoa yako na pia ubadilike uwe mwanamke mwema na Allah akusamehe na utubu dhambi zako tnakupenda sana da masha
Daah mmungu akusimamiee inshaallaah ilaa GENGENII SIO WAJIBU WAKO KWENDAA NA KUHAKIKISHA MUME KULAA NNOP HIYO NI KAZI YA MUMEE KUHAKIKISHA MKEWEE KUWA AMEKULA AUU ANATAKA KULA NINI AUU ANA TAKA KUVAA NINII, NA KIKUBWAA KWANZAA MUME NI WAJIB WAKEE KUHAKIKISHA MKE ANALALA WAPII, KULAA NA KUVAA HUOO NI WAJIBU WA MUMEE WAJIBU WAKO MKEEE NI KUWA NA HESHIMA KUJIHESHIMU NA KUMUHESHIMU MUMEOO MPAKA DAKIKA ZA MWISHO
NA MMU GU ATAZIDI KUKUSIMAMIAAA INSHAALLAAH
Hongera masha mwenyezi mungu ajalie ndoa yako iwe ya kheir na baraka muishi salama na mumeo inshaallah
Masha Allah mahar mazur Allah Akujalie kher kwenye ndoa yko
Congratulations🎉🎉🎉🎉💃💃💃💃 dear am happy for you darling I hope sio kiki because Tanzania kwa kiki ni number one
Mungu awajaalie maisha marefu ❤❤❤
Alifu mabrouk habibty
Adi raha da masha mashaallah 🤲,tulia sasa mpz 💕💕
Mashaallah allah akufanyie wepesi inshaallah yaani siku zote nakuona lakin leo mzuri sana 😍
Hongera Sana Masha hata Mimi siamini nakupenda sana
Mashaala mungu akujaalie
Hongera sana my dear #MashaLove ❤👌
Mashaa😭😭😭 Sina la kukuambia mpenz yaani nnafuraha hadi machozi yananitoka ndoa ni jambo bora mama mungu akudumishe kwenye ndoa yenu (barakallahu lak wabaraka alayk wajamaa bainakuma fiiy khair) 🤲 maisha mema mwaya🥰
Masha mzuri mimi nampenda, Mungu akufanyie wepesi, hongera Sana dada
Masha'Allah hongera masha
Alf mabrook. Nimefurahi sana. Allah aibarik ndoa yenu muishi mudumu awape masikilizano
Masha leo umekuwa mpolee,Mungu akutunze maisha mapya ya ndoa yako
Manshallah Allah Awenanyi awarinde mabaya
Masha mwenyezi mungu akujalia saana ILI upate unachohitaji na kama unayosema basi Allah akujalie saana
km Ndoa ma sha Allah km ni kiki aaaa umeniwahi
Masha Allah kila LA kheri 😍😍😍😍
Mashallah alfu mabrook ❤❤❤
Congratulations 👏🏼 mashlove
Congratulations Masha.💖💞💞
MashaAllah mabruk sweetheart inshaAllah iwe ya heri Allah awajalie vizazi vyema vyenye kuendeleza qalma ya laillaha ilallah mob love 🌹😍🌹🇶🇦🇶🇦
Ma shaa allah , ndo ukatuliee tena mungu akupe kheri
Hongera sana Masha mungu awajalie mkae vizur ktk ndoa yenu
Hongera dadangu kutoka Kenya
MashaAllah MashaAllah MashaAllah TabarakAllah TabarakAllah
Congratulations Masha,pole kwa kuwapoteza wazazi wako,usihofu wewe ni yatima lakini mungu ni baba wa yatima,mungu akusaindie
Hongera masha wangu nakupenda sana
Congratulations darling ❤
Nakutakia amani na faraja, M/Mungu awabariki kwenye ndoa yenu Inshaallah.
Hongera sana dadangu ,furaha ilioje kuolewa .acha mungu akawatangulie kwa kila jambo.
Hongera sn masha love 🔥🔥🔥
MashaAllah Allah awajaalie kheri inshaAllah
MashaAllah mabruq 👏
Ni ndoa kwel au maigizo nahyu ni masha kwel au nafananisha masha Allah Mwenyez Mungu awaifadh Ktk ndoa yenu
Hongera sana masha Mungu niwetu sote amefanya njia pasipo kuwa na njia
Dah! Mpaka nimemsahau ongera masha
Kumbe mpole jaman kazi tu ndozinaubadilisha mtu 💃💃
Arafu anaongea maneno mazuriiiii
Allah Amuongoz wallah Nimepend Manshallah
Wanafanya kazi IPI dada
@@yusufwaithanje6315 hiyo hiyo si ilimladi Anaishi mjini kwan unafikili anavyofanya haingizi pesa
Lemba sasa alomfunga kanifraisha
MashaAllah hongera
Hongera Masha kwa kukamilisha nusu ya dini
Inshallah,mwenyezi mungu akujalie kwenye ndoa yko.
Masha Allh mungu ailinde ndoa yenu iwe ya baraka na amani
Maa Shaa Allah.
Mbona una Majonzi badala ya kuwa na Furaha.
Aaamini hakutegemea Amini Ili ,wanawake wengi tunatamani kuolewa au tunataka kuolewa ila wanaume ndoivyo.msiwaone wanalopoka kama aunt Ezekiel wengi ndoa tunazitaka😂😂😂
Dah masha duuh hongera
Hongera mwaya
Masha Allah mungu ajalie ❤️♥️♥️❤️♥️💃
Masha mazuri mashaallah allah ajalie . Mzuri buwaanaaa
Nafurahia sana mashalove kuolewa sasa manyonyo usitingishe tena mpe mumeo.heshima
😀😀😀😀
😂 😂 😂 😂 😂 😂
😂😂😂
Hahahaha
MashaAllah MashaAllah na ikawe heri kwako
Masha hongera kwa kufunga ndoa mungu aidumishe ndoa yako
Kumbe mpole jamani Masha Hongera
Masha Allah to much love you for 🇰🇪😘♥️
Ameen ya rabb Allah amiin 🤲🤲
Mashaa Allah hongera sana bi harusi Allah akulindieni ndoa yenu
Mashaallah 💞💞💞 kweli wewe mashaallah kila la kheri kwake
Masha allah allah nimkubwa kama masha love amefunga ndoa basi na wengine mutaolewa hata kama umezaa wala umeachika insha allah
Amiin
Hahahahaaaaaaaaaaaa dada masha leo analia hahahahhhahaha nmecheka kwa nguvu km c kiki Allah awadumixhe jaman mana hamukawii
ndoa sio jmbo la masikhara
Mi ht siamini
Mpaka m2 anasign marriage certificate sio kiki labda
Hongera Sana Masha kalitulize ziwa lako my likawe chakula Cha bwana na Watoto utakaozaa maana ulikuwa unanikera kulizungusha ziwa na Hilo joto la Dar
Mashaalah Mashaalah Mashaalah
Hongera Masha nakupenda sana
Umependeza sana hongera
Hongera sana dada Don masha
Mashallah masha ...Hongera kama kwelii na ikawe heri kwelii....Ila isiwe kiki tu kipenziii maana utatukelaaa
Mungu atakubariki inshaallalh kwauwezo wamwenyezimungu
Nimependa wewe ni mkweli umekiri umemzidi umri.hongeraaa
Umependeza masha hongera mwaya kuolewa ni bahati
Mungu akujalie kumbe mpole Ivo jamani hongera Sana.
mashallah masha mungu akupefuraha kwenye ndoa yako
MashaaAllah
Mungu akujaliye udumu kwenywe ndowa ishauwalah upate watototo 2 pacha ya mwanzo wanaume mm nitafurahi sana mdongo wangu ishauwalah kumbe ni mdongo sana wewe hongera ishauwalah