Pole sn kaka Tariq kila alipangalo mungu mwanadamu ndio humfika pole sana kwa mtihani uwo Allah akujalie nguvu imani na ujasili zaidi km uliweza kuuvuka uwo mtihani wa kumuingilia bado hata kwenye ili lililokukuta litapita inshallah
Allah akufanyie wepesi bro, kama hili jambo limechukuliwa poa hvi na serikali hakuna haki ktk hii dunia wala haina haja kushobokea viongozi, tuishi tu vile Mwenyezi Mungu katuruzuku ufike mda turejee kwake 😪
Pole Tariq., Mungu awe pamoja na wewe na tumefurah unaendelea vzr Mungu aendelee kukupigania kaka , kweli binadamu tumegeka wanyaama na tunaroho mbaya zaidi hata ya shetani yaan unataka 😢 kumtoa uwah mwenzako kisa shida zako binafs loooh Tusali sana aisee dunia imeisha yaan 😢😢
Tarik hongera sana kwa kutokunywa Pombe na kilevi chochte kile n kukataa kufanya LIWATI dumu katika msimamo huo, hakika Allah yuko pamoja na ww🙏🙏 namuomba Allah akupeshifaa urudi katika hali yako ya kufany majukum n kumtumikia Allah
Pole sana Tariq. Mungu alilileta hili kwako alijua unaliweza. Na kupitia wewe Mungu wa Mbinguni atainuliwa. Umekuwa ushuhuda na hasa umeomyesha ujasiri wa kusema kilichokuwa nyuma ya pazia. Mungu wa rehema akutunze na asimame nawe kwa kila hatua yako. Ulinzi wa Mungu usikupungukie.
kwahio serikali imeshindwa kumsaidia huyu kaka jamn maan kesi washashindwa wamekula rushwa basi wamsaidie apone wamshike mkono mpk apone jmn mnajua Mungu yupo na atalipa jmn so sad…😢😢😢😢
Lakin kaka ukiachana na kipindi kile ata sasa iv bado gentleman handsome boy Lakin pole sana kaka angu mungu Akusimamie kwenye afya yako🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Allah atakulipia Tariq pole san mshukuru mungu unaona unaweza kuendelea na shughul zako pia bado uko handsome 😘 💖 ila binadam tumekosa utu kabisa yaan mtu anakufanyia unyama kisa tu umegoma kufanya ushetwan wake ila Allah yupo hawai wala hachelewi atajibu tuuuu utapona inshallah pole sna
Kama mama. Nimeumbiwa sana tumbo la uchungu imeniuma. Real am speechless. I wish kuongea kwetu kungesikiwa but ndo hivyo tumekuwa watoto yatima wa Baba yetu mpendwa JPM. Kweli ulisema tutakukumbu. Pengo lako ni kubwa mno😭😭😭😭
Hii nchi ya hovyo Sana yan mtu anafanyiwa ukatil lakn sheria haifat mkondo. Alafu watu muwe Makin na Hawa watu wenye vituo vya watoto yatima na wasiojiweza hawa watu ndo wanaeneza ushoga
@@dannywillson5874 hv kwann kesi zinakaa mda mrefu kiasi hiki? Nchi ni ya hovyo kweli hili jambo nilakulikalia mda mrefu huoni kama huyo mtu atazidi kuaribu watu? Hizi mahakama nazo hamna kitu
Bora ya ukimwi kuliko hayo yalomkuta angepata ukimwi macho angebaki nayo mwili wake ungebaki km ulivyo lkn muangalie Leo alivyo anaishi kwa masharti maji asitie usoni na mambo mengine kadhalika mwili wote umeharibika hapo hajavua nguo ndio mana nasema bora ya ukimwi na hapo bado kila baada ya miezi 4mpk 6 anatakiwa akafanyiwe sagery
MUNGU WANGU JAMANI MPK TUMBO LA UZAZI LINAUMA NA SIJAZAAA 😭😭 MWENYEZI MUNGU AKUSAIDIE KAKA ANGU POLE SANAAA KAKA ANGU DAAH WANASEMA BORA WANYAMA KULIKO BINADAMU..ila mungu wa haki atawalipia waliokufanyia huuu unyamaa hakika Mungu wa Haki halali na anaona matendo yetu mwenyezi Mungu atawahukumu kwa hili pole sana kaka angu 😭😭😭
Simama katika ibada kaka angu Allah akusamehe achana na starehe mshtakie mungu ndie hakimu wahaki haghafiliki Wala hasahau ipo cku Allah atalipa Tena atalipwa kwa uchungu zaidi
😂😂pole sana, huyo jamaa naona ndio wanaoeneza ushoga, kazi yao kuwaaribu watoto dah mtihani mwaname anatongoza mwanamme mwenziwe dah mtihani mkubwa dunia imefika mwisho
Hii nchii niya hovyo sana aicee ...pole sana Mm nilisha wahi kuibiwa tvs pikipik mpya ilikuwa na week tu nlifanikiwa kumkamata mwizi nilimpeleka rockup siku ya ijumaa nlivoenda j3 nikakuta katolewa mtuhumiwa wangu nauliza wanambia kuwa niende mahakamani then ndo tuka mkamatee nitampata wapnmwizi ila serikali yakisenge san m3 ilipotea hivi hivii
Mara ya kwanza kumuona tarick ni siku tatu baada ya kumwagiwa tindikali, hakika nilimwaga machozi na nilimuombea kwa MUNGU akapone alikuwa akisema anasikia maumivu usoni, lakini sasa tunamshukuru mwenyezi MUNGU 🙏 maana amerudi salama🙏🙏🙏
Poleee kaka Tariq,mwana moshi mwenzangu! Hakika haki ipo kwa Mungu tu,wanadamu tumekua hatupendani Mungu wangu adi inatishaaa😭😭😭.Alipokutoa Mungu ni mbali lakn naamkni atakufikisha pazuri zaidi na yote haya yatakua historia,hang tight🙏🙏Tutatuma michango yetu kadri tutakavyojaliwa soon Insha’Allah🙏
Kwa Mungu wewe niwathamani kubwa Dunia tunapita na kuna maisha baada ya kifo na kwa Mungu tutakuwa wapya Mungu akupe nguvu wewe ni mshindi unasubili kuvishwa taji
Pole sana ndugu Tariq Kipemba mungu atakupa afueni na wepesi wa kurudi ktk shughuri zako .
Duniani tunapitia mengi jaman binadamu tumekosa roho ya utu kabisaa mungu atuongoze tuwe na roho ya huruma na utu🙏 MWENYEZI MUNGU AKUPONYE
Pole saana brother Tariq,,,pia ahsante saana Mungu wa mbinguni kuendelea kukupigiania,,,,tutaendelea kukukumbuka ktk Sala na maombi 🤲🙇😢😢😢🙏🏽.
You're still Handsom T..May Almighty God Heal you in JESUS NAME.
Pole sn kaka Tariq kila alipangalo mungu mwanadamu ndio humfika pole sana kwa mtihani uwo Allah akujalie nguvu imani na ujasili zaidi km uliweza kuuvuka uwo mtihani wa kumuingilia bado hata kwenye ili lililokukuta litapita inshallah
Allah akufanyie wepesi bro, kama hili jambo limechukuliwa poa hvi na serikali hakuna haki ktk hii dunia wala haina haja kushobokea viongozi, tuishi tu vile Mwenyezi Mungu katuruzuku ufike mda turejee kwake 😪
Pole Tariq., Mungu awe pamoja na wewe na tumefurah unaendelea vzr Mungu aendelee kukupigania kaka , kweli binadamu tumegeka wanyaama na tunaroho mbaya zaidi hata ya shetani yaan unataka 😢 kumtoa uwah mwenzako kisa shida zako binafs loooh Tusali sana aisee dunia imeisha yaan 😢😢
Ebwanaeee
Pole sana tariq the future
Pole pole pole sana..
madin nimepata mengi kupitia hii interview yako 🥲🥲🥲
Asante Mungu kwa kumpigania Tariq endelea kuweka mkono wako kwenye matitabu yake na yoyote alieshiriki ukampe adhabu itakayokupendeza
Tarik hongera sana kwa kutokunywa Pombe na kilevi chochte kile n kukataa kufanya LIWATI dumu katika msimamo huo, hakika Allah yuko pamoja na ww🙏🙏 namuomba Allah akupeshifaa urudi katika hali yako ya kufany majukum n kumtumikia Allah
Pole kaka Tariq Allah azidi kukufanyia wepesi utakua sawa tu.
Pole sana Tariq. Mungu alilileta hili kwako alijua unaliweza. Na kupitia wewe Mungu wa Mbinguni atainuliwa. Umekuwa ushuhuda na hasa umeomyesha ujasiri wa kusema kilichokuwa nyuma ya pazia. Mungu wa rehema akutunze na asimame nawe kwa kila hatua yako. Ulinzi wa Mungu usikupungukie.
kwahio serikali imeshindwa kumsaidia huyu kaka jamn maan kesi washashindwa wamekula rushwa basi wamsaidie apone wamshike mkono mpk apone jmn mnajua Mungu yupo na atalipa jmn so sad…😢😢😢😢
Lakin kaka ukiachana na kipindi kile ata sasa iv bado gentleman handsome boy
Lakin pole sana kaka angu mungu
Akusimamie kwenye afya yako🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Pole kaka Mungu akusaidie🙏
Pole sana kaka mungu atakusaidia utakuwa sawa.machozi yamenitoka. daa uyo mtu aliekufanyia hayo mungu amlaani.
M.mungu akujalie bro uweze kuona km ulivyo zaliwa InshaAllah
Allah atakulipia Tariq pole san mshukuru mungu unaona unaweza kuendelea na shughul zako pia bado uko handsome 😘 💖 ila binadam tumekosa utu kabisa yaan mtu anakufanyia unyama kisa tu umegoma kufanya ushetwan wake ila Allah yupo hawai wala hachelewi atajibu tuuuu utapona inshallah pole sna
Pole sana kaka hakika mungu anaweza hadi at list umeona kwa jicho moja
Pole sana kaka kweli umepitia wakati mgumu sana na mungu amekupigania hadi umepata nafuu ya kuona ila muachie mungu huyo kaka ataukumiwa vya kutosha
Pole sana Tariq Allah atakufanyia wepesi Inshallah
inasikitisha sana dunia yetu inapoelekea, kama mtu anakufanyia hivi bila wasiwasi wa mungu. Mungu akupe na azidi kukupa nguvu.
May God's ✨ grace 🙏 🙌 continue sending blessings to you kaka you are still handsome boy child 💙 ❤ he happy 🎉 baba🍃🕊🍂🕊🛐 💘
Namuomba Mwenyezi Mungu Akufanyie Wepesi Upone Haraka Biidhinllah 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Kama mama. Nimeumbiwa sana tumbo la uchungu imeniuma. Real am speechless. I wish kuongea kwetu kungesikiwa but ndo hivyo tumekuwa watoto yatima wa Baba yetu mpendwa JPM. Kweli ulisema tutakukumbu. Pengo lako ni kubwa mno😭😭😭😭
😢😢😢😢😢😢😢😢😢
😭😭😭😭
Hii stori imeniumiza sana,na kuniliza pia ,mungu awe nawe katika kipind chote hiki kaka tariq
Mwenyezi Mungu akusimamie Tariq kweny kipindi iki kigumu unachopitia na pia atujaalie Mwisho mwema sote
Pole sana bro❤❤get well soonest
Mungu akuponye Tariq na akutie nguvu ulisimamia kilicho sahihi 🙏
Hongera Sana kwa kukutaa Allah akufanyie wepesi insha'Allah pole kwa mthn
Huyo cousin mungu ambariki ❤️🙏🏻
tariq unaushadi mkubwa mpaka kiama Allah akujaalie kheri mpaka mwisho wamaisha yako Pole sana kwamitihani
Tariq kipemba wewe ni shujaa bruh... And we love you for the decision you've made💯🌹
May God heal you bro it's so painful wah kuna watu hawana utu kabisa
Allah ampe mwisho mwema kwakukataa kufanya uchafu
Pole Mungu atakusimamia wakati mwingine Mungua anatupitisha katika majaribu ili uzidi kuwa karibu nae
Allah atakulipia .🤲🙏
Allah atakufanyia wepesi In Shaa Allah
Kaka pole Sana malipo nihapahapa mungu atakulipia kwakila Jambo jinsi ulivyokuwa mwanzo dah mungu ashukuriwe na tunawapondeza aho madaktri waindia
Hii nchi ya hovyo Sana yan mtu anafanyiwa ukatil lakn sheria haifat mkondo. Alafu watu muwe Makin na Hawa watu wenye vituo vya watoto yatima na wasiojiweza hawa watu ndo wanaeneza ushoga
Nikwel tasisi nying zimevaa ngoz ya msaada lkn wanaeneza ushog na usagaji mungu tuhurumie
Kes ipo mahakamn acha kupayuka
@@dannywillson5874 hv kwann kesi zinakaa mda mrefu kiasi hiki? Nchi ni ya hovyo kweli hili jambo nilakulikalia mda mrefu huoni kama huyo mtu atazidi kuaribu watu? Hizi mahakama nazo hamna kitu
@@dannywillson5874 kesi ipo mahakamani,na aliemfanyia kitendo hicho yupo wapi?
@@dannywillson5874 acha kutetea ujinga wewe hawapo serious na huo ndyo ukweli
Mwenyezi Mungu amfanyie wepesi
Pole sana kk
Dah pole sana
Stay bless bro
Dah pole sana 🙏🙏
Noma Sana
Angekuwepo magu asinge chekea huu ujinga rest easy mtetez wa wanyonge
Pole sana my brother Mungu awe nawe
Pole sana Kaka ang mtegemea Allah tuu binadam hawana wema
Allamdulillah👋
Dah pole saana
pole saana bro
yaarab wahurumie watoto waliopo katika vituo vya kulelewa wewe pekee ndio mlinzi waviumbe vyote 🤲🤲🤲🤲😭😭
Kabisa yani inatia uchungu wallah watoto wanaharibiwa sana
Pole sn broo umenifanya nilie sn huo ni ukatili ila mungu ni mwema umeona
Daah Mungu akutie nguvu...
Pole sana
Shifaa ya haraka in sha Allah
Dah pole shukuru Mungu kakuepusha na UKIMWI 😔😔😔😔😔😔😔
Bora ya ukimwi kuliko hayo yalomkuta angepata ukimwi macho angebaki nayo mwili wake ungebaki km ulivyo lkn muangalie Leo alivyo anaishi kwa masharti maji asitie usoni na mambo mengine kadhalika mwili wote umeharibika hapo hajavua nguo ndio mana nasema bora ya ukimwi na hapo bado kila baada ya miezi 4mpk 6 anatakiwa akafanyiwe sagery
MUNGU WANGU JAMANI MPK TUMBO LA UZAZI LINAUMA NA SIJAZAAA 😭😭 MWENYEZI MUNGU AKUSAIDIE KAKA ANGU POLE SANAAA KAKA ANGU DAAH WANASEMA BORA WANYAMA KULIKO BINADAMU..ila mungu wa haki atawalipia waliokufanyia huuu unyamaa hakika Mungu wa Haki halali na anaona matendo yetu mwenyezi Mungu atawahukumu kwa hili pole sana kaka angu 😭😭😭
Pole sana kaka MUNGU AKUPONYE
#God did 🙏🙏🙏
Dah mungu amponye
Simama katika ibada kaka angu Allah akusamehe achana na starehe mshtakie mungu ndie hakimu wahaki haghafiliki Wala hasahau ipo cku Allah atalipa Tena atalipwa kwa uchungu zaidi
Cousin Mungu akutie nguvu pia
Watu wanapigania kujitatua kwenye janga hili la ushoga yeye anatuletea HASUBUNALLAH WANEEMAL WAKIL ☝️
Pole br mung yupo na ww
Ahsante mungu kwa uzima nilonao
😂😂pole sana, huyo jamaa naona ndio wanaoeneza ushoga, kazi yao kuwaaribu watoto dah mtihani mwaname anatongoza mwanamme mwenziwe dah mtihani mkubwa dunia imefika mwisho
Pole sana Tariq
Quick recovery bro,all shall be well
Pole sana Mungu akupe wepesi ktk afya yako, upone kabisa.
Allah atamponya Tariq lnshaallah
HASBUNALLAH WANI'MAL WAKEEL😭😭😭😭
Duh,Mtu huwezi jua Kilichompa kama una Macho mawili,sisi wenywe jicho Moja tunajua Maumivu!!!poleee kaka
Bwana akutie nguvu bro
Hii nchii niya hovyo sana aicee ...pole sana
Mm nilisha wahi kuibiwa tvs pikipik mpya ilikuwa na week tu nlifanikiwa kumkamata mwizi nilimpeleka rockup siku ya ijumaa nlivoenda j3 nikakuta katolewa mtuhumiwa wangu nauliza wanambia kuwa niende mahakamani then ndo tuka mkamatee nitampata wapnmwizi ila serikali yakisenge san m3 ilipotea hivi hivii
Yaarabi mponye mja wako 😢, pile saana Tariq, aliekufanyia haya yote Mungu amlipe
Mungu akufanyie wepesi tariq. Kuwa strong bro😭.
😮ط
Jamani pole sana utapona mngu yupo
Poleee sana 😢
Pole Sana karibu kwetu India..... Lini unakuja india tuonane tusaidiane chochote kitu
Huyu mtu itabidi anyongwe 😢😭 Yani mashoga wauwawe tu Kwa kweli
WAZUNGU WENGI SANA WAKUTOKA GERMANY HUWA NIMASHOGA
Pole, Tariq tupo pamoja mama Sabra Oman
Mara ya kwanza kumuona tarick ni siku tatu baada ya kumwagiwa tindikali, hakika nilimwaga machozi na nilimuombea kwa MUNGU akapone alikuwa akisema anasikia maumivu usoni, lakini sasa tunamshukuru mwenyezi MUNGU 🙏 maana amerudi salama🙏🙏🙏
Dah imeniuma sana
Yote katika yote Mungu ni mwema kwako
Dah pole Sana Kaka MUNGU azidi kukutetea yeye ndio hakimu mkabidhi yeye atakutetea
Dah nimeishia kulia 😢2 pole broh
Poleee kaka Tariq,mwana moshi mwenzangu!
Hakika haki ipo kwa Mungu tu,wanadamu tumekua hatupendani Mungu wangu adi inatishaaa😭😭😭.Alipokutoa Mungu ni mbali lakn naamkni atakufikisha pazuri zaidi na yote haya yatakua historia,hang tight🙏🙏Tutatuma michango yetu kadri tutakavyojaliwa soon Insha’Allah🙏
Wa kwanza today
Pole sana mungu hatakuacha😢
Any way Mashoga ni wengi sana Mungu awaaangamize InshALLAH
Bora umeelewa ,this man is havin something hawez sema kwa social media
🥲😰😰😰😰
God is with you bro, Hii nchi sheria unebakwa na umasikini wa fikra mtu anafanya hivi na anakuwa huru uraiani. Bushit police
Allah Akbar
Wekeni story kwa mpangilio basi tuwe tunajua hii namba moja au namba mbili nakuendelea
Kwa Mungu wewe niwathamani kubwa Dunia tunapita na kuna maisha baada ya kifo na kwa Mungu tutakuwa wapya Mungu akupe nguvu wewe ni mshindi unasubili kuvishwa taji
😢😢
hela ndio kitu jmn 🙌yaan uyo katoaaa hela nying saaan
duuuh pole sana brother
Jamani hii dunia ina binadamu wanyama kuliko hat the "BIG 5"
Hahahaha ... Miyeyusho sana