Mungu awabariki sana Familia ya Masham Sham kwa jambo zuri kama hili la kuondoa tafauti zao Juma na Mama Watt wake Alhamdulilah Alhamdulilah M.mungu awape kila la kheri Dunia na Akhera Bii Idhinillah Ameen
Isa azam nakukubali sana,zidi kupambana kabisa, 💪❤️🌞🙏🇰🇪. Lakini juma lipa deni na Kama mnaweza kusameheana basi mrudiane maisha mengine yaendelee👏🔥❤️🌞🙏🇰🇪.
Okopa mtu anaesema ndugu yake wa damu. Ipo siku na hawo utawatangaza mabaya. Gari tu inakutowa povu. Ndugu ni ndugu omba apana kuponda wako. Issa muokope Mungu duniya nimapito. Naokopa!!!!!!!
Ira mpe pesa zake dhambi usipompa pesa zake muogope mungu nayule dada alikupenda kwa dhati na mvumilivu na msili akuongelei vbaya naww usimuongelee vbaya
Huyo issa azam anaonyesha ana roho mbaya sana njaa itampeleka pabaya sana mmbwa huyo unaambiwa damu nzito kuliko maji ipo siku damu itakuumbua tuu nyooooo
Kweli kabisa me ananikera kweli tushajua ni ndugu kinachomuongelea ally kiba nn na akikaa akisubiri kiba amjibu atasubiri Sana hana ujinga wako mpuuzi huyo Fanya maisha yako kiba kiba mnamtaja bcs unamwogopa chawa mkubwa ww
Dida nakupenda sana kabisa kwakweli juma alikua nakauka kama musomalia😅😅😆😆oooh juma ule mwanamke alikua nakupenda sana juma wanaume walimbukeni akipata pesa kesho anakutupa juma Mungu akusame haki yamungu this it's was time for you ku make that women happy ila unamurudishiya mabaya nooooo man juma murudishane yule mwamke nimuzuri wazuri niwengi ila wenye mapenzi yakweli awako most women today wata kupenda kwasababu unakua najina but this women did mind you did have money .juma ume mukoseya sana kabisa uyu mwanamke
Mungu awabariki sana Familia ya Masham Sham kwa jambo zuri kama hili la kuondoa tafauti zao Juma na Mama Watt wake Alhamdulilah Alhamdulilah M.mungu awape kila la kheri Dunia na Akhera Bii Idhinillah Ameen
Hongera Sana kwa mama dangote kuzaa mtoto mwema mashallah mungu ampe afya njema nasiha njema 🤲
Mtoto wa mama dangote ni yup
Isa azam nakukubali sana,zidi kupambana kabisa, 💪❤️🌞🙏🇰🇪. Lakini juma lipa deni na Kama mnaweza kusameheana basi mrudiane maisha mengine yaendelee👏🔥❤️🌞🙏🇰🇪.
Asante aisha vzr sana umemnyoosha
Mwanamke anampenda juma bado.. Asante momo na dida mmemaliza vizuri
Big up lokole
Issa Azam huu mwezi Mtukufu halafu ni muislam bado una sengenya Subhanallah
Okopa mtu anaesema ndugu yake wa damu. Ipo siku na hawo utawatangaza mabaya. Gari tu inakutowa povu. Ndugu ni ndugu omba apana kuponda wako. Issa muokope Mungu duniya nimapito. Naokopa!!!!!!!
Wanawake tunaowatoaga wanaume tongotongo huwa tunaumizwa sana, tukisema tunawaanika ni aibu yao. Hongera Bi Aisha na Juma kuyamaliza swalama!🙏
Ira mpe pesa zake dhambi usipompa pesa zake muogope mungu nayule dada alikupenda kwa dhati na mvumilivu na msili akuongelei vbaya naww usimuongelee vbaya
Kabisaaa
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌ukiishi kwa upanga utakufa kwa upanga. Asante kwa kutoa heshima na kukumbuka aliyesumbuka nawe.🙏🙏🙏
Ma sha allah mzur bi aisha😘😘
Dida upo vizuri mashallah napenda upo vizuri kwamaswali endelea kumswalika juma ujuba umemuisha kweli muosha huoshwa
Ramadhaniii radio nzimaas mumeamua kumchafuaaaa mwenzenuuuu gariutuuuu ndio linaganyaaa unaaichafua familiaaa Mungu akusamehee
Ila dada dida nakupenda atar😘😘
Juma mungu anakuona
Love you Didaaaaa!
Wallah momo nimekupenda unaongea point saana
Niatari🔥🔥
Yooo Jum nchek Pak mbavu zinaum
dada DIDA nakupendaaa
Nawakubari sana wasifi
Nimeipenda hii
Mashaallah djuma.ana mwanamke mzuriii kabisa niujinga wak tuu waumbea lakin nikaz
Kaka momo umeongea point sana
Nice
Mwanamke nimzur mashallah
Mashalala
Nimempenda didah 🤣😂😂🤣😂😂😂😂mmbea sana🤣🤣😂🤣
Tena muosheni vizuri uyo juma
Juma mrudishe mkeo isa umeongeya vizuri na uchebe ume zungumza vizuri pia wcb 4 life leo ilikuwa tamu kwa masham sham
Huyo issa fala sana
Momo unabusara saaana kaka
Umekoma leo
Only in tz
Juma Shikamo 😃😃😃😃😃😃
Juma yeeeeeee 🤣🤣 mrudishe mama ni mzuri ❤️❤️❤️🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Tena sana km anauko na snora adi kuongea anmoyo waimani waume bwana
Sound hiyo inaharibu
Nimemsikiliza huyo Dada media Kama mbili tofauti
Aisha bado anampenda Juma ila cjajuwa kumpenda huko kwavle yupo WCB au tokea kpnd cha nyuma
Juma sii dini Inamruhusuuuuu
Dida una hekima sana. nimekupenda sana
Juma kapatikana leo. Dida shukran sana.
Kapatikana leo lokore1
Juma mkeo mzuri kushinda ulozaa nae 😎
Huyo pia kazaa nae mtoto wakwanza cjajua km amepata mwingne
🤣🤣🤣🤣 love you guys❤️❤️
Hilo tatizo moja hutoongea kwa Sabu sio zur kwa jamii nii twambie au ndo Yale wanaviongea watu🙈
Na Amina henekeni ulivamia?
Huyo issa fala sana kiba hamuongelei wala nini yeye kila interview kiba
HAJIELEWI HUYO ANAONA BORA USHABIK KULIKO UDUGU HAJUI UDUGU HAWISHI
Kweri juma unazarau punguza
Ha ha ha ha sijui anaechabwa hajuilikan wote mnachambana!!!! Keleeeee
Nyie mna mambo kwakweli
Kapatikana juma lokole
Juma leo ana kigugumizi
Juma lokole wapi hiyo sikuon 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🔥😁😁😁😁leo tunakusema wewe maana umezid kusema wenzio
Kupatwa kwa juma🤣🤣🤣
Kupatwa kwa juma🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️
Kweli huyo mwanamke anamjua juma vizuri mana juma kapooaaaaa 😃😃😃😃
Kapoa kama maji ya mtungini
Walking with bodyguards yet you never owned a car your entire life..lol see your life
Ila juma ni mshari
Juma anazarau sana
Juma apata mhahoooo
Kosa moja hata yeye analijua nasio vizuri kusema hata kwajamii,aisee
Ndo naww uache tabia zakike haipendezi mwanamme ukamchamba mkeo uache umbea juma
Jamn juma pole moyo was m2 msitu juma
Hii stesheni niyakijiweni
Kweli muosha huoshwa Juma Lokole leo Kapata na kigagaziko juuu anacheka bila ata kutengenywa Bababaeeee
Jumaaaaaaa🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️aibu....lipa mahari....mwangalie mtoto chefuuuu mbea kumbe mshamba tu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@tatuhongeranurushaus485 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Mtihani mzito innalillah yaani chuki kwasababu yaaa mtu khaaaaa ndugu hampendani jamaniii nanyie niwa Islam dini mnajiua 😢😢😢😢
Kweli juma leo kawa mpole jatariii
🔥🔥🔥🔥🔥
juma huyo ndo mke
Nikweli huyo nimke wake jamani kampenda toka hana kitu na mahari katoa pesa zake jamanii na KAKUPENDA ukiwa huna sura huyo ndio mke wako .
Hallo wasafi
Juma leo kawa mpole sana yamemfika
Kimeumana
Sauti ya Aisha Lokole kama ya Zuchu mashaallah
Huyo issa azam anaonyesha ana roho mbaya sana njaa itampeleka pabaya sana mmbwa huyo unaambiwa damu nzito kuliko maji ipo siku damu itakuumbua tuu nyooooo
Kweli kabisa me ananikera kweli tushajua ni ndugu kinachomuongelea ally kiba nn na akikaa akisubiri kiba amjibu atasubiri Sana hana ujinga wako mpuuzi huyo Fanya maisha yako kiba kiba mnamtaja bcs unamwogopa chawa mkubwa ww
Third
😅😅😅😅😅😅😅
Juma lokole weeeeeeee 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Jamani juma unazarau sana
Juma kakamatwa leo
Mashaisha bwana yani craunw paka upewe na mwanaume mwenzio dar inamana wewe unashindwa kutafuta m15 ivi dar kwema masta wa bongo maisha magum😁😁😁
Nyoo kumbe juma piya ww hupatikana
Mrudiane sasa
Juma ana mhao
hello hello juma lokole mrekeshe bibiye
Huyu ni uchebe jmn
Huyu kaka ni mshenzi kabisa kama kiba ni ndugu yako kwa nini umuanike kuwa ni mbaya kwa watu undugu haufi urafiki haufi fala sana wewe
Juma mrudishe mkeo
Mahakama ndogo.....
Juma kapatwa na muhaho anahahaa!!
Jumaleo kwishine....
Wa kwanzaaaaa😁😁
Dida nakupenda sana kabisa kwakweli juma alikua nakauka kama musomalia😅😅😆😆oooh juma ule mwanamke alikua nakupenda sana juma wanaume walimbukeni akipata pesa kesho anakutupa juma Mungu akusame haki yamungu this it's was time for you ku make that women happy ila unamurudishiya mabaya nooooo man juma murudishane yule mwamke nimuzuri wazuri niwengi ila wenye mapenzi yakweli awako most women today wata kupenda kwasababu unakua najina but this women did mind you did have money .juma ume mukoseya sana kabisa uyu mwanamke
Naona mchaga yupo kama chawa leo
Mm napenda mashamsham wamuite rayvanny na fahyma tuwaskie
Mnh wale wajeuri sjui kama watajibu kitu
@@joycechaz2840 😄
Fayma ni jeuri na Ray nunda Sasa patakuwa hapatoshi
Ulijuaj shoga ang akiletw fahmy ray so poa
Muyoshwa huyoshwa hapo chachaa
huyo momo. mtoweni hapo ana mpango
Hivi juma naye yuko humu
Mmbea juma umepatikana leo
Juma kapaniki kweli😊😊😊😊
Juma yeeee mpemahari yake
Huyo Dada mzur cjuw kwann waliachana na Juma,,,
Aisha Kama huna bwana njoo kwangu me nipo 🏃
Juma ataka kulelewa nasai dadawawatu hana hela apo umemdikia pia uyo alonaee kamlipia mahari
@@julejule4477 duuuh 😲
Dida👌
Kawa mpole km moja
Jumah hata nipewe bure siwezi mkubali huyu..not husband material
Watu wanasahau walikotoka lokole asingemuacha uyu Dada make alikua anambemba Sana pind Hana kipato
Turudshe to mahar ya watu