KUKOSA IKHLASW KATIKA DA'WAH NA ELIMU NA KUJIPAMBA NA RIAA' MIONGONI MWENU NDIO MAANGAMIZI MAKUBWA MNAYOKUMBANA NAYO... NYOTE MNATAKIWA MREJEE NYUMA MFANYE TOBA NA KUSIMAMA KATIKA HAKI ALIYOKUJA NAYO MJUMBE WA ALLAAH, VINGINEVYO SUBIRINI SAA'
Assalam alaykum warahmatullah wabarakatuh. Simlaumu sheikh abuu muawiya allah amhifadhi wala sheikh KASSIM allah amhifadhi ila ninachokisema ni kuwa tumche allah kwenye kufanya uadilifu pili tusipende kuvalia njuga maugomvi au maikhtilafu ya wana wa chuoni. Kadhia ukiifatilia uxuri utajua kuwa tumechukuwa maneno juu yasio tuhusu tumeyavaa kama sie ndo wachezaji waislamu wanatakiwa kuwa na insafu kwenye kuziendea kadhia. Nawaombea kheir walimu wangu wote wawili ambao wamefitinika kwenye mfitini huu mkubw
Sisi ndugu zake Abul Fadhwil Ni Akhiy Mohammad Mafuta Vip Huyu adai udugu au Udugu wa Kidini?? halaf sio.lazima kukutana na mtu ww pambana na Uhizb wako
@@OmarAbdalla-ug5yg Mahizb ina maana ya ndani sana ila kwa nje maanake ni Uvyama. na kuna alama zake Mfano Kusema uongo,Umoja usio chunga Aqida zetu,Na mengne kibao kama kipaumbele Kusoma Sekula badala ya Dini na mambo mengi. Au kwa kifup ni Hawa wanaharakat wa Kianswar Sunna wanaojiuta lakin kiukwel Wao ni Answar Bidaa.
Hahaha yaani yaani sheikh Kasimu mafuta akae na abuu muawiya aache kazi ya kusomesha abuu muawiya saizi yoko ni abuu sufiani hassani jamada na abulmudhwafara abdala gamba wakubainishie ujahili wako.
sio hana muda..Hana kauli za wanachuoni za kumfnya azngmze katika hili kma anlo angelijbu tu...Dhulma kaifnya na bado hkumfkia hta kwa mustwi wa kielmu alakhy abuu muawiyah رحمه الله.
Kiongozi wafitina katika wasuna niqasimu mafuta kwajifanya yeye anajua kila kitu au yeye ndio awe kiongozi wakila jambo angoze familia yake au nakabila lake
Siku hizi kila mtu akitaka afahamike basi anamsema Shekh Abulfadhil Qassim Mafuta, ndo mana shekh akiwanyamazia huwa wanaumia sana. Nyinyi fundisheni dini ya Allah kwa ikhrasi kwa kufuata quran na sunna kwa ufahamu wa wema walio tangulia basi Allah atawainua
Ss hatumruhusu sheikh wetu Qasim mafuta kukaa na watoto wadogo wenye chuki na hii dawa. Sheikh Abu muawia tunakuomba umuache tna msaidie katika dawa usimuangushe.tunataka muendeshe hii dawa tu salafiyya.
Mbona sheikh kassim mafuta umemuandika qassim mafuta lakin sheikh abuu muawiyyah ameandikwa sheikh abuu muawiyyah kwenye hicho kichwa cha habar .kwani sheikh qassim yeye sio sheikh .Fanyeni uadilifu rekebisheni hapo kama manapenda haqqi.baraka allah fiikum.
Baba umezungumza kweli mana Hawa. Mara wanakupoteza Kwa misimamo ya ovyo lakini tupaki utatubia baadae ila Hawa misimamo Yao utaona kama ni dini hutotubia Bali utaendelea kuwadharau waislam wenzio bure
Bwana shekh qasimu bin mafuta amemdhurumu shekh Abuu mu3wiya hasani ibnu awadh ALLAH amraham .mpaka umauty umemfikia . ALLAH amswamehe na ALLAH amuongoze bwana mafuta kwa chuki zake kwa watu wanaojinasbisha na sunnah
@@abuubakarshabanabuubakar5115 Hehe ATI Abu Muawiyah Salafi Kule Zanzibar na group lake ni kina Bachu Dr Islam na Barahyani ndio safu ya masalafi yenu hiyo mahizbi Wakubwa ALLAH amewafedhehesha Daawa yenu Haina Qabul saii mwanza tena fitna najua munasubiri Abul fadhli ajibu lkn hilo sahau tushabainikiwa na uhizbiya wenu na kushirikiana kwenu na aswari Kwa hiyo sahau
@@abuubakarshabanabuubakar5115kabisaa kaka qassimu mafuta ni hizbu na mtu yeyote mwenye hoja yeye nguvu anamkimbia kamkimbia shekh muawiya Maana alikuwa akimuogopa
Mche Allah na kuwafananisha watu abuu muwaawiya hawezi kuwa sawa na shekh qassim mafuta abuu Muawiya yupo chini kielim shekh qassim mafuta yupo juu mbali mno na hizo ni fadhila za Allah
HAJAAWIRA KIPOTE KIPOTEVU KILICHOASISIWA NA SHEKH YAHYA HAJUUR ALLAH AMUONGOZI Midomo yenu inanuka Kwa kuwatukana wanachuoni na ndio msingi wa da'awa yenu....Allah awaongoze eny mahiizbi wa kihajawira
Sisi hatushangai sana kusema uongo wewe maana ni kawaida kwako, Na ulishawahi kusema kuwa wewe huwezi kuacha uongo maana umerithi kutoka kwa mama yako, Na ukisikiliza tu hayo maneno unabainikiwa kuwa huyu mtu ni muongo na ni maneno yaliokosa adabu na heshima Allah akuongoze
Kaka ukijuwa kama ulio andika ni kweli bas umefaulu na kama ni kwachuki wallahi utaenda kujibu mbele ya Allah na huna jibu rudi kwa Allah umuombe msamaha kabla hujafa
Kuna watu wanapenda mashekhe na so haki ndo maana akitajwa shekhe wake amekosea anachukia , msiwe ivo طلبة العلم
اللهم غفر له وارحمه
Amiiin
Mafuta hana hoja hawezi radd na masalafi yeye ana wezana na BARAHIYANI na masufi nawadhaifu wengine wasio nahoja ndio ana waonea, haachi kuwaradd
Ama maustaz na mashekh zetu Abuu hatim khmisi ame aburrabii haha hoja zakuwajibu ila barahiani hamnyamazii kwakuwa ana mmudu,
KUKOSA IKHLASW KATIKA DA'WAH NA ELIMU NA KUJIPAMBA NA RIAA' MIONGONI MWENU NDIO MAANGAMIZI MAKUBWA MNAYOKUMBANA NAYO... NYOTE MNATAKIWA MREJEE NYUMA MFANYE TOBA NA KUSIMAMA KATIKA HAKI ALIYOKUJA NAYO MJUMBE WA ALLAAH, VINGINEVYO SUBIRINI SAA'
Assalam alaykum warahmatullah wabarakatuh. Simlaumu sheikh abuu muawiya allah amhifadhi wala sheikh KASSIM allah amhifadhi ila ninachokisema ni kuwa tumche allah kwenye kufanya uadilifu pili tusipende kuvalia njuga maugomvi au maikhtilafu ya wana wa chuoni. Kadhia ukiifatilia uxuri utajua kuwa tumechukuwa maneno juu yasio tuhusu tumeyavaa kama sie ndo wachezaji waislamu wanatakiwa kuwa na insafu kwenye kuziendea kadhia. Nawaombea kheir walimu wangu wote wawili ambao wamefitinika kwenye mfitini huu mkubw
Sisi ndugu zake Abul Fadhwil Ni Akhiy Mohammad Mafuta Vip Huyu adai udugu au Udugu wa Kidini??
halaf sio.lazima kukutana na mtu ww pambana na Uhizb wako
uhizbia upi? kwani nni maan ya uhizbia akhy na vipngele vya kumfnya mtu kuwa hizby usiropokwe hun uncho kijua hhha
@@OmarAbdalla-ug5yg Mahizb ina maana ya ndani sana ila kwa nje maanake ni Uvyama.
na kuna alama zake Mfano Kusema uongo,Umoja usio chunga Aqida zetu,Na mengne kibao kama kipaumbele Kusoma Sekula badala ya Dini na mambo mengi.
Au kwa kifup ni Hawa wanaharakat wa Kianswar Sunna wanaojiuta lakin kiukwel Wao ni Answar Bidaa.
Wapandisheni masufi daraja maana wao wanaheshimiana
Hahaha yaani yaani sheikh Kasimu mafuta akae na abuu muawiya aache kazi ya kusomesha abuu muawiya saizi yoko ni abuu sufiani hassani jamada na abulmudhwafara abdala gamba wakubainishie ujahili wako.
Daah kweli unaongea hivo kwa Taqwa ndugu angu??
Sahihi
Hizbu salaf qassimu mafuta ajifanya anajuwa kila kituuu qassimu alikuwa akimkimbia sheikh muawiya Maana anajuwa hamuwezi rahimahullah shekh
Kumbe abuu muaawiya ni Hassan awadhi ribe
Wewe ni salafi ambae kidogo unaheshimu walimu zako ndio maana sijakusikia ukimradi sheikh bakari Kigamboni
tunaomba wakutane ili tustafiid na tujue haqq Zaid, Allah atatuonyesha njia ya haqq, na mtu fedhuli huangushwa na Allah.
Mmeelewa jibu????
Haya Masalafi hao wanalana wao kwa wao. Allah awaongeze katika njia ya haki.
Hii comment ina manufaa gani kwa umma??
Allah akuongoze, hayo maneno yako sio ya haq, hujui nani salaf na nan sio salaf , fanya reseach kabla hujazungumza
@@RamadhaniMuhidini-nn2kg Toa elimu wewe ya nani ni salafi na nani siye salafi, ili tunufaike
@@RamadhaniMuhidini-nn2kg Hao ni mawahabi, salafi walishapita
@@AhmedAli-gh1lm kama ndo kaz yako kusoma mitandaon pole, darasa zipo kasome ujue salaf ni nan
Assalamu alaykum walahumatulah wabalakat
Mashallah Ila nitafurah kukawa na munakasha
Munakasha ni neno la kiarabu Je kwa lugha ya kiswahili nyie mnaitaje??
mjadala
Shekh Abul fadhil Qaasim mafuta Qaasim Hana muda wa kukujibuni
sio hana muda..Hana kauli za wanachuoni za kumfnya azngmze katika hili kma anlo angelijbu tu...Dhulma kaifnya na bado hkumfkia hta kwa mustwi wa kielmu alakhy abuu muawiyah رحمه الله.
Kweli kabisa@@OmarAbdalla-ug5yg
Kiongozi wafitina katika wasuna niqasimu mafuta kwajifanya yeye anajua kila kitu au yeye ndio awe kiongozi wakila jambo angoze familia yake au nakabila lake
adabu ipi mbele ya haqi
Siku hizi kila mtu akitaka afahamike basi anamsema Shekh Abulfadhil Qassim Mafuta, ndo mana shekh akiwanyamazia huwa wanaumia sana. Nyinyi fundisheni dini ya Allah kwa ikhrasi kwa kufuata quran na sunna kwa ufahamu wa wema walio tangulia basi Allah atawainua
Twayyib
Misingi hiyo ndio alianza nazo bwana mafuta alivyotoka Yemen
Haya ndio matokeo Yake
Hao ni vijana wake ale matunda Sasa
Qassimu ni hizbu salaf na anajifanya anajuwa zaidy
HAJAAWIRA ABUU MUAWIYA , HAJURY NA WAFUASI WAKE
Wewe ni mjinga kumbe@@abubakarilugina-zw4gt
TATIZO LENU UCHAAMUNGU UMEKOSEKANA MUNGELIKUA WACHAAMUNGU MUSINGEFANYA MAMBO YA KIPUUZI
Sheitwn anawachezea tu nyinyi bila kujijua nyote
Kwanza kabisa hii sio adabu kumuita shekhe qasm et kwanini qasim sema kwanini sheikh qasim mafuta vp nyinyi
Punguza mhemko kijana
Kwa sababu Jina lake ni Kassim Mafuta ya nguruwe na tokea lini nguruwe akakutana na Waislamu??
Mche mola wako
poleni kwa mwenendo mbaya
Ww unauhakikagan kama abuu fadhli kakataa kikaona huyohajaawirah abuu fadhli nakilichokuabara usiwajibuhao
Wavijana Hawa yaman hawana akhlaaaq hata kidogo
Kwadawa salafiya kwa Tanzania sheikhye kasim mafuta
Sio lazima kukutana nae ati,yeye eandelee na yake na watu wana yao
MUAWIYA KATAFUTE MAHARAGWE UUZE BHANAA WEE ACHA FUJO BHANAA.
Vijana wa mafuta hizbu salaf
muhammad imamu juzi ka swalia mashia😂 walio kufa Bahraini mwalimu wako ka swalia swala ya janaza mashia 😂😂😂 wew je
Et mnawapandisha darja masufi? Hivi nyinyi kawandisha darja Nani? Mpaka ukajua ww kwamba mukojuu?
Ss hatumruhusu sheikh wetu Qasim mafuta kukaa na watoto wadogo wenye chuki na hii dawa.
Sheikh Abu muawia tunakuomba umuache tna msaidie katika dawa usimuangushe.tunataka muendeshe hii dawa tu salafiyya.
Waondoe kasor zao kwanz ndpo washrikiane nje ya hpo itkuw hiv hiv kla cku
Akae nae tu wazungumze asijikweze kwa kuwa si ktk sifa ya asalaf swaleh
Mbona sheikh kassim mafuta umemuandika qassim mafuta lakin sheikh abuu muawiyyah ameandikwa sheikh abuu muawiyyah kwenye hicho kichwa cha habar .kwani sheikh qassim yeye sio sheikh .Fanyeni uadilifu rekebisheni hapo kama manapenda haqqi.baraka allah fiikum.
@@HamadJuma-es8pw hio ndio tabia ya kiwahabi (kibri) kujitukuza na kudharau wengine
SIKUZOTE HAQI INATAKIWA ISEMWE
Khamis Habib
tokeni kwenye huwo upuuzi wa abdul wahab njoon kwenye haq ya ahlul bait as
Ushia ni kama ushoga tu
Loooo
kwani ukiwa si salafi unaenda Motoni? hawa jamaa ata siwaelewi hii ndio Dini?
KASIMU MAFUTA HAMUWEZI ABUU MUAAWIA kielimu
Akili zako zimechanganyika na makamasi ww
Mmmmmmmmmm
@@MusaMkatammmmmmmmmm
Hili ni kwel kabisaa anamuogopa shekh abuu muawiyaa
Hana mda wa kupoteza kwa uyo abu muawiya
Kuwasikiliza salaf bora nimsikilize Tupac
Baba umezungumza kweli mana Hawa. Mara wanakupoteza Kwa misimamo ya ovyo lakini tupaki utatubia baadae ila Hawa misimamo Yao utaona kama ni dini hutotubia Bali utaendelea kuwadharau waislam wenzio bure
kassim mafuta acha kibr elimu yeny ucha mungu
Eeeh mbn kama hajawira huyu kjn
Bwana shekh qasimu bin mafuta amemdhurumu shekh Abuu mu3wiya hasani ibnu awadh ALLAH amraham .mpaka umauty umemfikia . ALLAH amswamehe na ALLAH amuongoze bwana mafuta kwa chuki zake kwa watu wanaojinasbisha na sunnah
Allahuma amiy kk abul fadhli ni hizbu salaf
Kamdhulumu nini na ukitakwa ushahidi utaleta
HILO BANGO LENYEWE TU LINAJULISHA JUU YA UTOVU WA ADABU
Kijana una taasub na shekh wako hizbu salaf mafuta bin oil
Uwe na adabu na masheikh
Yani mtu wa kisalafi akijua kiarabu na akisoma baadhi ya vitabu basi anajiona kila kitu anakijua
Mahizbi wa kihajaawira wameona Daawa yao yapooza kwa kukisa ikhlass saii wanamfatilia Sheikh Qaasim ili kutafuta kuskika
ALLAH awaongoze enyi mahizbi
Hizbi wewe hebu funga mdomo wako mafuta Hizbi na ndio aliogawa swafu ya masalafi acha kufata matamanio
@@abuubakarshabanabuubakar5115
Hehe ATI Abu Muawiyah Salafi
Kule Zanzibar na group lake ni kina Bachu Dr Islam na Barahyani ndio safu ya masalafi yenu hiyo mahizbi Wakubwa
ALLAH amewafedhehesha Daawa yenu Haina Qabul saii mwanza tena fitna najua munasubiri Abul fadhli ajibu lkn hilo sahau tushabainikiwa na uhizbiya wenu na kushirikiana kwenu na aswari
Kwa hiyo sahau
@@abuubakarshabanabuubakar5115kabisaa kaka qassimu mafuta ni hizbu na mtu yeyote mwenye hoja yeye nguvu anamkimbia kamkimbia shekh muawiya Maana alikuwa akimuogopa
Mafuta hizbi acheni ushabiki fuatilieni hoja nyie mahzbi
Sheikh Abu muawia endelea kufanya dawa Allah atakulipa ila usimkamie sheikh Qasim mafuta nyiny nyote watu wakubwa .
Mche Allah na kuwafananisha watu abuu muwaawiya hawezi kuwa sawa na shekh qassim mafuta abuu Muawiya yupo chini kielim shekh qassim mafuta yupo juu mbali mno na hizo ni fadhila za Allah
😂😂😂😂 umetumia kipimo gan?
Hawana ukubwa wowote mawahabi ni magaidi tu wavuruga amani wazee wa kujilipua alafu wameshindwa kipigana gaza kumsaidia palestina
Sheikhye abu muawia wambiye 1 walendugu zako wamazindde kilekituwa kiliisha wambiye nizima kwa Allah mbona hafundisha ilimu
Hahaha elimu ganiy anayomzidi shekh abuu muawiya rahimahullah acha ushabiki wewee hizbu salaf wa pongwee
MADAKHILA WANA KULANA WAO KWA WAO 😂😂😂😂😂😂😂.
Jaahil😂😂😂
Hili ni hizibi
Hilo Bango linajulisha Moja Kwa Moja namna ninyi mahajawira hamna Adabu Kwa mashekh
Kwan huy muawy nd nn
Shekh Abul fadhil Hana muda wa kukujibuni Enyi Hajaawira
Ndio amtukanie mamake sasa
Kuwa na adabu😢
@@amiriadamu5256 Ninyi Hajaawira ndio hamna adabu Kwa kumkashfu shekh wet Allah amuhifadhi
@@abubakarilugina-zw4gthizbu salaf qassimu mafuta
@@HassanHamad-rf9tq Hajaawira
Kawaida yenu kila mtu nimwanachuoni
Ndo nn sas umeongea
@@shamsuddin4582 yani hakuna mtu kwenu asiekuwa na elim kushinda mwenzake
HAJAAWIRA KIPOTE KIPOTEVU KILICHOASISIWA NA SHEKH YAHYA HAJUUR
ALLAH AMUONGOZI
Midomo yenu inanuka Kwa kuwatukana wanachuoni na ndio msingi wa da'awa yenu....Allah awaongoze eny mahiizbi wa kihajawira
mawahab wapuuuzi tuu
Ahahhaaah mnafurahisha mawahabi, hii Ni dalili ya kukosa radhi
Sio Mafuta tu, kwa kawaida mawahabi wote wanakwepa kukutana na maulamaa wa twariqa, alijaribu mtt wa bachu tu na kajikojolea akakimbia
Usemavo ww ila sheikh Qasim mafuta eshafanya minaqasha na wakubwa watatu niwajuao mm ktka masufi ila sio ile minaqasha ya camera.
Sisi hatushangai sana kusema uongo wewe maana ni kawaida kwako, Na ulishawahi kusema kuwa wewe huwezi kuacha uongo maana umerithi kutoka kwa mama yako,
Na ukisikiliza tu hayo maneno unabainikiwa kuwa huyu mtu ni muongo na ni maneno yaliokosa adabu na heshima
Allah akuongoze
Wewe chiz maneno matamu haya we unasema ansema uongo pumbav kassim mafuta simpendi ni kibri na na ni ulamaau sssuiiiiiiii
😂😂😂😂😂😂😂 mbona hasira kaka??? Alisema kweli yeye ni muongo! Na amerithi uongo kweli...@@KhalfanSeif-r7p
weka link
Kaka ukijuwa kama ulio andika ni kweli bas umefaulu na kama ni kwachuki wallahi utaenda kujibu mbele ya Allah na huna jibu rudi kwa Allah umuombe msamaha kabla hujafa
Wewee ni hizbu salaf ndo mulivyofundishwa na shekh wenuu kusoma uongo