𝘿𝙠𝙩 𝙄𝙨𝙡𝙖𝙢 / 𝙆𝙖𝙨𝙞𝙢 𝙈𝙖𝙛𝙪𝙩𝙖| 𝗛𝗼𝗷𝗮 𝗞𝘄𝗮 𝗛𝗼𝗷𝗮 (𝘚𝘦𝘩𝘦𝘮𝘶 𝘠𝘢 𝘒𝘸𝘢𝘯𝘻𝘢)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 329

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma7616 3 місяці тому +33

    dr islam mwalimu mzuri sana na anaeleweka na elimu yake ni kubwa na hafarakanishi jamii na wala hajitukuzi wacheni husda na choyo

    • @SaadiaOmar-xd6qg
      @SaadiaOmar-xd6qg 2 місяці тому +3

      Allah amuhifadhi Dr islam, Ameen thumma Ameen

    • @maulidimuhani
      @maulidimuhani 2 місяці тому +1

      sasa kassim mafuta kapata wapi ELIMU, busara na hekima ya kumfikia Dr. Islam ndo maana amekuwa ni mtu wa MATUSI tu,

    • @AbdulqarimhassanSwalehe-sz2er
      @AbdulqarimhassanSwalehe-sz2er 2 місяці тому

      Naam allah amuhifadhi dr islamu

    • @adammagawila9016
      @adammagawila9016 2 місяці тому +1

      Sio husba ndugu hujamwelewa Shekhe kasimu Mafuta.... Ila nakushauli kasome

    • @user-rz9dg5um7x
      @user-rz9dg5um7x Місяць тому

      Labda Sheikh Kassim Mafuta ndo hangerudi madrasa. Inawezekan ameisoma dini kwa malengo yakuwa anawatusi ma Sheikh wenzake

  • @chuggaboy9877
    @chuggaboy9877 3 місяці тому +15

    Dr Islam ni miongoni mwa wanaotoa Darsa safi sana…! Binafsi namkubali kuliko hao wanaomsema!!!

  • @user-ti6tn7bs9q
    @user-ti6tn7bs9q 3 місяці тому +17

    Hamumpati muhuddi Dr Islam yupo juu daimaa

  • @spares-repair
    @spares-repair 3 місяці тому +2

    Kabla kutuma comment sikiza video mpaka mwisho. respect kwa dr Islam na sheikh Mafuta kwani hivi ni vita zenu sisi kama wafuasi wasia wetu shikamaneni mufunze dini na mueneze dini ❤

  • @nassortrans12
    @nassortrans12 3 місяці тому +14

    Acheni husda kwa dr Islam
    ماشاء الله ماشاء الله ماشاء
    Angalieni darsa zake zaid ya saa na nusu anatoa darsa hatumii karatasi wala kusoma kitabu
    Anatoa darsa kwa kichwa
    Amehifadhi
    Allah amzidishie Elimu
    امين يارب العالمين

    • @YusufAli-gc9cu
      @YusufAli-gc9cu 3 місяці тому +1

      Wacha kupelekwa na hisia za masheikh,,,we fuata haki

    • @chabunu3367
      @chabunu3367 3 місяці тому

      Sasa hayo kasim mafuta ya Nazi ndiyo hayawezi nakisoma pia hukosea

    • @Onlyforfun1992tube
      @Onlyforfun1992tube 3 місяці тому

      Dini IPO TZ saizi bana sio kenya

    • @ABUUJAAFAR92
      @ABUUJAAFAR92 3 місяці тому +2

      Dr amesomesha vitabu vingapi?

    • @ABUUJAAFAR92
      @ABUUJAAFAR92 3 місяці тому

      Wewe umesoma kitabu gani kutoka kwa Dr islaam,,,

  • @YusufuMustafa-c5m
    @YusufuMustafa-c5m Місяць тому +1

    Shekh Qassim Mafuta allah akuzidishie umri wenye manufaa kwani juhudi unazozifanya za kutuzindua ktk dini yetu ya uislamu ni kubwa sana

  • @OthumanHamisi
    @OthumanHamisi 14 днів тому

    Masalafi acheni shokoshoko fanyen kazi ya ALLAH. Shekhe Kasi bazi ya mambo kaa kimya. Ushakua

  • @abuukarata9653
    @abuukarata9653 3 місяці тому +6

    Dk ana hekima sana, Allah amjalie

  • @mikekhalifaali7510
    @mikekhalifaali7510 2 місяці тому +3

    Dr Islam Muhammad ni Sheikh anatoa Darsa na anafunza vizuri sana sio Jadida

  • @muhamadismail-my1do
    @muhamadismail-my1do 3 місяці тому +7

    Allah akufishe katika wiislam na sunnah juu ya ufahamu wa wema waliotangulia na allah akukutanishe na mtume صلى الله عليه وسلم jannah allahuma amiin

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 3 місяці тому +2

      Usalafi gani huo wa kuwasema watu vibaya na kuwatoa kwenye dini ? Ndo njia ya walotangulia walikuwa wana watoa watu kwenye sunnah kama ninyi? Uzuri shekhe utheiminy kabainisha futna zenu hatupati shida kabisa wala hamtushughulishi na ujinga wenu

    • @adnanshaban2660
      @adnanshaban2660 2 місяці тому

      Tumuombee Allah amuongoze na amruzuku hekma na uongofu elmu yake ndio imeishia hapo na ujadida wake ndio huo

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 2 місяці тому

      @@adnanshaban2660 unaskia akhy hiki kikundi cha kina mafuta wanachekesha sana wanajiona wapo katika hakki kuliko wengine wanadai wameongoka wakati kuna mashekhe wakubwa wamekilaumu akiwemo utheimeeny kauli yake kabainisha wazi wapo karibu na kupatia lakini wamepotea baadhi ya sehemu eidha wamepotea kabisa leo imefikia kipindi mtu anakwambia kumjuwa mtu wa sunnah tz niyule anae mfata mafuta na kumjuwa mtu wa bidaa au hizb anae mpinga mafuta kwahiyo mashekhe wao ndo wamewwkwa indicator ya kujuwa ww mtu wa sunnah so mtume tena wala swahaba arafu hawasalimiagi watu hata uwe vipi umkubali shekhe wanaomtaka wao ndo utasalimiwa au kujibiwa salamu wakati mimi naskilizaga fatuwa za wanazuoni nilimsikia shekhe fawzan aliulizzwa swala la kumkata mtu inafaa kumsalimia mtu wa bidaah akajibu kama bidaah zake ndogo hazikufurishi utamsalimu au akikusalimu utaitikia ila unamsihi aache bidaa na kumkata mtu kuto msalimu mtu yule mwenye bidaah zinazomkufurisha na kumtoa kwenye uislamu mtu huyo ndo haistahiki kumtolea salamu lakini Hawa mabwana siku zinapoenda ubaya wa pote lao unadhihirika siku hadi siku

  • @HuseniChina
    @HuseniChina 2 дні тому

    Shekhe kasim anapotosha watu na ataenda kuulizwa

  • @chuggaboy9877
    @chuggaboy9877 3 місяці тому +5

    Allah amuhifadhi Dr. Islam

  • @user-rz9dg5um7x
    @user-rz9dg5um7x 3 місяці тому +9

    Allah akimpa mja wake neema hakuna kiumbe yeyote ambae yuko na uwezo wa kumuondoshea neema hiyo Sheikh Kassim wallah uko na maradhi ya hasad,fitna,khila na khiyana Allah akuongoze na awuponye moyo wako na maradhi hayo aamiin

    • @islaminmyheart9348
      @islaminmyheart9348 Місяць тому

      Ipi dalili yako juu ya hili? Je? Una ilimu yoyote ututolee? Au ni maneno matupu tu?

  • @abubakarIddi-vf3bz
    @abubakarIddi-vf3bz Місяць тому +1

    بارك الله فيك يا شيخنا خيراً الجزا سيعرفون بعد قليل إنشاء الله

  • @AbdulSaid-l9k
    @AbdulSaid-l9k 2 місяці тому +2

    Allah atuongoze

  • @wazirihamisi6484
    @wazirihamisi6484 2 місяці тому

    بارك الله فيك وجزاك الله خيراً يا شيخنا الفاضل الله يحفظك على ما كنت

  • @HamidaMohamed-be5kg
    @HamidaMohamed-be5kg 3 місяці тому +5

    We qassim wafuta ya nazi unapenda sana kupinga mashekh wenzio we inakuhusu na nn ili hali we mwenyewe hukai mombasa hiii

  • @NasoloMheto
    @NasoloMheto 3 місяці тому +2

    Allah akuhifadhini wote na akuongozen kwa huruma yake

  • @user-xb6tr5vq4b
    @user-xb6tr5vq4b Місяць тому

    Dr islam Allah amlipekher huo mwalim muzur na anawaweza masarafijadida kwahio dr islam tunampenda kwajili ya Allah

  • @ahmedabdulwahab5444
    @ahmedabdulwahab5444 3 місяці тому +7

    Wacheni Chuki ,Hasad na wivu zenu. Daawa etaendelea bila Nyinyi. ALLAH Subhana wataala amhifadhi .

  • @ahlulhadeeth
    @ahlulhadeeth 3 місяці тому +4

    Tunasubiri sehemu ya pili sasa.Allah awahifadhi mashekhe wetu kwani tumebainikiwa Barakallahu fykum.

  • @OfficialAbdulrashedalhilaly
    @OfficialAbdulrashedalhilaly 3 місяці тому +7

    NIMEHUDHURIA DARSA ZA MASHEIKH MBALI MBALI TANZANIA NA KENYA
    LAKIN DARSA ZA DUKTUUR WALLAHI WAHISI RAHA YA ELIMU KUSOMA CHINI YA SHEIKH ZAAHID TAQIYY نحسبه كذلك والله حسيبه

    • @abuukarata9653
      @abuukarata9653 3 місяці тому

      Ni msomi kwa mafuta ni wivu tu na husda

  • @maulidimuhani
    @maulidimuhani 2 місяці тому +1

    😂😂😂😂 KWAHIYO KASSIM MAFUTA NDIO MWENYE KUWATHIBITISHA NA KUWATOA WATU KTK MANHAJ, Innaa ilaihi w Innaa ilaihi Raajiuun 😂😂😂

  • @bassamawadhi7951
    @bassamawadhi7951 3 місяці тому +7

    Ukifata Darsa za islam unataka kumsikiliza kila siku na mawaidha yake yanakubadilisha ALHAMDULLAH kwa kutuletea Huyu sheikh EastAfrika masalafi masalafi washamba tu nyinyi mnakuja Yemen kusoma mkitoka mnarudi na Elmu bila Hekma mnasumbua watu, SALAF Ndio njia yetu sisi waislam lkn nyinyi mnajiita masalafi Darsa zenu kazi kujisifia tu kuwa ndio watu wa peponi na wengine wote motoni ALLAH atuhifadhi na atuongoe tuache kujigawa kwa makundi tusimame na QURAN NA SUNNAH AMEEN YA RABB WALLAHY JIANGALIE MPO KWNY HAKI LKN KUJIONA SHEKHE WAKO NDIO BORA KULIKO WENGINE HII INAWAHARIBIA NA KUKOSA HEKMA

    • @ibnayub2374
      @ibnayub2374 3 місяці тому

      Maneno yako mengi lakn hakuna point ya kuchukua, hebu tafuta history ya sheikh Qasim mafuta.

    • @MohamedHassan-kk5te
      @MohamedHassan-kk5te 3 місяці тому

      Kasim mafuta unabalabala nyingi huna hoja hapa wacha ushamba ww huwez kuwa salafi salafunaswaleh hawatukana hata kidgo

    • @ibnayub2374
      @ibnayub2374 3 місяці тому +2

      @@MohamedHassan-kk5te
      😁 Ushabiki utawauwa, ni TUSI gan Sheikh Qasim mafuta amemtukana daktar wenu? , huyu daktar Islam kasema Qasim mafuta Ana tabia za kike sio TUSI hilo? Tatzo lenu mmekaa kishabiki mpaka kwenye dini.

    • @topfreelancer5151
      @topfreelancer5151 3 місяці тому

      ​@@MohamedHassan-kk5teTusi Ili liwe tusi unaona litolewe na mbaya wako sio mzuri wako au sio?

    • @SaeedMohammad-sw7jq
      @SaeedMohammad-sw7jq 3 місяці тому

      ​@@ibnayub2374mbona hajamtaja mtu Ductor, lakini ndio daawa ilivyo, hufichua lile lililokusibu

  • @user-fm8md8ye4r
    @user-fm8md8ye4r 3 місяці тому +6

    Naomba pia Duktur ajirekebishe namna kujibu hoja mie nimeskia akitusi hao masalafi na ametowa maneno machafu sana hakutoa jibu kwa hoja zozote za huyo kasim mafuta

    • @user-qy9qx5hd2u
      @user-qy9qx5hd2u 3 місяці тому

      Ajibu hoja gani wacheni hasadi za shehe kasema semeni kala rasulullah na kala llahu taala wacheni chuki na hasadi na kusemanasemana kama wanawake

    • @sadofaraji5999
      @sadofaraji5999 3 місяці тому

      Sema hoja gani hakujibu nikuoneshe.

    • @sadofaraji5999
      @sadofaraji5999 3 місяці тому +1

      Salafi imekuwa dini,kila dakika salafi,salafi nani atazungumzia uislam

  • @OfficialAbdulrashedalhilaly
    @OfficialAbdulrashedalhilaly 3 місяці тому +7

    DUKTUUR ISLAM ALLAH AMHIFADHI NA KILA SHARI SISI TULO KAA CHINI YAKE NDIO TWAMJUA
    ALHAMDULILLAAAH DUKTUUR AMETULIA NA ALLAH AMEMPA HIKMA NA BUSARA KATIKA KULINGANIA
    SHEIKH AMENYOOKA NA UMMA WASHUDIA HILO ISPOKUWA ANAE JIZIMA DATA

  • @masoudmohammed4258
    @masoudmohammed4258 3 місяці тому +2

    Mashaallah sheikh Qassim mafuta Allah akuhifadhi sheikh wetu Abuu Fadhil

  • @HassanSalim-hl8qs
    @HassanSalim-hl8qs 3 місяці тому +4

    Muache shekh wetu Doctor Islam Muhammad

  • @mengihashimu1081
    @mengihashimu1081 3 місяці тому

    جزاك الله خيرا يا شيخ

  • @user-ec7wu9bk8w
    @user-ec7wu9bk8w 3 місяці тому +3

    Sheikh Mafuta muogope Allah, wanazuoni ninyi ndio chanzo cha faraka na mipasuko ktk kamba ya Allah... Wallah mtaulizwa kwa kila mlichokichunga, sahii ni husda kubwa mwafanyiana mkishaona watu wanapenda darsa za Sheikh Fulani basi utatamani wale watu wote waje kwako wakufuate wewe... Wallah mtihani na Allah atawauliza, moto wa Allah ni mkali mno jamani

  • @Nature-xe7lu
    @Nature-xe7lu 3 місяці тому +4

    hmmmm kasim mafuta yupo level nyengine... acheni mchezo jamani😮😮

    • @abrahmanhamad3253
      @abrahmanhamad3253 3 місяці тому

      Hana level yyte hn hekma

    • @abrahmanhamad3253
      @abrahmanhamad3253 3 місяці тому

      Anasema watu vbya

    • @saidali9255
      @saidali9255 3 місяці тому

      Level gani hiyo?.Kassim Husda kibao!

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 3 місяці тому

      Level ya kijadida sawa ila ukisema usalafi wa kweli hamna kitu pale guruu matamanio na fitna yupo vzr kwa majadida hapo tutakubali

    • @ABUUJAAFAR92
      @ABUUJAAFAR92 3 місяці тому

      @@saidali9255 husda kivipi yani,,,yani ilmu anayosomesha huoni,,,

  • @mwanajumanassor9579
    @mwanajumanassor9579 2 місяці тому

    Huyu sheikh anatabu sana hata masalafi wenziwe wamjua anatabu sana Allah amuongoze

  • @MohamedParata
    @MohamedParata 3 місяці тому +2

    Tunakuomba Allah utuhifadh sote Waislamu na waumin

  • @mareeabdalla5739
    @mareeabdalla5739 3 місяці тому +3

    Huyu mafuta niwale wanao dhani wao washabashiriw pepo

    • @allykayanda6930
      @allykayanda6930 3 місяці тому +1

      Kwanza jiangalie mwenyewe ulivo kisha mzungumzie mafuta,wewe umevaa kapelo na suti kama mgaratia namna hiyo 😂😂😂

    • @IdrisaAbdallah-ze2cq
      @IdrisaAbdallah-ze2cq Місяць тому

      Urivo kama twauhnguti

    • @IdrisaAbdallah-ze2cq
      @IdrisaAbdallah-ze2cq Місяць тому

      Kahachin usome kwanza

  • @chabunu3367
    @chabunu3367 3 місяці тому +6

    😂😂😂 Islam hawezi wajibu nyinyi kumbavu ama kweli huja jibu kasim mafuta ya Nazi Islam Hana time ya upuzi songa mbele sheikh Dr Islam Allah akuhifadhi

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 3 місяці тому

      Tukanatu. Ila sikuyasitlku utajuta

    • @YusufAli-gc9cu
      @YusufAli-gc9cu 3 місяці тому

      Ikiwa maneno ya sheikh qassim yana utata, ili watu wasipotezwe muambieni duktur ayarudi,,, hana haja,,,na wala hawezi kuyajibu maana ni ya haki

    • @chabunu3367
      @chabunu3367 3 місяці тому +2

      ​@@HanifaOman-oo4plna nyinyi pia mutakuja juta pakubwa kushukisha heshima za masheikh mambo matatu ya hifadhiwe juu ya mwislamu heshima,damu Mali hatutiweza kuona sheikh Dr heshima yake ikipakwa matope

    • @MussaTendwa
      @MussaTendwa 3 місяці тому

      Hawezi kujibu vipi Sasa katika mazungmzo yake si alisema leta hoja za ki'ilmu ziekwe juu ya meza si ndio zimeekwa Sasa au

    • @chabunu3367
      @chabunu3367 3 місяці тому

      @@MussaTendwa mjoomba hoja hazijibiwi hivo muambiye kasim mafuta Kuna masheikh kibao wanataka mdahalo hoja kwa hoja yy awe upande wakulia na sheikh upande wa pili kuwe na ummah hapo ndiyo sawa ila kwa hivi nikama anajielewa mwenywe

  • @Bamatraf-gn5js
    @Bamatraf-gn5js 9 днів тому

    Tumcheni Allah, haya mambo ya kujeruhi waachieni ULAMAA. Matulabu ilmu na maàwamu kama sisi hatutaulizwa kwa nini hujamtahadharisha fulani kwa sababu hiyo haiko katika mustawaa wetu. Wale waliobainishwa na ULAMAA kama mashia, masufi n.k. endeleeni nao.

  • @hassanmohdally5217
    @hassanmohdally5217 3 місяці тому +2

    Wewe kasimu mafutaa kilaa siku kusemaa wenzio unahusdaa sanaaa unasemaa umsikilizii sasaumejuwaje kamaa haongelei hayoo mambo achaa hizoo mambo shekhe mafutaa kilaa siku

  • @muniramauj6336
    @muniramauj6336 3 місяці тому +1

    Kasomeni hamna elmu muacheni dr islam

  • @AdamuYusufu-z2c
    @AdamuYusufu-z2c Місяць тому

    Sheikh Dr alaakuhifathi

  • @YusufuShaibu-t5e
    @YusufuShaibu-t5e 21 день тому

    Shekh Kasim Allah amuongoze na amsimamie katika kila jambolake la kheri, kwakweli ANAPAMBANA SANA japo wajinga hawamuelewi

  • @hamudseif
    @hamudseif 3 місяці тому +1

    Leo nimejua huyu(Mafuta) mtupu kabisaaa

  • @faridsaid60
    @faridsaid60 3 місяці тому +1

    Shekh kassim yuwasema ukweli japo kua ni uchungu kwa wangine haya mambo ni ya allah siya kikabila jamaa

  • @rajabTaratibu
    @rajabTaratibu 2 місяці тому

    Allh awaongozen ila jihatadn kuacha ushabik katika din

  • @maulidympembeta6045
    @maulidympembeta6045 Місяць тому

    Dr.Islam Assalamualaikum. Allah amekujalia unakubalika Kwa hekma ulonayo katka darsa zako na da'wah Yako Sasa kuwa makin na hawa masalaf wasije wakakutoa kwenye mstari , usipende kuwa jib wenzako ndio wanapenda hiyo mipasho . We fundisha watu dini na walinganie . Anayekushambulia Allah atakujibia , kumbuka ile hadith Allah akimpenda mja bac yeye ndiye Huwa macho yake ,miguu yake mdomo wake ........

  • @user-ru5hf8zs2m
    @user-ru5hf8zs2m 3 місяці тому +2

    Muhadhara niliusikia wakati ulipotolewa na leo nimeusikia ni kama sijawahi usikia mpya kabisa maa shaa Allah hii ndio manhaj salaf ni elimu tupu uadilifu wa hali ya juu kutoka kwa sheikh Abul Fadhl Allah Amuhifadhi

    • @HusseinAbdul-is9xq
      @HusseinAbdul-is9xq 3 місяці тому

      Allah s.w.t tujarie elimu yenye manufa Duniani na ksho akhera. Na utujarie ufahamu aàmin

  • @abumuhammad7802
    @abumuhammad7802 3 місяці тому +5

    Dr. Islam yuko sawa kabisa.

  • @SadaAbdallah-z9t
    @SadaAbdallah-z9t 2 місяці тому

    Kasim mwalim wangu

  • @user-qq3yo2ms2k
    @user-qq3yo2ms2k 2 місяці тому

    Ni vizuri awa wawili wakakutana ukae kwa munakasha wa live bila ya fujo za mashabiki wa mtandao ili tujue nani yupo sahihi zaidi

  • @MohammadSilimu
    @MohammadSilimu 2 місяці тому

    Sheykhe ALLAH. akuongoze ila we upon mbali kabisa na ufaham salafi umebeba misimamo ya ma sheykhe. Zako. Na sio hujielewi sheykhe

  • @Munir-yi8gn
    @Munir-yi8gn 2 місяці тому +3

    Kusomesha watu Riyadh salihin na kutafsiri Quran itakua sawa na kuchambua watu kua yupi ni salafi unatia mtu kwa usalafi mwengine wamtoa wahukumu watu kwani we mungu! Neno salafi ni hilohilo sunnah musije kujipata makhawarij kwa kujiona wachamungu sana!

  • @HassaniHusseni-oo8uh
    @HassaniHusseni-oo8uh Місяць тому

    Upuuuzi mtupu yani ukiwasikia unaweza ukasema wanauhakika na pepo kwanamna walivyo kua hawana adabu

  • @IsmailFeruz-bw8hk
    @IsmailFeruz-bw8hk 2 місяці тому +5

    Wewe usimtambue ila East Africa nzima inamtambua kuwa ni عالم معتبر 🤍

  • @AbdulSaid-l9k
    @AbdulSaid-l9k 2 місяці тому

    Duu sisi watu wasuna sijui tunashida Gani maana kazi yetu kukosoana

  • @lordenoughforme4417
    @lordenoughforme4417 3 місяці тому +1

    Mumekaa kama wanawake.kazi kuongelea watu badala kufundisha.

    • @ABUUJAAFAR92
      @ABUUJAAFAR92 3 місяці тому

      Hakuna wanaofundisha na kutoa ilmu kama kina sheikh qaasim mafuta,,,ama kina dr kufundisha wameshindwa ,,,

    • @YusufAli-gc9cu
      @YusufAli-gc9cu 3 місяці тому +1

      Kwani wewe hapo wafanya nini,,,si waongelea watu,,,kinachozingatiwa je wazungumza kwa haki???

    • @IdrisaAbdallah-ze2cq
      @IdrisaAbdallah-ze2cq Місяць тому

      Ujui uritendaro ndomana unamtukana shekhe kasim mafuta

  • @MuhammadShariff-ji9ye
    @MuhammadShariff-ji9ye 3 місяці тому

    Alhamndulilahi tumejua haki Iko wapi

  • @OfficialAbdulrashedalhilaly
    @OfficialAbdulrashedalhilaly 3 місяці тому +5

    Umetutisha na picha za movie za kituruki Tuh Halfu Hamna lolote 😅

  • @OfficialAbdulrashedalhilaly
    @OfficialAbdulrashedalhilaly 3 місяці тому

    ALLAH AKULINDE DUKTUUR ISLAM MWALIMU WETU NA AWATIBU MARADHI YAO HAWA WENYE MARADHI NA HASADI WAKIJIFICHA CHINI YA KIVULI CHA MANHAJ SALAF BILA KUJUA KUWA WANAYO YAFANYA HUKHALIFU MANHAJ SALAF

    • @ahmedrage9664
      @ahmedrage9664 3 місяці тому

      Wewe Bado mwanafunzi soma dawaa'waah salafiyaaah kwanza, sio maneno ya majihizibi unao tembea nao

    • @HarunaOmar-ip5iv
      @HarunaOmar-ip5iv 3 місяці тому

      Nam shekh wangu ningekuomba kama unawez kunisaidiya la groupe doctor islam wasap ili niwez kupat Fawaidu namimi

  • @MuhammadShariff-ji9ye
    @MuhammadShariff-ji9ye 3 місяці тому +2

    Ikiwa hufatilizi darsa zake ulijuaje kama hazungumzi usalafi ilmu ndogo ina shida

  • @omaryally5743
    @omaryally5743 2 місяці тому

    Ushaur wangu kwa sheikh qasim mafuta kweli Yuko vizur ila Dr Islam Yuko vizur Zaid kwahiyo sheikh qasim angenufaika na Dr Islam maana hata kwa kuwasikiliza Tu duktuur ni ductour Tu kaeni chini mnufaike Naye husda tuziweke pemben...Allah awahifadhi masheikh wetu wooote na kwapamoja Allah atupe mwisho mwema

  • @DicksonLutende
    @DicksonLutende 8 днів тому

    Shekhe unaongea sn, lete hoja sawasawa, au kwakuwa Allah amekujaalia ufasaha wa kuongea? Lete hoja ya msingi acha faraqa

  • @Onlyforfun1992tube
    @Onlyforfun1992tube 3 місяці тому +1

    Hongera TZ kenya lazma waje kusoma bongo

    • @mahatmamgenge
      @mahatmamgenge 3 місяці тому

      Huyo qasim mafuta hakusoma Kenya?

    • @Onlyforfun1992tube
      @Onlyforfun1992tube 3 місяці тому

      @@mahatmamgenge subiri uoneshwe kazi wewe wa TZ tuna elimu hio zamani nyinyi mkisoma unguja

    • @Onlyforfun1992tube
      @Onlyforfun1992tube 3 місяці тому

      Tanzania kila elimu Iko nyinyi vilaza tu subirin na madogo wanapiga shule saizi mtajionea

  • @abousumayyahhassandjuma1332
    @abousumayyahhassandjuma1332 3 місяці тому +1

    Masheikh wataambiwa maneno machafu na kutukanwa sababu ni wewe ilo tambuwa na uandaye majibu utampa mola wako hiyo siku.

  • @uqbahzahor2340
    @uqbahzahor2340 3 місяці тому +1

    Manhaj ya ushetani Tu

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 2 місяці тому

    Hicho kikasimu kinajifanya yy ndo.mizani ya sunna
    Akitokea mtu akimpinga yy binafsi matatizo yake binafsi
    Anajigeuza yy ndo mwenye dini
    Kazi yake kutowa watu kwenue uislamu tuu

  • @SaidKatuga-qx1xr
    @SaidKatuga-qx1xr 3 місяці тому +4

    We kassim mafuta huna kitu Ni fujo tu Dr. Islam anazungumza vitu vya maana Sana twampenda usiwe na wivu Kama kakuzidi kubali tu we mzee dawa zako we mafuta hazieleweki vituko vitupu.

  • @ExcitedCricketHelmet-wr4sq
    @ExcitedCricketHelmet-wr4sq 3 місяці тому +3

    Tandika kisawa swa mpaka warudi swa hawa mahizbi na makhurafi hakuna kuwapa nafasi hawa

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 3 місяці тому

      huo ni ujinga na so usalafi wa kweli ninyi ndo mrudi katika sawa ndomana shekhe utheiminy Allah amrehemu kataja fitna za kundi lenu hilo na dalili zote mnazo hapo amkimbii teteeni ile hojja kimya mpk mpk leo amna alokuja kutetea iyo hoja mnaruka ruka tuuh shekhe islamu yupo kwenye hakki kuliko ninyi majadida

    • @ExcitedCricketHelmet-wr4sq
      @ExcitedCricketHelmet-wr4sq 3 місяці тому

      @@user-yj5on8cz3e Sasa ww hizbi nikuulize Mambo mapya gni walileta salaf kama hulingani watu tawheeed na bidaa umerudiwa kwa sababu huu uwanja mnaukimbia kwa kuiangalia maslahi ynu miaka kumi na Tano mtu anafunza vitabu vitatu tu mbona mnahangaika mkae chini mufunze nyinyi mahizbi

    • @twahambowe440
      @twahambowe440 3 місяці тому +1

      Dkt Islam ni salafiyya halisi, na yupo vizuri sana ktk kutangaza daawa salafiyya

    • @nasilukilawaga2021
      @nasilukilawaga2021 3 місяці тому

      Duh!​@@twahambowe440

  • @ahlulhadeeth
    @ahlulhadeeth 3 місяці тому +1

    لِّيَهۡلِكَ مَنۡ هَلَكَ عَنۢ بَيِّنَةٖ وَيَحۡيَىٰ مَنۡ حَيَّ عَنۢ بَيِّنَةٖۗ

  • @bamoclimber4186
    @bamoclimber4186 3 місяці тому

    Daawa zenu nyote Hazina Athari Kwa Makafiri kazi kushambuliana wenyewe Kwa wenyewe

  • @jumakhamis5448
    @jumakhamis5448 3 місяці тому +1

    A.alaykum tunaomba muendelezo wa hii please

  • @WakaliFashionTz
    @WakaliFashionTz 3 місяці тому +2

    Hii channel ya kimbea mbea San kwann mnapenda kugombanisha watu km kweli hao kina mafuat wanataka Haq siwamfuate wamnakish kwann au ndo kuogopa??

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 3 місяці тому

      Awa kilichowauma dr alipobainisha fitna za kundi lao muhadhara wake ule tanga sabu dr islamu alitumia hoja za shekhe saleh utheiminy Allah amrahamu amebainisha dalili la hili kundi la kina mafuta usalaffi wao sasa si wamradi shekhe yeye alisoma fatuwa zake

  • @user-ti6tn7bs9q
    @user-ti6tn7bs9q 3 місяці тому +1

    Shekhe Gani ata kuonekana haonekani 😂😂😂😂 shida ni uso mbaya ata shauku hana... We umeona wapi mtu anaongea halafu haonekani.. eti picha haramu basi na pesa pia msitumie leteni pesa izooo tuzitumie sie..😂😂😂 majuhhaal wakubwa na upuuzi tu mjuayo basi

  • @salaamibahsan3063
    @salaamibahsan3063 3 місяці тому

    Aah miye nishachoka bwn na hay makundi

    • @topfreelancer5151
      @topfreelancer5151 3 місяці тому

      Yapo 73 ukichoka utaingia motoni, unalazimika kutokukata tamaa ubaki katika njia ya sawa. Ujitahidi kusoma kwa bidii

  • @Nuru_ya_sunnah.official
    @Nuru_ya_sunnah.official 3 місяці тому

    maa shaa Allah

  • @muhammedaloufy4086
    @muhammedaloufy4086 2 місяці тому

    HASAD HASAD HASAD WALLAH HAYA NDIO MARADHI YENU HASSA WEWE MAFUTA!

  • @muhamadismail-my1do
    @muhamadismail-my1do 3 місяці тому

    Allah akuhifadhi shekhe qaasim

  • @bilalmuhaj1211
    @bilalmuhaj1211 3 місяці тому

    Allah Akbar

  • @AllyKame-rx2zd
    @AllyKame-rx2zd 3 місяці тому

    Pili, naomba utufasirie neno lake Allah:
    ولا تسبواالذين يدعون من دون الله فيسبوا الله عدوا بغير علم

  • @yussufhamad3721
    @yussufhamad3721 3 місяці тому

    Sisi hatupakani mafuta kwa nyuma ya mongo WA chupa wala Sisi hatuna umoja feki pamoja na shekheletu linaasili ya MAFUTA Allah amuhifadhi wallahi NI neema kubwa Sisi ilikuwa hatujui haki iko WP Allhamdulillah allaniimatilislam wassuna allamanhajusalafiy llumma

  • @IsmailFeruz-bw8hk
    @IsmailFeruz-bw8hk 2 місяці тому

    Kwanza huyu ukianza kumtaja jina lake lazima uanze na herufi ya Dr.halafu ndo uendelee wewe sasa unatajwa na kama mafuta ya kupikia shee mafuta 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @IsmailFeruz-bw8hk
    @IsmailFeruz-bw8hk 2 місяці тому

    Wewe ni mwanachuoni lkn Allah amekunyima kitu kimoja ambacho ni hekima na elimu bila hekima ni sawa sawa 0

  • @AdamuBakari-fe6hf
    @AdamuBakari-fe6hf 3 місяці тому +1

    Uadilifu gani wakuwatukana watu

  • @maulidimuhani
    @maulidimuhani 2 місяці тому +1

    sasa kassim mafuta kapata wapi ELIMU, busara na hekima ya kumfikia Dr. Islam ndo maana amekuwa ni mtu wa MATUSI tu,

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e 3 місяці тому +1

    Ansari sunnah ndo masalafi wa kweli na ukitaka sunnah haswa Hawa wengine kina mafuta na wenzie ni masalafi feki ( majadida) hamna lolote guhuruu na matamanio ila ukitaka sunnh hasa na usalafi wa kweli ni kwa answari tuu nyi wengine vikundi tuuh vya ubabaishaji

  • @khamiskhamis9947
    @khamiskhamis9947 3 місяці тому +1

    Hii Da'awah mm mwenyewe siilewi, chuki nyingi dhidi ya Masheikh, sijuwi wanataraji nini hawa mbele ya Allah. Kwa sababu hichi wanacho kifundisha kipo kinyume na mafundisho ya Mtume صلى الله عليه وسلم

    • @ABUUJAAFAR92
      @ABUUJAAFAR92 3 місяці тому +2

      Tatizo lako hujui misingi ya daawatu salafiya,,sasa ndio maana waona kutatizwa, ,,,wewe kwa kutokufaham kwako waona ni chuki, unawahofia kukutana na Mola wao vibaya ,,,matatizo unayo wewe usiyejua kuwa usalafy ni nn ،،kwahio kaa chini ndugu yangu usome ndio utajua hii Daawa sio chuki bali ndio Daawa ya mtume, ,,,lkn Faham zikiwa ndogo utabaki kukashifu tu na Hali Tatizo utakuwa nalo wewe.,,angalia haki usijawe na huruma isio na faida,,

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 3 місяці тому

      Tatizo nyinyimnaangalia kumpendamtu ampomakini naanacho kielimisha mnakibebatu naatamkilekebiswa hamkubali

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 3 місяці тому

      ​@@ABUUJAAFAR92Usitudanganye daawa ya mtume ndo kuwatoa watu kwenye sunnah? Kwani mtu akilingania kitabu na sunnah na wema walotangulia maswahaba huyo ni salafi hata bila kujitangaza mimi salafi ulinganizi wake tosha kukujulisha yule salafi sasa na ndo kauli za wanazuoni wetu shekhe utheiminy nae kasema usalafi so kikundi cha mtu binafsi au chama cha watu fulani yeyote nwenye kupita mipito ya quruani na sunnah huyo salafi tatizo linakuja ninyi mmefanya usalafi ni hizbi ya watu maalumu yeyote aso katika ninyi huyo mnamtoa kwenye manhaji ya wema walotangulia ninyi mmekuja na usalafi mpya mapito yenu tofauti na masalafi swalehe awakutoana kwenye njia kama ninyi leo hilo kundi leenu mmeingia cha kike msitufanye sis hatujui maana ya usalafi eeeboo!!!

  • @AlhajiMswaki-de3kb
    @AlhajiMswaki-de3kb 3 місяці тому

    Mayahud hao mawahabi

  • @user-qe9pd9zk8v
    @user-qe9pd9zk8v 3 місяці тому +4

    Kwani alilingania wapi baatil? Kwani dr islam hafunzi watu kheiri na dini.ama mpaka alinganiye pote yenu ndio atakuwa salaf

  • @AllyKame-rx2zd
    @AllyKame-rx2zd 3 місяці тому +1

    Umesema neno Shekh Kasim na kulipinga papo hapo, Kwa maana ni kama hujalisema: waarabu wasema: انكنت كذابا فكن ذكارا
    Jambo ulosema: ni kwamba husikii darsa za Doktoor, siali, ulijuaje mapungufu na manhaj yake?
    Pili: mbona ni Doktoor Islam pekee umefuata hatua zake?
    Ujue watu wana akili, usijifungie kwako unadhami ulimwengu umeufunga katika fikra za kuta nne zilizo zunguka chumba chako.
    Kuna mashekhe wangapi mbona mno Doktoor Islam, au ni sababu ya umaarufu wake?
    Ni kweli twaona umaarufu wake unaumiza moyo wako, ila kwa inswaaf tosheka na alicho kupa Allah, kubali kama walivo tii malaika ubora wa Nabii Adamu Alayhi Salaam, na usipinge kama alivo jiona bora iblis kuliko Nabii Adamu Alayhi Salaam kwa kitendo cha kutomsujudia na kupinga amri ya Allah

  • @keazi9638
    @keazi9638 2 місяці тому

    Wote mawahabi sisi tukopembeni

  • @user-qq3yo2ms2k
    @user-qq3yo2ms2k 2 місяці тому

    Sheikh abul fadhwli Kasem kweli
    1 ima watu wana ujinga (wajinga)
    2.Taasubi (ushabiki wa upofu))

  • @hassanowgennogenno5740
    @hassanowgennogenno5740 3 місяці тому +3

    Husda tu hamna usalaf hapa ni makhawariji wa zama hii

    • @sadammakaka4559
      @sadammakaka4559 3 місяці тому +1

      Toa dalili za ukhawaarij wao yaan usiwe na madai bila hoj

  • @ahmedabdulwahab5444
    @ahmedabdulwahab5444 3 місяці тому +6

    Mtachoka na husband, chuki na wivu yenu.
    Sheikh Islam Allah Subhana wataala amhifadhi na nyinyi Hizbi Salafi Jadida

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 3 місяці тому

      Hawa jamaa usipo piya mipito yao we so salafi kaa mipito yao mipya kabisa so ya wema walitangulia yani Allah katupa mtihhani kweli juu ya Hawa watu

  • @IssaBachuMuhammadjr-rr3ri
    @IssaBachuMuhammadjr-rr3ri 3 місяці тому +4

    Wewe kasim mafuta fikiria sana usidanganye bana alfu sisi tunajua masalafi ni akina nani tena vizuri sana achana na Islam.

  • @MahmoudKhamis-cv9pi
    @MahmoudKhamis-cv9pi 2 місяці тому

    Ukitaka kuwa jua Mawahabi Kasim mafuta anatosha. Mawahabi hawafurahi kama hawaja fitinisha.

  • @yangayanga1553
    @yangayanga1553 3 місяці тому

    Hayo mafuta ni sawa na akina Mwamposa

    • @jumangodu2402
      @jumangodu2402 2 місяці тому

      Unamfaninisha mwislamu na kaafir
      Shauri yako

  • @mwanajumanassor9579
    @mwanajumanassor9579 2 місяці тому +1

    Docta Islam ni salafi Wala hajikwezi ,kama wanaojikweza Kwa elimu acheni chuki wapo wanamkubali

  • @user-bu4du5kn2k
    @user-bu4du5kn2k 3 місяці тому

    Uislamu wa namna hii sijui wapi tunaelekea jamani kiburi kimetawala nyoyo zetu na kujitakasha na kujiona huyu hayuko sawa na huyu hayupo sawa😢😢

  • @ABUUJAAFAR92
    @ABUUJAAFAR92 3 місяці тому +4

    Mahizbiy hapa hawana hoja kabisa ,,usulu wao umebaki kutumia huruma tu ,,,ukiona mtu yeyote analeta hoja za kuwa masalafy wana chuki,hasadi,sijui mwakataa picha mbona mumeeka ya dr ,,jua tu huyo hana hoja na haqi ameiona kwa sheikh qaasim lkn kwa sababu ya ushabiki wake anatafuta njia za kutetea baathl

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 3 місяці тому

      Amna hakki yeyote huko bado ni mpo kwenye mapote kama mengine tuuh ghuruu na kutupa mipaka huyo boss wenu mwemyew nae ashatolewa kwenye sunnah na hiko kikundi chenu kina taabu kila mtu amjeruhi mwenzie Allah awasamehe na awaongoze katika sawa mafuta mwenyewe ahesabiwi kashatikewa kwenye sunnah yani toka mmekuja ninyi tz mmevuruga safu za ahlsuna tumeingiliwa kwakweli mtihani alotupa Allah mkubwa kweli juu ya hilo kundi na uzuri shehe utheiminy kasema na kabainisha upotovu wa kundi lenu hilo atupati tabu

    • @chabunu3367
      @chabunu3367 3 місяці тому

      Masjid luta reyyadul swalhin masjid jundah kwa ustadh swadik pia huyo hiyo Alhamdulilah faida ni nyingi

    • @ABUUJAAFAR92
      @ABUUJAAFAR92 3 місяці тому

      @@chabunu3367 miaka mingapi amefunza hicho kitabu ?,,

    • @abuuyasir1253
      @abuuyasir1253 3 місяці тому

      Kwa hivyo shehe lako ni salafi kuzidi waalimu wa Saudi wake ambao picha zimejaa kwa mitandao,acheni fujo na ujinga aty ma hizb mm ni hizb Allah kwani ww ni hizi shaytwan

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 3 місяці тому

      @@abuuyasir1253 ukifata fatuwa ya ibn utheemeny wao ndo mahizb sabu mipito wanayopita nayo na tabia zao so salafi walotangulia utakuta wanapasuwa safu ya ahlsunna wanagawwa vikundi wakati ni haramu makundi katika uislamu kinacho bidi kupita katika njia ya mtume na wema walotangulia sasa ukija na fikra za kikundi chako kipya kingine chenye fikra mpya tofauti na wema walotangulia ni hizbi sabu siumeacha njia ile ukaja na mpya hivyo salafi ni wajibu wa kila muislamu afate njia hii lakini ukianzisha kikundi chako ukafanya kama ni chama cha watu maalumu huwo so usalafi kitu utakuwa ww ndo hizbi kwaaiyo shekhe kafafanuwa vzr wasome Hawa wanaodai usalafi kisha wanawatoa wenzao katika man hajji ya kweli na kuwa nasibisha na majina ya makundi ya dhwalala huuu so usalafi wamsome shekhe utheimeen watamuelewa warudi katika mstari maana wao ndo wameoinda

  • @maulidimuhani
    @maulidimuhani 2 місяці тому

    KASSIM MAFUTA, Kajixhimbia kaburi kaburi mwenyewe AKOSOLEWA YUPO MTUPU HANA ELIMU Angalia hii "ua-cam.com/video/M1dV0lAk8Vs/v-deo.htmlsi=nyotvj8T-eYBkZgk "

  • @mussaissa6796
    @mussaissa6796 3 місяці тому

    ولا تنازعوا فتفشلوا وتذهب ريحكم
    Wapuuzi wakubwa nyinyi

  • @MuhammediKinyagari
    @MuhammediKinyagari 3 місяці тому +2

    Wafundishen watu din wachen kuwasema watu vibaya