Kabla kutuma comment sikiza video mpaka mwisho. respect kwa dr Islam na sheikh Mafuta kwani hivi ni vita zenu sisi kama wafuasi wasia wetu shikamaneni mufunze dini na mueneze dini ❤
Acheni husda kwa dr Islam ماشاء الله ماشاء الله ماشاء Angalieni darsa zake zaid ya saa na nusu anatoa darsa hatumii karatasi wala kusoma kitabu Anatoa darsa kwa kichwa Amehifadhi Allah amzidishie Elimu امين يارب العالمين
Usalafi gani huo wa kuwasema watu vibaya na kuwatoa kwenye dini ? Ndo njia ya walotangulia walikuwa wana watoa watu kwenye sunnah kama ninyi? Uzuri shekhe utheiminy kabainisha futna zenu hatupati shida kabisa wala hamtushughulishi na ujinga wenu
@@adnanshaban2660 unaskia akhy hiki kikundi cha kina mafuta wanachekesha sana wanajiona wapo katika hakki kuliko wengine wanadai wameongoka wakati kuna mashekhe wakubwa wamekilaumu akiwemo utheimeeny kauli yake kabainisha wazi wapo karibu na kupatia lakini wamepotea baadhi ya sehemu eidha wamepotea kabisa leo imefikia kipindi mtu anakwambia kumjuwa mtu wa sunnah tz niyule anae mfata mafuta na kumjuwa mtu wa bidaa au hizb anae mpinga mafuta kwahiyo mashekhe wao ndo wamewwkwa indicator ya kujuwa ww mtu wa sunnah so mtume tena wala swahaba arafu hawasalimiagi watu hata uwe vipi umkubali shekhe wanaomtaka wao ndo utasalimiwa au kujibiwa salamu wakati mimi naskilizaga fatuwa za wanazuoni nilimsikia shekhe fawzan aliulizzwa swala la kumkata mtu inafaa kumsalimia mtu wa bidaah akajibu kama bidaah zake ndogo hazikufurishi utamsalimu au akikusalimu utaitikia ila unamsihi aache bidaa na kumkata mtu kuto msalimu mtu yule mwenye bidaah zinazomkufurisha na kumtoa kwenye uislamu mtu huyo ndo haistahiki kumtolea salamu lakini Hawa mabwana siku zinapoenda ubaya wa pote lao unadhihirika siku hadi siku
Allah akimpa mja wake neema hakuna kiumbe yeyote ambae yuko na uwezo wa kumuondoshea neema hiyo Sheikh Kassim wallah uko na maradhi ya hasad,fitna,khila na khiyana Allah akuongoze na awuponye moyo wako na maradhi hayo aamiin
NIMEHUDHURIA DARSA ZA MASHEIKH MBALI MBALI TANZANIA NA KENYA LAKIN DARSA ZA DUKTUUR WALLAHI WAHISI RAHA YA ELIMU KUSOMA CHINI YA SHEIKH ZAAHID TAQIYY نحسبه كذلك والله حسيبه
Ukifata Darsa za islam unataka kumsikiliza kila siku na mawaidha yake yanakubadilisha ALHAMDULLAH kwa kutuletea Huyu sheikh EastAfrika masalafi masalafi washamba tu nyinyi mnakuja Yemen kusoma mkitoka mnarudi na Elmu bila Hekma mnasumbua watu, SALAF Ndio njia yetu sisi waislam lkn nyinyi mnajiita masalafi Darsa zenu kazi kujisifia tu kuwa ndio watu wa peponi na wengine wote motoni ALLAH atuhifadhi na atuongoe tuache kujigawa kwa makundi tusimame na QURAN NA SUNNAH AMEEN YA RABB WALLAHY JIANGALIE MPO KWNY HAKI LKN KUJIONA SHEKHE WAKO NDIO BORA KULIKO WENGINE HII INAWAHARIBIA NA KUKOSA HEKMA
@@MohamedHassan-kk5te 😁 Ushabiki utawauwa, ni TUSI gan Sheikh Qasim mafuta amemtukana daktar wenu? , huyu daktar Islam kasema Qasim mafuta Ana tabia za kike sio TUSI hilo? Tatzo lenu mmekaa kishabiki mpaka kwenye dini.
Naomba pia Duktur ajirekebishe namna kujibu hoja mie nimeskia akitusi hao masalafi na ametowa maneno machafu sana hakutoa jibu kwa hoja zozote za huyo kasim mafuta
DUKTUUR ISLAM ALLAH AMHIFADHI NA KILA SHARI SISI TULO KAA CHINI YAKE NDIO TWAMJUA ALHAMDULILLAAAH DUKTUUR AMETULIA NA ALLAH AMEMPA HIKMA NA BUSARA KATIKA KULINGANIA SHEIKH AMENYOOKA NA UMMA WASHUDIA HILO ISPOKUWA ANAE JIZIMA DATA
Sheikh Mafuta muogope Allah, wanazuoni ninyi ndio chanzo cha faraka na mipasuko ktk kamba ya Allah... Wallah mtaulizwa kwa kila mlichokichunga, sahii ni husda kubwa mwafanyiana mkishaona watu wanapenda darsa za Sheikh Fulani basi utatamani wale watu wote waje kwako wakufuate wewe... Wallah mtihani na Allah atawauliza, moto wa Allah ni mkali mno jamani
@@HanifaOman-oo4plna nyinyi pia mutakuja juta pakubwa kushukisha heshima za masheikh mambo matatu ya hifadhiwe juu ya mwislamu heshima,damu Mali hatutiweza kuona sheikh Dr heshima yake ikipakwa matope
@@MussaTendwa mjoomba hoja hazijibiwi hivo muambiye kasim mafuta Kuna masheikh kibao wanataka mdahalo hoja kwa hoja yy awe upande wakulia na sheikh upande wa pili kuwe na ummah hapo ndiyo sawa ila kwa hivi nikama anajielewa mwenywe
Tumcheni Allah, haya mambo ya kujeruhi waachieni ULAMAA. Matulabu ilmu na maàwamu kama sisi hatutaulizwa kwa nini hujamtahadharisha fulani kwa sababu hiyo haiko katika mustawaa wetu. Wale waliobainishwa na ULAMAA kama mashia, masufi n.k. endeleeni nao.
Dr.Islam Assalamualaikum. Allah amekujalia unakubalika Kwa hekma ulonayo katka darsa zako na da'wah Yako Sasa kuwa makin na hawa masalaf wasije wakakutoa kwenye mstari , usipende kuwa jib wenzako ndio wanapenda hiyo mipasho . We fundisha watu dini na walinganie . Anayekushambulia Allah atakujibia , kumbuka ile hadith Allah akimpenda mja bac yeye ndiye Huwa macho yake ,miguu yake mdomo wake ........
Muhadhara niliusikia wakati ulipotolewa na leo nimeusikia ni kama sijawahi usikia mpya kabisa maa shaa Allah hii ndio manhaj salaf ni elimu tupu uadilifu wa hali ya juu kutoka kwa sheikh Abul Fadhl Allah Amuhifadhi
Kusomesha watu Riyadh salihin na kutafsiri Quran itakua sawa na kuchambua watu kua yupi ni salafi unatia mtu kwa usalafi mwengine wamtoa wahukumu watu kwani we mungu! Neno salafi ni hilohilo sunnah musije kujipata makhawarij kwa kujiona wachamungu sana!
ALLAH AKULINDE DUKTUUR ISLAM MWALIMU WETU NA AWATIBU MARADHI YAO HAWA WENYE MARADHI NA HASADI WAKIJIFICHA CHINI YA KIVULI CHA MANHAJ SALAF BILA KUJUA KUWA WANAYO YAFANYA HUKHALIFU MANHAJ SALAF
Ushaur wangu kwa sheikh qasim mafuta kweli Yuko vizur ila Dr Islam Yuko vizur Zaid kwahiyo sheikh qasim angenufaika na Dr Islam maana hata kwa kuwasikiliza Tu duktuur ni ductour Tu kaeni chini mnufaike Naye husda tuziweke pemben...Allah awahifadhi masheikh wetu wooote na kwapamoja Allah atupe mwisho mwema
Hicho kikasimu kinajifanya yy ndo.mizani ya sunna Akitokea mtu akimpinga yy binafsi matatizo yake binafsi Anajigeuza yy ndo mwenye dini Kazi yake kutowa watu kwenue uislamu tuu
We kassim mafuta huna kitu Ni fujo tu Dr. Islam anazungumza vitu vya maana Sana twampenda usiwe na wivu Kama kakuzidi kubali tu we mzee dawa zako we mafuta hazieleweki vituko vitupu.
huo ni ujinga na so usalafi wa kweli ninyi ndo mrudi katika sawa ndomana shekhe utheiminy Allah amrehemu kataja fitna za kundi lenu hilo na dalili zote mnazo hapo amkimbii teteeni ile hojja kimya mpk mpk leo amna alokuja kutetea iyo hoja mnaruka ruka tuuh shekhe islamu yupo kwenye hakki kuliko ninyi majadida
@@user-yj5on8cz3e Sasa ww hizbi nikuulize Mambo mapya gni walileta salaf kama hulingani watu tawheeed na bidaa umerudiwa kwa sababu huu uwanja mnaukimbia kwa kuiangalia maslahi ynu miaka kumi na Tano mtu anafunza vitabu vitatu tu mbona mnahangaika mkae chini mufunze nyinyi mahizbi
Awa kilichowauma dr alipobainisha fitna za kundi lao muhadhara wake ule tanga sabu dr islamu alitumia hoja za shekhe saleh utheiminy Allah amrahamu amebainisha dalili la hili kundi la kina mafuta usalaffi wao sasa si wamradi shekhe yeye alisoma fatuwa zake
Shekhe Gani ata kuonekana haonekani 😂😂😂😂 shida ni uso mbaya ata shauku hana... We umeona wapi mtu anaongea halafu haonekani.. eti picha haramu basi na pesa pia msitumie leteni pesa izooo tuzitumie sie..😂😂😂 majuhhaal wakubwa na upuuzi tu mjuayo basi
Sisi hatupakani mafuta kwa nyuma ya mongo WA chupa wala Sisi hatuna umoja feki pamoja na shekheletu linaasili ya MAFUTA Allah amuhifadhi wallahi NI neema kubwa Sisi ilikuwa hatujui haki iko WP Allhamdulillah allaniimatilislam wassuna allamanhajusalafiy llumma
Ansari sunnah ndo masalafi wa kweli na ukitaka sunnah haswa Hawa wengine kina mafuta na wenzie ni masalafi feki ( majadida) hamna lolote guhuruu na matamanio ila ukitaka sunnh hasa na usalafi wa kweli ni kwa answari tuu nyi wengine vikundi tuuh vya ubabaishaji
Hii Da'awah mm mwenyewe siilewi, chuki nyingi dhidi ya Masheikh, sijuwi wanataraji nini hawa mbele ya Allah. Kwa sababu hichi wanacho kifundisha kipo kinyume na mafundisho ya Mtume صلى الله عليه وسلم
Tatizo lako hujui misingi ya daawatu salafiya,,sasa ndio maana waona kutatizwa, ,,,wewe kwa kutokufaham kwako waona ni chuki, unawahofia kukutana na Mola wao vibaya ,,,matatizo unayo wewe usiyejua kuwa usalafy ni nn ،،kwahio kaa chini ndugu yangu usome ndio utajua hii Daawa sio chuki bali ndio Daawa ya mtume, ,,,lkn Faham zikiwa ndogo utabaki kukashifu tu na Hali Tatizo utakuwa nalo wewe.,,angalia haki usijawe na huruma isio na faida,,
@@ABUUJAAFAR92Usitudanganye daawa ya mtume ndo kuwatoa watu kwenye sunnah? Kwani mtu akilingania kitabu na sunnah na wema walotangulia maswahaba huyo ni salafi hata bila kujitangaza mimi salafi ulinganizi wake tosha kukujulisha yule salafi sasa na ndo kauli za wanazuoni wetu shekhe utheiminy nae kasema usalafi so kikundi cha mtu binafsi au chama cha watu fulani yeyote nwenye kupita mipito ya quruani na sunnah huyo salafi tatizo linakuja ninyi mmefanya usalafi ni hizbi ya watu maalumu yeyote aso katika ninyi huyo mnamtoa kwenye manhaji ya wema walotangulia ninyi mmekuja na usalafi mpya mapito yenu tofauti na masalafi swalehe awakutoana kwenye njia kama ninyi leo hilo kundi leenu mmeingia cha kike msitufanye sis hatujui maana ya usalafi eeeboo!!!
Umesema neno Shekh Kasim na kulipinga papo hapo, Kwa maana ni kama hujalisema: waarabu wasema: انكنت كذابا فكن ذكارا Jambo ulosema: ni kwamba husikii darsa za Doktoor, siali, ulijuaje mapungufu na manhaj yake? Pili: mbona ni Doktoor Islam pekee umefuata hatua zake? Ujue watu wana akili, usijifungie kwako unadhami ulimwengu umeufunga katika fikra za kuta nne zilizo zunguka chumba chako. Kuna mashekhe wangapi mbona mno Doktoor Islam, au ni sababu ya umaarufu wake? Ni kweli twaona umaarufu wake unaumiza moyo wako, ila kwa inswaaf tosheka na alicho kupa Allah, kubali kama walivo tii malaika ubora wa Nabii Adamu Alayhi Salaam, na usipinge kama alivo jiona bora iblis kuliko Nabii Adamu Alayhi Salaam kwa kitendo cha kutomsujudia na kupinga amri ya Allah
Mahizbiy hapa hawana hoja kabisa ,,usulu wao umebaki kutumia huruma tu ,,,ukiona mtu yeyote analeta hoja za kuwa masalafy wana chuki,hasadi,sijui mwakataa picha mbona mumeeka ya dr ,,jua tu huyo hana hoja na haqi ameiona kwa sheikh qaasim lkn kwa sababu ya ushabiki wake anatafuta njia za kutetea baathl
Amna hakki yeyote huko bado ni mpo kwenye mapote kama mengine tuuh ghuruu na kutupa mipaka huyo boss wenu mwemyew nae ashatolewa kwenye sunnah na hiko kikundi chenu kina taabu kila mtu amjeruhi mwenzie Allah awasamehe na awaongoze katika sawa mafuta mwenyewe ahesabiwi kashatikewa kwenye sunnah yani toka mmekuja ninyi tz mmevuruga safu za ahlsuna tumeingiliwa kwakweli mtihani alotupa Allah mkubwa kweli juu ya hilo kundi na uzuri shehe utheiminy kasema na kabainisha upotovu wa kundi lenu hilo atupati tabu
Kwa hivyo shehe lako ni salafi kuzidi waalimu wa Saudi wake ambao picha zimejaa kwa mitandao,acheni fujo na ujinga aty ma hizb mm ni hizb Allah kwani ww ni hizi shaytwan
@@abuuyasir1253 ukifata fatuwa ya ibn utheemeny wao ndo mahizb sabu mipito wanayopita nayo na tabia zao so salafi walotangulia utakuta wanapasuwa safu ya ahlsunna wanagawwa vikundi wakati ni haramu makundi katika uislamu kinacho bidi kupita katika njia ya mtume na wema walotangulia sasa ukija na fikra za kikundi chako kipya kingine chenye fikra mpya tofauti na wema walotangulia ni hizbi sabu siumeacha njia ile ukaja na mpya hivyo salafi ni wajibu wa kila muislamu afate njia hii lakini ukianzisha kikundi chako ukafanya kama ni chama cha watu maalumu huwo so usalafi kitu utakuwa ww ndo hizbi kwaaiyo shekhe kafafanuwa vzr wasome Hawa wanaodai usalafi kisha wanawatoa wenzao katika man hajji ya kweli na kuwa nasibisha na majina ya makundi ya dhwalala huuu so usalafi wamsome shekhe utheimeen watamuelewa warudi katika mstari maana wao ndo wameoinda
KASSIM MAFUTA, Kajixhimbia kaburi kaburi mwenyewe AKOSOLEWA YUPO MTUPU HANA ELIMU Angalia hii "ua-cam.com/video/M1dV0lAk8Vs/v-deo.htmlsi=nyotvj8T-eYBkZgk "
dr islam mwalimu mzuri sana na anaeleweka na elimu yake ni kubwa na hafarakanishi jamii na wala hajitukuzi wacheni husda na choyo
Allah amuhifadhi Dr islam, Ameen thumma Ameen
sasa kassim mafuta kapata wapi ELIMU, busara na hekima ya kumfikia Dr. Islam ndo maana amekuwa ni mtu wa MATUSI tu,
Naam allah amuhifadhi dr islamu
Sio husba ndugu hujamwelewa Shekhe kasimu Mafuta.... Ila nakushauli kasome
Labda Sheikh Kassim Mafuta ndo hangerudi madrasa. Inawezekan ameisoma dini kwa malengo yakuwa anawatusi ma Sheikh wenzake
Dr Islam ni miongoni mwa wanaotoa Darsa safi sana…! Binafsi namkubali kuliko hao wanaomsema!!!
Hamumpati muhuddi Dr Islam yupo juu daimaa
Kabla kutuma comment sikiza video mpaka mwisho. respect kwa dr Islam na sheikh Mafuta kwani hivi ni vita zenu sisi kama wafuasi wasia wetu shikamaneni mufunze dini na mueneze dini ❤
Acheni husda kwa dr Islam
ماشاء الله ماشاء الله ماشاء
Angalieni darsa zake zaid ya saa na nusu anatoa darsa hatumii karatasi wala kusoma kitabu
Anatoa darsa kwa kichwa
Amehifadhi
Allah amzidishie Elimu
امين يارب العالمين
Wacha kupelekwa na hisia za masheikh,,,we fuata haki
Sasa hayo kasim mafuta ya Nazi ndiyo hayawezi nakisoma pia hukosea
Dini IPO TZ saizi bana sio kenya
Dr amesomesha vitabu vingapi?
Wewe umesoma kitabu gani kutoka kwa Dr islaam,,,
Shekh Qassim Mafuta allah akuzidishie umri wenye manufaa kwani juhudi unazozifanya za kutuzindua ktk dini yetu ya uislamu ni kubwa sana
Masalafi acheni shokoshoko fanyen kazi ya ALLAH. Shekhe Kasi bazi ya mambo kaa kimya. Ushakua
Dk ana hekima sana, Allah amjalie
Dr Islam Muhammad ni Sheikh anatoa Darsa na anafunza vizuri sana sio Jadida
Allah akufishe katika wiislam na sunnah juu ya ufahamu wa wema waliotangulia na allah akukutanishe na mtume صلى الله عليه وسلم jannah allahuma amiin
Usalafi gani huo wa kuwasema watu vibaya na kuwatoa kwenye dini ? Ndo njia ya walotangulia walikuwa wana watoa watu kwenye sunnah kama ninyi? Uzuri shekhe utheiminy kabainisha futna zenu hatupati shida kabisa wala hamtushughulishi na ujinga wenu
Tumuombee Allah amuongoze na amruzuku hekma na uongofu elmu yake ndio imeishia hapo na ujadida wake ndio huo
@@adnanshaban2660 unaskia akhy hiki kikundi cha kina mafuta wanachekesha sana wanajiona wapo katika hakki kuliko wengine wanadai wameongoka wakati kuna mashekhe wakubwa wamekilaumu akiwemo utheimeeny kauli yake kabainisha wazi wapo karibu na kupatia lakini wamepotea baadhi ya sehemu eidha wamepotea kabisa leo imefikia kipindi mtu anakwambia kumjuwa mtu wa sunnah tz niyule anae mfata mafuta na kumjuwa mtu wa bidaa au hizb anae mpinga mafuta kwahiyo mashekhe wao ndo wamewwkwa indicator ya kujuwa ww mtu wa sunnah so mtume tena wala swahaba arafu hawasalimiagi watu hata uwe vipi umkubali shekhe wanaomtaka wao ndo utasalimiwa au kujibiwa salamu wakati mimi naskilizaga fatuwa za wanazuoni nilimsikia shekhe fawzan aliulizzwa swala la kumkata mtu inafaa kumsalimia mtu wa bidaah akajibu kama bidaah zake ndogo hazikufurishi utamsalimu au akikusalimu utaitikia ila unamsihi aache bidaa na kumkata mtu kuto msalimu mtu yule mwenye bidaah zinazomkufurisha na kumtoa kwenye uislamu mtu huyo ndo haistahiki kumtolea salamu lakini Hawa mabwana siku zinapoenda ubaya wa pote lao unadhihirika siku hadi siku
Shekhe kasim anapotosha watu na ataenda kuulizwa
Allah amuhifadhi Dr. Islam
Allah akimpa mja wake neema hakuna kiumbe yeyote ambae yuko na uwezo wa kumuondoshea neema hiyo Sheikh Kassim wallah uko na maradhi ya hasad,fitna,khila na khiyana Allah akuongoze na awuponye moyo wako na maradhi hayo aamiin
Ipi dalili yako juu ya hili? Je? Una ilimu yoyote ututolee? Au ni maneno matupu tu?
بارك الله فيك يا شيخنا خيراً الجزا سيعرفون بعد قليل إنشاء الله
May Allah bless you too
Allah atuongoze
بارك الله فيك وجزاك الله خيراً يا شيخنا الفاضل الله يحفظك على ما كنت
We qassim wafuta ya nazi unapenda sana kupinga mashekh wenzio we inakuhusu na nn ili hali we mwenyewe hukai mombasa hiii
Kassim mbabaishaji tu hyo
Allah akuhifadhini wote na akuongozen kwa huruma yake
Dr islam Allah amlipekher huo mwalim muzur na anawaweza masarafijadida kwahio dr islam tunampenda kwajili ya Allah
Wacheni Chuki ,Hasad na wivu zenu. Daawa etaendelea bila Nyinyi. ALLAH Subhana wataala amhifadhi .
Tunasubiri sehemu ya pili sasa.Allah awahifadhi mashekhe wetu kwani tumebainikiwa Barakallahu fykum.
NIMEHUDHURIA DARSA ZA MASHEIKH MBALI MBALI TANZANIA NA KENYA
LAKIN DARSA ZA DUKTUUR WALLAHI WAHISI RAHA YA ELIMU KUSOMA CHINI YA SHEIKH ZAAHID TAQIYY نحسبه كذلك والله حسيبه
Ni msomi kwa mafuta ni wivu tu na husda
😂😂😂😂 KWAHIYO KASSIM MAFUTA NDIO MWENYE KUWATHIBITISHA NA KUWATOA WATU KTK MANHAJ, Innaa ilaihi w Innaa ilaihi Raajiuun 😂😂😂
Ukifata Darsa za islam unataka kumsikiliza kila siku na mawaidha yake yanakubadilisha ALHAMDULLAH kwa kutuletea Huyu sheikh EastAfrika masalafi masalafi washamba tu nyinyi mnakuja Yemen kusoma mkitoka mnarudi na Elmu bila Hekma mnasumbua watu, SALAF Ndio njia yetu sisi waislam lkn nyinyi mnajiita masalafi Darsa zenu kazi kujisifia tu kuwa ndio watu wa peponi na wengine wote motoni ALLAH atuhifadhi na atuongoe tuache kujigawa kwa makundi tusimame na QURAN NA SUNNAH AMEEN YA RABB WALLAHY JIANGALIE MPO KWNY HAKI LKN KUJIONA SHEKHE WAKO NDIO BORA KULIKO WENGINE HII INAWAHARIBIA NA KUKOSA HEKMA
Maneno yako mengi lakn hakuna point ya kuchukua, hebu tafuta history ya sheikh Qasim mafuta.
Kasim mafuta unabalabala nyingi huna hoja hapa wacha ushamba ww huwez kuwa salafi salafunaswaleh hawatukana hata kidgo
@@MohamedHassan-kk5te
😁 Ushabiki utawauwa, ni TUSI gan Sheikh Qasim mafuta amemtukana daktar wenu? , huyu daktar Islam kasema Qasim mafuta Ana tabia za kike sio TUSI hilo? Tatzo lenu mmekaa kishabiki mpaka kwenye dini.
@@MohamedHassan-kk5teTusi Ili liwe tusi unaona litolewe na mbaya wako sio mzuri wako au sio?
@@ibnayub2374mbona hajamtaja mtu Ductor, lakini ndio daawa ilivyo, hufichua lile lililokusibu
Naomba pia Duktur ajirekebishe namna kujibu hoja mie nimeskia akitusi hao masalafi na ametowa maneno machafu sana hakutoa jibu kwa hoja zozote za huyo kasim mafuta
Ajibu hoja gani wacheni hasadi za shehe kasema semeni kala rasulullah na kala llahu taala wacheni chuki na hasadi na kusemanasemana kama wanawake
Sema hoja gani hakujibu nikuoneshe.
Salafi imekuwa dini,kila dakika salafi,salafi nani atazungumzia uislam
DUKTUUR ISLAM ALLAH AMHIFADHI NA KILA SHARI SISI TULO KAA CHINI YAKE NDIO TWAMJUA
ALHAMDULILLAAAH DUKTUUR AMETULIA NA ALLAH AMEMPA HIKMA NA BUSARA KATIKA KULINGANIA
SHEIKH AMENYOOKA NA UMMA WASHUDIA HILO ISPOKUWA ANAE JIZIMA DATA
Asalam alaykum
Mashaallah sheikh Qassim mafuta Allah akuhifadhi sheikh wetu Abuu Fadhil
Muache shekh wetu Doctor Islam Muhammad
جزاك الله خيرا يا شيخ
Sheikh Mafuta muogope Allah, wanazuoni ninyi ndio chanzo cha faraka na mipasuko ktk kamba ya Allah... Wallah mtaulizwa kwa kila mlichokichunga, sahii ni husda kubwa mwafanyiana mkishaona watu wanapenda darsa za Sheikh Fulani basi utatamani wale watu wote waje kwako wakufuate wewe... Wallah mtihani na Allah atawauliza, moto wa Allah ni mkali mno jamani
Hakika akahy yaani allah awaongoze walinganizi wa ahlsunnah waljamaa
hmmmm kasim mafuta yupo level nyengine... acheni mchezo jamani😮😮
Hana level yyte hn hekma
Anasema watu vbya
Level gani hiyo?.Kassim Husda kibao!
Level ya kijadida sawa ila ukisema usalafi wa kweli hamna kitu pale guruu matamanio na fitna yupo vzr kwa majadida hapo tutakubali
@@saidali9255 husda kivipi yani,,,yani ilmu anayosomesha huoni,,,
Huyu sheikh anatabu sana hata masalafi wenziwe wamjua anatabu sana Allah amuongoze
Tunakuomba Allah utuhifadh sote Waislamu na waumin
Aamiin Aamiin Aamiin
Huyu mafuta niwale wanao dhani wao washabashiriw pepo
Kwanza jiangalie mwenyewe ulivo kisha mzungumzie mafuta,wewe umevaa kapelo na suti kama mgaratia namna hiyo 😂😂😂
Urivo kama twauhnguti
Kahachin usome kwanza
😂😂😂 Islam hawezi wajibu nyinyi kumbavu ama kweli huja jibu kasim mafuta ya Nazi Islam Hana time ya upuzi songa mbele sheikh Dr Islam Allah akuhifadhi
Tukanatu. Ila sikuyasitlku utajuta
Ikiwa maneno ya sheikh qassim yana utata, ili watu wasipotezwe muambieni duktur ayarudi,,, hana haja,,,na wala hawezi kuyajibu maana ni ya haki
@@HanifaOman-oo4plna nyinyi pia mutakuja juta pakubwa kushukisha heshima za masheikh mambo matatu ya hifadhiwe juu ya mwislamu heshima,damu Mali hatutiweza kuona sheikh Dr heshima yake ikipakwa matope
Hawezi kujibu vipi Sasa katika mazungmzo yake si alisema leta hoja za ki'ilmu ziekwe juu ya meza si ndio zimeekwa Sasa au
@@MussaTendwa mjoomba hoja hazijibiwi hivo muambiye kasim mafuta Kuna masheikh kibao wanataka mdahalo hoja kwa hoja yy awe upande wakulia na sheikh upande wa pili kuwe na ummah hapo ndiyo sawa ila kwa hivi nikama anajielewa mwenywe
Tumcheni Allah, haya mambo ya kujeruhi waachieni ULAMAA. Matulabu ilmu na maàwamu kama sisi hatutaulizwa kwa nini hujamtahadharisha fulani kwa sababu hiyo haiko katika mustawaa wetu. Wale waliobainishwa na ULAMAA kama mashia, masufi n.k. endeleeni nao.
Wewe kasimu mafutaa kilaa siku kusemaa wenzio unahusdaa sanaaa unasemaa umsikilizii sasaumejuwaje kamaa haongelei hayoo mambo achaa hizoo mambo shekhe mafutaa kilaa siku
Kasomeni hamna elmu muacheni dr islam
Sheikh Dr alaakuhifathi
Shekh Kasim Allah amuongoze na amsimamie katika kila jambolake la kheri, kwakweli ANAPAMBANA SANA japo wajinga hawamuelewi
Leo nimejua huyu(Mafuta) mtupu kabisaaa
😂😂😂😂
Shekh kassim yuwasema ukweli japo kua ni uchungu kwa wangine haya mambo ni ya allah siya kikabila jamaa
Allh awaongozen ila jihatadn kuacha ushabik katika din
Kweli kabsa point aisee
Dr.Islam Assalamualaikum. Allah amekujalia unakubalika Kwa hekma ulonayo katka darsa zako na da'wah Yako Sasa kuwa makin na hawa masalaf wasije wakakutoa kwenye mstari , usipende kuwa jib wenzako ndio wanapenda hiyo mipasho . We fundisha watu dini na walinganie . Anayekushambulia Allah atakujibia , kumbuka ile hadith Allah akimpenda mja bac yeye ndiye Huwa macho yake ,miguu yake mdomo wake ........
Muhadhara niliusikia wakati ulipotolewa na leo nimeusikia ni kama sijawahi usikia mpya kabisa maa shaa Allah hii ndio manhaj salaf ni elimu tupu uadilifu wa hali ya juu kutoka kwa sheikh Abul Fadhl Allah Amuhifadhi
Allah s.w.t tujarie elimu yenye manufa Duniani na ksho akhera. Na utujarie ufahamu aàmin
Dr. Islam yuko sawa kabisa.
Kasim mwalim wangu
Ni vizuri awa wawili wakakutana ukae kwa munakasha wa live bila ya fujo za mashabiki wa mtandao ili tujue nani yupo sahihi zaidi
Sheykhe ALLAH. akuongoze ila we upon mbali kabisa na ufaham salafi umebeba misimamo ya ma sheykhe. Zako. Na sio hujielewi sheykhe
Kusomesha watu Riyadh salihin na kutafsiri Quran itakua sawa na kuchambua watu kua yupi ni salafi unatia mtu kwa usalafi mwengine wamtoa wahukumu watu kwani we mungu! Neno salafi ni hilohilo sunnah musije kujipata makhawarij kwa kujiona wachamungu sana!
Upuuuzi mtupu yani ukiwasikia unaweza ukasema wanauhakika na pepo kwanamna walivyo kua hawana adabu
Nyinyi watu wa.bidaha amna erimi ndomana amuerew
Wewe usimtambue ila East Africa nzima inamtambua kuwa ni عالم معتبر 🤍
Duu sisi watu wasuna sijui tunashida Gani maana kazi yetu kukosoana
Mumekaa kama wanawake.kazi kuongelea watu badala kufundisha.
Hakuna wanaofundisha na kutoa ilmu kama kina sheikh qaasim mafuta,,,ama kina dr kufundisha wameshindwa ,,,
Kwani wewe hapo wafanya nini,,,si waongelea watu,,,kinachozingatiwa je wazungumza kwa haki???
Ujui uritendaro ndomana unamtukana shekhe kasim mafuta
Alhamndulilahi tumejua haki Iko wapi
Umetutisha na picha za movie za kituruki Tuh Halfu Hamna lolote 😅
ALLAH AKULINDE DUKTUUR ISLAM MWALIMU WETU NA AWATIBU MARADHI YAO HAWA WENYE MARADHI NA HASADI WAKIJIFICHA CHINI YA KIVULI CHA MANHAJ SALAF BILA KUJUA KUWA WANAYO YAFANYA HUKHALIFU MANHAJ SALAF
Wewe Bado mwanafunzi soma dawaa'waah salafiyaaah kwanza, sio maneno ya majihizibi unao tembea nao
Nam shekh wangu ningekuomba kama unawez kunisaidiya la groupe doctor islam wasap ili niwez kupat Fawaidu namimi
Ikiwa hufatilizi darsa zake ulijuaje kama hazungumzi usalafi ilmu ndogo ina shida
Ushaur wangu kwa sheikh qasim mafuta kweli Yuko vizur ila Dr Islam Yuko vizur Zaid kwahiyo sheikh qasim angenufaika na Dr Islam maana hata kwa kuwasikiliza Tu duktuur ni ductour Tu kaeni chini mnufaike Naye husda tuziweke pemben...Allah awahifadhi masheikh wetu wooote na kwapamoja Allah atupe mwisho mwema
Shekhe unaongea sn, lete hoja sawasawa, au kwakuwa Allah amekujaalia ufasaha wa kuongea? Lete hoja ya msingi acha faraqa
Hongera TZ kenya lazma waje kusoma bongo
Huyo qasim mafuta hakusoma Kenya?
@@mahatmamgenge subiri uoneshwe kazi wewe wa TZ tuna elimu hio zamani nyinyi mkisoma unguja
Tanzania kila elimu Iko nyinyi vilaza tu subirin na madogo wanapiga shule saizi mtajionea
Masheikh wataambiwa maneno machafu na kutukanwa sababu ni wewe ilo tambuwa na uandaye majibu utampa mola wako hiyo siku.
Manhaj ya ushetani Tu
Hicho kikasimu kinajifanya yy ndo.mizani ya sunna
Akitokea mtu akimpinga yy binafsi matatizo yake binafsi
Anajigeuza yy ndo mwenye dini
Kazi yake kutowa watu kwenue uislamu tuu
We kassim mafuta huna kitu Ni fujo tu Dr. Islam anazungumza vitu vya maana Sana twampenda usiwe na wivu Kama kakuzidi kubali tu we mzee dawa zako we mafuta hazieleweki vituko vitupu.
Huelewi wewe, usitujumuishe
Wee unaenda bidaa
Tandika kisawa swa mpaka warudi swa hawa mahizbi na makhurafi hakuna kuwapa nafasi hawa
huo ni ujinga na so usalafi wa kweli ninyi ndo mrudi katika sawa ndomana shekhe utheiminy Allah amrehemu kataja fitna za kundi lenu hilo na dalili zote mnazo hapo amkimbii teteeni ile hojja kimya mpk mpk leo amna alokuja kutetea iyo hoja mnaruka ruka tuuh shekhe islamu yupo kwenye hakki kuliko ninyi majadida
@@user-yj5on8cz3e Sasa ww hizbi nikuulize Mambo mapya gni walileta salaf kama hulingani watu tawheeed na bidaa umerudiwa kwa sababu huu uwanja mnaukimbia kwa kuiangalia maslahi ynu miaka kumi na Tano mtu anafunza vitabu vitatu tu mbona mnahangaika mkae chini mufunze nyinyi mahizbi
Dkt Islam ni salafiyya halisi, na yupo vizuri sana ktk kutangaza daawa salafiyya
Duh!@@twahambowe440
لِّيَهۡلِكَ مَنۡ هَلَكَ عَنۢ بَيِّنَةٖ وَيَحۡيَىٰ مَنۡ حَيَّ عَنۢ بَيِّنَةٖۗ
Daawa zenu nyote Hazina Athari Kwa Makafiri kazi kushambuliana wenyewe Kwa wenyewe
A.alaykum tunaomba muendelezo wa hii please
Hii channel ya kimbea mbea San kwann mnapenda kugombanisha watu km kweli hao kina mafuat wanataka Haq siwamfuate wamnakish kwann au ndo kuogopa??
Awa kilichowauma dr alipobainisha fitna za kundi lao muhadhara wake ule tanga sabu dr islamu alitumia hoja za shekhe saleh utheiminy Allah amrahamu amebainisha dalili la hili kundi la kina mafuta usalaffi wao sasa si wamradi shekhe yeye alisoma fatuwa zake
Shekhe Gani ata kuonekana haonekani 😂😂😂😂 shida ni uso mbaya ata shauku hana... We umeona wapi mtu anaongea halafu haonekani.. eti picha haramu basi na pesa pia msitumie leteni pesa izooo tuzitumie sie..😂😂😂 majuhhaal wakubwa na upuuzi tu mjuayo basi
Aah miye nishachoka bwn na hay makundi
Yapo 73 ukichoka utaingia motoni, unalazimika kutokukata tamaa ubaki katika njia ya sawa. Ujitahidi kusoma kwa bidii
maa shaa Allah
HASAD HASAD HASAD WALLAH HAYA NDIO MARADHI YENU HASSA WEWE MAFUTA!
Allah akuhifadhi shekhe qaasim
Allah Akbar
Pili, naomba utufasirie neno lake Allah:
ولا تسبواالذين يدعون من دون الله فيسبوا الله عدوا بغير علم
Sisi hatupakani mafuta kwa nyuma ya mongo WA chupa wala Sisi hatuna umoja feki pamoja na shekheletu linaasili ya MAFUTA Allah amuhifadhi wallahi NI neema kubwa Sisi ilikuwa hatujui haki iko WP Allhamdulillah allaniimatilislam wassuna allamanhajusalafiy llumma
Kwanza huyu ukianza kumtaja jina lake lazima uanze na herufi ya Dr.halafu ndo uendelee wewe sasa unatajwa na kama mafuta ya kupikia shee mafuta 🤣🤣🤣🤣🤣
Wewe ni mwanachuoni lkn Allah amekunyima kitu kimoja ambacho ni hekima na elimu bila hekima ni sawa sawa 0
Uadilifu gani wakuwatukana watu
sasa kassim mafuta kapata wapi ELIMU, busara na hekima ya kumfikia Dr. Islam ndo maana amekuwa ni mtu wa MATUSI tu,
Ansari sunnah ndo masalafi wa kweli na ukitaka sunnah haswa Hawa wengine kina mafuta na wenzie ni masalafi feki ( majadida) hamna lolote guhuruu na matamanio ila ukitaka sunnh hasa na usalafi wa kweli ni kwa answari tuu nyi wengine vikundi tuuh vya ubabaishaji
Hii Da'awah mm mwenyewe siilewi, chuki nyingi dhidi ya Masheikh, sijuwi wanataraji nini hawa mbele ya Allah. Kwa sababu hichi wanacho kifundisha kipo kinyume na mafundisho ya Mtume صلى الله عليه وسلم
Tatizo lako hujui misingi ya daawatu salafiya,,sasa ndio maana waona kutatizwa, ,,,wewe kwa kutokufaham kwako waona ni chuki, unawahofia kukutana na Mola wao vibaya ,,,matatizo unayo wewe usiyejua kuwa usalafy ni nn ،،kwahio kaa chini ndugu yangu usome ndio utajua hii Daawa sio chuki bali ndio Daawa ya mtume, ,,,lkn Faham zikiwa ndogo utabaki kukashifu tu na Hali Tatizo utakuwa nalo wewe.,,angalia haki usijawe na huruma isio na faida,,
Tatizo nyinyimnaangalia kumpendamtu ampomakini naanacho kielimisha mnakibebatu naatamkilekebiswa hamkubali
@@ABUUJAAFAR92Usitudanganye daawa ya mtume ndo kuwatoa watu kwenye sunnah? Kwani mtu akilingania kitabu na sunnah na wema walotangulia maswahaba huyo ni salafi hata bila kujitangaza mimi salafi ulinganizi wake tosha kukujulisha yule salafi sasa na ndo kauli za wanazuoni wetu shekhe utheiminy nae kasema usalafi so kikundi cha mtu binafsi au chama cha watu fulani yeyote nwenye kupita mipito ya quruani na sunnah huyo salafi tatizo linakuja ninyi mmefanya usalafi ni hizbi ya watu maalumu yeyote aso katika ninyi huyo mnamtoa kwenye manhaji ya wema walotangulia ninyi mmekuja na usalafi mpya mapito yenu tofauti na masalafi swalehe awakutoana kwenye njia kama ninyi leo hilo kundi leenu mmeingia cha kike msitufanye sis hatujui maana ya usalafi eeeboo!!!
Mayahud hao mawahabi
Kwani alilingania wapi baatil? Kwani dr islam hafunzi watu kheiri na dini.ama mpaka alinganiye pote yenu ndio atakuwa salaf
Umesema neno Shekh Kasim na kulipinga papo hapo, Kwa maana ni kama hujalisema: waarabu wasema: انكنت كذابا فكن ذكارا
Jambo ulosema: ni kwamba husikii darsa za Doktoor, siali, ulijuaje mapungufu na manhaj yake?
Pili: mbona ni Doktoor Islam pekee umefuata hatua zake?
Ujue watu wana akili, usijifungie kwako unadhami ulimwengu umeufunga katika fikra za kuta nne zilizo zunguka chumba chako.
Kuna mashekhe wangapi mbona mno Doktoor Islam, au ni sababu ya umaarufu wake?
Ni kweli twaona umaarufu wake unaumiza moyo wako, ila kwa inswaaf tosheka na alicho kupa Allah, kubali kama walivo tii malaika ubora wa Nabii Adamu Alayhi Salaam, na usipinge kama alivo jiona bora iblis kuliko Nabii Adamu Alayhi Salaam kwa kitendo cha kutomsujudia na kupinga amri ya Allah
Wote mawahabi sisi tukopembeni
Nini maana ya wahabi maalim?
Sheikh abul fadhwli Kasem kweli
1 ima watu wana ujinga (wajinga)
2.Taasubi (ushabiki wa upofu))
Husda tu hamna usalaf hapa ni makhawariji wa zama hii
Toa dalili za ukhawaarij wao yaan usiwe na madai bila hoj
Mtachoka na husband, chuki na wivu yenu.
Sheikh Islam Allah Subhana wataala amhifadhi na nyinyi Hizbi Salafi Jadida
Hawa jamaa usipo piya mipito yao we so salafi kaa mipito yao mipya kabisa so ya wema walitangulia yani Allah katupa mtihhani kweli juu ya Hawa watu
Wewe kasim mafuta fikiria sana usidanganye bana alfu sisi tunajua masalafi ni akina nani tena vizuri sana achana na Islam.
Ukitaka kuwa jua Mawahabi Kasim mafuta anatosha. Mawahabi hawafurahi kama hawaja fitinisha.
Hayo mafuta ni sawa na akina Mwamposa
Unamfaninisha mwislamu na kaafir
Shauri yako
Docta Islam ni salafi Wala hajikwezi ,kama wanaojikweza Kwa elimu acheni chuki wapo wanamkubali
Uislamu wa namna hii sijui wapi tunaelekea jamani kiburi kimetawala nyoyo zetu na kujitakasha na kujiona huyu hayuko sawa na huyu hayupo sawa😢😢
Mahizbiy hapa hawana hoja kabisa ,,usulu wao umebaki kutumia huruma tu ,,,ukiona mtu yeyote analeta hoja za kuwa masalafy wana chuki,hasadi,sijui mwakataa picha mbona mumeeka ya dr ,,jua tu huyo hana hoja na haqi ameiona kwa sheikh qaasim lkn kwa sababu ya ushabiki wake anatafuta njia za kutetea baathl
Amna hakki yeyote huko bado ni mpo kwenye mapote kama mengine tuuh ghuruu na kutupa mipaka huyo boss wenu mwemyew nae ashatolewa kwenye sunnah na hiko kikundi chenu kina taabu kila mtu amjeruhi mwenzie Allah awasamehe na awaongoze katika sawa mafuta mwenyewe ahesabiwi kashatikewa kwenye sunnah yani toka mmekuja ninyi tz mmevuruga safu za ahlsuna tumeingiliwa kwakweli mtihani alotupa Allah mkubwa kweli juu ya hilo kundi na uzuri shehe utheiminy kasema na kabainisha upotovu wa kundi lenu hilo atupati tabu
Masjid luta reyyadul swalhin masjid jundah kwa ustadh swadik pia huyo hiyo Alhamdulilah faida ni nyingi
@@chabunu3367 miaka mingapi amefunza hicho kitabu ?,,
Kwa hivyo shehe lako ni salafi kuzidi waalimu wa Saudi wake ambao picha zimejaa kwa mitandao,acheni fujo na ujinga aty ma hizb mm ni hizb Allah kwani ww ni hizi shaytwan
@@abuuyasir1253 ukifata fatuwa ya ibn utheemeny wao ndo mahizb sabu mipito wanayopita nayo na tabia zao so salafi walotangulia utakuta wanapasuwa safu ya ahlsunna wanagawwa vikundi wakati ni haramu makundi katika uislamu kinacho bidi kupita katika njia ya mtume na wema walotangulia sasa ukija na fikra za kikundi chako kipya kingine chenye fikra mpya tofauti na wema walotangulia ni hizbi sabu siumeacha njia ile ukaja na mpya hivyo salafi ni wajibu wa kila muislamu afate njia hii lakini ukianzisha kikundi chako ukafanya kama ni chama cha watu maalumu huwo so usalafi kitu utakuwa ww ndo hizbi kwaaiyo shekhe kafafanuwa vzr wasome Hawa wanaodai usalafi kisha wanawatoa wenzao katika man hajji ya kweli na kuwa nasibisha na majina ya makundi ya dhwalala huuu so usalafi wamsome shekhe utheimeen watamuelewa warudi katika mstari maana wao ndo wameoinda
KASSIM MAFUTA, Kajixhimbia kaburi kaburi mwenyewe AKOSOLEWA YUPO MTUPU HANA ELIMU Angalia hii "ua-cam.com/video/M1dV0lAk8Vs/v-deo.htmlsi=nyotvj8T-eYBkZgk "
ولا تنازعوا فتفشلوا وتذهب ريحكم
Wapuuzi wakubwa nyinyi
Wafundishen watu din wachen kuwasema watu vibaya