Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
⚒️RADDI KWA ABUU MUHAMMAD HASNUU JUU YA MAQALA YAKE, USTADH ABUU ZAGHAR حفظه الله تعالى
- Додати в
- Мій плейлист
- Переглянути пізніше
- Поділитися
Поділитися
Вставка
Розмір відео:
- Опубліковано 29 чер 2024
КОМЕНТАРІ • 52
Наступне
Автоматичне відтворення
RADDI (04),KWA MUHAMMAD MAFUTA NA ALIYOKUA NAYO KATIKA KHATARI,UST.ABUU ZAGHAR حفظه الله تعالى قناة الحق منصور
Переглядів 404
WANAOCHAFUA USALAFI NI MASALAFI WENYEWE || ABU MUAWIYA.Muhammad Nassor Bachu
Переглядів 6 тис.
RADDI (04),MAJIBU KWA SOLOKA KATIKA VOLCANO NA SHUBHA NA UZUSHI ,USTADHI ABUU ZAGHAR حفظه الله تعالى قناة الحق منصور
Переглядів 235
Знищені колони та десятки полонених: останнє про Курський прорив. Донбас, удари, бої | Свобода LiveРадіо Свобода
Переглядів 405 тис.
😳 Все русские уже знают итальянский?🇮🇹Super Italiano
Переглядів 5 млн
Курянка: «Я не украинка, но разговариваю на украинском языке» #shorts #курскаяобластьАпостроф TV
Переглядів 579 тис.
Я тоже так могуDouble Bubble
Переглядів 2,2 млн
BACHU AANZISHA MSIKITI WA FITNA LAMU VISIWANIRAMIYA WETU TV
Переглядів 8 тис.
1 A. VOLCANO KWA MANENO YA ABUU ZAGARI|Sheikh Abdul Abbas Hassan Waziri Allah amuhifadh (kikao 1A)USALAFINI KWETU ONLINE TV
Переглядів 122
⚒️RADDI KWA ABDUL-KARIM ABDUL-MALKI URASSA KWA BAYANA UCHWARA, USTADHI ABUU ZAGHAR حفظه الله تعالى قناة الحق منصور
Переглядів 1,3 тис.
Soma Surah 2 Hizi Kila Usiku Ni Kiboko Kwa Wachawi Na Matatizo Yote / Sheikh Hashimu RusaganyaDARSA TV
Переглядів 7 тис.
HAWA HAPA WANAWACHUONI WAKUBWA WALIOMPA UDHURU SHEIKH MUHAMMAD AL-IMAMUحفظه الله, SHEIKH ABUUMU3WIYA قناة الحق منصور
Переглядів 1,8 тис.
⚒️MAJLISI (01)//MAJIBU YA KIELIMU KWA HASSAN SOLOKA,USTADHI ABUU NUA'YMU AKRAMU حفظه الله تعالى قناة الحق منصور
Переглядів 686
Tazama Balaa La Fumau Mshahiri Wa Yanga Alivyowakosha Viongozi Wa Dini Ya Kiislam Katika Ndoa 100QIBLATEIN ONLINE
Переглядів 49 тис.
RADDI(05),YA KUONDOA PAZIA JUU YALE AMBYO YUKO NAYO MUHAMMAD MAFUTA,UST ABUU ZAGHARY حفظه الله تعالى قناة الحق منصور
Переглядів 107
RADDI (07),MAJIBU KWA SOLOKA KWA YALIYOMO KATIKA VOLCANO, USTADHI ABUU ZAGHARY حفظه الله تعالى قناة الحق منصور
Переглядів 107
⚡️ "Пятки сверкали" аж до КУРСКА! "Кадыровцы" БЕЖАЛИ, оголив фронт!FREEДOM. LIVE
Переглядів 1 млн
Буданов про плани на Курську область, та Воронеж #shorts #курск #воронежАпостроф TV
Переглядів 2,2 млн
Replacing a valve on a full water tank! 🫣💦 - 🎥 the_ladyplumberUNILAD
Переглядів 123 млн
SCHOOLBOY RUNAWAY В РЕАЛЬНОЙ ЖИЗНИ 📚🔔 #schoolboy #runaway #schoolboyrunaway #shorts YOUNGYOUNG
Переглядів 2,2 млн
SCHOOLBOY. Последняя часть🤓⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Переглядів 10 млн
ЕЛІАС #8. НАСТЯ ТКАЧЕНКО х ВЛАД СТЕБЛІВСЬКИЙ х КУРАН х ВЕНЯ | Ветерани космічних військВетерани космічних військ
Переглядів 530 тис.
Колишній увʼязнений - про мотивацію воюватиСуспільне Новини
Переглядів 1,2 млн
Идеально повторил? Хотите вторую часть?⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Переглядів 17 млн
Na kwakweli ndugu zetu masalafy hapa hawawezi kujtetea kwa njia yeyote, wamemkhini na kumdhulumu Shekh Abuu Mu'aawiyah Allaah amrahamu, na amuingize ktk Rehma zake.
Mmmh Mimi nilijua ALIKATAZA WATU WASIENDE KUMZIKA, KUMBE AMEWARUHUSU NA KUWASHAURI WATU WAENDE KUMZIKA. Acha kuamsha fitina Ustadh Abuu zaghar. Acha kumgombanisha sheikh Na waislam. Na hilo la kutokumuitikia salamu, tunaomba ushahidi, hututaki fitina ktk dini.
Shekh Abuu zagar Allaah akulipe kila lakheri, na bayana zina hitajika, lkn jitahidini ndani ya bayana hizo pasipatikane maneno mabaya..............
Wasemaji Maa shaa Allah wameibuka kwa kasi sana baada ya sheikh kufariki Allah awape Nguvu ya kusomesha kama walivyo onyesha Nguvu ya kumtetea sheikh,
Lakn pia mm mpka sasa Sijaelewa nn haya yote yanajiri sabab sheikh Ana yakwakwe aliyo fanya na kuyadhihirisha mpaka yakatokea haya,
Lakn pia vijana tuache jazba kama una masikio sikiliza ukiwa na shaka uliza masheikh walio kuwepo maneno tupu hayana faida.
Elimu changa itabaki changa tu. Watu tusomen haya makelele hayana faida.
Nkamuulize shekh kwanini magadid hawataki sulhu na abu mu'awiya?
@@hafidhwajina6718 yaan kusema sulhu na sheikh Abu muawiya ilikua sio rahis kutokea sababu alikua anawatetea wanao tukana wanachuoni 😔 kama hujafatilia hii Mada Tangu mwanzo hutaelewa na nakushaur achana na jazba fatilia uhakika wa Manhaj aliyo kua analingania sheikh Allah amrehem na Manhaj anayo lingania sheikh Abul fadhil Allah amhifadh,
Manhaj hii haihitaji jazba wala hamasa za kijinga.
Haya si makelele na faida inapatikana,ikiwa i'lmu inakufanya umhzbshe mtu bila sababu sasa i'lmu yakusaidiani?
@@hafidhwajina6718
Akhy wacha jazba Kaa chini kwa walimu upate elimu kwanza na ushabiki uwache, na siku zote ukweli hautafutwi kwa kusikiliza upande mmoja
Hz chuki juu ya sheikh Qasim zilianzia mbali Sema wew yaonyesha umeanza kuziona baada ya sheikh Abu muawiya kurudi Tz, fatilia kuanzia mwanzo wa mzozo wacha kupakia juu juu utakosea sana.
Umesoma kweli alivyo andika au umehadisiwa
MARA ABUU UMEIR ALIKUWA ANASOMA SEQULER KWANI WEE IYO SEQULER HUKUSOMA YANI ACHA UJINGA BHANA WEE .
ALLAH AKUBARK
Jamaa hawakutaka sulhu na alijitahdi sana kutafuta sulhu ila hawakutaka.
ukweli wamemzulum sana na watakwenda kusimama nae siku ya kiyama😢😢😢😢😢😢
Mm napenda uadilifu ukwwli no kwamba chuki na hasad kutoka kW maduati wake ndizo zilotawala kwa sheikh Abu muawia Allah amrehmu aliitafuta sana sulhu ila wzke hawakutaka.
Yani ktk vitu vinavyo umiza moyo wangu nihili kosa walilo lifanya ndugu zetu masalafy na wanaendelea nalo, la kuwakata Mashaayikh na Madu'aat wa Ahlissunnati Waljamaa'ah.
Kwakweli jambo hili lina niuma sana, na sio peke yangu, bali kila alie soma na akafahamu Sunnah na Manhaj ya Salaf na moyo wake ukawa uko salama na ubinafsi, hili lazima limuume na alilaani sana.
Kweli kabisa
Sana mm hadi nakosa furaha ABUU MAAWIYA ALLAH AMREHEMU alikua yupo tayar kutafuta suluhu
Kweli kabisa akhy
Uwahabi ni ushenzi
Mshenzi wa mwako ni ww usijijuaa Wala kujitambua
@@Ibnsalim3 mawahabi mna kuwa kama mabarazuli nyie
Na kwenye hili ndugu zetu masalafy wamekua kama masufi, wako tayari kutii Mashekhe zao hata kwenye batili hii, kwavile Mashekhe wana mawqif hii basi hii ni haqqi na hatuwezi kwenda kinyume!!!
Sasa maswali haya ni aibu kwenye swafu za masalafy kwa sbb haielekei kwa masalafy kutikea mambo kama haya.
Washindwa hata kufanya الجمع kati ya النصوص za kisheria.
Ungalikaa kimya ungaliweka heshima yako na elimu yako ndg uliyokuwa nayo
Asiseme ujadida wenu ndo aheshimike?
Abuu Zaqar upo salama lakini au msiba umekufazaisha kiasi ambacho huelewi waongea nini!!!
Au ndio wataka kuchukuwa kilemba cha Sheikh!!!
Haijuzu?
ACHENI UPUMBAVU UWOO KAMA HAMNA LA KUFANYA KAENI KIMYA UJINGA TU NAKUTIA WATU MIDOMONI KILA WAKATI TU BHANA HEM ITAZAME NAFSI YAKO KWANZA NAWEE .
Na haya ni mambo ambayo yatawaporomosha chini na yata wayeyusha wote watakao yaendeleza, kwani ni makosa yenye kukhalifu manhaj na Sunnah ya Bwana Mtume Muhammad Alayhisswalaatu Wassalaam.
Usalafy huu wa sasa ni upotevu..
Allah atuepushe na upotevu huu
Ujinga wako ndio upotevu, usihukumu usalafy lkn muhukumu mtu na makosa yk Manhaji salafy ni safi na haina kasoro ht moja ila watu wanayo makosa ndio hayo wanaokosolewa
@@Ibnsalim3 inakosoro akhy..
Usalafy tulionao sasa ni usalafy wa kimakundi sio wakimanhaji..
Kundi la watu wanaojiita masalaf zama hizi wanaitakidi kuwa ili uwe salafy basi ni ujinasibishe na wao na ufuate wanavuoamini mashekhe wao na kinyume na hapo wanakutoa kwenye usalafy..
Ukimpinga shekhe Rabii katika rai yake basi ww ni hizbi na umetolewa kwenye usalafy na utaitwa kila jina baya, huo ni upotevu..
Yupo salafy aliyethubutu kusema maneno ya shekhe rabii ni wahyii, ni kufuru.
Kwani yatosha kwa muisilamu kuamini Allah ni mmoja na mohammadi ni mjumbe wa mwenyezimungu.. na ukaitekeleza dini yako kwa ufahamu wa wema waliotangulia na ukaipata pepo bila kujiita salafy wala kujinasibisha na usalafy wala haihitaji mtu akuambie ww ni salafy au ww sio salafy.
Kwa ushahidi wa aya kayika qur-an
“Wala msife, ila mfe hali ya kuwa ni waisilamu”
Sio hali ya kuwa ni masalafy..
Usalafy wa sasa ni upotevu na Allah atuepushe na upotevu huu na umakundi huu.
Assalam aleykum warahmatuAllahi wabarakatuh
Iyo ata maZiahini skumuona
Nirini mtachoka kupigana radi
Hatutochoka mpk hakki ibainike na uovu ufichuke na watu watakaporudi ktk misingi sahihi ya wanawachuoni
Mashia ???? Mashia ????? Mashia nao ??????
Kila siku Raddi
Inakuwaje mtu anafurahi Kwa kifo cha mwislam mwenzake??
Ajabu sana.
binafsi nimeshindwa kuwaelewa hao watu wanao jiita masalafi sielewi ni usalafi gani wanao ufata
Soma
anae soma na anae kalilishwa yupi mjinga zaidi endelea na ujinga wako wakufata mkumbo nakama unauhakika wakusimama na unaweza kusimama nae mbele ya mahakama ya Allah na uambiwe toa ushahid ju ya tuhuma ya sheikhe bc endelea na ujinga wako Kwanza ninamashaka na usalafi wako huenda huujui hata usalafi wenyewe ni unafata mkumbo tyu
Upuuzi upuuzi tu mnatafuta upepo na nyinyi sasa zamu yenu 😂
Unataka uwamshe hisia za watu bhana kwani makundi mangapi umeyakata sasa tukuulize kwani ktk uislam hakuna kuafanyiwa kitu kinacho itwa mukaatwaa sasa nikuulize maswahaba walipo mfanyia mukatwaa yule swahaba na Na mtume sala na salam ziwe juu yake haku mfanyia swahaba mukatwaa sasa nikuulize iyo Hadithi ya Mtume ya haki za muislam kwa muislam mwenziwe vp walikuwa hawazijuwi ?.
Mukatwaa upoo kwa hakika Wala haukataliki lkn mukatwaa huo haofanani Bali upon mbali sana na huu na huu mulioufanyaa kwasbb ukiangalia Ile hadithi ya mukatwaa kabla ya Mtume kuamrisha watu wawakate wale maswahaba Mtume aliwauliza sabb ya kutokwenda KWAO ktk vile vita ikisha pale waliopokuwa hawana UDHURU ndio akaamrisha wakatwe lkn nyy hamkumuuliza wala kumpa nasaha sheikh abuu MU'AWIYA kabla ya kumkataa hivyo mumemdhulumu sna sheikh abuu MU'AWIYA na mukatwaa huo ni kinyume na menendo ya WANAWACHUONI hata wale munaowakubali km sheikh rabii'i na wengine
Mambo ya kijinga tu bhana hem bakia na ubaharia wako uko ustuletee upumbavu wako bhana sasa kama mtu kasema mazikoni watu waende kisha unaaleta balbala tu bhana kwani wee na uyo Muaawiyah Hajawira mna wasalimia au izo haki za muislam huzijuwi kwa hapo acha upumbavu bakia na ubaharia wako.
Ww ndio mjingwa mkubwaa sana, Kwan mambo ya ubaharia unahusikaje hapo ww huna hoja unaanza kuwatukana watu wa mambo binafs ambayo ni halili na kzi ya halali ww unatakiwa ukosoe hajo MANENO kwa Elimu sio kuwatukana watu na kuwatia dosari kwa mambo yake binafsi ww ndio mpumbavuu mjingaa usiojielewaa
Tatizo kubwa
Daawa ya salafia znz hakuna wasomi wa dini
Ndo maana matatizo mengi
Yaani kijana mmoja anataka awaendeshe mashekh wote
Ukimuangalia yy kasoma yemen miez 6
Sio zanzibar tu hata huku ni chuki. Mno
Nyote wakumbavu wakubwa, waislamu kazi kutukanana TU wajinga wakubwa. Kila mmoja anajiona Bora Kwa madheheb yake. Hamna umoja wowote.kama taka za baharini.poleni sana Kwa ujinga wenu.
Km masalafy ni wajinga bc ww ni maiti unaonukaa mpuunzi usio na adabu