MISIMAMO YA MASHEIKH DHIDI YA USHIA KUNAKO MANENO YA SHEIKH MZIWANDA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 26 лип 2024

КОМЕНТАРІ • 133

  • @saidramadhan4516
    @saidramadhan4516 3 місяці тому +2

    ALLAH AKUHIFADHI SHEIKH WNG KWA KUTUTAHADHARISHA NA HAWA MASHIA KHATARI KWA CC WAISLAAM

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 2 місяці тому +1

    Oooh allah wewe ndie mjuzi na shindana anae taka kushindana nawe mola wangu

  • @MatongoPontien
    @MatongoPontien 3 місяці тому +1

    Allah akulinde uzidi kupiganiya ukweli wa dini.

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi4149 2 місяці тому +2

    SHEKH IZUDIN NAOMBA ANIJIBU SWALI LANGU MOJA ANIONYESHE KABURI LA BI FATMA LILIPO KAMA ANAONA HUU ULIKUWA UZUSHI NA VISA VYA UONGO

  • @RashidAbdalla-pg3dv
    @RashidAbdalla-pg3dv 3 місяці тому +2

    Mashia laanatu Allah

  • @kondolukali9187
    @kondolukali9187 14 днів тому

    Wewe nimnafiki unazungumza vitu usivyovijua

  • @hemedsaidi9388
    @hemedsaidi9388 8 днів тому

    Na lau si mashia baada ya mtume hali ingelikuwa mbaya zaidi mashia wapo ktk hami

  • @RashidAbdalla-pg3dv
    @RashidAbdalla-pg3dv 3 місяці тому +2

    Alie wema hawez kumpinga Mtume

  • @kondolukali9187
    @kondolukali9187 14 днів тому

    Unaelimu yakuongea nashia

  • @shabanmohamed7071
    @shabanmohamed7071 Рік тому +4

    Mashia siwapendi Kutoka moyoni

  • @hemedsaidi9388
    @hemedsaidi9388 8 днів тому

    Na vipi aliyeemuua swahaba wa Mtume s.w, Imam Hussain????

  • @KassimSalim-fi1me
    @KassimSalim-fi1me Місяць тому

    Nakushkuru al akhy ila usiogope sema ukweli mashia ni makafiri wa haki

  • @kondolukali9187
    @kondolukali9187 14 днів тому

    Kama ujasoma unaweza ukashangaa hila ukisoma uwezi ukasikiliza polojo zamlamilungi

  • @kondolukali9187
    @kondolukali9187 14 днів тому

    Kama ujasoma utadanganywa hila mashia waposahii sana kuliko nyinyi

    • @ibunjumuatv9502
      @ibunjumuatv9502  14 днів тому

      @@kondolukali9187 haya endelea kukaa na huo ufahamu lakini anaewajua MASHIA vizur atakushangaaa na maneno yako Allah akuongoze ndugu yangu

  • @wazirihamisi6484
    @wazirihamisi6484 3 місяці тому

    Na wallahi masheikh wa bakwata wapo kimasilahi

    • @AdamBasanza
      @AdamBasanza Місяць тому

      Bwakwata nao tunamashaka naopia namjadala wao hvi punde tutauanzisha ili tujue usahihi wao

  • @AkhyAnwar
    @AkhyAnwar 3 місяці тому

    Ambao hawajui kifo cha Ali na hassan kazi kwao

  • @ShamilaMchimile
    @ShamilaMchimile 10 місяців тому

    Izzudyn namuelewa sana Wallahi

    • @AdamBasanza
      @AdamBasanza Місяць тому

      Utaingia nae motoni inshalha

  • @MohamedAhmed-yi1yf
    @MohamedAhmed-yi1yf Рік тому +3

    Wanaoshirikianao katika maulid na mashia ni masheikh wa kisufi

    • @shazyahya4121
      @shazyahya4121 7 місяців тому

      Yeah ndio wazamini wa maulidi

    • @AhmadWande
      @AhmadWande Місяць тому

      Mnaujua ushia ni nini????

  • @RayaRashid-dc2hn
    @RayaRashid-dc2hn 3 місяці тому

    Maluuun kila aliyem2kana swahaba,shia wote Allah atawazalilish

  • @ramadhanmwandambotuntufye5972
    @ramadhanmwandambotuntufye5972 3 місяці тому

    Nyie mlilushwa ujinga na mashehe wenu, mmenunua ugonvi msioujua

  • @jailaniramadhan1788
    @jailaniramadhan1788 4 місяці тому +1

    na aliyemuuwa swahaba wa mtume je

  • @user-pl8qx6xx1y
    @user-pl8qx6xx1y 17 днів тому

    Mashiya ni makafiri ni makafiri

    • @AhmedAslam-ip8mu
      @AhmedAslam-ip8mu 10 днів тому

      cio mashia wanaotukana elewa point wapo mashia wasiotukana na mashia wapo sahihi kweny ali ndo alitakiwa kua khalifa1

  • @hemedsaidi9388
    @hemedsaidi9388 8 днів тому

    Huna ujualo kaa kimya

  • @alwyalbaity9328
    @alwyalbaity9328 Місяць тому

    Anao kumtukana bi Aisha ni kuwawa

  • @walidally2211
    @walidally2211 Рік тому

    Kweli kabisa

  • @bakarihote
    @bakarihote 2 місяці тому

    Mashia ni makafiri bila hoja 10:34

  • @badilamu
    @badilamu 10 місяців тому

    Mashia walikuwa kabla ya Iran . Vitabu vyao kama alkafi ni za zamani . Na kimejaa uchafu na vituku vya kiiblisi

  • @Filamumaridhawa
    @Filamumaridhawa 7 місяців тому

    Mashia kelbuuuuu

  • @MatongoPontien
    @MatongoPontien 3 місяці тому

    Mashia hawastahi kuka duniani

  • @aishaarusha894
    @aishaarusha894 Рік тому

    Mashia ni mashivo😁

  • @AHALSUNNIYMWIMBE
    @AHALSUNNIYMWIMBE Місяць тому

    Kwani shekhe lusaganya kawalain mtume ndio amewalani hebu sikia hadithi aliyo isoma

  • @abeidbakili5830
    @abeidbakili5830 3 місяці тому

    bakwata pia wote makafili

  • @AdamBasanza
    @AdamBasanza Місяць тому

    Kwataarifa yako kinacho pingwa hapa sio dhehebu ila ni misimamo ya wanamadhehebu iliyotok aktk uislam moja kwamoja

  • @khamisihamadi629
    @khamisihamadi629 2 місяці тому

    نحن لا نتكلم إلا بالادلة يا أهل السنة والجماعة والوهابية

  • @a.a.nassir8832
    @a.a.nassir8832 2 місяці тому

    Je anayemlaani au kuchinja ndugu, mtoto au mjukuu wa Mtume?

    • @user-mf4km2gi9l
      @user-mf4km2gi9l 17 днів тому

      Mashia ndio waliomua saidina Aly na watoto wake

  • @AkhyAnwar
    @AkhyAnwar 3 місяці тому

    Elimu ndogo najsi

  • @BilaliBaruani
    @BilaliBaruani 13 днів тому

    Tuache kuwa vipofu ,maneno yako wazi , tusiweke siasa mbele ,tufungue nyoyo zetu kuukubali ukweli na kuifuata haki

  • @AhmadWande
    @AhmadWande Місяць тому

    Kwani aysha akosei sheikh

    • @salehthesword
      @salehthesword Місяць тому

      Mimi nikimtuhumu Mama yako Malaya maana yake hakosei?

    • @AhmadWande
      @AhmadWande Місяць тому

      Siwez kupinga kama una ushahid,ila jua kujitambua na tafuta elimu ,pia hakuna mshia anae muambia swahaba ni Malaya,nafikiri ni mitazamo ya kihuni unayoleta ww

    • @salehthesword
      @salehthesword Місяць тому

      @@AhmadWande . Wewe unaposema aysha hakosei? Una maana ya kusema hawezi kufanya zinaa au kwa maana nyingine hawezi kuwa Malaya? Ndio maana yake. Kwasababu hapo anachosingiziwa Bi Aisha unajua ni kuzini...hakuna mtu aliyesema hakosei. Sasa nani muhuni kati ya mimi na wewe? Halafu ulivyokuwa huna adabu unamuita kabisa aysha kila rahisi.

    • @AhmadWande
      @AhmadWande Місяць тому

      Ha ha ha ha mawahab mnashida sana ,bi aysha sio maasuma so kukosea anakosea ,pia nikuambie jambo zuri sana tafuta elimu usiwe muislam mshabiki ,unaongea mambo kwasabb huna elimu nayo

    • @MohammedSaid-zk7yg
      @MohammedSaid-zk7yg 25 днів тому

      ​@@AhmadWandehajui kitu wahabi huyo brother 😂😂😂😂

  • @hemedsaidi9388
    @hemedsaidi9388 8 днів тому

    Je , muawiya haja mlaani imam Ali a.s?? Sasa hapa unahukumu vipi????

  • @mohamedyngagala-5590
    @mohamedyngagala-5590 10 місяців тому

    Tunapambana mashia nchi inakuwa na watawala umasikini umetawala zaidi kuwasaport watawala tu hatari kwa wasomi

    • @MB-yq3ty
      @MB-yq3ty 5 місяців тому

      Ushauri wako nn ss.

    • @omaryramadhani6664
      @omaryramadhani6664 3 місяці тому

      Usitutoe kwenye njia kwa janja janja zenu za kitaqiya,Allah awalaani mashia

  • @Hanifajuma-nq5zh
    @Hanifajuma-nq5zh 3 місяці тому

    Ni nann kakupa cheo cha ushekh we m
    bw

    • @ibunjumuatv9502
      @ibunjumuatv9502  3 місяці тому

      inakuuma eeee pole Dozi yaingia pole

    • @AdamBasanza
      @AdamBasanza Місяць тому

      Mbwa mwenyewe usie nauislamu wahaq

  • @SalehSonda-bz3hl
    @SalehSonda-bz3hl Місяць тому

    Ni kundi kubwa LA kibidaa

  • @kondolukali9187
    @kondolukali9187 14 днів тому

    Usiongope soma vitabu utajua hiyo niitakadi yanani

    • @24Dailylife-Channel
      @24Dailylife-Channel 2 дні тому

      Hivi kiswahili unakielewa kweli? Allah anasema atakaye watukuna maswahaba kuyo ni kafiri

  • @saidramadhan4516
    @saidramadhan4516 9 місяців тому

    SS SHEIKH WNG HAWA MASHIA NDIO WAANZILISHI WA MAULID HAPO IMEKAA VP UHALALI WA MAULID???????????

  • @ramadhanmwandambotuntufye5972
    @ramadhanmwandambotuntufye5972 4 місяці тому

    Ni makonfyusheni tu aliyekwambia usunni ndio dini nani? Wewe mwenyewe umesetiwa na mayahudi kuwa msunni, hoja zenu hazina nguvu. Tunaomba mjadala wa wazi mashia na masunni tupate faida.

  • @athmanm.swabir6649
    @athmanm.swabir6649 Рік тому

    Sasa mbona hauja mkataa, Ibn slathir, Ibn Qutaiba,
    Huja mtaja Bukhari na Muslim, maana ushahidi upo kwenu.

    • @issakasigwa4806
      @issakasigwa4806 Рік тому

      Saasa mzee wewe mbone ni kama file hujuwi corani, Mungu mwenyewe na mtume wake wanajuwa Kuwa katika maswahaba palikuwemo wanafiki , Mungu anasema Mtume akifa na ongonjwa ama kifo chochote mutarudi katika ukafiri wenu ,namkirudi hamutampunguza Mwenyezi Mungu chochote

    • @issakasigwa4806
      @issakasigwa4806 Рік тому +1

      Kwanini wasiongelewe yale walifanyiya familiya mtume bada na ya mtume kufa

    • @issakasigwa4806
      @issakasigwa4806 Рік тому +1

      Na wewe haujuwi tunaomboleza vifo vyayo wote

    • @omaryramadhani6664
      @omaryramadhani6664 3 місяці тому

      Punda katoka mafichoni,so mnakiri hadharani kwamba mnawalaani maswahaba? Yes Allaah awalani

  • @RamadhaniHamadi-qi3jf
    @RamadhaniHamadi-qi3jf 4 місяці тому

    Nawashangaa sana nyie Mashekh mnaoropoka tu kwa mihemko ya kuokota bila kufikiria yaliyopo vitabuni kwenu,yote mashia wanayosema ni upumbavu wenu katika vitabu vyenu.Kwani mawahabi hawawaibii masuni na masufi wamepotea bali ni washirikina.
    Hao masahaba mnaowaona ndio dini huo ni upumbavu bc wao matendo yao na madai yenu ya kuwatukuza yanapingana.
    Muwe na akili tu mtatoka mlipo maana hamjielewi mmerithishwa mori za kimasai tu.

    • @omaryramadhani6664
      @omaryramadhani6664 3 місяці тому

      Huwezi kutugonganisha hapa eti mawahabi na masuni,mbona mnajulikana sasa hivi janja yenu! Allah awalaani

  • @Hussein-gx4qu
    @Hussein-gx4qu 4 місяці тому

    mtume mwenyewe katukanwa na hajawalaani waliokuwa wakimtukana we umepata wapi kuwalaani mashia

    • @faridfrefre35
      @faridfrefre35 4 місяці тому

      Mashia ni makafiri

    • @Hussein-gx4qu
      @Hussein-gx4qu 4 місяці тому

      @@faridfrefre35 Mimi sio shia na kamwe siwezi kuwa shia lakini eti sijui nikafiri SI Bora hata hao mashia Leo hii ndio wanaunusuru uislam duniani hao wanajiita masuni sijui answari wote kwasasa wamekuwa vibaraka wa makafiri na mayahudi tukiangalia saudia misiri united imerate nk wote ni vibaraka wa mayahudi na makafiri

    • @omaryramadhani6664
      @omaryramadhani6664 3 місяці тому

      Nyie kuwalaani maswahaba ndiyo Sawa eti, Allaah awalaani mashia mara elfu na zaidi

    • @Hussein-gx4qu
      @Hussein-gx4qu 3 місяці тому

      @@omaryramadhani6664 tatizo nyie mnalishwa matango poli ugonvi wa shia na Irani nyie kamwe hauwahusu wale ugonvi wao sio wa kidini ila saudia alivo mshenzi anawaminisha watu ilimladi tu waichukie iran yenye mashia na wakati ugonvi wao ni WA ushawishi wa kisiasa mashariki ya kati sasa saudia kwasababu amefeli na amebaki kuwa kibaraka wa makafiri anawamisha watu et mashia ni makafiri na watu msio na akili kama nyie mnaingia maxima

    • @Hussein-gx4qu
      @Hussein-gx4qu 3 місяці тому

      @@omaryramadhani6664 narudia Tena saudia kafeli amebaki TU kuwa kibaraka wa mayahudi na makafiri ugonvi wa saudia na Irani msiuingize kwenye dini

  • @hemedsaidi9388
    @hemedsaidi9388 8 днів тому

    Huna elimu kenge wewe

  • @AkhyAnwar
    @AkhyAnwar 3 місяці тому

    Shekh wewe unajua hao akina hassan,hussen lakin mbona unatuhumu shia kuwalilia je kwann nyinyi hamuwaliliii si jukumu la shia its for all Muslims don't lie to us

    • @HashimBilemile
      @HashimBilemile 3 місяці тому

      Ni haramu maomborezooo

    • @omarsuleiman9064
      @omarsuleiman9064 2 місяці тому

      Tutalia mpka lini tutamlilia nani tumuache nani

    • @AkhyAnwar
      @AkhyAnwar 2 місяці тому

      @@omarsuleiman9064 kasome tena ndugu

  • @azizaj776
    @azizaj776 Рік тому

    Muongo wewe , Mwenyezi Mungu Mtukufu Akulaani wewe leo Duniani na Kesho Akhera na Motoni muwe makazi yako ya KUDUMU - AMEEN 🤲🤲🤲 Muongo mkubwa mfitinishaji wewe HUUJUI USHIA HATA CHEMBELE

    • @alidyaya4512
      @alidyaya4512 Рік тому

      Ingia youtube search uone ukwel

    • @mohamedirwambo5193
      @mohamedirwambo5193 Рік тому

      mashia acheni unafiki munawatukana maswahaba

    • @samxx411
      @samxx411 Рік тому +1

      Sio ufitinishwaji nyie makafiri mnapinga Mungu, Mungu ameridhia maswahaba na wao walitoa mali zao na uhai wao hadi wewe leo ukaitwa muislamu ikisha ukaingie wewe peponi kabla ya swahaba, mnawajua swahaba nyie walikuwa wanapenda kufa kuliko kuishi kwa ajili ya uislamu, wewe kubwa lipi ulolifanyia uislamu hata uwatusi maswahaba..mtume hapigani vita kama hawapo maswahaba wewe hata kwenye mawaidha huendi, chungeni sana na hadaa ya pumzi

    • @hassanally4960
      @hassanally4960 Рік тому +1

      Tunajua na ww ni shia kwaiyo laana za Allah ziwe juu yako

    • @iddisalimu5028
      @iddisalimu5028 Рік тому

      Ushia ni ukafiri enzi za mtume kulikuwa ushia

  • @ramygichero1016
    @ramygichero1016 7 місяців тому

    unaongea kama una mavi kichwani toa ushahidi wa maneno yako

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 Рік тому +1

    Wake za mtume walihitilafiana na mtume, wake za mtume kugombana na mtume ni tabia nzuri? Hasha, ni tabia mbaya, kwahiyo ni wake wabaya, na kwa kuwa mke mbaya ni kwa mume mbaya, basi hata mtume ni mbaya kwa tafsiri ya aya hiyo. Mtume alifumaniwa na mkewe kazini na house girl tena kwenye kitanda cha mkewe. Je, tabia ya kuzini ni nzuri? Hasha, ni tabia mbaya, kwahiyo na mtume ni mume mbaya kwa wake wabaya kwa tafsiri ya aya hiyo.

    • @ibunjumuatv9502
      @ibunjumuatv9502  Рік тому +2

      Wewe MKIRISTO hivyo maneno yako hayazingatiwi

    • @hasheemcarrick3141
      @hasheemcarrick3141 Рік тому

      Mpuuz ww! acha kumtusi mtume

    • @sammotv6920
      @sammotv6920 Рік тому +1

      @@ibunjumuatv9502 jibu la busara sana

    • @omaryomary876
      @omaryomary876 Рік тому

      Acha upogolo. Hayo unayosena Yako kitabu gani? Usizungumze usilo na ujuzi nalo utajiangamiza

    • @arafatali2796
      @arafatali2796 Рік тому

      Wew hebu kuwa na adabu msipende kujiridhishakwa tafsiri mlivyiekewa nyiny nenden kwa masheh muulizie vizur dah astaghfurullah

  • @mousableus
    @mousableus 10 місяців тому +3

    ALLAH akusamehe ujinga wakko umekufanya unajipa cewu ça kulani WA islam Allah anawumba we we unalani viumbe hivyo we we hujajuwa islam Shia hitakutukana hujuwi islam ikiwa hujajuwa islam ulishajuwa we ni nani

    • @MB-yq3ty
      @MB-yq3ty 5 місяців тому +2

      Kama hujui kiswahili so uache kuandika ukajifunze kwanza?

    • @faridfrefre35
      @faridfrefre35 4 місяці тому +2

      Mashia ni makafiri

    • @omaryramadhani6664
      @omaryramadhani6664 3 місяці тому +3

      Umeumia kulaaniwa mashia lakini nyinyi mnawalaani maswahaba mnaona Sawa? Allaah awalaani mashia.

    • @HashimBilemile
      @HashimBilemile 3 місяці тому

      Weee acha ujingaaa

    • @AdamBasanza
      @AdamBasanza Місяць тому +1

      Mashia nimakafiri ndio Wala hakuna anaeweza kupinga napia mungu awalaani kwakutaka kuupotosha umma.

  • @kanobayirelambert8400
    @kanobayirelambert8400 Рік тому

    Kwa nini ma boss wenu wawape visa yakwenda hijja? Shekh cheni propaganda zenu Sisi twataka Amani

    • @muhammadmochenje1409
      @muhammadmochenje1409 Рік тому

      Ikiwa sayyiduna Abubakar na Sayyiduna Umar na sayyiduna Uthman sisi ahl sunnah kwetu ni maswahaba wenye hadhi kubwa na tunawheshimu sasa akitokea jitu likianza kuwatukana kwa jamii ambayo Ahlu sunnah wal jamaa ndio wengi huyu ndiye asiyetaka Amani kwa jamii kwa sababu haiwezekani humu mwetu ulete ulimi mrefu kuwatukana maswahaba alafu wawachwe tu hivi hivi.

    • @arafatali2796
      @arafatali2796 Рік тому

      Kwaio unvyotk watu wasende huja au hebu kuwen bc na adabu

    • @faridfrefre35
      @faridfrefre35 4 місяці тому

      Mashia ni makafiri

  • @footballonetv255
    @footballonetv255 Рік тому

    Kuhusu mashia hamtawaeza maana ndio waislamu waliobakia ambao fitina haiwakuti

    • @faridfrefre35
      @faridfrefre35 4 місяці тому

      Mashia ni makafiri

    • @omaryramadhani6664
      @omaryramadhani6664 3 місяці тому

      Hata ibilisi pia atabaki kama mtakavyo baki nyinyi majusi

    • @AhmedAslam-ip8mu
      @AhmedAslam-ip8mu 10 днів тому

      @@faridfrefre35toa ushahidi mbn makka wanaruhusiwa kuhuji na asiekua muislm hua hatakiw kuingia

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi4149 2 місяці тому

    MASHEKHE WA KISUNI ELIMU NDOGO SANA

    • @AdamBasanza
      @AdamBasanza Місяць тому

      Kama mtumwenye elimu kubwa niyule awatukanae maswahaba nibora kua jaahiri maana atasema asichokijua ila mashia wanasema wanachokijua nahuku wakijua kua Wana kosea nahawamuogopi mungu.inshalhah mungu awalaani ndio

  • @sanganyamsanu8009
    @sanganyamsanu8009 10 днів тому

    Mashia kiukweli sio watu hata wa kuwaomba hata maji.