Kisa cha Mke wa Ustadh na dereva boda - Sheikh Othman Michael

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 45

  • @SalmaMarselino
    @SalmaMarselino 8 місяців тому +7

    Mungu atujaalie waume wema jamaniiii 😢 ambao htujaingia kwenye ndoa 😭

  • @waheedaw1953
    @waheedaw1953 8 місяців тому

    LAAHAULA wala quwwati ila bilah Subhanallah
    QAULI nzuri
    Na wengine gumegume ni kupata RADHI za mitume

  • @ShemsaUwase
    @ShemsaUwase 8 місяців тому +1

    Allah akupe Pepo sheikh wangu

  • @SophiaMbogo-in7yt
    @SophiaMbogo-in7yt 8 місяців тому

    Shukuran jazaka Allah khairan Allah akuhifadh akujalie kher duniani na akhera wallahi tunafurhi na kusoma pia

  • @SalmaMarselino
    @SalmaMarselino 8 місяців тому

    Mashaallah jazakallah mafunzo mazur sanaa shukuran Allah akuhifadhi

  • @FatimaFatima-bx8ez
    @FatimaFatima-bx8ez 8 місяців тому

    Mashaallah ya-ustathi hutba nzuri sana nimeyapenda❤❤

  • @NusuraShabani
    @NusuraShabani 5 місяців тому

    Subhanallah Allah atukinge na maovu

  • @HabibaHared
    @HabibaHared 8 місяців тому

    Mashaallah mashaallah mola akuhifathi

  • @SleepyGalaxy-nw5of
    @SleepyGalaxy-nw5of 8 місяців тому

    Mashallah mungu akubarik sheikh🙏

  • @hothanosman9961
    @hothanosman9961 5 місяців тому +1

    Mashallahh ni kweli

  • @baranyeretsesaid769
    @baranyeretsesaid769 7 місяців тому

    Tunakupenda Mungu akufanyie wepesi

  • @a.856
    @a.856 8 місяців тому

    Jazakallah khayran

  • @MrKesh-v2j
    @MrKesh-v2j 8 місяців тому

    Mashaaalah shekhee

  • @NsanzabahiziRehema
    @NsanzabahiziRehema 8 місяців тому

    Asante sheikhe wng mana umesema ukweli wanawake tutumiye akili tukifika kwenye swala la mali jasho jasho lako wewe jo umechoka eti mtoto wa mama mkwe kwenye hati una muweka yeye sio kweli tukifika hapo ata ni samehe kwa kweli kuna mda wa hisiya namda wa ku tumiya akili zaidi

  • @asianramadhani8315
    @asianramadhani8315 6 місяців тому

    Umenigusa sanaaa natamani hawa waume waivo waje wasikie huku

  • @Maryamjuma-s8w
    @Maryamjuma-s8w 8 місяців тому

    Sheikh umeongea ukweli naniivyo kuvumilia tu ndio iliopo aky,Allah akupe kheri inshallah

  • @Dasoor-tt3vf4dj8i
    @Dasoor-tt3vf4dj8i 7 місяців тому

    Upo sahihi kabisa wanawawake wengi usaliti ndoa zao sababu ni mwnaume😢

  • @saudaumar3354
    @saudaumar3354 8 місяців тому

    shekh waongea kweli kabisaa

  • @wakawakakhamis9558
    @wakawakakhamis9558 8 місяців тому

    Amin

  • @asianramadhani8315
    @asianramadhani8315 6 місяців тому

    Allah niyaukweli haya jamani

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 7 місяців тому

    Shekhe umeongea ukweli mtupu

  • @asianramadhani8315
    @asianramadhani8315 6 місяців тому

    Maneno matamu mashallah 😅

  • @Mwanaisha-x9b
    @Mwanaisha-x9b 8 місяців тому +1

    Ustadhi nakufuatilia sana mawaidha yako nikiwa saudia....leo nimepata mafunzo na nimecheka sana😂😂

  • @BiubwaBeauty-henna
    @BiubwaBeauty-henna 8 місяців тому

    Wengine wanaanza kusonya kwenye mlango wakingia

  • @SuleiBakari
    @SuleiBakari 8 місяців тому

    Allah

  • @Dafetty
    @Dafetty 5 місяців тому

    😂😂😂 Sheikh mie ata shuka naandika jina langu

  • @BiubwaBeauty-henna
    @BiubwaBeauty-henna 8 місяців тому

    Sina lakusema wallah ni yakweli unayosema

  • @AshaTwego
    @AshaTwego 7 місяців тому

    Mashaallah😂😂

  • @BiubwaBeauty-henna
    @BiubwaBeauty-henna 8 місяців тому

    Yani haya mawaidha nikimfungulia anambia nisimuekee kelele aondoka

  • @maryamngitami2143
    @maryamngitami2143 7 місяців тому

    😂😂

  • @faizG254
    @faizG254 8 місяців тому +1

    Kuna wanawake wengine hata ukiwafanyia kila kitu hawawezi tulia.Kunguru hawafugiki.

    • @stacymutheu1025
      @stacymutheu1025 8 місяців тому

      Omba istikhara kabla hujaoa ama hujaoewa,sio kila mwanamke/mwanaume ni mwanandoa mwema,tutakeni ushauri kwa Allah.

  • @ShemsaUwase
    @ShemsaUwase 8 місяців тому

    Allah akupe Pepo sheikh wangu

  • @mifunga3414
    @mifunga3414 8 місяців тому

    Mashallah 😂