Allah (s.w) akupe kauli thabit, akupe nuru juu ya nuru , akupe marafiki wema (malaika wake), ulale pema Maalim Seif Sharif Hamad , umeondoka lakini bado maneno yako na hekima zako zipo hai, Wazanzibari tunaendelea kujifunza kupitia wewe , hakika wewe ulikuwa ni zawadi kwetu sisi, lakin Allah (s.w) amekuhitaji na yeye, hatuna budi kumshukuru , kikubwa zaidi tunamuomba Allah (s.w) akupe pepo pamoja na Mtume wetu Muhammad (s.w) na sisi sote tuliobakiwa tuwe pamoja nae inshaallah Allah (s.w) atupe mwisho mwema.
malimu seif ccm ni walahayi sasa waliyavunja maridhiyano haya sasa hivi 2020 wameuwa wanahitachi tena madhiyano tena kayeni mugutena maridhiyano haya lakini umakini unahitachika sasa sipigi kwenda kwenye serekali yamaridhiyano
Maalum seifu wwe umekufa ukiacha nafasiyako pengo ambalo kuzibika sio rahisi lakini langu ni duatu اللهم أغفر له وارحمه وعافه واعف عنه واكرم نزله ووسع مدخله واغسله بالماء والثلج والبرد ونقه من الخطايا كما ينقى الثوب الأبيض من الدنس وابدله دار خيرا من داره واهلا خيرا من اهله وادخله الجنة واعذه من عذاب القبر و من عذاب النار
Daah mzee umetuwacha ila ndio hatima yet binaadam allah akupe pepo kwa rehma zake amiin huyu ndie maalim mtu ambaye anatumia hekma na busra na utu wacha kabur lake linukie allah azid kulifanya linuke zaid na zaid na kesho akhera ampe pepo kwa rehma zake amiin
Maalim Mungu Akurehemu Amin
Allah akusameh ulipo kosea maalim na akujaalie kabur lako lime ni bustan miongon mwa bustan za beponi
Laana za Mwenyezi Mungu ziwafikiye popote mlipo kwa kumdhulum haki yake ya ushindi Maalim Seif Sharif wakati wa uhai wake.
Mwenyezi Mungu ampumzishe mahala pema peponi Maalim Seif hakika alikuwa na ukomavu na uvumilivu wa Hali ya juu.
Duh ukiisikiliza hii hotuba inaleta huzuni Sana sijui shein kapatwa na shetani gani kuuharibu umoja ulojengwa wa Zanzibar Allah hatakuacha salama
Allahumma ghufirlahu warhamhu waskanah makani fil janna
Wamekudhulum hakika dhulma haidum Allah atakulipa haki yako
Allah Akurehemu malim
Allah akurehem.
Allah (s.w) akupe kauli thabit, akupe nuru juu ya nuru , akupe marafiki wema (malaika wake), ulale pema Maalim Seif Sharif Hamad , umeondoka lakini bado maneno yako na hekima zako zipo hai, Wazanzibari tunaendelea kujifunza kupitia wewe , hakika wewe ulikuwa ni zawadi kwetu sisi, lakin Allah (s.w) amekuhitaji na yeye, hatuna budi kumshukuru , kikubwa zaidi tunamuomba Allah (s.w) akupe pepo pamoja na Mtume wetu Muhammad (s.w) na sisi sote tuliobakiwa tuwe pamoja nae inshaallah Allah (s.w) atupe mwisho mwema.
Allah amlaze pahala pema kiongozi wetu mpendwa na inshaallah atatufufua 2kiwa pamoja nae filjannah Ammeen
RAHMAHULL AH
malimu seif ccm ni walahayi sasa waliyavunja maridhiyano haya sasa hivi 2020 wameuwa wanahitachi tena madhiyano tena kayeni mugutena maridhiyano haya lakini umakini unahitachika sasa sipigi kwenda kwenye serekali yamaridhiyano
Bado hawakua na nia Nzuri nawewe pamoja nakua wewe uliwaamini
Daah Inahuzunisha na kusikitisha Allah akulipe kwa ustahimilivu wako hakika wewe ulikua muungwana
Shujaa kamaliza mwendo maalim Seifu zanzibar ya Amani ni yeye .
Shein unamuona muungwana huyo akubali lakini tu wananchi wakae kwa salama na amani namuomba allah ailaze roho yake kwenye pepo ya firdaus Ameen
Hakika kaka ....yeye ni mmoja tu lkn hakutaka wengi wakose utulivu kwenye maisha yao....
Jizi halina haya duniani mapito kesho utajibu
Najua ulikubali tu kwa uungwana wako mungu akurehem kipenzinzi chetu
Duh tumepoteza na tumepoteza jamadari wa siasa Tanzania na hatujui kama atatokea kama huyu mzee
Shein hatutakuswaeh duniani mpaka akhera.
laona haya shenzi sheni
Inaumiza kunyanganywa haki yetu hivi Allah ndie hakimu nawe maalim ahsante kwa hekima
Bado tuna imam nawe maalim
Babu hatukuswamehe kwa dhulma zako za wazi ulizotufanyia wazanzibari
Ccm ata sjui inamaana gani kiukweli
Maalum seifu wwe umekufa ukiacha nafasiyako pengo ambalo kuzibika sio rahisi lakini langu ni duatu اللهم أغفر له وارحمه وعافه واعف عنه واكرم نزله ووسع مدخله واغسله بالماء والثلج والبرد ونقه من الخطايا كما ينقى الثوب الأبيض من الدنس وابدله دار خيرا من داره واهلا خيرا من اهله وادخله الجنة واعذه من عذاب القبر و من عذاب النار
Hayupo km maalim ccm wizi mtupu n tume zenu
Daah mzee umetuwacha ila ndio hatima yet binaadam allah akupe pepo kwa rehma zake amiin huyu ndie maalim mtu ambaye anatumia hekma na busra na utu wacha kabur lake linukie allah azid kulifanya linuke zaid na zaid na kesho akhera ampe pepo kwa rehma zake amiin
huyu mkali mazee
ipo cku haki itasimama
Hutuba ambayo haitatokea na kamwe sitaisahau nashngaa kwann Shein alishindwa kumpa mkono mwenziwe baada ya kushindwa
kwasiasa unatisha hakuna mbele yako
Said i Muhsinii
Wew ni muungwana maalim na muungwana hafedheheki ipo ck watakukumbuka .
wewe ukipaji cha siasa kisicho pingika
Sheni anashangaa kwamba mtu ameibiwa kura ili niwe rais lakin yeye ndio anatoa nasaha napongezi
Inaumiza na kutoa machozi kwa dhulma kubwa
Ma Sha Allah
He was so iron for Zanzibar
muna jema nyie washenz
Maalim kweli?
hana lolote huyo jangili mkubwa
Jangili nani apo mbn km unaogopa kuweka wazi
Scripted