Duni Ateta Sakata la Bandari.'Kosa Sababu Rais Mzanzibar'.Wako Mikoani Huko Wanazunguka
Вставка
- Опубліковано 5 сер 2023
- Juma Haji Duni ambaye ni mwenyekiti wa chama cha ACT Wazalendo alikua akiongea kwenye mkutano wa hadhara wa ACT Wazalendo uliofanyika Bubwini Zanzibar hivi leo Agosti 06,2023
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2023 © All Rights Reserved.
Safii mzee duni haji Allah akulinde na maadui wa ndani na nje inshaalah
Wabaguzi hao, Mwenyezi Mungu Awalaani . Mwenyezi Mungu Ambariki Rais wetu Mama Samia.
@shukurukoll7269. WABAGUZI NA SERA YAO
Huo Ubaguzi wa Zanzibar ni Sera ya Chama Cha Mapinduzi ulioanzishwa na Baba wa Kanisa Julius Nyerere.
1) Nyerere alitumia Ubaguzi kufanya Mapinduzi yalouwa Waislam wengi wa Zanzibar kuwa Kafara.
2) Nyerere alitumia Ubaguzi kufanya Muungano wa lazima bila ya ridhaa ya Baraza la Mapinduzi la Zanzibar.
3) Nyerere alitumia Ubaguzi kufanya Chama Cha Mapinduzi bila ya ridhaa ya Wazanzibari.
4) Sera ya Ubaguzi wa Chama Cha Mapinduzi umemfanya mama Samia kuwa Rais wa Tanzania Kikatiba.
UCHAGUZI WA UBAGUZI NA WIZI
i) Uchaguzi wa Zanzibar ulikuwa Siku Mbili, Tanganyika Siku Moja.
ii) Uchaguzi wa Zanzibar ulikuwa wa Sera ya Ubaguzi ufuatao:
1) Siku ya Kwanza kwa Watawala.
2) Siku ya Pili kwa Watawaliwa.
BILA UBAGUZI HAKUNA MUUNGANO
Naam MashaAllah hakuna marefu yasiyo ncha ,ni kweli kabisa wawape nchi yenu mna bendera yenu ,bunge lenu ,wimbo wenu ,jeshi lenu na rais wenu
Hello duni Safi Sana wakae wakijua kukosa muungano Zanziba wangeiona Dubai hakuna kisiwa masikini duniani waambie hao wanyawima
Mentality za kiarabu zinawaumiza huo ni utumwa
@@maximillianmayani5119bora utumwa wa kiarabu kuliko utumwa wa watanganyika
Hii spana ya Mkataba wa Bandari, Iko vizuri Sana. Inafungua Kila kitu.
Wazanzibari simameni kidete vunjeni muungano ili watanganyika wajihangaikie wenyenyewe,
Kama Hussain Ali ni Mzaliwa wa Zanzibar na avunje Muungano kabla ya 2025 atakuwa Jabari na Shupavu.
Kwa haraka wenye kujua tatizo lilipo ni lazima wajue ccm ndio ugonjwa sugu wa hii nchi
Na chadema wabaguzi
Haya sasa yameibuka ya raisi kuwa mzanzbari kwani Mzee Mwinyi sio mzanzibari? Yameletwa ya udini.hizi ni mbinu chafu zinazobuniwa na roho ya wizi,ufisadi na uonevu..Watu wachache kujiaminisha was ndio kila kitu ni U zuUZI ulioptilliza.Raia kupindua serikali haijawahi kusikika kokote duniani
Tatizo sio ccm tatizo ni kanisa katoliki,kuwa wao wako kama Muhimili wa nnchi toka zama hizo,wanashindwa kusoma nyakati watatue matatizo yao na serikali ihangaike na yake,kauli ya maaskofu katoliki sio kauli ya watanzania,na kauli za Vatican mama wa ubepari duniani kupitia kanisa imepitwa na wakati
@@kassimmuktarymurji4242We huna akili hata kidogo, Akili yako inawaza tende, You ar Stupid…
babu duni umeongea vizuri sana,ila mimi najiuliza hawa watanganyika wanaodai tanganyika yao kwani tanganyika yao anayo nani?
Ni matope tu au naona mwenyewe wadau
Kweli bhana unaona matope ,ukiwa macho huna hutaona kitu
Nimeamini Hawa jamaa Wana umoja kuliko sisis Watanganyika
Watatumaliza hawa lao moja,,na ss watanganyika tupo tuu
Hii mijitu ya hovyo Sana..hakika nawaambia act inafutika Zanzibar..wazanzibar sio wanafiki kamwe na hawako tayari kukaa na watu wanafki..mara ngapi metendewa madhila na watanganyika wamewatetea
Lining, zaidi ya kuleta jeshi kudhalilisha watu.
😂
Nimemsiklz vizuur mzee duni. Kumbe ndio watanganyika wakawa wanatoka mapovu ktk comments zao mzee kauwa nyani. Ivi kwann jamani mpka tukielezwa ukweli ikawa tunapinga tu sisi ? Ndio mpaka leo tukawa watumwa wa wazungu na papa wa Ital kwa ujinga wetu.
Kwa hiyo ACT inatetea agenda ya ccm hivyo ni aibu sana kwa zito
No manager yake umesikia zito kaongea??
KOTI LIVUENI MCHUKUE NCHI YENU
@paschalpaul3862.Watanganyika wamshukuru Rais Mzanzibari amewaamsha kudai nchi yao.
Tuliza akili uwelewe huyo hasemei ccm wala Act huyo anasemea Zazibary na Tanganyika
@@maftahmusa9513 SHUKRAN JAZEERA🙏👍
@@khatibal-zinjibari6956 🙏
Ameingia mikataba mibovu, na mbona hajaziweka na hizo za huko?
Bandari imetujulisha mengi kumbe ACT kilaza
Chadema ndio vilaza
Kwan unaona Zitto anaongea????
Ndo maana kumbe Kila ya kishinda yanazurumiwa kumbe ni mapumbavu ivi!!!
Chadema wasahau kabisa kushika mamlaka makubwa ya Tanzania
Zitto haongei kwasababu kamezwa na act wazanzibar
Zanzibar haipaswi kuwepo kama ilivyopotea tanganyika, tufute tofauti Tanzania iwe moja,
Wewe Naye mchochezi tu hunaunalo lijua waretehao warabu kwenu zanzi
Sijamuelewa hata kdg
Haya kuhusu kauze za kwenu
Chadema wabaguzi sana
Correct ni chama chenye ukanda,,udini ,,upuuzi tu,,,,tutapigia CCM,,,😢 forever
Hata hivyo muungano ni changamoto sana 😂😂😂😂 Duni Haji😅😅👏🏽👏🏽👏🏽 Tunakukumbuka wakati wa Lowasa
Si muondoke kwani kuna watu wanawatakeni????
Attention!!! Kuna jambo baya linaweza kutokea TZ maana kila pembe kuna moto unawaka. Rescue inahitajika otherwise......
Wewe unaongea kama hujui wakati unajua Ccm ndo haitaki
Hoja ni kwa nini Bandari za Zanzibar hazimo kwenye huo mkataba. Hoja Sio Uzanzibar, UARABU au Uislam.
Muislam yeyote atakae itukuza chadema ataenda motoni
kweli
Kwani hii Tanganyika yao kaichukua nani mpaka wanaidai? hapa Kuna mengi yakujiuliza.
"Muungano"(kupe ) Kuna nini hapa? Na Kwanini Kila anaedai kuvunjika muungano wanamfunga au kumpoteza kabisa .
Kweli akili ndogo ndoinayoongoza akili kubwa
kama unaona hivyo unamatatizo ama ya akili au ya macho kila siku akili kubwa ndio huongoza akili ndogo basi hiyo unayoiona ndogo ndio kubwa hiyo wahi kutibu macho au akili uelewe vizuri
Ongea yako tu unaonekana mnafki
WAINGEREZA NDIO WANAOWATESA WALIKATAA MUWE TAIFA WAKAWAKABIDHI KWA TANGANYIKA SASA MKITAKA KUWA HURU KAENI MEZA MOJA NA WAINGEREZA HUENDA MKAPEWA NCHI YENU
Tuijadili Zanzibar yetu tu Babu Duni tatizo la Zanzibar ni hivi vyama vyenu na usitaje kabisa CCM kuhukumiwa Dodoma wakati vyama vyote mnahukumiwa huko huko Tanganyika tofauti ni mitaa tu.
Kama kosa ni kuwa mzanzibar basi utanzania UNASIHI wapi?ACHA umaarufu WA kutafuta popularity
Hamjashirikishwa kwa7b mkataba haujawajumuisha, na panapoonekana pana shida ziundwe serikali 3, shida ni mkataba mbovu au hamuoni
Mzee anaremba sauti kama shoga wa makunduchi.Hakuna cha Zanzibar yenu, Zanzibar huko tuendako lazima uwe mkoa miongoni mwa mikoa ya Tanganyika.
Kaka jibu hoja matusi hayajibu hoja hata , anayeongea ni sawa na baba yako
Huyu no mpemba asili ya wapemba asili ya mpemba no mnafik mpemba no mnafiki hao waliwasalit was unnguja na kumpelekea mapinduz kupinduliwa waliwasalit
Mimi ni kada wa ccm sijifichi ila mzee duni yupo sahihi
We noma
ZITO NI MTU HATAR SANA KWA MUSTAKABALI WA TAIFA
Ni ndumila kuwili huyo
Hayo unayozungumza ni sawa lakini hoja siyo dini Wala uzanzibar ni mkataba
Duni kama jina lake! Aende kwenye point ya msingi; mkataba wa bandari,
Leo mnanza kubaguana kuwa mwinyi sio mnzanzibari ni mzaramo kesho mtapewa kinzanzibar chenu mtanza kuchapana mapanga kumtafta mnzanzibari ni nani mana mnaendekeza ubaguzi na jaziba za kasumba kuweni makini hata nje ya mungano bado mtaendelea na malala miko na kubaguana kama mnavyo wakataa wenzenu sasa
Kwani hajawahi kuwepo Rais Mzanzibari! Mbona mnageuza maneno?
Wee duni we mbona zijawahi kuona rais wa Zanzibar akitokea Tanzania,
Akili ni nywele kila mtu ana zake....Nyingine zimepunyuka.kama za paka aliyekula nguru..
Hao wote Marais waliopita waliwahi kuuza kitu Cha Zanzibar hata kimoja?
Uelewa. Mdoho Samia Anapoteza Raslimiali yetu Tunakuomba unyamaze utalaniwa nakizazi chetu mbona unajua kumbe Bandari unajua Ni chanzo Cha uchumi. Kumbe tuungane kufuta Mkataba mbovu sisi hatutaki ujinga mliofanyiwa huko
imeisha hiyo hakuna muungano tena
As ndio maana Naye Samia aneleta mkataba usiyo na mwisho Kama muungano!!! Ndiyo maanaaaaa
Bwegeee huyooooooo
😂huyu mzee hajielewi,muungano siujui najua bandari, samia awe mzanzibar awe mmafia, naangalia tanzania, zanzibar mna bendera na Zanzibara hatuna bendera,tunatumi ya tanzania,ww ndo unataka zanziba cyo wazanzibari.
Tanganyika wezi wakubwa sana na wanyonyaji sana uonevu umezidi Zanzibar
hamna kitu hapo
Mbona mkataba wa ges ametia samia? Nishati si shirika ndio maana mafuta ya zanzibar mnasema si ya Tanzania
Allah atawasimamiaa inshaa Allah
NYIE NIMACCM TUNAWAJUA VIZURI SANA
Na chadema ni chama Cha kidini Hilo linajulikana vizuri wasahau kabisa kushika mamlaka makubwa ya Tanzania
SEMA Mzee tunakusikiliza mengine uko vizuri.
Jitengeni sisi atuwataki kwanza tanganyika tunajitosheleza
Kama mnajitosheleza musinge ing'ang'ania zanzibar. Kasikilize hutuba ya Lukuvi akiwa kanisani ndio utajua umuhimu wa zanzibar kwa watanganyika
Act wazalendo kimeanzishwa lini na makao makuu yako wapi
Pumba ondokeni na mzanzibar went ovuoooooo yang udini
Ongea sera za chama chako mzee
Ndio anaongea sera miongoni mwa sera zao nikutokuwa wabaguzi
Dpw wapeni bandari za zanzibar ,ya dar es salaam tuachieni hatutaki
Mbona nyinyi mnamsema Hussein mwinyi ni mtanganyika
Kanisa baba, kanisa baba!!
Baada ya Karume kuuliwa Afisi ya Bamkwe imehamishwa Dodoma😂
Babu Fun acha kupotosha hayo mbona Mwinyi hakusemwa alifanya viUri
Unamtetea kwa sababu ni ndugu Yako acha ubaguzi,
Kusoma sio ujinga kwisha mzee baba achana nao wajinga wale wana makelele tu akili hawana huyo Dr. silaa na Lissu ndio ovyo kabisa najionea makelele tu. Sio wataalam wa mambo hayo
JUMA DUNI ON INTELLECTUAL RESPONSIBILITY IN ZANZIBAR
"It is the responsibility of intellectuals to speak the truth and to expose lies of (The Union Government)."
[Source: Noam Chomsky in The New York Review of Books February 23, 1967].
TUCHUKUWE ZANZIBAR YETU
CHUKUWENI TANGANYIKA YENU.
Duni acha mipasho
@InnocentKapwani-mp2po JUMA DUNI WAPASHE NA WAFICHULIE
Wapashe na Fichuwa Waliyotuficha Zanzibar na Tanganyika.
ALOYAFICHA JULIUS NYERERE
1) Serikali ya Tanganyika imefichwa na Koti la TANZANIA kama ni Utatu Mtakatifu wa Daima na Milele.
2) Afro-Shirazi Party imefichwa na Kizibao cha TANU ya Tanganyika.
3) Zanzibar imemezwa DODOMA kuwa ni Bamkwe ya Mandera.
Wazanzibari washamba ila hawajui Tu....washambaaa...na mapazia ya Dubai....Nani mjanja wa Leo anaingia ubia na waarabu..all intellectuals in Arab world is foreign imported....
Bandari imefungua akili za watu. Ili amani iwepo mkataba ufutwe kabisa. Tanzania itakuwa salama
Hakuna wakuifuta labda ufutike Wewe
nimemuelewa sana, ametoa hoja nzito
ACT CCM B
Huyu Duni Ana matatizo. Eti Chao Ni Chao ,na chetu Ni Chao. Sio nyie mnataka serikali yenu?Rais wenu? Bendera yenu? Wimbo wa taifa lenu?kwani Kuna lipi wanalo wazanzibari.kati ya Zanzibari na mbara Nani Ana FAIDA,Nani jafaidika? Duni njoo hata uchukue wazenji kibao wamejaa.wachujue ndugu zako.Wee Duni waarabu wanakununua. Zanzibar Ni ya sultani
Umeeleweka Mzee watu watafute Tanganyika Yao.
Muda umefika kilamtu afe nachake
Acha polonganda unagaw watu kwann wew
Kwn usafili wenu mnapitia wapi?
Hawa wazanzibar wangekaa kwao huko. 😢wafanye Mambo yao
Kabisa
Na wewe unadhani utapona muungano ukifunjika.
Wahame dar et
@@maximillianmayani5119dar mpaka mlandizi Tanga mpka Mombasa kama hujui ni zanzibar. Kwa hiyo mjiteyarishe kuhama. Nyinyi bahari yenu ni Mtwara na mabwawa. Mkafuge samaki huko. Mtuachie dar yetu na tumeijenga wenyewe wazanzibar.
Kafirane huko mkiambiwa ukweli mnaanza ubaguzi mbwa ww
Huyu ndiye yule duni aliyekuwa na akili sasa aongea hivi? Wataalam wafanye kazi yao tu ya Kisheria na ikibidi tuirekebishe hii ndoa na wenzetu ambayo haina maslahi nasi kwa sasa. Sheria pekee ndiyo itatutatulia huu ukakasi.
Wewe una maslah na ndoa gani labda?
Kuna standard ya uongeaji ambayo hamna. Women and Men talk the same way.
Lakini kilichozungumziwa kimekukuna.
@@mohammedsalim3315 kweli ndugu yangu. Tuko pamoja.
A) Babu duni,, Mafuta Zanzibar si Muungano iweje Gesi ya Mtwara??
B) Mkata wa Bandari unabishaniwa masharti ya Mkataba.
Hivi wewe ndo ulitaka kuwa makamu wa rais,hata hivyo nilikuwa na wasiwasi na wewe
Uza kwako
Leo unasema Rais Mwinyi Mzaramo ina maana Mzee Mwinyi sio Mzanzibar na Hussein Mwinyi ni Mzaramo kama baba yake. Mnaanza kubaguana nyie kwa nyie
Useless speech.. hatuhitaji umbea katika mambo serious ya kuikomboa Tanganyika yetu. Bandari sio jambo la mzaha hata kidogo
We ! Hivi unachosema ? Au unabwabwaja2 ? Umewahi soma katiba ? Unazeeka vby
Mavi
Ukoloni unawasumbua kichwani mpate mikopo na wawekezaji wakoloni . Mngejitambua kuwa sisi ni wafrika tungejitambua kuwa ni Wtz kuliko kujivunia majina ya wakoloni, fedha za wawekezaji zinamaliza umoja wa Taifa
Umeme wa tanesco nyie mnapata umeme kutoka Comoro!? Kweli akili duni
Umeme sisi Sio tatizo bahari tuko nato fasta tu tinawasha
@@aybkham5795 we kuma kweli maji ya bahari hayawezi zalisha umeme maisha
Kumbe isha kuwa marumbano kama hayo
Wakae kwao wa2ache kwetu kwan wazee wangu mmechukua chao mnatupa shida sna vijana wenu yan mtu akilala akiamka anafikir atapawap ugali wa siku hii hal 2mechoka.
Babu jiheshimu kama tunavyokuheshimu ukianza uongo tutakudharau. Kwa nini hakuuza bandari za Zanzibar ana upendo gani na Tanganyika ambao Hana kwa Zanzibar? Kama kweli nchi ni moja?
Ongea baba duni,sisi waislamu tunaishi ukweli kwani imani yetu kuna maisha baada kifo,hii nnchi sio ya wakatoliki na kauli yao sio ya watanzania,tupige kura hao wakatoliki wako wangapi?kuamua mustakabali wa watanzania
Safi sana mzee.....we ni mzalendo.....kila mtu kwake Tanganyika kwao Zanzibar kwao
Mtanganyika Mzalendo wa kweli ni Filipo mpango tuko pamoja na Filipo mpango kaziiendelee
Na ajili zako Ni Dini kaka Jina lako
Ndo jiulize shida ikowapi?
Kweli NI dhiki hasa chadema
Hatutaki Sasa waarabu wakabidhiwe bandari za Tanganyika,
Sasa hivi watachana na kuidai tanganyika. Tukidai zanzibar.
Act imetekwa na wazanzibar, pole yao
Huyu jamaa mpuuzi sana
Jamaa kilaza kweli.
Wewe ni mjinga kalale hakuna unacho kiongea
Nakweli ujadiliwe mkataba tatizo ubaguz hawamtaki mwkezaji mwarabu wanataka wazungu kila siku wanabeba makinikia maaskofu hawaon