KAULI ZA MAALIM SEIF’ ZILIZO GUSA WATU ZNZ -KABLA YA “KIFO CHAKE”
Вставка
- Опубліковано 27 лип 2024
- Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Sauti Byego
cc: Maryam Busara
cc: Masoud Maganga
Camera Department"
Dadi Ali
Omar (OJ)
Nassor Shaibu
Abdallah Juma
Editors:
Juma Maulid
Dadi Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Hatuna lakufanya zaidi yakukuombea duwa kwa mwenyezimungu nenda salama baba mng atakufanyia wepesi huko uliko amin👏👏👏
Hakika alikua mwisho mwema aliondoka na neno kubwa Sana na muhim Sana wazanzibari tuwe wamoja ALLA amrehemu na amekua na mwisho mwema mashalla
Allah amjaalie firdaus njema 🤲🤲🤲
😭😭😭 Allah akusamehe mazambi yako na akujalie uingie peponi amiin🤲
Mmm naon maalim alijua huu ndio mwisho wamaisha yake ya dunian et ila amesisitiza sana umoja umoja mung akupe pepo kwa rehma zake hakika umefanya meng mazur kwa uwezo wa allah atakupa pepo kwa rehma zake amiin na ss atupe mwisho mwma amiin tulikupnda ila Allah kakupnda zaid
Innalillah wainna ilayh rajiun Allah amsamehe madhambi yke na ampe makazi mema jannatul firdaus
Innalillah wainna ilayhi rajiuni Mungu akupe safar ya kheri na akujaalie kwa rehma zake akulaze mahali pema peponi Aamin.
Ameen ya rabbil alamiyn
kila nitakapokukumbuka dua nitakuombea kwa Allah inshaallah
Innalillahi wainna ilayhi rajiun Allah ampe kauli thabit na amsamehe makosa yake.
Wazanzibari tumeumia
Allah akupe kauli dhabiti.ww.nikingozi bora nahatotokea tn
MAALIM KUMBE ULIKUWA NI AHLISUNNA MASHALLAH
Waislamu wote lazima wawe ahli sunna sii lazima mtu mpaka ajitaje kuwa yeye ni ahlisunna . Kwani masunni hawatekelezi sunna. Kwani maibadhi hawatekelezi sunna. Kwa mashia hawatekelezi sunna.
Mashia hawafwat sunna...
@@alonealvin4534 du 🤣
@@alonealvin4534 lkn hata masunni na maibadhi pia wapo wasiofata sunna.
Mnaanza tena
Da kila nikimuona machozi yananitoka da kazi yamungu haina makosa
Innaalillaahi wainnaailaihi raajiuna.... Allah akulaze mahali peponi...Aaamin...hiii ni safari yetu wote ila ww ndo umetangulia na in 100% hakuna ataepukana na safari hiyo...muhimu ni kurudi kwa Allah tukiwa salama...
Kikubwa ni dua kukuombea ila maumivu tumepata lkn tunasema Alhamdulillah
Uyu mzee alibashiriwa nin, naona kajisafisha kiaina
ALLAH akuja'lie qauli thaabit
Allah akusameh amiri wetu
Allah AKUJALIE pepo na makazi mazuri Mwalim Seif atukutanishe tena pamoja peponi, Ammeeen... 😓😓😰
Amiin 😭😭😭😭
Amiin 🤲🤲
@@fatmamatuma4073 allahuma amee
🤲
Allahumma Aaamin
Innalillahi wainna ilayhi rajiun. Yaa Allah msamehe makosa yake makubwa na madogo tunayoyajua na tusiyoyajua na uyazidishie thawabu mema yake. Hakika ktk vifo vilonigusa kimoja wapo ni hiki. Allah ailaze mahala pema peponi roho yake. Duniani tunapita na kila mmoja anamadhaifu yake na mazuri yake. Yaa Rabb usiangalie madhaifu yake na ujaalie kauli yake hio iwe ni sadaka tosha ya kumnyanyua na kumueka kwenye firdausi, Amiin.
Mashaallah allah akujaalie uwe kwenye watu wema Amiin yaraby kwa sote
Kila kitu amekiweka safi Maalim..ameshakamilisha his destiny ndo maana Allah amemchukua
ALLAH AMPE KAULI THABEET INSHALLAH INSHALLAH INSHALLAH INSHALLAH INSHALLAJ🙏🙏🙏🙏🙏 INNA LILLAHI WAINNA ILLAIH RAJIIUNI
Kamaliza kazi yake kweli
Jemedari wa kweli Allah akupe makaazi mema in shaa Allah
INNALLILLAH WAINA ILLAIH RAJIUN ALLAH AMFANYIE WEPESI KATIKA SAFAR YETU HII NA SISI ATUPE MWISHO MWEMA, ewe ndugu yangu muislam maisha ya dunia ni sawa kivuli namuomba Allah kwangu na kwako ATUPE mwisho MWEMA
HUYU NI MTU PERFECT,,,NIKIONGOZI WA AINA YAKE NA WAPEKEE,NI SHIDA SANA KUWAPATA VIONGOZI KAMA HAWA.
Allah akuingize katika pepo za juu inshaallah
Allah akurehemu.
ALLAH ajaalie uwe ni miongoni mwa wenye kupewa kitabu chako kwa mkono wa kulia inshaallah
Innalillah wainna ilayh rajiun Allah ampe safar ya kheir amsameh makosa yake na awape Subra wafiwa wote na wazanzibar kwa ujumla in shaa Allah pepo ya firdaus iwe ndo makaazi yake Amiin thumma Amiin Yaa Rabbiy
kwa hakika maneno yako maalim yamejaa hekima na busara .. na ni mawaidha tosha kwa waislamu wote ..
umewashinda baadhi ya mashekh maana kazi yao ni kusemana tu ktk membari ..
mungu akujaaliwe upate yale yaliomazr ambayo amewaandalia waja wema ..
yaa Allah sisi tunashuhudia kwa mja wako huyu kwamba alikuwa ni mtu mpenda watu mwenye kuwathamini mweny huruma na uchungu kwa waislam na mchi yake pia .. tunakuomba yaa Allah umlipe km ulivyowalipa waja wako wema .. amiiiin
Mwenyezi Mungu s.w akupumzishe kwa amani...
Innalillah wainna ilayhi rajiun,tunakuombea salama sana maalim,Allah akurehem na pepo iwe ndio makaazi yako
Amiiyn
Allahumma ameen yaarab
Allah amlaze mahali pema alifika kuhimiza ummoja na kuwacha tofauti zetu. Haya maneno mazito Sana
ALLAH amsamehe dhambi zote na amhifadhi peponi
Umeondoka kiongoz mwenye busara and hekima iliojaa ndan ya moyo wako hakika umeondoka tukiwa bado tunahtaji muongozo wako
Hakika
Hatutokusahai maneno yako milele
Innalillaah wainna ilayh rajiuun, Allah amsamehe makosa yake na amuepushe na adhabu ya kabri na sie tuliobaki tunamuomba Allah atujaalie mwisho mwema, Allahumma amiiin Yarabb
@@oman7710 Ameen
Umeondoka baba zanzibar umeachia Allah subkhallakh wataallakh
Allah akujaalie bustani kwenye kaburi lako akujazie nuru
Mungu huondosha kitu nahueka kitu nawashauri wezangu tue nasubra mungu atatupa kipezichengine Kama yeye au kuliko
Allah akufnyie wepes ktk safar yko akupe kauli thabit
AMIN
Allahumma amiiin Yarabb
Yaa Allah Umpe nuru na umrehemu Maalik seif.
Sisi tulikupenda ila m.mungu amekupenda Zaid tutakukumbuka milele daima
mungu akulaze mahalapema peponi amin
Inna llillah wainna illayhi rajiuon Allah awasameh wazazi wetu walotangulia mbele ya haki
Amin
Allahumma amiiin Yarabb
Mungu akupe Kauli dhabit katka kaburi yk
Nalilia taifa langu la zanzibar mungu akulaze mahalapema ppn
Allah msamehe makosayake hii njiya tutapita soote wewe mbele na sisi tuko nyuma yako bila ya wewe kusingekuwa na amani Zanzibar umeona jitihada zako tuta kukumbuka daima Allah wape subra wafiwa izidishe amani Zanzibar
Allah akurehemu kiyongoz wetu
Inna lillah wainaa ilayhi rajiun MWENYEZI MUNGU AMJAALIE KAULI DHABIT
Allah (s.w) akurehemu kipenzi chetu
Allah akulehemu babaetu
Hatutampata daima ..pumzika
Allah amtilie nuru kabur yake amin.
Yaani muda mchache lakini alichokiengea ni zaidi ya madini.
Ndio maan alikuwa na ushawishi mkubwa katika Siasa .
Allah amlaze mahali pema .
Innallilahi wainailahi rajioun Allah amsamehe makosa yake amlaze mahali pema peponi
Amiin
Amiiin
Allah mlaze pema peponi mpendwa wetu maalim
Amiin
Tutakukumbuka daima kipenzi chetu
Hakiii nimelia mimi usiku huu was saa nane usiku na 47 minute nikiiyangalia hii vide
اللهم غفرله ورحمة
Allah akurehem
Innalillah wainnaillah rajiun May Allah rest his soul in peace and bestow Jannat Amen
0
Mungu akulaz mahala pemaa kipnzchetu
Innalillah wainnaillah rajiun Allah akuepushie adabur ya kabri
Allahuma ghufirlahu waarhamahu waaskinahu filjannat
Anasikitisha sana maalim
Innalillah wainnaa ilah rajium, dah mcba mzito kwa kweli haulezeki
Allah ampe kaulithabit mzee wetu
Allah akurehem kipenz chetu
Mungu akuondoshe azabu za kabr
إنّا للّه وإنّا إليه راجعون
HAPA LEO UMEONGEA MANENO MAZITO
Hajawah kuongea pumba et
Allah atakulipa kwa nia yako nzuri
Allah anaangalia nia
Lazima tusimame pamoja bila kumwogopa yeyotee kwaajili ya maendeleo ya taifa letu... Tanzania
Na kua kiongizi sio kujua kila kitu...wanakosea wanahitaji kurekebishwaa,wanawaongiza watanzaniaa,wameteuliwa na watanzaniaa wakubali kukosolewa na watanzaniaa,kwanzia mjumbe wa nyumba kumi hadi raisii
Tanzania nguvu moja ,🇹🇿🇹🇿
Inaa lilaah ma inaa ileih rajiun rest in peace and ma allh grant him his janatul firdows in sha allah
Allah akurehemu
Nenda kapumzike cc hatuwezi kuzuia ucondoke bali bado tutaendelea kuyaishi maneno yk na matendo yk kw hakika mdomo wako mda wote unatowa hrf ya misk umeondoka mwk wa 3 sasa bd tunayaish mameno na vitendo na md wote tunakutakia duwa tupo tyr wznzbr km zmbi zinagaiwa tungegawana ukaenda msafi ila ht hvy tunakuombea allah akuswameh
Pumzika kwa aman mzee wetu
AMEEN
Jamaa amezungumza hapa
Inna Lilah wa innalilah rajiun
Maneno yamenigusa اللهم ٱغفرله ورحمه
Maalim Allah Akurehemu akulip fridausi
Innaalillahi wainnaa ilayhi raajiun
آمين يارب العالمين
Inna lillahi wainna ilahi rajioun
Sasa hivi ndo amekuwa wa mana sana mwanzo mbona hajaoneshwa mungu yupo lkin kwa kila hatuwa
Binadamu huwa galiwa mwisho wake atamalizia vp sio mwanzo upo
Shein alikua anachagua mskiti...kipenzi cha wazanzibar. ..ameondoka
Pumzka kwa Amani mwamba wa Zanzibar
Innalillahi wainna ilayhi rrajiuun
رحمه الله
Nenda salama mpendwa wetu nasi tupo nyuma
inalilahi waiinailahi rajiuuni
Innalilah wainna ilah rajiun
Mungu mkubwa pingo.kwa wa zanzibar
Innalillah wainna ilaihi raajiun
Innalillah wa innailayhi raajiuun
Mother umefariki lakini maneno yako yatanifanya upo tu hapa moyoni na machoni.msimamo wako wa zanzibar wewe nitaasisi pekee innalillahi wainnailahi Raaj un
Kwann unamuita mother?wakati huyu ni mwanaume?
Sharifu kumbe ni sharifu.
In a lilac wayna ilahi
Maalim alikua na upeo mkubwa Sana
pumzika kwa amani baba
Wale wote waliofiwa na ndugu zao Allah awape wepec, kauli thabit marehemu wote. Na wagonjwa awape shifaa
Amiin
Ameen
Amiin
Jembe limetutoka innalillahi wainna ilahi rrajiun
😭😭😭😭😭😭