Mzee acha hizo nyinyi ni wajumbe ,jaji tuko tunawaona tu,mungu halali Wala hasinzii ccm mnaharibu wenyewe mna matusi tuite wanafiki mtakua kama aliye sema mungu anakojoa hovyo alipigwa na fimbo ya Musa muache mama ajipambanie sio kumuharibia kuita watu wanafiki😭😭🙏🙏2025
Yaaaani zee kama hili linasimama na kupngea ukende hivi. Astaghafilullah Yaaaani makamba anasema watu wazuri hawafi inamaa magu alikuwa mbayaa ? Allah atawapaza ktk anga hamtakufa na kuoza
Kumbuka nawewe apo ulipo ni binadamu na uko chini ya Mungu kua na cheo isikufanye uwezu kumblaspherm Mungu nakuhakikishia Mungu halali ipo siku na nyie mnaotapeli na kututesa watz Mungu atateta na wewe mzee makamba
Ukumbi mzima hapo wanashangilia Kila mtu anajua anavopiga ela upandewake hii nchi bila kucharangana mapanga kwenye maandamano watatutawAla milele 🤛🤛🤛🤛 ndoige mawe rungu mapanga vinaitajika machoko nyie
Kiukwel nataman saana.....Samia asome hiz comments za watanzania wazalendo wengi huku mtaani ambao ukwel na uhalisia ndio huu....hizi kelele na hayo makofi hapo ni uongo mtupu....R.I.P JOHN JOSEPH MAGUFULI.....mzalendo wa kwel na msema kweli daima!
Kamaa unajijuaa wewe n mbunge w jimboo fulani katekeleze uliyoyaahid kwa wananch wako. Kamm uliahid umem, maji n afya bora kwa wananch w jimbo lako tekeleza. Usipotekelez jiandae 2025 . Ikifik 2025 mmbunge wangu aliyechaguliw 2020 Mimi sitamp kurayangu kwasabab umeme sijapat had Leo tulipeleka hela y nguzo , baadae hela tulirudishiw at nguzo zimeisha!!!!!!! Mimi ninachojiuliz mtu akienda kulen hela hongoo Umeme wanamuwekea tena kwa harak lakini watu w vipato vya chini atuwekew kwa harak. Kijiji ambachoo akijapat umeme Ngasene kitongoj cha Neus ambacho kipo rombo user Mashim. Baadhi y hicho kitongoj umeme wanao. Mmbunge w rombo naomb fuatilia Hilo.
Naupinga vikali msemo wa kusema watu wazuri hawafi hapo si bure wenye akili wameelewa maana na hata wakidunda ipo siku kila nafsi itaonja mauti ni siku yao tu haijafika walikuwepo majemedari lakini leo ni historia tu imebaki Tumuogope Mungu jamani hivi dunia tu tutaiacha tujitahidini tukumbukwe kwa wema na sio kwa mabaya KIZURI HAKIDUMU
Wazee wamechanganyikiwa,sio Kwa kujipendekeza huko,jamn usiombe mwanaume ajipendekeze yaaani mpaka anaharibu kabisa,hapa wana ccm mmefungw midomo hakuna kuchukua fomu kaeni kimya mpaka 2010 hio watu wafanye yao watu hawatoi mapovu bure,namkumbuka Magufuli,waziri wangu mkuu Mungu akutunze.
Kwa akili yako unadhani Makamba hajui kama Kuna kifo? Msemo tu huo nyie watu wabara na kiswahili chenu cha darasani, Watu wazuri huwa hawafi maana hutajika na wanaishi nasi kama Mpendwa wetu Magufuli
@@ndukulusudikucho_ mim nilimielewa alivosema watu wazuri Hawafi ikimaanisha kua ata akifa anakua anakumbukwa na mazuri yake ndo maana wa huo msimo ila alkuja kunishangaza alivotoa mfano kua ndo maana mzee kinana yupo na mzee jakaya yupo bado , hapo ndo knichangany maana ake akimaanisha watu walikufa ni wabaya., kwaiy hio kaul yake bado sio nzur angeeishia tu kua watu wazur hawafi apo saw ila kaarb alivotoa mifano ya walohai
Kwani huyo mzee bado kiongozi CCM aaah vijana nao wapeni nafasi eti wanzuri hawafi ya kweli hayo ina maana kumbe huyu mzee ni mnzuri na hafi basi sawa Mungu ni mmoja huyu huyu!
Sasa tunaamini kifo Cha Magufuli inashangaza sana kuona mnaongea kwa furaha maana hitaji lenu limetimilika lkn nawaambia hamko juu ya mungu, tupo hpa haiwezekni sasa mnajitokeza wazi kabisaaah mchna kweupe wanga wakubwa mnarudisha nchi nyuma ili familia zenu zineemeke 😭😭😞😞
hivi nawaza kimoyomoyo Jpm alivyokuwa anapiga pushap kwenye kampeni vile mm huyo mama itakuwaje hebu upinzani leteni mtu makini 2025 tufanye mabadiliko
Wapumbavu wote nyie pamoja na makamba wenu magufuli alikuwa rais bora kabisa kwetu watanzania alifanya mengi lakini jueni kizuri hakidumu kibaya kinadumu magufuli alitufumbuwa macho hawa akina kikwete samia makamba nape mungu atawanyoosha kwa viburi vyao hawana lolote tunamuomba mungu awalaani wote hawa
Mzee wa kuongea pumba,eti wazul hawaf ili zee jinga kweli, chama Chenu kisharud Kule kilipotoka chama cha watu fulan, eti wazee wa chama ndo sisi, jinga sanaa hili zee, hongera mama samia nakupenda hila mimi hili zee naona likualibia tuu kauli zake za kipumbav sanaa
Unajuwa mzee kajichangaja jamuul ya muungano aina raic kwasababu raic uwaana changuliwa na wanaichi au anaingia kwakatiba ya ichi uyo nilaic wachama cha ccm sio raic waichi kweli kamakuna mtu anasema raic wa nchi kachaguliwa na nani?
Kinaitwa Kiburi cha Uzima, Yesu Kristo Umesikia.
Kafa kipenzi cha Mwenyezi Mungu mtume Muhammad
Bora umemwambia maana haelewi hata
Watu wazuri awafi ni kufulu hiyo
kujitambua ndio somo no1 duniani,endeleeni kujifurahisha watuWazima tunawachora tu.
Hahahahahhh
Rip Julius kambarage nyerere, Rip john Pombe magufuli
Daah inasikitisha sana yaani mzee anaona Tanzania ni sawa na kampuni ya mtu. Mzee zama zimebadilika angalieni kwanza wananchi wana upendo gani na nyie
Ila Mzee kwa kauli yako hiyo ya watu wazuri hawafi ina maana magufuli alikua mbaya ee duh ya mungu ni mengi hata nyinyi mtakufa tu One day
Akifufuka anaweza zimia haaaaaa
Nayeye siku yake itafika ih ni dunia tuuu
Hapa mama magufuli yupo hapo ,anasikia kwamba watu wazuri hawafi , kinana yupo,kikwete yupo, maana yake magufuli ni ......R I P JPM
Ni Msemo tu huo, kwa akili yako unadhani Mhe Makamba hajui Kuna kifo? Ila Watu wazuri Hawafi ni msemo tu ,watu wazuri huishi nasi milele
@@ndukulusudikucho_ Acha kutetea ujinga uliingia akili mwake?
Hatari Sanaa...nimeisikia hiyo aisee
@@ndukulusudikucho_ Eti msemo????
Kweli kauli hii ukiitafsiri,huyumzee amemaanisha jambo
I LOVE MY PRESIDENT SAMIA LAKINI HILI ZEE LIMEZUNGUA HATARII
Mwaka huu hatuwachagui
Mzee acha hizo nyinyi ni wajumbe ,jaji tuko tunawaona tu,mungu halali Wala hasinzii ccm mnaharibu wenyewe mna matusi tuite wanafiki mtakua kama aliye sema mungu anakojoa hovyo alipigwa na fimbo ya Musa muache mama ajipambanie sio kumuharibia kuita watu wanafiki😭😭🙏🙏2025
danganya haohao hatupigi kura wapiga kura ni nyie kwani labda muibe
mnafiki sana hata ww utakufa nyau ww, kazi kujishaua na mazuzu yanapiga makofi mabwege
Yan wewe Mzee ungejua mwanao anavyokwaza watz usingepata hata hyo jeuri ya kusimama hapo.Mzee wa Busara Insp Haroon
Ww mzee mshenzi sana Kama mchawi vile
Ngoja nicheke kidogo hahahaha,2025 mkirudi wote bungeni kama Sasa hivi ,mnitafute Niko paleee nimekaa
Yaaaani zee kama hili linasimama na kupngea ukende hivi. Astaghafilullah Yaaaani makamba anasema watu wazuri hawafi inamaa magu alikuwa mbayaa ? Allah atawapaza ktk anga hamtakufa na kuoza
tutakupiga mayai viza cku moja
Kujipendekeza tu ,wazee wengine ,eti watu wazuri hawafi ,mmekuwa Mungu sasa .
Imeniuma sana hii kwakweli yani
Ndio maana yule jamaa aliwaita chama cha mambuzi
Kazi bado ipo vijana nendeni shambani
2025 yanatokea maajabu hamtoamini
Mungu atusaidie,natamani iwe hivyo.
Kumbuka nawewe apo ulipo ni binadamu na uko chini ya Mungu kua na cheo isikufanye uwezu kumblaspherm Mungu nakuhakikishia Mungu halali ipo siku na nyie mnaotapeli na kututesa watz Mungu atateta na wewe mzee makamba
Ukumbi mzima hapo wanashangilia Kila mtu anajua anavopiga ela upandewake hii nchi bila kucharangana mapanga kwenye maandamano watatutawAla milele 🤛🤛🤛🤛 ndoige mawe rungu mapanga vinaitajika machoko nyie
Kiukwel nataman saana.....Samia asome hiz comments za watanzania wazalendo wengi huku mtaani ambao ukwel na uhalisia ndio huu....hizi kelele na hayo makofi hapo ni uongo mtupu....R.I.P JOHN JOSEPH MAGUFULI.....mzalendo wa kwel na msema kweli daima!
Kabisaa
Kamaa unajijuaa wewe n mbunge w jimboo fulani katekeleze uliyoyaahid kwa wananch wako. Kamm uliahid umem, maji n afya bora kwa wananch w jimbo lako tekeleza. Usipotekelez jiandae 2025 . Ikifik 2025 mmbunge wangu aliyechaguliw 2020 Mimi sitamp kurayangu kwasabab umeme sijapat had Leo tulipeleka hela y nguzo , baadae hela tulirudishiw at nguzo zimeisha!!!!!!! Mimi ninachojiuliz mtu akienda kulen hela hongoo Umeme wanamuwekea tena kwa harak lakini watu w vipato vya chini atuwekew kwa harak. Kijiji ambachoo akijapat umeme Ngasene kitongoj cha Neus ambacho kipo rombo user Mashim. Baadhi y hicho kitongoj umeme wanao. Mmbunge w rombo naomb fuatilia Hilo.
Naupinga vikali msemo wa kusema watu wazuri hawafi hapo si bure wenye akili wameelewa maana na hata wakidunda ipo siku kila nafsi itaonja mauti ni siku yao tu haijafika walikuwepo majemedari lakini leo ni historia tu imebaki Tumuogope Mungu jamani hivi dunia tu tutaiacha tujitahidini tukumbukwe kwa wema na sio kwa mabaya KIZURI HAKIDUMU
Kaa kimya, huna lolote huo mwingi uko wapi, bora aache kazi tu maisha magumu
Ndio maaana mgeni yule wa jana ktk mkutano wenu aliwaita chama cha mambuzi
Inamana Makufuli sio Mzuri ww Mzee rekebisha maneno yako Mungu hapangiwi
Mmmmh mzee mbona unafanya kufuru tena dah! R.i.P magufuli no one special like you.
Wazee wamechanganyikiwa,sio Kwa kujipendekeza huko,jamn usiombe mwanaume ajipendekeze yaaani mpaka anaharibu kabisa,hapa wana ccm mmefungw midomo hakuna kuchukua fomu kaeni kimya mpaka 2010 hio watu wafanye yao watu hawatoi mapovu bure,namkumbuka Magufuli,waziri wangu mkuu Mungu akutunze.
Ee mungu nijalie roho ya subira dhaa! Wazuri awafi akiwa na maana gan? mungu iv tz utuoni onyesha ukuu wako basi😔😌😌
Kwa akili yako unadhani Makamba hajui kama Kuna kifo? Msemo tu huo nyie watu wabara na kiswahili chenu cha darasani, Watu wazuri huwa hawafi maana hutajika na wanaishi nasi kama Mpendwa wetu Magufuli
@@ndukulusudikucho_ Ubongo Wako Una Mavimavi Mkuu! Acha Kutetea Ujinga!
@@ndukulusudikucho_ mim nilimielewa alivosema watu wazuri Hawafi ikimaanisha kua ata akifa anakua anakumbukwa na mazuri yake ndo maana wa huo msimo ila alkuja kunishangaza alivotoa mfano kua ndo maana mzee kinana yupo na mzee jakaya yupo bado , hapo ndo knichangany maana ake akimaanisha watu walikufa ni wabaya., kwaiy hio kaul yake bado sio nzur angeeishia tu kua watu wazur hawafi apo saw ila kaarb alivotoa mifano ya walohai
@@imamuhamisi4421 manaake mpango uliandaliwa kabisa ili kuwamaliza wale walikuwa wanakwamisha mambo yao doh! Nchi ngumu sana hii
Wewe makamba kesho january akitimuliwa kwenye kiti utamgeuka samia
nyie jidanganyeni mmtukane kipenzi cha watu ila tutakutana 2025 hata sisi wana ccm tumechoka
WAZEEE WANAFKII HAWAA, KWAIYO NYERERE, MKAPA NA MAGUFULI NI WABAYA
mungu tusimamie Hali mbaya
mungu atawanyooosha naa misula iyoooo
Ukisikia mtu mzima hovyo ndio hili zee.
Hakuna lolote tusubilie tuone msijitape sana ....wanafki wa kubwa nyinyi dunia inawatazama
Kweli hiki chama hakina mambo ya msingi, badala tujadili maji na umeme mnaendesha masengenyo, dah!!!!
Mkimsimamisha Samia hatumchagui
Bahati mbaya zaidii ccm watatawala milele yote tz...nimewachoka kinoma natamani hata azaliwe mtu mwingine tu awapindue haki ya naniii
Pumbavu zako.....
Kwa akili hii kwanini tushangae kukosa umeme na maji?
Wazeee wa hovyooo 😏😒
Makamba unakera mzee wangu mfunze mwanao Anamhujumu mama njaa tu
Wazee kama Hawa Kwa nchi hii enheeeee.....! subirini
😁😁😁
huyu mzee mnafiki na utakufa vibaya zee zima uvyo
R.p magufuli
Unamanisha magufuri alikuwa mbaya wew mzee siyo?hicho kibur chako na waramba asali wezio kina mwisho wake hata nyie mtakufa tu mpuuz mmoja wew
Upumbavu huu ni wakushangilia kweli? Nyinyi sio Mungu!
Watuambie vizuri wabaya wakina naniwamekufa nyie mjozime data tutaona serazamagufuri zitapo waburuza ccm wakizitumia wapinzani kajenga kirakitu ata kipofu anajua Samia kafanya nn wazuriawo awafi watanzania tukiichaguaccm tutaendere kum weka rais Arie. Inje Kama kivu ira sautoyake ndio inaongoza nnchi ccm wakweri wanasabika majariwa bashiru porepore bashungwa jafo makonda bashi mwagama ndugayi mpina wariobaki mafisadi navibaraka was mstafu
Taifa likiendlea kuwa na wazee wa aina hii n hatar sana
RIP Alileta ndege mpyaaaaaa!!!!!!!!!!!
Ushabiki na upambe ndio unaifanya taifa letu lisiendelee.
Kwani huyo mzee bado kiongozi CCM aaah vijana nao wapeni nafasi eti wanzuri hawafi ya kweli hayo ina maana kumbe huyu mzee ni mnzuri na hafi basi sawa Mungu ni mmoja huyu huyu!
Mkitaka kukosa kiti mrudisheni uyo bimkubwa 2025 🙂
CCM IMEFIKA MWISHO UYO MAMA LUMA NA WEWE MWENYEWE KUMA WEWE MZEE MJINGA SANA
Mungu hanawaona
Uzuri rais wetu anajitambua na anauelewa .hao wengine njaa zinawafanya walopoke .achaneni nao.
Nchi imeingia waramba tukutane 25
Hili zee linawaza hela tu Sasa wawapigie kampeni wabunge
HUYU MZEE 😂😂😂😂 hii ndio inaonyesha na wao wanazeeka siyo wenye akili tu
Sasa tunaamini kifo Cha Magufuli inashangaza sana kuona mnaongea kwa furaha maana hitaji lenu limetimilika lkn nawaambia hamko juu ya mungu, tupo hpa haiwezekni sasa mnajitokeza wazi kabisaaah mchna kweupe wanga wakubwa mnarudisha nchi nyuma ili familia zenu zineemeke 😭😭😞😞
Huu sasa ni ubabe!!! Na anawatisha watu wasichukue Form ya Uraisi
Kizuri hakidumu
Imeisha hyoo
WATANZANIA MNAMSIKIA UYU BABU KACHANGANYIKIWA NA DAMU ZA WATANZANIA WALIOWAUA
Ni kazi sijui mhh
MZEE ANAONGEA SANA MPAKA ANTOKA KWENYE BUSARA
Unayo yatamka mzee mngu akusamehe sana
Maendeleo Tz ni ngumu sana , hii nchi ije itawaliwe Tena
Upuuzi upuuzi tu
Bora ukalee wajukuu kama unao ila wasifuate ujinga wako una Akejeli akina mkapa nyerere, .a magufuli, we hovyo sana au unataka ajira?
hivi nawaza kimoyomoyo Jpm alivyokuwa anapiga pushap kwenye kampeni vile mm huyo mama itakuwaje hebu upinzani leteni mtu makini 2025 tufanye mabadiliko
Chama Cha wapigaji
Watu wazuri ndio hufa ili wasitende dhambi...wabaya wanabaki ili wapewe mda wa kutubu
hakuna kitu
Mmeferi oneni Rana mafuriko kirakona magu atakumbukwa kamanyerere 2025 chadema
Huyu mzee punguwan sana maneno mengiii
YANI WEWE MZEE SHOGA WEWE MUUAJI
Pamoja na kwamba amezeeka lakini hayo maneno yana chuki ndani yake
Wapumbavu wote nyie pamoja na makamba wenu magufuli alikuwa rais bora kabisa kwetu watanzania alifanya mengi lakini jueni kizuri hakidumu kibaya kinadumu magufuli alitufumbuwa macho hawa akina kikwete samia makamba nape mungu atawanyoosha kwa viburi vyao hawana lolote tunamuomba mungu awalaani wote hawa
Akae afikirie yeye ni mtu mbaya ndiyo maan kaisha mpk leo dunian (akumbuke mungu ana makusudio yk kuwaacha ili watende maovu saana
Watu wazuri hawafi ndio maana Kinana bado yupo na Jakaya bado yupo sio mm ni Mzee Makamba ndio amesema hivyo
WATANZANIA TUAMKE ATUWEZI KUWISHI NA MAJAMBAZI WAUAJI CCM WOTE WAUAJI
Samia,kikwete,hawatakufa wao ni wazuri
Huyu Mzee kaanza kuishiwa kwa hiyo walimuita mama Janeth Magufuli kuja kumwambia kwamba Magufuli alikuwa mbaya ndo maana alikufa,ila wazuri hawafi?
Huyu mzee ni wa kumsamehe bure,na kumuachia Mungu
Hiki kize kishetan kweli huyo masamia ndo mzuli amefanya kipi
Upuuzi mtupu.
Sijui mnatuchukuliaje tu Yaani wanatuonaje hata sielewi wanaongea pumba tupu kwa hiyo kampeni zishaanza!? Na vyama vingine waanze!? Au kitaumana!?
ampe nani kura nyingi uyo mm🙆♀️🙄🤫🤫
Kumbka kila nafsi itaonja mauti! Hakika ww Mzee haujielewi" Kama si laana,basi.....
Mzee wa kuongea pumba,eti wazul hawaf ili zee jinga kweli, chama Chenu kisharud Kule kilipotoka chama cha watu fulan, eti wazee wa chama ndo sisi, jinga sanaa hili zee, hongera mama samia nakupenda hila mimi hili zee naona likualibia tuu kauli zake za kipumbav sanaa
Sijajuakama hawawatu wanaoshangilia kama wanajijua maana kushangilia ujinga niujinga
Hapo mm kura yangu haipo kbs
Ndio waone hawa mi raiya wanayoipenda ccm hawana viongozi wehu hawa wanajali matumbo yako Mzee fyatu
Basi ngoja tusubilie umemchokoza Mwenyezi Mungu.
WATAKATIFU WALIOKO MBINGUNI WALIKUFA AU WALIENDA HUKO KWA MIGUU?
Unajuwa mzee kajichangaja jamuul ya muungano aina raic kwasababu raic uwaana changuliwa na wanaichi au anaingia kwakatiba ya ichi uyo nilaic wachama cha ccm sio raic waichi kweli kamakuna mtu anasema raic wa nchi kachaguliwa na nani?
Timu ccm imerudi tena uruma uyu Mzee so wakumlaumu akili zake aziko sawa zama zimebadilika nyi jitekenyeni tu wenyewe namujichekeshe wenyewe
Ukiona Maneno Yako Hayana Umuhimu Ni Bora Ukae Kimya
kwakweli
Umeshamaliza mzee wangu Makamba
Mzee mi ni mjukuu Yani ni mtoto sana aisee ila kauli ya kusema watu wazuli hawafi maana yake nyie mna uzuli gani zaidi ya unafiki tu