اللهم أغفر له وارحمه وعافه واعف عنه واكرم نزله ووسع مدخله واغسله بالماء والثلج والبرد ونقه من الخطايا كما ينقى الثوب الأبيض من الدنس وابدله دار خيرا من داره واهلا خيرا من اهله وادخله الجنة واعذه من عذاب القبر و من عذاب النار
Tutakukumbuka sana maallim wetu hasa nikikumbuka hiyo kauli ya kusema "USIPOKUWEPO WAFUASI WAKO WATAPATA MADHARA MAKUBWA" Allah atufanyie wepesi na mabalaa ya maadui zetu
CCM NI WIZI WAZANZIBARI SI WAJINGA WAKUBALI KILASIKU KUIBIWA NA TUENDESHWE KI NYAMA WANASEMA BONGO HAENDELEI BILA ZANZIBAR NDO MAANA WANAIKANDAMIZA HIVYO LAKINI HATUKUBALI WAZANZIBAR SI WAJINGA NI WATU WA KUBUNI KI BIASHARA NA AENDELEO SIO KAMA WAO WABONGO, TUPIGANE ZANZIBARI IPEWE MALAKA KAMILI. ONLY GOD WE RESPECT
Asalama aleykum mm namuona apo Mansuri km mnafiki kutizama kwake na kucheka, msipe ukubwa kachomekwa na CCM uyo. Anamuona km Maalim Sefu hafai. Lk sahivi je atakwenda wapi Maalim Sefu akamkimbia😂😂😂😂😂, BC muache aendeleze Chama. Think before you done
Allah amjaalie mahali Pema Peponi Maalim Seif Sharif Hamad MPENDWA Wa Wazenjibar😭😭😭
Allwah akurehemu maalim mteteziwetu😥
Mwenyezimungu akulipe kheri malim seif kwakutetea zanzinbar yetu mw mungu akupe kaul thabit
اللهم أغفر له وارحمه وعافه واعف عنه واكرم نزله ووسع مدخله واغسله بالماء والثلج والبرد ونقه من الخطايا كما ينقى الثوب الأبيض من الدنس وابدله دار خيرا من داره واهلا خيرا من اهله وادخله الجنة واعذه من عذاب القبر و من عذاب النار
Shein,atakuja kukulipa haq yako,Allah akurehem maalim wetu
Walio mzulumu maalim sefu na wazanzibar wajiandae kesho mbele ya haki Allah ametoa ahadi kwa alie dhulumu
Huyu Elfu 2015 alishinda uchaguzi yaani mungu paka anajua
Allah ampe kaul thabit amiin ila dunia imepoteza mtu hapa
Mola ukuingize katika pepo yke na jecha atakulipa huko kwani nae ameshaondoka
Cku akifa Shein.....Laana atakazolaaniwa cjui itakuwaje
Unakubaliwa na wanzazibar mbaya kabisa mungu atakupigania
mtizame kiyongozi anaejali utu siyo kitu kwa watu hatupati tena kiyongozi kama huyu anajali zanzibar kwanza siyo kitu chengine tutamkumbuka amin
رحمه الله
فل جنة إن شاء الله
Wewe utabakia kua rais wetu WA wazanzibari hata wafanyeje
khakeem afro
Leo hapa ndo utakua kama seif ni mkweli na sio mkerrketwa msikilizeni vizuri anachokizungumza anajitoa makosa ya watu wake
kweli ulikuwa sawa baba kwani hatamtu anapotaka kuowa bac husema wanarohomba tu
pole sana huna bunduki ndo yote ila haki haipotei jpo mjuuku wako ataipat kma kweli haki yako
ua-cam.com/video/0TtuuMjFvNo/v-deo.html
kweli kabisa baba
.
Tutakukumbuka sana maallim wetu hasa nikikumbuka hiyo kauli ya kusema "USIPOKUWEPO WAFUASI WAKO WATAPATA MADHARA MAKUBWA" Allah atufanyie wepesi na mabalaa ya maadui zetu
Malim hakika ulidhulumiwa sana Allah atakulipia inaskitisaha sana ulikuachagua hasa la wazanzibari
Kwazulma.aloifanya.sheni.mwenyezi.mungu.ampe.umri.mrefu.wenyekufezehesha
oo
maalim seif wewe ni kila kitu kwetu sisi wazanzibari
ua-cam.com/video/0TtuuMjFvNo/v-deo.html
CCM NI WIZI WAZANZIBARI SI WAJINGA WAKUBALI KILASIKU KUIBIWA NA TUENDESHWE KI NYAMA WANASEMA BONGO HAENDELEI BILA ZANZIBAR NDO MAANA WANAIKANDAMIZA HIVYO LAKINI HATUKUBALI WAZANZIBAR SI WAJINGA NI WATU WA KUBUNI KI BIASHARA NA AENDELEO SIO KAMA WAO WABONGO, TUPIGANE ZANZIBARI IPEWE MALAKA KAMILI.
ONLY GOD WE RESPECT
We jidanganye tu bro,magufuli anawambia jaribuni kuandamana alafu muone chamtemakuni
@@kitalechapombe6602nyinyi akina Pombe mkisha kunywa pombe yenu mnataka kuua wapinzani tu. Wauwaji wakubwa.
Magufuli kaiwacha nchi bila yakutaka
pumzika baba
Mmh
sauti iko wapi bandugu??!!
Unatudanganya bana nenda huko kalale na wajukuu zako
Asalama aleykum mm namuona apo Mansuri km mnafiki kutizama kwake na kucheka, msipe ukubwa kachomekwa na CCM uyo.
Anamuona km Maalim Sefu hafai.
Lk sahivi je atakwenda wapi Maalim Sefu akamkimbia😂😂😂😂😂, BC muache aendeleze Chama.
Think before you done
Mansour anaumwa na Zanzibar, hatukustahili kuwepo hapa tulipo ,Nansour ana uzalendo sana .
huna lako wewe chachi mbadhirifu mkubwa wewe hii nchi huipati ng'o ukitaka nchi nenda Omani ukapewe jiko upike
Kwn nchi hii yakwako hishimu wazee wa wezako
Ahmed the legen true legend mama yako labda akapewe jiko mshenzi mtumwa wa wagagagigi koko
wewe hujitambui usilete ukabila.
Inshaallah ataipata wewe kama nani mpe hilo vutu akufire
Kauliyakohii utakwenda ithibitisha mbele ya Allah,amesha jiondokea umebaki wewe na ushahidi wako
.