HUTBA NZITO YENYE MASIKITIKO YA MAREHEM MAALIM SEIF TAREH 27 MWAKA 2001 ZANZIBAR
Вставка
- Опубліковано 26 січ 2024
- TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID.
#Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi
#Muuminina #Dida #Juhuditz #Al-Muuminin #Adila
#Mwanacha #Afnania #Stumai #Zuchu
#muminina #Qadiria #zanzibarqaswida #AFNAANIA #DIRECTORONE.T #Future Tz #Wasafi Media #ZMASTORY #Juhuditz #JUMAFAKIH #ZanzibarQaswida #AQAZStudio #Al-muuminin #YasmediaTv #stumai #zbc #tbc #futuretz #youtubeislife #subscriber #youtubeguru #youtubecontent #newvideo #subscribers #youtubevideo #youtub #youtuber #youtubevideos #youtube #youtuber #youtubechannel #revolutionreal #blacksmokeyeye #smokeyeye #glow #glowingskin #discoverunder5k #discoverunder10k
😢😢allah akurehemu Bado tup na msimamo wetu pamoja na makamo wetu Omo allah atatufikisha na tupata uhuru wetu
Allah mrehemu kipenzi cha wazanzibari.kmwe tutakukumbuka.
Asante tupo pamoja
Tulikupenda Allah kakupenda zaid kipenzi chetu tunaimani na wewe hata kama hupo haturudi nyuma inshaAllah mpaka dhulma ya nchii hiii iondoke kabisa ipate haki yake na haki zetu maneno yako tunayaishi katiba mpya tumehuru inshaAllah Allah akupe kauli thabiti munganishaji wa wazanzbar wote ahsante ❤
Allah ampe malazi mema.Alihujumiwa toka enzi ya Nyerere mpaka Kikwete.Allah atahukukumu.
Allah amrehem maalim na ampe ampe maisha mazuri huko aliko😂😂😂😂😂😂😂
ALLAH akupe hifadhi njema huko uliko Maalim Seif Sharif Hamad Mjaka na ajeakupe kitabu chako kwa mkono wa kulia INSHAALLAH ❤❤❤
Dah Mungu ibariki nchi yangu Zanzibar ❤
❤
Allah atupe uokovu wazanzbar na amrehem maalim. Huko aliko nasi atupe khatma njema.
Maalim Mungu amruhemu alikua kiongozi na nusu hakika tumepoteza kiongozi
Mwenyezi Mungu akueke penye kheri nawe ❤ AMIIN😢
Allah amrehem maalim wetu
Allah maghufirillah warahamah wanasqanat filjannat
Allah akurehem
Alie mdhulumu huyu mzee na WA Zanzibar wajitafakari kabla hawajalala makaburini
Allah amrehem
Wazanzibari Murudi kwa Allah ndio mueze kuipata Amani
Kweli dunia ni mapito tu jsi tuliyo mpenda huyu leo hatunae tena mungu asamehe maksa yk ila inauma tulivyo teseka na kuuliwa ndugu zetu kw jambo la dunia tu maana siasa km biashara ukiwa marakani husahau hayo ila ukstaafu unafilisika maana najuto yanakujia umeua ili upate ulua duu mm binasi kaka yang kauliwa sitosamehee
Huyu hakua ivo namna mnavomfikira hapana bali uadilifu uajibikaji uzalendo haaswa ndio ilikua dira ya maisha yake Jina ama jukwaa LA Chama ilikua nikama daraja tu LA kumvusha kuelekea mahala husika ama kwenye kutimiza malengo
Allah amlipe kheri zake huko alipo maisha yake yote kaishi kutetea watu
Hawa CCM Sera yao Kubwa ni kuuwa watu wao si kosa ni kawaida tu. Lakini hao waliowamrisha kuwauwa Yuko wapi Mkapa na Amani Karume jitayarishe na Umauti unakungoja na dhuluma ufisadi uuwaji wizi utakwenda kujibu mbele ya Allah
Ameen Ya Rabi Allameen In shaa Allah.
Allah akusamehe ulipoteleza km BINADAM maalim, Allah akuondeshee adhabu za kabri na sisi Allah aturuzuku mwsho mwema, Ameen
Será yake kubwa ilikuwa ni Zanzibar kwanza
Radhiallahu anhu maalim seif
Yaaani anaongea kwa hisia kali sana😭
I❤ Zanzibar
Watakiona hao walofanya hivo wala hawatapata salama leo walouwa wako wapi olouwa olotoa amry wote hawana salama mkapa yuko wapi
Huyu akiongozi mshipavu na uchungu wa zanzibar hatupat kiongozi km hyu ktk zanzibar
Allah amsamehe makosa yake
😢😢😢😢😢
Kuuwa ni kawaida kwao Hadi leo hii ili mtu awe madarakani Ila kila nafsi itakufa na italipwa
Waliowauwa wenzao walio wengi nao weshakufa
Ccm na andazi bora nichague andazi ahsant kw kutufungua akili
Dah ukweli mtupu
Mbn umewek fupi bos wetu
😭😭😭😭
❤