R.I.P JPM 🙏🏼 kiukweli ulisema tutakukumbuka na kweli yametimia na kwa Hali hiii 😭😭😭😭Mzee akiona maji yanatoka kwake na umeme anajua na huku kwetu upo which is wrong
Yaani hayo ndio majibu ya Mheshimiwa kwa mwandishi: Atamkacho mtu ni kile kilichoujaza moyo wake. "...chuo kikuu umekijenga na baba yako?" Mioyo imejaa viburi tu.
Ili uulize lazima uwe nacho brother, yeye kama kiongozi alitakiaa kujibu swali na sio kuongeza swali tena la hovyo wakati watu wapo kwenye mateso. Kazi sana
Taifa (Nchi) halifananishwi na familia ( Nyumbani) kwa kuwa baba hakusanyi kodi kwa mke na watoto hivyo ni tofauti sana kama watu wanalipa kodi wanahki ya kuhoji kwa nini tunakosa maji na umeme siyo kupata majibu ya kejeli eti umesoma wewe ? hapo ni sawa na kuambiwa swali la mjinga
Huyu mzee siku nyingi maneno yake ni ya dharau anajisikia watanzania ni wapuuzi tu toto wake kushika hiyo nafasi ndiyo kosa ole wetu watanzania wa kipato cha chini hatujui tunaelekea wapi. Huy
Ukiulizwa swali unaxhindwa kujibu unakuwa mkali lakin saizi 2ko kwenye umeme wa mgao lakini kuanzia mwaka 1915hadi 1920 umeme ulikuwa unawaka kila siku kwann 1922 umeme unazima kila siku?
U N P R O F F E S I O N A L. Hawa wanajikutaga nani kwani? Yaani ni kama sisi ni Wapangaji kwenye hii nchi na wao ndo wenye nyumba. Hatutaacha kusema as long as yanatuhusu. Kama ukikata umeme unanikatia mimi usije kutegemea eti ninyamaze. Hatutaki hatukaki, na mnajua mkiweka NEC huru hamtoboi kwa maana Wananchi kweli hawawakubali. Na haya sio matusi, huu ni U K W E L I.
Mzee acha ubabe na udikteta, kwani ulikaa miaka mingapi Serikalini na mbona haujatatuwa matatizo ya maji na umeme? Na je kwako huwa unapewa maji na umeme kwa mgao? Ukweli huwa unauma na Ndiyo maana unapanik.
Mtoto wake si ni waziri Sasa atasemje kiwkwete si mtoto wake waziri ata semaje Sasa umewasikia amabao Awana WATOTO selikalinj ataongea huo upuuuz umeme unasimamiwa na mtoto wake atasemaje unazani waaache wapige pesa hao
Leo makamba anakoroma Kuna Jambo nyuma ya pazia rip magufuri
Wenye nchi eti ndio hawa duuh r.i.p mzee wetu magu
Magu ndo katuachia nchi ya kijani coz akuwa mkwel kwene uchaguzi kwaiyo ye ndo ametuachia ichi kitu.
Acha tu kaka
R.I.P JPM 🙏🏼 kiukweli ulisema tutakukumbuka na kweli yametimia na kwa Hali hiii 😭😭😭😭Mzee akiona maji yanatoka kwake na umeme anajua na huku kwetu upo which is wrong
Magu sifa zilizindi akaiba uchaguz ndo aya matokeo ya chama kimoja
Ingependeza..zaidi endapo mzee wetu ungeomba radhi..kwa kauli hizi kibinadamu hazifai.
Kama hapa ndipo ushauri wa nchi unapotokea ngoja tuendelee kuwa kichwa cha mwendawazimu.
Watanzania tuna kazi kubwa kwa wazee wa namna hii
Kwa kweli watanzania tunakazi kubwa Sana mafisadi haoooo.....kazini
Makamba hivi umzima kweli
Mpoto aliwahi kughani
Mzee makamba c mstarabu anakiburi sana
Huyu ndiye Mzee Yusuf Makamba Mkuu wa Mkoa wa zamani Dsm. Kweli umetisha Mzee wangu kwa majibu yako
Katisha Nini Sasa mim sijakiona alicho tisha
Mzee makamba povu kinamtoka swali dogo tu la changamoto ya umeme na maji majibu hana. R.I.P magufuri wengine wapiga hela tu
R.I.P baba Magufuri bado tunapitia mengi ya kukumbuka
Ww ni mpuuzi
@@antonywilliama2868 nikikujibu wewe watu wanaweza kutuona wote wa puuzi kabsaa sema iv nikwambie hongera wewe mwelevu wa kwa kupitia comment ya mpuuz
Huyu mzee ni kichaa.
Mzeee kacharukaaaa sanaaa leo
Kuhusu umeme sababu mwanae waziri wa nishanti
Umenene vyema na ndomaana anakuwa mbogo
Huyu mzee hovyo!!! Eti kuwa na shukrani kwa umeme unaokatika kila siku? Huyu mzee mlevi wa pesa tu!!
Zeee zima busara ziro
Hii nchi Ina wazee wa ajabu sana. Akili zisharudi utoton huyu kiumbe
Makamba unajikomba umesha zeeka hupati uwazili tena mpuuzi we
Hunalolote mzeemnafiki mkubwa Sana wewe
Mnafiki sana kwa vile mwanae kapewa uwaziri na kazi yenyewe haiwezi umeme tabu maji tabu vitu vyetu vinaungua
Mungu tusaidie Kama huyu ndo mzee wa nchi na mshauri!!
Huyu mzee hana maana
Kwelihuyu mzeehana akili hawando wazee wange sema wamezeeka
Yaani hayo ndio majibu ya Mheshimiwa kwa mwandishi:
Atamkacho mtu ni kile kilichoujaza moyo wake.
"...chuo kikuu umekijenga na baba yako?"
Mioyo imejaa viburi tu.
Uyo Mzee kazarilisha sana mwandishi wa Habali ningekua na mamlaka leo angelala ndani wiki nzima
Ni kweli, jeuri sana
Anazeeka vibaya huyo mpiga deal nani kamweka msemaji au unazi
Kwel kamzalilisha mwandish jmn duh mpk huruma
Makamba amechemsha. Majibu gani hayo. Ana kibri ili mwanawe abakie kule
Miaka 61 ya uhuru tuna watu wanaoshindwa kujibu hoja bali kutukana na kujifanya wao ndio wanaojua wanafiki
Nakumbuka ile kauli ya madebe lidai "sio kila mwenye mvi ana busara, hata wajinga pia wanazeeka",😋😋😋😋
Gwajima alisema hizo chanjo tuzichunguze kwanza tusije kuwa nanihii, mnaona sasa..
mzee ana ubabe mwingi halafu uwezo mdogo, comedian
Mzee huyu naona hajakasirika ila tu anaonyesha msimamo wake. Ukikutana naye mnacheka vzr sana. Watanzania nawajua wakipandisha utafakiri moto kumbe mbwembwe tu.🇨🇩
Wewe 2025 utafika??mungu tu aturehemu
Jamani wandishi poleni huyu mzee mnamgusa mwanaye jamani ndo maana anashindwa kuwasikiliza fresh ccm kura zetu hamtaziona 25 dadeki
Dahh!! Nchi hii haipo huru Tena, wahuni wanaendelea kutuburuza
Kwani we sio mzee ndg angu
Haki ya habari iko wapi?maskini mwandishi wa habari kazalilishwa
Mbona unashambuliana na mwanahabari
Mzee yuko emotional kweli kweli
Usilopenda kutendewa usimtendee mwenzioo hukum nihapahapa nasiombinguni
Lizee lenye akilimbovu hawandiyo tatizo lanchihii wauaji wakatili wenyeroho zakibinafsi, magufuli alitesa wapinzani yeyekashabikia akasema anawabatiza kwamoto kwakejeri ninashangaa jamii moja watzwamoja lakini tunauana kwawivu wamadaraka inatiaaibu Sana, lazima watz tuamke jamani hiininchiyetu sote , hila mbaya zamaccm zinarudisha taifa kubaya hawasominyakati Wala hawajifunzi kwalolote, raiawatz bilakuhofia tuwaondowe madarakani waovu hawamaccm wAbinafusi wachoyo nafitina zabure,
Kazi ipo RIP MAGUFURI
Magu amelala akaacha uongoz wa kijani hahahah sa RIP YA NN
Huyu mwandishi hakuwa smart sana kuna mambo halikuwa nayo kichwani sasa anauliza kwa jaziba ndio maana mzee akamjibu hivyo..
Hapna
Ili uulize lazima uwe nacho brother, yeye kama kiongozi alitakiaa kujibu swali na sio kuongeza swali tena la hovyo wakati watu wapo kwenye mateso. Kazi sana
KWENDA ZAKOO WE MZEE MJNGA
Taifa (Nchi) halifananishwi na familia ( Nyumbani) kwa kuwa baba hakusanyi kodi kwa mke na watoto hivyo ni tofauti sana kama watu wanalipa kodi wanahki ya kuhoji kwa nini tunakosa maji na umeme siyo kupata majibu ya kejeli eti umesoma wewe ? hapo ni sawa na kuambiwa swali la mjinga
Text ya msingi Sana umetoka...huyu mzee
Huyu mzee abafikiri nchi nikama nyumbayake anaunguruma Kama yuposeburenikwake
mzee makamba hajitambui
Bas mzee kama uwez kujibu kwa kutulia bas Acha tu mzee haina aja ya kufokea
🤭😅😅🤭🤭🤭🤭🤭 naona aibu Mimi , CCM HAMNA KITU NI MWENDO WA KULAMBA ASALI KWENDA MBELE
Makubwa umeme kwako hauwaki?😳😳😳😳 Naona aibu Mimi ,
Tanzania hii wakina mwijaku ni wengi sana
Huyu mzee siku nyingi maneno yake ni ya dharau anajisikia watanzania ni wapuuzi tu toto wake kushika hiyo nafasi ndiyo kosa ole wetu watanzania wa kipato cha chini hatujui tunaelekea wapi.
Huy
Amna ubora howowote mzee umezee ka unapigania ugali wakina makamba waendelee nauwaziri watubiye umeme Amna kwavile nyie mna majenereta ajui umeme Amna
Ccm tumeichoka usjitie Tamaa hamn hofu ya Mungu mmelasniwa
Jamaa kambana kimaswali mpaka kasepa
Huyu mzee kwa sasa anahadithi na nahau tu mwacheni kachoka mtamchanganya tu.Kama ndo ushauli wa nchi unatoka hapo mm kazi ipo
Sema kwelu mzee wangu
Ccm mnajitekenya wenyewe mnahaki kutokujiamini,kwahuu udhaifu,nanidham,mbovu.kaz naumri mnazeekea humor.
Mzee hajatumia busara, kama Mzee angetakiwa kutumia hekima ya juu kama Mzee
Duuh!for me no comment itoshe kusema iko shida kubwa🤔
Huyu c mzee ni mshenzi tu sasa ccm munashinda tangya lini daah ccm kuweni wakweli hiyi nchi imechoka sana
wezi wa kubwa kila leo wanaiba wao na watoto wao .huyo mzee ni pumbavu kweli kweli
Waandishi achaneni na uyo Mzee , ameshamaliza muda wake
2025 tukutane tukiwa hai bac ili mungu ajibu maombi ya watanzania
Uyu mzee kichaa fyuuuuuu😎😎😎
Mzee Amepanic sababu Waziri wa Nishati ni Mwanawe na amegus ndipo
Sasa huyo mwandishi kakosea nini wewe mzee unamatatizo
Huyu hana tena uwezo tena wa kupambanua mambo, msimpe nafasi ya kuongea mbele ya hadhara kwani anaonekana anaishi awamu za nyuma huko
Haya bhana
Eti anasema muwe na shukrani, watu wanalipa Kodi shukrani gani huyu Mzee anataka Watanzania wawe nayo.
Makamba Mpumbavu
Khaaaaaaaa mungu wangu
Ccm wameishiwa sera. Mzee kakimbia maswali anafurahia hela za wizi kwa mwanaye anashindwa kumkanya asaidie taifa
Makamba ni mbwa
Kweli kuna vichaaa ,hivi hawa ndowanatuongoza kweli???
Huyo mzee hazimo
Atakuja kugeuka mchawi siku zijazo.. sio kwa povu hiii
Magufuli kaondoka na vitu vyangu vyote. Treni ya mwendo kasi imeishia hewani
Huyu Mzee anaongea kiubabe dah kama ni hivyo dah je uongozi Tah tat hatari utafikiri ni siku ya kupigwa kura,
Mwandishi hajakosea kitu ila Mzee sijui kachukia na nin leo
We mzee hebu tuondolee upuuzi
Tumsamehe huyu mzee hakujipanga kuongea na wandishi wa habari hapo alikokuwa anaendelea ni kurusha makofi kwa mwandishi
Mpk huruma mwandish, mzee ana hasira duh
Wazee gn hawa jmn
Ivi makamba nae anahoja kweli
Huyu mzee anazeeka vibaya
😂😂😂😂 ujue makamba anachekesha saanaa.
Mzee jibu maswali acha kupaniki kisa umeme
Waandishi wa habari bwana hahahhaha wanaweza kukupasua kichwa
Ukiulizwa swali unaxhindwa kujibu unakuwa mkali lakin saizi 2ko kwenye umeme wa mgao lakini kuanzia mwaka 1915hadi 1920 umeme ulikuwa unawaka kila siku kwann 1922 umeme unazima kila siku?
Sasa hiv wanaviburi San hawa mafisadi tumerudi kule unanijua mimi ni nani?
U N P R O F F E S I O N A L.
Hawa wanajikutaga nani kwani? Yaani ni kama sisi ni Wapangaji kwenye hii nchi na wao ndo wenye nyumba. Hatutaacha kusema as long as yanatuhusu. Kama ukikata umeme unanikatia mimi usije kutegemea eti ninyamaze. Hatutaki hatukaki, na mnajua mkiweka NEC huru hamtoboi kwa maana Wananchi kweli hawawakubali. Na haya sio matusi, huu ni U K W E L I.
uyu mzee hana sela hana mualibia mama tu
2025 itakula kwenu ccm enzi ya mzee magufuli umeme,maji vyote vilikua avisumbui leo hii mateso ukilala ndani joto nje mbu haya bana cmmeshika mpini😭😭😭
Mzee katuangusha.Angeeleza kua yeye anatumia solar.
Mzee aw
Mzee acha ubabe na udikteta, kwani ulikaa miaka mingapi Serikalini na mbona haujatatuwa matatizo ya maji na umeme? Na je kwako huwa unapewa maji na umeme kwa mgao? Ukweli huwa unauma na Ndiyo maana unapanik.
Mtoto wake si ni waziri Sasa atasemje kiwkwete si mtoto wake waziri ata semaje Sasa umewasikia amabao Awana WATOTO selikalinj ataongea huo upuuuz umeme unasimamiwa na mtoto wake atasemaje unazani waaache wapige pesa hao
Hao ndio wenye Tanzania yao,
Kachukia sana kaguswa pabaya
Wizara ya mwanaye!!!😭😭😭😭😭😭😭
❌ Kama kuna uwezo wa kuhama Nchi ,Still Thinking
R.i.p jpm
R i.p Magu
Kamatunategemea wazee kamàhawa mikopohaitaisha nchii
Haka kazee bhana kanazeeka vibaya