Kamati ya Maridhiano Six: Mkutano wa CUF Uliofanyika K/Maiti Tarehe 03/11/2012; Part 2
Вставка
- Опубліковано 3 лис 2012
- Katika Mkutano huu uliofanyika tarehe 03/11/2012, Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad alienzea masikitiko yake makubwa juu ya matendo ya unyanyasaji na ukandamizaji wa haki za binaadam yaliyotokea Zanzibar kwa muda wa wiki mbili mfululizo
Tumeondokewa na mtetezi wa Wazanzibari
Tunakuomba Allah msamehe mja wako Huyu maalim seif sharif hamad makosa yake na umma wa kiislam
Allah akupe kauli thabit
Daah mungu akulipe kheri
Tutakukumbuka sana maallim
Wazanzibari wasikate tamaa hata miyaka mia tano iku siku watapata mamlaka kamili nchi inapendwa NA madola ya kiislaam na dunia nzima hapo kazi nzuri sana itanza
Allahumma ghfir lahuu warhamhu wasakinhu FIL jannah
رحمك الله يا معلم
YAARAAB msamehe mjawako huyu hakika ss sote niwakosa tusamehe yaa rabyy
Allah akujaalie virdaus njema
Dah tutakukumbuka san
Hatuwezi kupata mtu Kama huyu abadani😢
Inna lillah wanna ilaih rajighuuun
رحمه الله
Daima tutakukumbuka
Tumeondokewaa🙈
فقيدنا ومعلمنا تركنا وخلنا محزون
Nakubali bwana
Mungu akupe firdausi
Simbaaaaa
POAT