HALI ILIVYO MJINI ZANZIBAR NA UKWELI KUHUSU KUKAMATWA MAALIM SEIF LEO
Вставка
- Опубліковано 26 жов 2020
- #UCHAGUZI2020 #DumishaAMANI
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Sauti Byego
cc: Maryam Busara
Camera Department"
Dadi Ali
Mwarabu Mmadi
Nassor Shaibu
Abdallah Dula
Editors:
Juma Maulid
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Hii channel saiv inatufanya wazanzibar wenye uchungu na nchi yetu tuanze kuichukia. Inaonekana wazi ishabezi upande wa chama tawala. Hatutachoka kudai haki ya wazanzibar hadi pumzi yetu ya mwisho
Laiti ningekuwa na uwezo ningeliteketeza jeshi hili kwa sekunde moja makafiri wakubwa nyinyi,hamufanyi uadilifu ila Ipo siku Allah atawatia mkononi mtajuta washenzi wakubwa
Basi tumshitakie Allah anatosha' yeye ni mbora wa mahakimu wala hatowawacha inshalla
NTASHANGAA SANA NIKISIKIA MWINYI KASHINDA UCHAGUZI HUU
Hahahhahaaaaaaa
Akaaaa mwinyi anapita usishangae hiyo ndo zenji
Coment zenu zinanichekesha wallah mbona mshaa anza kuwa wanyonge na mwanzo walikuwa watu wapo moto hhhhhhhhhh hakuna linaloshindikana chini ya juwa yote yanawezekana na neema huja kwakukusudiwa km Allah ameshaa mpanga flani atuongoze ss wanaadamu hatunajinsi tena ni vyema kushukuru na siyo kukufuru
@@nooraallahuakibarumwenyeez3079 lakini sikwawizi namungu anawaachia ivoivo kwakuwatizama imanizenu vp mutaendelea kufanya haki
@@yussufhussein1954 kweli kabisa washaa shinda wenye nchi yao
Muogopeni mungu punguzeni uwonevu kwa binaadamu wenzenu sura zenu za kibinaadam lakini roho zenu za kinyama nyie police ndio mmoanza fujo hamna ukweli mmnapendelea chama kimoja hazifai duniani tunapita Allah atawalani kila alokusudia ubaya
Pigeni uweni marejeo ni kwa Allah
Hakika
Ya Allah chukua ulimi wa hiki kiumbe chako dhaifu maana unakata mioyo ya wazanzibari kwa maumivu makali😭😭😭😭😭.
Ameen yarabb lghalameen 🤲
Sis tulionje hamuna cha kutuficha tuna video za mauwaji yenu zote mpaka mnavyowatoa watu nje mukawaua
Ndugu zangu amani amani muimu mengine baadae ✌🏼✌🏼🇹🇿. msipotoshwe na mtu. Amani ndugu zangu amani✌🏼✌🏼✌🏼🇹🇿.
Duniya Ina mwisho hatotawala milele sote tutarejeya kwa mwenye zi mungu
Allah atawalipa wa Zanzibar
Pigeni uweni sote marejeo ni kwa Allah
Allah atakulipeni , mtakufa vifo vibaya na mtaendelea na adhabu mpaka mfike kwake Allah mseme kwa nini mlitudhulumu. Allah atalishusha jeshi lake na tutashinda biidhnillah
Me NAULIZA Kwani Mtu kudai Haki yake ni Kosa la Jinai
Siyo kosa sema police hawa wanauelewa mdogo ndomana wanatumika hovyo
dai haki yak ila usifany fujo
inaman ww unap mdai mt haki yak utaend kuchoma mot nyumbaa yaak
Kweli jeshi la polisi halifai ata kidogo Mungu tu atusaidie ndugu zangu kitu jeshi la polisi wannatufanyia amn shid Mungu yupo hay nayo yana mwisho
Kazi nzuri sana wanaweka mawe bars baran ikitokea kuna mgonjwa wanataka afie njian pumbav sana
Napenda kuwasisitiza waislam wenzangu mnaocoment matusi nakulaani na kuwaita wenzenu makafiri haliyakuwa ni waislam fahamuni ya kwamba hizo laana mnazozitowa zitazunguuka zikiona hazina sehemu ya haki pakutuwa bc zinawarudiyeni wenyewe huu ni kwa muujibu wadiniyetu yakiislam kuweni makini duniani tunapita tuu na hekma ni kitu muhimu sana kwa wanaadam
Ila kufa kupo musijigambe kwa pumz na hao hao wakimaliza muda wao wa kaz uzeeni wanaanza kukopa maduka ya wapemba mana njaa kali
Hivo vitendo wanavo fanya wao hata firauni hajawahi kufanya ila mungu yupo na atajibu kwa wakati wake ukifika dunia mutaiyona chungu km wanavo umia mlowazulumu nanyie allah atawaumiza kuliko
Mungu atawachulia hatuana nanyinyi
KAMA UNAVOSEMA HAUTAKUA NA HURUMA BASI HATA SISI HATUTAKUA NA HURUMA TENA NA DHULMA YENU TUTAWATIA MAJINI WOTE KAMA TULIVOANZA PEMBA.HAPA HAAPISHWI MTU ASIESHINDA MARA HII.
We ni mbwa mwitu tu wa ccm
Washenzi wakubwa nyie polisi, munaibeba CCM ibakie madarakani kwa mtutu wa bunduki. Juu ya yote hata tutaendelea kupambana. Madhalim wakubwa nyinyi.
Na km mtachukya serekal kinguv ili mtawale mtutawale basi kwa idhn yake Allah ktk utawala wenu wote mtakua wenye kudhalilika t n hamtokua na fura ktk nafs zet Allah atawajaalia miyoyo yenu itatawaliwa n huzuni km walivo kua na huzuni mlowapotezea falia zao inshaa Allah au zaid ya wao .n ss Allah atatup subr insha Allah
Amina
Na Allah hatakuwa na huruma na nyie munao piga watu ovyo
achen kuwashutumu mapolis
hao wanawalinda nyiny ili aman ipatikaan
lakin nyiny nd munawaon wabaya
pal munap anzish fuj wakawpiga
achen kuwalaaum
@@muzdalfatally1657 twajuawa wewe pia ni polisi ndio una tetea
@@MohamedOmar-sg8ts mm sio polis n wala kuajiriw sijaajiriw
Zanzibar itakua huru tuu. Mtaondoka. Mbona bara hakuna uchaguzi leo, au mshatia kura za wizi tayari
Mmeshaua wangapi ? Kutokajana usiku utamdanganya nani
Inshaallah ubabee unamwisho wke
Mmungu atawalaani makafiri nyie
Ameeeeennn
Amin
Amen
Mtakufat2 mbwa nyie mungu yupo
Mungu awalaan vikosi vyote mufe vifo vibaya kwa mambo mmnayoyafny
Eti hii ndiyo nchi yenye amani!! :ndiyo maana tunachukia hata kupigakura kwasababu hamna tunacho chagua sisi kama raia wa Tanzania.
Yaani dah wametuzimia Data leo hawa mama zaooo
Hata km polic awe kaka angu mukimpata wazanziba muuweni wajinga nyiye polic gani usojua haki
Hizo ni pumzituu kunasiku zitasimama ndio yatakuja machungu yale uwafanyiayo wenzako
Kufa nisiku.moja kama umepangiwaa kufa leo utakufa leo tuu simameni na nncchi yenu
Hata mkitangulia kupiga kura kushinda hamshindi hamfiki ata robo fanyeni mnavyo fanya mafisadi wakumbwa kazi kungangania madaraka tu japo hamtakiwi mijiziiiiiiii inaazirika ndioo mana mkimaliza madaraka mnavimba matumbo wengine wanapofuka macho kwa zulma zenu nyooni malioo duniani mwisho wa ubaya aibu
Mnavimba matubo na mnapofuka macho kwa dhulma malipo duniani mungu hana haraka nyie mnaadhibu watu na nyinyi mtaadhibiwa na mungu.
Mtangazeni huyo Mwinyi wenu hakuna namna eti sheikh anaandaliwa madaraka kwa kumwaga damu za watu
Ile sijda kumbe nakwenda miskitini kuhuzunika Kazi Bure pepo ina Kazi Jamani Kuipata
Duuh mtihani
Makufuli anyongwe anafirwa ipo siku mtakunyia kwenye mboo
Punguza ukali wa maneno mkuu
Shetwaan wewe, kakojoe ulale
Aisee akikusikiya ww maisha yako yote nijela kuwa makini
Tanganyikans supporting CCM in Zanzibar. You Zanzibaris who are supporting CCM you will have questions to answer
Yangu macho na masikio🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤸♂️
Unacheka kwa kufurahia binaadamu wenzio waislamu wenzio wakifanyiwa unyama wakati hujui mbele yako Kuna nn...utakuja kulia ipo siku Tena kilio cha mbwa mwitu aliepoteza mwanawe
Hii ni channel ya ccm ktn tv online kujitia kuhubiri dini wanafiki watupu hawatendi haki kwa watu wengine
Wasnge sana hawa tena wanafrwa na mama zao kumamamazenu ktv tz online
Wakumbavu hao mapolissi waislam kisha mwawatesa waaislaam wenzenu
Nyinyi polisi ndio wahalifu kwa kupiga watu bila ya kosa lolote, wengine munawatoa majumbani mwao kisha munawapiga bila ya kosa. Laanatullah Alaykum
Kwa SUBHANAHU ndio mwishowetu
Kila mwenye komenti anaelekeza kwa allah kwani hivi nynyi wafuasi hana akili zq kujionheza mpaka mwende mkafanye fujo mbona alokutumeni yeye mzima?
Mungu anatosha nyiny endeleen tu kudhulum watu
Siyo haki ila mungu yupo kwa hili
Dhulma tu,ila ipo siku mutajuta Kwa nn mulizaliwa.
Wakati mulikuja kwa udongo na mutarudi kwa udongo kwa Allwah hakuna kubwa adhabu yake nanyinyi mutaiona
Kweli huyu askari lugha anayotumia nimzanzibar? Na kama sie atakuwa na uchungu wa zanzibar na wanzibari wake? sisi kwani hatuna makanda wakuu hapa
Hiyo vurugu ili tabiriwa kabla ndie malengo ya wapinzani ku fanya vurugu
Msenge
Acheni porojo nyingi mbona nyinyi hamkukamatwa na kupigwa, polisi hiyo ndio kazi yao kuzima fujo, mnatarajia mufanye fujo mufanye uharibifu wa mali muachiwe????
Yana mwisho tu haya mnakemea matendo haya ikiwa nyinyi mnapinga uhalifu kazuieni kura za haramu zinazowekwa huko vituoni
Halafu mnaficha uovu wenu
Ndio maana nachukia kuwepo na uchaguzi tanzania hususan Zanzibar ,kwan haki haitendeki , ila hatushangai kauli zenu za kishetani hamtoi nchi kwa karatasi , ila namuomba Allah awateketeze makafir nyie ,
Faruk karim ana onekana ana cheka Vipi yame kufurahisha?
Boss /kamanda hizo gwanda Kuna siku utazivua
Dah! Inaskitisha San Ayo mamb yakupit tu musiadhibu wenzenu na wao wat Kama nyie awo
Nyny Polis ndio wavunja aman
Leo mushapiga kura tele ili mtalii ashinde
KilichobakiOk 3łbaki wakucchukuliwe So kaida tu
Muhuni mamayoo mbwa wewee
Kura ya mapema, Ni wizi tu. hkuna kingine.
Aise kwa kwel wanaofanya fujo wanazingua maana walio kamatwa kesho hawata piga kura
Nyie wenyewe muhuni
Kama unaamini mtangazaji amekula chura sauti mbaya cheka twende sawa😆😆
🤣🤣🤣
🤣🤣🤣
Anacheka anona rahh😆
Ahh apa ubabe tu2
Watanzania wenzaku tusishabikie uchaguzi huu tunakuwa watumwa wafikla zidum fikla zamagufuli huuniujinga hatuna bunge
watu wame wachokeni hatuwataki ten munalazimisha2
jee afro shirazi munawaona ndugu zenu wapenzi hao mulisema waarabu ni bwanyenye ni wabaya na ni wageni hawana haki waende kwao na hao ndio ndugu zenu, jeee vipi sasa mbona naona mambo yamekuwa hivooo ? ama kweli Allah ni mueza wa kila kitu na hashindwi na jambo lolote.
الله كريم الله أكبر tunakutakieni kila la kheiri na salama amiin
kwahiyo mwarabu akipishwa na ww utarudi kwenu shinyanga au ? kwa wasukuma wenzako
Police acheni watu wadai hakizao, mbona mnatumika hovyo ninyi?
Ndio
Zalimu mkubwa ww
Ndo washenzi walivyo yote hayo nihao manyani shein seif iddi siro na magufuli hao niwakufanyiwa kama alivyofanyiwa samuel doe
Ndio maana hamuendelei sababuya dhurma laana
Allah ndo mlipaji wa yote munayofanya haya
Mnatetea nn nyinyi. Au Mnatetea wizi.
Kajitakia mwenywe jmny kitasaidia nn sasa
SIASA MWENYEWE PAKA
Kesho mujuwi zamu yenu kuteswa
Acha kusema uongo.
kuna siku na wewe allah atakudhibiti tulia tuhh ya mwisho hayo
Ipo siku mbwa nyie
Kila siku mnasema ivo ivo ipo siku lkn hatuioni iyo siku tokea 1995
Sasa fujo za nn sheria ichukue mkondo wake fujo hazito saidia kitu hizo ni dalili za kushindwa hizo
Sheria iko kaburini nchi hii
Uyo askar n mt2 wa wap
Damu inaongea na damu inadai
Wala hawajafanya fujo
mbuwa wakubwa mashetani wauwaji wanafiki wakubwa wapumbavu kibaraka wa magu Tume CCM Polisi CCM wapumbavu wakubwa ipo siku makafiri wakubwa
Mbna hamtok mkajakuwatetea wenzenu 😂😂😂
Vipi iyo hali inayowafika wezio inakufurahisha sana enee!!!???
Inaonesha umefurahi kuuliwa na kupigwa binadamu. Only dhalimu umefisidika hata mnyama ni bora kuliko wewe.
@@sharifjuma1220 sanaaaa
@@zaytunhijja6771 enyoy baby wakti wenu,
فَلۡيَضۡحَكُواْ قَلِيلٗا وَلۡيَبۡكُواْ كَثِيرٗا جَزَآءَۢ بِمَا كَانُواْ يَكۡسِبُونَ
(Sahih International)
So let them laugh a little and [then] weep much as recompense for what they used to earn.
(Ali Muhsin Al-Barwani)
Basi nawacheke kidogo; watalia sana. Hayo ni malipo ya yale waliyo kuwa wakiyachuma.
-Surah At-Tawbah, Ayah 82
Hahaha dah ayo mabomu sio poa
Wewe ni muongo ila ujuwe roho yako ipo rehani tutakuwinda na utajuwa ww
Mshamwaga damu nyingi mbwa nyie mnatoa watu majumbani mnawaua kwa risasi
Ingelikuw mungu na yy anaadhibu hapa duniani kwa tunayoyatenda nadhani asingebakia mtu. Lkn tunamkosea sana sana nawala hajatuuwa kwamakosa yetu. Hadi life chako kifike. Allah tulinde
angalia hiyi video mwanzoni utaona polisi anampiga mtu maksudi na ngao barabarani.system ya police ni ya kizamani.uonevu .tz bado haijaimarika .bora mara kumi rwanda wana vyombo vya polisi wakisasa
Huyo ucaguzi haujasimamiwa na umoja wa mataifa siku zooooooote ccm itazidi maovu yawo
Hama nchi nenda Rwanda 😏
Waongo munawaonea Raiya
Iyo mitaa inotajwa yenye fujo ndo kulekule walipo vibaraka wa waarabu, hakuna kwengine wanajulikana mbona
Mbona hata Hussein Mwinyi mamake ni muarabu kwa hiyo na yeye ni mtoto wa kibaraka
@@yanamwisho871 ivo umesema ww mm sijasema
We mwenyewe kibaraka wa makafir mbwa kasoro mkia we
@@bimsinani5944 Mbwa MAMAAKO wee waarabu mpaka wakutoe maji chini uko ndo utarizika BWEGE WEE
Umefungamanisha ukibaraka na uwarabu kwa hiyo na Mwinyi anaingia kwa sababu anayo damu ya kiarabu au unaongea bila mantiki