Hakika alipenda Allah akupe pepo iliyo ya juu zaid nasisi atupe mwsh mwem tunakukumbuk san hapa mm ata sijazaliwa hata kweny tumbo la mama yangu siko hadi raha❤❤❤
lkn hapa bado ni waziri kiongozi hajafukuzwa na pia ccm hajafukuzwa. kauli yake hiyo ilikuwa ni maoni na mtizamo wake kutokana na hali ya hewa ya kisiasa ilivyokuwa upande wake na wenzake na wazanzibari
Daaa maalimu nimuaminifu san ali kubalika san mungu akulipe san daaa kuna watu wanapendwa ila maalim kazid
Hakika alipenda Allah akupe pepo iliyo ya juu zaid nasisi atupe mwsh mwem tunakukumbuk san hapa mm ata sijazaliwa hata kweny tumbo la mama yangu siko hadi raha❤❤❤
Maisha n mapito kweli hapo weng kati yao walishatangulia mbele za haki
Allah awafanyie wepes waliotangulia na ss tulio nyuma yao tupate khatma njma
Ameen
Amiin
kupendwa nimajaliwa ya Allah(sw).
Ahsante for this documentary
Most influential and charasmetic politician ,the world has ever seen !
Kupendwa bwana we acha tu.uyu mtu kumbe alianza kupendwa zamani.
Hili jamaa linapendwa tangu huseni mwinyi hajazaliwa
kupendwa majaaliwa,alla akisha kuchagua hakuna wakukuzuiya,utapendwa tu.lakini kumbuka alla hawapendi madhalim
tu nakupenda.daimaa.wewe.ndiyo.mkombozu.wetu
Naam
Uyu jamaa alikua kiboko cha wapizzni hadi leo
Tunakupenda sana Maalim seif, ww ndie raisi wetu wa Zanzibar.
Watu walimpenda sanna hasa
dar wnatoka mbali sana ss wengne ata tulikuwa hatupo duniani
bado ata sijazaliwa mpaka nimekua nimemfahamu maalim hakika amesimamia ahadi yake mpka amefariki yy na Zanzibar
hongera
Nani ambae anaangalia video hii 2024 ?
Mie naitizama
2:17 3:00
Dah wengi wao washafariki hapo
Hongera
amaizing
Presidenti of zanzibsr
Hapa mm sijazaliwa
Yaani Apo tokea ni mdg mpk Leo yaani Ata mvi sjaota nahisi ni juzi tu
Apa nipo darasa latatu
Duhhh bado miaka mi3 kuzaliwa na saaiv nna mamv kibao😄
Nikoo na mwaka 1 ata cjui kitu. Allah ampe kauli thabit na amtilie nuru kaburi lake na akituhitaji Allah atuchukue akiwa ameturidhia. Aamin
lkn hapa bado ni waziri kiongozi hajafukuzwa na pia ccm hajafukuzwa.
kauli yake hiyo ilikuwa ni maoni na mtizamo wake kutokana na hali ya hewa ya kisiasa ilivyokuwa upande wake na wenzake na wazanzibari
Hapa ilikuwa tayari kashafukuzwa
Bdo lkn tyr ashapata tetesi za kufukuzwa
Siasa inatoka mbali