Alhamdllah kwakuo na history kutoka kwetu najifunia kuwa mpemba ❤❤alio ngea bibi nikweli mtupu mungu apemasha marefu huyu bibi waze kama hawa nidawa ktk mji
Assalamu Aleikum warahmatullah wabarakatu Ma sha ALLAH leo umeweza kipindi kizuri sana hata sitaki kiishe nasubiri sehemu ya pili in sha ALLAH. Shukran wajazzakaAllah kheri
daah,, mamb yameenda bibi yangu, xaiv kama huna nyumba, gar, kazi nzur ya muonekano, hakutak mwanamke wala wakwe hawakutak, watu wanajal kitu na c mtu, hatar xanaa.. na ole wako uwe nacho ila baadae uwe huna km utakua na Aman tena, Allah atufanyie wepes inxhallah ila hatar kwelii
Na tabia hii imezaa fitna mbaya sana! 1Mke wa mtu kuwa na boyfriend huko nje 2.mke kutia fitina watoto dhidi ya baba yao.Hii utokea sana mume akielekea uzeeni. 3.wake wa zama hizi huamini kuwa mume atatangulia kufa aache mali.Hii hupelekea wao kung'ang'ania taarifa za mali za mumewe zilipo.
@@Ali-nl2du naam kwanini wasimuandike bi furaha lugha ya heshima haipo tena siku hizi bibi kizee ndio nini ndio jina alilopewa na wazee wake hilo bibi kizee
Ila pemba mahari rahisi sana laki 2 unapata mke tofauti na unguja na wanaume wa unguja huowa pemba kwa sababu unguja wameacha wanawake sn hficha tabua zao hawajulikani huko
Tatizo kubwa nikua wazazi wengi hawana muda wa kuwafundisha watoto wao haya mambo ndio mana tumeharibikiwa,na kwa wazazi wanaowafundisha watoto wao haya mambo hata wakiolewa ndoa zao zinakua na furaha na mapenzi ya hali juu.
Jamani bibi nitafutie mume mstaarabu huko jamani. Nawapenda mno wapemba mie ila sijawahi mpata, Ila awe mtu mzima wa miaka 45 mpka 50,hata awe na watoto sawa tuu,maana napenda kuishi na familia kubwa. Mie pia nina watoto 2
Jambo la kuhuzunisha kuhusu watu wa kijiji hiki ni madhara yapatikanayo katika kazi zao. Wengi wa wanawake wa hapa ni WAFINYANZI udongo unawaathiri sana. Sura zao zinaonesha jinsi afya zao zilivyo. UMASKINI.
Vijana wa siku hizi wakishaingiwa ni nyege tu baasi hawasikii la mwaazini wala mteka maji msikitini mtihani sijui ivyo vizazi vya watu hao vitakuwaje ikiwa mama na baba ni Facebook na tiktok
Wanawake wa pemba hupenda kuolewa unguja wanakuona km ulaya mwanaume wa unguja ashaacha wake 4 au 3 akienda pemba lkm arudi na mke uchunfuzi tumeuchunguza cn
Ulaya unakujua unakuskia ww. Ulaya hakuna shida. Huka kutafta maji ya kutumia shida utayasaka kwa mbwa wa polisi. Miji Michafu kila sehem kunanuka kwa makaro
@@salehkhamis-ob8ln😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Uko ulaya unguja kumetengenezwa na wapemba watu waunguja ni wavivu hawataki kazi mjomba wang kaka ynf yupo ulaya anabweteka mpemba mumshukuru manake wapemba wapo kila sehem na wapo vzr kimaendeleo
Mashallah wazee wetu wa zamani waliishi maisha ya tabu na raha mwanzo mwisho kufa kuzikana ❤kwenda mbele
Mashaallah mashaallah mashaallah pemba yetu napajua nishaenda nishalala mashaallah kwetu sisi ni ziwani pia kuko bomba kabisa
ماشاء الله تبارك الرحمن يا جدتي الحمدلله على تلك المعلومات
Mashallah Allah aibariki pemba yetu❤❤❤
Ammina ya rabbill allamin allhuma
Alhamdllah kwakuo na history kutoka kwetu najifunia kuwa mpemba ❤❤alio ngea bibi nikweli mtupu mungu apemasha marefu huyu bibi waze kama hawa nidawa ktk mji
Assalamu Aleikum warahmatullah wabarakatu
Ma sha ALLAH leo umeweza kipindi kizuri sana hata sitaki kiishe nasubiri sehemu ya pili in sha ALLAH.
Shukran wajazzakaAllah kheri
daah,, mamb yameenda bibi yangu, xaiv kama huna nyumba, gar, kazi nzur ya muonekano, hakutak mwanamke wala wakwe hawakutak, watu wanajal kitu na c mtu, hatar xanaa.. na ole wako uwe nacho ila baadae uwe huna km utakua na Aman tena, Allah atufanyie wepes inxhallah ila hatar kwelii
Na tabia hii imezaa fitna mbaya sana!
1Mke wa mtu kuwa na boyfriend huko nje
2.mke kutia fitina watoto dhidi ya baba yao.Hii utokea sana mume akielekea uzeeni.
3.wake wa zama hizi huamini kuwa mume atatangulia kufa aache mali.Hii hupelekea wao kung'ang'ania taarifa za mali za mumewe zilipo.
Asnte sana vipenzi ujumbe umefika
Masha Allah bibi yetu
Shukran sn alfatah tv online
🎉
Kikwetu kizanzibar haitwi bibi kizee huyo anaitwa bibi mtumzima anajielewa na anafanya kazi zake na akili inafanya kazi.
Kweli, lugha ya kiswahili imeharibiwa sana siku hizi.
@@Ali-nl2du naam kwanini wasimuandike bi furaha lugha ya heshima haipo tena siku hizi bibi kizee ndio nini ndio jina alilopewa na wazee wake hilo bibi kizee
Hawa al fataa sanyengine wanakoseya bibi kizee wananjuwa
Kipindi kizuri sana Leo Maaaashallah Bora ututafutie mabibi kama Hawa watuwaidh
Bibi Furaha nimekupenda bure umejieleza vzr mno Kuhusu zamani na yote ni kweli tupuu😊😊😊
MashaAllah ❤❤❤Pemba yetu
Mashallah
Mashallah kipindi kizuri
Kwann umwite kizee bhn heading rekebisheni uyu n bibi mtu mzima
Home Sweety home😢Nimefurah kipind kizur Mashallah
bib umenichekesha Et Usende ntakwenda kean sina miguu 😂 Allah atuongoze😭
maashallah
Nimekupenda hapo kama peponi mashallah
Allahu Akbar
Ila pemba mahari rahisi sana laki 2 unapata mke tofauti na unguja na wanaume wa unguja huowa pemba kwa sababu unguja wameacha wanawake sn hficha tabua zao hawajulikani huko
laki 2 mahari pemba ipi hiyo dada
Pemba ipi dada angu uliyokusudia wewe😅
Micheweni
Pemba hiyo unayoijua wewe. Tena ukasema ninabanda unguja ndio kabisa utapea wa mke karahisi hizo laki 2 nyingi
@@MuzneOthman-l7i hakika ni wewe tuuuu
Masha Allah bibi yetu,,
Sasa mie nataka nije kuolewa huko
Hhhh karibu my love
Waume wapo.
Tatizo kubwa nikua wazazi wengi hawana muda wa kuwafundisha watoto wao haya mambo ndio mana tumeharibikiwa,na kwa wazazi wanaowafundisha watoto wao haya mambo hata wakiolewa ndoa zao zinakua na furaha na mapenzi ya hali juu.
Wapemba tupo ushakua tayar kuolewa?
Jamani bibi nitafutie mume mstaarabu huko jamani.
Nawapenda mno wapemba mie ila sijawahi mpata,
Ila awe mtu mzima wa miaka 45 mpka 50,hata awe na watoto sawa tuu,maana napenda kuishi na familia kubwa.
Mie pia nina watoto 2
Nampenda huyu bibi kaeleza vizuri sana.
Mm nimepend hivy vetezo wallah
Jambo la kuhuzunisha kuhusu watu wa kijiji hiki ni madhara yapatikanayo katika kazi zao. Wengi wa wanawake wa hapa ni WAFINYANZI udongo unawaathiri sana. Sura zao zinaonesha jinsi afya zao zilivyo. UMASKINI.
Samaki wa kibua ntamu nae kantawala Unguja eee
Sio sahihi kumwita bibi kizee, ...Kwa lugha ya kizanzibari haitafsiriki vizuri.. huyo ni BiBi, na sio bibi kizee
Mimi nilikua sijui km kuita bibi kizee so sahihi lkn nilikua sipendi kumuita bibi , ukamuita bibi kizee
A alaikum hichi kijiji pembeni ni sehemu gani nimependa hivo vyungu .
Ipo mkoa wa kusini pemba wilaya ya chake chake shehia ya kwale
pembeni zipo nyingi kuna nyengine ni kaskazini pemba karibu na madenjani@@aliharoun8659
Vijana wa siku hizi wakishaingiwa ni nyege tu baasi hawasikii la mwaazini wala mteka maji msikitini mtihani sijui ivyo vizazi vya watu hao vitakuwaje ikiwa mama na baba ni Facebook na tiktok
Pemba sioi wanna kibur baaz yao tamaa mahar mengi wajane weng io zamani sio sasa
Pembeni ya mwangaza kwetu Pembeni ya shengejuu
Pembeni Iko PEMBA Gani? Maana sidhani kama hapa ni Pembeni Ya Shengejuu Kaskazini PEMBA!
Nauliza muliopo pemba je pembeni kumeshajengwa barabara ya lami?
Hatujui,kama nini njoo mwenyewe
Mashallah hakuna km Pemba
Pemba oyee😂
Hiyo ni pemba ya juzi sio ya leo tusidanganyane
Ndo mwafundishwa hivyoo muache midomo
Wanawake wa pemba hupenda kuolewa unguja wanakuona km ulaya mwanaume wa unguja ashaacha wake 4 au 3 akienda pemba lkm arudi na mke uchunfuzi tumeuchunguza cn
Ulaya unakujua unakuskia ww. Ulaya hakuna shida. Huka kutafta maji ya kutumia shida utayasaka kwa mbwa wa polisi. Miji Michafu kila sehem kunanuka kwa makaro
@@salehkhamis-ob8ln😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Uko ulaya unguja kumetengenezwa na wapemba watu waunguja ni wavivu hawataki kazi mjomba wang kaka ynf yupo ulaya anabweteka mpemba mumshukuru manake wapemba wapo kila sehem na wapo vzr kimaendeleo
Nadhani hapajui ulaya hhhhhhhhhhhhhhh unguja imekua mbayaaaaa
Nimeowa Pemba sasaiv ninafuraha naenjoy wapemba niwazur
Hilo ndo jina lako au la mkeo maana 😮😮😮
Umeoa au umeolewa😮
Umeowa wewe zuwena😅
kaoa anaenjoy mpaka kajisahau jina anatumia la mke 😂@@fahadfaraj6474
Ndio na mimi najiuliza zurna umeowA pemba au ni wale..,,,
Zamani hiyo sio sasa ujeuri na umalaya inashindana na bara
Sio kweli si haba tunashkur Allah hatujafka huo
Sawa kenge wewe
Hujielewi ww
Koma usifsbanishe wabara na wazanzibar mshenzi weye
Nimeowa pemba nakogeshwa nabebwa
Uongo atakubeba pemba gn
@@selemanijafari9225😊😊😊😊
@@selemanijafari9225kweli anabebwa labda ww ndo hubebwi😅
Ni kweli wapo Wana wake wa aina hii karafuu inafanya kazi
Ukita mke mzur ninda kwetu pemba
Swadakta🎉
Wapemba tupo ushakua tayar kuolewa?