BIBI KIZEE ATOBOA SIRI YA WATU WENGI KUOA PEMBA(HUBBUL HALAL)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 25 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 82

  • @MasnamussaPp
    @MasnamussaPp 2 місяці тому +2

    Mashallah wazee wetu wa zamani waliishi maisha ya tabu na raha mwanzo mwisho kufa kuzikana ❤kwenda mbele

  • @JokhaJokhaabla
    @JokhaJokhaabla 2 місяці тому

    Mashaallah mashaallah mashaallah pemba yetu napajua nishaenda nishalala mashaallah kwetu sisi ni ziwani pia kuko bomba kabisa

  • @muhammadiabassi656
    @muhammadiabassi656 2 місяці тому +3

    ماشاء الله تبارك الرحمن يا جدتي الحمدلله على تلك المعلومات

  • @hafidhabdallah6292
    @hafidhabdallah6292 2 місяці тому +9

    Mashallah Allah aibariki pemba yetu❤❤❤

  • @UmyAbriya-wt4vb
    @UmyAbriya-wt4vb 2 місяці тому

    Alhamdllah kwakuo na history kutoka kwetu najifunia kuwa mpemba ❤❤alio ngea bibi nikweli mtupu mungu apemasha marefu huyu bibi waze kama hawa nidawa ktk mji

  • @MahmudOmar-gx2ok
    @MahmudOmar-gx2ok 2 місяці тому +1

    Assalamu Aleikum warahmatullah wabarakatu
    Ma sha ALLAH leo umeweza kipindi kizuri sana hata sitaki kiishe nasubiri sehemu ya pili in sha ALLAH.
    Shukran wajazzakaAllah kheri

  • @BinTwahirinho-rw1nv
    @BinTwahirinho-rw1nv 2 місяці тому +4

    daah,, mamb yameenda bibi yangu, xaiv kama huna nyumba, gar, kazi nzur ya muonekano, hakutak mwanamke wala wakwe hawakutak, watu wanajal kitu na c mtu, hatar xanaa.. na ole wako uwe nacho ila baadae uwe huna km utakua na Aman tena, Allah atufanyie wepes inxhallah ila hatar kwelii

    • @MilesReileigh
      @MilesReileigh 2 місяці тому

      Na tabia hii imezaa fitna mbaya sana!
      1Mke wa mtu kuwa na boyfriend huko nje
      2.mke kutia fitina watoto dhidi ya baba yao.Hii utokea sana mume akielekea uzeeni.
      3.wake wa zama hizi huamini kuwa mume atatangulia kufa aache mali.Hii hupelekea wao kung'ang'ania taarifa za mali za mumewe zilipo.

  • @SalmaMohd-u7l
    @SalmaMohd-u7l Місяць тому

    Asnte sana vipenzi ujumbe umefika

  • @jumanjenga7682
    @jumanjenga7682 2 місяці тому

    Masha Allah bibi yetu

  • @asilahassan9965
    @asilahassan9965 2 місяці тому +1

    Shukran sn alfatah tv online

  • @nailamohd-wn6sb
    @nailamohd-wn6sb 2 місяці тому +9

    Kikwetu kizanzibar haitwi bibi kizee huyo anaitwa bibi mtumzima anajielewa na anafanya kazi zake na akili inafanya kazi.

    • @Ali-nl2du
      @Ali-nl2du 2 місяці тому +1

      Kweli, lugha ya kiswahili imeharibiwa sana siku hizi.

    • @salmaelhinai833
      @salmaelhinai833 2 місяці тому +1

      @@Ali-nl2du naam kwanini wasimuandike bi furaha lugha ya heshima haipo tena siku hizi bibi kizee ndio nini ndio jina alilopewa na wazee wake hilo bibi kizee

    • @alibulushi-d9j
      @alibulushi-d9j 2 місяці тому +1

      Hawa al fataa sanyengine wanakoseya bibi kizee wananjuwa

  • @hijrakassim304
    @hijrakassim304 2 місяці тому +2

    Kipindi kizuri sana Leo Maaaashallah Bora ututafutie mabibi kama Hawa watuwaidh

  • @hadijaismail3619
    @hadijaismail3619 2 місяці тому

    Bibi Furaha nimekupenda bure umejieleza vzr mno Kuhusu zamani na yote ni kweli tupuu😊😊😊

  • @aminamgaza6655
    @aminamgaza6655 2 місяці тому

    MashaAllah ❤❤❤Pemba yetu

  • @samjabri2611
    @samjabri2611 2 місяці тому

    Mashallah

  • @fatimasaid9469
    @fatimasaid9469 2 місяці тому +2

    Mashallah kipindi kizuri

  • @MrMona_TZ
    @MrMona_TZ 2 місяці тому

    Kwann umwite kizee bhn heading rekebisheni uyu n bibi mtu mzima

  • @bintsalimalbimany287
    @bintsalimalbimany287 2 місяці тому

    Home Sweety home😢Nimefurah kipind kizur Mashallah
    bib umenichekesha Et Usende ntakwenda kean sina miguu 😂 Allah atuongoze😭

  • @nasrimswaki4824
    @nasrimswaki4824 2 місяці тому

    maashallah

  • @husnamohamed9245
    @husnamohamed9245 2 місяці тому +1

    Nimekupenda hapo kama peponi mashallah

  • @faridafaridaa4618
    @faridafaridaa4618 2 місяці тому +2

    Ila pemba mahari rahisi sana laki 2 unapata mke tofauti na unguja na wanaume wa unguja huowa pemba kwa sababu unguja wameacha wanawake sn hficha tabua zao hawajulikani huko

    • @AhmedAhmed-tb9nf
      @AhmedAhmed-tb9nf 2 місяці тому

      laki 2 mahari pemba ipi hiyo dada

    • @HajraOmar-g1c
      @HajraOmar-g1c 2 місяці тому

      Pemba ipi dada angu uliyokusudia wewe😅

    • @khajumkhamis7910
      @khajumkhamis7910 2 місяці тому

      Micheweni

    • @MuzneOthman-l7i
      @MuzneOthman-l7i 2 місяці тому

      Pemba hiyo unayoijua wewe. Tena ukasema ninabanda unguja ndio kabisa utapea wa mke karahisi hizo laki 2 nyingi

    • @khajumkhamis7910
      @khajumkhamis7910 2 місяці тому

      @@MuzneOthman-l7i hakika ni wewe tuuuu

  • @AmAl-x9j
    @AmAl-x9j 2 місяці тому

    Masha Allah bibi yetu,,
    Sasa mie nataka nije kuolewa huko

  • @SaidSaid-v9q
    @SaidSaid-v9q 2 місяці тому

    Waume wapo.

  • @AminaSeif-ns3qt
    @AminaSeif-ns3qt 2 місяці тому

    Tatizo kubwa nikua wazazi wengi hawana muda wa kuwafundisha watoto wao haya mambo ndio mana tumeharibikiwa,na kwa wazazi wanaowafundisha watoto wao haya mambo hata wakiolewa ndoa zao zinakua na furaha na mapenzi ya hali juu.

  • @SaidSaid-v9q
    @SaidSaid-v9q 2 місяці тому

    Wapemba tupo ushakua tayar kuolewa?

  • @AmAl-x9j
    @AmAl-x9j 2 місяці тому

    Jamani bibi nitafutie mume mstaarabu huko jamani.
    Nawapenda mno wapemba mie ila sijawahi mpata,
    Ila awe mtu mzima wa miaka 45 mpka 50,hata awe na watoto sawa tuu,maana napenda kuishi na familia kubwa.
    Mie pia nina watoto 2

  • @husnamohamed9245
    @husnamohamed9245 2 місяці тому

    Nampenda huyu bibi kaeleza vizuri sana.

  • @awaynaaaa3490
    @awaynaaaa3490 2 місяці тому

    Mm nimepend hivy vetezo wallah

  • @theteacherchance6750
    @theteacherchance6750 2 місяці тому +1

    Jambo la kuhuzunisha kuhusu watu wa kijiji hiki ni madhara yapatikanayo katika kazi zao. Wengi wa wanawake wa hapa ni WAFINYANZI udongo unawaathiri sana. Sura zao zinaonesha jinsi afya zao zilivyo. UMASKINI.

    • @TunauzaSimu-fn2ff
      @TunauzaSimu-fn2ff 2 місяці тому

      Samaki wa kibua ntamu nae kantawala Unguja eee

  • @hafidhhemed1514
    @hafidhhemed1514 2 місяці тому

    Sio sahihi kumwita bibi kizee, ...Kwa lugha ya kizanzibari haitafsiriki vizuri.. huyo ni BiBi, na sio bibi kizee

    • @asilahassan9965
      @asilahassan9965 2 місяці тому

      Mimi nilikua sijui km kuita bibi kizee so sahihi lkn nilikua sipendi kumuita bibi , ukamuita bibi kizee

  • @BiubwaAljahadhmy
    @BiubwaAljahadhmy 2 місяці тому +1

    A alaikum hichi kijiji pembeni ni sehemu gani nimependa hivo vyungu .

    • @aliharoun8659
      @aliharoun8659 2 місяці тому

      Ipo mkoa wa kusini pemba wilaya ya chake chake shehia ya kwale

    • @sheikhasalim1190
      @sheikhasalim1190 2 місяці тому

      pembeni zipo nyingi kuna nyengine ni kaskazini pemba karibu na madenjani​@@aliharoun8659

  • @jumahamadomar9124
    @jumahamadomar9124 2 місяці тому

    Vijana wa siku hizi wakishaingiwa ni nyege tu baasi hawasikii la mwaazini wala mteka maji msikitini mtihani sijui ivyo vizazi vya watu hao vitakuwaje ikiwa mama na baba ni Facebook na tiktok

  • @selemanijafari9225
    @selemanijafari9225 2 місяці тому

    Pemba sioi wanna kibur baaz yao tamaa mahar mengi wajane weng io zamani sio sasa

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 2 місяці тому

    Pembeni ya mwangaza kwetu Pembeni ya shengejuu

  • @KhamisSaleh-gg7ov
    @KhamisSaleh-gg7ov 2 місяці тому

    Pembeni Iko PEMBA Gani? Maana sidhani kama hapa ni Pembeni Ya Shengejuu Kaskazini PEMBA!

  • @Mbarouk-l2n
    @Mbarouk-l2n 2 місяці тому

    Nauliza muliopo pemba je pembeni kumeshajengwa barabara ya lami?

    • @HajraOmar-g1c
      @HajraOmar-g1c 2 місяці тому

      Hatujui,kama nini njoo mwenyewe

  • @ZuenaSharifu
    @ZuenaSharifu 2 місяці тому +1

    Mashallah hakuna km Pemba

  • @Pemba680
    @Pemba680 2 місяці тому

    Pemba oyee😂

  • @fatmamuhammed9713
    @fatmamuhammed9713 2 місяці тому

    Hiyo ni pemba ya juzi sio ya leo tusidanganyane

  • @faridafaridaa4618
    @faridafaridaa4618 2 місяці тому

    Wanawake wa pemba hupenda kuolewa unguja wanakuona km ulaya mwanaume wa unguja ashaacha wake 4 au 3 akienda pemba lkm arudi na mke uchunfuzi tumeuchunguza cn

    • @salehkhamis-ob8ln
      @salehkhamis-ob8ln 2 місяці тому

      Ulaya unakujua unakuskia ww. Ulaya hakuna shida. Huka kutafta maji ya kutumia shida utayasaka kwa mbwa wa polisi. Miji Michafu kila sehem kunanuka kwa makaro

    • @JokhaJokhaabla
      @JokhaJokhaabla 2 місяці тому

      ​@@salehkhamis-ob8ln😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Uko ulaya unguja kumetengenezwa na wapemba watu waunguja ni wavivu hawataki kazi mjomba wang kaka ynf yupo ulaya anabweteka mpemba mumshukuru manake wapemba wapo kila sehem na wapo vzr kimaendeleo

    • @JokhaJokhaabla
      @JokhaJokhaabla 2 місяці тому

      Nadhani hapajui ulaya hhhhhhhhhhhhhhh unguja imekua mbayaaaaa

  • @ZuenaSharifu
    @ZuenaSharifu 2 місяці тому +1

    Nimeowa Pemba sasaiv ninafuraha naenjoy wapemba niwazur

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 2 місяці тому

      Hilo ndo jina lako au la mkeo maana 😮😮😮

    • @mrfix6596
      @mrfix6596 2 місяці тому

      Umeoa au umeolewa😮

    • @HajraOmar-g1c
      @HajraOmar-g1c 2 місяці тому

      Umeowa wewe zuwena😅

    • @sheikhasalim1190
      @sheikhasalim1190 2 місяці тому

      kaoa anaenjoy mpaka kajisahau jina anatumia la mke 😂​@@fahadfaraj6474

    • @shamzone388
      @shamzone388 2 місяці тому

      Ndio na mimi najiuliza zurna umeowA pemba au ni wale..,,,

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 2 місяці тому

    Zamani hiyo sio sasa ujeuri na umalaya inashindana na bara

    • @ashabakary1462
      @ashabakary1462 2 місяці тому

      Sio kweli si haba tunashkur Allah hatujafka huo

    • @aliharoun8659
      @aliharoun8659 2 місяці тому

      Sawa kenge wewe

    • @mrfix6596
      @mrfix6596 2 місяці тому

      Hujielewi ww

    • @Shuu.A
      @Shuu.A 2 місяці тому

      Koma usifsbanishe wabara na wazanzibar mshenzi weye

  • @salum5803
    @salum5803 2 місяці тому

    Nimeowa pemba nakogeshwa nabebwa

    • @selemanijafari9225
      @selemanijafari9225 2 місяці тому

      Uongo atakubeba pemba gn

    • @hadijaismail3619
      @hadijaismail3619 2 місяці тому

      ​@@selemanijafari9225😊😊😊😊

    • @HajraOmar-g1c
      @HajraOmar-g1c 2 місяці тому

      ​@@selemanijafari9225kweli anabebwa labda ww ndo hubebwi😅

    • @jumashaameomar-hs1fo
      @jumashaameomar-hs1fo 2 місяці тому

      Ni kweli wapo Wana wake wa aina hii karafuu inafanya kazi

  • @AliymkubwaAliymkubwa
    @AliymkubwaAliymkubwa 2 місяці тому

    Ukita mke mzur ninda kwetu pemba

  • @SaidSaid-v9q
    @SaidSaid-v9q 2 місяці тому

    Wapemba tupo ushakua tayar kuolewa?