TAMKO jipya la Waziri bashe kuhusu sakata la MAHINDI "Mnataka kuua soko........"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 чер 2023
  • Waziri wa Kilimo akijibu hoja ya bei ya mahindi yanayonunuliwa na NFRA wakati wabunge walipotaka shughuli za bunge ziahirishwe ili kujadili suala hilo leo Ijumaa, juni 23, 2023.

КОМЕНТАРІ • 33

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru5023 Рік тому +1

    Huyu dada yupo vizuri, hoja nzuri🙌☝️👍👍

  • @arthurmwabulambo1201
    @arthurmwabulambo1201 Рік тому +1

    Foreigner afungue kampuni kununua mahindi sio practical dogo.process ya kufungua kampuni mwaka mzima mahindi bado yanamsubiri.maneno mazuri matendo porojo.pressure ya wakubwa.pole sana.

  • @NeemaMtambo-m6f
    @NeemaMtambo-m6f 5 годин тому

    Jamani soko ra mazao mahindi sh

  • @mako331
    @mako331 Рік тому +1

    Hebu wabunge punguzeni makofi ya hovyo hovyo tusikilize hoja

  • @domymerinyo8165
    @domymerinyo8165 Рік тому +1

    Bado pumba na mashudu wageni wanaenda mpaka maji moto Mpanda

  • @marylyimo746
    @marylyimo746 Рік тому

    Singida hatuna kituo, tunaomba kituo Singida.

  • @tonnyclinton
    @tonnyclinton Рік тому

    Upo vizuri ilaa ni muongeaji sana unapunyanga

  • @GraceNdunguru-l4f
    @GraceNdunguru-l4f 10 днів тому

    Misijakuelewa luvuma amani makolo kilo 290 mambo Gani hayo

  • @chemicalmathayo3327
    @chemicalmathayo3327 Рік тому +1

    Haogopi kusema ukweli huyu ndo mridhi wa magufuli hamna mwingine

  • @oswiitvonline6514
    @oswiitvonline6514 Рік тому +2

    Hapo nimekuelewa sana Mh piga kazi baba

  • @mtumishimathias7762
    @mtumishimathias7762 Рік тому +1

    Bei.ndogo

  • @andersonchongoma1723
    @andersonchongoma1723 Рік тому +1

    Nenda mbele Bashe Go forward

  • @lennymallya8675
    @lennymallya8675 Рік тому +1

    Kabisa kabisa kabisa safi sana,safi sana,ndy ndy ndy

  • @victorkisenha5933
    @victorkisenha5933 Рік тому

    Wew mhuni tu, WEWE TUPISHE, KTK NAFSi HIYO,

  • @edwardmagige3187
    @edwardmagige3187 Рік тому +1

    Safi sana dada umeongea point sana lkn pia je, tunao fanya biashara ndani ya nchi ni utaratibu Gani tufate?

  • @joesimba
    @joesimba Рік тому +1

    Bashe anachoshindwa kuelewa ni kitu kimoja, huo utaratibu wa hivyo vibali vyote vinachukua muda mrefu sana kwa mkulima kuvikamilisha. Kama vipi kuwe na one stop centre ambayo hivyo vibali vitapatikana kwa pamoja

    • @FIFO28
      @FIFO28 Рік тому

      Hilo haliwezekana kwa saza mazao hununukiwa kila mahali kote nchini. Hivyo kila halmashauri nchini inatoa vibali vinavyotakiwa kwa ajili kusafirisha mazao ya chakula.

    • @joesimba
      @joesimba Рік тому

      @@FIFO28 haliwezekani nini?

    • @chemicalmathayo3327
      @chemicalmathayo3327 Рік тому

      Kuwa na akili

    • @joesimba
      @joesimba Рік тому

      @@chemicalmathayo3327 umepotea njia mkuu au?

  • @JoelinaKirway-ht5eh
    @JoelinaKirway-ht5eh Рік тому

    Alex

  • @saidPeace-xq1ld
    @saidPeace-xq1ld 3 місяці тому

    Ivi hayo anayo zungumza niyakwake? au anafosi kwann asiingize hoja yake bungeni ifanyiwe uchunguzi? Naona kama anafosi sheria😂

    • @zagarinojo4227
      @zagarinojo4227 2 місяці тому

      Bashe kila siku anagomba hivi huwa anamgombeza Nani😄

  • @albertchubwa2546
    @albertchubwa2546 Рік тому +1

    Bravo Bashe

  • @isiraeli
    @isiraeli Рік тому

    Eti musirusu asajili

  • @lennymallya8675
    @lennymallya8675 Рік тому

    Safi sana

  • @mndambokilavo2502
    @mndambokilavo2502 Рік тому

    Kwa nini tra na wizara ya mambo wa siamue kupiga kempu kwenye mikoa yenye matatizo kumaliza hilo

  • @yohanambilinyi5856
    @yohanambilinyi5856 Рік тому

    Huyu jamaa ni jembe

  • @chemicalmathayo3327
    @chemicalmathayo3327 Рік тому

    Please naomba Bashe ugombee urais please Sana wewe ndo mtu pekee mwenye moyo wa unyenyekevu

  • @worldherotv
    @worldherotv Рік тому

    Kwani nyie wabunge mmelipwa na hao wafanya biashara??

    • @jumandegwakazee
      @jumandegwakazee Рік тому

      Kenya mumesikiya na watanzaniya walioko kenya wasifanye biyashara machinani