Msukuma Ana Akili Nyingi Sana Genius Mwenyezi Mungu Kaamjalia Hekima na Busara Kuliko Hata Wanaojiita Wasomi Kazi Yao Kupiga Dili tu Kuiba Hela za Serikali, Mwenyezi Mungu Akikkupa Hekima na Busara jua Amekupa Jambo Kubwa Sana 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Wapo wanaobisha kua hakuna akili zakuzaliwa, Kwa hakika kuna akili za kuzaliwa na za kufundishwa, lkn akili za kuzaliwa ni bora zaidi, kuliko zile zakufundishwa,
Msukuma yupo sahihi sana mngekua mnajua tabu tunazopat wafugaji mngetuonea huruma sana mifugo kwenye hii nchi haithaminik kabisa hakun eneo ya malisho hukun mabwaw za kunyweshea mifugo halaf mnatulitea dili zenu amba hazielek
Msukuma natamani uje uwe raisi wa hii nchi, Ili utufikishe sehemu frani ambako tungetakiwa kuwa kwa sasa. Mungu akulinde na uzidi kuwatetea wanyonge kama sisi
Huyu ndio doctor msukuma mtoto wa maskini mwenye master ya standard 7 akili mingi wenye elimu zao wanashindwa kufanya mambo mazuri kma haya serikali tupunguzieni haya maumivu kila kona mnataka kutupiga tu jmnani
Yaani tunataka watu wenye experience ya maisha kama msukuma na sio wasomi wasiojua maisha ya watu wanakula kuku kwa mrija hawajui watu wa chini wanataka nini na wanaishije hawana kabisa mbinu za kurahisisha maisha ya watu ni wizi tu wanawaza dili
Kaka Millard Ayo wananchi wa dodoma kunamahali wanateseka tafadhali kama yupo mwakilishi wako natamani kupata mawasiliano yako nimuelekeze na wanaofanya hayo niwaajiriwa wa serikali tafadhali sana kaka nakuomba nijuwe nampataje mawasiliano yenu ilikufika sehemu husika tunyanyasika mno tafadhali jamani
Hii nchi bana mmh, Mungu turudishie Magufuli mwingine, yaani ni badili tu kila mtu anaangalia tumbo lake bila uoga kweli watanzania tunaumizwa na hatuna pa kukimbilia wala wa kututetea😢😢😢😢😢
Msukuma Ana Akili Nyingi Sana Genius Mwenyezi Mungu Kaamjalia Hekima na Busara Kuliko Hata Wanaojiita Wasomi Kazi Yao Kupiga Dili tu Kuiba Hela za Serikali, Mwenyezi Mungu Akikkupa Hekima na Busara jua Amekupa Jambo Kubwa Sana 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Kweli kabsa
Siku moja namwona akiwa raisi
Ama kweli akili sio lazma usome sana zipo akili za kuzaliwa #Msukuma 💪
Huyu ndio Dr. Musukuma msomi wa mtaa yuko nondo kinoma big up jembe...unaelewa vizuri shida za wananchi na kuzitetea
Hii ndo ingne ya ukumbusho wa wengne hongera sana kqako mzee msukuma ww na kishimba ndo watu sahihi zaid📌
Msukuma nakupenda kwa kazi unavyofanya sawasawa. Bora ungekuwa raisi siku za baadae tutakuchagua.
Huyu mbunge anaongea kwa hisia kali sana tena inaonekana ana uchungu na jimbo lake saf...👊👊
Wapo wanaobisha kua hakuna akili zakuzaliwa,
Kwa hakika kuna akili za kuzaliwa na za kufundishwa, lkn akili za kuzaliwa ni bora zaidi, kuliko zile zakufundishwa,
Huyu mbunge yupo Honest sana nakubaliii 💯
Fungeni kwaza kuku hereni😂😂😂😂😂
Mpaka sasa tukianzia kwake JPM Hadi huyu hapa inaonekana wasukuma kuna viongozi wazuri kabisa ambao wanaweza kuendesha nchi ipaswavyo kama JPM
Acha ukabila
Ni kalama tu
Ila wasukuma wanaakili sana
Wamuache na mataarifa yao bhana huyu Msukuma yuko Vizuri sana
Nakupenda sana unahitajuka kuwa rais
Imagine huyu mwamba angepiga kitabu, ana Akili Kubwa Sana ✊🏿
Angearibiwa akili
Ahsante sana Mr msukuma Mungu akubariki ufike mbali
MUNGU akutunze dr Msukuma nakupenda mzee wetyu.
Msukuma ni genius ni bahati mbaya tu hakupata bahati ya kwenda shule na unaweza kuta ilikua tu sababu ya umaskini wa wazazi
Angeenda shule asingezungumza ukweli. Hapo ni risk taker
Hoja nikufuta ujinga tu masomo yenyewe tunapangiwa na wazungu tu
Yan awa wabunge. Niwakulaba viboko KILA mmoja maana naona wasutana. Tu akuna maendeleo 🇹🇿🇹🇿🙌🙌🙌
Kakayangu unaakili nyingi sana mngu akubaliki
Nakubali sana mheshimiwa
namkubari sanaaa huyu mbunge xnaaaa nataman sanaaa hta niwepo jimbon kwake
Hongera msukuma unaitumia akili ya kuzaliwa
Hongera saaana Broo
Msukuma yupo sahihi sana mngekua mnajua tabu tunazopat wafugaji mngetuonea huruma sana mifugo kwenye hii nchi haithaminik kabisa hakun eneo ya malisho hukun mabwaw za kunyweshea mifugo halaf mnatulitea dili zenu amba hazielek
Big up sana logically,upo vizuri ndugu yangu komaa ivoivo usigeuke nyuma utageuka jiwe
Msukuma natamani uje uwe raisi wa hii nchi, Ili utufikishe sehemu frani ambako tungetakiwa kuwa kwa sasa. Mungu akulinde na uzidi kuwatetea wanyonge kama sisi
yaani hata i wish huyu awe rais kwa kweli
@@zawadikitime233 😊
Angeshapewa uwaziri Ila shidah shule,inamfanya aishie ubunge tu chakufanya ajiendeleze kielimu,anakitu atafika mbali
kabadika sana huyu sio msukuma wa zamani
Mungu akupe maisha marefu mzee kiukweli unawatetea sana wanyonge
Ver good..uko vzr msukuma..Yesu akufunike upige kaz
Huyu ndio doctor msukuma mtoto wa maskini mwenye master ya standard 7 akili mingi wenye elimu zao wanashindwa kufanya mambo mazuri kma haya serikali tupunguzieni haya maumivu kila kona mnataka kutupiga tu jmnani
Msukuma upo positive
Msukuma nakubali hoja yako
Msukuma ana akili sana aisee
Msukuma umejua kunifurahisha njoo ukunywe soda
Ubarikiwe sana umetuwakilisha vyema
Big upa sana Mzee
Yaani hizi Ni dili za watu wachache
Mungu akulinde ndo ujue weny elimu hawan maan
Huyu very geneous na Elimu ambayo amehtimu hakika inafaa na huyu anafaa kuwa rais
Big up sana mheshimiwa
Asante ngosha
Hivi hii ichi ya ovyo kiasi mtu akiongea kingereza anaonekana wa maana sana utumwa wa lugha
Msukuma mungu akulinde uwenaujasiri hivo hivo kusema ukwel
Haha😀
Msukuma bhana! Anachat huyo. Wala hakusikilizi! 🤣
Yaani tunataka watu wenye experience ya maisha kama msukuma na sio wasomi wasiojua maisha ya watu wanakula kuku kwa mrija hawajui watu wa chini wanataka nini na wanaishije hawana kabisa mbinu za kurahisisha maisha ya watu ni wizi tu wanawaza dili
Jenius 👏👏
Genius not jenius
Msukuma Anajua Sana
Msukuma kama msukuma
Iyo elimu ta mtaa kwa mtaa inatakiwa kabisa tena na weekly test kabisa ziwepo
haaaaaaaaaa
Rais wetu msukuma njoo chadema uwe rais
Musukuma ni mtu na nusu bana kwanza anaenda kwenye point directly
Kaka Millard Ayo wananchi wa dodoma kunamahali wanateseka tafadhali kama yupo mwakilishi wako natamani kupata mawasiliano yako nimuelekeze na wanaofanya hayo niwaajiriwa wa serikali tafadhali sana kaka nakuomba nijuwe nampataje mawasiliano yenu ilikufika sehemu husika tunyanyasika mno tafadhali jamani
link me up am also in Dodoma
We can do something
Nakuelewaga sana mhshmw
Well done musukuma
Akili nyingi sana, u don't even need a degree 🤗😁
Nakubari sana kak af w ungerikuw t rais
Washindwe KBS inshallah kuwazurumu watu vimburu hao mabepali
Mtoto wa magu
Msukuma is gifted
Wasukuma tumejaliwa viongozi wa watu
Du kweli
Good msukuma
Nakupenda Sana Mbunge Wangu
😢😢magufulii mwngne
Hili jambo likwame na lisikifanikiwe kabisa
😢😢😢😢
Ngoma ikilia sana, itapasuka.
😂😂😂msukuma bna
Hawa ndio wabunge sio wasenge wengine
Serikali hii imekaa kipigaji tu😢😢
Kweli mnatupiga sio poa
Muheshimiwa waziri unanisikiliza au unachat😂
.....Kusoma kwa mtaa.....Mnapitisha madili ya watu.....ikiwemo gas kwa kisingizio cha kutunza mazingira
Msukuma ana akili za kuzaliwa ukweli
Huyu baba ameongea ukweri kabisa
Kanichekesha sana,
eti " mpiga dili kahamia wapi? "
😮huna baya baba
Bhagosha bhajameni😂 hem gonga hapo likes jamani
Sawa
Bunge siku hizi duuh! Hakuna taarifa hata moja kati ya hizo inayoqualify kuitwa taarifa.
mbunge ww uje jimbon kwangu
Common sense ni muhimu kuliko vyeti vya PhD zao na masters na degree la saba anawatoa jasho
Uyu jamaa kichwa yaani awa jamaa wavaa suti ndo tatizo la Nnchi hii yaani wezi sana wenyewe wanajiita waeshimiwa awa ni majangili wa Taifa
Huko sawa kabisa msukuma wanalera nonsense Kwa Nini wasije na mpango was kue ndeleza wafugaji
😂😂😂 wanywa gongo
wanajitengenezea madili ya pesa waambie hao shule walienda lakini common sense hawana
Wabunge wengine umo nivilaza kazi makofi 2 ata oja kazi makofi😂😂😂😂😂
Akili kubwa 😮
Msukuma mh tutee ndungu yangu
😂😂😂😂😂
Mngekuwa mnaruhusu waje na viboko huko ndani tuone wachangiaji watakavyowacharaza viboko 😂😂😂
Msukukuma kuhusu bandari kunakitu amekura pia tunawasiwasi Sana nae huhusu bandar
🤣 🤣 🤣 🤣
Sa wewe mtangazaji unaongea kulko mbunge ndo nn sasa
Unaniskiza au upo wasapp?
Jamaa yuko vizur Sana Hawa ndo viongzi tunaowata😂
Anachat
Unanisikiliza au unachart?
Hii nchi bana mmh, Mungu turudishie Magufuli mwingine, yaani ni badili tu kila mtu anaangalia tumbo lake bila uoga kweli watanzania tunaumizwa na hatuna pa kukimbilia wala wa kututetea😢😢😢😢😢
Hzo miuli na bangili zilianza kwa nani?
Wananikera hao na taarifa zao
Huyu jamaa ukweli ndiye namuona anaakili kuliko wabunge mazuzu humu bungeni
Hana unungu na JPM kweli huyu