Wafanyabiashara wa MAZAO wapigwa na butwaa baada ya kuelezwa kinachotokea mipakani na Waziri Bashe

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 14 лип 2023
  • Wafanyabiashara wanaosafirisha mazao nnje ya nchi wamejikuta wakipigwa na butwaa baada ya Waziri wa Kilimo Hussein Bashe kuwaeleza kuwa licha ya gharama zote ambazo wamekuwa wakilipia kwenye mpaka wa Tanzania na Uganda wa Mutukula, Tanzania imekuwa ikipata shilingi milioni kumi pekee kwa mwaka mzima.
    Bashe ametoka kauli hiyo alip[okutana na wafanyabiashara hao jijini Dodoma Julai 14, 2023.

КОМЕНТАРІ • 40

  • @hatujuaniimani4425
    @hatujuaniimani4425 Рік тому +2

    Yaani huyu waziri Bashe namkubali xana yaani wapiga kura wake kamwe hawajutii kura zao walizo mpigia.Yaani huyu anajitaidi sana kuwatetea wakulima na maslai yao. Hongera xana wazir Bashe Allah akulinde

  • @tumahamza8972
    @tumahamza8972 Рік тому +4

    Clever guy. You're among my best leaders. Keep it up Bashe. Allah Akusimamie uwe miongoni mwa viongozi wakuzungumziwa kwa wema.💪👏👍

  • @2003hintay
    @2003hintay Рік тому +3

    Mh Bashe kazi yako nzuri Sana unayofanya ni ya mtu aliekwenda shule big up Sana. Tuwe na mawaxiri 5 tu wa namna yako Nchi itapaa

  • @ramdanmbara8500
    @ramdanmbara8500 Рік тому +7

    Miongoni mwa Mawaziri bora kabisa Tanzania imewahi kuwa nao..

  • @simuguliosmartphonebrand7134
    @simuguliosmartphonebrand7134 Рік тому +1

    Huyu waziri kwa kweli ni very smart. Kongole sana Mh. Waziri. Unatwakilisha vizuri sana vijana. Binafsi nakuelewa sana na nina uhakika watanzania tulio wenhi tunakubali namna unavyooiendesha wizara hii.

  • @aminimushi6945
    @aminimushi6945 Рік тому +1

    Hongera mh Bashe,wewe ni kati ya mawaziri wachache Tz mnaojitambua,na hamzidi 5.

  • @lucassalvatory7251
    @lucassalvatory7251 Рік тому +1

    Genius

  • @saidabeid8249
    @saidabeid8249 Рік тому +1

    Congratulations Hon Bashe akii ww unaupeo nami hapo nilikuw nikilia napo kila cku my advice tumieni Tehama vizur ajir watu wafunge mifumo ya Tehama Wizarani mbona mnaenda China kuona magorofa tu hamjifunzi jinsi wao wanaendesha wizara zao???

  • @user-ck4ff9ub3t
    @user-ck4ff9ub3t Рік тому +2

    kwa mfano wekeni vikwazo va ukamilishaji wa transaction lazmam fanya biashara atumie benki to kufanya muamala. na hili mnaweza kucontrol pale mtu anaomba kibali cha export au kuwe na level nyingine ya approval ili aweze kukamilisha transaction yake ya biashara. but nasisitiza mnapo amua kufanya hivo msiwasumbue wafanya biashara. yaani nakusudia haya mambo ya approval yawe online na yafanywe na well trained machines. inawezekana.

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 Рік тому +2

    Mama kipoteza uyu Tanzania ume iua wakulima

  • @sophiamvungi1425
    @sophiamvungi1425 Рік тому +1

    Jamani Bashe Mungu akulinde

  • @user-ck4ff9ub3t
    @user-ck4ff9ub3t Рік тому +2

    inasikitisha sana serikali kupata only 10 million tzs kupitia hiyo border uloitaja hapo.

  • @victorwilliam1111
    @victorwilliam1111 Рік тому

    Very interesting to listen and makes we think of this

  • @user-ck4ff9ub3t
    @user-ck4ff9ub3t Рік тому +1

    fanyeni investment ya technology wizara . ni muhim sana. jifunzeni wa nchi ziloendelea kama vile marekani, european countries na nchi nyinginezo. it is possible.

  • @machaggechacha243
    @machaggechacha243 Рік тому +1

    Tz inapigwa kila kona.!! Jamani tumelogwaje na nani???

  • @MUSAAMOS-lv2bt
    @MUSAAMOS-lv2bt Рік тому

    Uko vizuri Sana mweshimiwa waziri

  • @karimkassam571
    @karimkassam571 Рік тому +1

    Ni waziri ambae Ccm tunategemea kupata Kura nyingi 2025.....

  • @user-ck4ff9ub3t
    @user-ck4ff9ub3t Рік тому +1

    Muheshimiwa unafanya kazi nzuri sana. naomba nishauri kama mtanzania mazalendo. kuhusu suala la export permit ku approved. hilo wala haliitaji mtu physically. design hizo form za export in such away ziweze kufanyiwa approval by machine.

  • @victorwilliam1111
    @victorwilliam1111 Рік тому

    Sijui tukwambieee au tukuache kwanza!!!

  • @innocentmushi3036
    @innocentmushi3036 Рік тому +1

    Moja ya mawaziri wenye akili na ubunifu.

  • @judicalosika7642
    @judicalosika7642 Рік тому

    NAUNGANA NA WENGINE
    TUNAOMBA UTUMIE KISWAHILI ZAIDI TAFADHALI.

  • @user-ck4ff9ub3t
    @user-ck4ff9ub3t Рік тому

    halafu kuhusu disparity between figure za export tanzania na figures za import kwa nchi jirani, hapo kidogo ni tricky, kwa sabab sidhani kama mpo 100 percent sure kama hao nchi jirani wawo figure zao zipo accurate au lah. lakini kwa upande wetu watanzania wizara wekeni mifumo ya uhakika ambayo itakuwa freindly kwa wafanya biashara waweze kuifata kuondosha hili tatizo

  • @plumbingtanzaniaplumber7570

    Ongea kiswahili kuwa mzalendo

  • @user-dz3df3og9m
    @user-dz3df3og9m Рік тому

    Huyu mkuu kasoma sana au huwa sielew kabisa maaan naneno ku ya kizungu nawili kiswahili

  • @NzenzuleManyanda
    @NzenzuleManyanda 11 місяців тому

    Chukua cheti cha uraisi bashe huna mupinzani

  • @sixmahama9324
    @sixmahama9324 Рік тому

    Yote hayo Ni kukosa uadilifu kwa watanzania...

  • @user-ck4ff9ub3t
    @user-ck4ff9ub3t Рік тому

    nnacho kusudia ni kwa kupitia Artificial intelligence that can be done. Advantages behind ni kwamba hiyo huduma itapatikana 24/7.

  • @prince.eric_msemwa9732
    @prince.eric_msemwa9732 Рік тому

    10M hali ni tete 😂

  • @jastinkanjost4454
    @jastinkanjost4454 Рік тому

    Kuhusu borders 🤔🤔

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 Рік тому +2

    Huyu waziri si atumie lugha moja kama kiswahili au English

    • @nickylyanga2139
      @nickylyanga2139 Рік тому

      Mm hata simwelewag...yaan

    • @ngisamakaranga
      @ngisamakaranga Рік тому

      Hivi huyu jamaa kiswahili hajuwi au.anafikiria watanzania wote wamesoma yani kazi nzuri anafanya ila ligha zake cyo rafiki kwa wakulima

    • @richardchimba3800
      @richardchimba3800 Рік тому

      Sasa si ungeenda shule bhana

    • @joyceKingu
      @joyceKingu Рік тому

      Kweli Kuna tatizo kueleweka kama anachanganya lugha. Kuna wakalimani kama atakuwa na wasikilizaji waiojua kiswahili

  • @ibrahimkazigo2660
    @ibrahimkazigo2660 Рік тому

    Huyo waziri mala kingereza mara Kiswahili kwani apo ni bugeni ?

  • @thedeo472
    @thedeo472 Рік тому

    KWA UOZO HUU, HUUNI UZEMBE WA SERIKALI. NI AIBU KUBWA. SERIKALI IJITAFAKARI. HIZI KODI ZIKIKUSANYWA HAKUNA HAJA YA KUNIKATA TOZO NIKITUMA MCHANGO WA MSIBA AU PESA YA KUMSAIDIA MZAZI WANGU KIJIJIJNI!!!👹👹👹

  • @machaggechacha243
    @machaggechacha243 Рік тому

    Tz is a failed state. Period.!!!!

    • @canibalgazaboy8325
      @canibalgazaboy8325 Рік тому

      Inajua failed state wew na somalia itakuwaje mzee acha utani kaka sisi siyo failed state ila tumezidiwa na rushwa tu ndo inatukosesha amani