SIKIA MKIKIMKIKI WA HOJA YA MAHINDI NA MAJIBU YALIYOTOLEWA
Вставка
- Опубліковано 22 чер 2023
- MAWASILIANO
+255746568552 WhatsApp/Call
#kenya #kenyadigitalnews #ktnnews #ntvnews #ruto #raila #odinga #kenya #kenyadigitalnews #ktnnews #ntvnews #ruto #raila #odinga
#kenyapaliament #kenyanyoutuber #ktnnews #kenya#kenya #kenyadigitalnews #ktnnews #ntvnews #ruto #raila #odinga #kenya #kenyadigitalnews #ktnnews #ntvnews #ruto #raila #odinga
#kenyapaliament #kenyanyoutuber #ktnnews #kenya
Safi sana mh bashe
Hongera sana mh.mbunge wangu wa kiteto mchapa kazi hodari tupo pamoja na wewe
Kumshinda bashe kwenye hoja uwe umekula kweli ✊
Msukuma hongera
Mtu ananunua mahindi akifika njiani anazuiliwa Hadi mahindi yanaoza mnatupa hasara kweli
Masikini kuendelea kazi Lima bei upangiwe viongozi wasiolima
Hata mimi nawapongeza yeyote anayesema tufunge mageti maana jamani kuna watu wa hali ya chini vijijini kwahiyo tuangaliye
Ndiyoooo baba bashe waambie hapo wakenya wamezoea vibaya wakati hao hawawezi wala kukubali kununua mahindi hovyo
Kakoso uko vizuri
Msipange Bei nyinyi sisi wakulima ndo inatakiwa tupange coz tunaumia
Nyie waheshimiwa mmewasahau walaji ndani bei ya chakula iko juu sana na kuna baadhi ya mikoa kama mara haikupata mvua za kutosha lakini pia wananchi wengi vipato vyao ni vya chini hawawezi kununua debe la mahindi tshs 22500/=kwani ndiyo bei inayouzwa huku mara.
Wewe umekula pesa za Dubai kula wewe tuache sisi machinga wa mahindi tufanye kazi kwa uhuru msukuma nilikua nakukubali sana lkn kwa hili wewe ni hopeless sana
Msukuma leo umeniboa
mnadanya wakulima mnatetea wafanyabiashara mkulima
jamani hadi mahindi yatakuwa bandari😢🎉
Tusemeeni sisi wakulima ili tunufaike nas
Nimeipenda mchango wa Msukuma
Mm bwana wabunge wetu mkulima huyu jamani watoto wa mkulima wanalala pabaya ijapo ni mkulima wanakula chakula si salama sana wasaidine hao wakulima
Watanzania sijui wanataka nini mahindi yakipanda unga umepanda
Enzi za waziri mungai
Nilikuwa nasubiri hoja yako mh kusukuma wengine hao nifuata upepo hatuwezi tukamaliza shakula serikali isimamie hili swala
Hivi kumbe wabunge wetu wapumbavu kwa kiwango Cha juu hivi daaah
WAZIRI BASHE unataka kutuuwa Wakulima,shida yako ni nin?
Rejea Tamko la MH.Rais kule MWanza!Je?mlikuwa wapi?kabla ya msimu wa mavuno!
msukuma unalima mda wote upo bungeni
Palipo na vikwazo ni sawa na kuzuia
yani wa kuisemea ruvuma hayupo dah kweli kazi ipo
Wacheni wakulima wauze mazao bila mipaka mnapowabana wakulima mnaenda kukiuwa kilimo mfanye kilimo vijana wakipende kiwe na tija
Wabunge mmeonyesha uwakilish wenu serkal hainunui mahind
Kijiji cha Kataz kata ya katazi Tarafa ya Mwazye wilaya ya Kalambo Mkowa wa Rukwa,tuna ghala kubwa sana ambalo linatunza gunia zaidi ya elfu 10000 tunaomba Nfra katika kijiji cha KATAZI
Rukwa sumbang he.ajimbo hakuna mubu getting
Wewe msukuma ndio mchaw wa wakulima wa rukwa tumeanza kukugundua ,wewe una dhahabu unataka tuje tukulishe kwa sh 50000 kwa gunia?
Mbona korosho mtuachii tukauze wenyewe
Hivi nyie mawazi mna akiri mkulima anagunia tano apeleke nje
Ashe kimbelembe
Hili lisukuma
Mimi naunga mkono hoja ya Bashe sababu Hali ya bei ya mwaka Jana ilikua mbaya sababu ya uratibu mbaya wakenya walikua wananunua mahindi yakiwa shambani hivi bei Gani halisi utakayodhibiti hapo acheni ushabiki wa kijinga wabunge nyie
Msukuma ovyo.
Bashe uko visuri
Serikali imechukua hatua nzuri ili Bei ya mahindi ishuke. Mahindi ni chakula sio kila mtu ana uwezo wa kununua kwa Bei ya laki Moja. Jamani wabunge kumbukeni kipindi kirefu Cha kiangazi. Baa la njaa ikiingia mtaanza Tena kulalamika.
🎉Kama bei kubwa siulime na wewe uone uchunguwake
Sasakwanini hiomipangomsifanyehivotangumapema mnatuumiza wakulima
Andika vizuri hujaenda shule
WAZIRI tunaomba kituo KATAZI
Wewe msukuma mbona kimbelembele we mwizi sio mfanya biashala
Msukuma hamna lolote mafanyabiashara magaidi ndiyo yanayotusaidia wakulima Wacha tuuze mahindi hulia acheni tamaa za kijinga
Hivi kama hamja funga mipaka hujui kama Watu wa chini wata kufa njaaaa muogopeni sana Mungu Magufur Ali funga mipaka ili chakula Tanzania kipungue bei ilimradi tu Ata mtu wa hari ya chini Nae apate chakukilaa
kwaiyo mm nilime kwa gharama halafu bei anipangie mtu mwingine!?
Unaumwa nni WW mm nilime halafu WW upange bei