ATIWA MBARONI KWA MAUAJI YA RAFIKI YAKE NA KUMUIBIA MILIONI 61, KAMANDA AFUNGUKA ILIVYOKUWA
Вставка
- Опубліковано 10 лип 2024
- Mussa Khamis Bakari alimaarufu kama buda mkazi wa Temeke Dar es salaam anashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za kumuaa Abdallah Twahir Selemeni mkazi wa Chanika baada ya kufanya tukio hilo mtuhumiwa alichukua mwili wa marehemu na kuutupa pembezoni mwa barabara itokayo Cheka kuelekea beach Kichangani baada ya hapo akachukua kadi ya benki ya marehemu na kwanyakati tofauti tofauti alianza kutoa pesa hizo
Taarifa hio imetolewa leo Julai 11,2024 na Kamanda wa Polisi Jumanne Muliro alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa mikutano kituo cha Central Polisi Dar es salaam
Siku hizi rafiki yako ni Mungu wako tu.
Hongereni jeshi la polisi kwa kazi nzuri
Pesa una nn mpaka tunatoana uhai? Ee Mungu uliye hai utusamehe sisi wenye dhambi.
Ila polisi wakiamua hata ungejificha wapi watakupata tu
Ndomana mimi sina rafiki 😂😂
Rafiki staki kwa kweli
TamaaZingine.SubhanaAllah.sasa.kapatanini
Chamsingi mambo ya pesa usimshilikishe rafiki wala jilani
Rafiki hakika hakuna kabisa wengi ni chatu
Hongera jeshi letu kwa kazi nzuri
Mungu kamlaani kauwa pesa hajazitumia na inshalkah jela ya milele ataingia
Rafikiako die hadui wa miasha yako usimwamini sana
Ukidharirisha.Allah.Anakudharirisha.pasupasu
Walichome hadharani
Rafiki mkia wa fisi wallahi!
Anyongwe
Buda kweri wakala wa sweitwani huyo nae anyongwetu basi wakakutanehuko maana huyo umbwa hanaatahuruma. Unamuua rafikiyako kweri
Hongereni jeshi la polisi kwa kazi nzuri