MPINA AIBUA 'VARANGATI' BUNGENI, AMTAJA WAZIRI MKUU, SPIKA Amtaka Alete USHAHIDI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 тра 2023
  • MPINA AIBUA 'VARANGATI' BUNGENI, AMTAJA WAZIRI MKUU, SPIKA Amtaka Alete USHAHIDI
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

КОМЕНТАРІ • 324

  • @zephreinsuleimanpriciselyu5223
    @zephreinsuleimanpriciselyu5223 2 місяці тому +9

    Mpina ni mbunge wangu
    Wa jimbo la kisesa,
    Hongera sana
    Saizi ushakuwa jembe
    Usiogope tuko nyuma yako❤❤

  • @Elimunamalezi
    @Elimunamalezi Рік тому +9

    Yaani speaker Tulia unajua sana na hongera sana upo vizuri sana ,yaani wewe dada upo vizuri sana nakupenda bure ,unajibu hoja vizuri sana

  • @daudwilliam2326
    @daudwilliam2326 13 днів тому +1

    Dr Tulia is one of best speaker in this country big up madam ur right mauwa yako chukua una umakini ulio pitiliza mpina yupo right tulia yupo right ila hao wengine wame rukia gar kwa mbele na kukosa umakini hasa huyu jenista kwanza ana poteza mda😂😂😂😂😂

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 8 місяців тому +11

    Hongera Mpina hapa wabunge wengine hata kufuatilia cho chote. Wanataka kuwa wachawa tu kwa kweli hali ya hili bunge lake ni dharau tu wanatutendea maovu mengi.

  • @user-sk1xp8of6x
    @user-sk1xp8of6x 14 днів тому +1

    Spika wetu nakupenda Sana asa unapotoa maelekezo nimempenda upivyomjibu jenista muagama huyu kazi yake ni kuwazuia wabunge kusema!!! Hongera mh spika wetu!!!

  • @GeraldLembris-jr3yz
    @GeraldLembris-jr3yz 4 місяці тому +3

    Hongera sana dr tulia.
    Nafasi alokupa mungu inakustahili kabs, pia mpina mungu akuongezee confidence ulonayo kutetea wananchi

  • @Luhende1
    @Luhende1 Рік тому +13

    Hongera Mhe Mpina,
    Hakika una uwezo mkubwa sana, umewapiga kwa hoja mpaka wametulia!
    Na hongera kwa Mhe Spika wa Bunge, unachambua hoja vizuri sana!

    • @pendokimathi99
      @pendokimathi99 8 місяців тому +1

      Mpina kuna watu pia wanauwawa ngorongoro pia hao uwazungumzie hongera kwa mada yako

    • @gagalinodenatrick1652
      @gagalinodenatrick1652 3 місяці тому

      Kiukweli huyu spika akigombea urais naenda kupiga kura anatenda sana haki

  • @user-gg1ef9gc3t
    @user-gg1ef9gc3t 5 місяців тому +4

    Hongera mbunge mplna tungewapa watano kama nyingi tuko mbali sana

  • @user-ps6wm2qm4f
    @user-ps6wm2qm4f 3 години тому

    Hongera sana Mbunge Mpina.Tunahitaji kuwa wakweli na wawazi sio makofi tu.Haileti maana yoyote.Hatutajenga Taifa hili kwa style hiyo

  • @mokeya
    @mokeya 4 місяці тому +2

    Bunge hili jmn kidg nitukane walah mungu nipe uvumiliv .
    Limekuw bunge lakutetea viongoz na cy lakutetea wananchi . Mpina mungu akulinde sana upo sahihi

  • @ClementJacob-sd8lf
    @ClementJacob-sd8lf 2 дні тому

    Professional speaker i love you my dear good day you stand with Tanzanias citizen

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 Рік тому +11

    Wabunge wanafanya utoto😢😢😢

  • @prosperjohn2047
    @prosperjohn2047 4 місяці тому +2

    Jenista soma hata mitandaoni uone uachoeleza na Cha mpina, we unge tulia tyuuu mama angu, na Mungu akupe umri haraka haraka Ili.....

  • @magesagambajr3546
    @magesagambajr3546 4 місяці тому +3

    Ndo nimegundua kuwa ili bunge limejaa wa kupiga makofi bila kuelewa Nini kinaongeleka
    Hongera sana Mpina lkn Pia Speaker mtu makini sana salute kwako

  • @danielmkulat1598
    @danielmkulat1598 Рік тому +4

    Hongera Mh.sipika kwa uchambuzi wa kina

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting7180 7 місяців тому +4

    Huyo mama jenista kazi yake kubwa ni hii kweli...ameumia sana kuhusu kauli hiyo

  • @zesootv6726
    @zesootv6726 Рік тому +4

    Mpina upo vizuri hla nchi yetu hii utakufa mapema ukiwa na msimamo kama huo ndugu yangu ww chakufanya jaribu kula na kipovu kwasababu hao hao wanao piga makofi ndiyo wasaliti .

  • @MasanyiwaDeus
    @MasanyiwaDeus 2 місяці тому

    Mpina ubunge unautendea kazi mungu akubariki ,,,bila kksahau spika wa bungu you are so bright at all

  • @hayeshimpeziy
    @hayeshimpeziy Рік тому +1

    Hapa nimemkubali sana Mh. Spika, kwanza ni msikilizaji mzuri sana, ilibidi nirudi nyuma kusikiliza hoja ya Mh.Mpina vizuri..She is so much brilliant. Yaani hoja ni moja tu kama kama maelekezo yalitolewa na Waziri Mkuu yamefatwa ama laa

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 8 місяців тому +4

    Wewe Ndumaro siku zote unapenda kuongerea kujipendekeza na wote ni wapiga makofi tu. Sasa hapa kuna bunge au ni vitu vya ajabu sana. Hata sisi wanainchi hatuoni kama tuna wabunge wakiwa hatuna wawakilishi wo wote. Mpina ndiye peke yake anakumbuka wanainchi waliowapeleka bungeni lakini wengine hamna habari na sisi wanainchi

  • @manaxelukama2926
    @manaxelukama2926 19 годин тому

    Ni mmoja ya mbuge ambaye wananchi wake wanajivunia kuwa na mbunge imara na mtulivu hongera saana damu ya kisukuma kwa utumishi mzur

  • @marianmartin7483
    @marianmartin7483 Місяць тому +1

    Muhagama anapoteza muda wa mh Mpina. Spika umeelewaka vizuri sana.

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 14 днів тому

    Mungu aipe Tanzania viongozi wakuwatetea watanzania. Kwa woga tulio nawo viongozi wengi hawafanyi Kazi zawo kwa faida ya watanzania, bali kutetea nafasi zawo na kujishibisha wenyewe. Wabunge walizko bungeni kwa kutetea haki za watanzania kimya. Hawana hata AIBU kupiga męża kumpinga Mpina mutetezi wa watanzania. Hawa jeśli tuwaite vyula viziwi.

  • @JosephLukumaiLukumai
    @JosephLukumaiLukumai 7 місяців тому +3

    Mh. Yuko sahihi ujawahi shindwa mungu akubariki

    • @Msafirimzigwa
      @Msafirimzigwa 21 день тому

      Mim ninaiman kunawabunge awajielewi na awajui majukum yao

  • @robinsonpaschal8550
    @robinsonpaschal8550 2 місяці тому

    Spika uko vizuri umemjibu vizuri jenesta muhagama. Jenesta muhagama anatetea kiti na si point. Mawaziri wameisha jijengea tabia ya kuteteana bila kujali matakwa ya inchi

  • @Trys6254
    @Trys6254 Рік тому +5

    spika kwel kaiva kisawa sawa kwakwel nakubali sana

  • @ahmadmlima8155
    @ahmadmlima8155 Рік тому +1

    Uko vizuri sana Mhe.spika

  • @sethkivuyo3342
    @sethkivuyo3342 7 місяців тому +3

    Jenista Umepuyanga kipumbavu mno

  • @juliusmartin1839
    @juliusmartin1839 Рік тому +3

    Waziri wa Mali Asili na Utalii alitakiwa kumpa Mbunge taarifa ya hoja...siyo kazi yake kumtetea Waziri Mkuu...waziri Mkuu analindwa na Kanuni.

  • @emmanuelmasele9585
    @emmanuelmasele9585 25 днів тому

    Hongera sana Mh.Spika uko vizuri sana.

  • @herielinassary3645
    @herielinassary3645 7 місяців тому +1

    Asante mh spika apo ni sawa

  • @josephinamkono5183
    @josephinamkono5183 4 дні тому

    Sasa kama waziri mkuu anatoa maagizo arafu hayatekerezeki na yeye nimmoja wao Kwenye tatizo ndomana ndomana hayatekelezeki🎉

  • @malcomx4067
    @malcomx4067 Рік тому +5

    Mpina ndiye mbunge pekee aliyebaki mwenye ideology ya Magifuli ya kuwatetea wananchi.

    • @gracemima5234
      @gracemima5234 Рік тому

      Kabisa. Samahani nikisema karibu wabunge wote ni mazuzu. Hawako bungeni kutetea wananchi zaidi ya matumbo yawo

  • @samwelnevele7796
    @samwelnevele7796 8 днів тому

    Hongera spika nakufutilia kwa karibu sana hebu wamuache mpinaachngie jamani

  • @josephatdunda1937
    @josephatdunda1937 Рік тому +6

    Mpina usirudi nyuma, ni wengi mno tunaokuunga mkono

    • @mpajibinaisa7238
      @mpajibinaisa7238 7 місяців тому

      Big up sana kwako spikia kwa ufafanuzi huo nimekuelewa sana

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 Рік тому +1

    Leo ndio imedhihirisha Wabunge wetu wengi hovyo ila Spika yupo vizuri sana

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 3 місяці тому

    Asante mh Spika kwa kukitendea haki kiti Ongera

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 8 місяців тому +1

    Hongera ndugu mbunge Mpina

  • @andrew29468
    @andrew29468 8 місяців тому

    Safi sanaaa spikaa
    Umeongea vzr.Lazima kuwatetea wabunge wanaotoa hoja nzr zina na hata km zinamgusa kiongozi ndio demokrasia hiyo tuvumilie

  • @gustavrwekaza802
    @gustavrwekaza802 2 місяці тому

    🎉yaani spika umepewe maua yako katika hila ,Jenesta Mungu anakuona

  • @jacksonmwakasege6210
    @jacksonmwakasege6210 4 місяці тому

    Mpina wetu,Hongera sana!!!

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 Рік тому +2

    Safi sana spika makini .

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 8 місяців тому +1

    Kweli kabisa nakuelewa vizuri kwa sababu wabunge wengine wako kama wachawa tu. Kama ninyi mmetuchoka wanainchi ondokeni bungeni tuweke wengine kabisa. Sasa katika hayo tatizo la Mpina amekosea wapi?

    • @pendokimathi99
      @pendokimathi99 8 місяців тому +1

      Umo ndani kuna wabunge vichaaaa na chawa wa viongozi sasa tunalitumia bunge ujumbe tukutane mtaani 2025 mpina waache wakae wakijua mbabe bado yupo anachoongea mpina yupo sahihiiiiii

  • @WILLIAMCHINA
    @WILLIAMCHINA 8 місяців тому +1

    Mh. spika Wabunge Waelewe Mpina Anazungumza Ukweli , Chaguzi Zetu Kama Waziri , Anajibizana na Mbunge Hoja Aslimia Kubwa Huku Mitaani kila Mtu Anafanya Kazi.

  • @victorsanga2229
    @victorsanga2229 Місяць тому +1

    Jenester hana hoja, maelezo ya spika kuhusu mchango wa Mpina yapo sawa.

  • @Dominaevance
    @Dominaevance Рік тому +1

    Very Sad Kwa Upande Wa Wabunge Busara Nikumuqcha Mbunge Achangie Hoja Yake hata kama haikufurahishi Wewe na Finally Serikali ndo inaambiwa na inatakiwa kujibu Wabunge nao wanamfanyia fujo Mbunge mwenzao, Hongera Mpina Tuko pamoja

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 Рік тому +3

    Tanzani ya Samia imekuwa mateso kwa watu wa chini. Viongozi wetu ikiwa pamoja na wabunge hawawajali kabisa watu wa chini.

  • @MohamedBlanker-jw9qy
    @MohamedBlanker-jw9qy 7 місяців тому +1

    Hongera spika hongera mpina

  • @sarahkingunza1516
    @sarahkingunza1516 3 дні тому

    Ubarikiwe sana spika

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm 4 місяці тому +1

    Jenista kikwazo sana. Kuna mawaziri shida na mizigo.

  • @ManaseJubilate-kk2gz
    @ManaseJubilate-kk2gz Рік тому +2

    Bunge fuata upepo, so sad kwa kweli 😮,hebu tuwe wakweli wananchi waliopo huku field ndo tunajua ukweli wa mambo,hv tuna mawaziri na wabunge wasiyojua kupambanua mambo kwa kiasi hiki!?

  • @vumilialeonardi109
    @vumilialeonardi109 9 днів тому

    Asante sana sipika kuto kuwa na upande

  • @user-sk1xp8of6x
    @user-sk1xp8of6x 14 днів тому

    Akina getere awa ni moja ya kazi mbaya iliofanywa na jpm kuleta wabunge ambao wapo tu,wafugaji wa nchi hii wanatumia Sana!!! Mpina yupo sahihi!!!

  • @charlesmarco248
    @charlesmarco248 2 місяці тому

    Hongera kipenz Cha watu

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting7180 7 місяців тому +1

    Watu wengine wapo kama watu sijui kwa nini hao watu wapo

  • @vumilialeonardi109
    @vumilialeonardi109 7 місяців тому

    Asante mbunge kutusemea wafugaji

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 10 днів тому

    Mnalindana kisa vyeo mpeni lukusa mpina mpina hongera mungu akulinde

  • @uwezomayonko5101
    @uwezomayonko5101 7 місяців тому +1

    Huyu mama ni mnafiki sana na habadiliki ninafikiri unafiki huo alizaliwa nao

  • @FrankMwakatundu-cu6bd
    @FrankMwakatundu-cu6bd 4 місяці тому

    HONGERA SANA MH.TULIA KWA SASA UNAITENDEA HAKI TAALUMA YAKO HONGERA SANA!!! URAIS WAKO WA DUNIA UNAKUSTAHILI SANA.

  • @user-oc9zo3bo6y
    @user-oc9zo3bo6y 4 місяці тому +1

    Ilindio tatizo lawabinge uchwara yanimbunge mwenzao anachangia vituvinavyo wakwaza wananchi wanampinga kwavituvyaukweli hawandio wabunge tunao wategemeakweli sibola hatatusiwe lawabinge kamahawa

  • @ommyregga5829
    @ommyregga5829 Рік тому +1

    Safi mpina

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri 4 місяці тому

    Kama hayo ni kweli mhe Mpina hakika uko sahihi na Mungu atakulipa.

  • @letustalk.tuongee2186
    @letustalk.tuongee2186 Рік тому +2

    Mawaziri hawezi kujibu maswali. Wabunge wanapiga makofi kwa kila jambo yaan hawaeleweki lipj wanalipigania lipi wanahitaji. Hatuna bunge. It is just a meeting of a few people making money for nothing . It is shameful.

  • @rehemamejja8342
    @rehemamejja8342 10 днів тому

    Spika uko vizuri

  • @laurentmichael8124
    @laurentmichael8124 10 днів тому +1

    Tulia ni kiongozi bora sana

  • @KasangaKalanga-vo6od
    @KasangaKalanga-vo6od Рік тому +1

    Mm nawashangaa wabunge wa Tanzania wanashabikia ujinga

  • @timothalex3249
    @timothalex3249 Рік тому +2

    Spika anaakili sana

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Рік тому

    Dhuluma haijengi haifai kudhulumu muogopeni mungu

  • @NazaliMagayane
    @NazaliMagayane День тому

    Ktk hili nakwenda na Mpina na Spika. Wengine ni uchawa tu unawasumbua.

  • @diomedesmwesiga4007
    @diomedesmwesiga4007 Рік тому +4

    Spika wa bunge wazaz wako washukuriwe maana ela ya shule waliitoa kwa jasho lao sio za kuchota kama wengneo swaaa

  • @nangugu1657
    @nangugu1657 7 місяців тому +1

    HakiKa mpina uko vizuli kwelikweli Upo makini na unaonesha ni kiongozi mahili usiye ogopa sula ya Mtu na unajikita Kwenye haki kwelikweli

  • @suleimanmnondwa9794
    @suleimanmnondwa9794 4 дні тому

    Mpina Mpina Mpina . Mungu yupo na wewe

  • @prosperjohn2047
    @prosperjohn2047 4 місяці тому

    Ahsante sana muheshiwa spika

  • @zakariamigeto3543
    @zakariamigeto3543 Рік тому +2

    spika anafaa sana

  • @omaryjudasymwanga7172
    @omaryjudasymwanga7172 8 місяців тому +1

    Mnapiga makofi watu wanaumia na mali zao nadhani kuna uwezo wa kiutendaji na uwezo wa kufikiri kwa pamoja tembeleeni maeneo na wananchi husika ndio muongee

  • @user-gu3yc1gw3v
    @user-gu3yc1gw3v 4 місяці тому

    Spika tulia maua yako 🎉 unajua mpina si mwamini sana lakini spika umetenda haki safi sana hongera

  • @user-sr6tr7ko7w
    @user-sr6tr7ko7w Рік тому +2

    😂😂😂😂😂 nicheke mie, eti bunge tukufuu!! Wote wezi watupu.

  • @jofreysaimoni4964
    @jofreysaimoni4964 4 місяці тому +1

    Mpina upo sahihi pamoja namachawa kuwa wemgi

  • @happyfiverickaldo4662
    @happyfiverickaldo4662 Рік тому +1

    Mpina hoyeee

  • @usitocassian3286
    @usitocassian3286 7 днів тому

    Sipika unaakili sana nimekukubaki mama

  • @WILLIAMCHINA
    @WILLIAMCHINA 8 місяців тому +1

    Waheshimiwa Wabunge Wetu , Anachorenga Mbunge , Hoja Ya Mpina Ni Ukweli Watendaji Walioko Huku Wamejikita Kwenye Utaratibu Wao , Hata Aridhi kunavitu Haviko Sawa Mpina Anacholengo Waziri Mkuu Amri Yake Watendeji Wanapuuza , Wanachofanya Wabunge Ni mambo Ya Hovyo Kwa Viongozi Tunaamini Unakinzana Kwa Fujo kumzuia Mtu Kuwakilisha Wanannchi

  • @bobwhite9252
    @bobwhite9252 Рік тому +3

    tuna spika mwenye akili sana

  • @ChristerShao
    @ChristerShao 4 місяці тому +1

    Tunahitaji wabunge wanaotetea kusemea wananchi magumu wanayoyapitia sio wabunge wapiga makofi.

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 14 днів тому

    Huyu ndiye Mbunge wa kweli kweli, wengi ni vilaza, Hawajami shida za wananchi kabisa. Mpina watanzania wakenya haki kwa wote wanakupenda. Endelea kutetea Tanzania na watu wake.

  • @FrankNzombo-ps8gw
    @FrankNzombo-ps8gw 11 місяців тому +1

    Kuna watoto ndani ya ukumbi wa bunge Mazezeta yanafunga meza badala ya kutetea hoja

  • @omaryjudasymwanga7172
    @omaryjudasymwanga7172 8 місяців тому +1

    Kuna wakati ukifanya.maamuzi.kama kiongozi usiangalie kule kuna mtoto wa shangazi ilimradi anasimamia utumbo wa kuangamiza wengi zibua don't accept double standard mtavuna laana badala ya baraka

  • @bobwhite9252
    @bobwhite9252 Рік тому +2

    bunge limejaa wapiga makofii,ni aibu...as if ni kikundi flan cha watu waliojimilikisha nchi

  • @badruyassin7157
    @badruyassin7157 Рік тому +2

    Alicho kifanya mwigwilu 7:38 Mhhh

  • @ahmadmlima8155
    @ahmadmlima8155 Рік тому

    Kikubwa kinacho takiwa ni utekelezaji wa Maagizo ya viongozi wa juu Maagizo Yana tolewa Mhe waziri wetu Mkuu. Haya tekelezwi.

  • @user-xi2mf4xh7r
    @user-xi2mf4xh7r 7 днів тому

    Mpina yuko sawa kabisa,kilichopo ni Waziri mkuu kufuatilia ni nani asiye tii tamko lake?

  • @realswahilicultural8140
    @realswahilicultural8140 Рік тому +2

    Chawaaaaa wengiiii mmmmmmmmnoooooooo

  • @MwalimuD
    @MwalimuD 4 місяці тому

    Asante sana Madam Speaker

  • @mabondolawrence1812
    @mabondolawrence1812 4 місяці тому

    Yaani Mpina kwa kiwango cha ukomavu na hekima aliyonayo inawezekana hajawahi kupigapiga dawati yeye hutafakari jinsi ya kujenga hoja za haki na kweli na siyokujivika aibu ya kuingia bungeni kupigapiga dawati na kisha kuondoka bila hata kuchangia hoja zilizoshiba.

  • @najimmakongoro8024
    @najimmakongoro8024 Рік тому +1

    Spika 🤝🙌🏽

  • @emmanuelmodest7457
    @emmanuelmodest7457 14 днів тому

    SAFI MPINAAAA

  • @sebastianmwantuge5597
    @sebastianmwantuge5597 8 місяців тому +1

    Tuna viongozi mshahara, critical thinking hakuna

  • @user-zq8vf4kj8b
    @user-zq8vf4kj8b 12 днів тому

    Ukweli wabunge hawana heshima kumdhalilisha mubunge anapo toa hotuba spika binafsi naomba ukemee tabia hii

  • @josephkmarwa7425
    @josephkmarwa7425 14 днів тому

    Mpina..unapingania..haki..ya..wanyonge .lakini..wengi..wenu..mnatunyoga..kona..mpina.kila.siku..wafugaji..wataifishwa..mfugo..yao..na..kubaki..masikini.😭😅😭😭🙏

  • @nedkatunge5702
    @nedkatunge5702 Місяць тому

    Jenister tupe maelezo kama tulia alivyoeleza napata wasiwasi na kiwango cha elimu yake ninavyoona huyu anapalilia unga wake

  • @AlhadjtwahaMbululo
    @AlhadjtwahaMbululo 2 місяці тому

    Kamati ya ulinzi, napendekeza huyu Mh Mpina apewe ulinzi mkubwa sana, cc wananchi tunamhitaji aweze kufichua uozo ndani ya serikali. Ni kiumbe muhimu sana kwa faida ya nchi hii.Bunge limenoga mfano la wakati ule akina Lissu na timu yake wakiwepo, M'mungu katuletea huyu kiumbe kwa makusudi maalumu. Sijui nimeeleweka?