Suala la Ushoga Latawala Bungeni I Wabunge Kupimwa I Wanaume kwa Wanawake I Katani Ahmadi Alikomalia

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 кві 2023
  • Mbunge wa Tandahimba Mhe. Katani Ahmadi Katani, ikiwa anachangia bajeti ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024, amesema kutokana na suala la kimaadili kupungua/kutoweka mtaani hivyo wao ni wawakilishi wa wananchi ni Kioo cha Jamii lazima wapimwe kama ulivyo utaratibu wa Jeshini ukienda lazima upimwe.
    Mhe. Katani, amendelea kukazia suala hilo na kumtaka Waziri mwenye dhamana na Afya kuwa jambo hilo halitakiwi kusubiriwa kama kuna wataalamu wapo waje wapime Wabunge.
    Stori zaidi za Bungeni tumekuweka kwenye akaunti yetu ya UA-cam “Clouds Media”.
    #7bisha
    #MoyoWaMawingu
    #KutokaBungeni

КОМЕНТАРІ • 41

  • @BelinaAntony
    @BelinaAntony 16 днів тому

    Yani we baba mungu akuliede kwa hoja yako nzuli sana

  • @veronicamnico4773
    @veronicamnico4773 4 місяці тому

    Baba umeongea vizuri,, watu wapimwe hadi huku mitaani wapimwe

  • @SumiraMengi-tu1hs
    @SumiraMengi-tu1hs Рік тому

    Mheshimiwa katani umenifurahisha sana mungu akubariki kwamaono mazuri

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 2 місяці тому

    Yes umesema vyema sheria ni muhimu. SHERIA IWE KUNYONGWA TU.

  • @stephaniahaule691
    @stephaniahaule691 Рік тому

    Oooh jmn sio waovyo nijambo la msingi tujue chanzo ninini ushoga kuongezeka kwa speed ya ajabu

  • @simonibonifasi3131
    @simonibonifasi3131 Рік тому

    Safi sana katani natamani ungekuwa raisi

  • @kassimrajabu56
    @kassimrajabu56 Рік тому

    Msukuma bhana eti “Wasenge”😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 2 місяці тому

    Hili jambo haliwahusu CCM nanyi hili Bunge ni CCM tupu kama mnaliona kuwa ni janga basi kutungwe sheria ya kunyongwa wote bila kigugumizi cho chote.

  • @veronicamnico4773
    @veronicamnico4773 4 місяці тому

    Huyo msukuma Kuna Nini mbona anapinga ?

  • @GeraldinaGerard-xy6pl
    @GeraldinaGerard-xy6pl 10 днів тому

    Wapimwe na atakaegundulika,asiingie kwenye ukumbi wa mkutano Bungeni na kuondolewa majukumu ya kuwa kiongozin sehemu yoyote,na ahukumiwe na kuadhibiwa

  • @simonibonifasi3131
    @simonibonifasi3131 Рік тому

    Mm nakuunga mkono wekeni shelia yakuwanyonga2 nasio shelia nyingine

  • @happinessmwaipopo7426
    @happinessmwaipopo7426 Рік тому

    Taarifa zingine hazina maana mumuache aongee

  • @user-cw3ku7ww3l
    @user-cw3ku7ww3l Рік тому

    Inatakiwa kutungwa sera ya upimaji wa afya mtaa Kwa mtaka atakaejulikana anafanya huwo mchezo Sheria ifuate mkondo

  • @allymohamed4065
    @allymohamed4065 Рік тому

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza Рік тому

    Hamna kazi ya kufanya.

  • @SileIsmail
    @SileIsmail 26 днів тому

    Hii nchi ilikuwa inafaa kutawaliwa na mtu kama joseph Stalin

  • @justerclement6437
    @justerclement6437 Рік тому +1

    TENA HIYO KAZI YA KUWANYONGA NIPENI MIMI HATA BILA MALIPO FRESH

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 Рік тому +5

    Madaktar waje wawapime, na unakuta madaktari wenyewe wanapelekewa moto😂😂

    • @leticiachunga9118
      @leticiachunga9118 Рік тому

      Halafu kweli🤣🤣🤣, Kuna hospital moja hapa ninapoishi kunamuhudumu mmoja ni shoga kabisaa

    • @vibetz9991
      @vibetz9991 Рік тому

      @@leticiachunga9118 🤣🤣

    • @hanifa9153
      @hanifa9153 Рік тому

      ​@@leticiachunga9118 😂😂😂🤭🤭🙌

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza Рік тому

    Tungeni. Sheria munyimwe hizo pesa kwani nani anufaika nazo kama siyo nyinyi sisi tutafurahi sana tufanane.

  • @wisdomsingersbanana
    @wisdomsingersbanana Рік тому

    Waache kutuzuga, Kamakweli wanalichukia wapitishe Sheria kama Uganda tuwaone, wapime kwa gharama ya nani? Alafu wakikutwa watafanywa nini? Hiyo nguvu watumie kwakupitisha sheria then wapimwe🙄🙄

    • @emanuelsinyinza
      @emanuelsinyinza Рік тому

      Mumeshidwa kutunga sheria madereva wanatunyonga kila kuchapo. Lipi baya zaidi mimeshidwa kutunga sheria wachawi wafanyabiashsra wamefuga misukure wengine humo bungeni mumekariamahirizi bira hivyo msingekuwepo.

  • @SileIsmail
    @SileIsmail 26 днів тому

    Huu ni upuuzi mtu mzima anaongea mambo ya msingi wajinga wanacheka hii ni nini kama aio dharau

  • @karthala6676
    @karthala6676 Рік тому

    Watcheni halo. Kuna mambo muhimu yakufanya

  • @harrybanks-qy5qq
    @harrybanks-qy5qq Рік тому

    Wabunge wa hovyo haijawai kutokea

    • @edwardmizambwa237
      @edwardmizambwa237 Рік тому +1

      Wache waongee maana Serikali iko kimya na hili janga. Au wewe unaogopa kupimwa?

    • @leticiachunga9118
      @leticiachunga9118 Рік тому +1

      Wewe ni basha au shoga? Mbona hutaki hili swala lizungumziwe na wakati hadi vita u vya dini vimezungumzia hujawahi kusoma nini? Hapo bunge linasisitiza tu, itabidi tuwatilie shaka na nyie ambao hataki hili swala kuzungumzia

  • @harrybanks-qy5qq
    @harrybanks-qy5qq Рік тому

    Yaani wanaacha kujadili mambo ya msingi Leo wanajadili wasenge

    • @edwardmizambwa237
      @edwardmizambwa237 Рік тому +2

      Hili ni janga au na wewe unaogopa kupimwa usije umbuka ?

    • @leticiachunga9118
      @leticiachunga9118 Рік тому

      Ngoja mtoto wako aje avunjwe au wewe uje utaitishwe na basha ulawitiwe ndio utajua umuhimu wa hiyo kitu

    • @nassirhamad9407
      @nassirhamad9407 Рік тому +1

      Kwa hiyo kwako hili si jambo la msingi kwa taifa kujadiliwa???
      Watanzania tunafikiri vipi??

    • @SileIsmail
      @SileIsmail 26 днів тому

      Itakuwa kashaliwa mkundu huyu