NABII KIBOKO YA WACHAWI WA BUZA AIKATAA VITA ya MWAMPOSA "NINA HESHIMA KUBWA, KUNANJIA WAMEIPASUA"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 бер 2024
  • #MzalendoTv #KaziIendelee #M4C
  • Спорт

КОМЕНТАРІ • 341

  • @filimonmpinge6039
    @filimonmpinge6039 3 місяці тому +7

    Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa Mungu alisaidie kanisa la Leo liwe na macho ya ROHONI

  • @BarakaDonasiani-pj9bx
    @BarakaDonasiani-pj9bx 4 місяці тому +7

    Muuni tu uyo na hizi ndio siku za mwisho wanakuja manabii wa uwongo watanzania jiangalieni.sana na watu kama.hawa mtafuteni mungu kw bidii na kulijua neno na mungu bibria

  • @muhasatv9245
    @muhasatv9245 3 місяці тому +8

    TUNAOSOMA HUKU TUMEWEKA POZI ILI MB ZISIENDE TUJUANE.

  • @festomaswaga-ht5yi
    @festomaswaga-ht5yi 2 місяці тому +3

    Ubarikiwe baba mungu akutangulie🙏🙏🙏🙏 mimi festo kutoka dodoma

  • @user-zs6kw8ks4m
    @user-zs6kw8ks4m 3 місяці тому +9

    Mtumishi wamungu hutasikia akisema vibaya Kwa watumishi wengine hongera mtumishi

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md 4 місяці тому +47

    Nimemsikiliza huyu Sana hakuna anachohubili anachofanya NI kuwadanganya watu Kwa kivuli cha injili tena kuna majilani zangu wawili walienda huko wachoambiwa kumwona watoe elfu 20 walitoa na hawakuluhusiwa kumwona mpaka wanaondoka na hiyo pesa hawakuludishiwa nawaomba wa tz kuweni makini na watapeli wa injili jifunzeni kusoma bibilia na kuomba wenyewe mathayo 7:7. Mungu anawaalika watu wote waombe mungu hamilikiwi na MTU manabii wa Leo hutumia ujinga wa watu kutojua maandiko kuwadanganya na kuwaibia amkeni swala la kuomba NI la kila MTU alieamini na kutubu dhambi mungu Hana upendeleo

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 3 місяці тому

      Hivi sisi waumini wa kila madhehebu yote hamjasoma biblia agano la kuwa kutatokea Manabii wa uongo magonjwa yasiyotibika kama ukimwi corona kansa ebola nk wengi wao wanashiriki hasa nguvu za kishirikina za chuma ulete na wajinga ndiyo waliwao hasa sisi wanawake

    • @Neema-qm9kk
      @Neema-qm9kk 3 місяці тому +2

      Asante kwa ushauri. Mimi huwa ninapenda mtu anayesema kweli

    • @agneskawamala618
      @agneskawamala618 3 місяці тому +1

      Mwizi tu

    • @janethelly4986
      @janethelly4986 3 місяці тому +2

      Mimi nilienda nikatoa 80k na sikuonana nae ,nilipewa mungine kabisaaa akunitabiria chochote

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 3 місяці тому +2

      Kuna dini kuna waganga wa kienyeji sasa hivi Manabii wengi wako kama Wanageria wanskomba sadaka za wajinga nfiyo waliwao

  • @JanethEmmanuel-mr5le
    @JanethEmmanuel-mr5le Місяць тому +3

    Amina baba naomba uniombee nipate kazi pia baba angu nae apone mguu

    • @SeleAlfan
      @SeleAlfan 18 днів тому

      Mm Mkonga selemani naomb msaanda wa biashar yangu na kunisaindia kuusu mambo yangu ya kuenda ulaya tatu naomb Moto nipo Malawi lilongwe

  • @rachelmosha5619
    @rachelmosha5619 Місяць тому

    Mtumishi kiboko ya wachawi hongera Sana kwa kazi unayoifanya ya kuwasaidia watu

  • @bonithakankerauwera2323
    @bonithakankerauwera2323 3 місяці тому +2

    Gloire gloire gloire gloire à l'éternel lui-même vraiment

  • @user-yj2wm7rh6u
    @user-yj2wm7rh6u 3 місяці тому +5

    Mimi Namshukuru mungu kwa matendo makuu anayoyatenda ndani ya madhabahu ya Mungu wa nabii kiboko WA wachawi ninafuatilia masomo yake ninajifunza mengi Mungu akubariki sana Nabii

    • @SmilingCityMap-xb9md
      @SmilingCityMap-xb9md 3 місяці тому +2

      Roho ya upotofu inakunyemelea mwombe mungu akuokoe na hiyo kuamini manabii wa uongo

    • @sautiyamzalendo
      @sautiyamzalendo  3 місяці тому

      Asante kwa kutufuatilia @mzalendomediatz

    • @RodahAdonice-dz4sm
      @RodahAdonice-dz4sm 3 місяці тому

      Hamna kitu hapo Mwenyezi Mungu awasaidie sana

  • @SalomeKyamba-mk6zq
    @SalomeKyamba-mk6zq 13 днів тому +1

    Huyu kijana ni tapeli hamjui Mungu yeye ni mpinga Kristo

  • @BenardSaimon
    @BenardSaimon 4 дні тому

    Mtumishi wa mungu endelea kuifanya kazi ya mungu kwa moyo mungu azidi kukutia nguvu ,na mungu azidi kutufungua kupitia wewe

  • @sixmundleonard2135
    @sixmundleonard2135 4 місяці тому +1

    👏👏

  • @josephkileo-wk6ye
    @josephkileo-wk6ye Місяць тому +1

    Amina baba mtumishi please naomba uniombee nateseka sana baba

  • @lusajoully
    @lusajoully Місяць тому

    Amina

  • @aishatest4451
    @aishatest4451 Місяць тому

    hongera sana

  • @richardmboyo8724
    @richardmboyo8724 10 днів тому

    Mungu akubariki nabii watu wengi wanapona kabisa

  • @Stella-118
    @Stella-118 3 місяці тому +10

    Hivi hao matomaso hawaoni ambulance za serikali zinavyoleta wagonjwa madhabauni na mipira ya gas na wanainuka? Hebu fika ujionee na huyo aliekwambia anetoa 20 na hajamuona yy alikuja kupatamuujiza tuu. Lakini imani hakuwa nayo. Maana watu wanakanyaga tu kwenye ardhi ya kanisa na anapona.

  • @HappyEquestrianHelmet-iw5co
    @HappyEquestrianHelmet-iw5co Місяць тому

    Hongera. Sana baba

  • @Prolimina-im2fo
    @Prolimina-im2fo Місяць тому

    Amina baba

  • @amanmaleko3085
    @amanmaleko3085 3 місяці тому +4

    Mtumishi mbona ameweka nywele kisholobalo

  • @LuluJackson-u6e
    @LuluJackson-u6e 4 дні тому

    Yan tz tumepatkana jmn mmh ,mungu kama aishivyo ipo sku

  • @user-on5pu8wv4g
    @user-on5pu8wv4g Місяць тому

    Amina Baba zidi kubarikiwa 🙏🙏

  • @norahmajaliwa3841
    @norahmajaliwa3841 3 місяці тому +4

    Bwana Yesu akulinde Mtumishi

  • @wilfredjohn4829
    @wilfredjohn4829 7 днів тому

    Kumbe kuwa na kanisa ni kupata hamasa ktk makanisa mengine sikujua ila Mungu tunasihi huruma zako na rehema zako ndani ya Kanisa na Taifa letu Amen...

  • @salmamose4244
    @salmamose4244 2 місяці тому

    Bwana Yesu asifiwe sir

  • @Zumlatti
    @Zumlatti Місяць тому

    Amina niombee namim nateseka

  • @charlesfaru485
    @charlesfaru485 2 місяці тому

    hongela sana baba mchungaji

  • @estermohammed4335
    @estermohammed4335 Місяць тому

    Amen Baba

  • @sharonjosephine6252
    @sharonjosephine6252 Місяць тому

    Mungu anatutizama kwa jicho la tofauti na la kibinadam soo acheni kuhukumu...

  • @NaomiSilayo
    @NaomiSilayo Місяць тому

    Amina baba tusaidie

  • @lightnessgamasa6039
    @lightnessgamasa6039 2 місяці тому

    Anaemsema Nabii Inawezekana ni Upande wapili kwahiyo ,binadamu tusiogope Mungu nimwema Sana,Hata YESU aliitwa mchawi

  • @JosephMollel-wz7kn
    @JosephMollel-wz7kn Місяць тому

    Bwana YESU apewe sifa, naomba maombi Yako, Nina sumbuliwa na Sukari,macho kutoona vizuri,miguu kuwa na vidonda na kikohozi kisichopona HIVYO naomba maombi Yako sana naitwa Maina

  • @felisianafelisiani7519
    @felisianafelisiani7519 2 місяці тому

    Ameeni

  • @Yusta-vx6ns
    @Yusta-vx6ns 4 місяці тому

    ❤🎉

  • @Prolimina-im2fo
    @Prolimina-im2fo Місяць тому

    Amina baba naomba uniombee

  • @NaimaAlly-bh6yn
    @NaimaAlly-bh6yn 3 місяці тому

  • @anoldkyaruzi8541
    @anoldkyaruzi8541 4 дні тому

    Amen

  • @JoyceMassawe-f5i
    @JoyceMassawe-f5i 21 день тому

    Baba nakupenda sana nisaidie mume wangu anaumwa sana pressure na figo

  • @nataliedayana9824
    @nataliedayana9824 Місяць тому +1

    Kwel unaomba lakin sasa pesa unaitisha kubwa sana jamani laki 5 maombi ya mmoja mmoja kama huna laki 2unusu hapo nmetoka mkoan sijala sijalal huruma hakunaa kabsaa leo nmeondok nmeskitika kukalia kit wa laki 3 🥱🥱sisi wa elfu 10 tununue utumbo tule tukalale

  • @MageLuvanda
    @MageLuvanda 5 днів тому

    Wewe ni tapeli kunajirani yangu aliambiwa atoe laki moja kukuona baada ya hapo akanza kutolewa maneno machafu na pesa mumechukuwa na kumwabia uliitwa ata ukishitaki mungu awezi kuwabariki kwa utaperi

  • @MartinKimbwereza
    @MartinKimbwereza Місяць тому

    mimi naomba kupona mkono na mguu mungu akutie nguvu

  • @AishaNasolo-j2u
    @AishaNasolo-j2u 8 днів тому

    Bwanayesu asifiwe mtumishi Mimi naitwa Aisha nipo dodoma kibaigwa naomba msaada wamaombi ninamtoto wangu anaitwa hadija anasumbuliwa na ugonjwa wa kifafa nimwaka watatu naomba maada

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 8 днів тому

    Huyu ni tapeli ,waziri wa mambo ya ndani tunaomba chukua hatua

  • @user-bj6bs9do2f
    @user-bj6bs9do2f 4 місяці тому +4

    Kumbe Ndio Wewe Mchungaji Maana dah Sipatagi Usingizi bila kusikiliza kipindi Chako 🙏🙏Hila Siwezi Mukumu Mtu kwa Muonekano

  • @EvaSadala-vv8jn
    @EvaSadala-vv8jn Місяць тому +1

    Mi kwenye kutoa pesa tena unaagizwa nyingine kama lk 2 tena toa 2hivohivo kiwango hicho ni kawaida Lkn hapana hapo uwe bilionea

  • @BahatiMrema-lc3zv
    @BahatiMrema-lc3zv 2 місяці тому

    Amina baba natamani uniombee

  • @JoyceMassawe-f5i
    @JoyceMassawe-f5i 21 день тому

    Pia BIASHARA baba zimekuwa ngumu sana baba

  • @richardmboyo8724
    @richardmboyo8724 10 днів тому

    Naomba uniombee baba nipate kazi ya kudumu

  • @StellaRupia
    @StellaRupia 6 днів тому

    Mashaka ni pale mtumishi wa mungu anapoleta bili kwa ajili ya maombi ndipo inakuwa biashara,

  • @Stella-118
    @Stella-118 3 місяці тому +8

    Nabii endelea baba wewe ni mteule wa mungu.hayo maneno ya binadamu yasikuvunje nguvu, hata Yesu alidhihakiwa na kutukanwa lakini hakuacha kundoo wapotee bila mchungaji. Sisi tunaohudhuria kwenye ibada zako ndio tunaoujua ukweli wa mambo sio kwa kuhadithiwa bali kwa kushuhudia kwa macho yetu mawili mungu akulinde baba.

    • @hafsalucky1088
      @hafsalucky1088 3 місяці тому

      Mtumishi apige kazi, Mungu ndie aliemuita, hao wanapinga waendelee TU, Si tunasonga mbele hatuyumbishwi

    • @vinuskalonga4656
      @vinuskalonga4656 3 місяці тому

      Sawa kabisa. Chapa Injili mtumishi wa Mungu. Watu na wakristo 😂wanaomjua Mungu kwa kutumia Biblia, hawezi kumtukana mchungaji mwenzao yeyote yule kihivyo. Aibu kubwa Lazima awe na woga. Yesu aliwaambia wanafunzi wake, hao wanaomhubiri Yesu wako pamoja na sie.
      Falme iliyogawanyika haiwezi kusimama. Huwezi mnyanyua Yesu huku unatumikia shetani na bado ukasimama.
      AIBU KUBWA SANA KUONA SIE WAUMINI TUNAONA WACHUNGAJI WETU, WANAODAI WAMJUA YESU, HATA HILO AGIZO RAHISI HIVYO LA MUNGU WANASHINDWA KULIHESHIMU😢 .
      KAWADANGANYENI BASI WATU NA NYIE MUONE MOTO NA MASHIMO ya Mungu yakiwameza wazima wazima.

  • @JamilaAdamu-nr1wu
    @JamilaAdamu-nr1wu 3 місяці тому

    🙏🙏

  • @Yusta-vx6ns
    @Yusta-vx6ns 4 місяці тому

    ❤🎉🙏

  • @Eunice-kb8yz
    @Eunice-kb8yz Місяць тому

    Baba tuko pamoja naomba niombee uchumi wangu hauko sawa mimi na mume wang.yunis pallangyo

  • @user-te4nq8vv6c
    @user-te4nq8vv6c Місяць тому

    Mimi ombi langu baba niweze kushinda kesi mahakamani naomba maombi yako baba 🙏🙏🙏🙏

  • @JosephNnko-nz6kk
    @JosephNnko-nz6kk Місяць тому

    Nabii nakubali wewe naomba uniombee Sana by josephu arusha

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 4 місяці тому +3

    Yesu wangu huyu nilimsikiliza redioni tu kumbe ndo yupo hivi😂😂😂

  • @SixtenTenga
    @SixtenTenga 18 днів тому

    Naomba ndoa yangu ipone in Jesus name amen

  • @VeiceNasson
    @VeiceNasson 14 днів тому

    Naomba niombee nateseka na magonjwa namtoto wangu Toka azaliwe Hana ufahamu mzuri kifafa v

  • @estermohammed4335
    @estermohammed4335 Місяць тому

    Naomba niombee uchumi watoto na furaha yangu

  • @devotamwambola8303
    @devotamwambola8303 3 місяці тому +3

    Huyu Hapana Mungu anisamehe.Kwanza kujichubua ni kosa kubwa sana.Kweli watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa imani

  • @fanuelMndeme
    @fanuelMndeme Місяць тому

    Ubariwe

  • @DenisSimon-u2o
    @DenisSimon-u2o 17 днів тому

    amee

  • @FridaMtui-pp3lt
    @FridaMtui-pp3lt 2 місяці тому +1

    Naomba mungu anipe kazi,mume sahihi na amponye Mama yangu

  • @johnmwakasungula9747
    @johnmwakasungula9747 18 днів тому

    Msanii huyoo anapanga watu

  • @winniejohnson9458
    @winniejohnson9458 12 днів тому

    baba na mimi naitaji msaada wa maombi nina roho ya kukataliwa

  • @ernestkatyega5781
    @ernestkatyega5781 16 днів тому

    Huyu ni kiboko ya MKOROGO 😂😂😂 sugu kibao mkononi hakuna mtumish wa Mungu anafeki Hadi rangi ya mwili wake

  • @EnnyMnzava
    @EnnyMnzava 2 місяці тому

    Bwana yes asifiwe mtumish nahitaji nipate kazi ,nyumba .gari nakufunguliwa kiuchumi

  • @user-rs4vz2vt9z
    @user-rs4vz2vt9z Місяць тому

    Nabii naomba tusaidie tumezulumiwa Mali zetu Na hakuna amani naomba msaada.

  • @estermohammed4335
    @estermohammed4335 Місяць тому

    Umeniona jamani Baba na hiyo roho ya chuma ulete nisaidie nakata roho ya chuma ulete

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562 4 місяці тому

    ❤❤❤❤❤️‍🔥❤️‍🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌

  • @user-nt1lf8rr9g
    @user-nt1lf8rr9g Місяць тому

    Tz kwishaaaa

  • @adamkapolo8817
    @adamkapolo8817 Місяць тому +1

    Nimekutana nae kwa shida binafsi nimegundua huyu jamaa ni tapeli wa waziwazi na mbabaishaji mkubwa

  • @savinosalamba9174
    @savinosalamba9174 4 місяці тому +1

    Safi sana mtumishi

  • @Malkia01
    @Malkia01 Місяць тому

    Jmn had ukutane na huyo unatoa hela mnapitishwa kil kigenge wa shemas utowe maokoto yaan mtu asiejuw cuba ataon nadangany aisee eeh😢

  • @michealkasanga2927
    @michealkasanga2927 11 днів тому

    Kiboko kisiwepo la kukuvunja moyo unaeleweka

  • @clouartmichael7296
    @clouartmichael7296 4 місяці тому

    Mathayo 7:15

  • @WinifridaNgalamika
    @WinifridaNgalamika Місяць тому

    Nataka kujua kuusu dada yangu grace

  • @user-kh5xu3vu1x
    @user-kh5xu3vu1x 4 місяці тому

    Mmmmmm

  • @HappyEquestrianHelmet-iw5co
    @HappyEquestrianHelmet-iw5co Місяць тому

    Nabii nisaidie naitwa chiungo Aisha Anton Sina maisha nakufuatila

  • @rehemakudra868
    @rehemakudra868 Місяць тому

    Nimekukubali

  • @iptysamjamal
    @iptysamjamal 2 місяці тому

    Nabii komboa familia yangu

  • @sarahkeivaly3351
    @sarahkeivaly3351 17 днів тому

    Kwanini mmekimbia Kongo na kuja kuhubiri huku Tz??

  • @FadhilFadhil-zr1xs
    @FadhilFadhil-zr1xs Місяць тому

    Sharoom naitwa zuhura naomba umsaidie mama yng anaitaji kuuza nyumba yake hapo Kwa azizi ally mana tumepiga sana simu Yako aipokelewi mana mama yng anasikiliza sana kuhusu miujiza yako

  • @LilianRobert-wx6di
    @LilianRobert-wx6di Місяць тому

    Nabii Mimi ninashida Sana naomba nisahidie

  • @JaphetIramba
    @JaphetIramba Місяць тому

    NAITWA MMASSY BABA NAOMBA UANGALIE FAMILIA YANGU MAISHA AYAELEWEKI

  • @AlphonceSosela
    @AlphonceSosela 17 днів тому

    Naomba nitabilie Alphonce sotery sosela

  • @ernestkatyega5781
    @ernestkatyega5781 16 днів тому

    Huyu mwizi tapeli alaf anajichubua hakuna mtumish wa Mungu wa hivi ANAOMBA laki Tano ndio umuone wakati Yesu mwenyewe watu walimuona bure

  • @StanleyChibwete
    @StanleyChibwete 18 днів тому

    Tembea na mikoani siyo unakaa mahalipamoja tu daresaalamutu na sisi tunahitaji hudumayako njoo dodoma kalibu sana

  • @claudiokatucha6652
    @claudiokatucha6652 2 місяці тому

    Claudio OSKA KATUCHA nina changamoto ya kufungwa kiuchumi naomba niombee

  • @GraceSilo-vt6ke
    @GraceSilo-vt6ke Місяць тому

    Amina baba uniombee ninashida baba ninamaisha magumu sana Kila ninachokifanya hakifanikiwi

    • @sautiyamzalendo
      @sautiyamzalendo  Місяць тому

      Pole, nakusihi endelea kutufuatilia Mzalendo Tv

  • @VeronicaChaudele
    @VeronicaChaudele Місяць тому

    Kiboko ya wachawi ubarikiwe😅😅

  • @samwelmatemu8873
    @samwelmatemu8873 4 місяці тому +4

    Kwanini unavaa kihuni kwanini

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y 4 місяці тому +4

      Pia linajichubua Dume zima mitaperi hii 😢😢😢

    • @Zainab-sq1tc
      @Zainab-sq1tc 4 місяці тому

      Mcongo man ​@@user-nb6yh2bn9y

    • @ruthmuja7792
      @ruthmuja7792 4 місяці тому +1

      Kujichubua haipendezi hata kidogo tena mtumishi wa Mungu 😢

    • @user-tt1nm9xs4n
      @user-tt1nm9xs4n 4 місяці тому

      Ndivyo wanavyojichubua hao manabii vijana

    • @user-tt1nm9xs4n
      @user-tt1nm9xs4n 4 місяці тому +2

      Wasipojichubua wanatisha sura zao

  • @MartinKimbwereza
    @MartinKimbwereza Місяць тому

    naomba kkutolewa kwenye nguvu zagiza na laana nibarikiwe kwenye uchimi

  • @irenebeddah6524
    @irenebeddah6524 3 місяці тому

    Mwamposa anatufundisha tusimzalau mtumishi wa Mungu yoyote

  • @rambostalon2888
    @rambostalon2888 6 днів тому

    Safi mtumishi huna kinyongo na mtu

  • @aginsagins-jf4vz
    @aginsagins-jf4vz 4 місяці тому +7

    Kumbe ndo huyu nilifikiri ni mbaba kumbe ni muhuni muhuni tu

  • @HappyEquestrianHelmet-iw5co
    @HappyEquestrianHelmet-iw5co Місяць тому

    Fungua na ww kanisa lako udangaye watu kama ni kaz rahis acha kumkashfu nabii

  • @mamaleo5047
    @mamaleo5047 4 місяці тому +2

    Usimseme msa wewe fanya yako mchungaji kuhani muache

  • @user-cp3uo9gz2x
    @user-cp3uo9gz2x 20 днів тому

    Kwakweli mm simfahamu ila nimeongea point sana saana