MASANJA MBELE YA MANABII KIBOKO YA WACHAWI ATOA UNABII MZITO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 24 чер 2024
  • TANGAZA NASI MASANJA TV:
    SUBSCRIBE | Masanja TV | For more Updates:
    👇 👇
    / @masanjatvgospel
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 48

  • @AtuganileGodson
    @AtuganileGodson 3 години тому +1

    Kabisa.Mungu anachezewa kiasinhiki??inatia uchungu sana

  • @andrewkissava9184
    @andrewkissava9184 4 дні тому +5

    Kwani ma wewe masanja umekuwa mtu wa swaga namna hiyo hee mbona kuzimu mtajaa sana

  • @nicksonlyimo1562
    @nicksonlyimo1562 День тому

    Masanja usidanganyike ,we binafsi Mtafute Mungu ataonekana ,achana na watu ,kama uliitwa kweli nadhani ulikua peke yako na siku ya hukumu utasimama peke yako na YESU Ili akuhukumu na hao huta waona ,Mungu hanaga wengi wape Bali ni jitahidi uingie ,nakushauri mtumikie Mungu kwa utakatifu, haki ,na unyenyekevu utavuka tuu, manabii wa uongo ni wengi Sana na kuwatambua ni vigumu Matayo 24 yote utaona ,Acha kuwasifu watu waache Mungu ndio ataamua hatima Yao kama ni wa kweli au usanii ,( ukitaka kujua maisha ya mitume we soma Biblia tuu utaona walivyoishi na walivyofanya na walivyo enenda kama kweli maisha Yao yanalinganishwa na mitume wa kweli ,) Kristo ni yeye yule Jana Leo na hata Milele hakuna wokovu wa kisasa Wala mwenendo wa kisasa Wala utakatifu wa kisasa ,jihadhari Sana nafsi yako , wengi watapoteza wengi .

  • @eliasselemani1963
    @eliasselemani1963 5 днів тому +10

    AFADHALI KUISHI TU HUKU KIJIJINI

    • @eliasselemani1963
      @eliasselemani1963 5 днів тому +2

      MWENYE MACHO HAAMBIWI TAZAMA

    • @chrisdeoglatias8665
      @chrisdeoglatias8665 2 години тому

      @@eliasselemani1963 ha ha haaaaaa! Unamaanisha kjjn ndy kukosalamaaa!!!!??? Hkuna bhana sasahv vyombo vya hbr vmefny dunia iwe mtaa nenda kjjn sasahv mchngj wa hapohapo kjjn wat hawamjui jina ila nabii wa uongo wa Dar wanamjua na vikorokoro vyke wanavyo had chumban kwao

  • @AyubuHeshima
    @AyubuHeshima 4 дні тому +4

    Ninaona wahuni watupu tu.

  • @victorcephas3618
    @victorcephas3618 8 днів тому +2

    Hahaha 😂😂😂😂😂
    Masanjaaaaaaaaaa
    Eti Jana ulikuwa wapi?
    Nimecheka Hadi basi

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn 8 днів тому +2

    Dunia imekwisha Kazi mnayo ngoja Mbarikiwa awajibu Mapepo ni mengi kwenye iyo ya Mazaba

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 8 годин тому

    Nilidhani Masanja yuko upande Wa Nuru,kumbe na yeye ni walewale yuko upande wa giza😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 Ni ha ta lii sana,

  • @anyosisyedaniel1790
    @anyosisyedaniel1790 2 дні тому

    Akifufuoa Mtume Paulo, ama laana iwale kwa kibadili injili ya Kristo kwa ajili ya njaa yenu.

  • @MAONYOTVTANZANIA
    @MAONYOTVTANZANIA 2 дні тому +1

    Mihuni ya dunia hii , utani wa wahuni wajitambia mapesa ya uchawi wao , katskela anawajua wote

  • @Pendopasilika
    @Pendopasilika 2 дні тому +2

    Dunia imeisha

  • @user-qw8tm3jz2u
    @user-qw8tm3jz2u 5 годин тому

    😂😂😂😂😂 kwahiyo ukigusa viatu vya Masanja umemgusa Nabii

  • @bensonmgaya5693
    @bensonmgaya5693 8 днів тому +2

    Jana ulikuwa wapi afu ukapotezea nimefrahi sana😂😂😂

  • @andrewkissava9184
    @andrewkissava9184 4 дні тому +2

    Mbona makondeko umezeeka hivyo tubu kabula haijawa jioni

  • @IssaPara-bt9hg
    @IssaPara-bt9hg 3 дні тому

    Mungu awape nguvu wachungaji wote mungu awalinde Sana

  • @merabKitundu
    @merabKitundu 3 дні тому +1

    Kweli mbinguni ni mbali

  • @mwanawamfalmetz
    @mwanawamfalmetz 8 днів тому +2

    Mbona mmeweke kakipande kadogo jamani

  • @HellenLemilya
    @HellenLemilya 19 годин тому

    Wahuni mmejikusanya kutapeli watu , serikali tuache kuwatafuta vibaka wengine tofauti na hawa waliojitokeza

  • @user-jc1do5gf3w
    @user-jc1do5gf3w 2 дні тому +1

    Usanii mpaka kwa kutumia Jina la Mungu,mmmmm Mungu tuhurume

    • @chrisdeoglatias8665
      @chrisdeoglatias8665 2 дні тому

      Sasahv Mungu c kawa k.m anko tuu tna ht kw anko mdada haend na visuruali ila madhabahuni bnt anasogelea na mavaz ya uchi bila haibu, jamaniii" M/ KE KUVAA SURUALI HT KM N Y SUT NI KUWA UCHI, ni roho ya yezeberi makanisani!

  • @ombendaud5938
    @ombendaud5938 19 годин тому

    Mmmmhhh hivi ni vipande 30 tuuuuu

  • @HellenLemilya
    @HellenLemilya 19 годин тому

    Makundi ya wachawi Tanzania ndugu zanguni watanzania ndio hawa tuweni makini

  • @ushindimbwilo1398
    @ushindimbwilo1398 День тому

    Masanja mpka hapo hakuna kitu hapo

  • @raymondwilliam3042
    @raymondwilliam3042 8 днів тому +1

    Bodyguard sasa 😂

  • @janethmwihumbo1289
    @janethmwihumbo1289 7 днів тому +4

    Ukitaka kujua manabii wa kweli na wauongo angalia kwenye mikussnyiko yao utajua tu ni wale wale kazi ipo ila tz mmejaa sana

  • @merabKitundu
    @merabKitundu 3 дні тому +1

    Itatufaa nn kupatata yote Kisha tukose mbingu

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 17 годин тому

    Hovyoooooooooooooooooooooooo.upumbavu gani huoooo. YESU GANI HUYO UNAYEMWINGELEA.?

  • @manaseliberatus1347
    @manaseliberatus1347 3 дні тому +2

    TIMU IMEKAMILIKA MKUU, UKITOKA KWA KIBOKO YA WACHAWI UNAKUTANA NA NABII MUUWAJI, MADHABAHUNI HAPAPANDISHWAGI KILA MTU

  • @user-gf9pb5jz9j
    @user-gf9pb5jz9j 3 дні тому

    Mmh

  • @user-im7vi2yf2d
    @user-im7vi2yf2d 2 дні тому +1

    Mbarikiwa ndo ameitiwa kazi ya kuwanyoosha hawa watu

  • @Mwakibinga_wisdom
    @Mwakibinga_wisdom 8 днів тому +3

    Duuuh 🙄
    Nimeduwaaaaa

    • @geitandelwa299
      @geitandelwa299 5 днів тому +1

      Umeona ee shida

    • @deborahmchona5584
      @deborahmchona5584 5 днів тому +1

      Mungu wangu mpka mi sielewi wanatu changanya kuna niliokua mawaamini pia naanza kupoteza imani kwao sasa Mungu tusaidie tu hiz ni zama za mwisho kwa kweli

    • @chrisdeoglatias8665
      @chrisdeoglatias8665 2 дні тому

      Achana nao ucje ukafa kabisa tukakukosa.

    • @sophiaommy8343
      @sophiaommy8343 2 дні тому

      ​@@deborahmchona5584mbona Kama Kuna Rolinga tenaa aiseee nimejikuta naumia sana

    • @AtuganileGodson
      @AtuganileGodson 3 години тому +1

      Utajua tu.Wamejipanga na wapo vizuri.Mungu hatajwi ila sifa za watu.😂😂😂
      Mungu atusamehe sana

  • @Kelvinchristopher072
    @Kelvinchristopher072 4 дні тому +2

    Stendi ya kuzimu.

  • @Ushindiemmanuelushindi
    @Ushindiemmanuelushindi 4 дні тому +2

    IPM tabili juu yahiyo fimbo ya kiboko

  • @aderanderwa7623
    @aderanderwa7623 3 дні тому +5

    YESU KRISTO ATUREHEMU HIZI NI NYAKATI ZA MWISHO WATEULE TUWE MACHO MWENYE KUJITAKASA AZIDI KUJITAKASA MWENYE KUDHULUMU AZIDI KUDHULUMU KUDHULUMU HIZI NI NYAKATI ZA MWISHO