MAHOJIANO MAALUMU NABII KIBOKO YA WACHAWI USWAHILINI BUZA KWA LULENGE / KWANINI ANAOGOPWA NA WACHAWI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 жов 2024
  • MAHOJIANO MAALUMU NABII KIBOKO YA WACHAWI USWAHILINI BUZA KWA LULENGE / KWANINI ANAOGOPWA NA WACHAWI
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm #trending #mswahili #virah

КОМЕНТАРІ • 212

  • @lilianmnkondya150
    @lilianmnkondya150 2 місяці тому +4

    Amina Baba piga kazi umenisaidia sana Madhabahu yako ina nguvu🙌

  • @EmanueliWildausoni
    @EmanueliWildausoni 2 місяці тому +4

    Nilichokuelewa ni kwamba ww ni tajiri wa moyo ndo mana una uthubutu wakutoa sadaka sanaa na ndo mana unatamani watumishi wako wajenge wawe na magari wasije pia na mashat yaliochanika god bless my broo

  • @ElizabethNgwelo
    @ElizabethNgwelo 2 місяці тому +3

    Nakuelewa sana mtumishi Mungu akutunze

  • @worth_monkey
    @worth_monkey 2 місяці тому +19

    jamni umasikinii utatuburuzaa sisi wabongooo tutumie akiliiii hawa watu ni matapelii na washirikinaaaa hata kwa macho hatuoniii jamaniii dah

  • @sir_ENOCKMACHA
    @sir_ENOCKMACHA 2 місяці тому +3

    Aisee nimesikiliza vizuri sana jamaa unajua kujieleza vyema una utaniutani kitu ambacho ni kizuri pia God bless all of us

  • @NapasaNatali
    @NapasaNatali 15 днів тому

    J'aime mon papa beaucoup🎉🇨🇩

  • @MdAr-q7i
    @MdAr-q7i 2 місяці тому +3

    Wenye wivu acheni upuuzi hebu kuwen makini na maneno yake katika maisha yangu sikutegemea kuwakubali wachungaji ila kwahuyu kiboko acheni wivu.jaman pambaneni na hali zenu tunampenda huyu baba mie nipo oman namkubali kula tano👊👊👊👊👊👊👊👊👊👊💪💪💪💪💪💪💪

    • @shinshi9696
      @shinshi9696 2 місяці тому +1

      Utakuwa fala wa mwisho wewe. Nahisi mkeo na watoto wanatombwa na houseboy au housegirl wako jinsi akili zako zilivyo. ulivyoshikwa akili fala mbwa mzee wewe 😅😅😅

    • @zabibusaidi1404
      @zabibusaidi1404 2 місяці тому

      Uc ya nn kama mtu humuelewi kaa pembeni

    • @zabibusaidi1404
      @zabibusaidi1404 2 місяці тому

      Wazawa woote wa buza mpaka daladala zoote zimeneemekakama huku wai kufika kanisani kwake nenda kaone usithubutu kutukanavkabla magereza hospital polise kooote kapeleka magari namisoc

  • @renatuswilson1577
    @renatuswilson1577 2 місяці тому +9

    Huyu jamaa. Ukimzingatia na ukiwa na akili timamu utajua anamuabudu nani. Kama C3 huna hutonielewa. Mungu atuongoze.

  • @ElionaMbise
    @ElionaMbise 2 місяці тому +2

    Mtu.wa.mungu piga kazi.mungu.amekupa Kibali.cha.kuwa.kiboko.cha.wachawi.hapa 🇹🇿

  • @MulshiduYusuph-yw2os
    @MulshiduYusuph-yw2os 2 місяці тому +3

    Nakukubali baba

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 2 місяці тому +3

    Aamina sana Mtumishi wa Mungu.

  • @erickmsigala138
    @erickmsigala138 2 місяці тому +3

    Mimi ni Mkristo huyu jamii ni tapel wa kiroho hafai hata kusikilizwa kwa mtu anaye mjua Mungu lakini kwasababu ya ujinga wenu ataendelea kuwa ibia hana ukibo wowote

  • @matolasalumu2625
    @matolasalumu2625 2 місяці тому +2

    Mwizi tu kupitia imani ira mungu anawaona kazi ipo kwenye malipizo

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428 2 місяці тому +13

    Sokuona sababu ya muziki huo katikati ya mahojiano

  • @NelsonAlphonce
    @NelsonAlphonce 2 місяці тому +1

    Jamaaa hafai hata kidogo mwanzo alianzaa vizuri amepata umarufu na kuanza kuvaa majoho ya freemason hapo kuanza kukejeri dini nakuanza kuongea utumbo

  • @salomefaith2410
    @salomefaith2410 2 місяці тому +1

    Amewakosea sana wazee. Wananchi wenye umri mkubwa. Kwa hiyo waende wapi? Maana amegeneralise kuwa ni wachawi. Angesema baadhi yao. Na anataka kuaminisha umma kuwa hakuna vijana wachawi.

  • @eunicekiilu7485
    @eunicekiilu7485 2 місяці тому +2

    Matapeli wapi nyinyi wivu tu ndo unawasumbua na mtu hayajawapata mtu siku akirogwa ndo atajua umuhimu wa kiboko ya wachawi 😭😭😏😏😏

  • @PaulinaNyanzalashija
    @PaulinaNyanzalashija 2 місяці тому +4

    Nabiii wote ni safi tu wewe unaeita nabii tapeli no moja ni wewe zungumza yako msiwachafue manabii wazuri wanasaidia sana

    • @NgaizaKimbeNgaizakimbe
      @NgaizaKimbeNgaizakimbe 2 місяці тому +1

      Tapeli Mwingine😂😂😂😂

    • @shinshi9696
      @shinshi9696 2 місяці тому

      @@PaulinaNyanzalashija fala Paulina shija

    • @didasmajor9288
      @didasmajor9288 2 місяці тому +1

      Dada Mimi ni mkristo, nitafute tufanye maombi Mungu mwenyewe atuoneshe kipi ni kipi

    • @nantaembanusurupia5674
      @nantaembanusurupia5674 2 місяці тому

      Usijali roho mtakatifu atawashukia😊​@@didasmajor9288

    • @hebrontesha7184
      @hebrontesha7184 2 місяці тому

      Ni kweli kabisa huyu ni nabii ila wa uongo

  • @Tg.7_7
    @Tg.7_7 2 місяці тому +1

    This man Big Brain,🙌 mengine sijui nawaachie walimwengu!!😅

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 2 місяці тому

    Hapo kwa watumishi wako hawajapauka wala mashati yaliyo chanika nakupa pongezi..big high five!

  • @wildlife5730
    @wildlife5730 2 місяці тому +9

    Wakristo tusome biblia vzr tusibebwe na huu upepo

  • @Lundege_Hips
    @Lundege_Hips 2 місяці тому +23

    Najivunia Sana kua Muislam maana nina uwelewa wa hali ya juu sana huyu jamaa ni tapeli tu na hao wote anaojifanya anawatibu anawapanga

    • @bobdelwinsky9363
      @bobdelwinsky9363 2 місяці тому +10

      Hauhitaji kuwa muislamu kujua uhuni wa mwamba. Hata wakristo wanajua mwamba ni msakatonge sheikh. Ni vile tunajivunia kuvumiliana na umoja ndio maana wahuni kama hawa wanaibuka kama uyoga. Sheria na taratibu za nchi zitakapobadilika kuwashughulikia hawa watu kihalali kama kutaifisha mali na kuwafunga watajifikiria sana.

    • @richardvallerian1003
      @richardvallerian1003 2 місяці тому +3

      Hauhitajiki uelewa wa juu kujua huyu ni tapeli, ni uelewa wa kawaida kabisa!

    • @stefanomasolwa8979
      @stefanomasolwa8979 2 місяці тому +4

      Weslam nao wanachanga moto yao acheni unafki nyinyi Weslam huku unajiitq Mweslam baadaye unaenda Gest kufirwa mkunduni

    • @stefanomasolwa8979
      @stefanomasolwa8979 2 місяці тому

      ​@@bobdelwinsky9363 ubarikiwe kakangu unasema ukweli kabisa Yani nahitaji Serekali iwashike handi Ndani hata myaka 10 kumi tu watanyooka kweli kweli

    • @JaneChissawilo-dr7nn
      @JaneChissawilo-dr7nn 2 місяці тому +1

      Wee ni mwanga TU umepangwa na shetani na wewe!

  • @goldermeirshoo1228
    @goldermeirshoo1228 2 місяці тому

    Biggerup Mtumishi wa Mungu Dominiq, Mungu awalindee woote

  • @aishakambenga6191
    @aishakambenga6191 2 місяці тому +3

    Kuhusu vitambi nimecheka 🤣🤣Nakupenda ❤

  • @Commentsplus
    @Commentsplus 2 місяці тому +2

    Yani hera Hera ndo neno Lake Kuu umakini uwepo wakati ukimsikiliza

  • @EmanueliWildausoni
    @EmanueliWildausoni 2 місяці тому +2

    Binafsi nilikuwa ckufwatilii kabsa lakn kws maelezo haya nahis kama naanza kukuelewa sanaaa sanaaaa sanaaaa nankukufwatilia umachosema ni kweli kabisa

  • @coolsinare8824
    @coolsinare8824 2 місяці тому

    kuna mambo kadhaa umeyasema nimefurah..moja wapo ni kuwa”utajiri wa kweli ni kile unachokiacha kwenye mioyo ya watu”ni ujumbe tosha na nadhan kwa hali ilivyo sasa watumishi wa Mungu,Raisi wa nchi na viongozi wake jalini sana mioyo ya wananchi mnaiachaje kutokana na nguvu za mamlaka mliyopewa na Mungu

  • @justusngonyani165
    @justusngonyani165 2 місяці тому

    Mbingu si ya wakristo,bali ya waliookoka.Waliomkubali Yesu kuwa Mungu na mwokozi.

  • @ElionaMbise
    @ElionaMbise 2 місяці тому +1

    Nabii.nipo.harusha.nimefatilia maji na.tishet.sijawakuta.watendakazi.stedim arusha❤

  • @SalimSalimu-z5c
    @SalimSalimu-z5c 2 місяці тому +10

    Dalili za kuchochea Ushoga kwa Huyu ??

  • @lickumikidadi7630
    @lickumikidadi7630 2 місяці тому +1

    Aaaminaaaa

  • @CamillahAdam
    @CamillahAdam 2 місяці тому

    Mtumishi wa mungu 🎉

  • @AliAli-n3k2f
    @AliAli-n3k2f 2 місяці тому +1

    Huyo ni aina ya tajiri,,😂hawezi kutuharbu akili zetu imeishaaaa io

  • @imanimahundi8293
    @imanimahundi8293 2 місяці тому

    Wagawanye tuwatawale.
    Shida ndio zinatusonga mpaka tusijue lakufanya EE mungu tujalie ufahamu

  • @nekaagripa3993
    @nekaagripa3993 2 місяці тому +6

    Watu 70,000 hivi anawajua? Means uwanja wa mkapa?? Watu bwana

  • @shinshi9696
    @shinshi9696 2 місяці тому +5

    Huyu bishop anahitaji matibabu ya akili

  • @hajiramadhanihaji355
    @hajiramadhanihaji355 2 місяці тому +6

    Wacha uhuni wewe uchawi ndionini ? Yaani mzee wamiaka 70 akifa tayari ni mchawi ? Kweli?

  • @VeronicaFedrick
    @VeronicaFedrick 2 місяці тому

    Nakukubali sana baba wasemewasemavo akilizao na zenyewe zimefungwa hawajielewi kazi kubwabwajatu

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 2 місяці тому +2

    Najivunia sana kuwa mkiristo wa kikatoliki

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 2 місяці тому

    Nchi nzuri kuishi anasema Tanzania, sababu sisi mabumbu tunaibiwa tu!

  • @justineswai5885
    @justineswai5885 2 місяці тому

    Wamejivika ngozi ya kondoo kumbe ni mbwa mwitu, ole wenu KRISTO YESU anarudi

  • @BonifaceOirere
    @BonifaceOirere 2 місяці тому

    Hapa ni biashara na uganga Bali si injili ya kueneza ukombozi.Mungu akaokoe kondoo na mchunga wao

  • @chrisshonga
    @chrisshonga 2 місяці тому

    Mashemasi zaidi uya 100 wanalipwa zaidi ya Wabunge duuuh! naomba nitumie application form please! Kkkkkkkkkkkk

  • @hamadsheni8997
    @hamadsheni8997 2 місяці тому +1

    YEREMIA 50:6. YEHOVA ACMA KONDOO WANGU WANAPOTEZWA NA WACHUNGAJI WAO.

    • @AsiaShaban-zz4yr
      @AsiaShaban-zz4yr 2 місяці тому

      Ana sifa huyo namajigambo mmh nilishatapeliwA pesa nyingi na mgonjwa broo hakupona fyuuuu anawapaga watu anaogea kwenye redio vinzur lkn ukienda kanisani anakuchamba wee sijawai onaa utakufa utaenda motoni kafiri wewe

  • @ramsonhudson4013
    @ramsonhudson4013 2 місяці тому

    Kiboko ya wachawi ana bordgurd anawezaje ku deal na watu wasionekana akashindwa hawa anaowaona jamana jamani 😢 Uweze wachawi uogope watu hawa unaowaona?

  • @wistonmajenda
    @wistonmajenda 2 місяці тому

    Roho yang inaumia sana dada yangu alikuja kwako anaumwa umsaidie ukamwambia umpe million1 ndio umsaidie we sio nabii ww ni tapel tu

  • @AhadiPromise-z3z
    @AhadiPromise-z3z 2 місяці тому

    Nakukubali sana wataongea sana awakuwezi babaa wambie😂😂

  • @djumakonki1964
    @djumakonki1964 2 місяці тому

    Mheshimiwa Zembwela vipi unapoteza muda wako kuhojiana na mtu kama huyu! tafadhali utapoteza heshima katika jamii inayokueshimu.
    huyu mtu anaongea nini hapo.
    hapa tanzania siyo Kongo. watanzania ni waungwana.
    anatukana viongozi wa dini ya kikristo mchana kweupe mnamwacha hivi hivi.
    Nani mkristo kutoka tanzania anaweza kwenda kusema maneno kama anayosema huyu na akabaki salama!
    tanzania mkiruhusu kuchezewa kiasi hicho !
    MwenyeziMungu atawashushia nakama.

  • @KoleYasini
    @KoleYasini 2 місяці тому +4

    Tapeli wa kikongo huyu uhamiaji weka ndani wewe ndie mchawi mkubwa mshirikina wa kwanza kwanza ni mchochezi eti wazee wachawi imaana ata babu yako kule kongo ni mchawi eti tumepiga maombi wazee wamekufa sasa unawaponya watu au unaua watu mpigaji mkubwa..

    • @fatumatandika6220
      @fatumatandika6220 2 місяці тому

      Yaani anafurahi kuua wazee. Una uhakika gani Kama ni wachawi kuweni makini jamii

    • @GluckSifaeli
      @GluckSifaeli 2 місяці тому

      watu wa mungu tusikilze sauti ya mungu tuu

  • @michaelmbeti5040
    @michaelmbeti5040 2 місяці тому

    Naomba mwili upoe kwa nguvu sana

  • @wizebiligetwaziri5540
    @wizebiligetwaziri5540 2 місяці тому +6

    Alafu utasikia mpuuzi mmoja ana sema unatumika nashetani ukimuuliza ulifunuliwa nanani anakusomea andikotu lisemalo "watajitokeza manabii wauongo " shida yabongo wajuaji wengi

    • @EllyMoshi-vd9ds
      @EllyMoshi-vd9ds 2 місяці тому +3

      Wewe utafurahishwa😂 tulia na ubishi wako unapenda kuombewa eee

    • @mobilebeats3086
      @mobilebeats3086 2 місяці тому +2

      Anapenda kuombewa huyo haelewi mtandao unasumbua kama angeielewa biblia asingeongea utumbo uo

    • @kutailass6671
      @kutailass6671 2 місяці тому +2

      Kwan uongo? Hakuna nabii zama hiz wote matapel tu washirikina tu

    • @designdesign4426
      @designdesign4426 2 місяці тому +1

      inaonekana akilizako nifupisana naww unategemewa kua nafamilia polesana

    • @mobilebeats3086
      @mobilebeats3086 2 місяці тому

      @@kutailass6671 hayo umesema wewe

  • @Nicaonlinetv7324
    @Nicaonlinetv7324 2 місяці тому

    Hapo pa kuwapenda mashemasi na wahudumu nimekukubali, mtu huwezi kuwa mbaya kwa nyanja zote.

  • @mulashanibrasio8151
    @mulashanibrasio8151 2 місяці тому

    Niçe interview, May God bless you

  • @MashauriEnock
    @MashauriEnock 2 місяці тому +3

    😂😂😂😂😂😂😂😂watu niwajinga sana

  • @worth_monkey
    @worth_monkey 2 місяці тому +5

    watuu mbona hamfungukiii akili zenuuu huyu ni tapeliii jamaniii fungukeniiiii

  • @andrewkamese8492
    @andrewkamese8492 2 місяці тому

    Kama umeshinda jaribu la pesa basii nabii kiboko Sio mtumishi wa mchezomchezo!

  • @RichVoicetz-z9r
    @RichVoicetz-z9r 2 місяці тому +1

    yanii mtu anatoka kongo anakuja Tanzania kuchoma wazee wetu kwamba ni wachawii

  • @salomefaith2410
    @salomefaith2410 2 місяці тому

    Huyu mkongo arejeshwe kwao kongo. Hatutaki alete maafa ya shakahola

  • @rahabmausli4183
    @rahabmausli4183 2 місяці тому

    Muogo Kiboko Ya Wachawi 🫣unawapatia Kisha Sinakurudia unasema watoe Sadaka kilamutu erufukumi Mungu alisema chochote ukonacho utoe lakini Yeye lazima utoe vile Yeye Anataka
    Anatagaza tutoe Sadaka ya kwanza 20.000- ya pili 10.000 yatatu 5.000- That Is Business my my friend😳👎👎chako kikomotoni😳🤔

  • @bobdelwinsky9363
    @bobdelwinsky9363 2 місяці тому +1

    Msaka tonge muhuni na Mhuni makini

  • @omarally5460
    @omarally5460 2 місяці тому

    Hii issue ni mtambuka, Jamaa kaanzia kuziba midomo watendaji wa chini wa Serikali na Jeshi la police, Ni Ngumu kumchukulia hatua zozote,, Inahitaji maamuzi magumu sana. 🤔🤔🤔

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 2 місяці тому

    Kwaiyo hizo sadaka umeona uwape bodaboda wenye kipato kuliko kuwapa wasio jiweza Kaya maskini, magereza na hospitalini

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 Місяць тому

    Huyu hata ukimwangalia tu majibu unayapata.najiuliza hao waumini wanakuwa na shida gani jamani?

  • @jumarajab5316
    @jumarajab5316 2 місяці тому +2

    mbona anaongea tu bila kuulizwa

  • @Commentsplus
    @Commentsplus 2 місяці тому

    Huyu ni muhalifu!!! Ila inabidi uwe na elimu ya #cuba

  • @ElionaMbise
    @ElionaMbise 2 місяці тому

    Kweli nabii.umesema ukweli.hapo.hata.kama.wanasema.wewe.ni.nabii.wa.uongo wanakuonea wife.piga.kazi.baba.fufua.watu.wataelewa tuu.mungu.akitie.nguvu

  • @emanuelnjiku7354
    @emanuelnjiku7354 2 місяці тому

    Sikiliza rafiki katika bwana katika Yesu kristo nikwambie tu dini wala madhehebu sikitu mbele za mungu wetu kilicho bora kati yetu ni kumjua mungu kikamilifu ili katika yeye tumlaki mwokozi mawinguni. Wasikutishe na misaada yao kwa jamiii maana walio wa shetani wanajua kutoa sadaka kwa shetani kuliko hata watu wanao mcha mungu na wanajua kuongea ukiwasikiliza unajua wanaroho wa mungu kumbe ni chenga

  • @AberhartNdauka-nu3do
    @AberhartNdauka-nu3do 2 місяці тому

    We msenge kweli tapeli mkubwa kabsa

  • @dianaemmanuel3471
    @dianaemmanuel3471 2 місяці тому +1

    Baba Niko mwanza nataka kuzulumiwa asilimia zangu za uchimbaji wadhahabu Niko mwanza baba nisaidie

    • @shinshi9696
      @shinshi9696 2 місяці тому +1

      Tafuta mwanasheria haraka na acha kujilengesha laa sivyo utatapeliwa na utalia zaidi. Pole sana

    • @HangiMakina-wf8hw
      @HangiMakina-wf8hw 2 місяці тому

      Mgodi gani huyo kunajamaangu anaweza saidia

    • @NelsonAlphonce
      @NelsonAlphonce 2 місяці тому

      ​@@shinshi9696mwambie atume laki Tano Mimi ni msaidizi wa kiboko ya wachawi hatazurumiwa tena

    • @NelsonAlphonce
      @NelsonAlphonce 2 місяці тому +1

      Tuma kwanza sadaka ya laki Tano nitakuombea mi msaidizi wa kiboko ya wachawi .

    • @shinshi9696
      @shinshi9696 2 місяці тому

      @@NelsonAlphonce 🤣🤣🤣

  • @frankdaniel8010
    @frankdaniel8010 2 місяці тому

    Pambana mtumishi

  • @ramadhaninyangasa7275
    @ramadhaninyangasa7275 2 місяці тому

    Mungu wenu alikua analindwa na panga

  • @AbelsonGidion-vo1uj
    @AbelsonGidion-vo1uj 2 місяці тому +1

    Amna k2 apoo

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 2 місяці тому

    Kiboko ya wachawi nimependa hilo jina. Wachawi niwakuchapa sana

  • @barakanatus5676
    @barakanatus5676 2 місяці тому

    Uyu jamaa kweli anaongea kweli

  • @GodloveTyoe-fv8or
    @GodloveTyoe-fv8or 2 місяці тому

    Kwaio kila mzee ni mchawi selkai usiken uu ni uchochez wa mambo ya kipuz husababisha watu kuja kukosa aman wazee wetu

  • @MishlaySulley
    @MishlaySulley 2 місяці тому

    Ile ni pesa Yako au ni , ?

  • @AbdallahArizona
    @AbdallahArizona 2 місяці тому

    Hii move mwisho wake tutauona

  • @NdekejaKamuli-sh5pe
    @NdekejaKamuli-sh5pe 2 місяці тому

    Mmmh mbona kama nimeanza kukuelewa mtumishi

  • @MariyamSimba-ub7lz
    @MariyamSimba-ub7lz Місяць тому

    ACHA hizo Wewe

  • @igurusitv6553
    @igurusitv6553 2 місяці тому

    Atuambie amepata wapi hela?

  • @NgaizaKimbeNgaizakimbe
    @NgaizaKimbeNgaizakimbe 2 місяці тому

    We Mkongo TAPELI..Kawaombee Watu Wako Wanauwawa Na Madin Yanaibiwa 😁😁😁

  • @johnnkelebe7360
    @johnnkelebe7360 2 місяці тому

    Natamani niende hata leo kwa huyu nabii.

  • @musamusa6374
    @musamusa6374 2 місяці тому

    Watu 70000 unajua ni zaidi ya watu wanaoingia kwa mkapa

  • @mbarukumakakala4895
    @mbarukumakakala4895 2 місяці тому +1

    Uyu ni mkongomani kamata rudisha kwao

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 2 місяці тому

    SASA IVI TOA UDUMA NA FULSA KWENU MWIZI TAPELI 😂😂😂

  • @democritenzoisaba9117
    @democritenzoisaba9117 2 місяці тому

    Nabii yupo vizuri aendereza huduma hiyo haina upinzani?

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 2 місяці тому

    Huyu mtu hauhitaji udhahidi kuwa ni muongo huwenda kajijazia misukule pale sisi tunaona ni watu

  • @VeronicaRugoyi
    @VeronicaRugoyi 2 місяці тому

    Hujui kusoma hata picha huioni

  • @barakamanga5502
    @barakamanga5502 2 місяці тому

    Someni bible

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 2 місяці тому +1

    Ni mupango wa ubunge

  • @mbarukumakakala4895
    @mbarukumakakala4895 2 місяці тому

    Sasa unasema mtu mwenye kitambi hana yesu kwa sababu yesu akuwa na kitambi mbona yesu akuwq na pesa ww pesa unatoa wapi pia yesu akuoa ww kwann uoe umejipiga mkorogo umenyoa wey mmh

  • @TangaMashewa-qe8kk
    @TangaMashewa-qe8kk 2 місяці тому +2

    UJINGA MTUPU NENDA KAJITANGAZE KUA WEWE NI KIBOKO YA WACHAWI TANGA AU SUMBAWANGA VIJIJINI ACHENI UJINGA dar Kuna wachawi hizo ni biashara za utapeli wahuni nyie

  • @YustaMfugale
    @YustaMfugale 2 місяці тому

    Pastor anaway yake imetulia awee not this in God's Kingdom 😢

  • @KaguluZuu
    @KaguluZuu 2 місяці тому

    Nasisi waislam tunawo mataperi kama huyu baba acheni kulaumu ukiristo biblia ilisema manabii feki watajitokeza wakiristo wanaojielewa huwakuti kwa huyu jangiri hata siku moja.sijui serikari iko wapi kanisa uchwara zinajitokeza kila kona imekuwa biashara Kawanunulia police nini?😮

  • @WilfredMsechu
    @WilfredMsechu 2 місяці тому

    Duuu

  • @JoselineAlmasi
    @JoselineAlmasi Місяць тому

    Mukimtaka huyu tapeli mfateni ichin kwake huyu so mtazanzania nimtapeli mfateni

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 2 місяці тому +3

    mi nilimkataa pale alipomfukuza muumini😊 kazini kwake

    • @elijahchegere4974
      @elijahchegere4974 2 місяці тому

      Kuma la mamayako

    • @HASSANBAKARI-q9c
      @HASSANBAKARI-q9c 2 місяці тому

      @@elijahchegere4974 mamako ana bwawa...kuma nn

    • @lucasmasumbuko2098
      @lucasmasumbuko2098 2 місяці тому

      na wewe​@@elijahchegere4974

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 2 місяці тому

      ​@@elijahchegere4974 Jamani matusi ya nini? Kwani mama yako ana nini? Na wewe ulizaliwa na mama yako kupitia wapi? Matusi yanaonyesha wewe ni mtu wa namna gani!

    • @elijahchegere4974
      @elijahchegere4974 2 місяці тому

      Tatizo comment zingine zinazingua

  • @RichVoicetz-z9r
    @RichVoicetz-z9r 2 місяці тому

    unakuta limtu lizima limekaa kanisani ni kusema amenii ameniii shenzi na nusu

  • @IsraelSamberu
    @IsraelSamberu 2 місяці тому

    Ndo maana ccm chama tawala imetulia kwa maana ya kwamba wana muunga mkono huyu jamaa wanapata maslah.

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk 2 місяці тому

    Mjini matapeli ni wengi