MAHOJIANO MAALUMU NABII KIBOKO YA WACHAWI USWAHILINI BUZA KWA LULENGE / KWANINI ANAOGOPWA NA WACHAWI
Вставка
- Опубліковано 5 жов 2024
- MAHOJIANO MAALUMU NABII KIBOKO YA WACHAWI USWAHILINI BUZA KWA LULENGE / KWANINI ANAOGOPWA NA WACHAWI
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm #trending #mswahili #virah
Amina Baba piga kazi umenisaidia sana Madhabahu yako ina nguvu🙌
Nilichokuelewa ni kwamba ww ni tajiri wa moyo ndo mana una uthubutu wakutoa sadaka sanaa na ndo mana unatamani watumishi wako wajenge wawe na magari wasije pia na mashat yaliochanika god bless my broo
Nakuelewa sana mtumishi Mungu akutunze
jamni umasikinii utatuburuzaa sisi wabongooo tutumie akiliiii hawa watu ni matapelii na washirikinaaaa hata kwa macho hatuoniii jamaniii dah
Aisee nimesikiliza vizuri sana jamaa unajua kujieleza vyema una utaniutani kitu ambacho ni kizuri pia God bless all of us
J'aime mon papa beaucoup🎉🇨🇩
Wenye wivu acheni upuuzi hebu kuwen makini na maneno yake katika maisha yangu sikutegemea kuwakubali wachungaji ila kwahuyu kiboko acheni wivu.jaman pambaneni na hali zenu tunampenda huyu baba mie nipo oman namkubali kula tano👊👊👊👊👊👊👊👊👊👊💪💪💪💪💪💪💪
Utakuwa fala wa mwisho wewe. Nahisi mkeo na watoto wanatombwa na houseboy au housegirl wako jinsi akili zako zilivyo. ulivyoshikwa akili fala mbwa mzee wewe 😅😅😅
Uc ya nn kama mtu humuelewi kaa pembeni
Wazawa woote wa buza mpaka daladala zoote zimeneemekakama huku wai kufika kanisani kwake nenda kaone usithubutu kutukanavkabla magereza hospital polise kooote kapeleka magari namisoc
Huyu jamaa. Ukimzingatia na ukiwa na akili timamu utajua anamuabudu nani. Kama C3 huna hutonielewa. Mungu atuongoze.
Mtu.wa.mungu piga kazi.mungu.amekupa Kibali.cha.kuwa.kiboko.cha.wachawi.hapa 🇹🇿
Nakukubali baba
Aamina sana Mtumishi wa Mungu.
Mimi ni Mkristo huyu jamii ni tapel wa kiroho hafai hata kusikilizwa kwa mtu anaye mjua Mungu lakini kwasababu ya ujinga wenu ataendelea kuwa ibia hana ukibo wowote
Mwizi tu kupitia imani ira mungu anawaona kazi ipo kwenye malipizo
Sokuona sababu ya muziki huo katikati ya mahojiano
Jamani mnahukumu adi mnakela
Jamaaa hafai hata kidogo mwanzo alianzaa vizuri amepata umarufu na kuanza kuvaa majoho ya freemason hapo kuanza kukejeri dini nakuanza kuongea utumbo
Amewakosea sana wazee. Wananchi wenye umri mkubwa. Kwa hiyo waende wapi? Maana amegeneralise kuwa ni wachawi. Angesema baadhi yao. Na anataka kuaminisha umma kuwa hakuna vijana wachawi.
Hata yeye siku Moja atazeeka kama hao
Matapeli wapi nyinyi wivu tu ndo unawasumbua na mtu hayajawapata mtu siku akirogwa ndo atajua umuhimu wa kiboko ya wachawi 😭😭😏😏😏
Sister acha kudanganywaa Hawa ni wahunii tuu
Nabiii wote ni safi tu wewe unaeita nabii tapeli no moja ni wewe zungumza yako msiwachafue manabii wazuri wanasaidia sana
Tapeli Mwingine😂😂😂😂
@@PaulinaNyanzalashija fala Paulina shija
Dada Mimi ni mkristo, nitafute tufanye maombi Mungu mwenyewe atuoneshe kipi ni kipi
Usijali roho mtakatifu atawashukia😊@@didasmajor9288
Ni kweli kabisa huyu ni nabii ila wa uongo
This man Big Brain,🙌 mengine sijui nawaachie walimwengu!!😅
Hapo kwa watumishi wako hawajapauka wala mashati yaliyo chanika nakupa pongezi..big high five!
Wakristo tusome biblia vzr tusibebwe na huu upepo
Najivunia Sana kua Muislam maana nina uwelewa wa hali ya juu sana huyu jamaa ni tapeli tu na hao wote anaojifanya anawatibu anawapanga
Hauhitaji kuwa muislamu kujua uhuni wa mwamba. Hata wakristo wanajua mwamba ni msakatonge sheikh. Ni vile tunajivunia kuvumiliana na umoja ndio maana wahuni kama hawa wanaibuka kama uyoga. Sheria na taratibu za nchi zitakapobadilika kuwashughulikia hawa watu kihalali kama kutaifisha mali na kuwafunga watajifikiria sana.
Hauhitajiki uelewa wa juu kujua huyu ni tapeli, ni uelewa wa kawaida kabisa!
Weslam nao wanachanga moto yao acheni unafki nyinyi Weslam huku unajiitq Mweslam baadaye unaenda Gest kufirwa mkunduni
@@bobdelwinsky9363 ubarikiwe kakangu unasema ukweli kabisa Yani nahitaji Serekali iwashike handi Ndani hata myaka 10 kumi tu watanyooka kweli kweli
Wee ni mwanga TU umepangwa na shetani na wewe!
Biggerup Mtumishi wa Mungu Dominiq, Mungu awalindee woote
Kuhusu vitambi nimecheka 🤣🤣Nakupenda ❤
Yani hera Hera ndo neno Lake Kuu umakini uwepo wakati ukimsikiliza
Binafsi nilikuwa ckufwatilii kabsa lakn kws maelezo haya nahis kama naanza kukuelewa sanaaa sanaaaa sanaaaa nankukufwatilia umachosema ni kweli kabisa
kuna mambo kadhaa umeyasema nimefurah..moja wapo ni kuwa”utajiri wa kweli ni kile unachokiacha kwenye mioyo ya watu”ni ujumbe tosha na nadhan kwa hali ilivyo sasa watumishi wa Mungu,Raisi wa nchi na viongozi wake jalini sana mioyo ya wananchi mnaiachaje kutokana na nguvu za mamlaka mliyopewa na Mungu
Mbingu si ya wakristo,bali ya waliookoka.Waliomkubali Yesu kuwa Mungu na mwokozi.
Nabii.nipo.harusha.nimefatilia maji na.tishet.sijawakuta.watendakazi.stedim arusha❤
Dalili za kuchochea Ushoga kwa Huyu ??
😂😂😂😂
Aaaminaaaa
Mtumishi wa mungu 🎉
Huyo ni aina ya tajiri,,😂hawezi kutuharbu akili zetu imeishaaaa io
Wagawanye tuwatawale.
Shida ndio zinatusonga mpaka tusijue lakufanya EE mungu tujalie ufahamu
Watu 70,000 hivi anawajua? Means uwanja wa mkapa?? Watu bwana
Huyu bishop anahitaji matibabu ya akili
Wacha uhuni wewe uchawi ndionini ? Yaani mzee wamiaka 70 akifa tayari ni mchawi ? Kweli?
Nakukubali sana baba wasemewasemavo akilizao na zenyewe zimefungwa hawajielewi kazi kubwabwajatu
Najivunia sana kuwa mkiristo wa kikatoliki
Walewale Wote Wasaka Tonge😂😂😂😂
Nchi nzuri kuishi anasema Tanzania, sababu sisi mabumbu tunaibiwa tu!
Wamejivika ngozi ya kondoo kumbe ni mbwa mwitu, ole wenu KRISTO YESU anarudi
Hapa ni biashara na uganga Bali si injili ya kueneza ukombozi.Mungu akaokoe kondoo na mchunga wao
Mashemasi zaidi uya 100 wanalipwa zaidi ya Wabunge duuuh! naomba nitumie application form please! Kkkkkkkkkkkk
YEREMIA 50:6. YEHOVA ACMA KONDOO WANGU WANAPOTEZWA NA WACHUNGAJI WAO.
Ana sifa huyo namajigambo mmh nilishatapeliwA pesa nyingi na mgonjwa broo hakupona fyuuuu anawapaga watu anaogea kwenye redio vinzur lkn ukienda kanisani anakuchamba wee sijawai onaa utakufa utaenda motoni kafiri wewe
Kiboko ya wachawi ana bordgurd anawezaje ku deal na watu wasionekana akashindwa hawa anaowaona jamana jamani 😢 Uweze wachawi uogope watu hawa unaowaona?
Roho yang inaumia sana dada yangu alikuja kwako anaumwa umsaidie ukamwambia umpe million1 ndio umsaidie we sio nabii ww ni tapel tu
Nakukubali sana wataongea sana awakuwezi babaa wambie😂😂
Mheshimiwa Zembwela vipi unapoteza muda wako kuhojiana na mtu kama huyu! tafadhali utapoteza heshima katika jamii inayokueshimu.
huyu mtu anaongea nini hapo.
hapa tanzania siyo Kongo. watanzania ni waungwana.
anatukana viongozi wa dini ya kikristo mchana kweupe mnamwacha hivi hivi.
Nani mkristo kutoka tanzania anaweza kwenda kusema maneno kama anayosema huyu na akabaki salama!
tanzania mkiruhusu kuchezewa kiasi hicho !
MwenyeziMungu atawashushia nakama.
Tapeli wa kikongo huyu uhamiaji weka ndani wewe ndie mchawi mkubwa mshirikina wa kwanza kwanza ni mchochezi eti wazee wachawi imaana ata babu yako kule kongo ni mchawi eti tumepiga maombi wazee wamekufa sasa unawaponya watu au unaua watu mpigaji mkubwa..
Yaani anafurahi kuua wazee. Una uhakika gani Kama ni wachawi kuweni makini jamii
watu wa mungu tusikilze sauti ya mungu tuu
Naomba mwili upoe kwa nguvu sana
Alafu utasikia mpuuzi mmoja ana sema unatumika nashetani ukimuuliza ulifunuliwa nanani anakusomea andikotu lisemalo "watajitokeza manabii wauongo " shida yabongo wajuaji wengi
Wewe utafurahishwa😂 tulia na ubishi wako unapenda kuombewa eee
Anapenda kuombewa huyo haelewi mtandao unasumbua kama angeielewa biblia asingeongea utumbo uo
Kwan uongo? Hakuna nabii zama hiz wote matapel tu washirikina tu
inaonekana akilizako nifupisana naww unategemewa kua nafamilia polesana
@@kutailass6671 hayo umesema wewe
Hapo pa kuwapenda mashemasi na wahudumu nimekukubali, mtu huwezi kuwa mbaya kwa nyanja zote.
Niçe interview, May God bless you
😂😂😂😂😂😂😂😂watu niwajinga sana
watuu mbona hamfungukiii akili zenuuu huyu ni tapeliii jamaniii fungukeniiiii
Amewai kukutapeli Nini?😂
Tapeli la Kikongo Kawasaidie Congo..Vita ishe..
Kama umeshinda jaribu la pesa basii nabii kiboko Sio mtumishi wa mchezomchezo!
yanii mtu anatoka kongo anakuja Tanzania kuchoma wazee wetu kwamba ni wachawii
Huyu mkongo arejeshwe kwao kongo. Hatutaki alete maafa ya shakahola
Muogo Kiboko Ya Wachawi 🫣unawapatia Kisha Sinakurudia unasema watoe Sadaka kilamutu erufukumi Mungu alisema chochote ukonacho utoe lakini Yeye lazima utoe vile Yeye Anataka
Anatagaza tutoe Sadaka ya kwanza 20.000- ya pili 10.000 yatatu 5.000- That Is Business my my friend😳👎👎chako kikomotoni😳🤔
Msaka tonge muhuni na Mhuni makini
Hii issue ni mtambuka, Jamaa kaanzia kuziba midomo watendaji wa chini wa Serikali na Jeshi la police, Ni Ngumu kumchukulia hatua zozote,, Inahitaji maamuzi magumu sana. 🤔🤔🤔
Kwaiyo hizo sadaka umeona uwape bodaboda wenye kipato kuliko kuwapa wasio jiweza Kaya maskini, magereza na hospitalini
Huyu hata ukimwangalia tu majibu unayapata.najiuliza hao waumini wanakuwa na shida gani jamani?
mbona anaongea tu bila kuulizwa
Huyu ni muhalifu!!! Ila inabidi uwe na elimu ya #cuba
Kweli nabii.umesema ukweli.hapo.hata.kama.wanasema.wewe.ni.nabii.wa.uongo wanakuonea wife.piga.kazi.baba.fufua.watu.wataelewa tuu.mungu.akitie.nguvu
Sikiliza rafiki katika bwana katika Yesu kristo nikwambie tu dini wala madhehebu sikitu mbele za mungu wetu kilicho bora kati yetu ni kumjua mungu kikamilifu ili katika yeye tumlaki mwokozi mawinguni. Wasikutishe na misaada yao kwa jamiii maana walio wa shetani wanajua kutoa sadaka kwa shetani kuliko hata watu wanao mcha mungu na wanajua kuongea ukiwasikiliza unajua wanaroho wa mungu kumbe ni chenga
We msenge kweli tapeli mkubwa kabsa
Baba Niko mwanza nataka kuzulumiwa asilimia zangu za uchimbaji wadhahabu Niko mwanza baba nisaidie
Tafuta mwanasheria haraka na acha kujilengesha laa sivyo utatapeliwa na utalia zaidi. Pole sana
Mgodi gani huyo kunajamaangu anaweza saidia
@@shinshi9696mwambie atume laki Tano Mimi ni msaidizi wa kiboko ya wachawi hatazurumiwa tena
Tuma kwanza sadaka ya laki Tano nitakuombea mi msaidizi wa kiboko ya wachawi .
@@NelsonAlphonce 🤣🤣🤣
Pambana mtumishi
Mungu wenu alikua analindwa na panga
Amna k2 apoo
Kiboko ya wachawi nimependa hilo jina. Wachawi niwakuchapa sana
Uyu jamaa kweli anaongea kweli
Kwaio kila mzee ni mchawi selkai usiken uu ni uchochez wa mambo ya kipuz husababisha watu kuja kukosa aman wazee wetu
Ile ni pesa Yako au ni , ?
Hii move mwisho wake tutauona
Mmmh mbona kama nimeanza kukuelewa mtumishi
ACHA hizo Wewe
Atuambie amepata wapi hela?
We Mkongo TAPELI..Kawaombee Watu Wako Wanauwawa Na Madin Yanaibiwa 😁😁😁
Natamani niende hata leo kwa huyu nabii.
Watu 70000 unajua ni zaidi ya watu wanaoingia kwa mkapa
Uyu ni mkongomani kamata rudisha kwao
SASA IVI TOA UDUMA NA FULSA KWENU MWIZI TAPELI 😂😂😂
Nabii yupo vizuri aendereza huduma hiyo haina upinzani?
Huyu mtu hauhitaji udhahidi kuwa ni muongo huwenda kajijazia misukule pale sisi tunaona ni watu
Hujui kusoma hata picha huioni
Someni bible
Ni mupango wa ubunge
Sasa unasema mtu mwenye kitambi hana yesu kwa sababu yesu akuwa na kitambi mbona yesu akuwq na pesa ww pesa unatoa wapi pia yesu akuoa ww kwann uoe umejipiga mkorogo umenyoa wey mmh
UJINGA MTUPU NENDA KAJITANGAZE KUA WEWE NI KIBOKO YA WACHAWI TANGA AU SUMBAWANGA VIJIJINI ACHENI UJINGA dar Kuna wachawi hizo ni biashara za utapeli wahuni nyie
Pastor anaway yake imetulia awee not this in God's Kingdom 😢
Nasisi waislam tunawo mataperi kama huyu baba acheni kulaumu ukiristo biblia ilisema manabii feki watajitokeza wakiristo wanaojielewa huwakuti kwa huyu jangiri hata siku moja.sijui serikari iko wapi kanisa uchwara zinajitokeza kila kona imekuwa biashara Kawanunulia police nini?😮
Duuu
Mukimtaka huyu tapeli mfateni ichin kwake huyu so mtazanzania nimtapeli mfateni
mi nilimkataa pale alipomfukuza muumini😊 kazini kwake
Kuma la mamayako
@@elijahchegere4974 mamako ana bwawa...kuma nn
na wewe@@elijahchegere4974
@@elijahchegere4974 Jamani matusi ya nini? Kwani mama yako ana nini? Na wewe ulizaliwa na mama yako kupitia wapi? Matusi yanaonyesha wewe ni mtu wa namna gani!
Tatizo comment zingine zinazingua
unakuta limtu lizima limekaa kanisani ni kusema amenii ameniii shenzi na nusu
Ndo maana ccm chama tawala imetulia kwa maana ya kwamba wana muunga mkono huyu jamaa wanapata maslah.
Mjini matapeli ni wengi