Asante sana Kwa mafunzo mazuri Mimi ni Muislamu Alhamdulillah ila mafundisho yako ni kweli Hata kwenye Uislamu wapo Masheikh wadanganyifu kwa maneno ya kishetani wa kijini Wakisingizia Quran imesema Ivo Wakati Mungu ametufunza kua kwenye ulimwengu tunaishi na majini ambao ni adui zetu walio wazi . Wapo Waislamu wanayatumia mashetani wa Kijini kwa mambo yao ya kidunia kutafutia mali na umaarufu na nguvu za muda tu Mungu atulinde na adui wa kishetani wa kijini kupitia Watumishi waovu.
Asante mtumishi kwakutufungua macho hizi ni nyakati za mwisho yaliyo tabiriwa yanatimia mbele ya macho yetu tukiona tubuni tubuni ufalme wa Mungu umekaribia hayo ndio yanafaa kua mahubiri ya wakati kama huu yale mengine tutazidishiwa baada ya kuvuna Nafsi yaani uponyaji na baraka zitafuata nyuma
Asante sana mungu kwakuweza kunionyesha njia iliyo ya haki. Hivi kesho ilikuwa nipande gari kwenda kumuona kiboka wa wachawi. Mungu akupe maisha marefu na nguvu uweze kufanya kazi ya mungu. Ameen
Watu wamebebewa fahamu kweli kweli!!!😭😭😭 inaumiza kuona wana wa Mungu wanavyofuata upotovu na kuacha kweli ya Kristo. Hakuna miujiza hapo jameni wanapelekwa kuzimu daaah! Yesu wangu usinyamaze wataibiwa wote.
nakuelewa sana mtumishi pauli dunia iko mwisho na zaidi watu wanapotea kupitia miujiza ila sio kwa kusema hivi inamaanisha tunapingana na miujiza ila nacho jua watu wengi hufikiri kuwa pahala pako namiujiza ndiyo mungu yupo hapo ila siyo kweli ila nacho jua na kukielewa pahala NENO la mungu lipo ndiyo MUNGU yupo na dunia haijui hivyo anachokisema pastor pauli ni kweli kabisaaaaa mungu aisaidie dunia na wote wakaawo humo na mungu akubariki nakufwatilia na uduma yako inavita vikubwa kwasababu ya kunena ukweli
Hii ndio Injli ya kweli kukemea maovu Mungu azidi kukuweka Hai umetufungua wengi macho mimi binafsi Nilikuwa Muumini mzuri wa hao watu sijui kina mwamposa kuhani musa hata uyo kiboko lakini baada ya kukupa sikio langu dah nilijikuta naona kabisa tunadanganywa sana siwezi kukanyaga tena Kwa hao watu ni Bora nimuombe Mungu mimi mwenyewe kupitia biblia
Mshukuru Sana Mungu kaka kwa kutoa huko wanapeleka watu kuzimu pasipo wao kujua.watakuja shituka Yesu amelitwaa kanisa na wao wamebaki pamoja na hao watumishi wao.
Muombe sana yesu Kristo akufunulie ukweli juu ya Kuhani Musa Richard Mwacha vinginevyo mdomo wako utagandishwa na Kristo mwenyewe na hautaweza kuinuka tena.
pascal cassian utaumia sana kutoa sauti, hao unaowaelekeza wanajua wanachokifanya na wanafanya maigizo, wanafanya kitu ambacho walipanga wakifanye ndiyo maana kuna sehemu Yesu alifikia mahali akasema ACHENI WAFU WAWAZIKE WAFU WENZAO.. kuna mahali ikifika inapaswa umuache mtu mwenyewe akutane na mkono wa Mungu ndo atakuwa mwepesi kubadilika.
Ikiwa kama atanyamaza, hatutakuwa na watu ambao wanaweza kukemia na kuirinda imani dhidi ya manabii wa uongo, Hivyo imani inatakiwa ilindwe. Tazama ikiwa tutashindwa kuilinda imani hii leo je kizazi chetu kijacho itakuwa kizazi cha namna gani?
Mungu fundi iko siku wataomba mma, siku ya mwisho watambiwa ondokeni kwangu siwajui, enyi manabii wa uongo, na wachungaji na manabii wa uwongo maaskofu, wainjilisti, wazee wa kanisa mashemasi wa uongo baba yenu ni shetani, acheni kulagai watu, siku ya mwisho hao waumini mtaenda nanyi kuzimu, shtukeni mlaaniwe wote wapoteshaji injili ya YESU
Na mshukr mungu japo nmetoka kwenye uislmu lkn sijawah kuwa Amin Hawa wachungaji na muamin hyu mtu mishi tu amekuwa faraja kwangu amenielimisha saana hyu mtumish wa mungu barikiwa saana
Nataka nikwambie tu mtumishi wangu Kuhani Musa Richard mwacha naomba usije ukamtaja tena kwenye sehemu zako yule ni baba yangu wa kiroho kupitia mtumishi huyo Mungu amen badilisha sana❤❤❤
Nafurahi Kuona Waliopotoka wanaanza kukandiana, kupigana vijembe. Inadhihirisha kuwa Siku za Mataifa ya Magharibi kuendelea kuwahadaa wana wa Alikasi( Africa) zinaisha. Awe Musa,Mwamposa, na wapuuzi wengine Waliopotoka na wanawaaminisha Viumbe wa Mungu Upuuzi
Ubarikiwe sana mchungaji mana nguvu yamungu ipondani yako naniyakweli nakuombea tuy kwamungu adui yeyote atakae kufatilia apigwe papa achanganyikiwe uzidi kuwa fungus fatu kiufahamu wengi wamefungwa ufahamu usiache kutu fafanunila juu yahawa manabii
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu wewe songa mbele ktk kusema kweli maana haha Yesu alichukiwa kwa kusema kweli.Endelea kuwafumbua macho walio vipofu wapate kuona.
😊Cassian fanya yako achana na kazi au shughuli za. Watumishi,nabii. Kutwa wewe kuwachambua manabii huo ni wivu tu wa kiuchumi tu hakuna binadamu aliyekamilika manabii wanasaidia sana kuliko tukuelewe ,tuvutiike
Bwanayesu asifiwe pasta mungu aendelee kukutumia kwaviwango vya juu uendelee kusema ukweli maana watu wametekwa wanahangaika na miujiza wanapotea wamejazana huko kwa manabii na mitume hawamtafuti mungu wanatafu miujiza tuombe neema ya mungu ituongoze sawasawa maana matapeli niwengi
Paschal Cassian, you are real a man of YHWH-God. May the Lord Yahshua protect you against these crazy baldheads tormenting the nowadays church. I give you right hand to stand against these folks.
Hii ni kweri kabisaa mtumishi sema watu wapone maan hizi ni nyakati za mwisho kwahiyi mwenye masikio na asikie maana bwana yesu alisemtambua m2 kwa matendo huu ni wakati wa mwisho wapendwa
NAKAMA ULIKUWA AUJUI IKIFIKA JUMAAPILI ANAWATESA WATU ANATUPA ELA WATU WANAGOMBANIANA ADI WANAPIGANA WANAUMIZANA YANI HUYU KIBOKO YA WACHAWI ANAROHO MBAYA SANA
Hawa watumishi wa Mungu wakubwa Yesu anawatumia vizuri watu awaliwi tena na wachawi wala kuonewa wachawi sasa we usie amini emdelea kuto amini na ndo wachawi wanachotaka watu wasiamini ili waendelee kuvusha vitu vyao ...poleni sana wafata mkumbo msio jielewa na mmefungwaa masikini😅
Sema mtumishi wa Mungu Lakini Hao manabii wamewekwa na Mungu ili wale wasioamini kweli ya Mungu waende huko ili wakaukumiwe kwa Haki, Maana Mungu alisema Nitawaletea nguvu ya upotofu ili yasioami ni injili wauamini uongo,
Mungu anatujuwa sisi sote kama wana wake, na yeye sikipofu ili awa ace walio wake waangamie, mwanadamu kila mara ukosea, anajaa sifa, ujimimi na zarau ila Mungu yu na ubakie mwaminifu.Mambo ya kanisa tu muacie Mungu .
Mh mh jamani watu wanatekwa vibaya lakini wanaona mambo mabaya kama hayo lakini bado hawafunguki MUNGU wangu ulie mbinguni wasaidie watu wako baba wafunguliwe wamepotea lakini hawaoni kuwa wamepotea simama mwenyewe YESU
Uzuri wote hizi dini tumezikuta tunasoma t kwenye vitabu hakuna binadam aliekamilika hata wewe unamuongelea huyo wakati siyo kazi yako we fundisha kondoo wako kumjua mungu achana na habari zao,kila mtu na imani yake!
Always Pascal Cassian uko real sana. Wenye akili tunakuelewa
Asante sana Kwa mafunzo mazuri
Mimi ni Muislamu Alhamdulillah ila mafundisho yako ni kweli
Hata kwenye Uislamu wapo Masheikh wadanganyifu kwa maneno ya kishetani wa kijini Wakisingizia Quran imesema Ivo
Wakati Mungu ametufunza kua kwenye ulimwengu tunaishi na majini ambao ni adui zetu walio wazi .
Wapo Waislamu wanayatumia mashetani wa Kijini kwa mambo yao ya kidunia kutafutia mali na umaarufu na nguvu za muda tu
Mungu atulinde na adui wa kishetani wa kijini kupitia Watumishi waovu.
Mungu na akulinde juu hii huduma yako sio rahisi shetani haezi furahizwa na ww..damu ya yesu ikufunike shetani asikufikie in jesus name 🙏
Jitahidi sana kuandika YESU Kwa herufi kubwa na hata MUNGU usiandike Kwa herufi ndogo,herufi ndogo inamaanisha miungu na sio huyu MUNGU unaemaanisha
@@AlfredyLimu thnks 🙏true 👍
Amina mtumishi damu ya yesu ikufunikee ufalme wa Mungu umekaribia maneno ya Mungu yanatimiaa Amina aa Barikiwa sana
Asante mtumishi kwakutufungua macho hizi ni nyakati za mwisho yaliyo tabiriwa yanatimia mbele ya macho yetu tukiona tubuni tubuni ufalme wa Mungu umekaribia hayo ndio yanafaa kua mahubiri ya wakati kama huu yale mengine tutazidishiwa baada ya kuvuna Nafsi yaani uponyaji na baraka zitafuata nyuma
Ukwel mchungu upo sahihi mtumishi mungu aku bariki. Wafungue vipofu ambao awa jielew
Pascal cassia Mungu akusaidie mtumishi wa Mungu maan unawafumbua macho wengi nikiwemo na mimi ,God bless you 🙏
Asante sana mungu kwakuweza kunionyesha njia iliyo ya haki. Hivi kesho ilikuwa nipande gari kwenda kumuona kiboka wa wachawi. Mungu akupe maisha marefu na nguvu uweze kufanya kazi ya mungu. Ameen
Kesho ulikuwa uende aisee ,Mungu kakuhurumia kwakweli.
Duuù mweñýewe unatukana watu madhabahuni Mungu akusaidie ndugu,hukumu ni ya Mungu pekee,mwachie Mungu kazi yake
Ungejuwa ilo , ungemrekebisha kiboko ya wachawi kwa ukumu ya kufukuza mgeni
Hamjielewi nyie mnao mponda casian anaeleza ukweli huyu casian sio mapepo yenu akina kiboko ya wachawi
Jamani huyu anaongeaga ukweli sana saivi tunadanganywa sana na viin macho vya kichawi
Watu wamebebewa fahamu kweli kweli!!!😭😭😭 inaumiza kuona wana wa Mungu wanavyofuata upotovu na kuacha kweli ya Kristo.
Hakuna miujiza hapo jameni wanapelekwa kuzimu daaah! Yesu wangu usinyamaze wataibiwa wote.
Mtumishi nakufatilia sana
nakuelewa sana mtumishi pauli dunia iko mwisho na zaidi watu wanapotea kupitia miujiza ila sio kwa kusema hivi inamaanisha tunapingana na miujiza ila nacho jua watu wengi hufikiri kuwa pahala pako namiujiza ndiyo mungu yupo hapo ila siyo kweli ila nacho jua na kukielewa pahala NENO la mungu lipo ndiyo MUNGU yupo na dunia haijui hivyo anachokisema pastor pauli ni kweli kabisaaaaa mungu aisaidie dunia na wote wakaawo humo na mungu akubariki nakufwatilia na uduma yako inavita vikubwa kwasababu ya kunena ukweli
Hii ndio Injli ya kweli kukemea maovu Mungu azidi kukuweka Hai umetufungua wengi macho mimi binafsi Nilikuwa Muumini mzuri wa hao watu sijui kina mwamposa kuhani musa hata uyo kiboko lakini baada ya kukupa sikio langu dah nilijikuta naona kabisa tunadanganywa sana siwezi kukanyaga tena Kwa hao watu ni Bora nimuombe Mungu mimi mwenyewe kupitia biblia
Mshukuru Sana Mungu kaka kwa kutoa huko wanapeleka watu kuzimu pasipo wao kujua.watakuja shituka Yesu amelitwaa kanisa na wao wamebaki pamoja na hao watumishi wao.
Hongera Yesu kakukomboa!
Usijaribu ndugu tenaaaaaaaaaaa soma neno, biblia inasema wanitafutao kwabidii wataniona
Huwezi kumfananisha kuhani Musa Richard Mwacha na hao watumishi fake... Yule ni mtumishi wa Bwana kweli
Muombe sana yesu Kristo akufunulie ukweli juu ya Kuhani Musa Richard Mwacha vinginevyo mdomo wako utagandishwa na Kristo mwenyewe na hautaweza kuinuka tena.
pascal cassian utaumia sana kutoa sauti, hao unaowaelekeza wanajua wanachokifanya na wanafanya maigizo, wanafanya kitu ambacho walipanga wakifanye ndiyo maana kuna sehemu Yesu alifikia mahali akasema ACHENI WAFU WAWAZIKE WAFU WENZAO.. kuna mahali ikifika inapaswa umuache mtu mwenyewe akutane na mkono wa Mungu ndo atakuwa mwepesi kubadilika.
Ikiwa kama atanyamaza, hatutakuwa na watu ambao wanaweza kukemia na kuirinda imani dhidi ya manabii wa uongo, Hivyo imani inatakiwa ilindwe. Tazama ikiwa tutashindwa kuilinda imani hii leo je kizazi chetu kijacho itakuwa kizazi cha namna gani?
Ata mm nina mawenge nae huyo anajiita kiboko ya wachawi apo chenga cjui zumalid wote ao chenga tu
mungu wangu sasa hizi n nguo gani kanisa la mapepo mtumishi wa mungu fungua watu macho may God bless you
Paschal Mungu akubariki sana, kuna watu wapotezwa sana imani zao wanapoteza mda wao kukusanyika kwenye ibada za kishetani
Mungu akutunze mtumishi mbingu zikunenee mema sku zote za maisha yako
Hongela mtumishi was mungu mungu akutie nguvu uhubir injili ya kweli Mimi mama masai bagamoy pwan❤ injili ya kweli
Mungu fundi iko siku wataomba mma, siku ya mwisho watambiwa ondokeni kwangu siwajui, enyi manabii wa uongo, na wachungaji na manabii wa uwongo maaskofu, wainjilisti, wazee wa kanisa mashemasi wa uongo baba yenu ni shetani, acheni kulagai watu, siku ya mwisho hao waumini mtaenda nanyi kuzimu, shtukeni mlaaniwe wote wapoteshaji injili ya YESU
Mutumishi wa Mungu paza sati baba. Tuzidi kuombea Watoto wa Mungu. ❤
Na mshukr mungu japo nmetoka kwenye uislmu lkn sijawah kuwa Amin Hawa wachungaji na muamin hyu mtu mishi tu amekuwa faraja kwangu amenielimisha saana hyu mtumish wa mungu barikiwa saana
Hakika huu Ni ujumbe wa kiroho!! MWENYEZI MUNGU azidi kukupa UJASIRI utuelimishe baba!
Mungu akubariki sana pascal kwa kukemea uovu na upuuzi
Nataka nikwambie tu mtumishi wangu Kuhani Musa Richard mwacha naomba usije ukamtaja tena kwenye sehemu zako yule ni baba yangu wa kiroho kupitia mtumishi huyo Mungu amen badilisha sana❤❤❤
Kuhani musa ni mtumish wa mungu kama haujui. 🙏🙏🙏🙏🙏 mungu akulinde kuhani musa usiogope songa mbele na yesu wako😂😂😂😂
Nafurahi Kuona Waliopotoka wanaanza kukandiana, kupigana vijembe. Inadhihirisha kuwa Siku za Mataifa ya Magharibi kuendelea kuwahadaa wana wa Alikasi( Africa) zinaisha. Awe Musa,Mwamposa, na wapuuzi wengine Waliopotoka na wanawaaminisha Viumbe wa Mungu Upuuzi
Wee acha watu waende wanakojisikia hata wakija kwako ni sawa tuu
Ubarikiwe sana mchungaji mana nguvu yamungu ipondani yako naniyakweli nakuombea tuy kwamungu adui yeyote atakae kufatilia apigwe papa achanganyikiwe uzidi kuwa fungus fatu kiufahamu wengi wamefungwa ufahamu usiache kutu fafanunila juu yahawa manabii
Mungu akusaidie mtumishi mtu ambay haelew hawez jua mungu akuzidishie na akupe siku nyingi za mwiz arobaini ipo so iku wataumbuk
Mungu akulinde kakaangu maubiri yako yamenifungua sana nilikuwa sijui nabii wa kwel na wa uwongo..Lakin nilivyokufatilia nimeawajuwa wengi sana
Ubalikiwe baba mungu aendelee kukutumia kwaviwango vyajuu jinalayesu litukuzwe daima
Amina 🙏🙏 mungu akuweke mdamlefu uzidi kutufungua kwenye vifungo tulivyofungwa 🙏
❤mungu akubarik sanaa amakakika wewe ni mtume wa kwelii
Amina mtumishi mungu akuinue zaidi uitangaze kweli yake maumivu ya hawa yalinipata nikapita hali ngumu Sana siwaamini tena
Mungu akubaliki mtumishi wa mungu
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu wewe songa mbele ktk kusema kweli maana haha Yesu alichukiwa kwa kusema kweli.Endelea kuwafumbua macho walio vipofu wapate kuona.
Pascal cassian nakukubali sana mtumishi wa mungu unacho ongea kuhusu hawa matapeli wa uongo ni true kabisa
Ubarikiwe Sana mtumishi wa mungu
Mungu akulinde na azidi kukuinua katika Imani maana msema kweri ni mpenzi wa mungu.
MCHUMGAJI RICHARD HANANJA ALISEMA UKWELI NA UKWELI UTAKUWEK HURU, PROUD TO BE RC🙏
Mtumishi vip yule mtumishi anavaa viatu vya like kwenye ibada 😂😂 buski😂😂
Amina mwenye sikio na asikie tufundishe usichoke na mungu WA mbinguni atakujaza mwenye akili anaelewa
Sema ukweli mtumishi wa Mungu watu wa Mungu wapate kupona na Mungu akulinde siku zote za maisha yako,
Ee mungu mtie nguvu mtumushi wako aweze kuwabadilisha watu wako maana wanapotea kwa kufata manabii wa uongo EV PASCHAL CASSIAN MUNGU AKUBARIKI SANA
😊Cassian fanya yako achana na kazi au shughuli za. Watumishi,nabii. Kutwa wewe
kuwachambua manabii huo ni wivu tu wa kiuchumi tu hakuna binadamu aliyekamilika manabii wanasaidia sana kuliko tukuelewe ,tuvutiike
Hata waganga wa kienyeji wanasaidia watu kwa hiyo na wenyewe waitwe watumimishi wa Mungu?
Pole mingu akusaidie
Hata wewe umechukuliwa umekuwa wa kuzimu
Unamulikiwa mwanga Bado huoni!!!!? Utatumbukia shimoni
Huyu ana wivu kwani amekuwa Mungu hadi kuwajudge wengine
Acha kuhubiri huduma ya mwenzako ..hubiri ya kwako Mungu aliokupa.
Elewa vitu vingine vinaonekana wazi
Baba mungu akutie nguvu uendelee kuelimisha hawa watu waliofungwa katka shimo la kuzim maana hawajui wanalolifanya
Bwanayesu asifiwe pasta mungu aendelee kukutumia kwaviwango vya juu uendelee kusema ukweli maana watu wametekwa wanahangaika na miujiza wanapotea wamejazana huko kwa manabii na mitume hawamtafuti mungu wanatafu miujiza tuombe neema ya mungu ituongoze sawasawa maana matapeli niwengi
Yan huyu ndio mchungaji naweza mpa mda wangu kusikiza no more 😘
Mungu atusaidie sana
Paschal Cassian, you are real a man of YHWH-God. May the Lord Yahshua protect you against these crazy baldheads tormenting the nowadays church. I give you right hand to stand against these folks.
Mungu atupe macho ya rohoni
Amina munguawe nawewe xikuzote naakiweke xikuzote endelea wataachat mungu akubalik
Mungu akulinde na huduma yako
Hubri neno la mungu watu wakuelewi acha kutumia nguvu nyingi kukosoa wengin.hata sio mkamilifu hukumu si juu yako mwachie mwenye mamlaka
Watu wangu waangamia kwakukosa maarifa kubali kufundishwa ukae kwenye njia sahihi
Baba ubarikio sana na Mungu aliye mbinguni
Binafci nimebarikiwa sana kwakua umetufumbua macho wengi, stay blessed!
Mungu akulinde naakpe ngvu😢 maradu upambane nawapnga crsto
Jaman jaman inahuzunishaa eee mungu wangu ukowap utuokoeee
Watu wengi tunapenda miujiza bila macho ya rihoni, Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu sema tupone Ameena.
Barikiwa sana mtumishi Cassian
Tunaokuelew tunasema emen❤❤
Amina.Mungu.akubaliki sana
Nimekuelewa sana mchungaji umenitoa kwenye giza
Mungu mlinde mtumishi wako Pascal casian
Wewe siyo mungu kuhukumu watumishe wa mungu 😊
Bwana Yesu akutunze Mtumishi wa Mungu
Hii ni kweri kabisaa mtumishi sema watu wapone maan hizi ni nyakati za mwisho kwahiyi mwenye masikio na asikie maana bwana yesu alisemtambua m2 kwa matendo huu ni wakati wa mwisho wapendwa
Hilo libaba nilichawi jamani tunaomba mungu aingilie kati kwa majitu kama hawa waliyoamua kumchafua Mungu wetu
Pascal kusema ukwel ww ndio mchungaji unajaribu kuchunga kondoo wa bwana wasipotee mungu akulinde
NAKAMA ULIKUWA AUJUI IKIFIKA JUMAAPILI ANAWATESA WATU ANATUPA ELA WATU WANAGOMBANIANA ADI WANAPIGANA WANAUMIZANA YANI HUYU KIBOKO YA WACHAWI ANAROHO MBAYA SANA
Hakika huku huku kigoma nilipo nakupata, Mungu atusaidie tupate kuelewa neno lake
Dunia iko mwishoni kabisa. Paza sauti mtumishi wa Mungu
Mungu akulinde kamanda jembe la bwana yesu
Kazi yako njema mtumishi.
I wish kukuona kwa ukaribu tufanye interview kidogo mtumishi wa Mungu nayakubali mafundisho yako
Tatizo akil zetu zimetekwa mungu atusaidie Yan hatujielew chochote tukiambiwa ni ameeeeen duh et u star
Mwambie mtumishe wa mungu hapa umekosea siyo kusema kila wakati
Hawa watumishi wa Mungu wakubwa Yesu anawatumia vizuri watu awaliwi tena na wachawi wala kuonewa wachawi sasa we usie amini emdelea kuto amini na ndo wachawi wanachotaka watu wasiamini ili waendelee kuvusha vitu vyao ...poleni sana wafata mkumbo msio jielewa na mmefungwaa masikini😅
Sema mtumishi wa Mungu
Lakini Hao manabii wamewekwa na Mungu ili wale wasioamini kweli ya Mungu waende huko ili wakaukumiwe kwa Haki,
Maana Mungu alisema Nitawaletea nguvu ya upotofu ili yasioami ni injili wauamini uongo,
Mpoki nisaidie Hilo andiko nisome mpendwa
Mungu atulinde tu hilo tombe sanaa
Mmm Yesu yu karibu.
Mungu tusamehe sana kaka nakukubali sana naomba mawasiliano yako kuna mambo nataka unisaidie
Jaman mtumishi anazungnmzia kumjua munguwa kwerinasio upako ambao sikweri au mpona mana ii wAuong
Kweli hao mashetani nimeelewa tutaangamia kwa kukosa maarifa tatizo watu tunataka mtelemko mungu wa mbingu na nchi awatupilie mbali amina
Mungu atusaidie na atupe neema kubwa sana ya kuwatambua manabii wa uongo
Mimi naamini Mungu baba Mungu Mwana na Roho Mtakatifu
Hiyo siyo kazi yako nikazi ya mungu
Nipo Tunduma tunakupata vilivyo mtumishi endelea kutufumbua macho mungu atakulipa kwa hili
Ubarikiwe mchungaji hii ni ukweli huyu mtu siyo mtumishi wa Mungu
Mungu Awafungue
Upo vizuri shida nimoja tu unaubili ya wenzako Tupe neno la MUNGU c tufunguliwe na ibada zako
Utaokoaje roho zilizotekwa gizani na manabii hao pasipo kufundisha kupambanua Giza na nuru
mungu akubaliki sana mtumishi
Just waoooh nimeipenda sana hii injili jamani jina la bwana libarikiwe sanaa
Barikiwa sana kwa huduma iliyo kweli
Cassian MUNGU akubariki sana❤❤❤❤
Mungu anatujuwa sisi sote kama wana wake, na yeye sikipofu ili awa ace walio wake waangamie, mwanadamu kila mara ukosea, anajaa sifa, ujimimi na zarau ila Mungu yu na ubakie mwaminifu.Mambo ya kanisa tu muacie Mungu .
KUHANI MUSA BABA LAO ...tunakupemda mpaka raha miyoni
..na watumishi wote wa Mungu pigeni kazi fanyeni kile mlichoitiwa na Mungu
Acha kusema watumishe tu mishe wa mungu hskuna aliekamilika
Jamani mimi katika wachungaji wote Tanzania huyu mchungaji namkubali sana maana haogopi mtu yeyote anakuchuna live
Kwa kwelii, Mungu atusaidieee
Mh mh jamani watu wanatekwa vibaya lakini wanaona mambo mabaya kama hayo lakini bado hawafunguki MUNGU wangu ulie mbinguni wasaidie watu wako baba wafunguliwe wamepotea lakini hawaoni kuwa wamepotea simama mwenyewe YESU
Huyo kiboko mkorofi mara awafukuze washilika
@@AverinaShiratiLakini hata mwonekano tu Hana Kama Ni mpakwa mafuta wa BWANA
Hakikaa ni sahihii kwa Elimu hiyo,asante baba
Uzuri wote hizi dini tumezikuta tunasoma t kwenye vitabu hakuna binadam aliekamilika hata wewe unamuongelea huyo wakati siyo kazi yako we fundisha kondoo wako kumjua mungu achana na habari zao,kila mtu na imani yake!