Baba nakufata kabisa mimi Niko mukongomani lakini nilishangaa Sana n'a maneno a na ambiya watu. Kweli watuwameangamiya kwa kukosa maarifa watu wamefungwa ma cho kweli. Watu wame kosa mafundisho
Ni kampeni na ajenda ya shetani katika makanisa ili waache njia ya yesu,tuombe sana na tusome biblia tuijue kweli ya yesu na ituweke huru, Mungu akubariki mtumishi PASCAL kukemea haya Yesu anarudi
Hoo yesu tusaidiye😢😢😢 kwanyakati za zamwisho tutayaona mengi na kuyasikiya huyu siyo mutumishi wa Mungu kweli alaaniwe kupotosha tu watu Mungu nipe mwisho mwema mutumishi wa Mungu ubarikiwe
AMINA . BWANA YESU kiristo wa nazaleti akulinde pasical casiani. BWANA awakemee watu Kama Hawa ktk taifa letu.ubarikiwe Ubarikiwe casian na watumishi wote wanaoihubiri kweli ya BWANA na utakatifu.
Mungu akulinde na akupe uwezo na mamulaka yakuyiendesha zayidi injili ya ukweli kupitiya madabahu haya wengi tumepona.usichoke wala usinyamanze na Mungu atuwezeshe tukushike mukono ili injili iwafikiye wengi❤❤❤
Kweli babisa Mungu atusaidie sana jamani Tanzania yetu tuokolewe na hii laana,Yesu alisema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa, tatizo hawajui Neno la Mungu.
Hosea 4:6 Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa; kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe, usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeisahau sheria ya Mungu wako, mimi nami nitawasahau watoto wako.
Am happy Leo umesema Wazi ,Serikali kwani Iko wapi,Wafuasi wengi wa kikristo wa Watanzania kama wamerogwa jamani......Serikali ingilieni kati,Jamiii inaangamizwa
Yaan tena na aliye waroga kafa, kabisa yaan wakristo wengi hawayajui maandiko,Yesu Kristo aliwaambia makuhani,Mwapotea kwa kuwa hamuyajui maandiko wala Uweza wa Mungu.
Mtumishi Cassian, Mungu akutie nguvu sana, Zidi kukemea na kukaripia na kuonya kwa nguvu zote; Kiukweli tuko mwishoni sana, Mungu alisaidie kanisa lake
Hosea 4:6 Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa; kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe, usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeisahau sheria ya Mungu wako, mimi nami nitawasahau watoto wako.
Barikiwa mtu wa Mungu,maana huu upepo wa manabii na mitume feki baada ya kiwaelekeza watu kwa Mungu ili wajitegemee kiroho wao makanisani kiila siku nimelogwa,mara nimetapika mjusi,mara nimemwaga mafuta yaani perception za kiushirikina,uganga,na kishetani makanisani
Mimi poster wngu ni cassian pekee uyo ndyo nitamsikiza mpaka mwisho...kwasababu mafundisho ya pascal cassian na mnabii wengine yako tofauti sana....mungu akulinde kakaangu na akutie nguvu nyingi uwendeleze maubiri yako...
Watu wengi hawataki kuambiwa ukweli. Utasikia huyu naye anahukumu amekua Mungu? Tuko kwenye nyakati za mwisho watu wameziba masikio. Baba unaipambania injili ya kweli Mungu akubariki sana
Ukweli kanisa liko ktk Vita kubwa Sana yaani mtu anayejiita mtumishi wa Mungu anasema hawezi kuhubiri utakatifu Wala hawezi kuwaambia watu kuwa Yesu anarudi eti anahubiri apate pesa anamambo mengi yakufanya jamani nabado watu wanaenda tu
Mwenye macho haambiwi tazama..tuliambiwa tutawajuwa kwa matendo.kiboko ya wachawi siyo nabii wa kweli ni shetan kabsa.aya mavazi tayari na kauli yake ni mapepo tosha....wa2 wanakimbilia miujiza awafati mungu
Sema kweliiii mtumishi wa MUNGU Ev.Cassian ili tupone Saa imefika nayo Sasa ipo ambayo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweliiii.Mungu ni roho wote wamwabuduo imewapasa kumwabudu katika roho na kweliiii Damu ya Yesu Kristo mwana wa MUNGU alie hai itufunike!!!
Wanaomkubali Cassian Gonga like hapa💪🏻💪🏻
Mungu, akubariki,sana,kwa kukemea manabii wa uongo
Nami nasema, alaaniwe,
Hakika shetani amejidhilisha waziwazi ,kupitia makanisa, Mtumishi,Mungu akuinue sana,pamoja ,Na Mbalikiwa,
Mungu ambariki sana huyu kaka Cassian,
Baba nakufata kabisa mimi Niko mukongomani lakini nilishangaa Sana n'a maneno a na ambiya watu. Kweli watuwameangamiya kwa kukosa maarifa watu wamefungwa ma cho kweli. Watu wame kosa mafundisho
Ni kampeni na ajenda ya shetani katika makanisa ili waache njia ya yesu,tuombe sana na tusome biblia tuijue kweli ya yesu na ituweke huru, Mungu akubariki mtumishi PASCAL kukemea haya Yesu anarudi
Wakenya wanaopenda utakatifu mko wapi?more grace mtumishi 🙏
Sjawai kuona nabii hasie na hekima na hofu ya Mungu kama ww unaejiita kiboko ya wachawi, Yesu akusaidie uokoke kwa jina la yesu kristo
Huyu ni nabii wq wachawi
Pastor CASSIAN Mungu wa mbinguni akutie nguvu kwa kujitoa kufa na kupona kukemea na kufunua watumishi matapeli kama hao,ubarikiwe sana sana.
Mungu akutie nguvu Baba msema kweli Pascal Casiani Tunakuombe
Amina munga azidi kumulinda
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Mungu aziyakiwi, wanakuja kuchafuwa jina la yesu ata wachafulishe jina la yesu, Mungu atabaki kuwa Mungu
Hoo yesu tusaidiye😢😢😢 kwanyakati za zamwisho tutayaona mengi na kuyasikiya huyu siyo mutumishi wa Mungu kweli alaaniwe kupotosha tu watu Mungu nipe mwisho mwema mutumishi wa Mungu ubarikiwe
Amtegemeaye Mungu, awezi kuogopa mwanadamu
Bwana aliekuita akutunze daima
Amtunze aendelee kuangamiza roho zenu
Mungu akubarikii kwa kusema kweliii
Nakupenda sana una hubiri injili ya kweli mungu akupe siku nyingi sana
Mtumishi Ubarikiwe sana.Isaya. 58:1 ukosawa.
Oooh Mungu wangu,hizi nyakati za mwisho kwahakika Yesu anarudi jihadharini enyi wanadamu
Amina baba sema ,yani kwa hapa dar es salaam matapeli wengi sana siku hizi
Mungu akukumbke sna mtmshi
Binafsi namshukuru Mungu aliye kuita ndugu Paschal. Huduma yako inatubariki sana.
Mungu ukutangulie mbele safi sana pasical cassian ulindwe na mungu alie hai
Nakupenda buree mtumishi
Ubalikiwe mtumishi Dunia imefika mwisho mungu atusaidie
Asante sana mtumishi wa MUNGU endelea kuisema kweli wakupona wapone na wakupotea wapotee
AMINA . BWANA YESU kiristo wa nazaleti akulinde pasical casiani. BWANA awakemee watu Kama Hawa ktk taifa letu.ubarikiwe Ubarikiwe casian na watumishi wote wanaoihubiri kweli ya BWANA na utakatifu.
Mungu akulinde na akupe uwezo na mamulaka yakuyiendesha zayidi injili ya ukweli kupitiya madabahu haya wengi tumepona.usichoke wala usinyamanze na Mungu atuwezeshe tukushike mukono ili injili iwafikiye wengi❤❤❤
Hakika umesema kweli, mungu akupe maisha malefu malefu sana mtumishi wa bwana yesu
Bwana haandikwi kwa herufi ndogo jmn huyu anakuwa ni bwana wa Dunia Bwana hata bibilia inamtamka kwa herufi kubwa
Kweli babisa Mungu atusaidie sana jamani Tanzania yetu tuokolewe na hii laana,Yesu alisema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa, tatizo hawajui Neno la Mungu.
Mungu akubariki sana sana 🙏🙏
Amina mutumishi
Mungu azidi kukupigania,
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa,ndivyo yesu alisema,
SIO WANA ANGAMIA BALI BIBLIA INASEMA WANAANGAMIZWA.... isome vizuri hilo andiko
Hosea 4:6
Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa; kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe, usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeisahau sheria ya Mungu wako, mimi nami nitawasahau watoto wako.
Watu kama Cassian wanahitajika sana Tanzania jamani katika jina la yesu ❤❤❤
Kweli kabisa
Ubarikiwe endelea kusema kweli na Mungu yuko pamoja nawew
Hakika Mungu amekutuma kutuokoa wanadamu tunangamia huku tunaona 🙏🙏
Asante mtumishi wa mungu
Pascco Mungu alikuponya na ile Ajali (mauti kwa makusudi kamili mtumikie Mungu wa kweli Baba
Mungu akubariki sana mtumishi
Mungu aturehemu hivi na watu wanasema amen 😢😢
😭😭
Amina mtumishi wa Mungu. Namimi nina ungana na wew kuwa na ALAANIWE
Amina Mtumishi Wa Mungu Na MunguAkubsriki Sana.
Aminaaaaaaaaaaaaaaaaa pasta mungu akutie nguvu
Walaahi Dunia inaelekea mwisho😭😭😭😭😭🙏🙏🙏
Ubarikiwe kwa huduma njema Cassian
MUNGU atunusulu Dunia imeishaa
Kwa hili asiekuelewa ana shida ktk ufahamu wake!
Nakupenda bure mimi mtumishi cassian unasemaga ukweli baba yangu taji yako nikubwa mbinguni kaka yangu.
Kweli kabisaa, barikiwa na Mungu Cassian 🙌🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Mungu akutie nguvu mtumishi
Am happy Leo umesema Wazi ,Serikali kwani Iko wapi,Wafuasi wengi wa kikristo wa Watanzania kama wamerogwa jamani......Serikali ingilieni kati,Jamiii inaangamizwa
Yaan tena na aliye waroga kafa, kabisa yaan wakristo wengi hawayajui maandiko,Yesu Kristo aliwaambia makuhani,Mwapotea kwa kuwa hamuyajui maandiko wala Uweza wa Mungu.
Amen mtumishi
Mungu akufikishe mbinguni kwasabbu umezijua sili ukiwa ndogo mafanikio yaako uliapata huko badae ukaokoka hongera sana
Yn kwel wafuasi wake ni misukule kbs Mungu twakuomba tufungue fahamu zetu watu hao wametekwa ufahamu kwel kiboko ya wachawi alaamiwe ni shetani kbs
Amina pasita ashindwe kwa jina la yesu
Mungu akulinde siku zote ktk maisha yako
mtumishi mungu akuweke miaka mingi iliuwafungue watu akili
Ameni ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
Natamani kujifunza sana kutoka kwako cassian
Katika jina la yesu kiristo, damu yake ikufunike, juu chini kulia, nakushoto mungu akulinde mana umesema kweli, hata mm nimesikitika mno.
Mtumishi Cassian,
Mungu akutie nguvu sana,
Zidi kukemea na kukaripia na kuonya kwa nguvu zote;
Kiukweli tuko mwishoni sana, Mungu alisaidie kanisa lake
Cassiani Mungu akubariki Kwa kazi ngum unayoifanya
Hakika mwana wa mungu yu karibu zidi kuwahubiria wakuokoka waokoke atakaye shupaza shingo lake atajijua Amina mtumishi uko sawa.
Pastor Paschal namupa 10000000 points ❤❤❤❤❤❤
Ni Amina na kweli,
Ubarikiwe Sana sana MUNGU azidi kukutumia kwaajili ya KUOKOA nafsi zilizo potea
😂😂😂Ila hii dunia bana kweli watu wametekwa jamaa anaongea ujinga alafu watu wanasema ameen .... paschal usinyamaze sema baba
Kweli watu wamefungwq jamani😂
We acha tu
Kama mataira ndugu yangu😂😂😂,ety Amen...jamani Mungu atusaidie
Alie ndani yetu ni mkuu kuliko aliye inje.Injili ya Yesu ivume.
Watumishi wa kweli tuongeze bidii ya maombi na kuyakemea haya. Pia tuendelee kuwafundisha Wana wetu kweli ya Mungu
Amen 🙏
Kiboko ya wachawi mwenyewe anazungumza mambo mambaya na watu wanazidi kufuatia niatari
Nakubali hi ni nyekati ya mwisho jamani
Duh! Hii ni kama comedy flani hivi, Mungu atusaidie
Hosea 4:6
Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa; kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe, usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeisahau sheria ya Mungu wako, mimi nami nitawasahau watoto wako.
Ninakuelewa sana brother Mungu akulinde na wabaya
Mungu akubariki sana na aendelee kukupa ujasiri
Barikiwa mtu wa Mungu,maana huu upepo wa manabii na mitume feki baada ya kiwaelekeza watu kwa Mungu ili wajitegemee kiroho wao makanisani kiila siku nimelogwa,mara nimetapika mjusi,mara nimemwaga mafuta yaani perception za kiushirikina,uganga,na kishetani makanisani
Sema mtumishi ,watu wamegeka wanafanya biashara
Anasema ana fuata mambo matatu..ni ana vibuyu vitatu kwenye chumba.
Kaza buti jembe la yesu inapenya
Jamani injili imevamiwa na waganga wa kienyeji na wataalamu wa majini na kujipachika utummishi wa Mungu
Mimi poster wngu ni cassian pekee uyo ndyo nitamsikiza mpaka mwisho...kwasababu mafundisho ya pascal cassian na mnabii wengine yako tofauti sana....mungu akulinde kakaangu na akutie nguvu nyingi uwendeleze maubiri yako...
Watu wengi hawataki kuambiwa ukweli. Utasikia huyu naye anahukumu amekua Mungu?
Tuko kwenye nyakati za mwisho watu wameziba masikio. Baba unaipambania injili ya kweli Mungu akubariki sana
Semaji la tz Cassian my role moddle
Ukweli kanisa liko ktk Vita kubwa Sana yaani mtu anayejiita mtumishi wa Mungu anasema hawezi kuhubiri utakatifu Wala hawezi kuwaambia watu kuwa Yesu anarudi eti anahubiri apate pesa anamambo mengi yakufanya jamani nabado watu wanaenda tu
Dunia imeisha kweli jina la Kristo linatukanwa yaani nimemshangaa sana huyu kiboko wa wachawi yaani huyu ni pepo kamili
MUNGU AKUBARIKI MTUMISHI
Kiboko ya wachawi ni shetani na alaniwe katika jina la mungu baba muumba mbingu nchi na ardhi
Ulinzi wa Mungu kwako
Mwenye macho haambiwi tazama..tuliambiwa tutawajuwa kwa matendo.kiboko ya wachawi siyo nabii wa kweli ni shetan kabsa.aya mavazi tayari na kauli yake ni mapepo tosha....wa2 wanakimbilia miujiza awafati mungu
Mwenye masikio na asikie
Huyo Kiboboko ya wachawi ni mganga kama waganga wengine..sio mtumishi wa Mungu..Apo Cassian umepata wa kujipigia bila shaka hata kidogo😂😂😂😂😂😂
hakika mungu akusimamie kwenye huduma Yako ya kuweza kusema ukweli
Baba balikiwa sana Kwa kweli itokayo Kwa bwana
Amen na mung azid kukulind
MUNGU AWE NAWE DAIMA UBARIKIWE SANA
Walaaniwe kabsa mungu ashushe mafuriko wasombwe na waumini wake
duuuuuuuuuu mungu atusaidiee sana lakin mtu mwenye akili zake anaingia na kutoka hapo hapo duuuuu mungu awape macho kuonaaa inasikitishaaa
Tubuni murejee maanake wageuke waache uovu wamrejee Mungu MKUU. Siyo kutubu ili ukose na kukosa ili utubu.. MUNGU hadhihakiwi.
Sema kweliiii mtumishi wa MUNGU Ev.Cassian ili tupone
Saa imefika nayo Sasa ipo ambayo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweliiii.Mungu ni roho wote wamwabuduo imewapasa kumwabudu katika roho na kweliiii
Damu ya Yesu Kristo mwana wa MUNGU alie hai itufunike!!!
Mungu akusaidie sana
Mtumishi paschal hapooo nakuunga mkono kweli huyo ni shetani mzimu kabsaaaaa
AMINA 👏👏👏👏
Ubarikiwe sana utalipwa usipo zimia moyo
Mungu atusaiye jamani nimeumia Yesu tusaidiye
Hiii kali ila ibilisi anazidi kujionesha kabisa
Uko sawa-sawa