Це відео не доступне.
Перепрошуємо.

Makali Ya Gen Z: Kizazi cha Gen Z chasimama kidete na kuikosoa serikali

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 13 лип 2024
  • VIJANA WA KIZAZI CHA GEN - Z WAMESHANGAZA ULIMWENGU MZIMA KWA MAANDAMANO YAO ULIOSABABISHA SERIKALI KUWASIKIZA NA HATA RAIS KUWAFUKUZA KAZI MAWAZIRI WAKE WOTE. VIVYO HIVYO MSUKUMO WAO UMEMFANYA ALIYEKUWA MKUU WA POLISI JAPHETH KOOME KUJIUZULU. TOFAUTI NA MAANDAMANO YALIYOWAHI KUFANYIKA KENYA HAYA YALIHUSISHA SIMU NA MITANDAO LAKIN MATUNDA YAKE NI MENGI. PAUL NABISWAANAANGAZIA MBINU WALIZOTUMIA VIJANA HAWA AMBAO HAWANA KIONGOZI WALA SIFA ZA UKABILA NA TABAKA KATIKA MAKALA MAALUM YA MAKALI YA GEN-Z.
    #KTNNews #KTNNewsDigital #ktnkenya #KTNTV #KTNHome #KenyaNews #genz
    Welcome to the 24/7 KTN Kenya News Channel on UA-cam - your trusted source for the latest news and updates in Kenya and beyond. Stay informed with our comprehensive news coverage, breaking stories, in-depth analysis, and exclusive reports. Our live-streaming service brings you real-time updates on current affairs, politics, business, technology, health, entertainment, and much more. Join us and be a part of the conversation, and don't forget to subscribe for the latest news and updates. Stay connected with KTN Kenya News, your reliable news partner. #KTNKenya #NewsChannel #BreakingNews #KenyaNews #ktnprime #livestream #livenews
    SUBSCRIBE to our UA-cam channel for more great videos:
    / ktnnewskenya
    Follow us on Twitter: / ktnnewske
    Like us on Facebook: / ktnnewskenya
    KTN News is a leading 24-hour TV channel in Eastern Africa with its headquarters located along Mombasa Road, at Standard Group Centre. This is the most authoritative news channel in Kenya and beyond.
    Watch KTN Live www.ktnnews.com...
    Watch KTN News www.ktnnews.com
    Follow us on / ktnnews
    Like us on / ktnnews

КОМЕНТАРІ • 212

  • @user-if6iw4ir9h
    @user-if6iw4ir9h Місяць тому +82

    High school teachers, college & university lecturers should start teaching students on their constitutional rights as our future leader.

    • @Eagle7-nl4bu3wh8c
      @Eagle7-nl4bu3wh8c Місяць тому +1

      True but also teach them to excise their rights without violating the constitutional rights of other peaceful Kenyans and not to support Goons thugs and looters to trespass private property and to burn private property, houses and businesses. And also teach them not to be seduced by foreign powers to distabilize our democratically elected government and to remove our democratically elected president from power.

  • @the_gamer_kinda
    @the_gamer_kinda Місяць тому +38

    This is why they wanted to ban TikTok

  • @mfululizowak9899
    @mfululizowak9899 Місяць тому +5

    Thank you KTN for staying true and patriotic! 🙌🏾🙏🏾❤️

  • @karutyericscomedies2783
    @karutyericscomedies2783 Місяць тому +24

    This must reach the Icc

  • @magimuturi7489
    @magimuturi7489 Місяць тому +38

    OUR BROTHERS AND SISTERS SHOULD COME HOME IMMEDIATELY FROM HAITII,, LET AMERICA SEND THEY OWN THERE!!!

  • @stephenouda3509
    @stephenouda3509 Місяць тому +80

    RUTO IS AN ANIMAL NOT HUMAN 😢

    • @musaandre
      @musaandre Місяць тому +2

      babako angekua rais basi

    • @Eagle7-nl4bu3wh8c
      @Eagle7-nl4bu3wh8c Місяць тому

      Liar! Dr William Ruto is a human being. Your unreasonable disrespect for him mean you are not humane. God bless you.

    • @musaandre
      @musaandre Місяць тому +1

      mnajua mahali ruto yuko na mnasumbua watu.fikeni uko tuwatambue.maandamano yenu ni ya kuleta njaa

    • @mwendapoleee
      @mwendapoleee 28 днів тому +1

      @@musaandre jinga ww would you want to be dead for demontrating ?Shenzi type huyo ruto ss ndio tulimweka hapo.Ashuke contract imekwisha.

    • @musaandre
      @musaandre 28 днів тому

      @@mwendapoleee nyinyi ndie tunaona mkiendelea kushuka na kufa

  • @VERONICA-o7n
    @VERONICA-o7n Місяць тому +6

    Huyu mzee nmemchukia kwa kweli wakiomba kura wanajificha kwenye kivuli cha MUNGU wakipewa nafasi wanakengeuka. Ee MWENYEZI MUNGU simama na Kenya ❤

  • @lucymwai7645
    @lucymwai7645 Місяць тому +50

    We salute you our children, Ingalaa tumepoteza maisha ya watoto wengi. 😢😢

    • @Eagle7-nl4bu3wh8c
      @Eagle7-nl4bu3wh8c Місяць тому

      Watoto wetu wakiendellea kuharibu mali za wakenya wengi zaidi watapoteza maisha Yao. Ni vizuri Gen Zs wafanye maandamano kulingana na Sheria bila wizi na uboraji wa mali za wakenya.

  • @firstviolin596
    @firstviolin596 Місяць тому +4

    I am a baby boomer, Gen Z are my grandchildren. I support you whole heartedly with full understanding where you are coming from. We the boomers had all the advantages of the period after independence free schooling, boom at college/uni, free food in the messes, free accommodation each with their room and employment waiting even before graduation. That was our kenya then! those who went to college/uni were rich,comfortably middle class. Educating our children GenX was easy. And then Moi came, things changed, the river changed course but the river went out of course completely with Ruto.
    As true as it can be, only Gen Z can change Kenya, return the river to its course!! we support you 100% with all that we have, we are your #1 cheer leaders Go Go Goooooo🎉

  • @teresiamusyimimusyimi5484
    @teresiamusyimimusyimi5484 Місяць тому +11

    Ruto is very inhuman and not fit for public role as president please get Ruto out of office at once

  • @marlenewanjiku
    @marlenewanjiku Місяць тому +23

    Right now when we send money back to Kenya we are being deducted,,,we pay back in NHIF & also fill KRA return what does he want from the little we are getting????we went there because he could not give us work back in our country.... kindly let him leave alone our money he is taking it by force

    • @andbeckerchallenge8347
      @andbeckerchallenge8347 Місяць тому +3

      Yes dear too much deductions and yet tulikosa Kazi Kenya tukaamua kuwa wa tumwa Nchi za wenyewe, Kwanza inaniuma sana hawa wenye wameuliwa kware 😢😢

    • @paulinenjeri2316
      @paulinenjeri2316 Місяць тому

      Not forgetting our salary is very poor here,,,

  • @yusufmwangichannel6692
    @yusufmwangichannel6692 Місяць тому +18

    Mtuletee pia na makala ya askari walio husika kwenye mauwaji ya Gen Z

  • @hannahndungu211
    @hannahndungu211 Місяць тому +5

    Ruto must go

  • @davidkinyua-br7pt
    @davidkinyua-br7pt Місяць тому +12

    Ruth must go 🚶‍♀️

  • @ChumanaSusi
    @ChumanaSusi Місяць тому +16

    Tumetenga kiasi hiki na kile. Useless. Umetenga makende yako ama nini wewe ruto?

  • @abdiaziztwahir5120
    @abdiaziztwahir5120 Місяць тому +14

    Ruto must go😢😢😢😢😢😢😢

  • @cassyrex2023
    @cassyrex2023 Місяць тому +13

    Amani haiji bila ncha ya upanga. Mungu wanusuru watoto dwetu na uwape ajira👊👊👊👊👊😎

  • @donaldouma7225
    @donaldouma7225 Місяць тому +40

    Ruto alichoma watu kwa kanisa remember that

    • @baloz8974
      @baloz8974 Місяць тому +5

      Watu wamesahau naona huyu jamaa hana huruma kabisa mushawahi muona akijutia lolote tangu awe madarakani au kubeba lawama.

    • @picsandvidstv1348
      @picsandvidstv1348 Місяць тому +5

      We Wil never forget that, EVER!

    • @user-pj7ng8il4t
      @user-pj7ng8il4t Місяць тому +4

      God protect Kenyan from this difficult perioy.
      I love Kenyan❤️🇰🇪

    • @sellyraps2057
      @sellyraps2057 Місяць тому +4

      Aliua musando wakati wa Election na amexoea kidnaping officials na sai Gen z akiua round hii siku zake ninafika

    • @musaandre
      @musaandre Місяць тому

      mkicheza na ruto mtakiona.

  • @conceptaakinyi
    @conceptaakinyi Місяць тому +41

    Please there is nothing we are negotiating with goon so called ruto let us done with him once and for all,because tukimuacha atatumaliza so Gen z tuamue tuesday tumalizane na huyu jangili mara moja atoke kwa Afisi

    • @mfululizowak9899
      @mfululizowak9899 Місяць тому

      💯💯💯💯

    • @Eagle7-nl4bu3wh8c
      @Eagle7-nl4bu3wh8c Місяць тому

      You raise accusations and you refuse to appear for a hearing and dialogue. Unjust and immoral accusers.

  • @JacksonMutinda-jw5qw
    @JacksonMutinda-jw5qw Місяць тому +22

    Ruto must go!!!

  • @johnshavanji3257
    @johnshavanji3257 Місяць тому +12

    Ruto confessed to being a murderer. He 'sends people to heaven' according to his own language.

    • @mumbocaroline1172
      @mumbocaroline1172 Місяць тому

      Wachana nae yuko na njaa men

    • @mumbocaroline1172
      @mumbocaroline1172 Місяць тому

      Pharao na zakayo

    • @mumbocaroline1172
      @mumbocaroline1172 Місяць тому

      Zakayo shuka

    • @musimamonziga4967
      @musimamonziga4967 24 дні тому

      ❤❤❤❤❤❤😢🎉🎉🎉🎉we will voteeee for h E kalonzo musyokaaaa 😢😢😢😢😢🎉🎉 in 2o27 year rrrr ❤❤❤❤❤❤for presidential candidate electionsssss in gods willllll he will succeed and penetrateeee in godsssss mercy he will win in the name ❤❤❤❤❤❤of Jesus Christ 😂😂😂😂😂😂🎉 Amen 💖💖💖💖💖💖 🙏🙏💖 amen

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 Місяць тому +3

    Tanzanian, i love Kenya Gen z fighting spirit. They're taking it there and they want the smoke

  • @mercyachieng2554
    @mercyachieng2554 Місяць тому +5

    May God intervene 😢😢

  • @teresiamusyimimusyimi5484
    @teresiamusyimimusyimi5484 Місяць тому +5

    Oh we now get it this how the Attorney General was removed from office Gachagwa speech

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatsha Місяць тому +7

    Mapinduzi ni kama mimba. Ukifika wakati wa kuzaliwa itazawaliwa iwe ni kwa nja ya kawaida, upasuaji, hata kuondoa maisha ya mjamzito. Lazima mimba itoke tumboni.

    • @baloz8974
      @baloz8974 Місяць тому +2

      Dah ushasema bro mapinduzi hayapatikani kirahisi uchungu mipasuko kumwagika kwa damu ila utapatikana tu

    • @nikkitokke8162
      @nikkitokke8162 Місяць тому +1

      Ndio sisi revolutionists tunavyofanya, tuue tu, haki itendeke

  • @laurachepchumba6364
    @laurachepchumba6364 Місяць тому +8

    speechless, weeee it is bad my people.

  • @roselynekwamboka6869
    @roselynekwamboka6869 Місяць тому +7

    Oh God remember our people and our country we have only you now😪

    • @VERONICA-o7n
      @VERONICA-o7n Місяць тому

      @@roselynekwamboka6869 Amen 🇹🇿

  • @user-xq5ui9cp9m
    @user-xq5ui9cp9m Місяць тому +27

    Social media is more important

  • @blaquecinderella3560
    @blaquecinderella3560 Місяць тому +6

    That Parliament occupation looks like a movie scene manze

  • @danielchege3535
    @danielchege3535 Місяць тому +3

    We shall never forget

  • @monicaakinyi2284
    @monicaakinyi2284 Місяць тому +3

    ruto must go

  • @teresiamusyimimusyimi5484
    @teresiamusyimimusyimi5484 Місяць тому +5

    Kwani kutoa Rais kwa kiti ni ngumu aje
    Ruto expect to to address those who lost their kids in police brutality kidnapping etc in future and they listen to him as president of Kenya?!!!!

  • @Jashon911
    @Jashon911 Місяць тому +2

    Bravo Gen-Z 🎉🎉

  • @jamesmuriithi7137
    @jamesmuriithi7137 Місяць тому +15

    How do you negotiate with a murderer?

  • @isaacmuigai537
    @isaacmuigai537 Місяць тому +13

    Gz wameongea

  • @AbuuAli-nf4fb
    @AbuuAli-nf4fb Місяць тому +6

    Jamaa kama wakenya wako na huruma basi waipeleke serikali ya UDA nyumbani Halafu wafunguliwe mashtaka na wafungwe wote

  • @yusuphlazaro
    @yusuphlazaro Місяць тому +2

    🇰🇪Kenya inamwaga dam ya vijana waoo ambayoo niwazaoiwa je wewe unaee uwaa auna mtoto au autozaa mtoto 😭kumbuka kwamba uchungu wa mzazi wa mtoto uliee muwaa inakutafuna na mtoto wako

  • @lucymwai7645
    @lucymwai7645 Місяць тому +9

    Please Ingalaa police wetu sio wazuri, Tunaomba wenye alipelekwa ( Haiti warundishwe nyumbani

  • @wabannah9009
    @wabannah9009 Місяць тому +5

    "No to "Dialogue"!![Hii ni serikali ya Majambazi;ama tuseme kwa "Lugha ya Kimombo"[Gangster Government]"!!!.

  • @user-uz9mw1ie6z
    @user-uz9mw1ie6z Місяць тому +3

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥💔💔💔💔💔 haki lazima isimame ktk TAIFA na hakuna amani km hakuna HAKI.... EAST AFRICA country mnayo mengi ya kujifunza from GENZ - KENYA..... GOOD STEP

    • @dostovan5142
      @dostovan5142 Місяць тому

      Nchi zingine east Africa hakuna Gen z

  • @steveodhiambo13
    @steveodhiambo13 Місяць тому +13

    The government is guilty as charged on their part. For failing to protect the lives of innocent people.

  • @JacksonMutinda-jw5qw
    @JacksonMutinda-jw5qw Місяць тому +13

    Lazma kuna mahali kuna watu wengi wiouwawa wametupwa ju kwa bunge kuliuawa watu wengi sana,soon there is something going to happen here kenya

    • @suegreg8040
      @suegreg8040 Місяць тому +2

      @@JacksonMutinda-jw5qw i hear others were cremated at the barracks

    • @JacksonMutinda-jw5qw
      @JacksonMutinda-jw5qw Місяць тому +3

      @@suegreg8040 na hayo Dio mambo yanafanya siku moja ruto ajute sana Tena ata karibuni tu..

    • @kanyijoel159
      @kanyijoel159 Місяць тому

      Did u say this b4 kwale massacre? coz now its has been revealed.

    • @bonifacekimani1640
      @bonifacekimani1640 Місяць тому

      ​@@kanyijoel159 Even in kware they are hiding bodies!

    • @kanyijoel159
      @kanyijoel159 Місяць тому

      @@bonifacekimani1640 Thats true

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk Місяць тому +3

    President Ruto must be taken accountable for his actions and authority for what transpired in kenya aftermath of finance bill 2024.

  • @user-gp5wx1ev9f
    @user-gp5wx1ev9f Місяць тому +8

    Tumeanza kuongeza makali kwa kujifinza tykondo na carate, police wakicheza tupambane nao. We are fighting even for them and they kill our people niwajinga sana. Kusikiza kindiki na koome kuanza kuuwa vijana wetu

    • @None-d4f
      @None-d4f Місяць тому +2

      Polisi wa Kenya ni washenzi. Hawana vichwa hao watoto wa ibilisi. Ng’ombe sana.

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk Місяць тому +4

    Kenya leadership must change immediately and hopefully if not now then sooner.we must leave with dignity,morals and values, constitution must be sdhere with everyone regardless of social status and political class.

    • @baloz8974
      @baloz8974 Місяць тому +1

      We must change it the man in power is crazy of power and goon criminal just like kumpa mwenda wazimu rungu ataua kila mtu kisa madaraka .

  • @pastorannneema
    @pastorannneema Місяць тому +3

    I remember the ICC court in Hague 😭 It is still at work 😭

  • @bernardomondi2632
    @bernardomondi2632 Місяць тому +2

    😢😢😢thangs ruto must gooo

  • @JacksonMutinda-jw5qw
    @JacksonMutinda-jw5qw Місяць тому +14

    Naona ruto aneaza kuogea ogea lakini kuna kitu aogei,,nani ao walikua wanapiga risasi na kuua vijana,nani ao waliua watu na kuwatupa kwa quare?

    • @baloz8974
      @baloz8974 Місяць тому

      Hilo ni jambo muhimu sana angetaka suluhu na amani na raia ni awakamate polisi wote waliohusika na mauaji ya raia ila kwa vile yy ndie anaewatuma kuua hawezifanya hilo ,ruto hajutii chochote

  • @blessedramsey396
    @blessedramsey396 Місяць тому +2

    Kuna wengine wanasema we should give him time...

  • @shadrackmasigaTV
    @shadrackmasigaTV Місяць тому +1

    Kweli makaraoo waliuo 😢😢😢😢, president anaita wasee criminals that's very sad

  • @MuneneMwangi-yl8ug
    @MuneneMwangi-yl8ug Місяць тому +3

    Ruto and Rachel rejoicing on seeing these videos
    No democracy for Kenya

  • @Nyakundielizabeth-fk8cq
    @Nyakundielizabeth-fk8cq Місяць тому +2

    Ruto mst go😢

  • @user-zc2im1xv6l
    @user-zc2im1xv6l Місяць тому +1

    Gz congratutions myay God pro❤tect us

  • @samuelnyale2580
    @samuelnyale2580 Місяць тому +1

    Let's rethink as Kenyan if we love this our dear country

  • @MartinMwandiku-ps9vx
    @MartinMwandiku-ps9vx Місяць тому +1

    Nice job gen z

  • @AbuuAli-nf4fb
    @AbuuAli-nf4fb Місяць тому +13

    Serikali olio madarakani iondoke hii ni aibu kubwa sana

  • @johnmichael7712
    @johnmichael7712 29 днів тому +2

    Hatutachoka zii ,...ruto ametuzoea

  • @AbuuAli-nf4fb
    @AbuuAli-nf4fb Місяць тому +4

    Wakubwa WA usalamalazima wawajbishwe hata kama wamefutwa kazi

  • @afrakanaswahilitv5520
    @afrakanaswahilitv5520 Місяць тому +1

    Nashindwa serikali na maofisa wa idara ya uchunguzi wa makosa ya jinai na wale wa ukurungezi wa huduma ya kitaifa ya ujasusi nchini (NIS) wamekuwa wakifanya nini wakati mambo yalianza kwenda kombo. Wasimamizi wote wa hizi taasisi wajiuzulu. Asante!

  • @stevenjenga506
    @stevenjenga506 Місяць тому +2

    No dialogue

    • @baloz8974
      @baloz8974 Місяць тому

      Hakuna ajiongeleshe mwenyewe

  • @monixmoni5307
    @monixmoni5307 Місяць тому +4

    Ruto is this one who caused all those killings blame no one else

  • @Mbaruokabed-ci3hn
    @Mbaruokabed-ci3hn 27 днів тому +1

    Dah hatari sana hiyo🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @felixmutuma6866
    @felixmutuma6866 Місяць тому +1

    Ruto is Disaster and he's a Real Killer, he must resign immediately.

  • @user-qh4iz9us3t
    @user-qh4iz9us3t 24 дні тому

    what a great shame! I really hate the current government, no need for negotiations, tunapigania haki yetu, no positivity to be seen till Ruto steps down and leave the office!!

  • @abdullahkazungu4025
    @abdullahkazungu4025 Місяць тому +3

    Hii kauli ya Rais niya kusikitisha kwa kweli

    • @baloz8974
      @baloz8974 Місяць тому

      Ni mshenzi na wala hajutii kauli zake anakurupuka tu

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk Місяць тому +2

    Kenya is a great country deserve good governance, accountability, respect for human rights,equal justice rule, political stability and economic growth for better kenya.

  • @georginajilani8934
    @georginajilani8934 Місяць тому +1

    24:53 huyo koome anafaa kushikwa kwa mauaji ya Genz

  • @eddynaingasian2813
    @eddynaingasian2813 Місяць тому

    Ruto said it "bottom up" the current situation in our country is really bottoms up...😢😢😢only God has the answers

  • @simonmbuthia7281
    @simonmbuthia7281 Місяць тому +5

    Wazazi Walia. Wauaji wanaenda kwa makanisa, waahidi watasaidia kukamilisha ujenzi wa kanisa, na makasisi na waumini wanawapigia makofi.

    • @peacemusembei5553
      @peacemusembei5553 Місяць тому

      It's sad sad sad sad😢😢😢😢😢😢

    • @bernardomondi2632
      @bernardomondi2632 Місяць тому

      😢😢😢😢very very sad and indeed higher hypocrites

  • @nikkitokke8162
    @nikkitokke8162 Місяць тому

    Nasemajee ndugu zetu waliouliwa na Zakayo tutaanguka naye. Kiendee

  • @JohnTunje
    @JohnTunje 16 днів тому

    Mm
    Gnz
    Nko
    Bampa
    Na
    Serikali
    Hii
    Sitapotezamda
    Hatakidogo.

  • @salomeatieno1127
    @salomeatieno1127 Місяць тому

    So chilling 😢. May The Almighty God deal with the killers

  • @GeorgeMuchemi-cd5xg
    @GeorgeMuchemi-cd5xg Місяць тому +1

    Someone please 🥺 like my comment for future reference 🥺🥺🥺

  • @fr.andrewwerungaflp2910
    @fr.andrewwerungaflp2910 Місяць тому +2

    Ilikuwa tuanze chini kuwaua

  • @marymasika3736
    @marymasika3736 Місяць тому

    Good reporting

  • @ruzindazajonas8506
    @ruzindazajonas8506 Місяць тому

    Lakini mtu anaweza kujihuliza! Mbona wakenya hivyo! Nidhamu na elimu na hekima viliokuepo vimeibiwa labda na shetani! Hivyo hamuone jinsi shetani anavyowapangia genocide mbayaa! Kuweni macho.

  • @alexwafula9161
    @alexwafula9161 Місяць тому

    Ruto must be accountable

  • @briankhalushi2063
    @briankhalushi2063 Місяць тому

    Kudos our young GenZ❤❤❤❤❤❤

  • @w4058
    @w4058 Місяць тому +1

    Kuweni na Subra wenzetu inauma tena inauma sana makhabithi wakubwa Viongozi mijahil

  • @tituskimeu2933
    @tituskimeu2933 28 днів тому

    Its shameful to our leaders l regrets having them in our parliament we love our country but this types we can't accept themselves at all

  • @donaldouma7225
    @donaldouma7225 Місяць тому +2

    Noma very nonsense president fack

  • @Remmykammokoywo
    @Remmykammokoywo 5 днів тому +1

    Ossba tarli Hahar r Haienar tar uwar uwar

  • @w4058
    @w4058 Місяць тому +1

    Wameshangaza kweli lakini na yeye Ruto aende huko

  • @Joelomondi-r2x
    @Joelomondi-r2x Місяць тому

    Mungu okoa Kenya

  • @lukemusiga4
    @lukemusiga4 Місяць тому

    So so so Sad 😢😢😢😢😢, hakuna kujivunia kua mkenya

  • @LIFEOFTHESTEETS
    @LIFEOFTHESTEETS Місяць тому +3

    😭😭😭😭

  • @BoazOtollo
    @BoazOtollo 24 дні тому

    I can see people going to the Hague!

  • @mumbocaroline1172
    @mumbocaroline1172 Місяць тому

    Nilikosa job mpaka nimekuja saudia kuteseka

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 Місяць тому

    Maskini inauma Mama amtafuta Mtoto wake alipotea wakati wa Maandamano mpaka leo Amani ni muhimu kwetu wote

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im Місяць тому

    Please, PLEASE Ruto MUST GO.HE CANNOT CONTINUE TO GOVERN. SHAMEFUL . RUTO MUST GO

  • @w4058
    @w4058 Місяць тому +1

    Ndio wanavyokuwa Viongozi wa kidikteta ulimwenguni

  • @loreenmwambinguloreen7373
    @loreenmwambinguloreen7373 26 днів тому

    Hio gari ya polis sidhani kama ni polis walikuwa ndani na basi kama ndio,ni wa private sector sio wa government juu vile hio gari ilipelekwa ata mtoto akiwa njian anagongwa,apana this is too much in my country..we can't keep this going on,some of us we are single mother,we have been suffering to rise our kids,allot of kids have been growing without,parents both sid,because there mothers like me as a mother i have been out of country for more than 10 yrs,then hearing that kids are dying missseriouly

  • @bryanmurono4707
    @bryanmurono4707 Місяць тому

    Those police who were deployed in Haiti should get back home and also fight for there rights..... Heri tukufie kwetu kuliko kwa wenyewe viva!!

  • @SarahShao-jw1up
    @SarahShao-jw1up Місяць тому

    Wakenya acheni upumbavu. Kweli mnatawaliwaje na Gen Z?!!!

  • @zamani33
    @zamani33 Місяць тому +1

    The woman crying probably voted ruto

  • @nikkitokke8162
    @nikkitokke8162 Місяць тому

    We must liberate youths. Our people have been murdered brutally, mpaka Ruto astep down, aluta continua. Na nyie Rwanda na UG mnatuangusha. Liwalo na liwe, wamettuzoea sana vijana. Mtu umesoma Taxes every where. Kutuua kama panya tukipaza sauti. So tell us, what did a 12 yrs old do to deserve this 😢😢😢. Nasemajee moto ndio kwanza umewaka.

  • @BoazOtollo
    @BoazOtollo 24 дні тому

    Malipo ya wongo, bottom up ,kumbe walimaanisha,watu wafiri kwa matako sio kichwa?

  • @BoazOtollo
    @BoazOtollo 24 дні тому

    Damu ya Jacob Juma inalia !

  • @lucymwai7645
    @lucymwai7645 Місяць тому +2

    😭😭😭😭😭😭

  • @fredricklemiso6191
    @fredricklemiso6191 Місяць тому

    Balaa, alafu upate walitupwa kwaree, 😢😢 Kenya imekua uchungu sana