DUDUBAYA AFICHUA YA MWAMPOSA, NGUVU ZA GIZA, KUUZA MAFUTA NA MAJI, ONA FACT ZAKE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 97

  • @JoycePius-em9ki
    @JoycePius-em9ki Місяць тому +5

    Kaka dudu baya uko vizur mungu akuweke miaka mia mbil

  • @adammjomba5814
    @adammjomba5814 Місяць тому +5

    Huyu dudu ninamuekewa anatema madini kweli kweli big up dudu 😂

  • @NiceWatson
    @NiceWatson Місяць тому +4

    Mwamposa ni mtume mzur Alerujha Alerujha Alerujha wamuache kabisaaaa mtume wetu Mungu asante kwa mtu mwema kwetu 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙏🏻🙏

    • @rechokusilimka5739
      @rechokusilimka5739 Місяць тому

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂niko pale nimekaa😂😂😂

    • @chrisshonga
      @chrisshonga 14 днів тому

      Mmemsahau kumuamini MUNGU na sasa hivi mnamuamini mwanadamu! NENO liko pale pale na litabaki pale pale milele AMELAANIWA AMTUMAINIAE MWANADAMU

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 Місяць тому +11

    Amina kaka yangu mungu aendelee kukibariki

  • @ndorobocarworks-dx4pf
    @ndorobocarworks-dx4pf Місяць тому +3

    Braza dudu nakukubali sana tangu nipo mdogo enz zile una ngoma inaitwa nakupenda tu minywele tifutifu ukitema mate yanadunda nikiisilizaga pale clouds miaka ile ila asa tatizo bro dudu ukiulizwa swali moja majibu kiroba

  • @japhetferuzi1219
    @japhetferuzi1219 Місяць тому +4

    Uko vizuri mtumishi

  • @levygasper7438
    @levygasper7438 Місяць тому +11

    BABA nae unatakiwa UweuNampa nafasi yake haujaja duniani kupitia Mama pekeyake SEMA hivi nimekuja duniani kupitia BABA na Mama hizi kauli zakusifia Mama tuu bila BABA sizipende 🙏

    • @FiollaIsaya
      @FiollaIsaya Місяць тому

      It is what it is mwanaume haujui uchungu Wala maumuvu ya mimba

    • @JohnJoseph-qq7ow
      @JohnJoseph-qq7ow Місяць тому

      Ultimately mwenyewe mimba​@@FiollaIsaya

    • @levygasper7438
      @levygasper7438 Місяць тому

      @@FiollaIsaya kwani ww mwanaume??Nami nasema hivi mwanamke hayajui maumivu tunapitia mwanaume ili mtoto akuweufikiye uutuzima

    • @FiollaIsaya
      @FiollaIsaya Місяць тому

      @@levygasper7438 sio kweli wanaume kazi yao kujaza mimba kinacho endelea tumboni Kwa mwenzio hawakijui maumuvu na kutokulala usiku yeye hajui ,kuchwanwa chwana leba mwanaume hajui maumuvu yake pili mwanaume wengi pia siku hizi hukimbia mimba anae hangaika ni mama so mwanaume hawezi beba uzito wa mwanamke hata chembe

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 24 дні тому

    Kaka dudu uko vizuri sn,✔️ Mungu azidi kukubariki sn.

  • @sekelagatusekelege9325
    @sekelagatusekelege9325 Місяць тому +2

    Ashukuriwe Mungu anayeweza kudhihirisha kweli kupitia waja wake

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 Місяць тому +2

    Like kapelo lako liko wapi linakupendeza mno Mr konk

  • @user-qe6ym5no8l
    @user-qe6ym5no8l 11 днів тому

    Amina brow

  • @zakariakapinga9862
    @zakariakapinga9862 Місяць тому +4

    jamaa ana hilca na silca za uchungaji ndani yake

  • @emmanuelshilagi3302
    @emmanuelshilagi3302 Місяць тому +2

    kwanini usiwe Mchungaji dudu Baya maana nimekufahanu mapema nikiwa mdogo sana lakini nakuona saiz siyo yule wa zamani Bro natamani umtumikie Mungu na atafanya makubwa sana

  • @nurdinally3451
    @nurdinally3451 Місяць тому +5

    Mbona kanyoka jamaa anaongea kweli mnao mtukana mko sawa kweli

    • @chrisdeoglatias8665
      @chrisdeoglatias8665 Місяць тому

      Mh hiyo haithibtsh kwmb amzungumziaye n wa Mungu, ukimsikiliza vzr, utagundua yko vzr, ila sasa afny nn au aende kwa nan kwke n changmoto kdg ndy maana unamsikia akikanganya ht zle pande 2 za imani ambzo km unazijua vzr sio za mmoja.

  • @chrisdeoglatias8665
    @chrisdeoglatias8665 Місяць тому +2

    Yuko vzr dudubaya jpo nahc n vtu vchche tu aviweke sawa ili awe sawasawa zaidi.Ana kitu kzr sn jpo awe tu specific cs kukangny huk kdg na huk kdg hs kwa miungu wawili ndy shida.Binafs nataman ht nipate namb yke kuwasiliana nae nje ya mtandao.Maana ujasiri tuu alionao kumkir Mungu pkyke kw kizaz hk tyr ni ushnd mkubw kilichobak n kuweka tu saw baadh y mambo.Ni mtumish mzr sn isipokuw machche tu kuyaweka sawa

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
    @SmilingBulldogPuppy-nb9ur Місяць тому +4

    Hongera sana Mchungaji Dudu baya

  • @mussaisaac
    @mussaisaac Місяць тому +2

    Amelaaniwa mtu yule amtegemeae mwanadamu kuombewa sio shida Yesu mwenyewe aliwaambia wanafunzi wake iweni na imani kubwa.

    • @SimonHaule-tp3ny
      @SimonHaule-tp3ny Місяць тому

      Hujalielewa andiko hilo,

    • @hassanjuma2772
      @hassanjuma2772 Місяць тому

      ​@@SimonHaule-tp3nyyaani mnachekesha sana kwa sababutu A mtuakisoma andiko lilivupnajidai hatukaelews

  • @EmmanuelChrispin-bo5xh
    @EmmanuelChrispin-bo5xh Місяць тому +1

    Mwamba ulipata lanayamungu hebu jalibu kuunzisha kanisa mungu akubaliki unajichelewashwa

  • @Princewaweru
    @Princewaweru Місяць тому

    Nyimbo zako tu nyingi zinaonekana we ni mtumishi wa Mungu kwa sisi wenye macho ya roho tunajua

  • @SaiSitta-kj7wh
    @SaiSitta-kj7wh 18 днів тому

    Uko sawa mtakatifu

  • @KenethKibona
    @KenethKibona Місяць тому

    Upo vizuri

  • @AyubaYahyazawad
    @AyubaYahyazawad 9 днів тому

    Ndiyo ukiombewa ukapona endelea na maombi usilale mbaya wako halali we utalalaje

  • @ianak4
    @ianak4 Місяць тому +1

    Unaombewa kwa Jina la Yesu au ili mradi umeombewa tu? Na hata kama ni kwa Jina la Yesu, unafahamu kuwa kuna mbwa mwitu waliovaa ngozi ya kondoo nao watakuwekea mikono na kisha utaitikia tu "Amen" na kujimaliza? Sio kila anayeliitia Jina la Bwana ni wake (na anasema wapo wengi ila Yeye hawatambui), na ndio maana tunaangamia kwa kulipotosha Neno na kukosa maarifa. Kuwa makini kipenzi cha Mungu, kaa kwenye mstari ulionyooka ili usikumbwe na mabalaa (maagano) na usiwe chukizo kwa Mungu. Peace.

  • @Magreth-e2q
    @Magreth-e2q 14 днів тому

    Dudubaya. Mbona. We were. Wanasema. Nimkorofi

  • @Dominant97
    @Dominant97 Місяць тому

    Exactly

  • @ianak4
    @ianak4 Місяць тому +1

    Kingine, huyo unayemkimbilia kama unavyosema anaamini katika huo utatu mtakatifu unaouamini wewe? Soma sana Neno na liamini, wewe kama wewe pia una uhusiano mkubwa na wa kipekee sana na Mungu, usipende kukimbia kimbia huku na huko na kusahau Mungu amekuambia "atakufunza na kukuonesha njia unayopaswa kufuata, na atakushauri kwa uangalifu mkubwa" Zaburi

  • @andyjk5974
    @andyjk5974 Місяць тому +3

    jinsi waadrica walivyo pumbazwa wanakua defensive balaa. tutaliwa sana Waafrica kwa ujinga wetu. delusuonal brainwashed. kanunueni mafuta na udongo. kama mnadhania ulaya waliombewa ndio wakafikia hapo

    • @zebedayokatamaduni9676
      @zebedayokatamaduni9676 Місяць тому +1

      Acha waendelee kununua mafuta na udongo mwamposa aendelee kuongeza mahoteli , alafu wao wakae na mafuta na udongo, watu hawaelewi😮

  • @profamanzala1693
    @profamanzala1693 18 днів тому

    Alleluia

  • @laninjeje8290
    @laninjeje8290 Місяць тому +2

    Dudu baya amefanya sana ushoga kwahiyo kisaikolojia kichwani ni taka taka tu😂😂

    • @zebedayokatamaduni9676
      @zebedayokatamaduni9676 Місяць тому

      Ulilala naye akakupa utamu wa ushoga anacheka kwa raha alizo Kupa hongera

    • @rajabmkuya9023
      @rajabmkuya9023 Місяць тому

      ​@@zebedayokatamaduni9676😅

  • @JulianaMwanjala
    @JulianaMwanjala Місяць тому +1

    Ubarikiwe sana mwanangu Dudu baya

  • @HusseinJamal-v9v
    @HusseinJamal-v9v Місяць тому

    Kaongea ukwel,mengne tumuachie mungu tusijudge vibaya

  • @AnastinaIshisha-lt2rn
    @AnastinaIshisha-lt2rn Місяць тому

    ❤❤❤❤❤❤❤❤ubalikiwe

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 Місяць тому +1

    Konki tunakupendaga Sana

  • @Magreth-e2q
    @Magreth-e2q 14 днів тому

    Dude. Having. Mwaposa. Ameowa

  • @user-ld3yh5kv5n
    @user-ld3yh5kv5n 27 днів тому

    Jamaa alienda kuomba msaada

  • @TumainiMchomvu-zv3sv
    @TumainiMchomvu-zv3sv Місяць тому

    Jamaaa anaa akili sana

  • @EvaristoMwasenga
    @EvaristoMwasenga Місяць тому

    Leo kama nimemwewa sana

  • @princenelsonsinko5237
    @princenelsonsinko5237 Місяць тому +2

    Dudu baya kapungua sana, ni bora akabidhi maisha yake kwa Yesu

    • @joycelaura4611
      @joycelaura4611 17 днів тому

      mwili huo ndio mzuri ule alibongeka sana mwili mkubwa sio afya ndgu

  • @HiteshkumarDhirajlal-nh3ly
    @HiteshkumarDhirajlal-nh3ly Місяць тому

    Dudubaya na wengine mtaongea mengi,but Mwamposa ni Mtumishi wa Mungu aliyekubali kutumika na Mungu aliye HAI.
    Hivyo kama mnadhan ni nguvu za giza katumieni nq nyinyi basi.

    • @wilhelminshauri7410
      @wilhelminshauri7410 Місяць тому

      Bahati mbaya sana hakuna mtume au nabii ndio maana kuna roho mtakatifu

  • @user-zo1ym2te7r
    @user-zo1ym2te7r Місяць тому +1

    Mulicho andika nakinachoongelewa tofaut

    • @RajabuJumanne-pl8ir
      @RajabuJumanne-pl8ir 29 днів тому

      Nikweli kichwa cha habari na yanayoongelewa ni vitu viwili tofauti, hilo nitatizo la waandishi wakibongo.

  • @jonasmbala1326
    @jonasmbala1326 Місяць тому

    usimhukumu mwenzio usije kuhukumiwa kwani maisha yake siku zote binadam hubadilika ndio maana tumezaliwa na kukuwa na tabia nazo zinabadilika pia sasa ww unayebeza Dudu baya kubadilika msikilize maneno yake vzr ndio utajua kwamba ww unayemtusi ndio utabaki na yako ilamwenzio yuko hatua nyingine na Mungu wake Acha kuhukum yy kajutia alikotoka ndio maa ana anatangaza wokovu

  • @Furahazawadi-ym4be
    @Furahazawadi-ym4be Місяць тому

    Miyesisikiye anamusema mumbaya mwaposa dudu

  • @user-sh6ch6ex1h
    @user-sh6ch6ex1h Місяць тому +1

    OILIchaFu

  • @MOHAMEDYUSUPH-oq1th
    @MOHAMEDYUSUPH-oq1th Місяць тому

    Oyo jamaa c almpiga Mr nice uyo njaa tu

  • @LobikiekiMarko
    @LobikiekiMarko Місяць тому +1

    UMEMALIZA DARASA LA TATU🤑🤑🤑🤑

  • @annanamuyala
    @annanamuyala Місяць тому

    Kweli kaka nikufanya kazi kwa iman utabarikiwa

  • @HalimaNgenzi
    @HalimaNgenzi Місяць тому +3

    Ww huna akili na hata hvyo unaonekana una mapepo mrudie mung ww ni tomaso

  • @Dominant97
    @Dominant97 Місяць тому

    Saui ya kiroho iyo mkuu plus madini ulonayo utasaidia watu,fungua kanisa achana na makuu ya dunia

  • @TumainiMchomvu-zv3sv
    @TumainiMchomvu-zv3sv Місяць тому

    Tesha tumia akiliiii

  • @VeloniceDonard
    @VeloniceDonard Місяць тому +1

    Ww hakili zako haziko vinzur Kaz ya kujadil ya wenzio yako umeyaweka wap toa na yako tuone

    • @joycelaura4611
      @joycelaura4611 17 днів тому

      da wewe unachelewa kuelewa kwan mbona kaongea vzr tu jmn si anahojiwa

  • @kingdavidmoto6149
    @kingdavidmoto6149 Місяць тому

    Dudubaya umekuwa mchungaji

  • @godfreyally-ps3fo
    @godfreyally-ps3fo Місяць тому

    Konk 3 master Putin 🎉🎉🎉

  • @K-go1qj
    @K-go1qj Місяць тому

    Dudu afungue kanisa sasa

  • @user-gp1hi7sw5k
    @user-gp1hi7sw5k Місяць тому

    Acha kutukana waganga

  • @NiceWatson
    @NiceWatson Місяць тому

    Navona inawachona sana hii ya juzi Baba mwamposa kujjaza watu ya usiku usio sahaulika Alerujha Alerujha Alerujha

  • @calistusmahombo-ty8ni
    @calistusmahombo-ty8ni Місяць тому

    Ufunuo 22:17-18

  • @user-jj3os9bx6m
    @user-jj3os9bx6m Місяць тому

    Toka hapa chizi

  • @AbdulmujibAhmed
    @AbdulmujibAhmed Місяць тому

    Dudubaya we mtu wamungu tangu llini sauti sura vyote vinekufa na gongo

    • @SimonHaule-tp3ny
      @SimonHaule-tp3ny Місяць тому

      Yesu alisema mwenye afya hamhitaji tabibu,bali mgonjwa,udhaifu wake ndy unaomsogeza jirani na Mungu.

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS Місяць тому

    aka yake Imemponza😂😂OIL CHAFU HUWA HAINA MVUTO

    • @selemanshaban7496
      @selemanshaban7496 Місяць тому

      Shetan ww mvuto gan unataka awe nao Ili iweje

    • @itanzaniaAS
      @itanzaniaAS Місяць тому

      @@selemanshaban7496 umekurupuka tu MVUTO wa jina. OIL CHAFU SIO JINA ZURI KUJIITA. NDO HIVYO

  • @Laizer3
    @Laizer3 Місяць тому +2

    Mambobya dini hamna ajuae ukweli.

  • @user-ib3tc4dc4s
    @user-ib3tc4dc4s Місяць тому +1

    Dudu maisha yamemshinda na analaana ya kumpiga mr nice na alimvunja kiuno laana inamuandama ana wivu huyooo

  • @norahfrank
    @norahfrank Місяць тому +1

    Ukweli. Utabaki kuwa kweli.wote wanaokosoa huduma,mf. Mwamposa ni wale wasiojua maandiko na wengi ni wachawi wenyewe.wanasoma bibilia na kuondoka na vipande tu.ni aibu sana hata kwa huyu msemaji

  • @user-tr4ib1pr1t
    @user-tr4ib1pr1t Місяць тому

    Umeokoka?

  • @TellaaxisTz
    @TellaaxisTz Місяць тому +1

    Jesus is everything

  • @nicholasmkama2877
    @nicholasmkama2877 Місяць тому

    Acha uongo wewe.kila mwanadamu ni mtu wa mungu.ila hujawa mwana wa mungu.ulichelewa kuacha Bangi na Gongo.make bado afya na akili haijakaa vizuri.kazi ya mungu huiwezi.endelea na uchawa.

  • @user-xl5xi1uq9z
    @user-xl5xi1uq9z Місяць тому

    Mbona sauti inaonyesha imekauka kwa ajili ya bangi na pombe kali ,afu una maneno ya kiuni tu eti konki master hatar

    • @napendahuruma3320
      @napendahuruma3320 Місяць тому

      Hanywi pombe wala havuti bangi wala sigara so usimjaji mtu kama humjui

  • @augustinemainde
    @augustinemainde Місяць тому +5

    Dudu baya Kama unaweza na wewe tumia nguvu za Giza uvute watu acheni ujinga wenu,na wivu wenu

  • @PatrickTeshaTesha-zp4ld
    @PatrickTeshaTesha-zp4ld Місяць тому

    𝕄𝕥𝕦𝕞𝕚𝕤𝕙𝕚 𝕨𝕒 𝕨𝕒𝕝𝕖𝕧𝕚😂

    • @napendahuruma3320
      @napendahuruma3320 Місяць тому

      Hanywi hata pombe uliza tunaomjua so usimuelezee mtu kama humjui

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 Місяць тому +1

    Wewe mwamposa kanunua gari la wagonjwa unafanya mchezo mpeni jizo hela watoto wake wapo mbea baadae wataishi maisha mazuri baadae

  • @brown5418
    @brown5418 Місяць тому

    Endelea kusubiri Mungu anakusudi na wewe