Hakika huu ni nyakati za mwisho lazima tuwe makini sana na injili za siku hizi Mungu wa Mbinguni akutunze sana Mchungaji Hananja lazima kweli ya Mungu isemwe👏
Mchg kwakweli BWANA akubaliki sana amekuweka kwa kusudi huo ndio ukweli, Mwenye kuelewa ataelewa lakini huo unaoeleza ndio ukweli kwenye kizazi cha ukaidi.
Mimi ni mmoja wa watu ninao fuatilia mafundisho yako kiukweli unacho kiongea nikweli kabisa kwani baadhi ya makanisa yamegeuka hayafuati bibblia Bali wamejipangia taratibu tofauti na maagizo ya mwenyezi mungu , lakini Sasa Kila kitu kitawekwa wazima mwenye akiri na afahamu,maana hata wenzetu wa dini nyingine wanapata kutu SEMA kuwa huu ukristo sio dini ,lakini mungu atawatawanya manabii feki kwa njia saba
PASTOR HANANJA ASANTE. KODI NI MUHIMU. CAKE, MAJI, MAFUTA, LESO CHUMVI, NKVIKO MADHABAHUNI GHARAMA VIMEOMBEWA KUAKISI UPONYAJI AU MALI UTAJIRI. TUNASHUKURU KWA MAELEZO YAKO PENGINE YANA UKWELI NDANI YAKE. KWAMBA HAMNA WIZI HAPO SIYO. AMEEN. 😊
Injili ya kweli siku hizi haina wafuasi wengi na watu wengi wamepotea kwa kutokuzingatia maarifa ya neno la Mungu .asante Mchungaji kwa kukazia ukweli ulivyo
Harafu utashangaa jumbe kama hiziii zilizotawaliwa na ukweli hazipostiwi na media ila wale wapotoshaji wanapewa kipaumbele sanaa Mungu lisaidie kanisa lako mkumbuke huyu Baba umpe ulinzi🙏
Wewe pia kafiri kama yeye wewe dini gani unatamani uwe na kafiri kama huyo na anauzuri gani mtu anamkfuru Allah wewe unasema mtu mzuri jieleweni mjue dini zenu
Ni mara chache sana kukuta post ina maoni ya aina moja. Comment zote zinaongea lugha moja kumkubali Mchungaji Hananja. Hakika lipo jambo la kujifunza hapa.
Mchungaji Mungu akusimamie daima,unasalisha kanisa gani na wapi me nahtaji kurudi kanisani,maana nishaa Acha nasalia ndani tu,ila unafundsha neno mpka nafrahi
Amen nimekuelewa Baba yangu Mungu akubariki 😂😂😂😂 dawa ya deni ni kulipa jaman kwakweli umeongea ukweli kabisa watumishi wa Mungu huubiri Neno la Mungu yohana 8:32 Mtaifahamu kweli na hiyo kweli itawaweka huru.....
Hakuna miujiza katika mafanikio lakini kuna bahati katika juhudi pale mtaji unapokutana na fursa iyo ndo miujiza katika dunia halisi ila hii ya kisubiri kukemea mapepo utasubiri mafanikio mpaka unazeeka
Kijana una akili sana...,busara na hekima ya hali ya juu..Taifa lingekua na Vijana wengi wenye ukomavu wa uelewa huu..tungefika mbali sana Kiuchumi..ki hisia na kiimani
Mungu ni mwema siku zote ubarikiwe Sana Tena Sana mtumishi WA mungu barikiwa Sana 🙏🙏🙏🙏🙏 hata muimbaji MUNISHI aliyaimba yote haya wimbo unatwa MAKANISA
Huyu Mzee Huwa anaongea Uhalisiawanamna Mafundisho halisi ya Dini. Haya anayosea Ndani ya Uislamu ni Hivyo na ninaamini hata kwenye Ukristo ni Hivyo,Sema hawakosekanagi wanaotafuta Upenyo wa Kuelekea namna vichwa vyao vinavyotaka.
mim nnamaoni mawili,🙏 kwnze namfurahia sana huyu mzee maana anajitahidi kuwaambia ukweli watu wanaomnyenye asiye mungu, ili wamuamini mungu wa kweli,, lapili hiyo tabia ya kuweka mziki watikati mtu anaongea tena vtu vya maana mnatuchanganya hatujui tusikilize nini , acheni habari ifike kama habari
Asante
Mungu kwa zawadi hii, mwalimu mkweli.neema ya
Mungu ikulinde
Hananja
Amina mtumishi
Huyu Mzee ukiwa na akili huru utamuelewa vzr sana,
that's point
Hakika huu ni nyakati za mwisho lazima tuwe makini sana na injili za siku hizi Mungu wa Mbinguni akutunze sana Mchungaji Hananja lazima kweli ya Mungu isemwe👏
Mungu anaye watetezi waneno lake lisilogoshiwa, injiri ya Yesu halisi. Mungu akutunze vyema mch HANANJA.
Mchungaji Hananja Mungu akutunze kwakweli,unaugusa moyo wangu ❤😢
Huyu mch ana mawe mazito sana 'majabali' powerful speech kuna kipindi utafurahi utacheka kuna kipindi anaisisimua akili INSHORT namuelewa sana
Nakupenda sana mzee wangu unakili za kuzaliwa awakuwezi wachungaji wote tanzania apa
Wallah baba nakukubali wewe ni msema kweli mwenye kuchukia na achukie mtumishi wa mungu itakuwaje ajichubue ao ndio welewale
Nilikua na role model wa kisiasa wawili tz lowassa na maalim seiph sasa na baba hananja ni role model wangu kwenye kusema kweli nakupenda baba
Mungu akuzidishie hekima mtumishi ili tupate mafundisho yako yanayotujenga kiimani. 🙏🏽
Huyu Baba anaongea kweli tupu mkijuwa kweli nayo kweli itakuweka huru
Ninachojua nikukupenda tu mchungaji wangu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Barikiwa, nakuelewa Mchungaji. Nadhani Elimu pia azingatiwe, isiwe wito tu! nadhani tatizo lingine ni hili. Serekali izingatie haya
Kweli Mch.Hananja naomba nikupe maua zako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Mungu akubaliki sema ukweli walausijali mungu yuponawe hawakuwezi
Mungu akupe maisha marefu hananja.
Ubarikiwe mwalimu BABA mchungaji
Maashaallah Maashaallah Maashaallah ❤❤❤ Allah akufanyie wepesi mzee wangu I'm musilim
Nawewe kafiri kama yeye
@@maalimhamad1297ww mwenyewe kafiri!! Tafuta hela punguza makasiriko! Kwanii asimsifie kama kaongea point. Acha udini Mungu ni mmoja
Acha wivu@@maalimhamad1297
@@maalimhamad1297acha makasiriko mbwa ww rubbish
@@maalimhamad1297haulazishwi kuja huku au kufuatilia page hii wewe ndio kafiri muda wote unafuatilia mambo ya mwanga tu wewe uchawi unakusumbua
🤣🤣🤣😭 👏👏👏 Haleluya Mchungaji HANANJA Sema Ukweli,
Mchungaji Hananja unasema kweli kabisa Mungu akubariki sana uishi maisha marefu uendelee kutufunza
Mm ni muislamu ila uyu mzee namuelewa sana na pia napenda kumfuatilia kwenye vipindi vyake Mungu akueke mchunguji Ananja
Mimi pia ni Islamic ila huyu ni mwislamu Mungu anentumia upande huo wasipotee yaani Yuko real real real hababaji safi sana
@@kilimaentertainment1687ukiona mtu anawasema wengne ndo muislam?
Kabla ulikua unamjua?
Mchungaji Hongera Sana upo Vizuri. Nimependa sana mahubiri yako ya MUNGU ni mazuri. Ameeeen MUNGU AKULINDE MIAKA MINGI.
Aminaaaaaaaaàh 🙌 barikiwa cna mutumishi wa mungu
Viva mzee....huyu ni mchungaji sasa, Mungu akubariki sana
Nakuelewa sana Mch Hananja. Asiekuelewa hasikilizi vizuri. Hongera kwa kuwa muwazi.
Nakuombea kwa mungu uwe na maisha maref sanaa nakupenda san BABA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mungu akupe mwisho mwema Baba upo sahihi sana
Mchg kwakweli BWANA akubaliki sana amekuweka kwa kusudi huo ndio ukweli, Mwenye kuelewa ataelewa lakini huo unaoeleza ndio ukweli kwenye kizazi cha ukaidi.
Uyu mchungaji anajua sana ata akipewa mkoa au wilaya anaweza kuongoza vizuri
Mimi ni mmoja wa watu ninao fuatilia mafundisho yako kiukweli unacho kiongea nikweli kabisa kwani baadhi ya makanisa yamegeuka hayafuati bibblia Bali wamejipangia taratibu tofauti na maagizo ya mwenyezi mungu , lakini Sasa Kila kitu kitawekwa wazima mwenye akiri na afahamu,maana hata wenzetu wa dini nyingine wanapata kutu SEMA kuwa huu ukristo sio dini ,lakini mungu atawatawanya manabii feki kwa njia saba
Mungu anao watu Mungu anajivunia wewe akiangalia kanisa lilivyo kengeuka ila akikuangalia wewe anajivunia sanaa 🙌🙏
Nakuombea sana mzeee udumu maanaa hawa masharu wanaaribia wenginee wenye witi
Hananja ni mtumishi halisi wa MUNGU, barikiwa sana
Nakuelewa sana mtumish wa mungu hiyo kwel kabisa tufumbue macho jaman
PASTOR HANANJA ASANTE. KODI NI MUHIMU. CAKE, MAJI, MAFUTA, LESO CHUMVI, NKVIKO MADHABAHUNI GHARAMA VIMEOMBEWA KUAKISI UPONYAJI AU MALI UTAJIRI. TUNASHUKURU KWA MAELEZO YAKO PENGINE YANA UKWELI NDANI YAKE. KWAMBA HAMNA WIZI HAPO SIYO. AMEEN. 😊
Mungu akutunze mwl mwema msema kweli wa nyakati za mwisho🙏🙌
Asante kwa neno Baba Hananja Mungu azidi kukupa hekima
Hongera Sana mtumishi...unasema ukweli kabisaaa.
Mungu akuzidishie roho mtakatifu Baba mchungaji
Mungu nimwem mchugaji hananja nimuekawazi hiiimeenda❤🎉
Vizuri havidumu tunajua,,, ila mungu tuachie huyu basi jamaniii Dah!!
Ni katika wachungaji wachache sana!! Wakweli
Huyu mzee yuko vzr sana. na wengi wetu wanapotoshwa kwasababu Hawasomi Neno la Mungu na kutotaka kujua.
Navutiwa sana na Huyu mchungaji anajitahidi sana kusema ukweli.Mungu ambariki sana
18:06 Wewe ndo mtumishi wa Mungu bwana Hananja18:28 aja maua kwako, nimekukubali, wape vidonge vyao, wakimeza au wakitema ni shauri yao
Injili ya kweli siku hizi haina wafuasi wengi na watu wengi wamepotea kwa kutokuzingatia maarifa ya neno la Mungu .asante Mchungaji kwa kukazia ukweli ulivyo
Kama umesoma biblia toka mwanzo mpaka Ufunuo, hongera na Kama bado na huna mda komaa kiroho kwa kumsikiliza Hananja sugu wa imani isiyo goshiwa
This is my father now ❤
Ubarikiwe mch.hananja unaongea kweli tupu baba
Heavy point WALIPE KODI
Harafu utashangaa jumbe kama hiziii zilizotawaliwa na ukweli hazipostiwi na media ila wale wapotoshaji wanapewa kipaumbele sanaa Mungu lisaidie kanisa lako mkumbuke huyu Baba umpe ulinzi🙏
😢😢madhabahu imegeuzwa duka watozwe kodi🎉
Baba ni kweli kabisa
Ningekua mkristo, kanisa la huyu mzee ndio ningelitumia kuabudu kwakwel, uyu ni mtu wa Mungu
Hana kanisa huyu,anasali kkkt,ila yuko vizuri kwakweli
@@fideschackyalikuwa Mchungaji wa KKKT Ila kwa sasa amestaafu anatoaga tu Ushauri sehemu mbalimbali
😂
Kanisa siyo kigezo kikubwa ni nawewe ujue biblia karibu ujifunza biblia
Wewe pia kafiri kama yeye wewe dini gani unatamani uwe na kafiri kama huyo na anauzuri gani mtu anamkfuru Allah wewe unasema mtu mzuri jieleweni mjue dini zenu
Exactly Man of GooD
Exactly servant of God
Deni lilipwe nnae mda humu vp umeskia
Ni mara chache sana kukuta post ina maoni ya aina moja. Comment zote zinaongea lugha moja kumkubali Mchungaji Hananja. Hakika lipo jambo la kujifunza hapa.
Nakuelewa sana ni kweli MUUJIZA NI KWA WASIOAMINI,NA NA JITIHADA NA KUFANYA KAZI KWA BIDII MAFANIKIO NI LAZIMA
Mchungaji Mungu akusimamie daima,unasalisha kanisa gani na wapi me nahtaji kurudi kanisani,maana nishaa Acha nasalia ndani tu,ila unafundsha neno mpka nafrahi
hahahah Mungu sio shemeji yako,,,hakika nakuelewaga sana Mtumishi
mungu akutunze sana sana kwa elimu nzuri
Amen nimekuelewa Baba yangu Mungu akubariki 😂😂😂😂 dawa ya deni ni kulipa jaman kwakweli umeongea ukweli kabisa watumishi wa Mungu huubiri Neno la Mungu yohana 8:32 Mtaifahamu kweli na hiyo kweli itawaweka huru.....
uko sawa ubarikiwe sana pastor watu wamependa kudanganywa ila nakuelewa sana Barikiwa
Hakika mchungaji yesu mwenyewe alilipa kodi
Nakuoenda bure mchungaji Hananja yaani ni kweli tupu usemayo
mungu akuweke mchungaji umeongea fact sana asee wabongoo wanaburuzwaaa
Hakuna miujiza katika mafanikio lakini kuna bahati katika juhudi pale mtaji unapokutana na fursa iyo ndo miujiza katika dunia halisi ila hii ya kisubiri kukemea mapepo utasubiri mafanikio mpaka unazeeka
Kijana una akili sana...,busara na hekima ya hali ya juu..Taifa lingekua na Vijana wengi wenye ukomavu wa uelewa huu..tungefika mbali sana Kiuchumi..ki hisia na kiimani
hili jibu linaonesha uhalisia wa kilicho ndani ya kichwa, keep it up billionaire
Mwenyz Mungu akulinde.
Na Kuna watu waliomba awafanyie muujiza akagoma kabisa
Mungu ni mwema siku zote ubarikiwe Sana Tena Sana mtumishi WA mungu barikiwa Sana 🙏🙏🙏🙏🙏 hata muimbaji MUNISHI aliyaimba yote haya wimbo unatwa MAKANISA
Huyu Mzee Huwa anaongea Uhalisiawanamna Mafundisho halisi ya Dini. Haya anayosea Ndani ya Uislamu ni Hivyo na ninaamini hata kwenye Ukristo ni Hivyo,Sema hawakosekanagi wanaotafuta Upenyo wa Kuelekea namna vichwa vyao vinavyotaka.
Well said hananja
Hananjaa umesahau ndio maaana yesu alipindua meza za watu kwenye masinagogi yao
Ubarikiwe sana mchungaji
MCHUNGAJI asemaye Kweli ni Hananja tu.
Yaani mchunguji uko sahihi mno wachungaji wote wangekuwa hivi baasi kungekuwa na injili ya kweli ile mbayaaa
Mungu aliyeziumba mbingu na nchi akulinde,aitunze afya Yako na azidi kukupa maarifa zaidi Ili watu wa Mungu wapone
Mchungaji, unapatikana wapi? Natamani Semina / Ibada zako, ILI nifurahi, nicheke, niongeze hekima zitokanazo na NENO LA MUNGU UNALOFUNDISHA.
Dah afazali umesema bb mkorogo wa mwafula ni nyoko😂
Nakubari sana huyu mzee
mim nnamaoni mawili,🙏 kwnze namfurahia sana huyu mzee maana anajitahidi kuwaambia ukweli watu wanaomnyenye asiye mungu, ili wamuamini mungu wa kweli,,
lapili hiyo tabia ya kuweka mziki watikati mtu anaongea tena vtu vya maana mnatuchanganya hatujui tusikilize nini ,
acheni habari ifike kama habari
Nakuelewa Sana mchungaji
Nampendaga sana huyu baba😂
Hanaaa.....njaaaaaaaa.
Naomba unifundishe na mm zaidi kua muwazi zaidi sana
Barikiwa baba mchungaji ❤❤
Uyu baba ni junior sana hongera ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
🎉
Anayeuza vitu kwenye madhabahu kodo😂😂😂
Kweli kabisa Hananja 🎉🎉
Ubarikiwe sana mchungaji ukweli una ponya na utatuweka huru
😂 Uyu mzee yupo vizuri anaongea point
Umeongea vizuri sana mchungaji Mungu akutunze
Pastor Umewatoa watu upofu wa Imani.
Fact Sana kiongozi
😂😂😂 eti watu wa imani nyingine wanakukamua usiondoke na chips zao loh! Huyu baba kiboko
Mchungaji wewe ni mwalimu mzuri sana unatufungua akili wengi,
Uko sahihi sana much onanja.
Wafanyabiashara wa Tanzania uku wanakimbia kulipa kodi
Waooo mzee nimekubari interview hiii it is living one ❤
big up mchungaji...tuko pamoja sanaaaaa....waambie hao wajinga wanaoliwa sadaka zao
Mungu akubaliki xana Mchungaji unasema ukweli