MCH :HANANJA AMTOLEA UVIVU NABII KIBOKO YA WACHAWI SIRI ZA KUTOA MAPEPO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 лип 2024
  • Our mission is to bring people together,entertain and educate people that's why we create content that does exactly that

КОМЕНТАРІ • 445

  • @FabiolaAntony-up7ih
    @FabiolaAntony-up7ih 7 днів тому +20

    Asante
    Mungu kwa zawadi hii, mwalimu mkweli.neema ya
    Mungu ikulinde
    Hananja

  • @saiditwalibu5244
    @saiditwalibu5244 10 днів тому +37

    Huyu Mzee ukiwa na akili huru utamuelewa vzr sana,

  • @EmmanuelYohanaMbembela
    @EmmanuelYohanaMbembela День тому +3

    Hakika huu ni nyakati za mwisho lazima tuwe makini sana na injili za siku hizi Mungu wa Mbinguni akutunze sana Mchungaji Hananja lazima kweli ya Mungu isemwe👏

  • @mayungahima1987
    @mayungahima1987 3 дні тому +6

    Mungu anaye watetezi waneno lake lisilogoshiwa, injiri ya Yesu halisi. Mungu akutunze vyema mch HANANJA.

  • @user-zi9ug9tn6m
    @user-zi9ug9tn6m 3 дні тому +6

    Mchungaji Hananja Mungu akutunze kwakweli,unaugusa moyo wangu ❤😢

  • @Machozihussen-er8cp
    @Machozihussen-er8cp 7 днів тому +11

    Huyu mch ana mawe mazito sana 'majabali' powerful speech kuna kipindi utafurahi utacheka kuna kipindi anaisisimua akili INSHORT namuelewa sana

  • @user-cg1hc7yt3v
    @user-cg1hc7yt3v 3 дні тому +5

    Nakupenda sana mzee wangu unakili za kuzaliwa awakuwezi wachungaji wote tanzania apa

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu9570 10 днів тому +10

    Wallah baba nakukubali wewe ni msema kweli mwenye kuchukia na achukie mtumishi wa mungu itakuwaje ajichubue ao ndio welewale

  • @Yassinseleman
    @Yassinseleman 14 днів тому +11

    Nilikua na role model wa kisiasa wawili tz lowassa na maalim seiph sasa na baba hananja ni role model wangu kwenye kusema kweli nakupenda baba

  • @fanuelkatoto8913
    @fanuelkatoto8913 12 днів тому +27

    Mungu akuzidishie hekima mtumishi ili tupate mafundisho yako yanayotujenga kiimani. 🙏🏽

  • @charlesyotham7977
    @charlesyotham7977 11 днів тому +15

    Huyu Baba anaongea kweli tupu mkijuwa kweli nayo kweli itakuweka huru

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi6213 12 днів тому +27

    Ninachojua nikukupenda tu mchungaji wangu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @injilinjeyakutazakanisa
    @injilinjeyakutazakanisa 14 днів тому +10

    Barikiwa, nakuelewa Mchungaji. Nadhani Elimu pia azingatiwe, isiwe wito tu! nadhani tatizo lingine ni hili. Serekali izingatie haya

  • @lerakalaita6909
    @lerakalaita6909 10 днів тому +7

    Kweli Mch.Hananja naomba nikupe maua zako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤

  • @YorandaBonephas
    @YorandaBonephas 2 дні тому +2

    Mungu akubaliki sema ukweli walausijali mungu yuponawe hawakuwezi

  • @user-hb8iv7jz9c
    @user-hb8iv7jz9c 13 днів тому +10

    Mungu akupe maisha marefu hananja.

  • @shiracque8524
    @shiracque8524 13 днів тому +12

    Ubarikiwe mwalimu BABA mchungaji

  • @ramadhaninyangasa7275
    @ramadhaninyangasa7275 12 днів тому +20

    Maashaallah Maashaallah Maashaallah ❤❤❤ Allah akufanyie wepesi mzee wangu I'm musilim

    • @maalimhamad1297
      @maalimhamad1297 11 днів тому +1

      Nawewe kafiri kama yeye

    • @israeluronu9958
      @israeluronu9958 10 днів тому +2

      ​@@maalimhamad1297ww mwenyewe kafiri!! Tafuta hela punguza makasiriko! Kwanii asimsifie kama kaongea point. Acha udini Mungu ni mmoja

    • @user-ec4br4pd3o
      @user-ec4br4pd3o 10 днів тому

      Acha wivu​@@maalimhamad1297

    • @brightonvictorkimsehyeon7892
      @brightonvictorkimsehyeon7892 10 днів тому +1

      ​@@maalimhamad1297acha makasiriko mbwa ww rubbish

    • @stanleymwaselela1849
      @stanleymwaselela1849 9 днів тому

      ​@@maalimhamad1297haulazishwi kuja huku au kufuatilia page hii wewe ndio kafiri muda wote unafuatilia mambo ya mwanga tu wewe uchawi unakusumbua

  • @shabbymakapane
    @shabbymakapane 14 днів тому +8

    🤣🤣🤣😭 👏👏👏 Haleluya Mchungaji HANANJA Sema Ukweli,

  • @eliaskabila1106
    @eliaskabila1106 11 днів тому +17

    Mchungaji Hananja unasema kweli kabisa Mungu akubariki sana uishi maisha marefu uendelee kutufunza

  • @user-zp5qj3ym5x
    @user-zp5qj3ym5x 10 днів тому +6

    Mm ni muislamu ila uyu mzee namuelewa sana na pia napenda kumfuatilia kwenye vipindi vyake Mungu akueke mchunguji Ananja

    • @kilimaentertainment1687
      @kilimaentertainment1687 9 днів тому

      Mimi pia ni Islamic ila huyu ni mwislamu Mungu anentumia upande huo wasipotee yaani Yuko real real real hababaji safi sana

    • @fumotv7914
      @fumotv7914 3 дні тому

      ​@@kilimaentertainment1687ukiona mtu anawasema wengne ndo muislam?
      Kabla ulikua unamjua?

  • @user-wy4yn2xi3n
    @user-wy4yn2xi3n 9 днів тому +5

    Mchungaji Hongera Sana upo Vizuri. Nimependa sana mahubiri yako ya MUNGU ni mazuri. Ameeeen MUNGU AKULINDE MIAKA MINGI.

    • @eunicekiilu7485
      @eunicekiilu7485 2 дні тому +1

      Aminaaaaaaaaàh 🙌 barikiwa cna mutumishi wa mungu

  • @vieloontz
    @vieloontz 7 днів тому +3

    Viva mzee....huyu ni mchungaji sasa, Mungu akubariki sana

  • @zengomikomangwa9264
    @zengomikomangwa9264 15 днів тому +11

    Nakuelewa sana Mch Hananja. Asiekuelewa hasikilizi vizuri. Hongera kwa kuwa muwazi.

  • @Sifa-ol4lb
    @Sifa-ol4lb 7 днів тому +3

    Nakuombea kwa mungu uwe na maisha maref sanaa nakupenda san BABA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @RaymondMumba-k1l
    @RaymondMumba-k1l 3 дні тому +3

    Mungu akupe mwisho mwema Baba upo sahihi sana

  • @godfreymhina6236
    @godfreymhina6236 12 днів тому +5

    Mchg kwakweli BWANA akubaliki sana amekuweka kwa kusudi huo ndio ukweli, Mwenye kuelewa ataelewa lakini huo unaoeleza ndio ukweli kwenye kizazi cha ukaidi.

  • @winfridmsuha1303
    @winfridmsuha1303 4 дні тому +2

    Uyu mchungaji anajua sana ata akipewa mkoa au wilaya anaweza kuongoza vizuri

  • @user-kq7kn7gh6l
    @user-kq7kn7gh6l 15 днів тому +16

    Mimi ni mmoja wa watu ninao fuatilia mafundisho yako kiukweli unacho kiongea nikweli kabisa kwani baadhi ya makanisa yamegeuka hayafuati bibblia Bali wamejipangia taratibu tofauti na maagizo ya mwenyezi mungu , lakini Sasa Kila kitu kitawekwa wazima mwenye akiri na afahamu,maana hata wenzetu wa dini nyingine wanapata kutu SEMA kuwa huu ukristo sio dini ,lakini mungu atawatawanya manabii feki kwa njia saba

  • @devotaminga9352
    @devotaminga9352 День тому

    Mungu anao watu Mungu anajivunia wewe akiangalia kanisa lilivyo kengeuka ila akikuangalia wewe anajivunia sanaa 🙌🙏

  • @user-sw2nu4qd2x
    @user-sw2nu4qd2x 3 дні тому +1

    Nakuombea sana mzeee udumu maanaa hawa masharu wanaaribia wenginee wenye witi

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 День тому

    Hananja ni mtumishi halisi wa MUNGU, barikiwa sana

  • @Christinajosephkitundu
    @Christinajosephkitundu 3 години тому

    Nakuelewa sana mtumish wa mungu hiyo kwel kabisa tufumbue macho jaman

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 9 днів тому +3

    PASTOR HANANJA ASANTE. KODI NI MUHIMU. CAKE, MAJI, MAFUTA, LESO CHUMVI, NKVIKO MADHABAHUNI GHARAMA VIMEOMBEWA KUAKISI UPONYAJI AU MALI UTAJIRI. TUNASHUKURU KWA MAELEZO YAKO PENGINE YANA UKWELI NDANI YAKE. KWAMBA HAMNA WIZI HAPO SIYO. AMEEN. 😊

  • @devotaminga9352
    @devotaminga9352 День тому

    Mungu akutunze mwl mwema msema kweli wa nyakati za mwisho🙏🙌

  • @VenerandaKiwia
    @VenerandaKiwia 22 години тому

    Asante kwa neno Baba Hananja Mungu azidi kukupa hekima

  • @foundationforcommunityhope7327
    @foundationforcommunityhope7327 10 днів тому +3

    Hongera Sana mtumishi...unasema ukweli kabisaaa.

  • @EVANSOUMA-k5h
    @EVANSOUMA-k5h 10 днів тому +2

    Mungu akuzidishie roho mtakatifu Baba mchungaji

  • @mmakajunior3063
    @mmakajunior3063 День тому

    Mungu nimwem mchugaji hananja nimuekawazi hiiimeenda❤🎉

  • @hamisikamanda9933
    @hamisikamanda9933 4 дні тому +2

    Vizuri havidumu tunajua,,, ila mungu tuachie huyu basi jamaniii Dah!!

  • @ramadhaninyangasa7275
    @ramadhaninyangasa7275 12 днів тому +6

    Ni katika wachungaji wachache sana!! Wakweli

  • @paulmnyanyi7039
    @paulmnyanyi7039 День тому

    Huyu mzee yuko vzr sana. na wengi wetu wanapotoshwa kwasababu Hawasomi Neno la Mungu na kutotaka kujua.

  • @michaelkibiki3309
    @michaelkibiki3309 9 днів тому +8

    Navutiwa sana na Huyu mchungaji anajitahidi sana kusema ukweli.Mungu ambariki sana

  • @alicemgalawe3924
    @alicemgalawe3924 9 днів тому +3

    18:06 Wewe ndo mtumishi wa Mungu bwana Hananja18:28 aja maua kwako, nimekukubali, wape vidonge vyao, wakimeza au wakitema ni shauri yao

  • @VERONICASEGESELA
    @VERONICASEGESELA 2 дні тому

    Injili ya kweli siku hizi haina wafuasi wengi na watu wengi wamepotea kwa kutokuzingatia maarifa ya neno la Mungu .asante Mchungaji kwa kukazia ukweli ulivyo

  • @georgemtewele7656
    @georgemtewele7656 14 днів тому +4

    Kama umesoma biblia toka mwanzo mpaka Ufunuo, hongera na Kama bado na huna mda komaa kiroho kwa kumsikiliza Hananja sugu wa imani isiyo goshiwa

  • @KahimanoMutwa
    @KahimanoMutwa 11 днів тому +2

    This is my father now ❤

  • @RABECAJAILOS
    @RABECAJAILOS 2 дні тому

    Ubarikiwe mch.hananja unaongea kweli tupu baba

  • @edmundnkarangu134
    @edmundnkarangu134 15 днів тому +4

    Heavy point WALIPE KODI

  • @devotaminga9352
    @devotaminga9352 День тому

    Harafu utashangaa jumbe kama hiziii zilizotawaliwa na ukweli hazipostiwi na media ila wale wapotoshaji wanapewa kipaumbele sanaa Mungu lisaidie kanisa lako mkumbuke huyu Baba umpe ulinzi🙏

  • @felisterjoshuamollel3930
    @felisterjoshuamollel3930 День тому

    😢😢madhabahu imegeuzwa duka watozwe kodi🎉

  • @MzuandaMlali-x3r
    @MzuandaMlali-x3r 4 дні тому +1

    Baba ni kweli kabisa

  • @mu_tv56
    @mu_tv56 15 днів тому +103

    Ningekua mkristo, kanisa la huyu mzee ndio ningelitumia kuabudu kwakwel, uyu ni mtu wa Mungu

    • @fideschacky
      @fideschacky 14 днів тому +4

      Hana kanisa huyu,anasali kkkt,ila yuko vizuri kwakweli

    • @upendogreutert199
      @upendogreutert199 14 днів тому +3

      @@fideschackyalikuwa Mchungaji wa KKKT Ila kwa sasa amestaafu anatoaga tu Ushauri sehemu mbalimbali

    • @sarahgaula2220
      @sarahgaula2220 14 днів тому +2

      😂

    • @user-pl3pc4wk9i
      @user-pl3pc4wk9i 12 днів тому +7

      Kanisa siyo kigezo kikubwa ni nawewe ujue biblia karibu ujifunza biblia

    • @maalimhamad1297
      @maalimhamad1297 11 днів тому +5

      Wewe pia kafiri kama yeye wewe dini gani unatamani uwe na kafiri kama huyo na anauzuri gani mtu anamkfuru Allah wewe unasema mtu mzuri jieleweni mjue dini zenu

  • @user-ho7ci2fq1c
    @user-ho7ci2fq1c 11 днів тому +3

    Exactly Man of GooD

  • @fredybanda2861
    @fredybanda2861 14 днів тому +3

    Exactly servant of God

  • @kevindakbm7006
    @kevindakbm7006 4 дні тому +2

    Deni lilipwe nnae mda humu vp umeskia

  • @Nicaonlinetv7324
    @Nicaonlinetv7324 4 дні тому +1

    Ni mara chache sana kukuta post ina maoni ya aina moja. Comment zote zinaongea lugha moja kumkubali Mchungaji Hananja. Hakika lipo jambo la kujifunza hapa.

  • @user-gv4jx2fp4u
    @user-gv4jx2fp4u 11 годин тому

    Nakuelewa sana ni kweli MUUJIZA NI KWA WASIOAMINI,NA NA JITIHADA NA KUFANYA KAZI KWA BIDII MAFANIKIO NI LAZIMA

  • @WigesaNyerere
    @WigesaNyerere 9 днів тому +1

    Mchungaji Mungu akusimamie daima,unasalisha kanisa gani na wapi me nahtaji kurudi kanisani,maana nishaa Acha nasalia ndani tu,ila unafundsha neno mpka nafrahi

  • @vailethudson2771
    @vailethudson2771 7 днів тому +1

    hahahah Mungu sio shemeji yako,,,hakika nakuelewaga sana Mtumishi

  • @DENISNDOGHWE
    @DENISNDOGHWE 3 години тому

    mungu akutunze sana sana kwa elimu nzuri

  • @wilfredjohn4829
    @wilfredjohn4829 12 днів тому +1

    Amen nimekuelewa Baba yangu Mungu akubariki 😂😂😂😂 dawa ya deni ni kulipa jaman kwakweli umeongea ukweli kabisa watumishi wa Mungu huubiri Neno la Mungu yohana 8:32 Mtaifahamu kweli na hiyo kweli itawaweka huru.....

  • @musajonas9397
    @musajonas9397 3 дні тому

    uko sawa ubarikiwe sana pastor watu wamependa kudanganywa ila nakuelewa sana Barikiwa

  • @charlesnyanhanga4382
    @charlesnyanhanga4382 15 днів тому +4

    Hakika mchungaji yesu mwenyewe alilipa kodi

  • @nkundechindwa9654
    @nkundechindwa9654 16 годин тому

    Nakuoenda bure mchungaji Hananja yaani ni kweli tupu usemayo

  • @worth_monkey
    @worth_monkey 12 днів тому +5

    mungu akuweke mchungaji umeongea fact sana asee wabongoo wanaburuzwaaa

  • @panduafricangiant4902
    @panduafricangiant4902 14 днів тому +10

    Hakuna miujiza katika mafanikio lakini kuna bahati katika juhudi pale mtaji unapokutana na fursa iyo ndo miujiza katika dunia halisi ila hii ya kisubiri kukemea mapepo utasubiri mafanikio mpaka unazeeka

    • @Ayyub_Semtawa
      @Ayyub_Semtawa 13 днів тому +2

      Kijana una akili sana...,busara na hekima ya hali ya juu..Taifa lingekua na Vijana wengi wenye ukomavu wa uelewa huu..tungefika mbali sana Kiuchumi..ki hisia na kiimani

    • @funniestAxel
      @funniestAxel 8 днів тому

      hili jibu linaonesha uhalisia wa kilicho ndani ya kichwa, keep it up billionaire

  • @SalumSevingi
    @SalumSevingi 11 днів тому +3

    Mwenyz Mungu akulinde.

  • @thomasraiton7760
    @thomasraiton7760 11 днів тому +3

    Na Kuna watu waliomba awafanyie muujiza akagoma kabisa

  • @phanuelemmanuel4743
    @phanuelemmanuel4743 7 днів тому

    Mungu ni mwema siku zote ubarikiwe Sana Tena Sana mtumishi WA mungu barikiwa Sana 🙏🙏🙏🙏🙏 hata muimbaji MUNISHI aliyaimba yote haya wimbo unatwa MAKANISA

  • @farijala1
    @farijala1 14 днів тому +2

    Huyu Mzee Huwa anaongea Uhalisiawanamna Mafundisho halisi ya Dini. Haya anayosea Ndani ya Uislamu ni Hivyo na ninaamini hata kwenye Ukristo ni Hivyo,Sema hawakosekanagi wanaotafuta Upenyo wa Kuelekea namna vichwa vyao vinavyotaka.

  • @rashidkassim7836
    @rashidkassim7836 11 днів тому +2

    Well said hananja

  • @LinosJohn-dp9xi
    @LinosJohn-dp9xi 12 днів тому +3

    Hananjaa umesahau ndio maaana yesu alipindua meza za watu kwenye masinagogi yao

  • @user-sp5vr7uo4w
    @user-sp5vr7uo4w 11 днів тому +2

    Ubarikiwe sana mchungaji

  • @user-vy9en5ly1z
    @user-vy9en5ly1z 7 днів тому +1

    MCHUNGAJI asemaye Kweli ni Hananja tu.

  • @user-qk4lx4hg7g
    @user-qk4lx4hg7g 3 дні тому

    Yaani mchunguji uko sahihi mno wachungaji wote wangekuwa hivi baasi kungekuwa na injili ya kweli ile mbayaaa

  • @winfridalazaro296
    @winfridalazaro296 6 днів тому

    Mungu aliyeziumba mbingu na nchi akulinde,aitunze afya Yako na azidi kukupa maarifa zaidi Ili watu wa Mungu wapone

  • @rehemakaijage1364
    @rehemakaijage1364 11 днів тому +2

    Mchungaji, unapatikana wapi? Natamani Semina / Ibada zako, ILI nifurahi, nicheke, niongeze hekima zitokanazo na NENO LA MUNGU UNALOFUNDISHA.

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n 11 днів тому +2

    Dah afazali umesema bb mkorogo wa mwafula ni nyoko😂

  • @HappyCrescentMoon-oy1yp
    @HappyCrescentMoon-oy1yp 4 дні тому +1

    Nakubari sana huyu mzee

  • @abdallahchande2913
    @abdallahchande2913 3 дні тому

    mim nnamaoni mawili,🙏 kwnze namfurahia sana huyu mzee maana anajitahidi kuwaambia ukweli watu wanaomnyenye asiye mungu, ili wamuamini mungu wa kweli,,
    lapili hiyo tabia ya kuweka mziki watikati mtu anaongea tena vtu vya maana mnatuchanganya hatujui tusikilize nini ,
    acheni habari ifike kama habari

  • @LaurenciaZacharia
    @LaurenciaZacharia 21 годину тому

    Nakuelewa Sana mchungaji

  • @evelynesuleyman7757
    @evelynesuleyman7757 16 годин тому

    Nampendaga sana huyu baba😂

  • @LudgerSanga
    @LudgerSanga 7 днів тому

    Hanaaa.....njaaaaaaaa.
    Naomba unifundishe na mm zaidi kua muwazi zaidi sana

  • @agnesandrew2742
    @agnesandrew2742 11 днів тому +1

    Barikiwa baba mchungaji ❤❤

  • @belyseirakoze5371
    @belyseirakoze5371 14 днів тому +5

    Uyu baba ni junior sana hongera ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @abdunasiriathumani9011
    @abdunasiriathumani9011 15 годин тому

    Anayeuza vitu kwenye madhabahu kodo😂😂😂

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 15 днів тому +1

    Kweli kabisa Hananja 🎉🎉

  • @DevotaMoshi
    @DevotaMoshi 5 днів тому

    Ubarikiwe sana mchungaji ukweli una ponya na utatuweka huru

  • @JordanJordanAlphonce
    @JordanJordanAlphonce 5 днів тому

    😂 Uyu mzee yupo vizuri anaongea point

  • @jacquelinelukambuzi5085
    @jacquelinelukambuzi5085 10 днів тому

    Umeongea vizuri sana mchungaji Mungu akutunze

  • @honorathampemba5392
    @honorathampemba5392 9 днів тому

    Pastor Umewatoa watu upofu wa Imani.

  • @elvismabena7630
    @elvismabena7630 14 днів тому +2

    Fact Sana kiongozi

  • @shaloom-it4qs
    @shaloom-it4qs 10 днів тому +2

    😂😂😂 eti watu wa imani nyingine wanakukamua usiondoke na chips zao loh! Huyu baba kiboko

  • @imanimwandosya370
    @imanimwandosya370 7 днів тому +1

    Mchungaji wewe ni mwalimu mzuri sana unatufungua akili wengi,

  • @Revocatusfeli
    @Revocatusfeli 2 дні тому

    Uko sahihi sana much onanja.

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
    @SmilingBulldogPuppy-nb9ur 14 днів тому +2

    Wafanyabiashara wa Tanzania uku wanakimbia kulipa kodi

  • @VascoJohn-rp1uc
    @VascoJohn-rp1uc 12 днів тому +3

    Waooo mzee nimekubari interview hiii it is living one ❤

  • @camillasiwa6506
    @camillasiwa6506 11 днів тому +6

    big up mchungaji...tuko pamoja sanaaaaa....waambie hao wajinga wanaoliwa sadaka zao

  • @HassanKanguwo-fy4cm
    @HassanKanguwo-fy4cm 8 днів тому

    Mungu akubaliki xana Mchungaji unasema ukweli