Uwezo wa sugu ni mdogo sana ktk mjadala, anarukia rukia issues ambazo zinakitia dosari chama kama office nk na kuacha maswali ya msingi, pia ana jazba na anasahau huo ni mdahalo ndani ya chama sio dhidi ya ccm , kuhusu utendaji sijui sana lkn ikiwa tutaamua kwa kufuata mdahalo basi sugu bado sana!
Bila ushabikimdahalo umemuongezea sugu credit,,,,, Utulivu ,ujibujimaswali Kwa mantiki Mahalo unauonyesha msigwa tofauti, anahamanika,,,, Kwa mdahalo huuu Kura yangu Sugu Sugu Sugu
Wawili hawa ni wazuri na walijaribiwa na JPM wakastahimili. Ingawa hivyo wanapaswa kuongeza uelewa, kila mmoja ktk eneo au maeneo fulani. Sugu alibughudhiwa zaidi pale alipofungwa na nadhani ndipo alipompoteza mzazi wake-jambo zito kuliko yote hilo! Hata hivyo, kwake kudai Msigwa angekubali mwaliko wa ikulu ya JPM ilhali ilijulikana ni kutaka kumnunua (hongo) ni kuyumba! Huwezi kuitikia wito wa Rais wa nchi anayetaka kukurubuni halafu utuambie ukifika ikulu utamgomea, HUWEZI na nadhani haishauriwi!!! Hivyo Msigwa anastahili pongezi ktk lile. Nahisi Sugu ana PR nzuri na watu, lakini nahisi ni mtu wa nadharia kuliko kutenda. Msigwa alipaswa kudai ushahidi kutoka kwa aliyemtuhumu kudai pesa, badala ya kulijibu kijuujuu suala nyeti kama rushwa. Mwisho, nadhani waboreshe uhusiano kati Yao itawasaidia ktk majimbo yao dhidi ya ccm tunayotaka iondoke madarakani
Mch. Msigwa bado anao uwezo mkubwa wa kuongoza na pia sugu mbilinyi ana vision kubwa sisi wengine tunatakiwa kupata SoMo kutoka kwenye mlengo ya mdahalo huu hasa kuona uchaguzi ni ligi nzuri yenye irafiki sio vita!
Mjadala huu unaonesha kuwa CHADEMA kimekomaa sana. Hii ndo tunataka CCM ifanye. Wagombea wa CCM wafanye midahalo ya aina hii ili tuwaone na kuwauliza maswali. Na vilevile vyama vikubwa (hususan CCM, CHADEMA na ACT WAZALENDO) vikutanike na kufanya midahalo ya ya aina hii ili wananchi tuweze kuchagua viongozi wanaofaa. Hii ndo kazi ya luninga yetu ya TBC. Chacha Ryoba aachane na "cheap" programs na interviews ambazo zinaelekea kusaidia chama kimoja. Ryoba asisahau kuwa kesho chama anachokisukumasukuma huenda kisiwepo madarakani. Big Up CHADEMA,
Wameanza vozuri lakin MWISHONI nimeshangaa maneno ya Sugu kuropoka siri za ndani ndani kuwa Msigwa haaminiki ktk chama... Hili ni tatizo. Nasema tena hilo ni tatizo
Msigwa ni philosopher, kiongozi. Sugu ni mtendaji anafaa sana kuhanasisha matukio My take ni kuwa, A Nation is governed by philosopher. Msigwa anafaa zaidi kuongoza kanda, kuwajenga watu kisaikolojia. Sugu anafaa sana kuhamasisha matukio ili yafanikiwe.
Msigwa nafikiri hata yeye anajua kuwa sugu anamzidi kitu fulani katika kadamnasi. Msigwa anafaa zaidi kufanya kazi makao makuu ya chama kama political officer (commissioner) kama nafasi hiyo ipo katika katiba ya CHADEMA.
msigwA is the head lnto. Chadema political party let be frank has to be avoided such debeghty on one political party Your analysis vary brave as the professional tanzania janalist
Msigwa amemzidi sugu Kwa kila jambo, shida ya Sugu akuelewa kuwa hapo kwenye mdahalo alitakiwa akijengee heshima chama na huku akishawishi apewe kura, lakini huku mwisho ameonekana akimkosea adabu mwenzake Kwa kusema alikuwa ahaminiki ktk chama, Sugu ameonyesha uwezi mdogo sana wa stahimili hoja chungu. Hivi anawezaje kusema Msigwa alikosea kutokwenda ikulu Kwa wakati ule. Sugu ametumia kila aina ya lugha chafu ili apate uongozi. Hii ni hatari Kwa Chama.
Nimewashangaaa ssna, huyu Bint Mayemba wa Njombe ni mtupu na namna nilivoona Wametoka vipande hawajakubaliana lakini itoshe kwa Sugu kuelewa Mbeya anakaboliana na nani ? Lakini pia namuona Mungai aki influence kuondoka kwa Msigwa ni wazi Iringa haitapoteza jimbo hata moja mbeya pia , ila Songwe ndiko kuna kazi ya kweli....Chadema wamepoteza sanaaaa....Once a Legendary ktk Medani wanapaswa wajue Sugu ni compromised fellow.
Kwa mtazamo wangu , msigwa Hana hoja na ajajibu maswali aliyoulizwa na maswali yalikuwa yakawaida sana haitaji ata kufikiria mara mbili kwa mtu mwenye uzoefu hajaonyesha ukomavu ni ubabaishaji na maneno ya ngonjera na bwana fisi. Sugu ametulia na ana reason kwa anachokijibu . Msigwa anakurupuka ni aibu kwa mtu mwenye experience kujibu kwa kukurupuka au kutokuwa na critical thinking katika kujibu maswali kwa usahihi . Naona sugu ana asilimia kubwa ya kuchukua nafasi hii na anastahili kupatiwa hiyo nafasi kuonyesha uwezo wake wakuleta mabadiriko katika Kanda ya nyanza .
Chilwa songea town nisawa hanaf 33:48 aa poent kafanya nn? Tumpe sugu tuone karamazake. Viongozi wachini wanatengwa sana ndikowanakotenngenezwa wanachama!
Hata mimi naona ni vyema alivyokataa kuenda, muda huu angekua akhera tu, japo na magu naye yupo huko huko, na mimi nitaenda huko huko, ila kuna kutangulia, ama kutangulizwa.
Mbilinyi even late julias kambarege Nyerere during his life time in politics he was asking help to odinary people why you can be a leader but you don't hame money into opposition we need sacrifice both sides leader and odinary people together we building one thing
Msigwa ni public speaker mzuri laki kama anaamini chadema ni kubwa kuliko MTU ni muda muafaka akae pembeni miaka kumi ni mingi aache vipawa vingine vitoe mchango
Tatizo sugu amefungwa mdomo sanaa haswa kwenye huu uongozi wa mama na hii ni baada ya kufanyiwa tamasha kubwa kule mbeya na mama akiwa mgeni rasmi sijawahi sikia sugu akihoji au kuchallange chchte kile kinachoendelea kwenye uongozi huu wa mama mimi kula yangu nampa msingwa
Chilwa naipenda chadema kuliko maishayangu. Shida tukipata viongozi wanasahau walikotoka inaumasana naonavunja moyo tunapoteza wanachama. Kaka Sugu lifanyiye kazihilo.
Nawapenda wote , Sugu 50% , Musigwa 50%. From Cedar Rapids Iowa state USA
Uwezo wa sugu ni mdogo sana ktk mjadala, anarukia rukia issues ambazo zinakitia dosari chama kama office nk na kuacha maswali ya msingi, pia ana jazba na anasahau huo ni mdahalo ndani ya chama sio dhidi ya ccm , kuhusu utendaji sijui sana lkn ikiwa tutaamua kwa kufuata mdahalo basi sugu bado sana!
Msigwa hajui nn amefanya unaongeza nn ww
Hii midahalo ikiwa inafanyika hivi kwa uwazi ni nzuri sana bigup msigwa
Bila ushabikimdahalo umemuongezea sugu credit,,,,,
Utulivu ,ujibujimaswali Kwa mantiki
Mahalo unauonyesha msigwa tofauti, anahamanika,,,,
Kwa mdahalo huuu Kura yangu
Sugu
Sugu
Sugu
Musigwa yuko vizur kanda ya nyasa imeimalika sana
Kwa kweli mdhahalo ulikuwa moto na mzuri sana, big up chama langu Chadema, mmekomaa
Wawili hawa ni wazuri na walijaribiwa na JPM wakastahimili. Ingawa hivyo wanapaswa kuongeza uelewa, kila mmoja ktk eneo au maeneo fulani. Sugu alibughudhiwa zaidi pale alipofungwa na nadhani ndipo alipompoteza mzazi wake-jambo zito kuliko yote hilo! Hata hivyo, kwake kudai Msigwa angekubali mwaliko wa ikulu ya JPM ilhali ilijulikana ni kutaka kumnunua (hongo) ni kuyumba! Huwezi kuitikia wito wa Rais wa nchi anayetaka kukurubuni halafu utuambie ukifika ikulu utamgomea, HUWEZI na nadhani haishauriwi!!! Hivyo Msigwa anastahili pongezi ktk lile. Nahisi Sugu ana PR nzuri na watu, lakini nahisi ni mtu wa nadharia kuliko kutenda. Msigwa alipaswa kudai ushahidi kutoka kwa aliyemtuhumu kudai pesa, badala ya kulijibu kijuujuu suala nyeti kama rushwa. Mwisho, nadhani waboreshe uhusiano kati Yao itawasaidia ktk majimbo yao dhidi ya ccm tunayotaka iondoke madarakani
Huu ni mtihani mgumu sana hapo wote wako bora sana lakn itabidi ashinde mmoja tu mwingine awe makamu wanajitahidi kujenga hoja na kujibu hoja
Mch. Msigwa bado anao uwezo mkubwa wa kuongoza na pia sugu mbilinyi ana vision kubwa sisi wengine tunatakiwa kupata SoMo kutoka kwenye mlengo ya mdahalo huu hasa kuona uchaguzi ni ligi nzuri yenye irafiki sio vita!
Chadema kimekomaa. Wote wako vizuri! Tunajifunza. Tunahitaji vyama kama hivi.
sijaridhika na majibu mchungaji, hasa katika kutengeneza miongozo ya maendeleo ya chama hasa ujenzi wa ofisi
Mimi nadhani Kuna haha ya kubadilisha uongozi ili tupate vision mpya ambazo nimeziona kwa Mhe Sugu. Mch tumpe nafasi nyingine kwa Sasa.
Mjadala huu unaonesha kuwa CHADEMA kimekomaa sana. Hii ndo tunataka CCM ifanye. Wagombea wa CCM wafanye midahalo ya aina hii ili tuwaone na kuwauliza maswali. Na vilevile vyama vikubwa (hususan CCM, CHADEMA na ACT WAZALENDO) vikutanike na kufanya midahalo ya ya aina hii ili wananchi tuweze kuchagua viongozi wanaofaa. Hii ndo kazi ya luninga yetu ya TBC. Chacha Ryoba aachane na "cheap" programs na interviews ambazo zinaelekea kusaidia chama kimoja. Ryoba asisahau kuwa kesho chama anachokisukumasukuma huenda kisiwepo madarakani. Big Up CHADEMA,
Wameanza vozuri lakin MWISHONI nimeshangaa maneno ya Sugu kuropoka siri za ndani ndani kuwa Msigwa haaminiki ktk chama... Hili ni tatizo. Nasema tena hilo ni tatizo
Msigwa IKULU ungekwenda kukisemea chadema,ungeuliza WATU WASIOJULIKANA NA KESI ZA KUBAMBIKIWA.WEWE UMETUMIKA SANA SANA.
Joseph mbilinyi also known as sugu
Msingwa nikiongozi mnzuri ira nigependa tumuone na sungu .masns wote wako vinzuri
Msigwa ni philosopher, kiongozi. Sugu ni mtendaji anafaa sana kuhanasisha matukio
My take ni kuwa, A Nation is governed by philosopher. Msigwa anafaa zaidi kuongoza kanda, kuwajenga watu kisaikolojia.
Sugu anafaa sana kuhamasisha matukio ili yafanikiwe.
Wote wako vizuri
CHADEMA ina majembe wote wazuri
Uzuri wa sura au!
Msigwa nafikiri hata yeye anajua kuwa sugu anamzidi kitu fulani katika kadamnasi. Msigwa anafaa zaidi kufanya kazi makao makuu ya chama kama political officer (commissioner) kama nafasi hiyo ipo katika katiba ya CHADEMA.
Msigwa kimemuua kile cha wamasai na yy kujikita kweny kuunga ccm mkono
Mimi nitashangaa sana kama wanachama watamwacha Msigwa wamchague Sugu.
Muongo ww, amejibu nn haswa
Sugu brow
Kuna ushabiki unaandikwa humu lakini msigwa amemzidi sugu kwa mbali sana
😅😅😅 amemzd nn haswa, sugu anajibu vzr
Nimeiona democracy kwa Mr Sugu,anafaa na ni kiongozi makin mwenye vision,huyo msigwa mmmhhh mazoea mengi let him go home
msigwA is the head lnto. Chadema political party let be frank has to be avoided such debeghty on one political party
Your analysis vary brave as the professional tanzania janalist
Wananuliwa
Wi.ngi
Msigwa his very bright man. Anajua uongozi. Sugu bado.
Wote ni wazuri. Ila kiongozi hapo ni Msigwa. Sugu aendelee kumshauri Msigwa kwa usitawi wa chama chetu.
Hawa wote wameiva wako vizuri
Msigwa anafaa , ameiva.
Msigwa amemzidi sugu Kwa kila jambo, shida ya Sugu akuelewa kuwa hapo kwenye mdahalo alitakiwa akijengee heshima chama na huku akishawishi apewe kura, lakini huku mwisho ameonekana akimkosea adabu mwenzake Kwa kusema alikuwa ahaminiki ktk chama, Sugu ameonyesha uwezi mdogo sana wa stahimili hoja chungu.
Hivi anawezaje kusema Msigwa alikosea kutokwenda ikulu Kwa wakati ule.
Sugu ametumia kila aina ya lugha chafu ili apate uongozi.
Hii ni hatari Kwa Chama.
Nimewashangaaa ssna, huyu Bint Mayemba wa Njombe ni mtupu na namna nilivoona Wametoka vipande hawajakubaliana lakini itoshe kwa Sugu kuelewa Mbeya anakaboliana na nani ? Lakini pia namuona Mungai aki influence kuondoka kwa Msigwa ni wazi Iringa haitapoteza jimbo hata moja mbeya pia , ila Songwe ndiko kuna kazi ya kweli....Chadema wamepoteza sanaaaa....Once a Legendary ktk Medani wanapaswa wajue Sugu ni compromised fellow.
CCM iringa itapita majimbo yoteee....Mbeya piaaaa....
SUGU IS THE BEST
Sugu hongera Sana. Umetulia kwenye maswali.
duh nimependa mudahalo huu
33:48 ni vile lazima kuwe na kiongozi.
Kwa mtazamo wangu , msigwa Hana hoja na ajajibu maswali aliyoulizwa na maswali yalikuwa yakawaida sana haitaji ata kufikiria mara mbili kwa mtu mwenye uzoefu hajaonyesha ukomavu ni ubabaishaji na maneno ya ngonjera na bwana fisi.
Sugu ametulia na ana reason kwa anachokijibu .
Msigwa anakurupuka ni aibu kwa mtu mwenye experience kujibu kwa kukurupuka au kutokuwa na critical thinking katika kujibu maswali kwa usahihi .
Naona sugu ana asilimia kubwa ya kuchukua nafasi hii na anastahili kupatiwa hiyo nafasi kuonyesha uwezo wake wakuleta mabadiriko katika Kanda ya nyanza .
Chilwa songea town nisawa hanaf 33:48 aa poent kafanya nn? Tumpe sugu tuone karamazake. Viongozi wachini wanatengwa sana ndikowanakotenngenezwa wanachama!
Sigu anafaa, hana mbwembwe na mambo mengi
Kama ni kuchagua kiongozi wa watu wote basi ni ..... Lakini kama kiongozi wa hooligans ni......
Wana mihemko, kupewa nchi hawa hapana. Hawatakuwa na tofauti yoyote na CCM
Kuna siasa bila mihemko? Kwa hiyo unaridhika na mihemko ya CCM kwa miaka 63? Au una chama kingine? Tujulishe.
Hata mimi naona ni vyema alivyokataa kuenda, muda huu angekua akhera tu, japo na magu naye yupo huko huko, na mimi nitaenda huko huko, ila kuna kutangulia, ama kutangulizwa.
Kulala nyumbani sio tija,kula Wali na migebuka sio case, tunahitaji awe specific, maendeleo gani? Ana generelise sana.
Msigwa
Mchungaji yupo vizuri! Sugu ego yake inampelekea kupeleka personal attack tu Kwa mwenzake 😅
Sugu
Pita.msg.ametulia
Anafaa
NIMEPENDA SANA LIVE PARTICIPATIVE
msigwA is the brain hide political cicret vary lptantAnt this is what msigwA do into midia
Mbilinyi even late julias kambarege Nyerere during his life time in politics he was asking help to odinary people why you can be a leader but you don't hame money into opposition we need sacrifice both sides leader and odinary people together we building one thing
sugu
Chilwa naipenda chadema mkongwe anajikanyaga kisukali kingi.
Msigwa!! Ana maono
😅😅😅😅 Maono yao? Maana hajasema hata moja
Sugu.alijibu. vizuri.a,namalengo.ewena.moyo.wajitoa
Coment za mapez ya chama wote bàdo
sugu nampa kura yangu
Hongera sungu
Suguuuu
Chilwa toka songea nampa sugu.
Dada anauliza ama anafoka???😅😅mbona mkali sana
Msigwa ni public speaker mzuri laki kama anaamini chadema ni kubwa kuliko MTU ni muda muafaka akae pembeni miaka kumi ni mingi aache vipawa vingine vitoe mchango
Wewe.dada.unaye.sema.nakupenda.unase.ma.kweli.uwezo.mkubwa.akili.ysko.juu
Siungi mkono kwa wakati ule Msigwa kwenda Ikulu hapo Sugu umeongea kisanii
Unasema.kweli.sugu
Hutauza.chama.kama.unauchungu.msingombeni.leteni.watu.wikomboe.tanganyika.mengine.acheni.malombano.chedema.juu
Sugu anaweza
Msigwa anajibu sawa sawa
Sugu boss
Msigwa anafaa,SEMA tu kumuelewa waga panatakiwa ufkri sana
Ni MSIGWA.
Hakuna kuchukua Dora makonda anaijenga nchi
Chadema ni chama kinachoeendesha chama chama chake kwa uwazi sana kuliko fisiem
Msigwakonk yanyasa
Mzigwa Anastahili kurudishwa
Sugu yuko sawa sana
Hapo kwenye koti la wachungaji hapo😂😂😂
Sugu ameongea vizuri. Naona mchungaji ana jaziba.
Msigwa anajibu hoja/maswari
Huyu Mhe, msigwa anakosea sana analinganisha binadamu na wine? 😂😂
Sugu ni sugu mtoto wa mjini huwezi kumshinda kwa hoja lazima ukae
Kama hutaki rushwa ungeenda ikulu kufanya nini? Sugu acha hizo! Ukifika huko huwezi kukataa kupokea kitita!
Mbilinyi
Kwa ufupi msingwa
😅😅 nawapata vzur Sanaa
Msigwa anajua anachokifanya.
Mdahalo Umekuwa Mzuri ila Moderator mwisho alishindwa kuongoza mjadala
Wote
Ulibari.sugu..
Kabla ya yote nipongeze ATCL
Tangulini msanii awemwanasiasa. ?? Munachanganya mandazi maharage.
Tatizo sugu amefungwa mdomo sanaa haswa kwenye huu uongozi wa mama na hii ni baada ya kufanyiwa tamasha kubwa kule mbeya na mama akiwa mgeni rasmi sijawahi sikia sugu akihoji au kuchallange chchte kile kinachoendelea kwenye uongozi huu wa mama mimi kula yangu nampa msingwa
Huyu.ewe.mpanishi.dada.anayesema.maswali.wote.wako
Sawa. Kufanya.kazi. pamoja
Wote ninyi ni majemb
VIONGOZI WENU AIBU WANAGOMBEA UGALI
Walinshidwa Nini Kusema 2020 Ilikiwa Ni Uporaji... Huyu Moderator Anajifanya Kama Majimbo yaKanda ya Kusini yalideal na Uchaguzi huru na haki 2020.
😂😂😂😂
Vyote vichwa
A RIGGED MDAHALO! ... AM I MISTAKEN?
😂msigwa is more experienced
MsigwA
Hapa Sugu atafaa sana so ni mtu wa kufosi pale pasipo na njia,,, Sguuuu👍👍👍
Msigwa anafaa kuwa kiongozi. Nitashangaa wapiga kura wasipomchagua msigwa