MSIGWA TENA BUNGENI, AWASHUKIA WANAOISIFIA SERIKALI, JENISTA AMBANA
Вставка
- Опубліковано 20 чер 2018
- Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa akizungumza bungeni alipokuwa akichangia mjadala wa kupitisha Bajeti Mkuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2018/2019, jijini Dodoma jana.
When I grow up, I want to be Msigwa
Had leo? Unataka kuwa msigwa badoooo?
Ulimwingiza Chaka is the verse 🤣🤣🤣
Tnx so much msigwa you are master
A great legislator
Msigwa alikua mbunge mziki sanaa
Sio taalifa ni taarifa
Lilikuwa binge kweli isee so wow
Uko sawa msingwa
Sasa huyu mama alitaka #msigwa amchafue rais mbele ya wapiga kura lazm aheshim katiba yetu lkn hapo bungeni ndo sehem husika pakusemea serikali inakosea #chadema mko vzr sanaaa
Safi sana msigwa
Ajibu hayo maswali kwamba anaamini kwenye mrengo upi wa uchumi na alimdanganya nan kati ya KIKWETE na MAGUFULI.
awezi kujibu uyo ✌
Duh Kila neno ni point
✌️👍👊.
Yan CCM kwa kupiga makofi wananiudhi sana
Stupid huyu mama ati taalifa