CHADEMA Iringa Watoa Tamko na Msimamo Sakata la Msigwa Kuhamia CCM "Aache Kuitaja CHADEMA"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 лип 2024
  • Viongozi CHADEMA Iringa Mjini wakiongozwa na Mwenyekiti wao Frank Nyalusi Wametoa Tamkon lao huku wakielezea msimamo wao juu ya Sakata la Mchungaji Peter Msigwa kuachana na Chama hicho na kuamua kujiunga na CCM.
    "yeye ameachana na CHADEMA, aache kuitaja" -Amesema Frank Nyalusi.
    Subscribe (Focus Digito TV) ili usipitwe na Video mpya zinazotoka kila siku.
    Focus Digito TV inakupa Maudhui Mazuri yanayohusu Habari, Elimu, Mitindo ya maisha, Michezo na Burudani.
    Focus Digito TV is here to provide you with contents about News, Education, Lifestyles, Sports and Entertainments.
    #FocusDigitoTV
    ..................
    Tufuatilie Zaidi kupitia:
    INSTAGRAM, TIKTOK, FACEBOOK, TWITTER (X), THREADS NA GOOGLE WEBSITE YETU YA FOCUS DIGITO TV
    Focus Digito TV is one of the best info-edu-tainment Online Media conveying contents for the Public Interest.
    Asante kwa kuchagua kutufuatilia | Thanks for Subscribing
    We Love You | Tunakupenda
    Regards
    Team FocusDigitoTV
    MCHUNGAJI MSIGWA AFUNGUKA BAADA YA KUJIUNGA NA CCM, ATAJA SABABU ZILIZOMFANYA AONDOKE CHADEMA
    MSIGWA AMLIPUA VIBAYA MBOWE BAADA ya KUHAMIA CCM - AFICHUA MADUDU ya CHADEMA - ''HATUNA
    MSIGWA AFUNGUKA SABABU YAKUITOSA CHADEMA KUHAMIA CCM "MIMI NI MTU MZIMA
    DR.SLAA ANAONGEA SAKATA LA MSIGWA KUHAMIA CCM ZAKARIA OBAD WA CHADEMA KUFICHUA MAZITO
    CHADEMA waionya CCM baada ya kumpokea Mchungaji Peter Msigwa.

КОМЕНТАРІ • 91

  • @josephatmhamiji4886
    @josephatmhamiji4886 9 днів тому +11

    Chadema nichuo kikuu mungu ibariki Chadema naviongozi ote wachadema ote

  • @eliaskhamis1546
    @eliaskhamis1546 10 днів тому +12

    Umenena vyema sana Mwenyekiti NYALUSI

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 7 днів тому

      hakuna mwanachama makini anayeweza kuama chama kumfuata mtu. Msigwa kamfuata mama kesho mama hayuko atarudi chadema!!??

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn 9 днів тому +6

    Safi Sana kamanda

  • @andrewassey5108
    @andrewassey5108 10 днів тому +9

    Msigwa ni msaliti aishie mbaliiiiii

  • @richardmakweta8875
    @richardmakweta8875 9 днів тому +3

    Mungu awabariki Sana Wana lringa mjini kupigania haki kunahitaji moyo imara Sana ,Nchi hii inahitaji ukombozi wakina ,Mungu awatetee watu wake

  • @kagombaEnok
    @kagombaEnok 10 днів тому +7

    Safi sana Nyalusi tena wewe ndo unafaa kuwa mbunge wa jimbo hilo la Iringa mjini baada ya huyo mroho wa madaraka kukisaliti chama

  • @isackphilipo9870
    @isackphilipo9870 10 днів тому +5

    Ubarikiwe sana Mwenyekiti

  • @user-bx3ko9ft5t
    @user-bx3ko9ft5t 10 днів тому +7

    Mmeni furahisha sana hongereni

  • @alphoncejmrema7912
    @alphoncejmrema7912 10 днів тому +6

    Asante kiongoz

  • @edsonkahesi8603
    @edsonkahesi8603 9 днів тому +3

    Kamwene Iringa, nashukuru kuona bado mko imara sana, nawasilimu kutokea Bukoba.

  • @tumainikibona5252
    @tumainikibona5252 9 днів тому +3

    Nyalusi uko imara sana hongera

  • @AthumanDauda
    @AthumanDauda 6 днів тому +2

    Point kubwa

  • @ofreyking5975
    @ofreyking5975 10 днів тому +8

    Safi sana msigwa mroho wa madaraka aende zake alishindwa had uchungaji

  • @efatauroki867
    @efatauroki867 10 днів тому +6

    Muhongeaji yuko vizuri inaonekana uyu jamaa akawa no1 tz kwa kutetea wanyonge ila hajapata chaneli tu

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 10 днів тому +4

    Wana Iringa hakikisheni Msigwa ajione kuwa CHADEMA haikuwa yeye. Ni msaliti ameshikwa matiti tu kalegea, akavulie gauni lake huko alikoenda.

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq 10 днів тому +3

    Unaweza ukaanza vizuri ukamaliza vibaya Kwa haya mateso ccm wanayotutesa na musigwa anaenda kuwafunga mkono huu uchungajiwake umevamiwa na shetani asipofunga na kuomba majibu mutayaona

  • @VedastoKiungo
    @VedastoKiungo 9 днів тому +3

    Nimekuelewa mzee

  • @leodgardotmar7198
    @leodgardotmar7198 10 днів тому +4

    Iringa msituangushe, vanya lukolo

  • @leoncebenjamin8107
    @leoncebenjamin8107 9 днів тому +2

    Safi kabisaa

  • @isackphilipo9870
    @isackphilipo9870 10 днів тому +2

    Safi sana Mwenyekiti

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 9 днів тому +2

    Wana Iringa Msigwa alikua chain ya viungo vingi,na mnyororo mmoja ukikatika chama kinaunga tena mwingine, kinaendelea...mbinu zozote za ccm za vitisho, hongo,utekaji,nk ili kuua vyama haitafanikiwa!

  • @onesmomasala-rg2wd
    @onesmomasala-rg2wd 2 дні тому

    Nimekuelewa kaka vizuri sana

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 8 днів тому

    njaaa hatrr sanaa

  • @jmastertz161
    @jmastertz161 9 днів тому +1

    aende tu yule kwanza mubifsi sana yule

  • @josephatmhamiji4886
    @josephatmhamiji4886 9 днів тому +2

    Msigwa siyo mungu

  • @abbiecox1
    @abbiecox1 7 днів тому +1

    MBONA CDM WANAITAJA CCM! MUACHENI MSIGWA ASEME NINYI ENDELEENI NA YENU

  • @salehmdemu5722
    @salehmdemu5722 7 днів тому

    Mchungaji msaliti ,,njaa kali

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg 8 днів тому +1

    Nyalusi pamoja na hayo maneno utashangaa kesho tunakusikia upo ccm

  • @kibemassao6478
    @kibemassao6478 10 днів тому +4

    Bro unajua kuongea...

  • @AnordKirizestom
    @AnordKirizestom 10 днів тому +9

    Nataka kadi ya chama naipataje? Nipo mkoa wa kagera wilaya muleba namba yangu ni 0657952339

    • @FrankMwakatundu-cu6bd
      @FrankMwakatundu-cu6bd 9 днів тому +1

      Hongera Sana Anord Kwa UZALENDO wako, wewe una Kili kubwa ndiyo maana umetambua kuw CHADEMA ndiyo chama cha siasa pekee IMARA nhini kuing'oa ccm na CCM inajua hivyo ndiyo sababu inazuia Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi paka SASA!!! Nina uhakika wahusika wakiona.namba ya simu yako watakuhudumia.

    • @FrankMwakatundu-cu6bd
      @FrankMwakatundu-cu6bd 9 днів тому +1

      Arnod nimesahau Jambo muhimu sana nalo ni usiache kujiandikisha Kwa ajili ya kupiga Kura kwa 2024 na 2025 Kura yako 1 Kwa CHADEMA no mtaji mkubwa Sana. Tuko pamoja. NAIPENDA NA KUIKUBALI SANA CHADEMA CHINI YA KAMANDA MH. MBOWE MWENYEKITI BORA WA SISA SAFI NCHINI!!!

    • @andersonnyahove2867
      @andersonnyahove2867 6 днів тому

      Anord unaishi wapi nikuelekeze namna ya kupata kadi mpya za chadema na CDME no mpya? Mm ni kati ya wanaosajili ila nlipenda ufanyie uliko ili iwe rahsi kupata kadi na kulipia hkohko

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 8 днів тому +1

    Kupitia msigwa imenifanya nisimwamini mtu Yan msigwa ww Ni kigeugeu umesha fungwa mdomo huko uliko kwenda

  • @cyprianboniphace-oz5lw
    @cyprianboniphace-oz5lw 9 днів тому +1

    Kiongozi aliyekuwa na mvuto kwa watu alikuwa Lowasa aliondoka CCM na watu Chadema ikapata wabunge 48 Msigwa kaondoka yeye na familia yake.

  • @JohnKuyumbe
    @JohnKuyumbe 9 днів тому +1

    Mnaojielewa bakieni kujenga demokrasia

  • @OswadSanga-hb2vi
    @OswadSanga-hb2vi 9 днів тому +1

    Ukweli ni kwamba msigwa kufeli uchaguzi unahama chama tumpuuze msigwa watanzania

  • @daudimaembe3360
    @daudimaembe3360 8 днів тому

    Safi kabisaaaa

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 9 днів тому +1

    msigwa maamuzi yake ni ya kibnafisi hats hakufikiria familia yake maana haitaaminiwa kwenye taasisi kubwa za nadani na nchi na nje ya nchi kwa mantiki ni damu ya kizazi kischo na msimamamo

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn 9 днів тому +1

    Amelamba Dora 300000 toka ccm msigwa huyo ili kusariti chadema

  • @tibbsminja2575
    @tibbsminja2575 10 днів тому

    Sana sana atakalolifanya siku anakuja kwa mkutano atakuwa amewanunua wanaCCM watakuja kujidai wanagama CDM kujiunga CCM kumbe niwalewale!!!

  • @MonayLai
    @MonayLai 9 днів тому +1

    yaani kwa changamkeni mpate mtu makini jimbo liko wazi hili ushindi wa bureeeeeeeeeeeee 😆😆

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 9 днів тому

    Kwa hayo yaliyofanyika awamu. Ya tano wew uliyafurahia kama mwanadamu lakini mungu hakufurahia ndo maana alimuondoa magufuli haraka sana

  • @Kalunirashidi
    @Kalunirashidi 8 днів тому

    .mnazirizi sakosi yenu

  • @alphoncejmrema7912
    @alphoncejmrema7912 10 днів тому +1

    Niwaambie kitu msimtaje taje tena

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si 9 днів тому

    Hao ni watu ambao wanaweza kukiuza

  • @jacksonchatanda9683
    @jacksonchatanda9683 9 днів тому

    kiongozi naona mafua yamekubana sana, au homa ya kuondoka msigwa😷😷😷😷😷

  • @GasparMfoi
    @GasparMfoi 11 годин тому

    Tunataka kadi za chama

  • @ndalahwakulwa4517
    @ndalahwakulwa4517 8 днів тому

    Petro ni ULANZI
    Ni mlevi😂

  • @eliasmakoye3939
    @eliasmakoye3939 8 днів тому

    CDM mazambi ni mengi

  • @marthaswai1185
    @marthaswai1185 9 днів тому

    Chadema ni jiko la viongozi.CCM tuwe makini.Wanaweza kuhamia wote kwetu ili kutusukuma nje kindakindaki

  • @AiserAli-mq6sz
    @AiserAli-mq6sz 10 днів тому

    Sura yako mtu njaa kali sana ww wanunulika haraka ww wacha sifa

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 9 днів тому +1

    kwanza sio mhehe ni mngoni mhehe ninavyo mjua mkwawa hakubali kuuza utu wake

  • @yahyahamisi2038
    @yahyahamisi2038 8 днів тому

    Ccmm wamemchoka jeska 🤣🤣 mchungaji changamkia fursa 🤣🤣 waweza teuliwa au kuwa nbunge 😢😢 CCCM oyeeed 🤣🤣🤣😆

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza482 9 днів тому

    Huyo si mchungaji tena, kakosa uvumilivu, njaa nayo imechangia

  • @petermogha7025
    @petermogha7025 9 днів тому

    Kutaja CCM nikuipenda

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 3 дні тому

    Ila tusizarau watu vilevike chana ni watu makini nccr mageuzi ilikufa baada ya kuondoka mrema ni sawa na chadema ni lisu mbowe hao ni ndio wenye kushikilia chadema mojawapo akiyumba tuu nadi chadema lazima iyumbe

  • @khatibabass3106
    @khatibabass3106 10 днів тому

    Mwenzako msigwa alisema nyumba itiwe moto akihama wewe unasema utakua wa mwisho

  • @emmanuelngabuji7583
    @emmanuelngabuji7583 3 дні тому

    😂😂

  • @augustinemainde
    @augustinemainde 4 дні тому

    😂😂😂😂😂

  • @user-rx8uf5ov5q
    @user-rx8uf5ov5q 10 днів тому

    Nawaunga mkono kaondoka na njaa zake

  • @dennisungonella205
    @dennisungonella205 9 днів тому

    Jengeni chama kama taasisi, acheni kuabudu watu

  • @user-qp7ym1lb8y
    @user-qp7ym1lb8y 6 днів тому

    Pointi

  • @yohanamsongole6489
    @yohanamsongole6489 9 днів тому

    Lakini naona wengine wamekunja sula

  • @MalamboSelijusi
    @MalamboSelijusi 9 днів тому

    Tafuta sera

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg 8 днів тому

    Ukweli hata hicho kikao hakingekuwepo mmekaa kwasababu ya msigwa kuondoka Nijuavyo mimi chadema iringa mkoa ilikuwa ni msigwa hata kwenye taifa msigwa chadema imepata pigo

  • @HabibuSalumu-iv5wl
    @HabibuSalumu-iv5wl 10 днів тому

    Hi I

  • @Aman-kp4wl
    @Aman-kp4wl 10 днів тому

    Wewe.ninyalisi?mbona tulikua tunakusikia alikubania msaliti

  • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
    @SmilingFlowerBouquet-hs2hv 9 днів тому

    MSIGWA ULISHINDWA KUYATAMBUA HAYA USIFANYE MAAMZ YEYOTE YALE UKIWA NA HASILA AU FULAHA ILIYO PITILIZA MAZALA YAKE UTAKUJA JUTIA

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 8 днів тому

    Chadema ni meli mbovu wala rushwa ninyi kwa mujibu wa mwenyekiti wenu! Chadema cyo chama chako msigwa atakitaja tu kwa unafiki mlionao

  • @josephatmhamiji4886
    @josephatmhamiji4886 9 днів тому +1

    Kiongozi mwenye hofu na mungu ataheshim maandiko matakatifu

  • @samwelkavwanga4491
    @samwelkavwanga4491 9 днів тому

    Video mbovu inakata

  • @user-vl4rz6lf6d
    @user-vl4rz6lf6d 9 днів тому

    Inaonyesha mmeumia sana Kuhama kwa msigwa nyie bakini na sakosi yenu Mwenzanu kaona mbali

    • @barakalameck7342
      @barakalameck7342 9 днів тому +2

      Kwanini hakuona mbali mda wote mpaka aje aondoke wakati wakushindwa uchaguzi..huyo nimroho wamadaraka.

  • @NDEWARA
    @NDEWARA 10 днів тому

    CHADOMOOOO😂😂

  • @pancrasluoga4584
    @pancrasluoga4584 10 днів тому

    Mbona maneno yanajirudia

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm 9 днів тому

      Acha nongwa. Hulazimishwi kusikiliza umejileta mwenyewe.

  • @AiserAli-mq6sz
    @AiserAli-mq6sz 10 днів тому

    Ww unaushahidi kuwa ccm inateka watu ww una jua mengi ulezee viombo vya usalama zaidi ingikuwa wakati awamu ya 5 saa hii umesahaulika hauko tena raia uko polisi waeleza vizuri

  • @AiserAli-mq6sz
    @AiserAli-mq6sz 10 днів тому

    Chadema sio chama demokrasia ni cha mbowe ww humtaki msigwa kiti cha iringa mjini cha msigwa wacha tisha toto hiyo ww ata mavi ya msigwa huyawezi paka ww

  • @vascomwalongo451
    @vascomwalongo451 9 днів тому

    Nop.
    Hakuna Upinzani Tz.

  • @MonayLai
    @MonayLai 9 днів тому +2

    nawaunga mkono yaani kama ndio wamewaza kumsimamisha heri wamwache tu yule mama wa watu sijui mtambakavangu Iringa tunawajua hamyumbishwagi atapigwa asubuhi kura za chap chap

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq 10 днів тому +1

    Unaweza ukaanza vizuri ukamaliza vibaya Kwa haya mateso ccm wanayotutesa na musigwa anaenda kuwafunga mkono huu uchungajiwake umevamiwa na shetani asipofunga na kuomba majibu mutayaona

    • @sophiemsuya6507
      @sophiemsuya6507 9 днів тому +1

      Tumempa pole Mchg Msigwa. Angeondoka mapema au angesubiri hata ipite miezi 6 ndipo aondoke, ila kwa Sasa inamaanisha alitaka kujimilikisha uenyekiti wa kanda ndo kakosa, ameamua kutimiza ndoto zake za kutangatanga.