Umetufumbua macho baadhi yetu hatukuwa tunajua habari hii hata nyumbani kwa baba wa taifa !!!!!. Kazi nzuri kwa kutoa tahadhali kwa watawala na wa-Tanzania kwa ujumla.
waTanganyika tumeshageuka kuwa misoga kabla hatujafa tuamke jamani mzanzibar ametuzidi akili. waTanganyika wote walioko serekalini ni SAWA namisukule ya Samia ambia
Ngulumo uchambuzi wako ni mzito sana lakini natilia shaka wahusika ( serikali ) huwa wanaufatilia kweli!!? Wachina wamezagaa kila kona ya tz.na wanafanya kazi tunazotakiwa kufanya wazawa tu .wana tumia mwanvuri wa UWEKEZAJI. !! Hata kubet😢
@@AnsbertNgurumovery psychological reply, get blessed...tusiposikia Leo, tukinyamazishwa kusema Leo, ipo siku mawe yatasema, and this will happen soon. "FREEDOM IS COMING TOMORROW"
Mbona huyu mzanzibari anataka kutuuza jumla jamani . Wazee wa nchi hii hamuongei . Mungu ingilia kati nchi yetu inaangamia. .Mbona huyu mama amekuja kasi hivi na kuuza kila kipande cha Tanganyika ? Na kwa nini ni waarabu na wachina ? Uuuuuwiiii
Fanya utafiti kidogo kabla ya kuleta hoja hii nzito. Unakumbuka mashamba ya vjj vya ujamaa? Haya yalikuwa yanamilikiwa na vjj vya ujamaa. Mwl alipostaafu, alienda kjjn kuomba AAZIMWE hayo mashamba alime, siyo mali yake, n mali ya wanakjj cha Butiama wote... Fanya utafiti kidogo
Yule Steven nyerere mchekeshaji yuko wapi ,,ccm wanaipeleka nchi pabaya ,,,ukoloni tunaurejesha upya ,,TUTAJUTIA BAADAE ,,JAMANI KATIBA BORA TUTAPATA VIONGOZI BORA ,,CCM NCHI MUNAIFILISI KWA UJINGA WENU
Wangewekeza ikulu ningefurahi sana ili tuwe jimbo la China ijulikane. Umesahau kuwa wanaouza ardhi ya baba wa taifa wao si baba yao wa taifa kwa sababu wanatoka kwenye taifa jingine.
@@ezekielkiduge8730 pole sana , tatizo lenu bado lipo pale pale Africa na Tanzania hakuna wana siasa. . Huyu janaa anae mchambuzi ni kenge tuu. . Hawa ndio wanakati magu anazuiya makinikia walikiwa pamoja na kina lisu wakisema. Mikataba isivunjwe, tusiwakere wazungu , leo anAlia madini wanaondoka bure , wanasisa na wachambuzi kenge , kina zitto, mbowe, lisu , samia , kikwete , lema , mzee wa ubwabwa , ni kenge tuu🤣🤣🤣 wa jalalani
@@monicamwita7865 kenge wa jalalani ni wengi wanajifanya. Wanajua democracy , wakati hiyo ulaya wanao tuleteA hiyo democracy wameanza kutumia huu mfumo miaka 350 iliyopita tuu , huko nyuma mataifa yao yalitawaliwa na yalijengwa na wafalme , leo wanatudanganya kwa huwezi kupata maendeleo bila kuwa na democracy na hawa kenge wanaaamini . Democracy anatudidimiza waafrika wanasiaaa wetu wamo kwenye mifuko ya wazungu na wearabu na wachina .
Nilipata shida sana fimbo ya mwalimu nyerere ilipokabidhiwa kwa mtu fulani kama zawadi, kitu ambacho mtanzania yeyote angalipenda akione kwenye mahali pa makumbusho ya kitaifa.
Hivi si ulisema kwamba Magufuli dikteta? Pumzika kwa amani JPM wewe pamoja na propaganda za waliokuponda tunawaona waliosema nchi ipo mikono salama yupo samia sasa mama wacha tulie wote
Alikuwa dikteta wa ukweli. Aliturudisha nyuma kidemokrasia kiasi mpaka leo wtz wanaogopa kuiuliza serikali yao mambo ya msingi kabisa. Angalia wenzetu Kenya sasa wanahoji kodi, deni la taifa, wizi wa kura, ubadhirifu nk. Hapa kwetu mpaka kiongozi upnzani aongee wengine kimyaaa. Bangladeshh!!!
Nchi hii imeanza kuwa ya wachache. Muwekezaji kama Mo anaruhusiwa kuwa na maeneo makubwa mno ya nchi na huku maskini mko kwe ka kona mbanane huko. Na serikali inaona ni sawa tu. Zamani kulikuwa na muongozo wa watu wenye uwezo kununua maeneo ama la tutajikuta nchi ina milikuwa na wachahe.
Hii serikali ya ajabu kweli ,kuna siku tutwaomba wa arabu na wachina kuja kutusaidia kkuzaa na wake zetu.Hii tabia kutotaka kufanya kazi imetoka wapi ? Watoto wa mwalimu kwisha tuombe Mungu Mama Maria aendelee kuwepo!! Hawa ambao hata picha ya baba yao hawaifahamu ??
@@mrdaslam301 Ushoga ni ukengeufu wa mtu binafsi kitabia. Ni uhalifu kama mwingine. Katika uchambuzi huu nazungumzia mikataba ya kupora ardhi inayosainiwa na watawala.
@@AnsbertNgurumo nakuelewa vizuri sana lakini mimi naona hii channel yako ya sauti kuu imejikita kuongelea mambo ya kujenga taifa kwa ujumla na pia sijatoa maoni kuhusu video hii tuu nimeongelea channel ya sauti kuu kwa ujumla...katika tishio kubwa linalo ikumba taifa kwa sasa ni lgbtq so napata mashaka kuona channel kama hii haiongei na kukemea tumewaachia kina mwakyembe tuu..why?
@@AnsbertNgurumo 0k ngurumo nimekuelewa but sijalizika na jibu fupi..tafuta muda uandae video yenye mada hii uichimbue vizuri maana hili ndio pigo kali sana kwa taifa
Umetufumbua macho baadhi yetu hatukuwa tunajua habari hii hata nyumbani kwa baba wa taifa !!!!!. Kazi nzuri kwa kutoa tahadhali kwa watawala na wa-Tanzania kwa ujumla.
Bwawa la Kiarano nilianza kulitengeneza nikiwa JKT Rwamkoma.Tujifunze na tutafute namna ya kuwakaribisha wahamiaji
Alafu ooooh Baba anaupiga mwingi mhhh staki unafiki mimi simuelewi kbs hata kdg ameshashindwa angekaa pembeni tu
Madini,, yanachukuliwa vijana wanaharbika,na kamari kila kona tuna zahabu,lakni tunaitwa maskini mlima shengena,ni zahabu tupu,ila wananchi wake hoi
Kaka anaelea kufungua masikio ya watanzania lakini viongoziwetu hasikii wala kujifunza kwa yaliyopita
Nchi hii kwisha habari yake yaani watu wamegeuka mchwa wanatafuna bila huruma na hawatosheki hatari sana
Hahahahaha😂 ni kweri
Hata sisi tumesha uzwaga hatujaonaga hela zetu zimenda wapi
Usikute famiilia ndio imeuza. Maana familia ya mwalimu hawanaga kitu malofa tu. Baba yao hakuiba ujanani.
Hatari na nusu.
waTanganyika tumeshageuka kuwa misoga kabla hatujafa tuamke jamani mzanzibar ametuzidi akili. waTanganyika wote walioko serekalini ni SAWA namisukule ya Samia ambia
Ndugu zetu wachina.
Ngurumo hii nchi imeoza usiumize kichwa
Ccm ni sikio la kufa muda utaam
CCM NI SIKIO LA KUFA MUDA UTAAMUA
Hatakusikia kaka
Natamani kutukana lkn umri na wanangu wananisuta na nawaheshimu...
Raisi anasemaje
Ngulumo uchambuzi wako ni mzito sana lakini natilia shaka wahusika ( serikali ) huwa wanaufatilia kweli!!? Wachina wamezagaa kila kona ya tz.na wanafanya kazi tunazotakiwa kufanya wazawa tu .wana tumia mwanvuri wa UWEKEZAJI. !! Hata kubet😢
Natimiza wajibu wangu. Nasema. Naandika. Wasioosikia leo, watasikia kesho. Kama si wao, basi, wengine watasikia.
@@AnsbertNgurumovery psychological reply, get blessed...tusiposikia Leo, tukinyamazishwa kusema Leo, ipo siku mawe yatasema, and this will happen soon.
"FREEDOM IS COMING TOMORROW"
Mbona huyu mzanzibari anataka kutuuza jumla jamani . Wazee wa nchi hii hamuongei . Mungu ingilia kati nchi yetu inaangamia. .Mbona huyu mama amekuja kasi hivi na kuuza kila kipande cha Tanganyika ? Na kwa nini ni waarabu na wachina ? Uuuuuwiiii
👍👊✌️.
Huyu Baba wa Taifa alipata wapi Hilo Shamba
@@froma3732 KENYA
Duuh
Yaan mchina akifungua kampuni hapo hapo anaweka Gulu gulu hahahah
Fanya utafiti kidogo kabla ya kuleta hoja hii nzito. Unakumbuka mashamba ya vjj vya ujamaa? Haya yalikuwa yanamilikiwa na vjj vya ujamaa. Mwl alipostaafu, alienda kjjn kuomba AAZIMWE hayo mashamba alime, siyo mali yake, n mali ya wanakjj cha Butiama wote... Fanya utafiti kidogo
Kwani eneo hilo linauzwa na MAMA MARIA au Watoto wake?
Brother nisikufiche nimefurahi ! Iyo familia wamekuwa wanafiki hacha nao waguzwe.
😂😂😂
Yule Steven nyerere mchekeshaji yuko wapi ,,ccm wanaipeleka nchi pabaya ,,,ukoloni tunaurejesha upya ,,TUTAJUTIA BAADAE ,,JAMANI KATIBA BORA TUTAPATA VIONGOZI BORA ,,CCM NCHI MUNAIFILISI KWA UJINGA WENU
😮😮😮😮
Tanzania yangu..... Mama Samia .., kwa hili hapana....fikiria tena....acha.lina madhara
Wangewekeza ikulu ningefurahi sana ili tuwe jimbo la China ijulikane. Umesahau kuwa wanaouza ardhi ya baba wa taifa wao si baba yao wa taifa kwa sababu wanatoka kwenye taifa jingine.
Tatizo viongozi wengi hawana maadili kabisa
Vuneni mlicho kipanda, Magufuli alipokuwa anapinga uwekezani kama huu nyote mlimpiga vita , mkajifanya mnajua democracy sasa mnalalama nini ?
Tutaendele kulalamika. Angekuwepo magufuli yasingetokea. Hap ni ccm siyo chadema
Wewe ni chawa kama chawa wengine
@@ezekielkiduge8730 pole sana , tatizo lenu bado lipo pale pale Africa na Tanzania hakuna wana siasa. . Huyu janaa anae mchambuzi ni kenge tuu. . Hawa ndio wanakati magu anazuiya makinikia walikiwa pamoja na kina lisu wakisema. Mikataba isivunjwe, tusiwakere wazungu , leo anAlia madini wanaondoka bure , wanasisa na wachambuzi kenge , kina zitto, mbowe, lisu , samia , kikwete , lema , mzee wa ubwabwa , ni kenge tuu🤣🤣🤣 wa jalalani
@@monicamwita7865 kenge wa jalalani ni wengi wanajifanya. Wanajua democracy , wakati hiyo ulaya wanao tuleteA hiyo democracy wameanza kutumia huu mfumo miaka 350 iliyopita tuu , huko nyuma mataifa yao yalitawaliwa na yalijengwa na wafalme , leo wanatudanganya kwa huwezi kupata maendeleo bila kuwa na democracy na hawa kenge wanaaamini . Democracy anatudidimiza waafrika wanasiaaa wetu wamo kwenye mifuko ya wazungu na wearabu na wachina .
Hatukubisha alikimbia na mapanki Yan makinikia uku mikataba ya madini haikuguswa
Nilipata shida sana fimbo ya mwalimu nyerere ilipokabidhiwa kwa mtu fulani kama zawadi, kitu ambacho mtanzania yeyote angalipenda akione kwenye mahali pa makumbusho ya kitaifa.
Fimbo halisi ipo makumbusho zinazogawiwa ni mfano wa ile halisi kaka
@@HalimaKyasi Asante sana nimefurahi kwa taàrifa
Bado tunaenfelea kutafuta maokoto ya mgao wa mkataba wa muungano, mpaka tutakapo fidia.
WaTanzania hawataki kufanya kazi wategemea mafanikio ya miuuzija ya Mwaposa 😢😂😢
Hivi si ulisema kwamba Magufuli dikteta? Pumzika kwa amani JPM wewe pamoja na propaganda za waliokuponda tunawaona waliosema nchi ipo mikono salama yupo samia sasa mama wacha tulie wote
Alikuwa dikteta wa ukweli. Aliturudisha nyuma kidemokrasia kiasi mpaka leo wtz wanaogopa kuiuliza serikali yao mambo ya msingi kabisa. Angalia wenzetu Kenya sasa wanahoji kodi, deni la taifa, wizi wa kura, ubadhirifu nk. Hapa kwetu mpaka kiongozi upnzani aongee wengine kimyaaa. Bangladeshh!!!
Kwani Samia kufanya vibaya kunaondoa udikteta wa mtangulizi wake? Kwani ni uongo hakuwa dikteta?
Uganda walishitukiwa na hizo mashine za kubeti baada ya kutoweka fedha ndogo. Wakakutwa wamezikusanya wao .Nchi imeuzwa tupo kimya
Nchi hii imeanza kuwa ya wachache. Muwekezaji kama Mo anaruhusiwa kuwa na maeneo makubwa mno ya nchi na huku maskini mko kwe ka kona mbanane huko. Na serikali inaona ni sawa tu. Zamani kulikuwa na muongozo wa watu wenye uwezo kununua maeneo ama la tutajikuta nchi ina milikuwa na wachahe.
Acha upotoshaji Mzee hautakusaidia chochote
Mpumbavu wewe
Tulia sindano iingie
Hii serikali ya ajabu kweli ,kuna siku tutwaomba wa arabu na wachina kuja kutusaidia kkuzaa na wake zetu.Hii tabia kutotaka kufanya kazi imetoka wapi ? Watoto wa mwalimu kwisha tuombe Mungu Mama Maria aendelee kuwepo!! Hawa ambao hata picha ya baba yao hawaifahamu ??
Chadema wamesikia
TANZANIA tumefanywa wajinga kiasi gani???
Wewe unawaponda wachina sawa....lakini..kuna makampuni ya kimagharibi kama barrik,us aid.nk wanasambaza ushoga uwasemi??
@@mrdaslam301 Nazungumzia mashamba ya Mwalimu Nyerere. Umeelewa?
@@mrdaslam301 Ushoga ni ukengeufu wa mtu binafsi kitabia. Ni uhalifu kama mwingine. Katika uchambuzi huu nazungumzia mikataba ya kupora ardhi inayosainiwa na watawala.
@@AnsbertNgurumo nakuelewa vizuri sana lakini mimi naona hii channel yako ya sauti kuu imejikita kuongelea mambo ya kujenga taifa kwa ujumla na pia sijatoa maoni kuhusu video hii tuu nimeongelea channel ya sauti kuu kwa ujumla...katika tishio kubwa linalo ikumba taifa kwa sasa ni lgbtq so napata mashaka kuona channel kama hii haiongei na kukemea tumewaachia kina mwakyembe tuu..why?
Unawo ushahidi kuwa wanasamba ushoga?. Wsliwahi kukuomba nnya ?
@@AnsbertNgurumo 0k ngurumo nimekuelewa but sijalizika na jibu fupi..tafuta muda uandae video yenye mada hii uichimbue vizuri maana hili ndio pigo kali sana kwa taifa
Umeongea point sana lakini nimesikia ukisema vyombo vya habari vimenyamazishwa lakini nyinyi sio mnasema serikali hii kuna uhuru wa vyombo vya habari
Hakuna uhuru wa habari. Hakuna! Wanaosema upo wana maslahi na utumwa uliopo.
@@AnsbertNgurumofact
Sehem yoyote yenye Kambi ya jeshi, serikali inabidi kuliangalia sana
Ipo siku watanzania wataamka na hapatakalika mpaka kieleweke, wenzetu wakenya walishafanya yao
Watanzania hawawezi kuamka ni vigumu sana