UPENDO PENEZA AFUNGUKA/ RUSHWA YA NGONO/ HALIMA MDEE NA MBOWE/ NJAA IMEKUPELEKA CCM?
Вставка
- Опубліковано 27 тра 2024
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media
Huo ni mwisho wako wa kisiasa huna mvuto tena jitafakari
Mbona Upendo Peneza anakimbia maswali kwa kutoa majibu yasiyo sahihi
Uchaguzi unakaribia unatafuta fursa siku zote ulikuwa wapi?
Najua kuwa ni haki yako ya kikatiba ila, ukweli fahamu tu kuwa, wapo vijana wengi walikuwa wanakutazama wewe na kujifunza mengi. Tunatamani ungepambana na rushwa hukohuko CHADEMA. Kuhama kipindi hiki ambacho shutuma kama hizo ziko kila upande inatoa nafasi kwa baadhi kukufikiria vibaya pia. Lakini mwisho wa yote, kila la heri huko, usisahau kupigania haki uliyokua unapigania ulikokua.
Yuda vipande 30 utavitapika
Anatoa hoja bila ushahidi mf:athibitishe palipofanyika rushwa.Mwandishi mpigie Mbowe simu athibitishe kama aliwahi kupewa ushauri .
We dada unatafuta vyeo kijinga kwanini hukusema ukiwa huko. Nashangaa unaitwa mwanasiasa sijui kwa kigezo kipi. Hii ndio tz
Imekugusa sn ndugu
@@KassimAlly-xp4dz Uvumilivu umemshinda
Peneza uwezo wake wa kujibu hoja ni mdogo sana, hawezi kujenga hoja wala kuchanganua hoja
Duhuuuuu!! Ila sisa bhan yaani uyu dada upendo nlikuwa namkubali ss ndo anakwenda kupotea kabisa na ukimskiliza anavyo jibu ni hopless hana majibu sahihi njaa mbayasan
Halafu huyu dada kajichubua kishenzi. Maskini ana tatizo la kutokujiamini.
Makosa sana kuwa na mtu wa aina hii chamani
Usimwamini mwanamke hata sikumoja huyu wa ngapi
Tamaa tu, huko ccm ndio kumeoza na hutoongea chochote wenzio wamepotelea kabisa huko.
Mchanga kisiasa hiyu wala cdm kisihangaike kujibu
Mi nilifikiri Delilah alikua yule m'moja tu mke wa Samsoni kipindi kile.... kumbe hata leo yupo mwengine tz
Tulizoea kuona wasariti wanaume kumbe hata wanawake wapo??? Subiri uteuliweeee!!!
alisema CCM wameniibia kura mwaka 2020, CCM ni mafisadi na wala rushwa sasa nimeamua kujiunga na wezi wa kura, mafisadi na wala rushwa naombeni cdm mjirekebishe msaliti mkubwa anazunguka mbuyu baada ya kukosa ubunge mwaka 2020 na njaa imeanza ingia kichwani sasa hata kufikiri ni shida kutokea tumboni. serikali ya CCM lini imejisafisha na uwizi na ufisadi wa mali za umma umesoma kweli ripoti za CAG?? Nenda uko ukajaze tumbo lako msaliti mkubwa wewe..
Kuhama chadema ni usaliti na kuhama CCM ni ushujaa!!! Hayo ni maneno ya wanachadema waliofilisika kifikra na kisiasa!
Tena wasaliti wa kike niwabaya kuliko shetani, mke wa Ayubu ana mwambia Ayubu mkufuru Mungu ili ufe unafikiri alimuinea huruma kwa mateso ya mumewe, kumbe kuliwa na mpango afe Ayubu ili aolewe na wale wasaliti wa Ayubu, au marafiki wa Ayubu, Huyo niwaku muangalia nje ya box,
Kwa bahati mbaya na masikitiko Chadema haina pesa za kuhonga. Wasaka Tonge kama huyu watajitokeza wengi.
Hahahaha,,, kwahiyo unadhani Mbowe ni masikini?
Mwongo huyo utafikiri siyo ke
Mzigo tu huo
Huyo Hana jipya ni kirusi kama wengine waliotoka chadema na kwenda ccm Hana la tofauti ni mchumia tumbo
Yaani ww unapenda mtu aseme mazuri tu kwa chadema ila akisema mazr ya ccm hutaki kusikia. Ila upo sawa maana huwezi kuwa kuunga asiye kuwa wa upande wake.
Umejiuza kirahisi mno dadangu.
Mmmm tamaaaa tu
Pendo, ni kweli ccm imekuwa takatifu mbele yako kwa maovu yake yote wizi, dhuluma, kuteka na kuua w/nchi wake, rushwa, kutowajibika kwa ye yote(ripoti ya CAG) maisha magumu kwa w/nchi, kuuza mali ya umma, kuikanyaga katiba nk. Umeshindwa kuchukia haya, unahangaika kuinanga CDM ambayo haina baya kwa umma. Wewe unaiwekea uovu hafifu wa kutunga ili kuhalalisha njaa zako za kutafuta uteuzi.
Kushutumiana viongozi sio malaika, ni njia ya kukemea rushwa wazi wazi inayotoka nje ya CDM. Pesa ya rushwa siku zote inatoka ccm. Ccm ni mtoaji mzuri wa rushwa, hilo huwezi kulikemea, ila unahangaika na Cdm wanaokemea hadharani, wewe unaita kushutumiana.
Ninyi waganga njaa, kuweni kama Lowassa hakutunga wala kunanga Cdm.
Pendo, epuka interviews hizi zinakuvua nguo bila kujijua kwa hoja hafifu mno mpaka hujibu maswali, ila unabaki kujikanyagakanyaga tu. Bora ukae kimya ule vinono ulivyoendea huko ccm.
Unayoyakosoa chadema yote yapo ccm.so kuhamia kwako ccm hakuna logic
Can we call this political prostitution?
Kabisa, ni malayamalaya bila kumung’unya.
Pumbavu malaya wew
Mama ccm Kuna vijana wengi wametumikia chama kwa maisha Yao yote hao ndio uwape uteuzi sio Hawa wadangaji kwani wewe nani
Naomba MUNGU anipe Uhai mrefu ili niendelee kuyaona na kuyasikia ya Dunia,Maana Wengine tutafika Mbinguni tukiwa TUMECHOKA VIBAYA
Huyu dada inaonekana alikuwa na tamaa ya uongozi sana!. Kwa hiyo yeye alitaka CHADEMA kama taasisi wamsikilize yeye?!. Kwa hiyo CCM ndio watakusikiliza?. Bora ungenyamaza kwa sababu unajichanganya zaidi!. Ila ukiwa sebuleni unatakiwa ukae kwa nidhamu kwa sababu ukicheza vibaya hata chakula utanyimwa!!.
Hakuna chama cha siasa kilicho salama,
Huyu dada mhuni tu, Anaongelea rushwa lakini hana hoja yeyote kuthibitisha.
Huyu ni kiruka njia tu. Kaona hapati chochote kagilibiwa, kalegea ameamua tu kujivua mwenyewe arudhishe roho yake.
Hivi huyu dada Kaolewa? Kama ndiyo nashauri mwenza achukua nafasi ya counseling. Huyu kavurugwa.
Hujaelewa kulamba sukari mbowe alimaanisha nini!!
Hata CCM hawakuwa wanasema kuhusu majadiliano
Nimefurahi umehakikisha kuwa Chadema haikupeleka majina ya wabunge wa viti maalum. Moja baada ya kingine yatajulikana. Mungu yupo
Huyu mwanamke anaonekana msomi lakini pia ni mchumia tumbo
Kwani CCM hawatuhumiani kwa Rushwa?! Sema unataka cheo
nakuonea Huruma Rudi Chadema moyo wako nakuona unakuuma na unaelewa serikali aifanyi saw Kwa wananchi na unaenda hukohuko watumishi was imma halo ya mishahara haiendani na mabadiliko ya kiuchumi
Kama hakuna rushwa ngono. CCM hakuna basi hakuna wsnaume. Sehemu yoyote humo maofisini. Vyama vya siasa rushwa ya ngono haikwepeki
Damu ya mawazo itakuandama mpaka mwisho ni afadhali viongozi wa chadema wanasema rushwa ndani yachama kumbe Yuko sahihi huko kwenu CCM nani aliwahi kusema rushwa mnasema Kila Moja ale kwa kamba yake
Inasikitisha sana. Afrika haitawahi kupiga hatua kwa aina ya watu tunaowaita viongozi wetu. These are self-serving fugures ambao wameitesa Afrika. Wananchi tujitambue.
Mbona alisema chadema wanavunja katiba Sasa mbona anatetea kuvunjwa kwa katiba ya CCM. Nafikiri Kala rushwa huyo ni wakuogopa kama ukoma
Naombeni nafasi ya kumuhoji huyu my Sister
Natamani kama nitapata nafasi ya kumuoji
Huyo dada anatatizo la kiakili hivi ccm hakuna rushwa? Hata hiyo rushwa anayoisema ipo cdm hajathibitisha
Yeye na wewe nani mwenye matatizo kiakili? Wapumbavu kama wewe huwa ni mashoga huko mbele ya maisha
Aliyesema chadema kuna rushwa ni makamu mwenyekiti wa chadema akiwa Iringa kwenye mkutano wa hadhara!pia mwenyekiti kwenye mkutano wa hadhara wa kwanza alisema kuhusu watu kulamba asali
Chadema muwe makini na mamluki wanakuja kuwavuruga chama
"Naomba nimalizie"....Stanslaus Lambat mpe mwenzio "amalizie"😂😂😂
Huyu ni Lilith tu aliye msaliti Mungu aliye Muumba awe make was Adam ye akamuacha Adam na kwenda kuolewa na lisifel aliye muasi Muñgu
Wananch hatukutaki njaaaa inakusumbua umeona kupa ubunge kwa tket ya chadema ni kwa jasho unataka ccm kwa sababu ni mtelezo utagazwe kwa ulizi wa police
Huyu changu doa Hana jipya upendo peneza unazidi kujivua nguo
mtangazaji yuko sahihi km angekwenda upinzani lakini tatizo kubwa la Upendo kulalamikia rushwa ndani ya Cdm halafu unakimbilia kwy chama cha mapapa wa rushwa, yaani unakimbia mkojo unakanyaga mavi
Kwa hio my sister hukitoka na CCM,pia utataka watu wakufate huko huliko?.......
Lakini peneza kama hukikosa huongozi je, hutaendelea na CCM au hulicho fata huko ni huongozi?.....
Lakini peneza unataka kusema CCM hawaikosei katiba yao?.......
Na Je,ndani ya CCM hakuna mambo ya Rushwa?.......
Naona my sister nikama hunajiukumu your self
Kwa ni huko hulikokwenda wako sahii kuliko kila chamq kina shida zake mi naona peneza
Ni bora hukanyamaza husizungumze mengi sana maana hayo unayo yazungumza yanaweza kukuludia.
Maovu ya ccm unayafahamu.mnanunuliwa.kuahidiwa vyeo..ni hongo. Wanaye mwona ni best toka chadema ananunuliwa
Ningefurahi sana Upendo ungekuwa direct zaidi kwenye kujibu maswali. Unaongea mnooo katika maswali yasiyohitaji maneno mengi. Utakuwa mwanasiasa mzuri kama utapunguza maneno mengi na hapa kwenye kuwa na maneno mengi ndipo watu wanaona kuwa hauna hoja yaani unajaribu kuokoteza maneno bila kuwa na data. Unaulizwa kuhusu rushwa wewe badala ya kuja na uthibitisho unaanza kufanya reference kwa maneno ya watu wengine.
Huyu ana nongwa tu kwa wale Covid 19 kutomweka kundini na alikuwa anajiona ni mwanamke ambae ndani ya cdm alikuwa juu sana. Covid 19 walimtema akaona hana kitu tena. Je huyu angejumuishwa ndani na Mdee je angekataa icovid ??
Mimi ni muumini wa kuamini kuwa kwenye kila taasisi alimradi inaongozwa na watu basi lazima kuwe na changamoto. Inategemea tu wewe unaamini katika nini . Mimi ni ccm lakini mtu wa aina ya Upendo ni wa kuogopwa sana. Yeye hana anachokipigania zaidi ya maslahi yake. Ninachokiona anataka kujiaminisha kuwa ili upate nafasi ya uteuzi basi uwe mpika majungu kwa upande wa pili. Ni majungu kwasbb sijaona tangia ameanza kuhojiwa na vyombo mbalimbali akitoa hoja zenye ushahidi kuntu ili kuhalalisha malalamiko yake.mtu kama huyu kama hatoweza kupika majungu katika level ya chama basi atapika majungu between individuals ili yeye aonekane msafi. Tunahitaji kizazi jeuri chenye uwezo wa kuhoji na kukosoa kwa hoja na ushahidi lakini sio kama Upendo Peneza. Nawaheshimu sana wanasiasa marehemu Bernard Membe pamoja na Edward Lowasa. Pamoja na kuhama ccm lakini bado walikiheshimu chama na walikuwa makini sana katika kujibu maswali yenye viashiria vya uchonganishi, vivyo hivyo waliporejea ccm kutoka upinzani hukuwasikia wamesema maneno mengi zaidi tu ya kujibu "nimerejea nyumbani". Hivi ndivyo siasa zinavyokuwa.
Huyu dada ni Malaya tu Tena Kuma lake linawashwa ccm amefuata mboo tu hana jipya
>Duuuu...Madam Upendo Peneza..jibu refu sana lisilo mwisho kwa swali rahisi la kutoka CHADEMA kuhamia CCM!
>Spot on Mtangazaji..kiongozi/mwanasiasa kijana kaporomosha sana hadhi yake kwa kitendo cha kuhama! Mapungufu ndani ya CHADEMA kulinganisha na CCM yaweza kweli kuwa sababu kuhalalisha msukumo kutoka?
Kwa hiyo CCM ukikutana na changamoto ambazo haziendani nae atahamia kwa Mzee wa Ubwabwa?
Huyu wala si mwanasiasa. Muda si mrefu mtajionea.
Kweli, wengine hawana aibu. Mnarudisha nyuma harakati za kudai haki katika nchi yetu. Mnawavunja moyo wapiganaji halali.
Umepoteza mvuto Hadi afya inafifia pole sana
Hana sababu iliyonyonko iliyomfanya kuamia ccm. Pia anashindwa kujibu maswali anayoulizwa
Unachokitafuta ni nini?
akuna kisichokuwa na mapungufu tatizo ww umetoka kw pipa na kuamia dampo afazali unge amia jalalani
Wewe Kama uliondoka ya Nini kuendelea kubwabwaja?. Hizo Ni njaa na umalaya unakusumbua.
Dada jitadhmini sana unapotea vibaya mnomno nenda kwenye majukwaa leo ukawaeleze utawafanyia nini ndani ya CCM ambayo imekaa madarakani toka unazaliwa mpaka leo uwapatie maendeleo leo hiii
Yaani wewe pendeza hutaki cdm wanavyofanya mikutano ya kuelimisha wananchi juu ya maofu ya ccm basi wewe ni pandikizi lililokomaa sana ulikua unasubiri update nafasi kubwa ili uumize cdm vizuri Wacha biashara chafu ya siasa huko ulikokimbilia ndo umekufa kisiasa kabisa umebaki na mdomo na sauti mpaka aibu unaoneka usoni mwako
Mwanamke acha uongo mbona njaaa yako utalipa ktk hayo Machafu mnafiki mkubwa.
Usjzme data mchumia tumbo huna lolote
@Lambert umeniangusha kumto mchallenge suala la Biden kwani Biden aligombea ndani ya democratic na wenzake wengine hakuwa peke yake
Wasaliti walikuepo tangu enzi za yuda
Anajikanyaga hata maongezi yake njaa siyo kitu kizuri
Ww acha huongo tutaona utafika wap tunapigania halakati alafu nyinyi mnatushika miguu Kwa ajili ya matumbo yenu kuna chama kinacho ongoza Kwa lushwa kama ccm.pumbavu kabisa ww
Kwahiyo huko ccm Hamna rushwa mbona unaongea HOJA nyepesi
Huyu ni hatari sana
Acha uwongo mlafi ww chadema waache hata huko hawakupendi kisa umbea walikupa ubunge wa kupewa sema asante endelea kusema uwongo ok
Njaa mbaya sanaa
Wewe file lako tutalipata tu,,bure kabisa 😮😮
Wewe Paka tuu!! kama paka wengine nenda ukalale
hakuna kitu hapa, hayo mamikono ni mengi kama anavyoongea. Mpeni maji kwanza amalizie uongo wake
Au hunaenda kuwachunguza CCM, humetumwa kwenda kufanya investigation
" Hunaenda" "humetumwa" hicho ni Kiswahili gani? Na ikija kuandika hapa utaandika "apa" Huu ugonjwa gani unawasumbua nyie waTz wa siku hizi? Mmesomea shule za aina gani nyie?😢
Buree kabsa
Upendo.acha.maneno..mungu.kila.mahali
Hata sielewi hoja yake,anaulizwa hii anasema hii
Utahangaika sana pendo , uchakifanya ni ulaghai
Rambat nakukubali. Professional
Mzee hata jina ambalo lmeandikwa hapo unashindwa kuliandika tukueleweje. Huyu ni Lambat bro sio "Rambat" Tatizo nini jamani mbona hivi?
Kwa hio mnataka kutuaminisha hivi vyama vya siasa ni wauni tu?.......
Haibu sana pesaaaaaa inauwa
Sema njaaa ya tumbo inakusumbua
Jamani siasa ni maisha
Ana maneno mengi hata sielewi
Hii kichwa ikiliwa ni sawa tu hamna kitu
Duh hawa ndo wanadam hakna jipy chn yajua
Umepoteaza dira
😂😂😂😂😂 naona kama kinyani
Pole sana Peneza umepotea sana.
Wewe hujalamba sukari?
Unajibu swali unatoa maelezo?
Hawa sio viongozi jaaa tu hafanani na kiongozi
Mbona anafanana na wacharwanda?
Jina maana
Ww ni malaya tu
Manyumbu bana wamemshika dada wa watu wakati anatoa maoni yake na mtazamo wake akiwa mtanzania huru.
#Rushuwa
Hauezi kuilamu chadema haijawahi kua madarakani leo Unasifia fisi kula kuku analamu kuku kukukataa kuliwa
Mwandishi maswali yako hawezi kujibu hako Kama hamekwisha habari
Ccm uliko ndo kusafi hakuna rushwa? Unaakili kwel wewe? Unajisikiaje unapoongea utumbo maana akili hana na hujitambui kabisa hta mtoto wa chekechea anweza kudadavua mambo sio boya kma wwe
Kwa kifupi ni njaa inakusumbua.
Umeona ukihamia huko utahongwa cheo. Pole sana kwani umejidhalilisha sana. Hsts sauti yako inaonesha kuna kauongi.. you have no confidence.
By the way mimi si mwanachadema.
Kwa wanachadema hasa wasiojua siasa kujiunga chadema ni ushujaa na kujiondoa chadema ni njaa! Acheni hizo siasa za kihuni zinakiua chama chenu!!!Rudini kwenye msitari ili CCM ipate mpinzani anayetosha
Kichaaaaa