Acha kisasi na chuki weewe , wote ulio wa hukumu hatua Gani ilichukuliwa kuwahukumu ,kesi zote umeishindwa, huyo Gwajima unayomzungumzia kma kweli alikuwa mchafu Mbona ulimsamamisha kugombea ubunge wa Kawe,
Wewe mzee uliminya sana Uhuru wa watu kujieleza au kuonesha hisia zao. Hakika uliumiza sana wengi. Watu walikuunga mkono si kwa usahihi wako bali kwa kuhofia usalama wao
Apumzike kwa amani Raisi wa wa awamu ya tano ..j.p.mafufuli.
kwa kweli kwahili sikukuunga mkono maana ulituumiza wengi kwa ajili ya kijana wako makonda,hivi kesi iliishaje?
Kuhusu madawa ya kulevya....unasema hukumuunga mkono.mmmmmh.....!!!
Kiburi cha uzima
Hakika uhuru sio amani walio panga kuharibu kwa kimvuri cha uhuru uli wanyoosha kweli kweli Rip umeacha nuru
Acha kisasi na chuki weewe , wote ulio wa hukumu hatua Gani ilichukuliwa kuwahukumu ,kesi zote umeishindwa, huyo Gwajima unayomzungumzia kma kweli alikuwa mchafu Mbona ulimsamamisha kugombea ubunge wa Kawe,
Tutakukumbuka daima
Kweli itabaki kweli haki za watu hazipotei
Rais
maisha ni kitendawili
Wewe mzee uliminya sana Uhuru wa watu kujieleza au kuonesha hisia zao. Hakika uliumiza sana wengi. Watu walikuunga mkono si kwa usahihi wako bali kwa kuhofia usalama wao
Hakika
hakika ukipitia tena hii tweet unajuta kwanini uliandika
Upo sahihi alikuwa ha tolerate upuuzi.Sawa sawa.
Mpumbavu wewe!
Umeenda kuzimu na roho mbaya yako, Sasa hivi unakula Moto
Mungu akusamehe kwa huu porojo ulichotapika hapo....
😂😂😂😂😂😂
Ni wazi wako walio umia na wako waliofaidi utawala wake