HD VIDEO: JPM alivyotangaza kuwasamehe Babu Seya na Papi Kocha
Вставка
- Опубліковано 1 жов 2024
- Leo December 9 2017 Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli ametangaza msamaha kwa Familia ya Babu Seya, msamaha huo ameutoa wakati wa maadhimisho ya sikukuu ya Uhuru yaliyofanyika kitaifa mkoani Dodoma
Utadumu moyoni mwangu, ninalia tu 😭😭😭😭😭
Yani kwa,hili la Babu seya, mzee Hongera, sana, yani dah asante
His so dope I wish Kenya we had such a man:
JPM umefanya nipate mduwao mkubwa. Hakika moyo wangu umefurahi nikatamani ungekuwa unaweza kufikika nikupe mkono. What a decision Mr President JPM. God Bless you! Hongera Nguza Viking
yaani we magufuri umefanya nihamie ccm direct bila chenga mungu akulinde baba
Yan mpaka machoz yananitoka.....what kind of president are u magufuli.....! God bless u sana! Kwa hili la babu Seya! Mungu akuinue! I fail believing t right now, naona kama nadream hv!😢
R.I.P JPM Hakika nakuombea kwa Mungu nawe dhambi zako zote zisamehewe hakuna binadamu mkamilifu.
mungu akulinde rais wangu mzalendo katika viongoz wote
God is Great....God Bless You Honourable John Pombe Joseph Magufuli....Hatimaye yamekua wamekua huru...am so happy Papii alienda jela akiwa kijana mdogo sana na familia yake..Jesus is Answer
Pumzka kwa Amani 🙏,Nakukumbuka sanaa Magufuli😥😥😥😥
Acha tu.. 😭😭😭😭😭
Haya machozi sijui ya furaha maana yamenitoka tu now can see how people's tulisubir hiki kitu kwa hamu MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU BARIK RAIS WETU
Jamani raisi wangu mungu hakulinde hubaki ikulu tu hukiondoka wanyonge tumekwisha jamani tufunge na tumuombe raising wetu
spaice Johnny yaan daah
Hatuwezi kupata mwamba kama wewe baba wa Taifa wa kweli JP Magufuli🎉🎉🎉 Mungu akusamehee na wewe mazambi yako yoteee ya duniani baba na Kila anayekubaliana na Mimi alike statement hiiii Amina 💪🔥🔥🔥🔥♥️❤️💗💞💞💕💓
Hakika hatuwezi yni kama ni ndoto tuamkee😢😢
Nakupnda rais wangu. .....am speechless. ...nlivyoona hiyo habar nilisisimka. .dar kwangu mim baada ya nyerer ni wew. ....God bless u alwayz. .acha wakuseme 2 lakin deep inside we know that u r so gud 2 us
MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI YAKE MPENI
Samahani, si mnyongeni bali ni mnyongeeni
Oooh thank you Lord Mungu amubariki sana baba raisi 💝💝💝💝💝💝💝
Raisi Mungu akubariki nimelia hawa watu hawana hatia
_BREAKING NEWS_
*Babu Seya kapigwa na butwaa baada ya kuambiwa Mbowe na Lipumba bado wenyeviti kwenye vyama vyao*😀😀😅😜
Burton Jorde 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Burton Jorde hajazimia kweli kusikiA bdo wapo
😂😂😂😂😂
Big up rais wangu, MUNGU akupe nguvu siku zote na daima, uendelee kutawala namna hii kwa busara. Nakuombea Sana. "Mamlaka ya shetani juu yako yashindwe katika jina la YESU! Amen"
A L H A M D U L I L L A H👏👏👏
Mungu ni mwema jaman
Asante Rais wa wanyonge umegusa miyo ya watanzani na kuwajaza fraha na Aman kwa cku ya Leo kuwatoa hawa viumbe wa mungu ktk adhabu walokuwa wanatumikia kwa muda mlefu kwani hata Mungu anasamehe MUNGU AKUBARIKI SN MH. RAIS WETU leo ni cku ya furah kwa watanzania walio wengi
magufuli ni zaidi ya rais mungu akupe maisha marefu duniani.
Nimesoma comment yako leo😭😭
Rais wangu Leo umenifanya nimeshiba bila kula kwa kusamehe na kuwa achia huru wafungwa hasa wa mda mrefu Mungu Akubariki akupe maisha marefu
hongera sana baba kwa busara zako mungu akupe maisha mrefu
Katika siku uliyonifurahisha mzee wangu ni leo kuwasamehe hao wafungwa haswa babu seya na papii kocha dah ubarikiwe baba umefanya vyema..
We jamaa nilikuw sikupendi lakini kuanzia sasa unakuwa rais kipenzi changu na 2020 kura yangu nitakupa kabisaaa
Nimekukubali rais 2020 kura yangu nakupa kweli ww ni mzalendo
Mungu akupe umri mrefu my president👏👏👏👏
Miaka mia mzee umefanya jambo la msing sana
Du! mkuu, katika hili ulilolofanya limekufanya upae juu zaid,,,!! umewafurahisha wa TZ,,,!!
My president u make me to belief ur vision n mission asante sana mh.Mungu akupe maisha marefu
Rest in peace JPM
MAGUFULI - IKIWEZEKANA ZIFUNGWE KAMPUNI ZA SIMU NA MABENKI Ambayo Hayatapokea Malipo Kielektroniki
SUBSCRIBE ua-cam.com/channels/4XnpdqNzd3f1wQroPl2Arg.html
Magufuli , endelea kuwa Rais mpaka nikwambie inatosha ...
Maana hata sioni umuhimu wa uchaguzi 2020 ....
Omary Mkombozi semaaa kaka ommy
Utachefua watu Hahaha kuna watu hawajawah kumsifia JPM ata afanye mema gan, haina haja ya kufanya kampen 2020 tutakwambia upumzke pale tutakapopenda watanzania
hawa wanacheza na akili zetu bro kama unaupeo mfupi huwezi elewa nn wanamaanisha so fikiria kwanza nn kinaendelea nyuma yake zen uwe #mzalendo
Upumzike kwa amani magu😢😢😢
Jpm ungekua bado upo hai Tanzania ingekua mbali sana mungu akusamehe Dhambi zako
dah roho wa mungu aendelee kua juu yako raisi wetu jpm uwe furaha yakila mmoja raisi wetu umri unaompendeza mungu uongezewe my jpm ww ndiwe tuliyekuomba uzaliliwe tz
Hakya Mungu tumepata rais tuliekua tunamtaka, Mungu akupe maisha marefu babaaaa
unacma ww hivyo wengine hawaelewi
Pumzika Champion 😢
HSANET MZEE BABA KWAKWELI UMENIKOSHA MTIMA WANGU , SASA UYO MZEE WA WTU MIAKA 42 NDANI YA JERA DAAAH MUNGU AZIDI KUKUPIGANIA RAIS WETU
Habari kamili juu ya Samaki Mtu avuliwa bahari ya Hindi bofya hapa 👉 ua-cam.com/video/bLavYv42PZc/v-deo.html
MUNGU AKUBARIK JPY KWA MARA YA KWANZA LEO NIMEKUSIFIA ASEE
elisha alex 😂😂😂😂 mwenyewe leo kanigusa kweli kwa mara ya kwanza
Sakina Ndoile ila huyu mzee mtata sanaa aise
Nitakupenda milele Magufuli wangu
Magufuli..wahurumie na hao..masheikh..mungu atakulipa
Mungu n mwema kwa kila jambo,hakuna aliyemkamilifu,yote n hero za Mungu,jina lake litukuzwe
wewe nizaidi ya raisi wewe ni nabiii
acha usenge www
Mungu ni mwema sana! Tumpe utukufu wake!
Magu ubarikiwe babab
mwee!
Hakika rais w umetoka mikonon mwa mungu kira wakat ntaomba dua kwa mungu il akufanikishe kwa kira uriwazalo barikiwa sana rais wang jpm mungu aubalik uzao wako na ww na mama janeth AMINA
MUNGU MKUBWA
HAKIKA MAOMBI YA WALIOWENGI YAMEJIBIWA
TUWAKARIBISHE NA KUJUMUIKA NAO KATIKA KULIJENGA TAIFA.
ua-cam.com/video/lsDrNX07qDU/v-deo.html
Angalia watu walivoshangilia kuachiwa kwa Babu seya..Bofya picha
Tanzania Trend TV show you
ad mwili umenisisimka hakika wakati wa Mungu ukifika hakuna awezaye pinga!!!! karibun uraian ndugu zetu!! japo maisha magumu karibun tupambane pamoja!!! mje mumshukuru Mungu kwa matendo yake makuu
giovanny gracious amen amen amen...Mungu na ahimidiwe.
MILLARD AYO BONYEZA PICHA IO KUCHEKI VIDEO KALII.
safi
Sana kumuachia
babu
Seya
bigup
my Rais
kwa kweli nimelia sana kwa furaha mungu ni mwema kila wakati.mungu akupe maisha marefu baba rais wetu
magufuli baba wewe ni rais uliye teuliwa na mungu akupenda sana rais wangu
asante mkuu
Umefanya mzee nikuamini kwa asilimia 2 keep up mzee
nimefurah sana jamani mungu akubariki Rais wangu
magufuli rais wangu namba moja ingawa maisha yngu hapa mjini magumu lkn ya wazazi wangu kule kijijini mazuri...nilimpa kura yngu 2015 na ntampa tena hata akigombea awamu 10 cuz NO prezoo like him....like if u agree
Hongera Sana mh rais hakika ww ni rais shujaa
kweli raisi magufuli wewe nirahisi unaefaa kuongoza nchi hongera sana kwakuwa samehe ndugu zetu nakuwaachia huru aswa kwababu seya napapikocha mungu akuzidishie miaka yote kiukweli nimejawa na furaha mpaka machozi yafuraha yameni bubujika kuona papikocha nababayake wako huru. mungu akulinde Raisi wetu Joni Josef pombe magufuri.
Cmkubaligi Raisi ila leo umetenda haki kwa hao wafungwa, aswa mzee nguza na mwanae
Tracy Justice hata SAA mbovu kuna wakati husema ukweli. Mpende pale anakugusa kwani yy cyo malaika akupendeze SAA zote
2k Malisasi c ndivyo niliyosema kuwa ametenda haki au ulikuwa unataka nisemeje? Maana kiswahili kigumu unifundishe ndugu yangu labda cjatumia kiswahili kizuri
hiii mbinu ya mchezo mnyonge huwezi elewaaaa
Wooow
Nahamia CCM kuunga mkono juhud za Rais
Hivi wanaohamia ccm kumuunga mkono jpm wamekosea nini, huyu ndo rais bwana
Ahsant jaman nimelia adi jaman
kwasab gan umelia?
Wametajwa wengi kisamehewa ila haki yamtu hua haipotei.walipotajwa babu sea umati umeshangilia
kwahapo baba nimeuona uzalendo wako mungu akubariki sana
Mashehe tunategemea Inshaallah kwa uwezo wa Allah nao watasamehewa siku ya uhuru wa Znz.
Ibrahim Latif Allah kareem Inshaallah wataachiwa huru
#InShaaAllah!!
Gerezani ni #MAFUNZONI, naamini kwa muda waliokaa hao wafungwa wote watakuwa wamesha jifunza, #MUNGU akubariki RAISI kwa kuwapa msamaha,naamini kwa hili watu wengi watazidi KUKUAMINI.
Wallah itapendeza zaid wakiachiwa na mashehe wa uamsho
Kweli raisi wetu umeonesha moyo wakiume na mungu akulinde katika kutetea haki za wanyonge
Magufuli baba nikikutafakari sana nakuta machozi yananitoka..machozi ya shukurani kwa Mungu kutupa baba kama wewe ambae umekubali Mungu akutumie kama chombo hapa duniani..tutakuwa wote paradise siku ya mwisho.
nilikuwa na subiria Kusikia jina la lulu jaman daaaaah haikuwa raisi kumbe.......
yan imeniliza tujifunizen kusamehe mungu atusamehe na sisi
me pia mpk chozi limenitoka automatic kulizuia sikuweza mungu akuongoze mr. president
Hiyo ndio faida ya upinzani ssa najua maccm yatapingana na mimi ikumbukwe kwamba waliopaza sauti juu ya babu sea kuachiwa na sasa ikumbukwe pia barua aliyoandika papii iliyokuwa imejaa majonzi ilipostiwa na wapinzani tu sikuona ccm yeyote aliyepost barua ile vilevile
Kwenye kampeni za 2015 nakumbuka lowassa aliahidi akiwa raisi atawaachia akina babu seya pamoja na mashehe wa uhamsho
Keep it up upinzani then
Magufuli ahsante kwa kuonesha kuwa mambo yetu unayasikiliza japo sio kwa wakati usika
luge Donation wewe ni shabiki wa mpira na usiejua hata kucheza.Tulia wachezaji wakupe raha.aliye funga ndo aliyecheza.hata Lowasa aliiba aidia ya JPM.
yalikua yanatafuta ugali yale mafisadi...sisi tupo hapa hapa ccm kwa magufuli mambo yanajipa taratibu gatuna papara
Mungu awape Moyo wa kusamehe km wawo walivyosamehewa na awajaze Moyo wa ushujaa uliojaa matarajio mema
Amina
Aiseeeee hii moment nakumbuka Sana Hadi nilitokwa machozi
Hongera kwa hili ila watanzania tuache unafiki wakati lowasa aliposema mkinichagua nitamtoa babu seya tulilaani kwa nguvu zote na Leo tunashangilia kwa nguvu zote
Natamani hata kulia Jaman mungu mbariki huyu baba
Leo umefanya jambo la maana dahhh
dah jmn nmefurah ad machozi
Tumengoja sana iyo kitu atimaye umekuja kutufanyia kile tulichokingoja ubarikiwe baba mkubwa
Duuh! shangwe zimekua nyingi kwa babu seya na mwanae kuliko kwa wale walio samehewa kunyongwa mmmh ngoja nipite kidogo📝📝📝📝
Siku zote nikiona iyi video ,uwa na lia sana kutokwa na machizi
mboni masheikh wtu hawana hata kesi na hujawasamehe..
umefanya poa sana mzee wangu nakuchukia sana lakn kwahili wacha cku ipite nikifurah
mungu akuzidishie my president ukiisiliza hii unaweza toa machozi ya furaha
Mungu akulinde
Rais magufu wewe ni mkombozi tz
JINSI YA KUPATA WHATSAP MESEJI, TEXT MESEJI NA CALLS ZOTE KUTOKA MWENYE SIMU YA MPENZI WAKO PASIPO YEYE KUJUA....
simple teick.
m.ua-cam.com/video/G8-7sejACpU/v-deo.html
mungu ampe maisha marefu raisi wetu
Mungu akubariki sana raisi wetu, nilikuwa nikiuliza maswali kila siku kuhusu babu seya na mwanae kuwa watatoka lini katika adhabu isiyo ya haki? kwel nimeamini ninae rais mzalendo
Uu ndo wema uliompeleka mbiguni😅😅😅
Hakika haukujua Kama urikua unaishi na nyoka
President umenifurahisha sn kwa hili mpaka raha.papii hoyooooooooooooo.
Asante sana baba Rais wetu mpendwa
Kwa Babu Seya 🎉🎉🎉 uliupiga mwingi mzee
Rest Easy Comrade🙏 . ( 15/8/2024.)
Io njemba nyuma ya magu ina hasira manina
Endelea kupumzika kwa Amani
kwambali sana namwona raisi wangu amezeheka namajukumu namahamu magumu kama ayaaaaa
Mzee ulicho fanya leo na Mimi nakuunga mkono
Bado mzee tunakukumbuka😢😢
Our lovely president +254
tuleteen ña balali sasa
Jamani Mungu ni mwaminifu asante baba magufuri
Mungu endelea kumtia nguvu Rais wetu azidi kutenda mema kW watu anaowaongoza hongera sn kW hili