Mungu wa mbinguni akubariki sana Baba kwa kuihubiri injili ya kweli. Ulindwe siku zote, na mataifa yapate kusikia mafundisho haya wapate kumrudia Muumba wao kwa toba ya kweli. Amina 🙏
Barikiwa sana mtumishi umehibiri mambo makuu na ukweli dhahiri sio wachungaji wengi wanao hubiri ijili hii ni neema kubwa iko ndani yako tusaidie tujue kweli ituweke huru much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪♥️
Ee mungu nirehemu sikuyajua haya yote nilijua nikosawa kiroho kumbe kuanika nguo za ndan ni dhambi asante mungu kwaajili ya mtumish wako abiudi umenitoa kwenye kusuka na surual hadi hapa ni neema wachungaji semeni yote ili tupone
Waebrania 2:3 (KJV) sisi je! Tutapataje kupona, tusipojali wokovu mkuu namna hii? Ambao kwanza ulinenwa na Bwana, kisha ukathibitika kwetu na wale waliosikia;
CONGRATULATIONS CONGRATULATIONS FOR PREACHING THE TRUE GOSPEL HII DIO INJILI KWA SASA ×××× ...SIO KUHUBILI PESA NA UTWALIZI ... ONGEZEA NA TOMBA NA UTAKATIFU ALAFU UWAABIE YESU ANARUDI IVI KALIBUNI .
Asante Mungu kwa kuzidi kufunulia watumishi wako siri za kuzimu, big up man of God. Hakika sisi wanaume tunaenda må salons naamini kwa injili hii tumepona. Nimepona kweli.
MUNGU wa mbingini azidi kukutunza sana Sana mtumishi wa Mungu alie hai, Mungu anisamehe sana Mimi tena Sana, watoto wangu wameona zangu, pia ata mimi nimeona za babangu maana namuuguza anaumwa alikua hajiwezi kabisa.
Mimi mwenyewe huwa napata sana shida ninapoona watumishi wa Mungu wanafanya vitu kama hivyo wachungaji Siku hizi hata massage wanafanyiwa huko saloon yaani sijui huwa wanataka nini na wanajipamba kwa sababu ya nani ni aibu sana
Ahsante Yesu kwa maonyo yako kupitia Mtumishi wako. Ila huku Ulaya watu wanahitaji haya mahubiri, maana watu wamepotoka sana! Kuonyesha miili yao kwa watoto wao ilishakua ni sehemu ya maisha ya @ siku licha ya kuvaa nusu uchi huko mitaani! Nguo zao za ndani zinatupwa tupwa hovyo hadi watoto wanazichezea!! Mungu aturehemu kwakweli!
Barikiwa sana Bishop nami nilikuwa napenda kunyoa kwenye berbar shop hizo lakini niliacha hiyo nimeipenda nzuri, maana nikaona kabisa utukufu wa Mungu unaondoka.
Awawesi itika Amen kwa maana awapendi kuambiwa ukweli ila ubarikiwe wewe mtumishi wa Mungu watu waache dhambi Yesu kristo Yu karibu kuja lasima ukweli usemwe
Abiud ni chombo cha MUNGU cha dhamani ( Mwl mwakasege,. Mathayo nnko,. David mmbaga )Ni masalia ya watumishi wa YESU KRISTO na wengine wachache ambaye sijawataja kwenye mabano
Na Mungu atuponye tuache kutetea dhambi maana ulimwengu wa Sasa mtihani Sana watu wanachukua baadhi ya vitu na kuvipa alali kama sio dhambi ila njia Ile ni nyembamba iyendayo uzimani ndo utajua kwann ni nyembamba.
Mungu atuhumie sana especially wa mama wanao shinda salon ku tinda nyuso, makucha, kujichubua Jangalasoni aliwahi kuviongelea kwenye nyimbo zake. Na wamama wengi kwa sasa hawajali. Na mambo amebadirika wa mama ndio sasa wanatongoza. Roho za uzinzi zimeshamiri kuliko siku za nyuma.
Injili ya kristo ni tamu sana ikihubiriwa na walio pewa na Mungu 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Ashukuriwe Mungu aliyefanya uzaliwe katika nchi hii;;;
Wewe ni wa thamani sana pamoja na mama Mungu wa mbinguni awatunze na kuwalinda kila siku...
Umenena vyema Sana felister ,Mungu awalinde Sana watumishi wetu hawa
Ni hakika na kweli
Mungu wa mbinguni akubariki sana Baba kwa kuihubiri injili ya kweli. Ulindwe siku zote, na mataifa yapate kusikia mafundisho haya wapate kumrudia Muumba wao kwa toba ya kweli. Amina 🙏
Wana heri kondoo uwalishao kwani wanalelewa na mchungaji wa kweli Mungu akutie nguvu mchungaji 🙏🏿🙏🏿
Mungu nipe kaz tofaut na upakarangi ili nishi katika uwep wako
Bure uwesi kaa katika uwepo wake?
God bless kwa uamzi mzr mtii MUNGU
@@EsterNgasa-vq5zx aame
@@EsterNgasa-vq5zx aam
@@faithe4063 bless
Mchungaji Abiud Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu NAKUOMBEA huduma yako izidi UBARIKIWE sana Baba yangu
Hakika
Ameen
Niko Burundi 🇧🇮 mchungaji asante sana kwa injili Mungu wa mbinguni akubariki na akuongeze mafuta,umenisaidia sananaa😢😢
Mungu akupe mwisho mwema baba wa watu wengi
Ni kweli watu Wameuvua mwenendo Wa kale Na kuishi kisasa .Ohio yesu tusaidie.barikiwa mtumishi
Mafunuo na mafundisho mazuri ambayo Mungu amekupa,utukufu wote kwake.Mungu akuzidishie Neema.From 🇰🇪
Barikiwa sana mtumishi umehibiri mambo makuu na ukweli dhahiri sio wachungaji wengi wanao hubiri ijili hii ni neema kubwa iko ndani yako tusaidie tujue kweli ituweke huru much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪♥️
Ee mungu nirehemu sikuyajua haya yote nilijua nikosawa kiroho kumbe kuanika nguo za ndan ni dhambi asante mungu kwaajili ya mtumish wako abiudi umenitoa kwenye kusuka na surual hadi hapa ni neema wachungaji semeni yote ili tupone
Ubarikiwe sana
Barikiwa kwa kujali
Waebrania 2:3 (KJV) sisi je! Tutapataje kupona, tusipojali wokovu mkuu namna hii? Ambao kwanza ulinenwa na Bwana, kisha ukathibitika kwetu na wale waliosikia;
Ameeni kwauponyaji
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu, Neno la Mungu ni Hakika Ndio na Kweli na Taa Mwangaza katika Maisha yetu. Neno la Leo na Mungu atu Rehemu.🙏
Mungu akutunze pastor Abiud naomba siku moja Mungu nami anikumbuke
Thank you for preaching the true gospel
Ee Bwana Yesu nisaidie peke yangu siwezi
Mchungaji mungu Akupe maisha marefu wewe unamahubili ya yesu huo ni wokovu wa kweli
CONGRATULATIONS CONGRATULATIONS FOR PREACHING THE TRUE GOSPEL
HII DIO INJILI KWA SASA
×××× ...SIO KUHUBILI PESA NA UTWALIZI ...
ONGEZEA NA TOMBA NA UTAKATIFU
ALAFU UWAABIE YESU ANARUDI
IVI KALIBUNI .
Wow amen
Asante sana baba mchungaji umeni jenga sana kwa injili ilio hai uwinuliwe mtumishi wa Bwana Mungu
That's the spirit of Jezebel.God bless you Man of GOD
Asante Mungu kwa kuzidi kufunulia watumishi wako siri za kuzimu, big up man of God.
Hakika sisi wanaume tunaenda må salons naamini kwa injili hii tumepona.
Nimepona kweli.
Mchungaji, waambie wanawake wafunike vichwa vyao wanapoenda mbele za Bwana. Ni maagizo ya Mungu hayo.
Kweli kabisa
Na pia vifua 😨😨
Amina
Haya ndiyo mafundisho yenye uhai na wokovu wetu wa kweli unadhirika hapo. Jina la YESU KRISTO Lihimidiwe. AMINA.
Mafundisho ya Yesu kristo yapo kwenye vitabu fine vya injili ok?
@@GroliaKamugisha NDIYO, MCH, ANAPOSEMA HAIKUANDIKWA, IMEANDIKWA NA ALIYEBUNI HIYO DHAMBI ALISOMA vitabu yaani Biblia inapotaja TAMAA YA MWILI.
Mch Abiud nakupenda Hadi mwanzo ,kuanzia nyimbo zako hadi mafundisho yako hujawahi tetea uovu
Ameen
MUNGU wa mbingini azidi kukutunza sana Sana mtumishi wa Mungu alie hai, Mungu anisamehe sana Mimi tena Sana, watoto wangu wameona zangu, pia ata mimi nimeona za babangu maana namuuguza anaumwa alikua hajiwezi kabisa.
Ubarikiwe Sana Baba mchunga
Mungu wambinguni aipiganie utumishi wako
Mimi mwenyewe huwa napata sana shida ninapoona watumishi wa Mungu wanafanya vitu kama hivyo wachungaji Siku hizi hata massage wanafanyiwa huko saloon yaani sijui huwa wanataka nini na wanajipamba kwa sababu ya nani ni aibu sana
Mungu aendelee kukupa unyenyevu ili uendelee kukemea dhambi na habari za Yesu kurudi....maana tumebaki na wahubiri wachache sana.
Mtumishi wa
Mungu paza sauti tupone, Asante
Mungu kutupa maonyo
Ukweli usemwe tuweze kuhurithi ufalme wa MUNGU, barikiwa sana mtumishi🇰🇪
Ameen
Natamani sana hushiliki chakula hiki Cha uzima nikizuri mno mimi nakitafuta sikipati dunia imejaa manabii wauongo tupu hakuna NENO tena.
Mungu nisaindie , nisamehe Mimi ni mwenye dhambi natubu sasa
Mutumishi wa Mungu ubarikiwe umenibariki sana 🇨🇩 bunia ituri
Ni zamu yangu kurudishwa nimegundua dhambi yang ambayo nilichukulia vyepes Mungu asante
Neema ya Mungu ikuwezeshe.
Asante YESU kwajili ya mafundisho naomba roho mtakatifu anisaidie kuelewa neno la MUNGU
Ubarikiwe baba maamuzi magumu yametufukuzisha ila tupone barikiwa baba❤❤
Ahsante Yesu kwa maonyo yako kupitia Mtumishi wako. Ila huku Ulaya watu wanahitaji haya mahubiri, maana watu wamepotoka sana! Kuonyesha miili yao kwa watoto wao ilishakua ni sehemu ya maisha ya @ siku licha ya kuvaa nusu uchi huko mitaani! Nguo zao za ndani zinatupwa tupwa hovyo hadi watoto wanazichezea!! Mungu aturehemu kwakweli!
Abiud Misholi, you are one among the chosen one. Be blessed and continue with the real gospel of Jesus Christ. I'm blessed for you❤❤❤
Praise to God
Barikiwa baba nimeanza kuipenda huduma yako nilikuwa sikuelewi kabisa lakini mungu alivyo anza kusema namimi hakika naelewa mafundisho yako barikiwa
❤ Asante YESU kwa ujasri uliompa mtumishi wa wako, YESU Tuponye.❤
Mungu akutumie zaidi kutuambia ukwel baba
Amina baba unge kuwa baba yangu ninge kuwa mbali zaidi ya hapa nilipo
Barikiwa sana Bishop nami nilikuwa napenda kunyoa kwenye berbar shop hizo lakini niliacha hiyo nimeipenda nzuri, maana nikaona kabisa utukufu wa Mungu unaondoka.
Ubarikiwe sana
@@mch.abiudmisholi
Baba Nina jambo naomba nikufuate inbox
Hakika tupate Watumishi kama wewe watano tu apa Tz kanisa lingekua mbali sana
Wapo zaidi ya 5Mungu ni mwaminifu
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu, ni kweli baba siku izi mambo yamebadilika sana🙌
Pastor Abiudi thank you preaching very good gospel.
Mungu akubariki sana mtumishi kwa kwa kuubiri true Gospel of Jesus Christ keep it up...waambie ukweli ndio wakaweze kuwekwa huru❤
Ameen
Amina baba wewe ni baraka kwa kizazi hiki tunaendelea kujifunza mengi kutoka kwako mwenye sikio na asikie neno lile Bwana aliambia makanisa.
Ujumbe mdhuli sana mtumishi Wa Mungu
Yaani injir za huyu BABA waga nabarikiwa sana,👏👏👏🙌🙏
Waliobaki kuihubiri KWELI ya injili kama hii ni wachache, MUNGU akubariki mtumishi.
Amen Amen Amen Servant of God. May the Lord our God Protect you. Thanks for this powerful encouragement word of God
Ameen
Papa alisema yesu hata Rudi hivi karibuni.mungu saidia watu wako
Mungu turehemu watoto wako...Amina.🙏🏻
Unafundisha ukwel kabisa! Ubarikiwe!
Nabarikiwa sana Mch Abiudi ipo siku kama Mungu akinijalia lazima nije nikusalimie apo kanisani
Karibu sana
Mungu akubariki baba ,injiri iletayo wokovu kwa mataifa yote,,tupone kabsa
Awawesi itika Amen kwa maana awapendi kuambiwa ukweli ila ubarikiwe wewe mtumishi wa Mungu watu waache dhambi Yesu kristo Yu karibu kuja lasima ukweli usemwe
Mwenye sikio na asikie neno hili ambalo Roho ayaambiya makanisa
Ameen Ubarikiwe sana Na Mungu mtumishi wa Bwana!!
Ameeni pastor ubarikiwe sana
Kweli kabisa mtumishi ni Mungu kabsa, watu tunaleta ukisasa ndani ya ukristo 😥
Amina Baba..Mungu akubariki kwa Mahubili haya
Abiud ni chombo cha MUNGU cha dhamani ( Mwl mwakasege,. Mathayo nnko,. David mmbaga )Ni masalia ya watumishi wa YESU KRISTO na wengine wachache ambaye sijawataja kwenye mabano
Bila kumsahau Eliona Kimaro
Sema baba ni kweli. Mungu atusaidie sana
Eee mwenyezi Mungu uturehemu kwa maana tumekutenda dhambi
Neno lisilogoshiwa, Ubarikiwe sana Mtumishi wa MUNGU.
Mtumishi wa Mungu Ubarikiwe sana hakika hiyo ndio Injili ya kuokoa Roho na Nafsi na sio Fedha na Dhahabu❤
This is a Powerful messege .May God bless you Pastor, Amen.Philip Mgala from Malawi.Chitipa
Amina
Ameeen,
God bless you
I agree with you Pastor Misholi
Hekima ya kiwango cha juu, naomba walau nipate mawasiliano tuzungumze baba
Mungu nipe mwisho mwema ❤❤
Mungu akubariki kwa neno zuri kama hili asante baba
Daah moyo unauma! Mungu atusaidie wat wake
Ameeen Ameeen Bwana akubariki sana mtu wa Mungu
Nakuelewa sana mtumishi Mungu
shaloo baba Nikweli kabisa baba mm mwenyewe ni mwimbaji wa injili kunyoa ndiyo kazi yangu uzinzi niwakutisha Mana mm mwenyewe naona haya Sana
Mungu ashukuliwe kwa dunzo hili mtumishi wa Mungu
AMEN,Baba Mungu Akubariki
Na Mungu atuponye tuache kutetea dhambi maana ulimwengu wa Sasa mtihani Sana watu wanachukua baadhi ya vitu na kuvipa alali kama sio dhambi ila njia Ile ni nyembamba iyendayo uzimani ndo utajua kwann ni nyembamba.
Ahsante mtumishi wa Mungu , umenisaidia .
Amen Baba mchungaji,,,,,kuingia mbinguni sio rahisi
Mungu nisamehe sikujua.
Ubarikiwe baba Mchungaji
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu atuhumie sana especially wa mama wanao shinda salon ku tinda nyuso, makucha, kujichubua Jangalasoni aliwahi kuviongelea kwenye nyimbo zake.
Na wamama wengi kwa sasa hawajali. Na mambo amebadirika wa mama ndio sasa wanatongoza. Roho za uzinzi zimeshamiri kuliko siku za nyuma.
Mungu azidi kukuongezea nguvu
Amen baba ubarikiwe sanaa kwa mafundisho mazuri tumejifunzaa
Ameen
Mafundisho yananiingia mungu akubariki mch Abiud
Mungu akubariki sana kwa mafunndisho haya hadimu duniani
Uko sawa mchungaji wangu
Funzo lilo bora na ni ukweli kabisa mungu akubariki pasta Abuiid
Mchungaji Abiud kiukweli mm nnakuelewa sana huu ujumbe umefika natamani utuletee Arusha
You are right pastor,,,,continue telling them the true
Ameen,
Praise to God
Mungu akubariki sana Mtumishi ❤
Mungu wa MBINGUNI akutunze Baba Mchungaji na akupe MAISHA Marefu Kwa ajili ya kazi yake
Ameen
Ubarikiwe mtumishi
Mungu akusaidie uwaelekeze watu ktk kweli
Mungu nihurumie na unipe neema kutii
Hiyo nimeipenda sana